MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2023

Комментарии • 527

  • @peterkarimu00
    @peterkarimu00  10 месяцев назад +29

    PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.

    • @catherineawinja7417
      @catherineawinja7417 10 месяцев назад +2

      Asante

    • @rakaieva5472
      @rakaieva5472 10 месяцев назад

      Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 10 месяцев назад +1

      Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.

    • @nancymerinashaidi6525
      @nancymerinashaidi6525 10 месяцев назад

      Ubarikiwe

    • @nancymerinashaidi6525
      @nancymerinashaidi6525 10 месяцев назад

      Jaman up wap

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 месяцев назад +2

    Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.

  • @daudindelembi6206
    @daudindelembi6206 6 месяцев назад +2

    Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.

  • @annethiongo6899
    @annethiongo6899 8 месяцев назад +3

    Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 10 месяцев назад +4

    Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 8 месяцев назад +6

    Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu

  • @cyprianmwasanga6041
    @cyprianmwasanga6041 10 месяцев назад +5

    Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 6 месяцев назад +1

    Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka

  • @janewaititu8051
    @janewaititu8051 2 месяца назад +1

    I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana

  • @user-du2gt8ff1r
    @user-du2gt8ff1r 10 месяцев назад +1

    Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl 9 месяцев назад

    Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu

  • @user-dv4ch3sy8l
    @user-dv4ch3sy8l 9 месяцев назад +2

    Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele

  • @angle3600
    @angle3600 10 месяцев назад +10

    Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia

    • @christinashaban7262
      @christinashaban7262 9 месяцев назад +1

      Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад +1

      Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu

  • @user-mb4lt2cx7j
    @user-mb4lt2cx7j 9 месяцев назад +3

    😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤

  • @user-qp6bc2fu6d
    @user-qp6bc2fu6d 9 месяцев назад

    Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 10 месяцев назад +1

    Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 9 месяцев назад +3

    Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz 6 месяцев назад +2

    Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya

  • @felicitemihungo3600
    @felicitemihungo3600 9 месяцев назад +1

    Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba.
    Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.

  • @MamaIbra-kx4hm
    @MamaIbra-kx4hm 8 месяцев назад +1

    Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu

  • @consolataanyambililemwakib1111
    @consolataanyambililemwakib1111 9 месяцев назад +1

    Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki

  • @fortunadafura
    @fortunadafura 6 месяцев назад +1

    Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏

  • @justinekalunga8488
    @justinekalunga8488 10 месяцев назад +3

    Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.

  • @user-wy6cs8kj4y
    @user-wy6cs8kj4y 10 месяцев назад +1

    Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe

  • @mercykibunguchi9581
    @mercykibunguchi9581 10 месяцев назад +2

    Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi

  • @user-eq4hs7xq8u
    @user-eq4hs7xq8u 10 месяцев назад +4

    Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema

  • @ErneusMlelwa-vk3pu
    @ErneusMlelwa-vk3pu 9 месяцев назад +2

    Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie

  • @ernestmshana3752
    @ernestmshana3752 10 месяцев назад +4

    Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.

  • @FelicianAndrea
    @FelicianAndrea 11 дней назад

    Asante mama mtumishi nashukulu kwa ushuhuda wako umenibaliki amy

  • @anithasanga361
    @anithasanga361 6 месяцев назад +1

    Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 10 месяцев назад +4

    Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 10 месяцев назад +5

    Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu

  • @richmwaij3368
    @richmwaij3368 Месяц назад

    Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana

  • @RachelThomas-ox3jr
    @RachelThomas-ox3jr 9 месяцев назад +3

    Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 10 месяцев назад +2

    Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 4 месяца назад

    Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila
    Mungu nisaidie niwe mtii A

  • @user-is9gg5cg1n
    @user-is9gg5cg1n 9 месяцев назад

    Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤

  • @abigaelwamboi8149
    @abigaelwamboi8149 9 месяцев назад

    Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu

  • @RebekaMwangomale
    @RebekaMwangomale 10 месяцев назад +1

    Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi

  • @DominaPatrick-ri8sc
    @DominaPatrick-ri8sc 6 месяцев назад +1

    Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @user-rt2fr3ri6d
    @user-rt2fr3ri6d 10 месяцев назад +2

    Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu

  • @bajkljs9058
    @bajkljs9058 9 месяцев назад +2

    AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤

  • @Farijimvela-fp8jy
    @Farijimvela-fp8jy 10 месяцев назад +3

    Amen watumishi wa Mungu

  • @DiarraLimited-nt2th
    @DiarraLimited-nt2th 8 месяцев назад

    Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 10 месяцев назад +2

    Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.

  • @deooisso-wv3ex
    @deooisso-wv3ex 10 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie

  • @user-tx4ze8kq3x
    @user-tx4ze8kq3x 10 месяцев назад +2

    Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 10 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana

  • @ElizaPetro-fy2rm
    @ElizaPetro-fy2rm 8 месяцев назад

    Amin mutumishi NAMI pia Nisha wahi kuweka piko kichwani mwenyezi mungu anisamehe sitaludia tena

  • @user-wy2bz6tr9s
    @user-wy2bz6tr9s 9 месяцев назад

    Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 8 месяцев назад

    Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito

  • @mmangasalum2195
    @mmangasalum2195 8 месяцев назад

    Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb 9 месяцев назад

    Asante YESU KRISTO kutufunulia haya

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 9 месяцев назад

    Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe

  • @user-ot7kw4kl2j
    @user-ot7kw4kl2j 10 месяцев назад

    Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe

  • @user-yj2dl3cr5o
    @user-yj2dl3cr5o 7 месяцев назад +1

    Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga

  • @elizabetheliza4751
    @elizabetheliza4751 10 месяцев назад

    Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama

  • @user-gh2kk2et5r
    @user-gh2kk2et5r 9 месяцев назад

    mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen

  • @joycelongo1213
    @joycelongo1213 9 месяцев назад +1

    Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏

  • @tumsiimekente1656
    @tumsiimekente1656 9 месяцев назад

    Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.

  • @hellen9467
    @hellen9467 7 месяцев назад

    Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu

  • @dekarisaomiro9009
    @dekarisaomiro9009 10 месяцев назад +2

    Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi

  • @NshimirimanaGerardine-xo3ht
    @NshimirimanaGerardine-xo3ht 9 месяцев назад +1

    Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha

  • @user-rs3ht5wm8p
    @user-rs3ht5wm8p 5 месяцев назад

    Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana

  • @StrongWomen-ob8yq
    @StrongWomen-ob8yq 10 месяцев назад +2

    Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake

  • @user-vw4te3lq5x
    @user-vw4te3lq5x 9 месяцев назад

    Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu

  • @user-vz2mu8ze9u
    @user-vz2mu8ze9u 10 месяцев назад

    Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake

  • @user-jq2ru8kf8x
    @user-jq2ru8kf8x 9 месяцев назад

    Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7x 10 месяцев назад +4

    Aisee!! Mungu atusaidie wa mama na wadada tunapenda sana mapambo

    • @luthgadeschrispin6554
      @luthgadeschrispin6554 10 месяцев назад

      Hongera jamani mch kumbe kuna kanisa takatifu la Mungu kibondo naamini kuna ck litakuwepo hapa morogoro mjini natamani sana

    • @ChausikuMarko-mt3gl
      @ChausikuMarko-mt3gl 9 месяцев назад

      Mamy MUNGU wa mbinguni akubariki ,,

  • @FatimahAlshehri-gt1gj
    @FatimahAlshehri-gt1gj 9 месяцев назад +1

    Amen mungu atusamehe kabisa

  • @gobregobre9964
    @gobregobre9964 10 месяцев назад

    Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona

  • @yohanajames7269
    @yohanajames7269 9 месяцев назад

    Asant Ubarkiwe mama kwa ushuhuda tumejifuza kutoka kwako amen

  • @KeziaAbel
    @KeziaAbel 7 месяцев назад

    Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 10 месяцев назад +5

    Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.

  • @RebekaShumbi
    @RebekaShumbi 10 месяцев назад +1

    Amen ubarikiwe sana 29:50

  • @reginahghati160
    @reginahghati160 6 месяцев назад

    Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu

  • @julianawairimu801
    @julianawairimu801 10 месяцев назад

    Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa

  • @jeannealmasi9569
    @jeannealmasi9569 8 месяцев назад

    Asante sana ubari kiwe sana

  • @salomemmari3880
    @salomemmari3880 9 месяцев назад

    Amen ubarikiwe mama

  • @MasamElisha-zu5ve
    @MasamElisha-zu5ve 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 10 месяцев назад +1

    Amina kubwa mama shujaa Mungu wetu ni mwema sana matendo yake ni ya ajabu sana.

  • @annajackson5245
    @annajackson5245 9 месяцев назад

    Mungu wangu naomba unisamehe, maana nimepaka piko leo jamani. Nisamehe Yesu wangu.

  • @user-xt3gb3ei7j
    @user-xt3gb3ei7j 9 месяцев назад +1

    Mungu naomba unihurumie mm maana nilikua sijui .lakin kwaushuuda huu naogopa naogopa naogopa naomba Mungu unihurumie nikaione mbingu

  • @rosemaryshayo7256
    @rosemaryshayo7256 10 месяцев назад

    Hongera mam jeska

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 10 месяцев назад +8

    Wamama na wa baba wengi wanapaka piko ili kuficha mvi, tuache na Mungu aturehemu. Mithali 16:31 inasema kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu.

    • @rerisamba
      @rerisamba 10 месяцев назад

      Mimi nilikua napaka hina sikua najua nikaona mtumishi kutoka kenya kwa promover tv akatufunza nikawacha

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 10 месяцев назад +4

    Aaaaa na MUNGU ANISAIDIE MM NI MWENYE DHAMBI TU NA PIA HUU NI USHUUDA WA KUNITAKASA MM AAAA YESU UNANIPENDA MNO

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 10 месяцев назад

    Asante Mungu kwa ushuhuda huu, ilaah naomba kujua kama jirani wenyewe wana kuchokoza japo huwajibu na huna kosa nao, hawa taki kusema nawe bila sababu, ufanyie vipi? kujinusuru uwepuke hilo jaribio.

  • @RachelKihombo-qh1jb
    @RachelKihombo-qh1jb 7 месяцев назад

    Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata

  • @user-pf6uo9qm8j
    @user-pf6uo9qm8j 8 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5
    Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje.
    Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii

  • @elizakituzaleyaapoline5283
    @elizakituzaleyaapoline5283 10 месяцев назад +1

    Mungu akubariki

  • @user-dc2bt3hy7s
    @user-dc2bt3hy7s 6 месяцев назад +1

    Asante sana mama Kwa ushuhuda

  • @user-bs2cw8xn6h
    @user-bs2cw8xn6h 6 месяцев назад +1

    Mungu atusaidie sana

  • @ednandiwa-fk2es
    @ednandiwa-fk2es 9 месяцев назад

    Eeh sijui niseme nini Mamangu wa kiroho wala nitende nini Ila kumshukuru Mwenyezi Mungu.Hata Mimi nilipitia hapo hadi nilitamani nisememe niliyoyaona Bali,,,,,,,,,,,,,,Mungu azidi kutukumbuka

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 10 месяцев назад +5

    Ukimtafuta Bwana, ndipo utakapojua shetani Hana muda wa kupoteza katka kuteka roho za watu

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 10 месяцев назад +3

    Nikweli tupu, haya mambo yapo Wazi kabisaa ktk vitabu vya kiislamu kuhusu kichwa cha mwanamke,lakin watu wametiapamba masikioni ,kufunika kichwa niushamba,werevu piko,wigi,Carl nk

  • @roseshijedi8744
    @roseshijedi8744 10 месяцев назад +1

    Mungu yuko wapedwa tuamini mungu wetu aliye tuumba

  • @patriciandeda2647
    @patriciandeda2647 10 месяцев назад

    Asante mama Kwa ushuhuda ya ukweli na mwenye maskio asikie.

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 10 месяцев назад +1

    Du pole sana dada na hongera kwa ujasiri wa kuelezea na kufunza wengine

  • @chumamasaka
    @chumamasaka 8 месяцев назад

    Amina tutatubu ujumbe mzuri

  • @swaijohn7923
    @swaijohn7923 10 месяцев назад

    Amina kwa ujumbe mzury ubarikiwe