MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania,Na kuongozwa na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.
Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #NgaramtoniArusha
Nimelia mno, Mungu wewe utabaki kuwa Mungu itunze familia hii, Pastor barikiwa sana.
Assnte Mungu nilidhani mimi ninapitia magumu number mwenzangu anamagumu kuliko mimi.Asante Mungu Kwa maisha ninayo ishi sasa.Mpiganie huyu mama wakati unampigania unikumbuke na mimi
Ameni mtushi yesu akubali mtumishi ,nami naomba maombi niwe mtumishi wake.
Kama umeguswa na hii clip kama mimi ninairudia Mara kwa Mara ili kujifunza mengi nipe like
Sumbe uko tofauti sana na watumishi wengine saanaa wengine hawaulizi kama umeokoka wanakuombea tu mungu akubaliki your such unique man of god
Nimelia sana unaeza ukaona unashida kumbe tunazidiana duuu
Masikin
😢nmelia Sana jaman sheten Ana huruma jmn tuwaombee waume zetu na sio kuwalaumu amen
Asante Yesu kupitia mtumishi wako mwema baba yangu wa kiroho Mungu akubariki
Kwa Mungu hakuna linaloshindikana😭😭😭🙏🙏
Qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq
@@moshimatikosendi6906 🙄🙄🙄
Imenitoa machozi ihi video, Yesu akutetee dada angu
From Burundi! Yesu ni Mwema sana! Injili ya kweli kabisa . Na Mali zetu zitumike kwa kuwaokowa Mataifa. Halelua
Wakwetu mungu amaweza
YESU akubaliki wewe na kanisa yako yote kwakazi nzuri mnayofanya .Hiyo njo kazi ya Mungu kabisa.
From Burundi ,Bwana Yesu apewe sifa ...Yesu ni mzuri sana leo kesho hata milele
Ameni
Mungu wewe ni mweza yote tushindie matatizo yote kwa damu ya yesu kristu mwana wa mungu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi Mungu akubariki ... Angekuwa mwingine angesema lete sadaka ya kufunguriwa kutoka kwenye vifungo au sadaka ya upatanisho lkn wewe uko vzr umetunza mwili wa kristo 🙏
Huu ni uonezi sana Asante Yesu maana wewe ni mtetezi na utamsaidia
Yesu azidi kuwa nawe mamaangu, pia pastor Mungu azidi kukutumia
Mungu akubariki mtumishi una roho nzuri sana🙏
Du inaumiza xana mungu atusaidie kwa kweli mungu akupe maisha marefu mtumish
Kutoka KENYA....hakika mungu ni mkuu....Amina
Kutoka Kenya... Na Mungu apewe sifa.... Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Nimefurahi sana mtumishi wa Mungu kwa huo moyo wa huruma! Hivi ndivyo wahudumu wote wa injili tunatakiwa kuwa! Tuige mfano huu mzuri sana katika kuwahudumia watu kwa huruma na upendo
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nilitegemea kuona maji na mafuta , Lakin Nashukuru Mungu ni jina la Yesu tu limetumika safi sana 💪ila nimelia Kwa uchumgu sana wamama Mungu atusaidie
Bishop sumbe kwa kweli wewe unanifundisha huo ni upendo wa kimungu, hongera sana kwa hio huduma
😭😭😭😭😭😭huyu mama amenitia ujungu jamani namimi Nina shida yatumbu rinauma sana kwe baba uniombeye naamini nitapona🙏🙏🙏
Hakika hawa ndiyo watumishi wa kweli wa Mungu. Mungu wa mbinguni aendelee kumtumia katika jina la Yesu.
Nimelia nimelia😭😭😭 upendo wa yesu ulinitoa dhambini yesu yesu yesu ❤
Mbarikiwe mliojitoa kwa Ajili ya huyo Mzazi Mungu atatue shida zenu,nimelia kwa uchungu mwingi saana
Mungu.akubariki sana.Baba.sana.sana.na.waumini wako kweli mmefanya.jambo.jema sana.mtalipwa na.Mungu
Bwana yesu asifiwe
Ilakuna mda mnatukosea sana nasisi walio inje kama mimi nimechukua number kila nikipiga haipokelewi nikituma ujumbe haujibiwi
Tafazali nawahomba m’ we mnatupokelea sim zeta tunawaitaji watumishi wa mungu
Mungu aendelee kukubalikia pasit muzuli amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe namshukuru mwenyez mungu Kwa ajili ya mama huyu ,Mwenyez Mungu jidhihirishe kwake ,mpe hitaji la moyo wake
Hapo ni ngaramton mchungaji niombee niko mombasa pole sanadada yesu anaweza
Mchungaji
Mungu akubarik sana
Hakuna kinachokushinda ee mungu wa wana waisrael naamini namimi niko kati ya historia yangu 🙏🙏🙏
Mungu wangu Mungu wangu watoto wangu Mungu 🙌
Dada umejua kuniliza...Mungu asikupungukie maishani dada🙏🙏🙏
Mungu akubariki muchungaji from USA 🙏🙏🙏
Mungu awabariki sanaaaaaa wote waliomsaidia huyu mama Jmn
Tanzania iko na ummoja MUNGU AKUBARIKI sana bishop....kwa uwongozi mzuri...
Mungu ni mwema anakupeda na kukujali mtukuze yeye sikuzote za Maisha yako amen
Mungu Awabariki Sana watu wa mungu bishop pia wewe mungu Akutie nguvu Sana in the name of Jesus Amen 💯
Ubarikiwe sana sumbe kwa kumtumikia mungu natamani sana kufunguliwa mimi na mume wangu nashinda nimekaatu kazini siuz lakini wenzangu wanauza mimi hakuna
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Barikiwa Askofu sumbe..naitwa Selina Bumi kutoka Redio Okoa fm
Mimi anapenda pastor,mungu akubariki sana.watching from Kenya
Mungu nitetee na mimi nimechoka na mimi nipate maendeleo nipite salama mtumishi niombee❤
Asante mchuganji mungu azidi kukubarika ufuguwe wengi kwa jina la yesu kristo
Nakataa hiyo roho la farka kwa mimi na mke wangu jina La Yesu litawale kwa maisha yetu in Jesus name
Ee Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Fanya njia na familia yangu, mkono wako si mfupi hata usituguse
We we mam heeee mungu bwana wako ni wako mme wako must come in jesus name amen 50×wa from saudia Arabia.
Amen mungu nimwema
Kanisa Lina upendo Glory to God kujeni Kenya natamani kuja just say hi for church bt Niko mombasa Kenya kanisa la mungu neema kuu
Mungu akubariki Sana Baba na Mungu asimame katika Huduma yako pamoja na washirika wako
Mungu akutie nguvu kupitia hii maombi ya mutumishi mama MUNGU anakupenda
Wewe ndio bishop wa kweli mungu azidi kubariki kazi zako za kiroho amina
Naomba mtumishi uniombee mwaka huu nipate mama mtumishii
Ubarikiwe sana utukumbuke na sisi utuombeye tufunguliwe na kupona maladhi
Yooo Mungu musaidie huyu mama nakuomba emwenyezi Mungu😭😭😭😭🙏
mungu akurinde mchungaji usiache kuturinda barikiwa kwa jina la yesu
Uchungu mwingi😭 Mungu naomba umvushe mtumishi wako,asante kwa kumfungua!
Hakika mchungaji Elibariki sumbe Mungu Yuko ndani yake
Kwa yesu akuna linalomshinda kamwe, Amen Amen
Watoto wazuli sana, shetani ndiye adui mkubwa lakini Bwana yesu ni mshindi🙏🙏🙏 any Rwandan here 🇷🇼🇷🇼
Mungu awabariki askofu Mkuu na kanisa hakika nimemwona Mungu wa kweli
Djambo mutumishi wamungu naitwa fatuma nakaa uganda.naomba mungu siku yaleo nifunguliwe bamuone mutoto wangu kwenye Scan. Kwa jina la yesu christo Amen
Amen Amen Mtumishi wa Mungu
Nilitegemea kuona maji na mafuta Lakin Nashukuru Mungu ni jina la Yesu tu limetumika safi sana💪 barikiwa baba ,huyu mama amenifanya nilie kwa uchungu sana wamama tunashida sana kwenye ndoa zetu ila uchawi umeshindwa mama uko salama kwa Yesu usilie tena
Mungu akubali Sanaa mngu nitetee na familia yangu nikawe naamn
Yesu ni yeye yule jana leo na milele Mungu akutie nguvu dada usichoke kuomba
Wow kwa Mungu kila kitu yanawezekana🙏
Amen sana barikiwa Bishop
Mungu awabaliki kanisa mzima nimejikuta nalia mungu nifunguwe na mm na family yangu
Hakika Bishop una YESU
Kweli
Mungu akutie nguv dada siku zote za maish yako pole Sana kwa yaliyokukut binadam wana roh mbaya Sana endelea kumwomba mungu ipo sk mume wako atarud mlee watoto
Nakushukuru muchungaji kwa kazi unayofanya utalipwa n'a Mungu mimi Niko bukavu Congo.
Glory to God, huyu dada kiatu chake ni kama changu exact aki mungu have mercy on us 😭😭😭😭
Mm pia
Jmn huyu mama amekuwa kama dadaangu 😭😭😭😭😭mungu saidia
@@lilianeerica3318 c is
P
Tuko wengi tumezibeba familiar bila kupenda Mungu wetu atuhurumia sana!
MUNGU akubariki sana mchungaji machozi yamenitoka
Adonai I worship you , son of God you are so good , almighty FATHER hello be thy name 🙏,😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamn mungu atulinde San
Mungu akusaidie mchungaji fungua wengi kwa jina la yesu
Mungu utupiganie tu maana wanaume wanakwepa familia yao najikuta tu nalia mungu wangu usinyamaze juu ya hii familia Duuh inauma kwely
MUNGU AKUTUNZE MTUMISHI WA MUNGU KWA UNALO FANYA AMEN
Mungu ambeye mweza wa yote na ataweza yote kwa mama huyu
Baba Mungu akubariki sanaa kwa huo upendo wa kristo alokuwa kuwafungua watu na kuwathamini umetimiza maandiko YESU alivyosema,nalikuja na njaa hamkunilisha,nalikuja na kiu hamkunipa chakula,wewe umempa mama huyu mahitaji Mungu wa mbinguni akubariki na kukuinua kwa viwango vya juu sanaaaaaa😢nimeangalia clip hii nikasikia kububujika machozi yalinitoka hili ndo kanisa na wachungaji, ambalo Mungu anawahitaji kipindi hiki🙏🙏
Amen and Amen 🙏 🙌 be blessed 🙌
Amen na mungu amurejeshe mume wake katika jina la yesu
Tutangulie mungu mwaminifu pia mtunze mtumishi wako
Namu omba Mungu amuongoz mdg wangu apat mme
Nimeumia Yani nasikia uchungu 😭😭😭😭 Mungu akubarki mtumishi 🙏🙏
Usinibite Mungu wangu mimi unikumbuke 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, umenibariki sana Kwa msaada wa huyo mama, barikiwa
Mungu Akubariki muchungaji hata nami uniombee tu
Watumishi Mungu akubarik sana
Bwana apewe sifa,
Mungu aendelee kukutumia tu.
Mungu akupanguze machozi in Jesus Name
Eeehh Mungu tusaidiye 😢😢; Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Akirudi kwa ndoa yake poa mm nirudi kwa ndoa yangu in Jesus name
Amen 🙏 mungu akutunze nimelia sana
Inaumiza sana ndugu yangu
Asante Mtumishi wamungu Mwezi Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
She is a superwoman she made me cry 😭😢😩
jambo nabii wa mungu naomba msaada wamaombi nipate kujifunguwa salam bila tatiz yeyot
Mungu pigania hii familia amen
God bless you man of God.May God bless your ministry.may God help us to learn from you.i love this ministry.