MAAJABU: MTOTO MDOGO AOMBEA na KUPONYA WATU KWA MAJI, ALIKAA TUMBONI MWA MAMA YAKE MIEZI 36!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 авг 2021
  • MAAJABU: MTOTO MDOGO AOMBEA na KUPONYA WATU KWA MAJI, ALIKAA TUMBONI MWA MAMA YAKE MIEZI 36!
    Mtoto mdogo mwenye umri wa miaka 2 na nusu, Eunice Atieno, mkazi wa kijii cha BUKAMA, RYORA, Tanzania ameshangaza watu baada ya kuonesha maajabu ya kuponya watu kwa maombi na maji, tofauti kabisa na umri wake. Global TV imefika kijijini hapo kujionea na kuzungumza na wazazi wa mtoto huyo....fuatilia makala haya ya kusisimua....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 2 тыс.

  • @mkhondoj.feruzi2052
    @mkhondoj.feruzi2052 2 года назад +90

    Mtoto wa 11, alizaliwa baada ya miaka 3, alizaliwa tarehe 11, mwezi wa 11, 2018 (11, 11, 11) possibly kuna 11 nyingine ambazo hazikuwekwa records. Maajabu!

    • @sifahamuli4958
      @sifahamuli4958 2 года назад +9

      Bikira Maria hawezi ponya
      Naamini ni roho mtakatifu, na kuomba kwa jina la yesus
      Naamini roho wa Mungu ndiyo alimuinhiya, na ule mama mtoto anaesema ni Malaika wa Mungu, alakini apana bikira Maria

    • @sifahamuli4958
      @sifahamuli4958 2 года назад +2

      Apana imani ya catholiqeu

    • @sifahamuli4958
      @sifahamuli4958 2 года назад +1

      Wow

    • @sifahamuli4958
      @sifahamuli4958 2 года назад +4

      Mungu aendeleye kumuongezeya upako mupya

    • @mnegrowbs4349
      @mnegrowbs4349 2 года назад +5

      Ukitaka kupata 11 ingine utaipata kwenye mwaka wake wa kuzaliwa (2018) yaani 2+0+1+8=11. Nadhani umeshaipata. Kuna kitu hapa juu ya Huyo mtoto ambacho kinaendelea na hakitajulikana kwa kupitia mifumo ya kiimani (dini) ambayo inaonekana kama ndiyo iko juu yake. Ndiyo maana hata kanisa halijui ila linataka kuchunguza.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 года назад +28

    Mungu awezamtumia mtu yeyote na miujiza yake ni mikubwa..hatuna la kusema tumuachie Mungu, mtoto anasema tuombe na kutubu..TUOMBE NA KUTUBU NDIYO UJUMBE..TUOMBE NA TUTUBU.

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 2 года назад +2

      Afadhari ww umeongea vyamaana kuliko wanaowatukana eti njaa mbaya 🤲🤲

    • @davisnitu890
      @davisnitu890 2 года назад

      Umesahau Tufunge

  • @miriamwaithera3680
    @miriamwaithera3680 2 года назад +28

    What God can do no man can do what a wonderful miracle may God continue to protect you baby Angel ❤️❤️❤️❤️

  • @lillianochieng2751
    @lillianochieng2751 Год назад +5

    This Angel is Awesome,God:s servant,anointed,blessed.GLORY TO GOD.

  • @priscillakarande8324
    @priscillakarande8324 2 года назад +19

    Praise be to God for this gift,she is indeed a blessing from God,she is protected by the blood of our lord Jesus Christ, thank you mama Mary.

    • @christinemukete1942
      @christinemukete1942 Год назад +2

      God you chose this little girl to do what you want her to do, to heal pls Hod you will cover her with your precious blood and the parents and who help to work with her bless them and give her more wisdom to work has God has plan for her. I pray the blood of Jesus to cover her 24/7 in her ministry in Jesus name. Amen & Amen

    • @user-sp4jz1mz9d
      @user-sp4jz1mz9d Месяц назад

      🎉🎉🎉🎉

    • @shemcola7518
      @shemcola7518 Месяц назад

      😅

    • @shemcola7518
      @shemcola7518 Месяц назад

      ❤prayform

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand9473 2 года назад +69

    Hayo ndiomaombi kweli maana uyumtoto hajajua kutafuta umaarufu au kutafuta hela anatumiwa na Mungu kabisa. Mungu aliwatumia watu wazima sasa badae wanajichanganya nakutaka hela.

    • @shukhuranpetro5796
      @shukhuranpetro5796 2 года назад +1

      Amakweli wengi tutaangamia kwa mauzauza haya

    • @joyceogola8026
      @joyceogola8026 2 года назад

      Pp

    • @waytvtz2549
      @waytvtz2549 2 года назад +1

      Kwa hiyo shida yako ni hela tu au nn

    • @renildevenerand9473
      @renildevenerand9473 2 года назад

      @@waytvtz2549 amna sio shida yangu milimanisha wengi wanatudanganya kuwa walitumwa na Mungu nakuomba hela eti ndio waombee watu

    • @dayanapastor2322
      @dayanapastor2322 2 года назад +1

      Hakika

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 2 года назад +23

    Ahsante mama wa Yesu mama Maria kwa miujiza katika nchi yetu Tanzania na bara la Africa. Tunahitaji miujuza iki watu waweze kukuamini na kumfuata Mungu.
    Mungu mlinde mtoto na familia yake.

    • @selestinenafula3388
      @selestinenafula3388 2 года назад +2

      atukuzwe mungu mbinguni,maana ufalme wa mbinguni ni wao watoto

    • @theodoramasako5971
      @theodoramasako5971 2 года назад +1

      Glory to God,ahsante Mama wa Yesu Mama Maria kupitia mtoto huyu,umlinde na familia yake,kupitia kwake tupone.

    • @theresaelizabethelijah117
      @theresaelizabethelijah117 Год назад

      Amen

    • @JaneOkotsi
      @JaneOkotsi 25 дней назад

      Amen

    • @FaustinMwamba
      @FaustinMwamba 17 дней назад

      Aaaaanaye Linda mutu ni mungu sio maman Maria imama Maria ni kiumbe kya mungu

  • @sylvianyandie7586
    @sylvianyandie7586 2 года назад +19

    Blessed be God, Blessed be His Holy name, Blessed be Jesus Christ true God and true man, Blessed be the Holy Spirit, the Paracalet, Blessed be Our Mother, Virgin Mary.

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda4937 2 года назад +28

    This beautiful Angelic girl has to be protected. She's highly gifted.

    • @l.comics6348
      @l.comics6348 2 года назад +2

      She's protected by the blood of Jesus already

  • @mayunee0529
    @mayunee0529 2 года назад +18

    The all three names she has are exactly like mine... Eunice Atieno Otieno 😍 😍 such a blessed baby

    • @janekanini5331
      @janekanini5331 Год назад

      Hapa ni Kenya? Coz naskia io ascent ni kijaluo

  • @fredmaria5639
    @fredmaria5639 Год назад +10

    She's a blessing. God bless her and use her mightly for conversion of souls

  • @jaelblessings3361
    @jaelblessings3361 2 года назад +6

    Mungu wetu ni mwaminifu na anatumia vyombo vidhaifu kufanya kazi yake. Siku moja Mungu akinipa uwezo nitaenda kumuona huyu mtoto. Mungu akubariki na akulinde akupe Manisha marefu kwa jina la Yesu Kristo.

  • @peterleonard1441
    @peterleonard1441 2 года назад +5

    Ni jambo la kumshukuru Mungu Kwa neema yake ya kujidhihilisha Kwa kutenda kazi kwa njia ya mtoto kama huyu.

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 2 года назад +15

    Watu watamiminika huko kama maji hakikisheni barabara zinapitika magari yatakuja mengi sana

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 года назад +39

    Yaani kadili kunavyokucha mabadiliko yanakuwa mengi na muda ni mchache kwa kweli kila mtu na imani yake nikuomba mwisho mwema 🤲🏾

    • @annastacianjoki5021
      @annastacianjoki5021 2 года назад

      Amina

    • @jumaaljabri7646
      @jumaaljabri7646 2 года назад +2

      Atupe mwisho mwema

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 2 года назад +2

      Uongo mtupu huu dalili za kiama izo

    • @markmainaonundu6442
      @markmainaonundu6442 2 года назад

      @@zalhathasaid2060 chunguza vyema

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda NA unapotea dini yako ya uslaam

  • @chebsemmie8691
    @chebsemmie8691 6 дней назад +1

    She is a blessing from God period,How can I find to heal my mother tafadhali

  • @lincyluseno5964
    @lincyluseno5964 2 года назад +7

    Maajabu hayo lideni mtoto huyo vizuri na mungu awabariki sana🙏🙏🙏

  • @gasperkweka3761
    @gasperkweka3761 2 года назад +11

    Mungu ni mweza wa yote kwa kila amwaminie na kumuomba.

  • @wilderbonareri2113
    @wilderbonareri2113 2 года назад +45

    May this child be blessed to do the good work. Amen.

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni35 2 года назад +2

    Mr Issack Mungu akubariki kwa tendo hili ulilolifanya kumsaidia mtoto huyu. Mungu akuzidishie. Pia nawapongeza kituo hiki cha TV kufuatilia habari za kijana huyu na kutufahamisha. Wengi hutoa taarifa za tukio mwanzoni na baada ya hapo watu tunakuwa hatujui tena nini kinaendelea

  • @veroaroma2689
    @veroaroma2689 2 года назад +7

    Mary, Mother of perpetual Help pray for us, now and always. Amen.

  • @ezekiel2034
    @ezekiel2034 2 года назад +7

    Glory be to God , he's using this kid for the world have changed and the elders have denying the world of God , using it as the house of business may the lord forgive them

  • @ghatimakonge9383
    @ghatimakonge9383 2 года назад +15

    MUNGU MWEMA KWAKO AKULINDE MTOTO ILI AKAMILISHE ALILOANZISHA NDANI MWAKE...🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nancyojowi5380
    @nancyojowi5380 Год назад +2

    May Almighty lord continue protect this little girl she is a gift from our mother Mary , keep it up to help our people who is sick be bless little girl 🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @meriyeseb
    @meriyeseb 11 месяцев назад +2

    Mungu ameikumduka familia hiialeluya✝️✝️✝️🛐🛐🛐🥰🥰🥰🥰💪💪💪💪👍👍👍👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 года назад +12

    Asante Mungu kwa muujiza wako kupitia kwa mtoto huyu mdogo,kweli Mungu unamwinue yeyote umpendae

  • @emmymsukwa5576
    @emmymsukwa5576 2 года назад +17

    Mlete Muhimbili asaidie watoto wa Salatani. Mwanangu arifariki past 3 weeks but I feel the pain watoto wana pitia.

    • @demycratia2567
      @demycratia2567 2 года назад +1

      Wapelekee pale

    • @gladnesnghwasa2670
      @gladnesnghwasa2670 2 года назад

      Mungu akutie nguvu..fanyika balozi uwe sehemu ya utumishi..tafuta namba zao za cm ufanye mawasiliano na familia aweze kuja kufikia watoto wanaopitia watoto.Yesu anaweza

    • @wasilaahmad5459
      @wasilaahmad5459 2 года назад

      Umeongea point

    • @ukiasili352
      @ukiasili352 2 года назад

      Pole sana dear Mungu akutie nguvu

    • @emmymsukwa5576
      @emmymsukwa5576 2 года назад

      @@ukiasili352 asante dear

  • @MelisaAidan
    @MelisaAidan Месяц назад +1

    Ee Mwenyezi Mungu kupitia maombezi ya mtoto yunisi kwa uweza wa mama bikira Maria naomba Mungu atende miujiza yake juu ya familia yangu apate kujiziilisha kwa shida na changamoto ninazoendelea kuzipitia

  • @leaderboy-hw3bc
    @leaderboy-hw3bc 23 дня назад

    That's a pure chosen legio Maria child.our song in Latin are only for the chosen one, Deo gracias 🙏🙏🙏na maji ya Baraka ndiyo dawa yetu

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 2 года назад +13

    Uvivu wa kusoma neno na kutaka kumjua Mungu ndo utafanya watu wamsujudie shetani. Amkeni...!

    • @strongmummy580
      @strongmummy580 2 года назад +1

      Exactly akii watu kupotea kukoza Marifa

    • @chamwenyewecjembe7359
      @chamwenyewecjembe7359 2 года назад +1

      Ulijuaje ha ha haaa
      Alkaa tumbuni miaka mitatu .
      Mmmmmm

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Ahsant dada yangu ni shirki NA kukufuru NA kutoka katika dini yako ya uslaam

  • @lucymugo4589
    @lucymugo4589 2 года назад +52

    Jesus continue filling her with the Holy Spirit 🙏🙏🙏

  • @agnesndetei4404
    @agnesndetei4404 2 года назад +15

    This is divine healing. Keep up the good work.

    • @faze_narq6890
      @faze_narq6890 2 года назад +1

      That’s witchcraft sorry!! The devil masquerading as an angel of light!!! There’s nothing called Holy water in the Bible!! We have the precious blood 🩸 of Jesus Christ of Nazareth!!! By Jesus stripes we are healed!! Not by no plain old satanically inspired and cultic water !!! The Bible says that they overcame the devil by the blood of the lamb and by the word of their testimony!!! And you can’t worship Mary either that’s idolatry! There were many virgins in her day but God chose her just as a vessel to carry the holy babe! She had favor with God not because she didn’t have sins cause the word says all have sinned and have fallen short of God’s Glory! She need Jesus Christ to save her just like you and me do!! There is only one holy God, God the father son and Holy Ghost, God three in one holy trinity right? So where does Mary show up there? Where does Holy Pope show up there? Don’t gamble with your souls!!!

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 2 года назад +6

    Mother Mary pray for us

  • @kasuku5412
    @kasuku5412 2 года назад +7

    Hapo kwenye kukaa miaka mitatu tumboni inabidi utueze vizur cos hospital kuna monitoring ya wamama wajawazito nadhani wangeshakufanyia c/s

  • @amedeusaminiel192
    @amedeusaminiel192 2 года назад +26

    Mungu ampe maisha marefu na ya utakatifu huyu mtoto

    • @vidiliesonala1898
      @vidiliesonala1898 2 года назад

      How can I get in touch with her I really need her prayer

  • @irenewairimu5013
    @irenewairimu5013 2 года назад +2

    Maajabu ya mungu😍😍😍may The Name of the lord be glorified forever

  • @Lucy.nelson
    @Lucy.nelson 2 года назад +2

    Glory to God thankyou for this beautiful annoited angel asante Mungu🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @henryxavery1713
    @henryxavery1713 2 года назад +10

    Amina,
    Nakuja,Nishuhudie Maajabu ya Mungu Mkuu.Nimemuona ndiye...

    • @saidihalifa8479
      @saidihalifa8479 2 года назад +2

      Nataman kuja huko nitumie hayo maji jamani ahimidiwe mungu

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael2317 2 года назад +3

    God bless you..

  • @gathonigatika2552
    @gathonigatika2552 2 года назад +3

    This is awesome I love this

  • @ndindachristine3771
    @ndindachristine3771 2 года назад +9

    Mungu ni mkuu. May the little girl pray for the whole world, for an end of corona virus

  • @josephkalonga550
    @josephkalonga550 2 года назад +10

    TUNAOMBA NUMBER ZA SIMU YAKO .

  • @everlinekemunto267
    @everlinekemunto267 2 года назад +24

    Mungu ameona watu wakubwa wamefanya dhambi sana,ameamua kumia watoto

    • @winifridakasibu2900
      @winifridakasibu2900 2 года назад

      Mm sijaamini maana watu wanambinu nyingi za kutafuta ela ,ngoja tuone

  • @spokenwordseedbride753
    @spokenwordseedbride753 2 года назад +4

    It is so shocking that people cannot differentiate between idolatry n true worship of God.

  • @jonhstoneowegi9137
    @jonhstoneowegi9137 2 года назад +8

    God works in different ways!

  • @furahia2510
    @furahia2510 2 года назад +8

    Mungu akulinde mtoto uwasaidie watanzania wapate uponyaji na ulimwengu mzima ❤️❤️

  • @naomymose1866
    @naomymose1866 2 года назад +6

    Mungu amufungulie zaidi ili atufungue macho sisi zote kwa imani

  • @virginianjerimuiruri3989
    @virginianjerimuiruri3989 2 года назад +9

    Wooow... I love this..to God be the glory 🙏🙏🙏

  • @gekonejames7944
    @gekonejames7944 2 года назад +7

    Ameeen mtoto wangu Mungu mwingi wa mazuri na yakupendeza sana

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 2 года назад +5

    Wanadamu tujiweke tayari unyakuo umekaribia mwenye sikio naasikie kristo yu karibu kurudi 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @cesskemush8635
    @cesskemush8635 2 года назад +9

    I really need prayers from this little angel please

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 года назад +5

    Mwenyezi mungu endelea kumlinda mtoto huyu...mwongezee nguvu zaidi

  • @salomeogutu8490
    @salomeogutu8490 2 года назад +13

    Mungu ameikumbuka familia hii aleluya 🙏🙏🙏🙏

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 2 года назад +8

    Asante Yesu Kristo

  • @martinsadru220
    @martinsadru220 2 года назад +33

    Mtoto huyu katumwa na mungu. Acheni imani za kipumbavu! Nimeona watu husema mtoto wa shetani? Unawezaje kuamini shetani anaweza na usiamini mungu aweze? Yesu alisema mkiwazuia watu wasishangilie mawe yatashangilia hakika huyo mtoto ni jiwe lililo pata nguvu ya yesu.

    • @theohermana5220
      @theohermana5220 2 года назад +1

      Kwani watoto wa Fatima ilikuwaje? Watu walikuwa hawaamini......
      Watoto walitishiwa na kuwekwa gerezani .lakini walisimama imara na yale waliyokuwa wakiyasema maana neema za Mungu zilikuwa ndani yao.. Tusali na kuacha dhambi

    • @kamulikamuli530
      @kamulikamuli530 2 года назад +1

      Mama Maria anazidi kung'ara. Mtoto mwenyewe anasema mama yangu mzuri sana. Haleluya

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 2 года назад +1

      Tumesikia mengi mama maria akiwa tokea lusia fransisi na yasinta mala yesu aliongea kwa sauti na mitume leo hiikizazi ni kibishi sana

    • @witneskilinda5034
      @witneskilinda5034 2 года назад

      @@judithkatabaro3294 maria atawatokeaje watu!? make Biblia iko kimya kuhuxu maixha ya bikira maria! na wengi wanadai bikira maria alipalizwa mbingini lkn ukisoma maandiko matakatifu hayathibitishi madai hayo

    • @salomeogutu8490
      @salomeogutu8490 2 года назад

      Very true

  • @stephenmusyoka3938
    @stephenmusyoka3938 2 года назад +5

    All Glory to God, Almighty God bless this Little Angel 😇

  • @josephmaryodey105
    @josephmaryodey105 2 года назад +14

    May Almighty God who chooses this child continues to keep her and the family from all evil in Jesus name

    • @israelwilson1237
      @israelwilson1237 Год назад +1

      Jesus is lord 🙏

    • @francafattori8998
      @francafattori8998 Год назад

      Amen and Amen 🤲✝️🤲✝️💖🕊🌟❤️❤️❤️🌟🌟🌟🌟🌟😘😘😘🕊🕊

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 года назад +14

    Nime furai sana kwa Ajili ya huyu Malaika wa baba Mungu 🙏 ♥️

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro4405 2 года назад +18

    Amina Amina jina la bwana lihimidiwe mungu akutunze daima mtoto wetu

    • @dorothmtwale8184
      @dorothmtwale8184 2 года назад

      Acheni watoto waje kwangu ufalme Wa mbingu ni wao

    • @berrrylochieng2324
      @berrrylochieng2324 2 года назад

      Please naomba mwenyeji anipe muelekeo nataka kuja na ni ngapi tikiki kutoka Nairobi

    • @efrasiamkalawa9743
      @efrasiamkalawa9743 Год назад

      Mungu akulinde mtoto daima tunakupenda sanaaa baby girl

  • @ruvinatete9517
    @ruvinatete9517 2 года назад +2

    Thank you lord

  • @fredrickakwera207
    @fredrickakwera207 2 года назад +2

    Glory be to GOD,he has the reason why he sent little angel to bless people ningependa kukuja huko nami nibarikiwe tafadhali nikaunty gani

  • @gracemarandu2889
    @gracemarandu2889 2 года назад +3

    We thank God Almighty

  • @florencekusiima5200
    @florencekusiima5200 2 года назад +10

    She's a gift from God to us May Almighty father continue using her

    • @lucykombe5753
      @lucykombe5753 2 года назад +1

      but how does she do the sign of the cross, it looks different

    • @silasomondi7641
      @silasomondi7641 2 года назад

      Dunia ina maajabu

  • @dominickmakoko56
    @dominickmakoko56 2 года назад +4

    That is a gift from God amen🙏🙏🙏🙏

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 2 года назад +3

    This is a miracle from heaven. May she be protected properly.

  • @martinamadege3842
    @martinamadege3842 2 года назад +18

    Libarikiwe tumbo lililombeba mtoto huyo

    • @clememallya4257
      @clememallya4257 2 года назад +2

      🙏

    • @marywanjiku9890
      @marywanjiku9890 2 года назад

      @@clememallya4257 mungu Na azidi kumutumia aponye wengi.zaidi ya yote amuekee ulinzi ..

  • @ignatiuszippyatuma4552
    @ignatiuszippyatuma4552 2 года назад +16

    Our mother Mary is real,is our interceder . Tunakupenda mama Maria

  • @justinamkulu2011
    @justinamkulu2011 2 года назад +4

    Asante Mama wa Yesu, Asante Mungu wetu kwa kutupenda hivi hata ukayaruhusu haya! Amina!

  • @kendimutunga
    @kendimutunga 2 года назад +4

    Amazing miracle little angel

  • @francopalermo3674
    @francopalermo3674 2 года назад +10

    Mungu Ashukuriwe. Huu ni WEMA wa Mungu. Wazazi Mungu Awabariki. Amen.

  • @annkala7533
    @annkala7533 2 года назад +19

    Blessings upon the young child may she live to help many people who are sick. We thank God for empowering her. One day hopes to visit.

    • @euniceauma1266
      @euniceauma1266 Год назад

      Our mighty God is doing great wonders. Can be seen from the unknown tobecome known global wide.His name be glorified. Let the little girl live long to save lives of hopeless servants Amen.Amen.Amen.

  • @jollyali4937
    @jollyali4937 2 года назад +3

    Maajabu ya Mungu haya,,, Asante kwa Mungu kwa kutumia kizazi chetu.

  • @Akalithereat
    @Akalithereat 2 года назад +16

    Huyu Mtumishi wa Mungu Mwenye umri mdogo....aachwe aponye watu corona jameni... Mungu Apewe Sifa

    • @mamy8220
      @mamy8220 2 года назад

      😁😁😁😁🤣🤣🤣 mungu amutunze💪💕💕💕🙏🙏🙏🙏

  • @gestinabunganiekuya6300
    @gestinabunganiekuya6300 2 года назад +5

    Kama mama hujaenda kwa wagaga wa kishenzi kutafuta huyo mtoto, basi Mungu wa mbinguni ajidhihilishe katka hiyo huduma yake na kama sio kusudi la Mungu mwenyewe, hiyo huduma na ife katika jina la Yesu kristo aliye hai

    • @tabithanganga9240
      @tabithanganga9240 2 года назад

      Hakuna guvu za Giza utajaa jina la Jesu na kusema watu watumbu wacha kusagilia setani uwoni munguni setani Hana guvu

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 2 года назад +14

    Mungu zidi kumpa maono huyu mtoto

  • @gracegitau7986
    @gracegitau7986 2 года назад +1

    Gods servant may the lord 🙏 continue using her

  • @judithmosha739
    @judithmosha739 2 года назад +3

    May God bless you mtoto

  • @drgeraldcubwa481
    @drgeraldcubwa481 2 года назад +17

    Tusiwe wepesi kukufuru Mambo tusiyoyajua.Tumwache Mungu atatoa majibu mwenyewe

  • @lewissinkalatz.3914
    @lewissinkalatz.3914 2 года назад +4

    Baba mzazi pole sana kuna mambo matatu mhim uyafahamu mzazi na watazamaji pia.1.tendo la kukaa tumboni miaka3 siyo bwana. 2.Hugo MTU anaye mtokea siyo malaika Bali ni mzim wa uganga unao jionyesha kupitia mtoto, Huyo mtoto hana tatizo ila kuna mapepo humo,. 3.kuhusu uponyaji siyo kigezo Bali kigezo ni kuupima huo muujiza kama umetokana na Bwana au la,. 4.Mungu hana mipaka ya amtumie nani.,anatumia MTU yeyote,hivyo wazazi kwa wakati huu mnaweza kuwa mmenogewa na aina ya maisha mapya na ufumbuzi au utatuzi wa changamoto mlizokuwa nazo.,,msidanganyike Huyo nguvu siyo ya MUNGU.samahani lakini kwa kuvuruga ugali .

    • @user-fs6yd5rt1h
      @user-fs6yd5rt1h Месяц назад

      😢😢😢

    • @user-mj9tb3pp1q
      @user-mj9tb3pp1q 22 дня назад

      Kwa nini unahukumu? Tangu lini mwanga na giza vikashirikiana? Mungu tu ndiye anajua umuhimu wa mtoto.

  • @lindiwemnisi922
    @lindiwemnisi922 Год назад

    She is a blessing 🙌 I'm from South Africa 🇿🇦, will love to get prayers for my mother and my son 🙏

  • @jacintawmwakio5378
    @jacintawmwakio5378 2 года назад +3

    Glory to God.

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 2 года назад +15

    Mungu anaweza,🇴🇲

  • @neemarenaida6667
    @neemarenaida6667 2 года назад +9

    I am proud to be a Cathoric Christian ,oh my God thank you

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 2 года назад +2

    Thnk u baby gal for th wonderful healing 😘

  • @clementinaajaa3022
    @clementinaajaa3022 Год назад +1

    This is a wonderfully God^s blessing. May God continue to bless this family and protect them from this evil world

  • @carolynewamakobe759
    @carolynewamakobe759 2 года назад +3

    God has revealed his greatest power in his little angel be blessed daughter

  • @salamaumulisa6112
    @salamaumulisa6112 Год назад +6

    Mungu ana sili lake kwenye watu yake 🙏. Stay blessed baby girl and your family 🙏❤️

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai623 2 года назад +2

    Glory to God 🙏🙏🙏🙏

  • @magdalinengina4683
    @magdalinengina4683 2 года назад +5

    May lord 🙏🙏 protect yourself and your family forever and baby Eunice be protected by holy spirit of mother Mary.amen

  • @naomymose1866
    @naomymose1866 2 года назад +49

    We thanks our Almighty for the miracle baby girl, may the grace of God be upon her always

  • @deliahmayeku9975
    @deliahmayeku9975 2 года назад +3

    Mother Mary I Trust in you.

  • @everlineisaboke7975
    @everlineisaboke7975 2 года назад +7

    Wow thanks to God, that's a good gift may God continue blessings that girl.Please may we get the number of the parents from Kenya

  • @festinambona2860
    @festinambona2860 2 года назад +7

    Yesu anasema wengi watakuja kwa jina langu mwe binadamu wanateseka Sana jamani tusome neno

  • @virginiamaina8271
    @virginiamaina8271 2 года назад +4

    GLORY BE TO GOD MAY SHE BE A BLESSING TO MANY MORE GRACE APOSTLE EUNICE HALLELUJAH

  • @msemaukwelic4836
    @msemaukwelic4836 2 года назад +5

    Remember Mary appeared to the 3 children in Medjeguore and Guadaluope in france. Mary mother seems to be appearing to her.

  • @arusharuu2674
    @arusharuu2674 2 года назад

    Glory to God

  • @ramadhaniisihaka295
    @ramadhaniisihaka295 2 года назад +6

    Mungu ni mwema Mimi nimeshuhudia mtu kamapona miguu baada ya kutumia maji ya huyu mtoto alikuwa amepalalaizi katumia siku moja tu akaanza kutembea

  • @generosakinemo5490
    @generosakinemo5490 2 года назад +5

    Asante Yesu sifa kwako Yesu

  • @ndungekaloki1627
    @ndungekaloki1627 2 года назад +1

    She is vessel,God can use whatever pleases him,I pray the parents protect this child

  • @kagigomwalida8652
    @kagigomwalida8652 2 года назад +1

    Glory be to God