ANAYEDAIWA Kuwa MSUKULE AZUNGUMZA - "MAMA Hua ANAFUNGA MLANGO"
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- ANAYEDAIWA Kuwa MSUKULE AZUNGUMZA - "MAMA Hua ANAFUNGA MLANGO"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kiukweli ningekuwa na uwezo ningemjengea nyumba ya kujistili na mwanae ila namuombea kwa mwenyezi mungu atokee mwenye uwezo amjengee nyumba ya kumsitili inshaalla
Allah atakulipa kwa nia yako🤲🏻
Kwwkuwa huyu dada mtangazaji wnqhusika nahiyoidara InshaAllah tutajikongojq kwamchango 🤲🤲
Nimeumizwa na bibi
Yaani Bibi ameona afe na mwanae kuliko kumuacha atangetange
Ishallah 🙏
Hao wanaosema ni msukule wachukuliwe hatua Kali Sana, tatizo uswahili mwingi kazi kufuatilia maisha ya watu mwisho wa siku kuropoka vitu sivyo
Masikini huyu bibi ana wakati mgumu kweli . kwa nini wanawe hawamsaidii ? basi huyo aliyepo UK anashindwa kushirikiana na wenzake kwa kumsaidia mamaake huyu bibi si wakuishi nyumba za kupanga , jamani tunajisahau duniani ni pakupita tu . mtu utasaidia marafiki umuache mamaako ahangaike hivi ama kweli kuzaa si kupata , wewe unakula nakushiba hujui mamaako kala nini ? Mungu awarudishe nyoyo zao kabla ya mama kufa km sio hivyo watakuja kupata taabu ktk maisha yao .
@@ullujaffariyohani1186 ni kweli hata wenyeww wanaweza kusearch kwenye face book na mambo mengine . lakini documents zote anazo kwa nini wasende ubalozini ? wangemfanyia application tu huyu ubalozi wangemcontact babaake kwa interview . lakini kwa kumleta nchi km hizo ni jikoni huko hizo drugs ndiko zipikwako , huyu wamtafutiye mke tu apate mwenzake basi . kubwa wamtafute huyo baba amsaidiye tu
@@kiri5807 Hata mimi nimeumia sana aisee
@@saloomidd1084 Ndio maisha .
Huku Kenya Sheria ni tyte hao wenye walimsemea manenoz ya Bure huyu bibi wangeku kotini tayari
Iam from germany
Rohoyangu yaumia sana watanzania wacheni tabia mbaya,Mimi wazazi Wange wamefaliki so naona Huyu Bibi kama Mama Yangu,nitamsaidia😢😢🙏🏽🙏🏽
mungu atakuzidishia rizk
Mungu akupe wepesi kakangu❣️
Mungu akujalie umsaidie huyu Mama,mie Roho inaniuma uwezo tu Ni mdogo
Pole Kwa kufiwa na wazazi, na Mimi pia sina wazazi. Tushirikiane kumsaidia
Wow!safi sana
Nyanya alikuwa na bahati ya wazungu mashallah kisha ameishia maisha y tabu mskin watu wamsaidie
Pole mamaa munguuu akubarikiiii ...unapambana mno....kukaa na mgonjwa wai iviiii ni kaziiii......nani kama mamaaaa ya christian helaaaa ikufarijiiiii mamaaaa
Dah imeniuma mama anateseka namtoto mgonjwa watu wanaleta Iman potofu mungu amtie nguvu azidi kumlea mwanae
Mama anaumia uyuuu daah... Mamazetu Allah hawatunze,, mnapitia mengi
Kabisa
Amiin
Kabisa mama anajikaza u ila anaonekn anamaumivu sana moyoni
Aamiyn
Zahir njooo utoe msaada kwa uyu bibi jamaan zair uko wap?!!
Pole Sana Bibi watu anasema siyo kila changamoto inakuja kwa ubaya nyingine zinakuja kwa neema mshukuru mungu kwa kila Jambo. Kikubwa mungu akusaidie Robart apone
Kweli kabisa tumsaidie huyu bibi
Jl mwinuka online tv, pole mama munguanakuona,atakujalia
Hii family ukiachia mbali umaskini lakini pia kuna shida ya msongo wa mawazo ambao sijui tz tunatibuje,tuwaheshimu sana wazazi ,huyu mama ameniliza kwa hakika,
Ni kweli kabisa hii familia inafaa kusaidiwa hasa ki psychological kwa watoto then kuwasupport
Hata mimi😭😭😭
Sure😥
Pole sana mama yangu kama ulivosema Mungu atakulipia kikubwa ni subra tu
Washahili shikamoo! Nawajua wanaweza kukuzulia neno kubwa ushindwe kujua lilipotokea. Niliambiwaga nimeita watu mbwa mtaa mzima wakaandamana, wakaziba njia ya gari hadi leo. Nashukuru Mungu alinipa kusamehe nikaishi nao, na alienifungia njia akiumwa dreva anampeleka hospital usiku anamshusha kwake anaenda kupaki gari anarudi kwa miguu. Ni kuwasamehe tu, watakutia dhambi ufe na kinyongo. Wasameheni tu. Nilijaziwa watu km ninyi na vyombo vya habari nikatolewa. Mwananchi mkorofi. Sameheni ili muwe na amani! Sameheni msamehewe. Mungu aliyewapa jaribu hili atawavusha.
Pole mama Kuna tatizo linakuja ukaona ni tatizo lkn ikawa baraka Ukiwa mtu mzima huna nyumba ni shida
Mungu akafanye njia
Pasipo na njia
Bibi pole usichukie mshukuru mungu kwa kila jambo
Huenda masimango yao na kejelizikawa sababu ya wewe kupata msaada wa hayo yanayokusibu..sio jukumu letu kuhukumu ni jukumu la Allah
Nani kama mama jamani inshaLLAH ALLAH KAREEM Akujalie kheli daima mama
Amakweli uchungu wamwa ajuae mzazi muombeni bibi msamaha mumemkosea sana
Kwnza wamuombe mama msamaha My.ngu hujibu kwa haki Hujibu kwa Moto Mama pole Sana
Mungu nakuomba Kwa ajili ya huyu Mama.. please God mpatie sabato Kwa Maisha anayoyapitia..
Chuki!! Chuki!! Chuki!!
Walimwengu tupendane, ikiwa huna uhakika na jambo lolote, kaa tu kimya, huo ndo uungwana. Tupendane, tusaidiane, tuache kuchafuana.
Pole sana mama, Mungu akufariji na akutie nguvu za kusonga mbele na kuwalea wanao.
KWELI, DUNIA GUNIA.
Kweli mama MUNGU YUPO, ATAKULIPIA.
Huyu mama amepitia changamoto nyingi,me ushauri wangu apate sehemu nzuri ya kukaa ambayo itakuwa na choo safi ikiwezekana cha ndani.Pia asimfungie sana ndani,muda mwingine amtoe nje hii itamsaidia kurejea ktk hali yake.
Waweke namba zake tumchalngie chochote
Ni roho chafuuuuuuuuu tu
Upo sahihi! Bibi asaidiwe! Ili aweze kumtunza mwanae!. Amezeeka ameshindwa kumuacha mwanae! She is a real MAMA!. KAMA UNGEPENDA SUCH A KIND OF LOVE FROM YOUR MOM, TUFANYE CHOCHOTE KUMTUNGUZA MUNGU KWA ALICHO TUJAALIA,
Pole sana mama. Yote mema, njia za Mungu nyingi, yumkini ndio anajibu mapmbi yako kukupatia msaada
HUO NI WIVU PIA HUSUDA KWANN ANAMTT MZURI MASHAALLAH. MAMA UKIWA NA UMRI FULANI UNAWEZA UKAPATA CHANGAMOTO HADI KUPELEKEA KUUWAWA POLE SANA MAMA
Pole mama .
Akina mama Mungu awabariki kuna wengine huwa wanawakimbia watoto WA aina hii hasa akina baba lakini huyu mama ni jasiri
Pole sana bibi lakn huenda ikawa ndio njia ya kusaidiwa mwanao aponee kwahy mshukur mungu kwa yotee yaliyo tokea, na mungu akusaidiwe upate kusaidiwa na waja wemaa
Mungu fanya njia pasipo na njia stori inaumiza myoyo😭😭
Maakin jaman inaumaaa
Mama anaweza Lea watoto9 pk wakakuwa lkn watoto9 wanaweza shindwa kumlea Mama yao1 Salute Wamama wote Mungu awajalie Kila la kheer Dunia na ksho Akhera
kweli kabisaa
Mama hawezi kuua watoto wake lakini watoto wana nafasi kubwa ya kuua mama yao mungu awalinde wamama zetu nawapaenda wamama wote
Maskini Robert anaitwa msukule kweli!!kisa mweupe?mbona kataja jina lake na ubini wa BK.Ila akina Rweikiza tuungane tumsadie bibi.
Mama kazaa watoto wazuri!🙏🏽👌
Daah naumia sana iko siku na saa Mungu atawaondolea maumivu yenu
Nimeumia sana kama mzazi lakin huwezi jua kwa nini Mungu ameruhusu hili litokee lazima ipo sababu huyu mama atapata msaada maana ana maisha magumu sana
Ht me nakubal mung anamakusudio yake hakika watapat msaada Kwa uwezo wake
Wakat mwngne Mungu anahubiri kwa njia ya machozi🙄🙄
ukosawa eliza。kila kitu kinakheri yake Allah amjaalie wepes huyu mama ikiwa yuko sawa iman yake。ameen
Kweli kabsa
Jmn mkaka wa watu. Ni handsome,mungu amponye Robert
Bibi nimeifatilia interview zako Mwenyezi Mungu akunusuru na husuda za walimwengu jamanii hivi unaeza kumuweka mtoto wako wa kumzaa msukule nyie walimwengu Mungu anawaona 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huyu Mama amejieleza vizuri sana... Anashida sana wenzangu. Kama inawezekana, ajengewe nyumba aishi na wanawe. Pole sana Robert Mungu atakuponya na siku moja utaona Baba Mzazi. Barikiweni.
Msaidieni HUYU bibi aonane za ZAHIRI wa maximum tv,aweze kupata support.
Kweli kbs, ajengewe hata nyumba,
Yn sn uyu alionana na Zahir saaizi kasha pt msaada uyu
kwelii
Kbsa Zahir upo wap jmn
Kabisa
Pole sana bibi pole tena. Yani walimwengu wana mambo ya ajabu sana. Mungu akupe subira bibi yetu . Kwani wao hao ndio wanampenda mwanao kuliko wewe uliemzaaa !!!????
Ila robati mzuri handsome kweli, namuomba Mungu ampe mke mwema apate watoto wazuri kama yeye.
Umeshaambiwa anamatatizo ya akili ataoaje sasa
@@matukiosafaris6508 tuta mtibu tu shida mengi tu ....maana uyo jamaa ni bangi na madawa tu yalio mzofisha
@@matukiosafaris6508 huyo matatizo yaakili yamekuja baada ya kutumia madawa akitibiwa anapona sio kwamba nikichaa hajielewi Nimzima huyu kaka jaman akatibiwa anapona na familia atamiliki inshaallah
@@umukulthumu1419 well noted
Nakwel robat muzur kwel
Watanzania wanajuwa sana majungu . Hiyo kesi ningenunuwa mimi. Niwapereke mahakamani.
Ooh my God so beautiful kids na mama anajitahidi pole Mungu akupianie never Judge naskianga misukule haionekani
Labda uwe na majini kichwani ndo unayaona na yanatisha hatar kimuonekano uwez rudia mara mbili kumtazama
Alaf uwa wanakatwa ulimi
Life is a very loooooong story!.
Kitanda usicho kilalia, Allah akupe wepesi Bibi, NO ONE KAMA MAMA HAKIKA UMEONYESHA USHUJAA!.. UMEONYESHA THAMANI YA MWANAMKE, UMEWAFUTIA AIBU zao Wale wajinga wachache!.. You are my SUPER WOMAN 4real.. Nakuombea Dua Allah akufanyie muujiza!
Msukule ni nini jameni
Maisha haya maskin
Bibi MashaAllah MashaAllah watoto wote kazaa na wazung ooooh alikuwa wa moto enzo zake
Pengine hata huyo wa uingereza hana maisha mazuri..Mungu atunusuru na hizi tabia zetu za ujanani.Tuombe huruma ya Mungu
Jameni😢😢
Mungu amtetee lakin lifestyle ya ujanan zina majibu tofauti uzeeni...mkiambiwa mtulie hamsikii Sasa watoto SITA lakin baba watatu tofauti Bado anakwambia aliolewa familia mbaya ya kichawi..ila yeye simchawi azungumze ukwel japo habari za msukule ni Uongo that's life stresses!
True najua watanzania wengi uku ulaya wengine wanasema awajai Rundi TZ juu ya madawa
@@aceofspades3728 kwanza kabisa hayupo vzr saikolojia
Niliwahi kumuona huyu wa kike😢
Pole sana mamaangu Mwenyez Mungu atakulipa endelea kumpigania mwanao tunajua upo ktk kutaka kumsaidia ila jitaidi awe anatoka nnje apige japo stori na watu na shuguli ya kufanya japo genge tu auze pia dawa asimpe abadilishiwe au apumzike umuangalie kwanza kweli akuna Kama mama
Mungu ata kulipia mama. Iyo ni neema inakusogelea
Kijana mtanashati, Mungu Amsaidie ajue namna ya kutatua mambo katika jamii. Ujumbe potofu ndio ulioleta taharuki. Mbona kwingineko watu wanahudumiwa na majirani bila kuhukumiwa! Amuombe bibi msamaha, ameumia sana sana.
Dawa za ukichaa lazima ulale ni (sleeping drugs) za usingizi ili akili itulie so yuko right bi mkubwa
Ni wapuuzi tu mm mtt wamama angu mdogo anakula izo dawa akila a alla mnamsahau kbs
Kabisa hata mie ndg yang aliwah kuvuta na kulala alikua analala sana na anakua mpole hatar kwahy huy sio msukule jmn
Wabongo ni vichwa maji sana na wakurupukaji hawajui kutafakari jambo,mimi mwenyewe mdogo wangu anatumia hizo dawa muda mwingi analala ndani huwa anaamka muda wa kula tu.
Hiyo ni kweli kabisa
Upo sahihi
Daah nimeumia sn wallah shida ya Tz ukiwa mtumzima Bila nyumba mtihani Sana uwezi kueshimika 😢
Hii inshu angeishika zahiri wa maximum tv,tungeifurahia wote
Uneona eee
Umeona eeee
Huyu mama anaongea kwa hasera
Huyu mama anaongea kwa hasera sana ,,anaonekana anachuki sana za watu katika kifua,,amefanyiwa roho mbaya muda mrefu ndio mana anaongea kwa uchungu hivi
Binafsi Mr Robert nimewahi kumwona mara kadhaa mitaa ya kigamboni kama surviver wengine...Mungu amtie nguvu arudi hali yake ya kawaida....
Pole sana Mama Robert...walimwengu daima wamejawa na husda pasi hata na kujua lolote......
Mungu atakusaidia utavuka!!🤲🤲🤲
😭😭😭Maximum TV walione hili tumchangie huyu mama. Mama anaongea kwa uchungu sana.
Mpigie kaka zahir ili tumchangie kabisaa mie napenda sana zahir anavyojituma
Kweli kabisa
Maximum tv ndo wanatoa msada
Kuna wangonjwa wa kansa na wanaitaji msada kwa kaka zahir
Kwel kbsa
Mama shikamo mungu akupe weps kwa kila jambo lako
Allah barik in shaa Allah awapatie makazi na uponyaji awajalie maisha marefu ya furaha afya na amani pole sana mama mwenyezi Mungu atujaalie kidogo tupatacho tushirikiane na wenzetu
Pole sana mama nmeumia yaani nmeshindwa kuvumilia Mungu amsaidie sana.
Eeh Mungu nimeumia Sana kuna vitu vinaumiza moyo jaman dahh Ee Mungu msaidie huyu mama.
Kilichomfanya huyu Kaka awe chiz n..akijiangalia n mzungu,alafu anahisi angekuwa na baba take asingekuwa maskin ndo maana alitaman ku.mtafuta baba yake..pili mama Anahasira hataki kumwacha mtoto aende kwa babayake kwa sababu aliachwa ma mtoto mdogo!!! Mungu Amsaidie jaman Kijana huyu
Hao wanaomsema vibaya huyu mama Mungu anawaona hivi kuna mtu anayependa dume kama huyu asijitegemee tuacheni kufatiliana jamani tufanye kazi
Huyu bibi anastrees sana ndo maana anahasira sana, maisha aliyopitia inaelekea amenyanyaswa sana
Watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu.mama usihofu Mungu atakupigania
Well said, na hawa ignorant and primitive presenters ni tatizo kubwa
Msajil ndo sababu pumbavu ww puuh
NIMEJISIKIA VIBAYA MATATIZO YA AKILI YASIKIE TU KWA MTU
@@neemaelisha5104 mungu atusaidie kwakwel
@@lucyhusein4043 MAMA YANGU MZAZI ALIPATWA NA HIYO HALI HADI AMEFARIKI HAJITAMBUI ILIMTESA MIAKA MITATU ALITESEKA SANA NASISI WATOTO WAKE TULIKUWA TUNAJISIKIA VIBAYA MNO TUMEHANGAIKA NAYE WAPI MUNGU NDO ANAJUA BWANA ACHANA NA UGONJWA WA AKILI NI MBAYA SANA KM HAYAJAKUKUTA HUWEZI ELEWA
Pole mumy Mungu akusaidie amponye Robaty kifupi maisha kujiandaa ukifika uzee Huna kitu na unaendelea kupanga basi utaitwa mwanga😭😭😭
Mama asaidiwe kujenga hata chumba na ukumbi
Hii myaka kupanga siyo powa tufanye nabidi kujega maisha yambele
Pole bibi binadamu tunaroho mbaya sana mwenyezi Mungu akutunze bibi yangu
Kwa sheria zetu huwezi kumwambia mtu ana misukule tena mtoto wake aliesema aonyeshe (evidence)uthibitiho hawezi sheria ichukue mkondo wake
Watanzania jaman wana maneno sana......mtu ataekaje mtoto wake wa kumzaa msukule...mungu atakusaidia bib
Zahir anafnya kazi nzuri sana...anahoji na anasaidia
Kweri kabisa hawa wengine wanaishia kuhoji tu
kweli kabisa Zahiri yupo wapi jamani
Kweli kak zahir yuko vizur sana
Kazi nzuri
Namimi nataka kwenda sweeden na uraya niwazalie niwaachie .lazima nilipize staki ujinga mmi🙇🙇🙇🙇🙇
Pole sana familia naamini babaake na robati atapatikana, au jamaa zake in shaa Allah
Ulichokifanya kwa mwenzio kitakurudia uzee hauna mmoja ukizeeka nawe utaitwa mchawi
Mungu atakulipia mama upate asara ya mwanao na maumivu ya kuzingishiwa uchawi
Alafu bi mkubwa yupo vizuri kakumbuka mpaka chanjo anajali sana afya ee mungu msimamie Hutu mama aondokane na shida hizi
Huyu mama kakutana na changamoto flan hv ya maisha
@@mariamkikula1614 kweli kabisa
Inaskitisha sana ,binadamu hawaezi kukupa msaada wa rizki wao watakusaidia kwa fitna na umbea,,,,Bi mkubwa pole kwa yaliyo kukumba Mungu Yuko pamoja nawe.
Jaman ndg zangu mchangieni huyu bibi ajengewe japo vyumba viwili huyu bibi atateseka sana na mtoto wake ukiangalia ni mgonjwa
Unavyosema mchangieni wewe je? Sema tumchangir
😭😭😭mmh
Hongera sana dada Emelda kumuwajibisha huyo kijana aliyepeleka taarifa potofu. Alishindwa nini kumuuliza bibi habari za huyo mwanae ili ajue kinachoendelea?
Ajue = " Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi." Amemuongezea machungu anayopitia kulinda mwanae umri huo!
Bibi ana imani = Mungu Anajali.
Uyu mama amepitia magumu Sana. Lkn hajakata tamaa hakuna kitu kinauma kwa mzazi km kumuona mtoto wake anapitia magumu mama anaumia zaidi yaani walimwengu km wangejua mama ni nani ktk Dunia.
WALLAL WABILLAH HUYU MAMA KANITOA MACHOZI YAN😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Eh mwenyez mungu mpe huyu mama nguvu yarabbi ,serikali ya tz imsaidie basi ahengewe nyumba nzur akae na mwanae .....magufuli angekuwepo mweeeh sooo painful
Mama anatumia nyie
Pole Sana mama duniya haina mtemi mingu atakulipiya mama shukuru kwakila Jambo
Pole sana mmaangu yote nikutokuwa na iman watu wanaiman zakishilikina wabongo hebu achen kuzalilisha wazazi wawenzenu ivi msukule mnaujua au mmausikia sijapenda uheshim mzazi wamwenzenu kama mzazi wako 🤕🤕
Bib yuko sawa kabisa bora ujenge ukoooooo mbali maporin pasina msongamano kimyaa mwenyewe huko mashamba
hakuna Kama mama jaman mama anapata maumivu sana huyu
Jamani vuwanja 20/20
Mln.2 au 1.8. Nyumba ya mln 15 inawatosha na choo kizuri kinaparikana. Ioatikane TV HUYU MAMA ACHANGIWE AJENGEWE
Kulea mtoto wa hivi ni shida watu wasiongee tu bibi mungu amtetee
Kweli kabisa mama anajitoa sana
Tengenezeni choo acheni umbea si mngeuliza kabla ya kumdhslilisha
Hakika ndugu yangu ni Kazi Sana tena washukuru huyo ni mpole ss tunae WA hivi akikasirika kila jirani hapo hadi polisi huwa wanachukua kichapoo hadi sisi wenyewe nadhani angekuwa Kama wetu nadhani hao majirani wangeipata fleshi
Jamani mama wanamuonea tu majirani zake kisa wameona mzungu na wana wk 3 wamehamia.ndo maana wanaona Wivu.Tumsadieni ili apate makaazi bora,na wampeleke ubarozini Baba yake ni Mswiden amwijie.hayo yootee ni mawazo ya kukosa baba mzazi.Mama nae ndio hali hiyo,Lazima achanganyikiwe.Hata km aliwahi kutumia masigara machafu ni Mawazo.
Mwandishi fantastic msaada wa kupata anuani za bb wa wtoto hao mama etu shida ziishe wabaya waaibike
Wewe mtangazaji kuwa professional sometime unauliza swali moja lisilo natija kila mara msukule , msukule
Umeona eeeh tatizo la cause ya miezi 3
Yani mwenye huwa namshangaa huyu mtangazaji c mara moja interview zake nyingi ni zero kabisa
Yeah mtangazaji mjinga mjinga mama ni mzee ila anamzidi saana
Mtangazaj ni zero huyu
😂😂msukule😂😂
Africa hatuna upendo! Ndugu yetu ana mugonjuwa ndani ya nyumba na nyinyi munamupandishiya vimidomo tuu!
Nime notice kuna watu bado wana ubaguzi wa rangi, Mungu tuepushie roho mbaya
Pole sana mama Mola atasimama na ww na kukusaidia,inaskitisha sana .
Mungu atakulipia mama.Amina👏
Aamin Rabilaalamin
Waswahili watuwabaya sana wanapenda kufatilia mambo yawatu yakwao yanawashinda acheni ushambenga mnamzaririsha bb wwtu nyaunyie
Mungu atawaadhibu wote walomzushia huyu mama..... Nimeumia 😔
Pole mamangu achana nao mungu anajuwa wewe muachie mungu
Lkn mungu ni waajabu sana. Bibi anaweza kuona kama kaonewa lkn amesaidiwa pia,hapo lazima apatiwe cho chote cha kumsogeza siku maana inaonekana anamaisha magumu mno.
Mama kwanini usiombe misaada wa matibabu mwanao akatibiwa atapona huo, Mwamposa humsikii, kanisa la ufufuo na uzima je? umewahi kufika, Yesu ni mponyaji, pole sana mama.
Binadamu wabaya sanaa, msukule anakaa ivi, mwenyewe msafi afu anakili pia kiasi si kajibu vzr hapo, kusema tu vbya na hakuna msaada wwt
Kwakwel wamuombe M'mungu msamaha na huyu bibi wa watu...so sad
Duuuh pole sana mama mungu atakulipia haki yko ya kuzalilishwa
Mama à nawapenda watoto wake kweli heshima kwa mama juu siyo rahisi kbsa kujilelea mwanao mzima afu ukubwani aje aruke kichwa kwa kweli nihuzuni MUNGU akufanyie wepesi mama
ndio nashangaa wengine wanavyo sema eti mama anaficha siri hawaelewi huyu mama anapenda mtoto wake anaona atapatwa na matatizo akauawa au akazingiziwa kubaka akafungwa aki
Bibi pole sana mungu atakusimamia kwakweli ni jaribu tuu bibi litapita na mwanao. kwa uwezo wa mungu atapona. kingine mlioongea kuhusu huyo bibi jiangalieni kwanza angalieni na mioyo yenu na mjitafakari mpo sahihi kwa mienendo yenu yote???? mungu anawaona toka lini msukule ukachomwa sindano ya korona jamni!!!!!!!. mhh!!! pole bibi yangu mungu hajkutupa bado atasimama na wewe.
Maskin mama anaongea kwa uchungu mnooo, inaumaa jmn kwanini binadam wmafki hivi,dah nataman ningekua na uwezo nimjengee uyu Mama.
Dada nakujua vizuri Bora ungeendelea kuishi hukuhuku kigamboni
Pole mwanangu Mwenyezi yuko na wewe najua umeptia mazito pole 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamn watanzani mungu atujarie uyu Bibi anawatoto Kama wazungu wazuri wenyewe ety kaweka msukule mzungu jamani mungu anatuona.
Hawa global hawanaga ushu wao Ni kuhoji halafu wanaishia zao ovyo kabisa,Zahir wa maximum ndo hbr ya mjini anahoji na anatoa hitimisho
Umeongea hee maximum ndio inaweza kuchangisha tu
Sanaaaa
Hawa ni wambea wanafiki wanampeleleza mtyu kisha hawamsaidii kwa chochote
Kweri kabisa Hawa hawana lolote nikuhoji tu,mpaka wanachosha
Maximum ndio Kila kitu aki, am from Kenya but naipenda sana maximum
Mungu akuinue bibi pole sana watu mahodari kwa kuropoka
Don't judge people if you don't know their story, i feel sorry for that grany, tuned 🇰🇪
Watanzania
True that 😒
@@keepingupwithrosalee2294 aÀa
Binadamu hawana jema, dawa hizo nazifahamu na huwa zinatumika kwa watu wenye ulemavu wa akili na zinawachosha Sana, mm ndugu yangu anatumia pia dawa hizo, pole mama du mungu akupe moyo wa kuwasamehe bure.
Mshaambiwa sio msukule ila bado mnaandika kichwa cha habari kilekile ni mtihani nawaandishi nao mmh
Hahaaa😂😂😂
Waandishi wengine 🤐🤐🤐🤐🤯🤯🕵️🕵️
Jamani kukosa kazi nikiti kibaya Sana watu awako bize na shuhuli zao wamekalia majungu na uongo na umbea ndio kazi zao mama pole Sana wewe mwachie mungu ashulike nao