MAPYA! BABA WA MTOTO YUNIS ANAYEPONYA WATU ATEMA NYONGO, ALIA MWANAYE KUBANIWA - "TUMEANZA KUACHWA"
HTML-код
- Опубликовано: 11 ноя 2022
- MAPYA! BABA WA MTOTO YUNIS ANAYEPONYA WATU ATEMA NYONGO, ALIA MWANAYE KUBANIWA - "TUMEANZA KUACHWA"
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Amjambo MZEE Atiamo,
Nilitaka KU kwelezea kama, IYI neno ya sister Yunis, SIYO neno ya kidunia APANA. Na tusi endeleye kukumbuka wala kujiuliza ma swali namuna MINGI, LAKINI tumu atche Mama Mtakatifu ATU linde mu NAMNA lake KWANI IYI NI maneno Super Natural 🙏🙏🙏🛐🛐🛐
Mungu azidi kumtumia kwa huduma ya uponyaji kupitia Mama Yetu Bikira Maria naaamini
Baba yunus kanisa katoriki nimakini kuliko unavyo elewa linataka usibitisho wahali ya juu sana halifanyi kazi kwa mihemko. halitaki maswali yatokee hatasisi wakatoriki tutauliza yule ni nani dunia ina mambo mengi kuliko unavyo elewa tena ungeacha kulisema kanisa acha kabisa !!!!
Ndugu mtangazaji, naomba kama itawezekana, uongee na ndugu Julius, anitumie maji ambapo nilmitumia hela tarehe 22/09/2022, na hadi leo tarehe 1/11/2022,SIJAPATA hayo maji.Nikimpigia simpati na hafungui kwa whats app.Naomba ndugu unisaidie, kama itawezekana.Hannington Mwinga,Mombasa, Kenya.
Sasa hapo Mzee unaharibu, wewe kabisa unajua kanisa letu halikurupuki, hata askofu Wala kardinali hapaswi Hadi hapo kanisa litakapojirudhisha bila shaka yote kwamba hii ni nguvu ya Mungu. Hupaswi kulalamikia Muachie Mungu aliyeanzisha kazi hii ataikamilisha.
Eti bikira maria 😂😂😂😂😂😂😂😂 watu bhana
Sasa Jamani simumpeleke Muhimbili 😢
Baba Yunisi hamjaachawa,kanisa lina utsaratibu wake kuwa tu mvumilivu na mnyenyekevu .Muda utafika ambao Mungu amepanga kanisa kuamini
Ushetani wa viwango vya kuzimu
Yesu ndiye njia yw kweli na u
Sanamu la wazungu wamelichonga ibrahim kavunja masanam
Pls naomba number niko South Africa nataka Kuja
Baba Yunis endeleeni kufanya kazi ya Mungu
Kanisa Katoliki kina utaratibu wa matukio kama haya, miujiza sio mafundisho makuu ya Kanisa. Acha Kanisa ifanye kazi yake, usilazimishe,acha kulalamika.
Baba Eunice Wewe endelea kumsaidia mtoto afanye kaz ya Mungu alopangiwa achana na hao washaona kanisani kwao Sadaka zimepungua
Mungu aliye mujaalia yunis kuwa na nguvu ya kuponya yu hai kwa hiyo songa mbele usiwe na hofu yoyote
Just thank God for what God is doing through your child, If someone is not clean why should he go there?
Baba Julius, asante kwa Huduma Zako kwa Maelfu ya Watu. Ila, MGONJWA NDIYE HUMTAFUTA DAKTARI; na Yunis ni Chimbo cha Mungu ili kudhirisha Uwezo wa Mungu. Huyo mtoto Yunis ataishi miaka mingi sana. /Nabii hapati heshima nyumbani kwake..(Marko 6:4)!
Kanisa halifundishwi Cha kufanya kuwa mvumilivu muda ukifika kanisa litamchukua na kuwa sehemu ya mafundisho kwa watu na kanisa wewe kuwa mvumilivu,jifunze kwa Padre pio pamoja na kutengwa na kanisa aliendelea kuwa mvumilivu lakini mwisho kazi yake ilidhihirika,kanisa linapitia changamoto nyingi linaogopa kuingia katika nguvu za giza na kuziaminisha kwa waumini wake upesi hivyo kanisa lazima lijaribu kwanza mambo hayo!.
Wazee wa Kanisa, walimusilia uivu Yesu badae wakamuuwa.
Mmmh
Kabla ya yesu kurudi tutaona na kusikia mengi wengi watapotezwa Kwa miujiza
Wivu mwingi Sana tatizo Tanzania mungu nimuweza yote
Naombeni number nataka Kuja kigoma pls
Km haulalamiki mbona umeita waandishi?
Loliondo part 2😂😂
Hahahahaha umeonaeeeeh
@@amour5535 😂😂😂
Yule mtoto yunisi acha watu wamuamini kwa kua ametumwa na bkira maria.mama wa mkombozi.
Baba yunus naamini mama bikira maria aliyempa uwezo huo wa kumpa nguvu yunus kwa kuwasaidia waja wake naamini kila jambo linapangwa na mungu mungu atampa nguvu zote yunus na atasonga mbele tu
Haya mambo yanatokeaga tu Tanzania ,🤔 mbona sehemu nyingine havitokei ????
Kwasababu sehemu nyingine hakuna upako.
Ni kwa sababu hujui historia ya kanisa na yanayoendelea ndani ya kanisa.
kaka nikumbushie baba Eunice maji ya Italy please 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Soma neno
@@tajilimtoto5009 neno tunalisoma
Mungu ni kubwa yunis enda mbele ndani ya uduma Mungu atakulipa mtoto wetu
Wanatafuta fedha tu,mungu wanamna hiyo hayupo,muache kuaminisha watu uongo huo
Wewe Baba, mbona unarazimisha watu wakubali Mambo yako na Unisi na Bikila mariya?!..
Wewe Turiya Bikila Mariya akipiganie mwenyewe,.
Hizi zama za mwisho hakuna tena miujiza
MUNGU hutumia mwizi,muaji,na jambazi,mbakaji na akamwokoa na akawa nabi na akawa nabi,mfalme Daudi,mussa,na wengineo kwenye bibilia
Huyu mtoto sidhani kama anayeonana naye kama ni Bikira Maria labda ni malaika anyetumwa na Mungu
Kama ana mungu kwanini anasahau alichokisema jana na umsemee wewe? Acheni njaa kwa kumsingizia mungu
Yunis...
Nibari...na..maji
Basi,kama hawapendi kubalika hiyo goroto,usikue nashida,mwace kazi zamutoto itajisemeya, wakati utafika watakubali!!
Inamaana wanadharau
Mtaweza kuchuguza mungu?
Yawa! Baba Yunis mwachie Mungu.
Baba yunis endelea kumsaidia mtoto kwa huduma hii ya mungu, usihofu kwani kila kazi inachangamoto yake hivyo hiyo ni changamoto tu na yote yatapita, kuwa imani tu
WEWE BABA YUNISI ACHANA NAO HAO WANAWIVU JUU YA HUYO MTOTO.KAZANA KUSALI MUNGU ATAYAJIBU YOTE KWANI HAWAONI WATU WANAPONA? HAWAJAUMWA WATAKUJA TUU. KAZANA KUMWOMBEA HUYO MTOTO? NAMI NAMWOMBEA.
Kanisa lina utaratibu wake, fuatilia kuhusu watoto wa Fatima, fuatilia kuhusu Mt. Benadeta huko Lordes ufaransa. Kanisa lina utaratibu ambao lazima ichukue muda kujiridhisha kabla ya kuthibitisha.
Tatizo lipo Kwa paroko
Uongozi umekushitukia mzee unajaribu kuleta usanii wa loliondo kwa kummezesha maneno mtoto
Mapastor wengi wachawi wanagopa
HIII AJABU SANA MAMBO YA BIKILA MARIA HAYO ...YANI IMANI HIXI
Aende majospitalini
Mwenye Afya hamuitaji Daktari.Bali walio wagonjwa.Nenda ukawaambie waende kumuona mtoto wataponywa.Sio yeye aende.
@@saimonijonas4356 na sanam la maria lilikuja kuponesha hv sanamu la italy wamelichonga mnaliabudu limechongwa na mzungu akienda mahospitalini ndio vizuri watu watamuamini wengine baba zao wana fanya mambo ya uchawi kusingizia dini maria hawezi kumtokea mtu Mmungu ndio wa kuabudiwa
Utashangaa RC ndo watu wa bikira Maria wengine hawamuongelea sana
Bikra Maria tena 🤭🤭😰😰watu huangamia kwa kukosa maarifa huyo bikra Maria alivo mzaa yesu habari yake ikaisha jaman Mungu ni mmoja usiabudu miungu mingine Mungu wetu ni mwenye wivu
Hatumwabudu Ila tunamheshimu Kama Mama wa Mungu, lakin paia tunaamini kuwa hakuingiliwa kimwili na mwanaume yeyote wewe unasemaje sio Bikira? Lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu linawezekana tunajivunia kuwa na Mama Maria .
Bikra maria hbr yake iliisha
@@yusterngoye3282 Yusufu alikuwa nani????
@@ellyitete938 mm naomba namba iri ipate maji kwaza
Ndugu yangu uwe na Amani
Uwe na subira. Utii ni bora kuliko Sadaka. Kanisa katoliki linautaratibu wake. Kumbuka hata Maisha ya Watakatifu mf. MTAKATIFU Padre pio Mungu alimjalia Neema ya Madonda ya Yesu lakini Kanisa lilichukua mda kuchunguza. Khy kuwa na subira
Yesu ndiye njia yw kweli na u