MAPYA! BABA WA MTOTO YUNIS ANAYEPONYA WATU ATEMA NYONGO, ALIA MWANAYE KUBANIWA - "TUMEANZA KUACHWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 ноя 2022
  • MAPYA! BABA WA MTOTO YUNIS ANAYEPONYA WATU ATEMA NYONGO, ALIA MWANAYE KUBANIWA - "TUMEANZA KUACHWA"
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 82

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @patrickmutombovox7568
    @patrickmutombovox7568 Месяц назад

    Amjambo MZEE Atiamo,
    Nilitaka KU kwelezea kama, IYI neno ya sister Yunis, SIYO neno ya kidunia APANA. Na tusi endeleye kukumbuka wala kujiuliza ma swali namuna MINGI, LAKINI tumu atche Mama Mtakatifu ATU linde mu NAMNA lake KWANI IYI NI maneno Super Natural 🙏🙏🙏🛐🛐🛐

  • @user-no8gj7fw7k
    @user-no8gj7fw7k 2 месяца назад

    Mungu azidi kumtumia kwa huduma ya uponyaji kupitia Mama Yetu Bikira Maria naaamini

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Год назад +3

    Baba yunus kanisa katoriki nimakini kuliko unavyo elewa linataka usibitisho wahali ya juu sana halifanyi kazi kwa mihemko. halitaki maswali yatokee hatasisi wakatoriki tutauliza yule ni nani dunia ina mambo mengi kuliko unavyo elewa tena ungeacha kulisema kanisa acha kabisa !!!!

  • @hanningtonmwinga8651
    @hanningtonmwinga8651 Год назад

    Ndugu mtangazaji, naomba kama itawezekana, uongee na ndugu Julius, anitumie maji ambapo nilmitumia hela tarehe 22/09/2022, na hadi leo tarehe 1/11/2022,SIJAPATA hayo maji.Nikimpigia simpati na hafungui kwa whats app.Naomba ndugu unisaidie, kama itawezekana.Hannington Mwinga,Mombasa, Kenya.

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 Год назад +6

    Sasa hapo Mzee unaharibu, wewe kabisa unajua kanisa letu halikurupuki, hata askofu Wala kardinali hapaswi Hadi hapo kanisa litakapojirudhisha bila shaka yote kwamba hii ni nguvu ya Mungu. Hupaswi kulalamikia Muachie Mungu aliyeanzisha kazi hii ataikamilisha.

  • @shalomkubali4884
    @shalomkubali4884 Год назад +4

    Eti bikira maria 😂😂😂😂😂😂😂😂 watu bhana

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Год назад +3

    Sasa Jamani simumpeleke Muhimbili 😢

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 Год назад

    Baba Yunisi hamjaachawa,kanisa lina utsaratibu wake kuwa tu mvumilivu na mnyenyekevu .Muda utafika ambao Mungu amepanga kanisa kuamini

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад +4

    Ushetani wa viwango vya kuzimu

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe7898 Год назад

    Yesu ndiye njia yw kweli na u

  • @gh7naa
    @gh7naa Год назад +2

    Sanamu la wazungu wamelichonga ibrahim kavunja masanam

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 Год назад

    Pls naomba number niko South Africa nataka Kuja

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад

    Baba Yunis endeleeni kufanya kazi ya Mungu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад +2

    Kanisa Katoliki kina utaratibu wa matukio kama haya, miujiza sio mafundisho makuu ya Kanisa. Acha Kanisa ifanye kazi yake, usilazimishe,acha kulalamika.

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +1

    Baba Eunice Wewe endelea kumsaidia mtoto afanye kaz ya Mungu alopangiwa achana na hao washaona kanisani kwao Sadaka zimepungua

  • @fatumakwekwe3211
    @fatumakwekwe3211 Год назад +4

    Mungu aliye mujaalia yunis kuwa na nguvu ya kuponya yu hai kwa hiyo songa mbele usiwe na hofu yoyote

  • @maureenmasoni1276
    @maureenmasoni1276 Год назад

    Just thank God for what God is doing through your child, If someone is not clean why should he go there?

  • @fr.deolyakunga4984
    @fr.deolyakunga4984 Год назад

    Baba Julius, asante kwa Huduma Zako kwa Maelfu ya Watu. Ila, MGONJWA NDIYE HUMTAFUTA DAKTARI; na Yunis ni Chimbo cha Mungu ili kudhirisha Uwezo wa Mungu. Huyo mtoto Yunis ataishi miaka mingi sana. /Nabii hapati heshima nyumbani kwake..(Marko 6:4)!

  • @gwanda27
    @gwanda27 Год назад +2

    Kanisa halifundishwi Cha kufanya kuwa mvumilivu muda ukifika kanisa litamchukua na kuwa sehemu ya mafundisho kwa watu na kanisa wewe kuwa mvumilivu,jifunze kwa Padre pio pamoja na kutengwa na kanisa aliendelea kuwa mvumilivu lakini mwisho kazi yake ilidhihirika,kanisa linapitia changamoto nyingi linaogopa kuingia katika nguvu za giza na kuziaminisha kwa waumini wake upesi hivyo kanisa lazima lijaribu kwanza mambo hayo!.

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 Год назад

    Wazee wa Kanisa, walimusilia uivu Yesu badae wakamuuwa.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад +1

    Mmmh

  • @lameckmkama9770
    @lameckmkama9770 Год назад

    Kabla ya yesu kurudi tutaona na kusikia mengi wengi watapotezwa Kwa miujiza

  • @fransiscondyanabo9154
    @fransiscondyanabo9154 Год назад

    Wivu mwingi Sana tatizo Tanzania mungu nimuweza yote

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 Год назад

    Naombeni number nataka Kuja kigoma pls

  • @muuu9505
    @muuu9505 Год назад +1

    Km haulalamiki mbona umeita waandishi?

  • @salma0000
    @salma0000 Год назад +2

    Loliondo part 2😂😂

    • @amour5535
      @amour5535 Год назад

      Hahahahaha umeonaeeeeh

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      @@amour5535 😂😂😂

  • @JacintaNafula-ed1wl
    @JacintaNafula-ed1wl Месяц назад

    Yule mtoto yunisi acha watu wamuamini kwa kua ametumwa na bkira maria.mama wa mkombozi.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Baba yunus naamini mama bikira maria aliyempa uwezo huo wa kumpa nguvu yunus kwa kuwasaidia waja wake naamini kila jambo linapangwa na mungu mungu atampa nguvu zote yunus na atasonga mbele tu

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Год назад +3

    Haya mambo yanatokeaga tu Tanzania ,🤔 mbona sehemu nyingine havitokei ????

    • @johnkiimbila6799
      @johnkiimbila6799 Год назад

      Kwasababu sehemu nyingine hakuna upako.

    • @greenlife7189
      @greenlife7189 Год назад

      Ni kwa sababu hujui historia ya kanisa na yanayoendelea ndani ya kanisa.

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 Год назад +2

    kaka nikumbushie baba Eunice maji ya Italy please 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @kerencikuru6039
    @kerencikuru6039 Год назад +1

    Mungu ni kubwa yunis enda mbele ndani ya uduma Mungu atakulipa mtoto wetu

  • @mayowangimba9553
    @mayowangimba9553 Год назад

    Wanatafuta fedha tu,mungu wanamna hiyo hayupo,muache kuaminisha watu uongo huo

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 Год назад +3

    Wewe Baba, mbona unarazimisha watu wakubali Mambo yako na Unisi na Bikila mariya?!..
    Wewe Turiya Bikila Mariya akipiganie mwenyewe,.

  • @zinabal-dubae3551
    @zinabal-dubae3551 Год назад

    Hizi zama za mwisho hakuna tena miujiza

  • @jokepenis2016
    @jokepenis2016 Год назад

    MUNGU hutumia mwizi,muaji,na jambazi,mbakaji na akamwokoa na akawa nabi na akawa nabi,mfalme Daudi,mussa,na wengineo kwenye bibilia

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Год назад +1

    Huyu mtoto sidhani kama anayeonana naye kama ni Bikira Maria labda ni malaika anyetumwa na Mungu

  • @mayowangimba9553
    @mayowangimba9553 Год назад

    Kama ana mungu kwanini anasahau alichokisema jana na umsemee wewe? Acheni njaa kwa kumsingizia mungu

  • @LomayaniLukumayi
    @LomayaniLukumayi 14 дней назад

    Yunis...
    Nibari...na..maji

  • @viterinzinda453
    @viterinzinda453 Год назад

    Basi,kama hawapendi kubalika hiyo goroto,usikue nashida,mwace kazi zamutoto itajisemeya, wakati utafika watakubali!!

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 Год назад

    Inamaana wanadharau

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 Год назад

    Mtaweza kuchuguza mungu?

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Год назад

    Yawa! Baba Yunis mwachie Mungu.

  • @wachafujikoni9222
    @wachafujikoni9222 Год назад +1

    Baba yunis endelea kumsaidia mtoto kwa huduma hii ya mungu, usihofu kwani kila kazi inachangamoto yake hivyo hiyo ni changamoto tu na yote yatapita, kuwa imani tu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Год назад +2

    WEWE BABA YUNISI ACHANA NAO HAO WANAWIVU JUU YA HUYO MTOTO.KAZANA KUSALI MUNGU ATAYAJIBU YOTE KWANI HAWAONI WATU WANAPONA? HAWAJAUMWA WATAKUJA TUU. KAZANA KUMWOMBEA HUYO MTOTO? NAMI NAMWOMBEA.

    • @greenlife7189
      @greenlife7189 Год назад

      Kanisa lina utaratibu wake, fuatilia kuhusu watoto wa Fatima, fuatilia kuhusu Mt. Benadeta huko Lordes ufaransa. Kanisa lina utaratibu ambao lazima ichukue muda kujiridhisha kabla ya kuthibitisha.

  • @anthonywilliam6510
    @anthonywilliam6510 Год назад

    Tatizo lipo Kwa paroko

  • @foka255
    @foka255 Год назад

    Uongozi umekushitukia mzee unajaribu kuleta usanii wa loliondo kwa kummezesha maneno mtoto

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 Год назад

    Mapastor wengi wachawi wanagopa

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 Год назад

    HIII AJABU SANA MAMBO YA BIKILA MARIA HAYO ...YANI IMANI HIXI

  • @gh7naa
    @gh7naa Год назад +1

    Aende majospitalini

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Год назад +1

      Mwenye Afya hamuitaji Daktari.Bali walio wagonjwa.Nenda ukawaambie waende kumuona mtoto wataponywa.Sio yeye aende.

    • @gh7naa
      @gh7naa Год назад +1

      @@saimonijonas4356 na sanam la maria lilikuja kuponesha hv sanamu la italy wamelichonga mnaliabudu limechongwa na mzungu akienda mahospitalini ndio vizuri watu watamuamini wengine baba zao wana fanya mambo ya uchawi kusingizia dini maria hawezi kumtokea mtu Mmungu ndio wa kuabudiwa

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад

    Utashangaa RC ndo watu wa bikira Maria wengine hawamuongelea sana

  • @angelailunga7582
    @angelailunga7582 Год назад +7

    Bikra Maria tena 🤭🤭😰😰watu huangamia kwa kukosa maarifa huyo bikra Maria alivo mzaa yesu habari yake ikaisha jaman Mungu ni mmoja usiabudu miungu mingine Mungu wetu ni mwenye wivu

    • @yusterngoye3282
      @yusterngoye3282 Год назад +4

      Hatumwabudu Ila tunamheshimu Kama Mama wa Mungu, lakin paia tunaamini kuwa hakuingiliwa kimwili na mwanaume yeyote wewe unasemaje sio Bikira? Lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu linawezekana tunajivunia kuwa na Mama Maria .

    • @ellyitete938
      @ellyitete938 Год назад

      Bikra maria hbr yake iliisha

    • @happinessmwenda2773
      @happinessmwenda2773 Год назад

      @@yusterngoye3282 Yusufu alikuwa nani????

    • @aishaally3663
      @aishaally3663 Год назад

      @@ellyitete938 mm naomba namba iri ipate maji kwaza

    • @yohanaanton7437
      @yohanaanton7437 Год назад +1

      Ndugu yangu uwe na Amani
      Uwe na subira. Utii ni bora kuliko Sadaka. Kanisa katoliki linautaratibu wake. Kumbuka hata Maisha ya Watakatifu mf. MTAKATIFU Padre pio Mungu alimjalia Neema ya Madonda ya Yesu lakini Kanisa lilichukua mda kuchunguza. Khy kuwa na subira

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe7898 Год назад

    Yesu ndiye njia yw kweli na u