BMG TV: Maji ya mtoto Yunis Ogot yazua balaa, yanasa mchawi akiwa na fisi
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- BMG Online Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co...
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis ruclips.net/video/qmCohLLxlOA/видео.html namba iko kwenye hii video.
Mungu ambariki jaman
@@SalomeAgustino-iv6hp amen
Namba iko wap?
@@felisterandrew8741 karibu tena
Mungu amusidishie nguvu mtoto yunis na hata aniombee NAMI pia
much blessings sister Eunice nakupenda sana mungu wetu ni mwaminifu 🙏🙏🙏🙏🇪🇺
This child is really blessed by God . But let us here testimony from the people who have received there healing but not fro the child father .
Divine Protections to sista Yunis.. Amen.
Imani mtoto huyu ni wa mungu na mungu azidi kumkuzaa zaidi
Amen
Mungu, asante kwa huruma zako ambazo hazina kipimo na kwa kuwatibu wanao ambao wamelemewa na maradhi mengi. Kwa uongozi wa Mama yetu Maria tunaomba ,Yunis azidi kuponya ndugu zetu akifuata muongozo wa Bikra Maria. Asante Mama Bikra Maria Mama yetu unayetupenda! Endelea kutuombea sisi wenye dhambi!
I wish to meet the girl. God niunganishe na yy. 🙏🙏🙏
Barikiwa mtangazaji pia kwa kutufikizia Habari njema, God's wonders are real
Mungu akubariki sana mtoto unice
Amen
Mungu akulinde kabisa zidi kiwaponya wote walio na shida mbalimbali na utuombee watu wote tudumishe mapendo na pia utuombee Kwa mama yetu tuwezekuwa wachaji wa mungu
There is God in heaven,be blessed baby Eunice
Eunice, God's blessing Mungu akubariki sana.
Mungu azidi kutu Lindatumwamini yeye tu 🙏🙏
Mungu awezi kukuacha Kwa shida
Amen
Eunice God bless you
Dada yunis ubarikiwe Na omba kufunguliwa (delivrancy ) Na uponyaji wa Kaka yangu Alphonse sibo mungu amuponye kifafa
Mungu bariki huyu mtoto yunis naumuongezee maarifa yakuponya watu Amen
Amen
God bless you my dear sister
Amen niombee Kuna mwenye ananinyanganya peza eti stanitafutia kazi amekataa kunirudisia na hka kazi tafadhali nahitaji maombi mmi nko 🇰🇪
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis ruclips.net/video/qmCohLLxlOA/видео.html namba iko kwenye hii video.
uchawi mtupu
@@mosesmaina2227 Una haki ya kuamini unachoamini
@@BMGOnlineTV we we naamini una share apo huna lolote washirikina wakubwa
Wanataka kupiga pesa wanaita wateja haraka, kama ni kweli aachwe mtoto alone afanye dawa mbali na wao hasa kule arumeru
Mzee tunamshukuru muumba kwa yoote hayo, tunaomba matendo makuu hayo ya Mungu yarekodiwe tuonyeshwe na watoa ushuhuda waseme wenyewe.
All glory to God Almighty. Mary mother of God and our mother pray for us
Mungu akubaliki sana
I love you Jesus and Mary protect your little child Unice
Mungu amuongoze na Mimi niombee mama maria amuongoze
imani upendo matumaini uvumilivu katika maisha ya kristor amina
Amen
Tunashukuru mama Maria sister Yunis niombee na mtoto Dorine Mungu atuponye
Amen
God is so great
Mungu nimwema Amen naomba mawasiliano yakufika uko
Asnte Mungu kwa zawad hii ya mtoto YUNIS.
Amen
Indeed God is great,, Mungu azidi kumuuinua sana,, ni upande gani Tanzania nko kenya mm
Kijiji cha Bukama, Rorya
@@BMGOnlineTV Thanks nitafika huko, kutoka kenya hadi Tanzania ni pesa ngapi?
@@daughterofzion135 Utauliza hapo hapo Kenya
@@BMGOnlineTV ok poa
@Ed In Isibania ama Namanga kulingana na eneo ulilopo. Ila Isibania karibu zaidi
❤❤
Sijui niamini au nisiamini.ila Mimi naamini Yesu na mungu .sjui about bikira maria.maria alifariki according to holy bible .just ombeni guys shetani pia anaponya vizuri tu...hii story ni kama movie ya unholy .alitokewa na maria na akawa anaponya wengi ..mwisho wa Siku sio maria ni shetani .so sjui kwa kweli
Amen, fact
Mungu akubariki yunice akutie nguvu
Amen
Amen 🙏
Kila ninapockia haya ayatendayo huyu mtoto mwili unanisisimka sana. Ila, ushauri wangu, tafuteni shuhuda kutoka kwa wale wahusika waliopona. Mm ninaamini Ila wakishuhudia wenyewe, ni vizuri sana. NB: ni ushauri tu.
Mtoto ni chombo tu ,anayeponya ni Mungu .Shida ya watu wanamwangalia huyo mtoto kwamba ndiye anawaponya, ndo maana wengine wanadhubutu kukufuru wakimuita shetani.Hicho ni chombo tu .Je tunategemea kwamba B.Maria tutamwona kwa sura yake ? Sio rahisi labda tu kwa wale walioteuliwa.Hata mtoto huyo akitokewa naye kwenye kundi LA watu wengi , ni yule tu aliyeteuliwa .
Mimi pia nimewahi kutokewa na B.maria nilipo kuwa mtoto ila kumbukumbu zangu ni sanamu yake tu nilipo waambia wakubwa nilipelekwa hospital ilikuwa ni homa
Akina peter wanaambiwa Yesu amefufuka wanasema lazima tumuone
Ni uongo mtupu
Uongo gan sasa@@alialamoudi9729
I pray for Eunice
Na walio mbali hawezi ombea mtoto yunis❤❤❤
Nampenda huyu mtoto jamani, Mungu akubariki mtoto mzuri
Amen
Anapatikana wapi mkowa gani
Dar... Au sehem gani
Mungu ndio kila kitu
Mungu alinde familliya yote na bikira Maria Awa sayidiye kwa uponiadi
I thank you God, for ur Grace and Mercy on us. Praise the Lord.
Mungu atukuzwe
Ave Maria Amen
Niko Saudi Arabia na Mimi ni mkenya nahitaji kubarikiwa na sister Eunice
Tumshukuru Mungu asante tutapataje hayo maji mikoani Asante Mungu
Anapatikana wap njami
Mungu amusayitie uyu mutoto ahanze
Yunis!Bwana asifiwe,ninaomba uponyaji na ukombozi .Ameen.
Mungu n mwema kila wakat maisha marefu baby unice🙏🙏 naamin siku moja nitamfikia tukoka Kenya ishalah 🙏
Mama maria mama wa mkombozi wetu yesu krsto naomba msaidie mama yangu Capone apate kuona tena maana ni Kippur zaidi ya miaka kumi ss
Tatizo watu wanapenda kupinga kila kitu. Yesu mwenyewe alipingwa na watu wengi sana. Hata yanayotokea leo ya kupinga mambo ya imani ni mwendelezo tu wa yale yaliyowahi kutokea kipindi cha nyuma.
Blessed
Duh, huu nao ni ubunifu. Bwana tupe roho ya kukutafuta Kila siku make mazingaombwe ni mengi mnooo. Neno linasema asomaye neno na afahamu.
Tunashukuru Ee Mama yetu Bikira Maria kwa kutuonekania,watanzania tunajivunia kuwa na mtoto Eunice!!
Yunis naomba uniombee uwa nikiingia kusali uwa naumia sana kama vile naunguzwa na moto nisaidie
Pole, Mungu akuponye
God bless you how can I get the water? Mnawez kuombea mtu kama Yuko mbali
Blessed
Ee mama yetu maria twaomba Sana ee mm usituache ngizani kwa mwanao tuombee
Msiamini kila miujiza jaribuni hizo roho.miujiza ya Yesu hazichanganywi na chochote.
Yaani eti Maria anatenda miujiza alafu eti sanamu lazima iwepo yaani Hapa ni Roho za malkia wa Pwani au malkia wa kuzimu ndio yupo ndani ya huyu mtoto,,, Ndugu zangu hata shetani naye hutenda hiyo miujiza na nyie mnaosema mnamshukuru Mungu Kuna siku Mungu atawaambia sikujui sikujui,,, Mungu hawezi tenda miujiza Mara na maji Mara bikira Maria,,, how????
Kabisa
Mungu anipe uzime na siku moja nimfikie huyu mtoto
Amina
@@BMGOnlineTV naomba mawasiliano ya mzee ogot kama anaweza kunitumia maji ninashida
Mungu azidi kuoneka
Jamani tunaomba na sisi wa mbali tupate huduma ili tupone uwezo wa kuja huko ni mdogo hali zetu za chini sana
Amen
Hail Mary full of grace the Lord is with you blessed are you among women and blessed is the fruit of your womb Jesus holly Mary Mother of God pray for us sinners now and at the hour death Amen 🙏
Amen yarabbi
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kukufuru
mungu wa mbinguni adhiakiwi. Watu wanapenda, jia ya mikato kutafuta msada, amelaniwa anaye tengeya mwanadamu na moyoni mwake amemuacha bwana yeremia 17:5-8
Eunice pray for me 😭😭😭🙏
Baba yunisi naomba namba za sim zauko nije na mm niudumiwe na yunisi ninamatatizo mengi sana,
Mama Yunis +255693268319
Très chère bien aimée unise pardon essais d adresse mes prières à la vierge Marie quel intercede pour devant le seigneur Jésus . Que le seigneur me localisé et visité et restore moi agir dans ma vie seigneur mon dieu exaucé mes surpplication entend mon cris vers toi seigneur Jésus Christ amen amen amen
Mungu awahurumie sana maana mmepotea jameni
Amen
Anapatikana wap
Bukama Rorya Tanzania
Mtakatifu yunis uniombee
🙏
Mmh! 😳
Naomba ya simu nigan
Msiamini kila roho , zichunguzeni na mzijaribu kama zinatoka kwangu, asema BWANA WA MAJESHI
Amina
pray for me.
Tumboni,miaka,3
ndiyo
Nitapataje mahali mtoto mponyaji unice
Unaulizia nyumbani kwao?
Jesus Christ our Lord God said give them these instructions and this teachings don't let anyone look down on because you are young, but be an example for the believers in your speech, your conduct, your love and purity
Mungu anaweza yote
Kwann ufafanue mzazi na asifafanue wewe je huyo mtoto ndio anatengeneza mawe na chumv embu tumwache mungu afanye Kaz yake mtoto huyo ndio inatakiwa aongee na kama alikuja malaika na alikuwa haongei je alimuitaje baba njoo tusali wakat mtoto mdogo
Fika nyumbani umuulize mwenyewe
@@BMGOnlineTV hasante kwa jibu hilo
Wazushi unataka kiki
@@samxx411 Hakuna aliyekamilika chini ya jua, kikubwa ni mtu mwenyewe kufuata anachokiamini na kuachana na asichokiamini
Wacheni watoto wadogo waje kwangu
Sure
jmn naomba mawasiliano na huyo mtt
+255693268319
Kabisa letu lasemaje kuhusu hay wamemkubali mtoto au
Linachunguza bado
Remember wat Jesus told people about children
Jambo naitaji namba.
Ya nani?
How can I get her contact
May God continue to used the Eunice to touch our hearts. Is it possible to translate these stories. We need to hear the message yet we can't speak Swahili. Thanks.
This is a little girl, named Sr. Yunis from Rorya Tanzania. The Virgin Mary appeared to her and gave the ability to pray for water that healing.
Tunaomba namba za kuwapata huko tunahitaji huduma
@@BMGOnlineTV tunaomba namba plz ile inayoishia 97 haipatikani
Naomba kupata mwelekeo ili niweze kufika mliko,nko Kenya naezatulia njia gani
Pitia Isibania-Sirari hadi Tarime stendi, ulizia magari ya kwenda kwa Yunis
Shukurani
Mtumishi wamng naombauponyaj mm namtoto wang .kain naiman.ntafunguliwa amee
No ya wazazi wake ndio tuweze kudika huko
Mama Yunis +255693268319
Naitwa generoza vicent mhoza namuomba unince aniombee nipone mattinzo yangu
nitumie namba yasimu
Iko Mtandaoni, anaitaja mwenyewe
Kweli watu wanaliwa kijanja utapeli huu hauna utofauti wa babu wa loriondo shetani amepewa utukufu hapa
Mimi ni mkenya nimekua nikifuatilia hii habari ya mtoto yunis sababu ilinipendeza niko na swali kwamba Hii maji niya uponyaji pekee ama pia na mashida zingine??
Tumia kulingana na unavyoamini
Wakora waongo njia ya kutafuta pesa
Yes sikiliza na fuata Imani yako
Nani kawaloga enyi wenye imani potofu?
Imeandikwa usihukumu
Natoka mkoani nikifika mwanza niulize wapi
Maajabu ya mlemavu
Nielezeeni directions pia mmi niende
Sasa Direction kutokea wapi?
Gweth moa kuom nyasaye manie polo
Pamoja sana
Chumvi ya mawe ndio ngani?
Nitumie namba
Ya nani?
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam
Jaman kumbukeni shetani aliachiwa nguvu na mnaambiwa msifungwe nira na wasio aminitafuteni ufalme was mungu nafasi ingalipo yalinenwa manabii was uongo watatokea s k u za mwixho na watapewa uwezo na nguvu ta kuponya watu waangamia kwa kukosa maarifa jiulizeni babu wa loliondo Yuko wapi !?? At amxhtuki jamani.