BMG TV: Maji ya mtoto Yunis Ogot yazua balaa, yanasa mchawi akiwa na fisi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • BMG Online Media- Pamoja Daima!
    Tovuti www.bmgblog.co...
    Facebook / bmghabari
    Twitter / bmghabari
    Instagram / bmghabari
    #BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

Комментарии • 281

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV  2 года назад +6

    Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis ruclips.net/video/qmCohLLxlOA/видео.html namba iko kwenye hii video.

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 2 года назад +7

    much blessings sister Eunice nakupenda sana mungu wetu ni mwaminifu 🙏🙏🙏🙏🇪🇺

  • @annk1793
    @annk1793 2 года назад +2

    This child is really blessed by God . But let us here testimony from the people who have received there healing but not fro the child father .

  • @juliemetanoia1650
    @juliemetanoia1650 2 года назад +4

    Divine Protections to sista Yunis.. Amen.

  • @GlorySeverin-cd3oo
    @GlorySeverin-cd3oo 5 месяцев назад +2

    Imani mtoto huyu ni wa mungu na mungu azidi kumkuzaa zaidi

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 Год назад +2

    Mungu, asante kwa huruma zako ambazo hazina kipimo na kwa kuwatibu wanao ambao wamelemewa na maradhi mengi. Kwa uongozi wa Mama yetu Maria tunaomba ,Yunis azidi kuponya ndugu zetu akifuata muongozo wa Bikra Maria. Asante Mama Bikra Maria Mama yetu unayetupenda! Endelea kutuombea sisi wenye dhambi!

  • @clerekitisha6100
    @clerekitisha6100 2 года назад +3

    I wish to meet the girl. God niunganishe na yy. 🙏🙏🙏

  • @naomymose1866
    @naomymose1866 2 года назад +2

    Barikiwa mtangazaji pia kwa kutufikizia Habari njema, God's wonders are real

  • @user-jf3lb2lv7t
    @user-jf3lb2lv7t 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana mtoto unice

  • @kamwashabu8424
    @kamwashabu8424 Год назад +1

    Mungu akulinde kabisa zidi kiwaponya wote walio na shida mbalimbali na utuombee watu wote tudumishe mapendo na pia utuombee Kwa mama yetu tuwezekuwa wachaji wa mungu

  • @mellohflorence1473
    @mellohflorence1473 2 года назад +3

    There is God in heaven,be blessed baby Eunice

  • @sellesaadhiambo6855
    @sellesaadhiambo6855 2 года назад +1

    Eunice, God's blessing Mungu akubariki sana.

  • @yacintaopiyo3659
    @yacintaopiyo3659 Год назад +2

    Mungu azidi kutu Lindatumwamini yeye tu 🙏🙏

  • @user-sq3yw1vv1b
    @user-sq3yw1vv1b 6 месяцев назад +2

    Mungu awezi kukuacha Kwa shida

  • @julianakukia204
    @julianakukia204 2 года назад +3

    Eunice God bless you

  • @masimbiiyikirenga2894
    @masimbiiyikirenga2894 2 года назад +1

    Dada yunis ubarikiwe Na omba kufunguliwa (delivrancy ) Na uponyaji wa Kaka yangu Alphonse sibo mungu amuponye kifafa

  • @winnyndukugoodworkbro5507
    @winnyndukugoodworkbro5507 2 года назад +1

    Mungu bariki huyu mtoto yunis naumuongezee maarifa yakuponya watu Amen

  • @voietmercy3221
    @voietmercy3221 2 года назад +2

    God bless you my dear sister

  • @rindkin1856
    @rindkin1856 2 года назад +2

    Amen niombee Kuna mwenye ananinyanganya peza eti stanitafutia kazi amekataa kunirudisia na hka kazi tafadhali nahitaji maombi mmi nko 🇰🇪

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +1

      Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis ruclips.net/video/qmCohLLxlOA/видео.html namba iko kwenye hii video.

    • @mosesmaina2227
      @mosesmaina2227 2 года назад +1

      uchawi mtupu

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      @@mosesmaina2227 Una haki ya kuamini unachoamini

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад +1

      @@BMGOnlineTV we we naamini una share apo huna lolote washirikina wakubwa

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад +1

      Wanataka kupiga pesa wanaita wateja haraka, kama ni kweli aachwe mtoto alone afanye dawa mbali na wao hasa kule arumeru

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 2 года назад +3

    Mzee tunamshukuru muumba kwa yoote hayo, tunaomba matendo makuu hayo ya Mungu yarekodiwe tuonyeshwe na watoa ushuhuda waseme wenyewe.

  • @maryanmukene9293
    @maryanmukene9293 2 года назад +1

    All glory to God Almighty. Mary mother of God and our mother pray for us

  • @sautimoja8832
    @sautimoja8832 Год назад +1

    Mungu akubaliki sana

  • @lekeemmalekeanyi3233
    @lekeemmalekeanyi3233 2 года назад +1

    I love you Jesus and Mary protect your little child Unice

    • @meryimanuel1263
      @meryimanuel1263 2 года назад

      Mungu amuongoze na Mimi niombee mama maria amuongoze

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Год назад +1

    imani upendo matumaini uvumilivu katika maisha ya kristor amina

  • @hellenanyona
    @hellenanyona Год назад +1

    Tunashukuru mama Maria sister Yunis niombee na mtoto Dorine Mungu atuponye

  • @ezatironald1593
    @ezatironald1593 2 года назад +1

    God is so great

  • @michaelalex8523
    @michaelalex8523 2 года назад

    Mungu nimwema Amen naomba mawasiliano yakufika uko

  • @adelinakajuna3558
    @adelinakajuna3558 2 года назад +1

    Asnte Mungu kwa zawad hii ya mtoto YUNIS.

  • @everlyneinganji6649
    @everlyneinganji6649 Год назад +1

    Amen

  • @daughterofzion135
    @daughterofzion135 2 года назад +2

    Indeed God is great,, Mungu azidi kumuuinua sana,, ni upande gani Tanzania nko kenya mm

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +1

      Kijiji cha Bukama, Rorya

    • @daughterofzion135
      @daughterofzion135 2 года назад

      @@BMGOnlineTV Thanks nitafika huko, kutoka kenya hadi Tanzania ni pesa ngapi?

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +1

      @@daughterofzion135 Utauliza hapo hapo Kenya

    • @daughterofzion135
      @daughterofzion135 2 года назад

      @@BMGOnlineTV ok poa

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      @Ed In Isibania ama Namanga kulingana na eneo ulilopo. Ila Isibania karibu zaidi

  • @peje-gm1lo
    @peje-gm1lo 6 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @gmeliyo4068
    @gmeliyo4068 2 года назад +2

    Sijui niamini au nisiamini.ila Mimi naamini Yesu na mungu .sjui about bikira maria.maria alifariki according to holy bible .just ombeni guys shetani pia anaponya vizuri tu...hii story ni kama movie ya unholy .alitokewa na maria na akawa anaponya wengi ..mwisho wa Siku sio maria ni shetani .so sjui kwa kweli

  • @FaithBrown-ib4tc
    @FaithBrown-ib4tc 5 месяцев назад +1

    Mungu akubariki yunice akutie nguvu

  • @thedon8230
    @thedon8230 2 года назад +1

    Amen 🙏

  • @zakariakapongo5202
    @zakariakapongo5202 2 года назад +7

    Kila ninapockia haya ayatendayo huyu mtoto mwili unanisisimka sana. Ila, ushauri wangu, tafuteni shuhuda kutoka kwa wale wahusika waliopona. Mm ninaamini Ila wakishuhudia wenyewe, ni vizuri sana. NB: ni ushauri tu.

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 года назад +2

      Mtoto ni chombo tu ,anayeponya ni Mungu .Shida ya watu wanamwangalia huyo mtoto kwamba ndiye anawaponya, ndo maana wengine wanadhubutu kukufuru wakimuita shetani.Hicho ni chombo tu .Je tunategemea kwamba B.Maria tutamwona kwa sura yake ? Sio rahisi labda tu kwa wale walioteuliwa.Hata mtoto huyo akitokewa naye kwenye kundi LA watu wengi , ni yule tu aliyeteuliwa .

    • @nameno8608
      @nameno8608 2 года назад +1

      Mimi pia nimewahi kutokewa na B.maria nilipo kuwa mtoto ila kumbukumbu zangu ni sanamu yake tu nilipo waambia wakubwa nilipelekwa hospital ilikuwa ni homa

    • @verahmachuma4024
      @verahmachuma4024 2 года назад

      Akina peter wanaambiwa Yesu amefufuka wanasema lazima tumuone

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад

      Ni uongo mtupu

    • @DastanAbichYongo
      @DastanAbichYongo 3 месяца назад

      Uongo gan sasa​@@alialamoudi9729

  • @estherkangau2040
    @estherkangau2040 2 года назад +2

    I pray for Eunice

  • @mwanaishasalman282
    @mwanaishasalman282 Год назад

    Na walio mbali hawezi ombea mtoto yunis❤❤❤

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 Год назад +1

    Nampenda huyu mtoto jamani, Mungu akubariki mtoto mzuri

  • @lilianakinyi5189
    @lilianakinyi5189 Год назад +1

    Mungu ndio kila kitu

  • @remmychioko3688
    @remmychioko3688 2 года назад +2

    Mungu alinde familliya yote na bikira Maria Awa sayidiye kwa uponiadi

  • @abajenezasolange8680
    @abajenezasolange8680 2 года назад +1

    I thank you God, for ur Grace and Mercy on us. Praise the Lord.

  • @valeriamchami7903
    @valeriamchami7903 2 года назад +2

    Mungu atukuzwe

  • @juliemetanoia1650
    @juliemetanoia1650 2 года назад +1

    Ave Maria Amen

  • @everlynesagina9478
    @everlynesagina9478 2 года назад +1

    Niko Saudi Arabia na Mimi ni mkenya nahitaji kubarikiwa na sister Eunice

  • @severaminja7406
    @severaminja7406 Год назад

    Tumshukuru Mungu asante tutapataje hayo maji mikoani Asante Mungu

  • @maryayodi-xt6wp
    @maryayodi-xt6wp Год назад

    Mungu amusayitie uyu mutoto ahanze

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 2 года назад +4

    Yunis!Bwana asifiwe,ninaomba uponyaji na ukombozi .Ameen.

    • @edinakwomboka4794
      @edinakwomboka4794 2 года назад

      Mungu n mwema kila wakat maisha marefu baby unice🙏🙏 naamin siku moja nitamfikia tukoka Kenya ishalah 🙏

  • @sophiamvungi1425
    @sophiamvungi1425 Год назад +1

    Mama maria mama wa mkombozi wetu yesu krsto naomba msaidie mama yangu Capone apate kuona tena maana ni Kippur zaidi ya miaka kumi ss

  • @geofreytimothy5858
    @geofreytimothy5858 Год назад +1

    Tatizo watu wanapenda kupinga kila kitu. Yesu mwenyewe alipingwa na watu wengi sana. Hata yanayotokea leo ya kupinga mambo ya imani ni mwendelezo tu wa yale yaliyowahi kutokea kipindi cha nyuma.

  • @everirenemkonamo4035
    @everirenemkonamo4035 2 года назад +3

    Duh, huu nao ni ubunifu. Bwana tupe roho ya kukutafuta Kila siku make mazingaombwe ni mengi mnooo. Neno linasema asomaye neno na afahamu.

  • @blandinabulaya5712
    @blandinabulaya5712 2 года назад +1

    Tunashukuru Ee Mama yetu Bikira Maria kwa kutuonekania,watanzania tunajivunia kuwa na mtoto Eunice!!

  • @user-om8bf8ny1r
    @user-om8bf8ny1r 5 месяцев назад +1

    Yunis naomba uniombee uwa nikiingia kusali uwa naumia sana kama vile naunguzwa na moto nisaidie

  • @WonderfulHibiscus-kg2ln
    @WonderfulHibiscus-kg2ln 7 месяцев назад +1

    God bless you how can I get the water? Mnawez kuombea mtu kama Yuko mbali

  • @veronicajohn1050
    @veronicajohn1050 2 года назад +2

    Ee mama yetu maria twaomba Sana ee mm usituache ngizani kwa mwanao tuombee

  • @petergadiye6486
    @petergadiye6486 2 года назад +4

    Msiamini kila miujiza jaribuni hizo roho.miujiza ya Yesu hazichanganywi na chochote.

    • @petermagoye8324
      @petermagoye8324 2 года назад +1

      Yaani eti Maria anatenda miujiza alafu eti sanamu lazima iwepo yaani Hapa ni Roho za malkia wa Pwani au malkia wa kuzimu ndio yupo ndani ya huyu mtoto,,, Ndugu zangu hata shetani naye hutenda hiyo miujiza na nyie mnaosema mnamshukuru Mungu Kuna siku Mungu atawaambia sikujui sikujui,,, Mungu hawezi tenda miujiza Mara na maji Mara bikira Maria,,, how????

  • @jablesinzitunga6199
    @jablesinzitunga6199 2 года назад +1

    Kabisa

  • @annakinyami2998
    @annakinyami2998 2 года назад +1

    Mungu anipe uzime na siku moja nimfikie huyu mtoto

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      Amina

    • @matha3758
      @matha3758 2 года назад +1

      @@BMGOnlineTV naomba mawasiliano ya mzee ogot kama anaweza kunitumia maji ninashida

  • @mercymaina8796
    @mercymaina8796 2 года назад +1

    Mungu azidi kuoneka

  • @user-wu4bf8gh5n
    @user-wu4bf8gh5n 6 месяцев назад +1

    Jamani tunaomba na sisi wa mbali tupate huduma ili tupone uwezo wa kuja huko ni mdogo hali zetu za chini sana

  • @ivymgandela1084
    @ivymgandela1084 Год назад

    Hail Mary full of grace the Lord is with you blessed are you among women and blessed is the fruit of your womb Jesus holly Mary Mother of God pray for us sinners now and at the hour death Amen 🙏

  • @faizdaha9972
    @faizdaha9972 2 года назад +1

    Amen yarabbi

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад

      Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kukufuru

  • @FredOdhiambo-he1rw
    @FredOdhiambo-he1rw Год назад

    mungu wa mbinguni adhiakiwi. Watu wanapenda, jia ya mikato kutafuta msada, amelaniwa anaye tengeya mwanadamu na moyoni mwake amemuacha bwana yeremia 17:5-8

  • @ivymgandela1084
    @ivymgandela1084 Год назад

    Eunice pray for me 😭😭😭🙏

  • @user-tm5kj3mi9d
    @user-tm5kj3mi9d 5 месяцев назад +1

    Baba yunisi naomba namba za sim zauko nije na mm niudumiwe na yunisi ninamatatizo mengi sana,

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  5 месяцев назад

      Mama Yunis +255693268319

  • @jadehelena86
    @jadehelena86 2 года назад +1

    Très chère bien aimée unise pardon essais d adresse mes prières à la vierge Marie quel intercede pour devant le seigneur Jésus . Que le seigneur me localisé et visité et restore moi agir dans ma vie seigneur mon dieu exaucé mes surpplication entend mon cris vers toi seigneur Jésus Christ amen amen amen

  • @janetmurigi3417
    @janetmurigi3417 7 месяцев назад +1

    Mungu awahurumie sana maana mmepotea jameni

  • @MARRYMlele-fz7pc
    @MARRYMlele-fz7pc Год назад +1

    Anapatikana wap

  • @veronicajohn1050
    @veronicajohn1050 2 года назад +2

    Mtakatifu yunis uniombee

  • @amertyuamertyu8090
    @amertyuamertyu8090 2 года назад +1

    Mmh! 😳

  • @saimoseneyo3827
    @saimoseneyo3827 2 года назад +2

    Naomba ya simu nigan

  • @piusgogadi5614
    @piusgogadi5614 Год назад +1

    Msiamini kila roho , zichunguzeni na mzijaribu kama zinatoka kwangu, asema BWANA WA MAJESHI

  • @leonardbusaka2855
    @leonardbusaka2855 2 года назад

    pray for me.

  • @neemageorge1833
    @neemageorge1833 2 года назад +1

    Tumboni,miaka,3

  • @WilsonRinkei-vi1pj
    @WilsonRinkei-vi1pj 3 месяца назад +1

    Nitapataje mahali mtoto mponyaji unice

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  3 месяца назад

      Unaulizia nyumbani kwao?

  • @rachealbosiboriarita7125
    @rachealbosiboriarita7125 Год назад

    Jesus Christ our Lord God said give them these instructions and this teachings don't let anyone look down on because you are young, but be an example for the believers in your speech, your conduct, your love and purity

  • @janeinzera6837
    @janeinzera6837 2 года назад

    Mungu anaweza yote

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 2 года назад +3

    Kwann ufafanue mzazi na asifafanue wewe je huyo mtoto ndio anatengeneza mawe na chumv embu tumwache mungu afanye Kaz yake mtoto huyo ndio inatakiwa aongee na kama alikuja malaika na alikuwa haongei je alimuitaje baba njoo tusali wakat mtoto mdogo

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      Fika nyumbani umuulize mwenyewe

    • @annasannas6210
      @annasannas6210 2 года назад

      @@BMGOnlineTV hasante kwa jibu hilo

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад +1

      Wazushi unataka kiki

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      @@samxx411 Hakuna aliyekamilika chini ya jua, kikubwa ni mtu mwenyewe kufuata anachokiamini na kuachana na asichokiamini

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 года назад +3

    Wacheni watoto wadogo waje kwangu

  • @CallsterBasili
    @CallsterBasili 4 месяца назад +1

    jmn naomba mawasiliano na huyo mtt

  • @catherinengina6802
    @catherinengina6802 23 дня назад +1

    Kabisa letu lasemaje kuhusu hay wamemkubali mtoto au

  • @ezatironald1593
    @ezatironald1593 2 года назад +1

    Remember wat Jesus told people about children

  • @FaridahMwinzi-zx3vp
    @FaridahMwinzi-zx3vp 3 месяца назад +1

    Jambo naitaji namba.

  • @eunicekavita230
    @eunicekavita230 2 года назад +1

    How can I get her contact

  • @sarahkalembe9347
    @sarahkalembe9347 2 года назад +1

    May God continue to used the Eunice to touch our hearts. Is it possible to translate these stories. We need to hear the message yet we can't speak Swahili. Thanks.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      This is a little girl, named Sr. Yunis from Rorya Tanzania. The Virgin Mary appeared to her and gave the ability to pray for water that healing.

    • @terrymwati5444
      @terrymwati5444 2 года назад +1

      Tunaomba namba za kuwapata huko tunahitaji huduma

    • @terrymwati5444
      @terrymwati5444 2 года назад +1

      @@BMGOnlineTV tunaomba namba plz ile inayoishia 97 haipatikani

  • @annaambokolutta3846
    @annaambokolutta3846 2 года назад +1

    Naomba kupata mwelekeo ili niweze kufika mliko,nko Kenya naezatulia njia gani

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +1

      Pitia Isibania-Sirari hadi Tarime stendi, ulizia magari ya kwenda kwa Yunis

    • @annaambokolutta3846
      @annaambokolutta3846 2 года назад +1

      Shukurani

  • @user-ct7vj3zr3q
    @user-ct7vj3zr3q Год назад +1

    Mtumishi wamng naombauponyaj mm namtoto wang .kain naiman.ntafunguliwa amee

  • @ruthositu53
    @ruthositu53 5 месяцев назад +1

    No ya wazazi wake ndio tuweze kudika huko

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  5 месяцев назад

      Mama Yunis +255693268319

  • @SafariKibona-wc7ty
    @SafariKibona-wc7ty Год назад

    Naitwa generoza vicent mhoza namuomba unince aniombee nipone mattinzo yangu

  • @lydiakinama1768
    @lydiakinama1768 Год назад +1

    nitumie namba yasimu

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  Год назад

      Iko Mtandaoni, anaitaja mwenyewe

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Год назад

    Kweli watu wanaliwa kijanja utapeli huu hauna utofauti wa babu wa loriondo shetani amepewa utukufu hapa

  • @jacintakyenge8436
    @jacintakyenge8436 5 месяцев назад +1

    Mimi ni mkenya nimekua nikifuatilia hii habari ya mtoto yunis sababu ilinipendeza niko na swali kwamba Hii maji niya uponyaji pekee ama pia na mashida zingine??

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  5 месяцев назад

      Tumia kulingana na unavyoamini

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 Год назад +1

    Wakora waongo njia ya kutafuta pesa

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  Год назад

      Yes sikiliza na fuata Imani yako

  • @AnisetaMeena-pz7ft
    @AnisetaMeena-pz7ft Год назад +1

    Nani kawaloga enyi wenye imani potofu?

  • @user-zs2qc5fh9d
    @user-zs2qc5fh9d Год назад

    Natoka mkoani nikifika mwanza niulize wapi

  • @amyeswalo1661
    @amyeswalo1661 2 года назад +1

    Maajabu ya mlemavu

  • @lucykatui9304
    @lucykatui9304 Год назад +1

    Nielezeeni directions pia mmi niende

  • @user-wv1nz4ti1g
    @user-wv1nz4ti1g 11 месяцев назад +1

    Gweth moa kuom nyasaye manie polo

  • @gloriousmwikali3849
    @gloriousmwikali3849 2 года назад +2

    Chumvi ya mawe ndio ngani?

  • @joycesamwel4931
    @joycesamwel4931 2 года назад +2

    Nitumie namba

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 2 года назад +1

    Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam

    • @yamocharles1603
      @yamocharles1603 Год назад

      Jaman kumbukeni shetani aliachiwa nguvu na mnaambiwa msifungwe nira na wasio aminitafuteni ufalme was mungu nafasi ingalipo yalinenwa manabii was uongo watatokea s k u za mwixho na watapewa uwezo na nguvu ta kuponya watu waangamia kwa kukosa maarifa jiulizeni babu wa loliondo Yuko wapi !?? At amxhtuki jamani.