WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..
HTML-код
- Опубликовано: 15 июн 2022
- WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..
Mtoto YUNIS au EUNICE OGOT wa Wilayani Rorya, mkoani Mara nchini Tanzania, ameendelea kufanya maajabu katika uponyaji wake wa kutumia maji na maombi, ambapo anatibu watu wa ndani na nje ya nchi…
Mapya ya hivi karibuni ni tukio la kutibu kundi la watu waliopooza, wapatao saba kutoka nchini Djibouti, ambao walifika kwa mtoto huyo wakiwa katika hali mbaya, mwingine akiwa anasukumwa kwenye kiti cha kusukuma (Wheel Chair), lakini baada ya kuombewa na kumwagiwa maji na Yunis alipona na kuanza kutembea mwenyewe…wengine wamekuwa wakitibiwa kutoka Ulaya ambao wamepona na kumpa zawadi ya sanamu kubwa ya Bikiria Maria, yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nane…
Maajabu ni mengi…fuatilia muendelezo huu pamoja na ushuhuda wa watu wengine….
NAMBA ZA SIMU ZA BABA YUNIS: +255 783 426 393 au +255 686 967 279
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Baba angu alikuwa anaumwa mwaka jana akaenda, akachukua maji na yalimponesha
Glory to God
Ni wapi uko
Naomba mambi yake jaman
@@sarablessing2176 Musoma shirati
@@talsirakayombo8477 mydr sina kweli labda niongee na mzee jioni akirudi nikutumie
Sawa dr
Kwa nini Mimi naamini kila kitu, kwa sababu Mama Bikira Maria ananguvu ya ajabu ya kutumia Maji, Kwokwote kule alikowahi kuwatokea watu, amekuwa anaonyesha jinsi ya kutubu, kusali, kusamehe na kutumia Maji . Na sikuzote huwa anawatojea watoto kwenye pori, ambapo kuna mawe, miti, sehem iliyotulia na iliyojificha, I love her unconditionally ❤, This is so beautiful, Nampenda sana Mama Bikira Maria hasa jinsi anayotugombania sisi Wanawake na Familia zetu. Kanisa letu wakati mwingine linachukua muda mrefu sana kutangaza mambo kama haya, she’s blessed, Mama Bikira Maria endelea kumtumia Mtoto huyu, kupitie yeye utufundishe mengi.
Mh😢😢
free masoni huyo
bikira maria amefariki miaka kadhaa iliyo pita Hana lolote la kufanya hiyo ni imani ya kishirikina
na ibilisi awezi kufikia sister Eunice mungu azidi kuinua na mwanawe yesu Christo na mama yetu maria ubarikiwe zaidi mungu akupe nguvu nami pia niweze kufikia ubarikiwe sana sister Eunice 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Mama Bikira Maria ni suluhisho Kweli ya dhiki zetu!
Kanisa Katoliki ni Dini ya kweli yenye Neema kuu🙏🏽
Mimi ni Shahidi🙏🏽
siyo dini bali kanisa la kweli. Makanisa yapo mengi, mf. Filipi, thethalonike! Aidha, kuna madhehebu mfano Roman katoliki, Anglican, Lutheran, Arthodox Catholic, Marian Catholic nk.
Mungu mwenyewe akiamua kumtumia mtu haijalishi ni dini gan
Through jesusu Christ everything is possible
Mungu anaeza tumia hata mtu hajawahi India kanisa kuonyesha mkono wake..husikii akisema KANISA LAO CATH..hawasemi chochote
Mungu azidi kumuinuwa mtoto huyu🙏🏽🤲🏼
Yesu alise acheni watoto waje kwangu 🙏🙏🙏
God bless this little angel Eunice I know one day I will go their
Thank you jesus for the life of the little girl , Amen
Aje na dar. Jamani
Anapatikana mkuwa gani jani please u help me
Mungu yu naye Eunice na atazidi kukutunza pamoja na familia yako
Mmmmmh Mungu bariki kazi ya mikono yako yunisi
Aamiin
Mungu akuepushe na na roho za maadui hakika mungu nikila kitu katika maisha yetu
Barikiwa sana wajina..nami napokea kwa Jina la Yesu
Mtangazaji uko vizuri.
Ila haiitwi goroko.
Inaitwa grotto ya Bikira Maria. Ni nyumba ya mama yetu Bikira Maria mama wa mkombozi wetu Yesu Kristu
Kweli Ni Karama ya kipekee🙏🏽ambayo Mariamu Mama wa Mungu huwateuwa mwenyewe
Mimi ni Shahidi pia🙏🏽
I heal myself,my woman Nana Adwoa Erica and my family from every deadly deseases and illness through this beautiful girl in Jesus Christ name ... Amen
Ntaweza kufika uko aje ..:,
Hi friend an from Jericho how can I get Tunis no.
Plus help me to get Tunis no
Please help me to get Tunis no.
Hi everyone I'm very grateful l thank God .......I'm here to ask l wanna go there but l don't know the directions pliz help 🙏🙏🙏🙏 I'm zim pliz help
mwenyez Mungu aendelee kumtumia mtoto katika uponyaji wetu na magonjwa na changamoto mbalimbali tulizo nazo...
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele muobe mola wako moja kwa moja anakusikia
Amakwahakika munguanaipenda Tanzania munguibaliki alziyatanzania nawatuwake mbaliki mtotohuyu iliatuponye kwakupitiayeye
I claim and receive my healings through Yunis in the Mighty Name of Jesus Christ of Nazareth, AMEEEEEEEN
Mungu akubariki wewe mutoto Eunice Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🇩🇪🇪🇺
Be blessed Eunice, kusaidiea wagonjwa Amen
Mama bikira maria utuguse mahari popote panamaumivu na ugonjwa usiotibika utuponye mama yetu mama wamungu tusikue🙏🙏🙏🙏.
Mungu akubark sana Sister Eunice uendelee kuwasaidia wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Serikali usisahau kiipa hifamiliya ulinzi
Mungu Aliyampa kibar huyu mtoto tumtukuze sana
Duuh maajabu haya
I Ekeoma I received my miracle baby in jesus name Amen
Hongera mtoto bikra kwa kazi unayo fanya mungu akulinde
MashaAllah...ningelikuwa karib tyungefika from kenya
Njooo nitakupeleka ulipe nauli niko kenya pia
Wazazi hawa ni kielelezo kwetu sisi wazazi wa leo tunao asi uzazi hatutaki kuzaa,Tunakufuru,
Mungu wetu
Baba tusamehe🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Utuponye kupitia mtoto huyu mteule wako🙏🏽
MUNGU Akuepushe na nguvu za movu shetani.AMEN🙏
Mungu aonekane juu ya huyu mtoto.waovu watoweke katika jina la yesu.
Mimi ni evangiliste imani Bujumbura muombaji aniombea mimi na jamah langu kwa magonjwa hatuna nauli tungefika Amen
Asante mungu kwa hii zawadi ya uponyaji endelea kuonekania na kumfunika huyu mtoto kwa damu yako takatifu
Mungu akubariki mtoto Eunice
Ninaamini nguvu za mungu zilipo ndani mwako, nimefunguliwa na mwanangu .mungu akutie nguvu
With God everything are possible 🙏
Am a living testimony may God bless BMG TV and sister Eunice I got instant healing, may God's name be glorified.
Where does she comes from
Mungu habarki uyo mtoto ahendele kuponya watu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akulinde mtoto yunic
Hello naomba mungu akubariki sana kwa huduma zako nami nko na shida ile ambayo inahitaji tutuonane tu ili huweze kunisaidia ,tafadhali mniambie hii ni inch gani ili niweze kuabiri ndenge nikuje❤❤❤❤
Hakika Mungu anaweza anatumia watoto wadogo.hekima ya Mungu sio ya mwanadamu.kila jicho litamuona
Hakika Mungu anatenda but nauliza swali naeza pataje Uyu dada Eunice nkona magojwa yenye hospital wameshindwa
Blessing child may God continue to protect her for healing power from Almighty God IJN🙏
Mungu akulinde mtoto mzuri,
Mhh jamani mungu tusaidie mhh mhhh km wapi vile kwa Babu loliondo imeishiaje tena wagonjwa waliacha madawa ya saratani ukimwi sukari Yani watu wanajua kuwaongopea watu Babu loliondo alijua kupiga pesa maisha kadri yanavyokuwa magumu watu wanabuni njia za kusaka noti sasa wanashirikishishwa mpaka watoto katika utafutaji wa pesa mungu tusaidie
Sema kama ni wewe Mungu basi sifa na utukufu zirudi kwako Mungu wetu na sio kucoment kwa kuchafua!! Huwezi jua !
We believe in God, the blood of Jesus christ heal, let's us not believe maria only Jesus
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa NA ikiwa umefanya kosa hilo rudi kwa mashekhe watakufahimisha
Mungu bariki Mtoto Eunice aendelee kuombea watu na ku wachawi wote
Amen 🙏 mungu amubariki form Uganda 🇺🇬
Any angle of heaven on earth tat is here now to deliparate all siners to folllow Gods work bora uwe na imani i trust this girl mungu azidi kumwinua
God the Father, Son and the Holy Spirit I receive my Healing and that of my Family Right Now in Jesus Name Amen.
Mungu akulinde sana mtoto unice kwa kazi unayoifanya...
Amen God gives you more strength
Mungu Baba Ni asante kubwa kwako maana wanao wengi wameponywa kupitia mtoto Yunis mbarikiwa na mteule wako. Nasi tulip mbali tuponywe kwa Imani, am in a🛐🛐🙏🙏💯
Inavyoonesha huko musoma watu wengi hupenda uchawi mungu atamlinda huyu mtoto 🙏🙏
Uchawi upo sehemu yoyote duniani
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni ukitaka kumomba muobe mungu moja kwa moja
Mungu akubariki Sana Sana... Kwa kazi unayofanya.
Alichakiandaa mungu mwanadamu hawezi kukiharibu wala kuingilia amemleta mungu kwa maana
Daarh nimesikiliza miujiza machozi yananitoka mungu yupo kwa watoto wadogo
Mungu akulinde zs uponyaji dió tunaitaji Kwa Jina la yesu
Bikira Maria ndiye aliteuliwa kumleta Mkombozi wetu Yesu Kristo atufie Msalabani. Hallelujah thank you Jesus Christ of Nazareth.
Mungu awe nawe wakati wowote,
Nina fistula kutoka Kenya, Mimi Pia nimgogwa, kisukari, Artheratis. Naomba Mtoto Unice hanikumbuke kwamaombi. Mungu hakupe nguvu na maono saidi, Amen
Bwana Mungu atukuzwe sanaa. Asante mama Maria.
MUNGU am.bariki huyu mtoto Ampe power zaidi
God bless u Yunis parents
Jamani naomba nipatieni amba za simu nataka nipereke mama angu munierekeze pizi nawaomba sana munisaidie 😢🙏
Piga hizo namba ni za baba ake
Mnisaideni na nambas plz🙏
Mbona sijaziona namba za simu nitumie pzi
@@kevinchambila6842 sijaziona nit2mie pzi
Hajuna tena kitu hapo,huo umekuwa Ushirikina,Tia udhu usiku umuombee mzazi wako,Mola wa Haki atamponya
Amen even Jesus started preaching when he is young so God has power heal any diseas
Yule mutoto mungu amubariki Sana na sisi tunaomba afike kwetu Burundi amwangiye watu maji wapone
I receive healing through her in the name of jesus christ . Amen
Pray for me baby Eunice through the almighty name of Jesus Christ.
Kuna ndugu yangu alienda huko mtoto alikuwa anaumwa kweli kweli hakika mtoto amepona na mm niko safarini muda wowote naenda huko. Mungu anitie nguvu 🙏🙏
Niwapi na unafikaje
@@ashurajuma4837 ukiwa mwanza my dear unapanda gari za kwenda msoma au tarime au sirari. Mm nikienda huyo ndugu yangu atanielekeza nishukie sehemu gani maana mm niko mwanza
Mwenyezi mungu ana makusudi yake kweli mtoto Wacha akauponye ulimwengu🙏🙏
Mungu akamuongoze huyu mtoto,,akamhifadhi aweze kufanya kazi ya mungu,,ila swali ni mali siyo mbaya,but isiwe kama wazazi wata take advantage kwa huyu mtoto ndiyo waweze kupata mali.Juu mwenye hana cha kuwalipa,nikuonyesha hataweza kuupokea uponyaji.
Thank you angel yunis.
Safi sana Mungu anspenda watu wake na njia za Mungu hazichunguziki
Thank you Jesus Christ for baby unice may you protect her Mary mother of God pray for us
Glory to almighty father,..for giving us angle yunis 4 da healing....mungu bariki huyu mtoto zaidi.
I claim my healing from Yunice in Jesus name amen, distance is not a buria 🙏🙏🙏
Mungu akulinde akukinge na watu walio kinyume na mapenzi ya Mungu 🙏
Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa zawadi ya watoto,maana neno lako linasema kwakuwa mambo hayo uliwaficha wenye hekima na akili akawafunulia watoto wachanga, Mungu wa mbinguni akutunze vema mtoto yunic,akuepushe na hila za movu shetani, karama yake yendelee kukua,asante Yesu kwa uponyaji.
Kuhusu kanisa kutangaza sio kwamba Hawa oni wala Hawa sikii nikwa vile kanisa katoliki nikanisa la utaratibu Ni lazima waombe kibari kwa Mungu ili wapate kutangaza maana imeandikwa 1 Yohana 4:1
[1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Waendelee kuomba na Mungu atatoa kibari kwa kanisa na kuwatangaza.
Umenena
Nimekuelewa
Amina
Please translate in English. God is using baby Yunisi May the Lord continue to use her in all ways. Am so happy am a catholic.
I need contact so that go to yunis to be prayed for am sick
Mungu alikua na sababu kuhusu mtoto mdogo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pray for me baby Eunice and God will bless you
thanks God for wanderfuil work is doing 🙏
Asante mungu kwa miujiza yako
Aliyetumwa na MUNGU hauliwi kizembe,SABABU MUNGU humjulisha taarifa zijazo kabla hazijafika.Mungu anaweza kumtumia MTU atakavyo,
Mungu akulinde na kukuongezea imani ili utusaidie waafrika wenzako chini ya maombez ya mama bikra maria
Ubarikiwe sana
Mungu wa mbinguni kwa Imani niliyonayo naamini nakwenda kupona na roho ya umaskini na naamini nitakuwa tajiri kwa uwezo wa mungu
Be blessed Eunice
Yesu Kristo akutunze Mtoto wa Bikira Maria. Ubarikiwe sana.
Ku balance simulizi hii inapaswa Mfanye na Mahojiano na Askofu wa Jimbo husika
Ukifuatilia vizuri watoto wa Fatima,, walipitia changamoto kubwa Sana Hadi kuaminiwa,, yaan hao lazima wawe very challenged na Kanisa, ili kuwa na hakika Kama ni bikira maria kweli,, ndiye anae watokea, c unajua kanisa katoliki sio wakukurupuka, so it takes time hata miaka,,
Uzuri hawaja wazuia,
Amina mama Maria mama wa yesu utuombe sisi wakosefu ,jisi ulivyo katika mtoto Eunice,Amina
Mungu yupo kazin pia shetan yupo kazin just be careful hata shetan hujibadili kua kama Malaika wa nuruni ... ain't judging any one nevertheless who I'm I to judge 🤷
Umesema kweli hakuna Mungu hapa ni shetani live,bikira maria hawatokei watu na hajawahi kutokea watu ni ushetani umeingia Duniani
Hakika
Very true
Even those who rejected Jesus called Him "devil" so we are not surprised with your comment. Hail Mary full of Grace,,,,,,,,,,,, May God protect baby Eunice in Jesus' name. Amen!!
@@gabrielogondi3987 only JESUS CHRIST can save the world, repent your sin, JESUS CHRIST is coming soon
Mungu bariki Mtoto Eunice na maombi zake zitufikia tukiwa hapa kenya
Thanks be to the Lord God if the has done this, let everybody praise and pray to the Lord God amen ❤
Hakika Mungu anatupenda watoto wake huwa anatupa msaada siku zote.
God can use anyone to service him more grace little may God strength you to God work
Huyu Mtoto anatoka wapi niende jameni..Eunice uniombe katika jima la Yesu Amen.
I believe Angel of God in form of female Anointed and baptise the baby with the fire of the hollyspirit, God protect and bless baby Yunis
Nime ziuganiza na uduma wake naoba kupona maganja na babagu pia aponne Amen
Wow that is powerful God is good
Mwenyezi mungu pamoja na mama wetu Maria wasidi kumlinda huyo mtoto Amina ❤
Oooh lord thankx 4 this blessed children amen
Very cute 😍😍😍 baby girl
UTAPELI MPYA HUU ..UTOKEWE NA BIKRA MARIA 😂😂😂🤣🤣🤣🤣 HALAFU HAONGEI YEYE 😂😂😂🤣
IMANI
AMEN 🙏
It's only God grace may Almighty God bless you
Mungu ni mwema
My mother Mary spiritual bless me too, heal my family members from different evil
sickness. Amen
Ongera mtoto bikria nampenda xana Mambo ya lisari 🎉🎉