WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июн 2022
  • WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..
    Mtoto YUNIS au EUNICE OGOT wa Wilayani Rorya, mkoani Mara nchini Tanzania, ameendelea kufanya maajabu katika uponyaji wake wa kutumia maji na maombi, ambapo anatibu watu wa ndani na nje ya nchi…
    Mapya ya hivi karibuni ni tukio la kutibu kundi la watu waliopooza, wapatao saba kutoka nchini Djibouti, ambao walifika kwa mtoto huyo wakiwa katika hali mbaya, mwingine akiwa anasukumwa kwenye kiti cha kusukuma (Wheel Chair), lakini baada ya kuombewa na kumwagiwa maji na Yunis alipona na kuanza kutembea mwenyewe…wengine wamekuwa wakitibiwa kutoka Ulaya ambao wamepona na kumpa zawadi ya sanamu kubwa ya Bikiria Maria, yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nane…
    Maajabu ni mengi…fuatilia muendelezo huu pamoja na ushuhuda wa watu wengine….
    NAMBA ZA SIMU ZA BABA YUNIS: +255 783 426 393 au +255 686 967 279
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 529

  • @winfridadavid4173
    @winfridadavid4173 Год назад +57

    Baba angu alikuwa anaumwa mwaka jana akaenda, akachukua maji na yalimponesha
    Glory to God

  • @siriyamwanamkemkakamavu
    @siriyamwanamkemkakamavu Год назад +9

    Kwa nini Mimi naamini kila kitu, kwa sababu Mama Bikira Maria ananguvu ya ajabu ya kutumia Maji, Kwokwote kule alikowahi kuwatokea watu, amekuwa anaonyesha jinsi ya kutubu, kusali, kusamehe na kutumia Maji . Na sikuzote huwa anawatojea watoto kwenye pori, ambapo kuna mawe, miti, sehem iliyotulia na iliyojificha, I love her unconditionally ❤, This is so beautiful, Nampenda sana Mama Bikira Maria hasa jinsi anayotugombania sisi Wanawake na Familia zetu. Kanisa letu wakati mwingine linachukua muda mrefu sana kutangaza mambo kama haya, she’s blessed, Mama Bikira Maria endelea kumtumia Mtoto huyu, kupitie yeye utufundishe mengi.

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 Год назад +19

    na ibilisi awezi kufikia sister Eunice mungu azidi kuinua na mwanawe yesu Christo na mama yetu maria ubarikiwe zaidi mungu akupe nguvu nami pia niweze kufikia ubarikiwe sana sister Eunice 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Год назад +21

    Mama Bikira Maria ni suluhisho Kweli ya dhiki zetu!
    Kanisa Katoliki ni Dini ya kweli yenye Neema kuu🙏🏽
    Mimi ni Shahidi🙏🏽

    • @severinmagwaya6453
      @severinmagwaya6453 11 месяцев назад

      siyo dini bali kanisa la kweli. Makanisa yapo mengi, mf. Filipi, thethalonike! Aidha, kuna madhehebu mfano Roman katoliki, Anglican, Lutheran, Arthodox Catholic, Marian Catholic nk.

    • @felisterandrew8741
      @felisterandrew8741 11 месяцев назад

      Mungu mwenyewe akiamua kumtumia mtu haijalishi ni dini gan

    • @user-gj9yw1nj2h
      @user-gj9yw1nj2h 4 месяца назад

      Through jesusu Christ everything is possible

    • @user-hp2rd2md3g
      @user-hp2rd2md3g 29 дней назад

      Mungu anaeza tumia hata mtu hajawahi India kanisa kuonyesha mkono wake..husikii akisema KANISA LAO CATH..hawasemi chochote

  • @fatherghetto4720
    @fatherghetto4720 Год назад +15

    Mungu azidi kumuinuwa mtoto huyu🙏🏽🤲🏼

  • @oseendayi5046
    @oseendayi5046 Год назад +12

    Yesu alise acheni watoto waje kwangu 🙏🙏🙏

  • @roselyneachieng7638
    @roselyneachieng7638 Год назад +18

    God bless this little angel Eunice I know one day I will go their

  • @violetrapando3946
    @violetrapando3946 Год назад +9

    Mungu yu naye Eunice na atazidi kukutunza pamoja na familia yako

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Год назад +8

    Mmmmmh Mungu bariki kazi ya mikono yako yunisi

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Год назад +7

    Mungu akuepushe na na roho za maadui hakika mungu nikila kitu katika maisha yetu

  • @euniceulomi6135
    @euniceulomi6135 Год назад +7

    Barikiwa sana wajina..nami napokea kwa Jina la Yesu

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Год назад +13

    Mtangazaji uko vizuri.
    Ila haiitwi goroko.
    Inaitwa grotto ya Bikira Maria. Ni nyumba ya mama yetu Bikira Maria mama wa mkombozi wetu Yesu Kristu

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Год назад +6

    Kweli Ni Karama ya kipekee🙏🏽ambayo Mariamu Mama wa Mungu huwateuwa mwenyewe
    Mimi ni Shahidi pia🙏🏽

  • @mensahyalley6338
    @mensahyalley6338 Год назад +22

    I heal myself,my woman Nana Adwoa Erica and my family from every deadly deseases and illness through this beautiful girl in Jesus Christ name ... Amen

    • @medrinemelissa
      @medrinemelissa Год назад

      Ntaweza kufika uko aje ..:,

    • @lilianchepkemoi2417
      @lilianchepkemoi2417 Год назад

      Hi friend an from Jericho how can I get Tunis no.

    • @lilianchepkemoi2417
      @lilianchepkemoi2417 Год назад +2

      Plus help me to get Tunis no

    • @lilianchepkemoi2417
      @lilianchepkemoi2417 Год назад

      Please help me to get Tunis no.

    • @herbertchapaguta3733
      @herbertchapaguta3733 Год назад

      Hi everyone I'm very grateful l thank God .......I'm here to ask l wanna go there but l don't know the directions pliz help 🙏🙏🙏🙏 I'm zim pliz help

  • @mwalongobaraka255
    @mwalongobaraka255 Год назад +9

    mwenyez Mungu aendelee kumtumia mtoto katika uponyaji wetu na magonjwa na changamoto mbalimbali tulizo nazo...

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele muobe mola wako moja kwa moja anakusikia

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 Год назад +6

    Amakwahakika munguanaipenda Tanzania munguibaliki alziyatanzania nawatuwake mbaliki mtotohuyu iliatuponye kwakupitiayeye

  • @greatgiftgenge7547
    @greatgiftgenge7547 Год назад +6

    I claim and receive my healings through Yunis in the Mighty Name of Jesus Christ of Nazareth, AMEEEEEEEN

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 Год назад +6

    Mungu akubariki wewe mutoto Eunice Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🇩🇪🇪🇺

    • @emillyzeeh1173
      @emillyzeeh1173 Год назад +1

      Be blessed Eunice, kusaidiea wagonjwa Amen

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Год назад +2

    Mama bikira maria utuguse mahari popote panamaumivu na ugonjwa usiotibika utuponye mama yetu mama wamungu tusikue🙏🙏🙏🙏.

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +17

    Mungu akubark sana Sister Eunice uendelee kuwasaidia wagonjwa na wenye shida mbalimbali.

  • @Thomas-iy1rk
    @Thomas-iy1rk Год назад +3

    Hongera mtoto bikra kwa kazi unayo fanya mungu akulinde

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Год назад +2

    MashaAllah...ningelikuwa karib tyungefika from kenya

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Год назад +6

    Wazazi hawa ni kielelezo kwetu sisi wazazi wa leo tunao asi uzazi hatutaki kuzaa,Tunakufuru,
    Mungu wetu
    Baba tusamehe🙏🏽🙏🏽🙏🏽
    Utuponye kupitia mtoto huyu mteule wako🙏🏽

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Год назад +9

    MUNGU Akuepushe na nguvu za movu shetani.AMEN🙏

    • @linaruth8982
      @linaruth8982 Год назад

      Mungu aonekane juu ya huyu mtoto.waovu watoweke katika jina la yesu.

  • @user-fu6gz2tp3h
    @user-fu6gz2tp3h 17 дней назад

    Mimi ni evangiliste imani Bujumbura muombaji aniombea mimi na jamah langu kwa magonjwa hatuna nauli tungefika Amen

  • @saasamaf7188
    @saasamaf7188 Год назад +2

    Asante mungu kwa hii zawadi ya uponyaji endelea kuonekania na kumfunika huyu mtoto kwa damu yako takatifu

  • @mariawangari2670
    @mariawangari2670 Год назад +5

    Mungu akubariki mtoto Eunice

  • @user-tg4nx7kd1f
    @user-tg4nx7kd1f 2 месяца назад +1

    Ninaamini nguvu za mungu zilipo ndani mwako, nimefunguliwa na mwanangu .mungu akutie nguvu

  • @marthangigi6459
    @marthangigi6459 Год назад +9

    With God everything are possible 🙏

  • @millicentogonda9804
    @millicentogonda9804 Год назад +2

    Am a living testimony may God bless BMG TV and sister Eunice I got instant healing, may God's name be glorified.

  • @winnieachieng3662
    @winnieachieng3662 Год назад +2

    Mungu habarki uyo mtoto ahendele kuponya watu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @danielrobert730
    @danielrobert730 Год назад +5

    Mungu akulinde mtoto yunic

  • @VolcarMalubi-ys3cg
    @VolcarMalubi-ys3cg 17 дней назад

    Hello naomba mungu akubariki sana kwa huduma zako nami nko na shida ile ambayo inahitaji tutuonane tu ili huweze kunisaidia ,tafadhali mniambie hii ni inch gani ili niweze kuabiri ndenge nikuje❤❤❤❤

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Год назад +5

    Hakika Mungu anaweza anatumia watoto wadogo.hekima ya Mungu sio ya mwanadamu.kila jicho litamuona

    • @joylinejoy7989
      @joylinejoy7989 Год назад

      Hakika Mungu anatenda but nauliza swali naeza pataje Uyu dada Eunice nkona magojwa yenye hospital wameshindwa

  • @JerrywiseHarry
    @JerrywiseHarry Год назад +8

    Blessing child may God continue to protect her for healing power from Almighty God IJN🙏

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 Год назад +5

    Mungu akulinde mtoto mzuri,

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Год назад +3

    Mhh jamani mungu tusaidie mhh mhhh km wapi vile kwa Babu loliondo imeishiaje tena wagonjwa waliacha madawa ya saratani ukimwi sukari Yani watu wanajua kuwaongopea watu Babu loliondo alijua kupiga pesa maisha kadri yanavyokuwa magumu watu wanabuni njia za kusaka noti sasa wanashirikishishwa mpaka watoto katika utafutaji wa pesa mungu tusaidie

    • @irenemrema4416
      @irenemrema4416 Год назад

      Sema kama ni wewe Mungu basi sifa na utukufu zirudi kwako Mungu wetu na sio kucoment kwa kuchafua!! Huwezi jua !

    • @roseayiera1935
      @roseayiera1935 Год назад

      We believe in God, the blood of Jesus christ heal, let's us not believe maria only Jesus

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa NA ikiwa umefanya kosa hilo rudi kwa mashekhe watakufahimisha

  • @Rosemary-rz6cl
    @Rosemary-rz6cl Год назад +1

    Mungu bariki Mtoto Eunice aendelee kuombea watu na ku wachawi wote

  • @ndayisengavalens3673
    @ndayisengavalens3673 Год назад +1

    Amen 🙏 mungu amubariki form Uganda 🇺🇬

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 2 дня назад

    Any angle of heaven on earth tat is here now to deliparate all siners to folllow Gods work bora uwe na imani i trust this girl mungu azidi kumwinua

  • @juliemetanoia1650
    @juliemetanoia1650 Год назад +3

    God the Father, Son and the Holy Spirit I receive my Healing and that of my Family Right Now in Jesus Name Amen.

  • @elizabethmkarafu2138
    @elizabethmkarafu2138 Год назад +1

    Mungu akulinde sana mtoto unice kwa kazi unayoifanya...

  • @dennyosoko8075
    @dennyosoko8075 Год назад +2

    Amen God gives you more strength

  • @mellenarasa8497
    @mellenarasa8497 Год назад +3

    Mungu Baba Ni asante kubwa kwako maana wanao wengi wameponywa kupitia mtoto Yunis mbarikiwa na mteule wako. Nasi tulip mbali tuponywe kwa Imani, am in a🛐🛐🙏🙏💯

  • @sazanahussen6715
    @sazanahussen6715 Год назад +8

    Inavyoonesha huko musoma watu wengi hupenda uchawi mungu atamlinda huyu mtoto 🙏🙏

    • @issaibrahim8796
      @issaibrahim8796 Год назад +1

      Uchawi upo sehemu yoyote duniani

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад +1

      Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni ukitaka kumomba muobe mungu moja kwa moja

  • @danielwekesa1326
    @danielwekesa1326 Год назад +1

    Mungu akubariki Sana Sana... Kwa kazi unayofanya.

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад +3

    Alichakiandaa mungu mwanadamu hawezi kukiharibu wala kuingilia amemleta mungu kwa maana

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Год назад +1

    Daarh nimesikiliza miujiza machozi yananitoka mungu yupo kwa watoto wadogo

  • @ronahcherononyaribo7417
    @ronahcherononyaribo7417 Год назад +1

    Mungu akulinde zs uponyaji dió tunaitaji Kwa Jina la yesu

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 2 месяца назад

    Bikira Maria ndiye aliteuliwa kumleta Mkombozi wetu Yesu Kristo atufie Msalabani. Hallelujah thank you Jesus Christ of Nazareth.

  • @rosemarymoraa3275
    @rosemarymoraa3275 Год назад

    Mungu awe nawe wakati wowote,
    Nina fistula kutoka Kenya, Mimi Pia nimgogwa, kisukari, Artheratis. Naomba Mtoto Unice hanikumbuke kwamaombi. Mungu hakupe nguvu na maono saidi, Amen

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад

    Bwana Mungu atukuzwe sanaa. Asante mama Maria.

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Год назад

    MUNGU am.bariki huyu mtoto Ampe power zaidi

  • @juliemetanoia1650
    @juliemetanoia1650 Год назад +3

    God bless u Yunis parents

  • @hadijamulleris3734
    @hadijamulleris3734 Год назад +7

    Jamani naomba nipatieni amba za simu nataka nipereke mama angu munierekeze pizi nawaomba sana munisaidie 😢🙏

    • @kevinchambila6842
      @kevinchambila6842 Год назад

      Piga hizo namba ni za baba ake

    • @mercyarika7744
      @mercyarika7744 Год назад

      Mnisaideni na nambas plz🙏

    • @hadijamulleris3734
      @hadijamulleris3734 Год назад +1

      Mbona sijaziona namba za simu nitumie pzi

    • @hadijamulleris3734
      @hadijamulleris3734 Год назад

      @@kevinchambila6842 sijaziona nit2mie pzi

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 Год назад +1

      Hajuna tena kitu hapo,huo umekuwa Ushirikina,Tia udhu usiku umuombee mzazi wako,Mola wa Haki atamponya

  • @rozamere
    @rozamere 2 месяца назад

    Amen even Jesus started preaching when he is young so God has power heal any diseas

  • @BienvenueBikorimana
    @BienvenueBikorimana Месяц назад

    Yule mutoto mungu amubariki Sana na sisi tunaomba afike kwetu Burundi amwangiye watu maji wapone

  • @emmanuellkfightforjusticea2474
    @emmanuellkfightforjusticea2474 Год назад +2

    I receive healing through her in the name of jesus christ . Amen

  • @teresawanjiru3171
    @teresawanjiru3171 Год назад +1

    Pray for me baby Eunice through the almighty name of Jesus Christ.

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 Год назад +4

    Kuna ndugu yangu alienda huko mtoto alikuwa anaumwa kweli kweli hakika mtoto amepona na mm niko safarini muda wowote naenda huko. Mungu anitie nguvu 🙏🙏

    • @ashurajuma4837
      @ashurajuma4837 Год назад

      Niwapi na unafikaje

    • @dianasago9214
      @dianasago9214 Год назад

      @@ashurajuma4837 ukiwa mwanza my dear unapanda gari za kwenda msoma au tarime au sirari. Mm nikienda huyo ndugu yangu atanielekeza nishukie sehemu gani maana mm niko mwanza

  • @MadamTinah-eg2xe
    @MadamTinah-eg2xe Месяц назад

    Mwenyezi mungu ana makusudi yake kweli mtoto Wacha akauponye ulimwengu🙏🙏

  • @hellenchari1498
    @hellenchari1498 Год назад

    Mungu akamuongoze huyu mtoto,,akamhifadhi aweze kufanya kazi ya mungu,,ila swali ni mali siyo mbaya,but isiwe kama wazazi wata take advantage kwa huyu mtoto ndiyo waweze kupata mali.Juu mwenye hana cha kuwalipa,nikuonyesha hataweza kuupokea uponyaji.

  • @gracegesare5313
    @gracegesare5313 Год назад +1

    Thank you angel yunis.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Год назад +6

    Safi sana Mungu anspenda watu wake na njia za Mungu hazichunguziki

  • @mariawanjiru1275
    @mariawanjiru1275 Год назад +2

    Thank you Jesus Christ for baby unice may you protect her Mary mother of God pray for us

  • @annwambua6690
    @annwambua6690 Год назад +2

    Glory to almighty father,..for giving us angle yunis 4 da healing....mungu bariki huyu mtoto zaidi.

  • @muyangeshapola4797
    @muyangeshapola4797 Год назад +1

    I claim my healing from Yunice in Jesus name amen, distance is not a buria 🙏🙏🙏

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Год назад +6

    Mungu akulinde akukinge na watu walio kinyume na mapenzi ya Mungu 🙏

  • @annalivini3940
    @annalivini3940 Год назад

    Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa zawadi ya watoto,maana neno lako linasema kwakuwa mambo hayo uliwaficha wenye hekima na akili akawafunulia watoto wachanga, Mungu wa mbinguni akutunze vema mtoto yunic,akuepushe na hila za movu shetani, karama yake yendelee kukua,asante Yesu kwa uponyaji.

  • @marthapatrice9911
    @marthapatrice9911 Год назад +11

    Kuhusu kanisa kutangaza sio kwamba Hawa oni wala Hawa sikii nikwa vile kanisa katoliki nikanisa la utaratibu Ni lazima waombe kibari kwa Mungu ili wapate kutangaza maana imeandikwa 1 Yohana 4:1
    [1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Waendelee kuomba na Mungu atatoa kibari kwa kanisa na kuwatangaza.

  • @franciscagloriabowora4074
    @franciscagloriabowora4074 Год назад

    Please translate in English. God is using baby Yunisi May the Lord continue to use her in all ways. Am so happy am a catholic.

    • @antonewasonga2696
      @antonewasonga2696 10 месяцев назад

      I need contact so that go to yunis to be prayed for am sick

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg Месяц назад

    Mungu alikua na sababu kuhusu mtoto mdogo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @charitymwangi-sy7jh
    @charitymwangi-sy7jh Месяц назад

    Pray for me baby Eunice and God will bless you

  • @voietmercy3221
    @voietmercy3221 Год назад

    thanks God for wanderfuil work is doing 🙏

  • @neemalaurent6824
    @neemalaurent6824 Год назад

    Asante mungu kwa miujiza yako

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029
    @jeniphermyingajeniphermyin8029 2 месяца назад

    Aliyetumwa na MUNGU hauliwi kizembe,SABABU MUNGU humjulisha taarifa zijazo kabla hazijafika.Mungu anaweza kumtumia MTU atakavyo,

  • @user-nc2xx9ul2m
    @user-nc2xx9ul2m 4 месяца назад

    Mungu akulinde na kukuongezea imani ili utusaidie waafrika wenzako chini ya maombez ya mama bikra maria

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 Год назад +1

    Ubarikiwe sana

    • @kilianidanda1609
      @kilianidanda1609 Год назад

      Mungu wa mbinguni kwa Imani niliyonayo naamini nakwenda kupona na roho ya umaskini na naamini nitakuwa tajiri kwa uwezo wa mungu

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 Год назад +8

    Be blessed Eunice

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 Год назад

    Yesu Kristo akutunze Mtoto wa Bikira Maria. Ubarikiwe sana.

  • @DwishaMentor
    @DwishaMentor Год назад +7

    Ku balance simulizi hii inapaswa Mfanye na Mahojiano na Askofu wa Jimbo husika

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 Год назад

      Ukifuatilia vizuri watoto wa Fatima,, walipitia changamoto kubwa Sana Hadi kuaminiwa,, yaan hao lazima wawe very challenged na Kanisa, ili kuwa na hakika Kama ni bikira maria kweli,, ndiye anae watokea, c unajua kanisa katoliki sio wakukurupuka, so it takes time hata miaka,,

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 Год назад

      Uzuri hawaja wazuia,

  • @violetyakukuh
    @violetyakukuh 11 месяцев назад

    Amina mama Maria mama wa yesu utuombe sisi wakosefu ,jisi ulivyo katika mtoto Eunice,Amina

  • @mohbear5654
    @mohbear5654 Год назад +8

    Mungu yupo kazin pia shetan yupo kazin just be careful hata shetan hujibadili kua kama Malaika wa nuruni ... ain't judging any one nevertheless who I'm I to judge 🤷

    • @marianaduncan6330
      @marianaduncan6330 Год назад +2

      Umesema kweli hakuna Mungu hapa ni shetani live,bikira maria hawatokei watu na hajawahi kutokea watu ni ushetani umeingia Duniani

    • @scholamdaka9915
      @scholamdaka9915 Год назад +1

      Hakika

    • @mariamjuma4401
      @mariamjuma4401 Год назад

      Very true

    • @gabrielogondi3987
      @gabrielogondi3987 Год назад +1

      Even those who rejected Jesus called Him "devil" so we are not surprised with your comment. Hail Mary full of Grace,,,,,,,,,,,, May God protect baby Eunice in Jesus' name. Amen!!

    • @marianaduncan6330
      @marianaduncan6330 Год назад +1

      @@gabrielogondi3987 only JESUS CHRIST can save the world, repent your sin, JESUS CHRIST is coming soon

  • @Rosemary-rz6cl
    @Rosemary-rz6cl Год назад

    Mungu bariki Mtoto Eunice na maombi zake zitufikia tukiwa hapa kenya

  • @namazzijane499
    @namazzijane499 9 дней назад

    Thanks be to the Lord God if the has done this, let everybody praise and pray to the Lord God amen ❤

  • @joframmbinga5587
    @joframmbinga5587 Год назад +2

    Hakika Mungu anatupenda watoto wake huwa anatupa msaada siku zote.

  • @kendimutunga
    @kendimutunga Год назад

    God can use anyone to service him more grace little may God strength you to God work

  • @janetoneka9528
    @janetoneka9528 Год назад

    Huyu Mtoto anatoka wapi niende jameni..Eunice uniombe katika jima la Yesu Amen.

  • @immaculatenyongesa4293
    @immaculatenyongesa4293 Год назад

    I believe Angel of God in form of female Anointed and baptise the baby with the fire of the hollyspirit, God protect and bless baby Yunis

  • @alysonmukobwa7412
    @alysonmukobwa7412 Месяц назад

    Nime ziuganiza na uduma wake naoba kupona maganja na babagu pia aponne Amen

  • @amaseflorence4845
    @amaseflorence4845 Год назад

    Wow that is powerful God is good

  • @user-fb2rt3ru6z
    @user-fb2rt3ru6z 2 месяца назад

    Mwenyezi mungu pamoja na mama wetu Maria wasidi kumlinda huyo mtoto Amina ❤

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Год назад +6

    Oooh lord thankx 4 this blessed children amen

  • @viviananita5586
    @viviananita5586 Год назад +2

    Very cute 😍😍😍 baby girl

  • @basitjuma6081
    @basitjuma6081 Год назад +4

    UTAPELI MPYA HUU ..UTOKEWE NA BIKRA MARIA 😂😂😂🤣🤣🤣🤣 HALAFU HAONGEI YEYE 😂😂😂🤣

  • @Susan-Namu
    @Susan-Namu Год назад +2

    AMEN 🙏

  • @sarahbrenda1153
    @sarahbrenda1153 Год назад

    It's only God grace may Almighty God bless you

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Год назад +1

    Mungu ni mwema

  • @joanismalang4928
    @joanismalang4928 Год назад

    My mother Mary spiritual bless me too, heal my family members from different evil
    sickness. Amen

  • @Eunicejuma-gg8dw
    @Eunicejuma-gg8dw Месяц назад

    Ongera mtoto bikria nampenda xana Mambo ya lisari 🎉🎉