Mapacha Watatu Kuolewa Na Mwanaume Mmoja | HARUSI HII HAIJAWAHI KUTOKEA DUNIANI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Hiki Ni Kisa Cha Kushangaza Cha Mwanaume Aliyefunga Ndoa Na Mapacha Watatu
Kumbuka: Video ya Asili iliyoundwa kwa KISWAHILI & KIFARANSA na Afrimax Ltd ikimaanisha kuwa tunamiliki haki yake kwa 100% ilimradi sisi ndio tumetoa ya asili na hii ni Toleo la Kiswahili Tafadhali jiunge na Video nyingi za Afrimax Swahili.
Ma pasta wa Siku za mwisho kweli,mwenyezi mungu awasamehe kweli
Sura wamefanana lakin sio tabia, madhali sasa wote wakezako utawajua tafauti zao.
Vizuri Sana Baba angu.. kila mmoja akipata mimba akazaa mapacha wa 3 .tu unapata watoto 9 Mara 3, basiii unawafunga mnafungua shule yenu
😂😂😂😂😂
Cjasikia Ivo tangu nizaliwe.
GOD forbid
😂😂😂
😂
Ni ndani kweli au kuediti, kwa sheria za Mungu hilo halipo,
Hapo hapana ndoa wanazini tu Kwasheria ya Mungu huwezi kuoa ndugu wawili au watatu kwa wakati mmoja
Tena ndugu wa tumbo moja
Zama za mwisho izo
Duuuuh Ndugu Moja Mume Mmoja Kweli Dunia Imefika Mwisho😢😢😢😢😢
Its about to happen to Kenya with our big man stevo. COMRADES FLAVOR kujeni huku.
Waiting for big man Steve, hope it will be the 👌
That's true... can't wait fr our brother Big Man Stivo🔥
Same cant wait to see that big day with our bro🌟🌟🌟🌟
Mbingu Mutaisikia tu ikipita kwa Jirani yenu 😢😢😢😢😢😢😢
Kwanini ??
@@ciarmnyone738 ni nani mwenye Mbingu kama SI Mungu...
Yakobo Israel atakuwa wapi...kama SI mbinguni
Kanisagani hilo namchungaji nae analusu kufungandoa ya wa2 wa3 Bibilia yake ndiyo inamfundisha ivyo kweli 2mefika mwisho mngu a2saidie
P pm
😂😂😂😂😂𝐲𝐚𝐰𝐚
Kwanza nataka kujua Hawa mapacha watatu kuolewa na mume mmoja vp harus Yao imefungiwa Kwa kanisa Gani kwasababu nadhani kitka ukristo ni mke mmoja
Msikose kutuletea mrejesho
Mmm nawasikitieni sana , .mpo kinyume kabsa na nelo la Mungu
Kinyume aje kwan Jacob c alioa Rachel na leah watoto wa mtu mmoja aiii ebu soma bibilia tena congratulations to them❤❤❤
Kharaaaaaaam.Kharaaaaaaam..Kharaaaaaaam.Kharaaaaaaam.Kharaaaaaaaam.
Hapa naona n mtu na maisha yake na maamuzi yake pia.mshirikishe mungu kwa ndoa yenu shetani asije akawatenganishe
Siku za mwisho hizi tukae macho.
Uwo niujinga tu tena yiyi hamna akili kabisa
@@magrethelisha156 ujinga uko wapi kwani wanazini hao wanandoa,kamili wala bibilia haijakataza ndoa za mitala
Jamani nyakati za mwisho zinakalibia duuuuh wapendwa tumuombe mungu
huku kenya pia tuko na comrade triplets soon our luo man is going to tie the knot
😅😅😅 I can't wait
Sasa siungeoa mwenye ulkutana nae Kwanza,mbn uoe wote hao ,ninahuzka na kizazi like lkin nasema haonwatu walipotoka mioyo hawazijui njia zao,
How will it be at bed times? Hard times for this man
It might not be a big deal like any other poligamous marriage, but Incase a social problem, physical and even spiritual it will be so diverstating to the family this a real sisters poleni sana
Nmeangalia historian hii na mm timishio langu niseme tu sijui mm Mungu ndie anaejua ni saw amefurahishwa ama hajafurahishwa Mimi ni mwanadamu tu na nitabaki Ivo Mungu ndie anaejua yote yaliofanyika katika history hii.dah!
My Dea sahhi
A man will continue going slim and slim than present hahahahaha
Congratulations,wish them all the best in their marriage ,May God's Blessings Be Upon them
Tutaomba mrejesho baada ya miaka 2
Kabisaa
Kwel kbs
Wako wanasonga mbele
Muna mjua Mungu,je,mna wazazi,Aibu hii
Maandiko ya wanawake saba kuolewa na mwanamume yametimia kweli Nyakati za mwisho hizi.yesu tusaidie.
Bible is all about Revelation...can't interpret Bible like a novel 🙏
Kweli nikubu'ishibru utakaso, angaliy hata awo ma dd hawana woga yeyote wala haya
The weeding should remain in history
Dunia imeisha jaman tufanye san ibada
Isaya 4:1 katika bibilia
Duuhh kweli nimeenda kusoma😮
Nice 👍 God bless this couples and protect them
Kuoa siyo kazi mwendelezo wake sasa.....tutajua baadaye
khaaaaaaaa😲😲 haya ni makubwa,aya mapacha wanaotaka kuolewa na mimi waje😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣na wew unataka 3
Hahahahahaha hii Dunia hapan stress ukifa umejitakia acha tu ni chekee na wewe unataka mapacha
tuko hap
Hatakama daaa😢😢😢 12:43
Congrats,I have never had a man like you may God be on your side forever
Congra my God blessed u people..gd life💝💖💝
Which God??
Na ww mbna uko na Pete Moja ,au Pete Moja ulivalishwa na wote ama Mmoja
Hakika hii ni huzuni kubwa sana wapendwa tumuombe mungu siku za mwisho zmekaribia yote yaliyo tabiriwa kwenye holy bible sasa yametimia
😊😊😊 sijui kama nicheka ama nilie.... wish you good life though
Mmmm nyakati za mwisho sijawahi ona
I grew up with them in Goma I am not surprised because of the love they had since we were kids , i know they will be fine, I swear no one knew who is who they are like that and they could confuse even the teachers at school at church and in our erea we use to leave in katindo trois pallottes but I swear I myself never new who was who,…
May GOd bless you
Congratulations,may the God's blessings be upon them.
Innalillahi wainnailayhi ranjiuna
Sijapenda ni kama tena hao mapacha wanajirudi
Kwahkik nimevutiw sn na hii chanali kwa hakik muna jitahid Allah atawalipa kwa wema wenu 🙏🙏
Mungu atusamehe Mchungaji hiyo dhambi nawe itakutafuna sijui kama maandiko unayajua hapo umetumia biblia gani kufungisha hiyo ndoa
Mara ni bongo sana 😢 tuniya inakaribiya mwisho😂😂
Watu wanatumia pesa kama fimbo , angekua hana pesa asingewaza huo upuuzi, na hilo kanisa sio la yule Mungu Zumarid kweli🙆
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣aah yaani daahhhh
Haowanawak nao hawakutumia akili
Hata mimi nadhani
hakuna mahali popote ktk bible ilipokataza kuoa wake wengi ni mambo ya mahanith wa ulaya ndio waliyoingiza ktk ndoa wakafanya sheria
Hii kweli ni noma lakini bibilia ilisema wanawake saba watamshika mume mmoja wakisema kula chakula chetu na ufae nguo zetu utuondolee aimbu
😂😂😂😂😂❤❤❤❤ beautiful moment
When did GOD be come man to lie ? He created one man to one wife this is your own world to congratulate
Innalillah wainnailahir rajiun
Wonders shall never end mmmh
What kind of man of God dose that.
Maajabu
Maajabu kweli,kujizarau wanaweke vile.
Kwa nni ht unasema kuwa wamejidharau
Hiiiii ni maaaajabu😂
Mungu awasamehe sana mahana amujuwi munalolitenda....
Ndugu wewe pia unajua unalolitenda!?
Man stivo come this side and see your brother from this side
The coment I was looking for 😂😂😂😂😂😂
Mwisho wa Dunia umefika
Jamani !Mungu hawaonekanie.
Félicitation mn frère
Incredible indeed 👏 everything is possible
Nice weeding god blessed
Nice wedding. May they live long
HAMNA NDOA HAPO UPUUZI TU NA LAANA
Ni wapi kwa biblia imeandika mwanaume kuoa wanawake watatu hio ni tamaa ya mwili na mbele zake Mungu ni dhambi
Abomination watu waiita arusi akuna arusi hapo may God have mercy upon them wote wameongozwa na tamaa za mwili
Wow ❤❤❤
You are a man among men
Congradulations....wish them all the best in earth.....may they live a happy marriage forever❣️❣️❣️
Mitindo mizuri yakushona kitenge
makubwa lkn hongera🎉
Jamaa ataenjoy sana life
😂😂😂😂
Pole ndugu yetu,hata Yakobo alioa wawili lakini pole sana
Good 👍 and fantastic wedding that I have never came across, God bless this couple
Ongeren sana he nakitanda nikimoja
For everything God above all
Wonderful 🎉
So beautiful my God protect you famly
Seens l was born l hv never seen this,they look cute good marriage
May God bless you
Bible is the only answer for every wisdom man and women,Tumia akili usifanye maamuzi bila Mungu.
😢😢😢😢😮😮😮😮😮
Wewahoo good wedding
Nime muona jamaa mumoja hapo papaaa
Huo ni umalaya ungemuoa wa kwanza uliyekutan nae kwanin uwoe wote hao ni familia iyo ni laana
Wewe !!!
Waaaa beautifuly congract
Are they going to share a same bed at night? So interesting couple hahahaha
Mko poa mungu aendeleshe maisha yenu you look nice
Hongera sana
😂😂😂😂😂😂😂.Makubwa haya...... So funny indeed
Hao hawana soko.yani kwa kifupi.
congratulations👏
Amazing
God bless you brother
woooh jaman mungu awap maish mem n yeny furah
Masha Allah
Kwa wakristo ndoa ni moja hata kama ni mapacha kwa mungu hakuna hiyo.
Siku huyo jamaa atafanya kutoa fujo ndo ataelewa alichokifanya🤣🤣🤣🤣🤣
Nimewapenda bure hawa watu kwa kile wamefanya nyie mnaowatukana siwaelew bora hao kuliko wanaofanya kisiri mbona wako sawa mwanaume afungwi ukitaka kujua kuwa mwanaume sio wa mke mmoja jichunguzeni wanaume toka uoe umedumu2 na huyo.mkeo au ww mwanamke mmeo yuko na wewe2 ndomaama wanawake ni wengi kuliko wanaume tusiwaukumu bure tuulize na Mungu kwanza anasemaje kwa hili
That's fine,angiza soda ya baridi hapo kwa muha nakuja kulipa now
Shida,utawaweza?
Mungu hafananishwi na binadamu sio kila jambo uulize rejea kwenye bible anasemaje kama ameruhusu sawa kama amepinga sawa bible ni sheria tosha ya kikristo ukitrngeneza yako iyo jua hajatokana na Mungu
Umenena bora muwazi kuliko kujificha, wengi wanazini mke akiwa mwezini au kujifungua anatoka kwingine. Angalia mnyama swala ktk kundi dume ni moja ndio ujue hata mwanadamu yupo kama huyo mnyama. Hakuna mwanaume alietosheka na mwanamke 1 hiyo haipo abadan.
Hongera Sana umetimiza maandiko ya Isaya 4:1 Barikiwa Sana ndugu
Kuoa ndugu wa damu moja 🤔🤔🤔
haya ni ya mtandao tu jameni.hakuna venye unaweza oa wake watatu mara moja .kwan atawajengea nyumba tatu au watakaa nyumba moja.hayo ni mapepo
Wonderful
Muogopini Allah mtukufu kweli ndugu wa tatu kuolewa na mtu mmoja 😢😢
Unajielewa wewe
It's their choice They know themselves better. Good luck.
It a miracle to me
Acheni kjadili yasio wahusu angalia maisha yako
Hii haijawahi tokea Mungu ibariki ndoa hii uwe ya Upendo wa kweli
Hawo usihofu yanni upendo wao unanguvu kupita walikuwa hivyo tangu utoto wao
I knew this can't be my country 🇰🇪
Pastor mwenye aliwashikanisa unalawama Kwa Mungu .