#PART1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2023
  • #PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 135

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  9 месяцев назад +18

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 7 месяцев назад +2

    Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x 5 месяцев назад +4

    Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 9 месяцев назад +4

    Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake

  • @user-cr7xy6tw5j
    @user-cr7xy6tw5j 7 месяцев назад +1

    Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 9 месяцев назад +2

    Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana

  • @WigiberthiMutahaba
    @WigiberthiMutahaba Месяц назад

    Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv 8 месяцев назад +1

    Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 9 месяцев назад +5

    Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.

    • @tumainimalulu7708
      @tumainimalulu7708 2 месяца назад

      Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.

    • @RashidThabite
      @RashidThabite Месяц назад

      Umetoa radhi nzito sana mama

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Месяц назад

      @@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari

  • @Anoldi-yj7mf
    @Anoldi-yj7mf 21 день назад

    Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji

  • @AishaOmary-fl8qo
    @AishaOmary-fl8qo 2 месяца назад

    Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka

  • @user-ip7rq4ro9w
    @user-ip7rq4ro9w 3 месяца назад

    Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm

  • @MohamedAly-zp3zh
    @MohamedAly-zp3zh 3 месяца назад

    Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 2 месяца назад

    Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana

  • @allandavid870
    @allandavid870 9 месяцев назад +3

    Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana

    • @globaltv_online
      @globaltv_online  9 месяцев назад +2

      Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 9 месяцев назад +1

      Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako

  • @zawadimapumba7557
    @zawadimapumba7557 4 месяца назад +1

    Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana

  • @WitnessMmlamba-zx7lc
    @WitnessMmlamba-zx7lc 2 месяца назад

    Pole sana

  • @VeronicaMarsel
    @VeronicaMarsel 5 месяцев назад

    Pole Sana chaliingu mungu atalipa

  • @user-gu6wg6jp5n
    @user-gu6wg6jp5n 7 месяцев назад

    Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t Месяц назад

    Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan Месяц назад

    Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa Месяц назад

    Pole sana mdogo wangu

  • @herberthatibu8439
    @herberthatibu8439 9 месяцев назад +2

    Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.

    • @likimaro6
      @likimaro6 9 месяцев назад

      Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?

    • @abdallahmwanga5792
      @abdallahmwanga5792 9 месяцев назад +1

      Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe...
      Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 9 месяцев назад +1

    Polle sana Kijana

  • @PAUlWEKESA-de6tb
    @PAUlWEKESA-de6tb 7 месяцев назад

    Pole sana brother yangu

  • @user-ux2xo5sl3c
    @user-ux2xo5sl3c 8 месяцев назад

    Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i 5 месяцев назад

    Pole sana kijana

  • @AdrianNtarambe
    @AdrianNtarambe 22 дня назад

    Aisee

  • @Ibrahim21784
    @Ibrahim21784 8 месяцев назад +2

    eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi

  • @user-qs1ii7vq7w
    @user-qs1ii7vq7w 3 месяца назад

    Pole Sana kijana!

  • @BARIKIELMICHAEL-fc7oh
    @BARIKIELMICHAEL-fc7oh Месяц назад

    Pole sana kaka

  • @user-hc2hb8yi6s
    @user-hc2hb8yi6s 7 месяцев назад +1

    Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata

  • @user-fl3tj2tp3e
    @user-fl3tj2tp3e 8 месяцев назад

    Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa

  • @JeanIradukunda-qw6eb
    @JeanIradukunda-qw6eb 14 дней назад

    Pore sana kaka yangu

  • @rubenimajura
    @rubenimajura 9 месяцев назад

    Pole kaka

  • @user-vf8rq5ux6m
    @user-vf8rq5ux6m 5 месяцев назад

    Pole

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 9 месяцев назад +2

    Hiyocm nitaipataje nijulishe

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 9 месяцев назад +2

    Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 9 месяцев назад

      Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine
      Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu
      Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo
      "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta
      "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa
      Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ?
      Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama
      Vipo kwaajili ya wahalifu?
      Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ?
      Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu
      Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu

  • @ondb.tv593
    @ondb.tv593 7 месяцев назад

    Mungu atakulipia hapa hapa duniani.

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 9 месяцев назад +5

    Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂

  • @user-in9cg4pw4o
    @user-in9cg4pw4o 3 месяца назад

    Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 8 месяцев назад +1

    Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa.
    Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe.
    Wamsoka yote hayo

  • @user-lq9cy3il4o
    @user-lq9cy3il4o 6 месяцев назад

    Da! Pole

  • @BenardRamadhan
    @BenardRamadhan 7 месяцев назад

    Pole san

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 7 месяцев назад

    pole saaana dogo .

  • @user-cm9uc4fv2n
    @user-cm9uc4fv2n 8 месяцев назад

    Pole sana uyo mam ana matitz

  • @user-wb2by4pw9f
    @user-wb2by4pw9f 2 месяца назад

    Pole san kaka

  • @B-horbir
    @B-horbir 8 месяцев назад +1

    B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie

  • @user-yp2wk1ic5o
    @user-yp2wk1ic5o 4 месяца назад

    pole sàn

  • @frankjulius12
    @frankjulius12 9 месяцев назад +1

    Part 2 ikowap

  • @safnosmosha
    @safnosmosha 9 месяцев назад +1

    So sad

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 9 месяцев назад +1

    Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA

  • @OscarOuma-ho6hl
    @OscarOuma-ho6hl 4 месяца назад

    Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari

  • @josephatpius5594
    @josephatpius5594 8 месяцев назад

    Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana

  • @user-ji6vg2vq4p
    @user-ji6vg2vq4p 6 месяцев назад

    Pore sana

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 9 месяцев назад

    😢

  • @user-kg2mw1jl2h
    @user-kg2mw1jl2h 7 месяцев назад

    Pel❤

  • @user-rg9ny6ll8o
    @user-rg9ny6ll8o 5 месяцев назад

    Bv

  • @aboually2472
    @aboually2472 2 месяца назад

    Maturubai hyo

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o 5 месяцев назад

    Like

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o 5 месяцев назад

    Iike

  • @user-mp5uq2mb8u
    @user-mp5uq2mb8u 7 месяцев назад

    Mambo vp pole

  • @ramadhanmzagira7831
    @ramadhanmzagira7831 9 месяцев назад

    kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike

  • @UswegeRichard
    @UswegeRichard 8 месяцев назад

    Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA

  • @cosmasibundala
    @cosmasibundala 2 месяца назад

    Mambo vp

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og 9 месяцев назад +2

    Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2

  • @AbdiSekarani
    @AbdiSekarani 17 дней назад

    😊😊😊😊😊😊❤😅😊

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 7 месяцев назад

    Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp 9 месяцев назад +1

    Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu

  • @AredFered
    @AredFered 6 месяцев назад

    Dah wafanyakaz kaz tunayo

  • @user-us3sv3pp1t
    @user-us3sv3pp1t 7 месяцев назад

    Mh inauma

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 2 месяца назад +1

    Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.

    • @BraysonKileo
      @BraysonKileo Месяц назад

      Daah MUNGU atamwonekanaye

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 Месяц назад

      Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 Месяц назад

      Yamini ni muongo
      Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine

  • @SellahMohamed-it7dg
    @SellahMohamed-it7dg 4 месяца назад

    Pore Mwanang San

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 7 месяцев назад +1

    ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini

  • @JohnKapwaga
    @JohnKapwaga 6 месяцев назад

    Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,

    • @user-lq9cy3il4o
      @user-lq9cy3il4o 6 месяцев назад

      Da; hatar

    • @Teddygeorge-ub7su
      @Teddygeorge-ub7su 4 месяца назад

      Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!

  • @JamesKisabo
    @JamesKisabo 3 месяца назад

    Hata mm lazima nibake kwahali hyo

  • @LadslausKyandoh-ru1il
    @LadslausKyandoh-ru1il 8 месяцев назад

    Ooe

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn 2 месяца назад

    Loho inauma

  • @WarwinuKaremeri
    @WarwinuKaremeri 29 дней назад

    Huyo mama ni shetani

  • @user-nv6rz3kd5p
    @user-nv6rz3kd5p 2 месяца назад

    Walioko jela wengi wao hawana makosa?

  • @user-su9lf4lb2v
    @user-su9lf4lb2v 6 месяцев назад

    Mungu.atasimama.nao
    Inshalla.watoto.wote

  • @user-tq7xj5tr3k
    @user-tq7xj5tr3k 7 месяцев назад

    Sipowa

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y 28 дней назад

    Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo

  • @JumaLichombo-ev9zi
    @JumaLichombo-ev9zi 6 месяцев назад

    Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba

  • @ferguslyagoda4049
    @ferguslyagoda4049 9 месяцев назад

    Hii ni kiki?

  • @user-qg8wl2gi2o
    @user-qg8wl2gi2o 3 месяца назад

    Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay

  • @JumaCharura
    @JumaCharura 7 месяцев назад

    Dah pol San wem s wot

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 9 месяцев назад +1

    Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU

  • @user-fi7zr2xy3m
    @user-fi7zr2xy3m 3 месяца назад

    Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu

  • @JamesAndrew-xs5bt
    @JamesAndrew-xs5bt 4 месяца назад

    Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.

  • @user-ss9nr1ol1d
    @user-ss9nr1ol1d 7 месяцев назад

    Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 7 месяцев назад

    Ufanye uchunguzi ulipwe fidia

  • @user-no2ug6td1c
    @user-no2ug6td1c 7 месяцев назад

    mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 9 месяцев назад

    Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?

  • @ramadhanimaganga8068
    @ramadhanimaganga8068 9 месяцев назад

    Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri

  • @user-dm5hq4jf1s
    @user-dm5hq4jf1s 9 месяцев назад

    Pole sana

  • @Shimboy-hl4eg
    @Shimboy-hl4eg 8 месяцев назад

    Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.

  • @LameckOSadiq
    @LameckOSadiq 6 месяцев назад

    Angemgonga kweli ili akome