#PART1
HTML-код
- Опубликовано: 14 авг 2023
- #PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
O
😅
Mal
Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao
Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa
Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake
Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu
Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana
Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,
Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana
Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.
Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.
Umetoa radhi nzito sana mama
@@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari
Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji
Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka
Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm
Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.
Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana
Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana
Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?
Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako
Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana
Pole sana
Pole Sana chaliingu mungu atalipa
Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema
Inasiktsha
Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama
Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.
Pole sana mdogo wangu
Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.
Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?
Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe...
Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...
Polle sana Kijana
Pole sana brother yangu
Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu
Pole sana kijana
Aisee
eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi
Pole Sana kijana!
Pole sana kaka
Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata
Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa
Pore sana kaka yangu
3:11
Pole kaka
Pole
Hiyocm nitaipataje nijulishe
Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa
Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine
Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu
Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo
"Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta
"Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa
Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ?
Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama
Vipo kwaajili ya wahalifu?
Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ?
Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu
Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu
Mungu atakulipia hapa hapa duniani.
Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂
Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani
Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa.
Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe.
Wamsoka yote hayo
Da! Pole
Pole san
pole saaana dogo .
Pole sana uyo mam ana matitz
Pole san kaka
B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie
Hello, uko Drc sehemu gani please
Ndio hata mimi nadhani ni hivyo hakutaka amlipe akaona apange uwongo huo
Yes
pole sàn
Part 2 ikowap
So sad
Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA
pole sn
Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari
Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana
Pore sana
😢
Pel❤
Bv
Maturubai hyo
Like
Iike
Mambo vp pole
kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike
Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA
Mambo vp
Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2
😊😊😊😊😊😊❤😅😊
Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake
Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu
.
Dah wafanyakaz kaz tunayo
Mh inauma
Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.
Daah MUNGU atamwonekanaye
Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto
Yamini ni muongo
Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine
Pore Mwanang San
ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini
Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,
Da; hatar
Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!
Hata mm lazima nibake kwahali hyo
Ooe
Loho inauma
Huyo mama ni shetani
Walioko jela wengi wao hawana makosa?
Mungu.atasimama.nao
Inshalla.watoto.wote
God have plan to him
Sipowa
Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo
Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba
Hii ni kiki?
Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay
Dah pol San wem s wot
Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU
Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu
Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.
Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi
Ufanye uchunguzi ulipwe fidia
mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa
Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?
🤣🤣🤣
😂😂😂😂 hii ni Tanzania broh
Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri
Pole sana
Ss mkwel nan
Ukweli n upi Sasa?
😂😂du
Unamjuaje?
Pole sana
Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.
Pole sana Kaa
,
Angemgonga kweli ili akome