Woooow nimempenda victoria bure,ilaaa ctovunja heshima kwa mume wangu nitahakikishaa nafanya yote yanayohitajika katk ndoa.Mdada wa kazi kwangu hapana,maelezo tosha anayo victoria.Mwanandoa yeye hebu mfwatilie vick maelezo yake❤❤❤
Hakuna kitu cha maana kinachomfurahisha mwanaume kutoka kwa mkewe kama heshima,kumbukeni heshima si utumwa,funzo nzuri sana hongera kwa wahusika,wakenya mpo❤❤❤
A touching and educating story,,,but a lesson to ladies who are not responsible to their husbands...l thank God am able to play my roles responsibly...Men should be respected for the best outcome
Nimejifunza kitu maskini vle uaga naforce mapenzi bila mafanikio bora nikae lwa kutulia mume atakuja mwenyewe❤❤❤Asante kaka KELVIN KHAN❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
Ndoa nyingi zinavunjika kwa sbbu ya uzinifu. Watu wanazini ndio wanaoana. Na yyte anaezini hata km anazini na mmoja tu wkt hajamuoa huitwa mzinifu na mzinifu yyte haachi hata akioa/akiolewa. Na ndoa ya mzinifu yyte hua haina barka ndio mana haidumu na ikidumu hua na majuto mengi/inaoumulia gas.
TIZAMA SERIES YETU MPYA HAPA BONYEZA LINK HII ruclips.net/video/V7IXrzvKkAM/видео.html
0pnmko
Blood
Mo
Mi9
1:20 1:21 @@NeemaMhinda-ki7pd
Kuy
5:04
Daaah wanawake kwa sas tunaoa imurad tu🎉
Naomba kuwe na utaratibu mzuri wa kuachia kazi zenu,
Asante sana Mr Kevin acha sasa ningoje mke wangu aje kwa mawaidha yako naku watch kutoka Nairobi Kenya.
Yes 8:13
Nmependa@@DigitechSystems-p8b
Asante sana kelvin ni mafundisho mazuri sana na vijana wengefwatilia vipindi hivi vina msaada mkubwa sana
Mafunzo mazuri daktari Kelvin keep it up.congratulation 👏👏👏👏👏👏👏
Hi
Safii sana Kelvin...Alikuletea mwenyewe mke sahihi...Mpuzi sana Wanawake wasiojua majukumu yao wanavunja wenyewe ndoa zao kwa mikono yao
Bi rahma .kelvin Hamia upende huo kazi zote anajuwa mpe vyote
Wow love u so much movie jamn iringa ni kweli kabisa tuna heshima kelvin nice job ❤❤
Nomasan
Woooow nimempenda victoria bure,ilaaa ctovunja heshima kwa mume wangu nitahakikishaa nafanya yote yanayohitajika katk ndoa.Mdada wa kazi kwangu hapana,maelezo tosha anayo victoria.Mwanandoa yeye hebu mfwatilie vick maelezo yake❤❤❤
Kupitia move zako nimejifunza kuwa mke Bora kwa mme wangu❤️
Ubarikiwe Kwa kujifunza Mimi pia yaani kelele ya kwanza Kwa wahehe wakeeeee
😅😅😅father Bernard tukitembeagq na mabek3 ndoo mnalalamika ❤😂apo chapa ilaleee
Barikiwa sana kaka
Asante kaka
Mh bado huja SEMA 😂😂
Kupitia hii movie nimejifunza kumtii mme Wang kelvin hongera Kwa kazi nzur inatufundisha wanawake uwa watiifu Kwa waume zetu❤
🎉
Yeah pia mm nmejifunza kuwa mke mwema huletwa na mungu
Hakuna kitu cha maana kinachomfurahisha mwanaume kutoka kwa mkewe kama heshima,kumbukeni heshima si utumwa,funzo nzuri sana hongera kwa wahusika,wakenya mpo❤❤❤
Mwana dada wamahana sana huyo m
Muhooe huyo
Mimi kutoka Kena 16:58
@@samuelnthia8858 😘😘😘
Wakenya wenyewe vichwa ngumu.
Jaman dad Zang kw Hal mtaachik sans maa. Mwanaum ni km mtoto
Akh cjaoleka ila nimejifunza mengi kupitia hii movie asant sana kaka mungu akubariki nakupenda bure❤❤❤
Duu
UK wp
Moon kinÿ
Umetisha Sana bro,wanawake walioko kwenye ndoa kuleni chuma hicho😍😍
Hahahha
Chuma kizito tna
😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Nimejifunza mengi kupitia hii stry...Mungu awabariki sana nyote mulioshiriki❤❤❤
Nimekipenda sana inafundish
Hongera xana kelvine🎉🎉🎉🎉❤
A touching and educating story,,,but a lesson to ladies who are not responsible to their husbands...l thank God am able to play my roles responsibly...Men should be respected for the best outcome
Am Christine watching from Kenya ..037
Ilo ni funzo kwa Wana ndoa ,musimwachie mfanyikazi kazi za ndani zote,❤❤❤
Funzo wanawake wawati wanaume zao nasi wasiwachie majukumu wafanyakazi wa ndani
@@Mpakauseme yes
Congrats kevoh
Ujumbe umetufikia ❤ lv story I want part 2
Nimeielewa Sana hii move mungu awAbaliki mzidi kufanya vzl kuelewesha jamiii
Hongera kaka ang umecheza vizuri san hiyo movi mung azid kukubarik🙏🙏🙏🙏
Very smart I like your job God is blessing you in your archivement.
Ashante sana tumepata funzo. Much love from Kenya
Hongera kwa nzur wanawake wengi wanajisahau sana wanapopata wadada wa kazi
Pongezi qwa kazi nzuri Kelvin I am Elly watching from kenya
Hi
Kev naomben kufanya kaz nanyie hakika donta tv nifundisho la wengi❤❤❤❤❤nawapenda hata mim naweza pia
Woooow...thank you Kelvin for such a good lesson
Asant San kelvn hitor zako nzur San ngoj nimesubir mke mzr
Napenda sana movie zako Kelvin zinafundisha kiukweli
Watching from saudia arabia, thank you for your story kevo
Kevo ongeraa🎉🎉
Waoo kazi nzuri sana bro MUNGU aendee kukubariki na kipaji chako
Asante sana
Kasi mzuri kabisa keveni
Asant sana kevoo hii movie imenifunza umuim wa kuishi na bwana yangu nikimpata juu mm bado❤
Hongeea tena sana Yani tungekuwa na wanaume kama Kevin wadada wa kazi tunge nenepa Yani hii movie imeweza😂😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Woooow kazi nzuri mungu azidi kuwabariki
Ongera Kelvin kw kaz nzr na yenye mafunzo❤❤Mna sisi wanawake mda mwengne tunajisahau kiukwl 😢 Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰🥰
Ni kweli
Ni kweli
😢waoo ilo sisi wanawak mda mwingin tunavhukulian mabwan daahn
Mm hata niwee ninafanya kazi office siwezi andikaa mufinyii wa kazi za ndani ila muko Vizuri much love from kenya 🇰🇪
Congratulations my dear kaka mungu akufikishe mbali kwa mafunzo yako
Hongera saaan Kevin Kaz nzur MUNGU akubariki 🎉🎉🎉
Keveni mungu akusaidie kaz nzuri mm binafsi nimejifunz@❤❤❤❤❤
Nmeipenda kazi yako kelvin ❤.
Wanawake tupate somo apa.
Asante kwa uwepo wako.
Oya kaka Kuna k2 nimejfunza umetishaa
Kwa kweli wanawake tujitambue
poa asante na we
Hi
P
Nimejifunza kitu maskini vle uaga naforce mapenzi bila mafanikio bora nikae lwa kutulia mume atakuja mwenyewe❤❤❤Asante kaka KELVIN KHAN❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
Hongera sana Kev kazi nzur Vic nimekupenda mhehe wangu❤
Kazi nzur bwana kerv mungu akupe sku nyingi ili uendelee kutufunza
The movie is so torching and it has a lesson thanks for the movie Dontatv we need more of this
Hongera sana Mtunzi kwa kazi nzuri sana na fundisho kubwa sana kuhusu mahusiano 🎉
Hongera Kevin kwa kazi zuri kutoka Kenya 🇰🇪
wew
Yaan Kama ingekuwa tuzo Bora ya filamu hii ningeipa tuzo ni kazi nzur sanaaa
❤❤❤❤ ad Raha Yan ukipat mwanamke kama Uyo Raha Sana victoria umetisha
Asante xna kelvin kw mafundisho yenu mungu awabariki xnaa🎉🎉🎉
Nakupenda buree😂kakangu ni kweli wanawake tuwatunze wauwe wetu jamani
Weeee ni waume zetu sio wauwee😁😁😁😁😁
@@ZulfahAbdillah-fd5gq 😃😃 jamani binadamu hayuko kamili ndugu
@@cellcelll2151 usijaleeeee shogaleeee😄😄😄😄😄😄
@@ZulfahAbdillah-fd5gq wanikosoa mwenzio
@@cellcelll2151 usijal bhana ni utani too mamii please usikasirike bhana
Nzuri n inafunza sana hongera kwako mtunzi❤
Daaah nimefurahi sana heshima ya huyo dada wa kazi ❤❤
Duh
hongera sana jaman mko vizur kutunga movie
Hii ni heshima ama upuuzi hufai kupigia mwanadamu mwenzako magoti kwa jina la kumpa heshima
kabisa
Very good advice to all ladies, thanks so much dear brother
Wanawake wengi huwa wanakosa upendo wa wanaume wao, kwa sababu ya kutowaeshimu waume zaid. Asante sana bro kelvin umenifunza mengi sana💪.
Vicky Yuko na adabu za Hali ya juu nimempenda buure❤❤
congratulations good jb na wapenda sna 😍😍💚
Asante sana 🙌
Great job ❤❤❤much love waiting part 2
Mke wa nyumba anampa dada wa KAZI nafasi ataachwa Tu nafasi imeenda Rabia nzuri zimemuokoa dada wa kazi
Mabosi kaeni rada Tia chako maji ama kikurambe kama huyo
Kevin nakupendaa sana kazi unaijua hongera sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kelvin nimekuelewaaa kwa uzuri sana pamoja na victoria'haya wanawake jamiii ya mke wa kelvin kaziiii mmeionaaa??? Jifunzenii hapa ❤❤❤❤❤❤
May God bless your talent 🙏🙏🙏
Wahehe wenzangu wote mnyoshee mikono juu jomoni❤❤😂😂
Tupo hapa
Katuwakilisha vzr
Kevin katisha hata Mimi Sasa natafuta mhehe Tena nakwenfa huko huko iringa
😂tupo hapaa😂
✋✋✋✋✋
Much love Kevin una mafunzo mazuri❤
Cģþźñçéz2
Cģþźñçéz2
Kaka we noma move kali💪👊👊👊🙏
bjr kev vraiment unamafundishomazurisana nafata ma vidio yako en tout cas mungu akubarikisana niko apa congo precicement à Lubumbashi nakufata 100%
Umegusa maisha niliyopitia Kevin,dah, hakika nimejifunza kutoka kwako,,big up.
Uuuuuuh pole eee
Kijana mkarimu nimejifunza mazuri kutoka kwako from kenya
Wewe ni muigizaji
Move nzur na yenye mafunzo ❤❤❤
Asante tunachakujifunza
Kelvin uko vizuri sana nakupongeza kwa kazi nzuri
Kevin pongezi sana bro Kwa kazi nzuri much love from Kenya ❤️❤️❤️
Baba
Thanks bro unatufundisha vyema kbs mwenye macho haambiwe tazama
Wow!!!what a lesson!!!!
Congratulations 🎉 Kelvin 👏👏👏
Such a wonderful educating story,,,,congrats
Mafunzo mazuri,asante san🙏
Asante sana 🙌
Asantesanabro umenifundixhakitu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤
Munguakubaliki❤❤❤❤❤
Mafunzo mazur
🙏👏
waoooooooooh wanaume Muko wapi munapendaga wa dada warembo sana munaona je iyi vidéo Sisi wabaya tunamiliki Vitu n'a penda iyo kitu
Hongera sana kaka kwa kazi yako nzuri congratulation 🎉🎉🎉 kevo
nimeielewaa sana hii broo kazi nzuri unayoifanya mungu azidikukukuinua 💖💖💖
Ata mim nimejfunza 11:53
Wana wake pateni funzo Kwa hayo
Keep up broh Kevin much love from Kenya 🇰🇪
Nimekuwa shule kwa hii movies
I love it! Keep it up Much love from Kenya
Zaka
Wahehe tuko poa sana asante
Tu as bien reçu❤❤❤❤ jet aime iyo nikweli mon frère .
Nimejifunza mengi sana katika move hii njoo mmewangu tuinjoy maisha ❤❤❤
Kaz nzur Kaka ❤️❤️ mungu aenderee kukuweka nimejifunza kitu kptia muvi hii ❤️❤️
Very educated movie for marriages... congratulations Kevin
A
Dada
Indeed.... it's a very educative movie
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🇲🇾🇲🇾
wauu!! I love it much love from this side!!
M/ngu akujaalie maisha marefu uwafindishe waliopotea
Umekataa kumuhutumia bwana Yako tena unamwambia akununulie ma nguo una akili wewe kweli
For FIRST time here I just give Mr Kavo 💯💯👍 wanawake ndo hiyo lesoni
Unajua mambo mengi sana my brother ningekuakalibu yako nigejua mambo mengi❤
Good work....God bless your talent
good
MashaaAllah Funxo kibao ❤congratulations kervin na your crew
kiukweri iro ni darasa tosha,mungu akuongezee kipaji Kevin
Kweli nimeyashika nimafudisho bora❤edeleahivyokaka Kevin
Educative movie to the generation today... Congrats namesake
Duuuu jaman tuwe tunaangalia wanawake wakuowa check huy jamaaa anavyohangaika uzur wa mwanamke tabia bwan anawez kuwe mzur kwasula lakin tabia hamn kituuu
Mamb
Very educative movie keep it up. ❤
Hongera sanaaaaaa mbarikiwe 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ndoa nyingi zinavunjika kwa sbbu ya uzinifu. Watu wanazini ndio wanaoana. Na yyte anaezini hata km anazini na mmoja tu wkt hajamuoa huitwa mzinifu na mzinifu yyte haachi hata akioa/akiolewa. Na ndoa ya mzinifu yyte hua haina barka ndio mana haidumu na ikidumu hua na majuto mengi/inaoumulia gas.
Inamafunzo ndani yake, watu wanajisahau saña wadada wa siku hizi
Part 2 jamani ❤❤❤❤
From Congo 🇨🇩✌️ nakukubali sn brother 🙌
Asante sana
Asante sana mr Kevin acha sasa ningojee mkee wangu ili niweze nimpe mawaidha kama haya naku watch kutoka meru kenya
Asanteee sana nmejifunza , natarajia kuwa mke Bora kwa mume wngu mtarajiwa.........🙏🏻
Wonderful story .educating one expecially to our young souls .nice job
❤❤❤❤❤❤❤❤
Wow much love you from norge❤❤❤
Wanawake kuleni chuma hicho❤❤❤❤❤
Akh nimejifunza mengi nimeshukuru sana kelvin jinsi ya kumuheshimu mume wangu ambaye mungu atanijalia
Asante sana kaka nimejifunza mengi kupitia movie zako mungu akubariki🙏
Nipeeni Mke Mtanzania Nioe, Napenda sana kiswahili yenyu
Mm hap nipo
Nipo mm
Toa namba wakutaft
Umpeleke huko kwenye vita
Karibu unakaribishwa tuu tanzania
Sikupingi kaka donta❤
Napenda sana donta tv ❤
Asante sana
Kelvin mtete Vicky hongera Kelvin nakupa maua na dada Vicky❤❤❤❤❤Asante