Asalamu alaikum warhamatullah wabarakallah nawapenda kwa ajili ya Allah 🙏 nimewai Leo nipeni like kumi tu 🎉🎉😂😂 familia ya kina Tina yapigwa na kitu kizito
Tulio subili kwashauku sana kumuona mr gamba anapukutika yeye na family yake tujuane .pia tulioguswa na kendi 😢😢😢 tuipe pole family ya kelvin kwa msiba😢😢😢
Hapo kwenye kufa kwa candy wameharibu bhn angetakiwa amwambie bony ukweli ili ajue atakubali au laa wanagap wanaish na maambukizi na maisha yanaendelea 🙃🙃
Pole sana family ya mzee maroo kwa kunyanganywa mali ambayo mlipata kwa njia ya mkato Tina pole sana marigo yote kushiney😂😂😂 pia pole sana family ya kelvin Khan kwa kumpoteza cendy 😭😭😭
Jamani Kendy bora awe amezima tu kwani sipendelei tumkose episode zijazo kutokana na umuhimu wake ivo bac lakini denisi umetisha kaka hongera kwa nafasi yako kuitendea haki
Denis kumbukumbu zangu zinaniambia hata wewe Lati anaweza akaja kukuliza mbeleni maana wakat wewe ukifanya harakat zako za nyaraka hata yeye pia alikuwa na harakat zake so ni swala la mda tu denis utalia😂😂😂😂❤❤❤
Waah kimeumana huku ,Tina zmu yko sasa maisha ya slayqueen kwisha ,,aky nawapenda xn Donta tv kaz nzur ALLAH awazidishie vipaji vyenu ,nimejifunza mmb meng xn kutokana na hii series wallah ,CONGRATULATIONS🎉🎉🎉❤❤❤❤
Jaman msiba wa cendy umeniuma😭😭 xna kwann xax kafa c wangefanya awe hai t mana ih family y kina kevn majanga t kila cku majanga aya inaxtair wangepata wakina tina co kina kevn imeniuma xanadaah😢
Wakenyaaa nipo kabisa alf hii familia ya kelvin imenifanya nikatoa chozi dipo nikakumbuka ni kuact but hii seris kama waifuatilia kutoka mwanzo inamafunzo mengi mbarikiwe sana donta tv
Hongera sana wajina wangu Kevin nainjoy sana kuangalia tamthiliya yako najifunza mengi sana ktk life ya kawaida of course nainjoy napenda sana maisha kama yako mungu anilindie ww na akupe maisha marefu my brother hakika unawafunza wa2 wengi jinsi ya kuishi katika jamii tamthiliya hii imetisha sana congratulation kwa kaz nzur watu kama ninyi mnatakiwa sana by kelvin joseph or masunga joseph 19 years
Team Donta Tv tupo hapa au nipo hapa nawakilisha toka Masasi Mtwara.. Kiukweli mnfanya kazi mzuri sana kazi zenu nimezipenda sana kiukweli endeleeni na ubunifu story mzuri na kujifunza makosa na kuna baadhi ya matukio mfano thamthilia ya Before I met smith na mwenzako mlikuwa bar na pia hamkugandua lebel sasa sijuhi mmeingia matangazo na hiyo bia?? Ila Big up sana mnatupa burudani mzuri sana.
Mmmmh napunga mkonoo donta tv episode hii ya 61 mumetuamulia imekujaa moto zaidi tena ya kuvutia......hicho ndicho kinacho wafaaa familia ya tinaa .....hongera bi lati na bw deno muko vizuri kweli....poleni sanaa kelvin kwa msibaa wa dadako kebdi laiti kendi angewaza kumsikkilzaa mamako haya hayangewasibu.....tunasubiria episode 62
Jamani jamani eee😂😂😂Joo muone kapuni ma lesn za nyumba 😂😂ila pole sana kwa jamaa ya Kelvin kwa kupoteza kendy😢😢inauma na hivi Trump amesema hakuna msaada wa ma ARV alioba mbora nife mapema😢😮
Asalamu alaikum warhamatullah wabarakallah nawapenda kwa ajili ya Allah 🙏 nimewai Leo nipeni like kumi tu 🎉🎉😂😂 familia ya kina Tina yapigwa na kitu kizito
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh Alhamndulillah ❤
Waleikhum Salam warahmatullah wabarakatuh
Walaikumsalam warahmatullah wabarakatuh ❤
Wa'alaykum msalam warahamatulah warahamatulah
Waalykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Namba one tumpe kelvi maua yake🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mim wa 300 sitaki kuwa muongo 😅😅😅 maan Kila mtu anasema yeye wa kwanza haya mnipe like Yangu ♥️
Uko sawa👋
😂😂😂😂😂
@Tinah-n7z mambo
@TitoMichael-np2kh poa
Mimi niwa 630😂
Asante Sana Denise but usimusaau Kelvin Hana kosa jameni 🎉🎉🎉 mike mkenya nawafuatilia Sana
Mm huyu denisi ana nifurahisha sana 'mcheza picha nae kuchezewa picha hatari sana aisee😅
Denis nae kitamramba😂😂😂
Mke wake sijui ndio kamchezea huo mchezo pamoja na kelvi mbn weoooooo😂
Usimwamin mtu😂😂😂 denis kitakuramba ni suala la muda tuu lati nakupenda bure❤❤
Kabsa yaan kila mtu lazima kimrambe😂
Kweli kabisaa
😂😂😂kabisa mali lazima zirudi kwa kina kelvin
Kwakweli hii movie inatupa mafunzo, hongereni sanaa waandaaji wa hii filamu
Jaman mbn sielewi
Wow!! Nimekuwa wakwanza leo kila anayesoma comment hii Mungu akubarik ukawe mkombozi wa familia yako🙏
Amen 🙏🙏
Aamiin
Amina 👏 👏 👏 👏 👏 👏 👏 👏
Anaeumizwa na kilio Cha Kevin tujuane kwenye like
Aky
Jamani
Wewe ni kichwa sana Kelvin.mungu akubariki sana na sana ufanye zaidi na zaidi.
Msiba wa kendi umeniuma sana ,kama na wewe umeguswa gonga like hapa
Ata mim
Qweli asha left
Kafie mbele mbele pia ww
Na musibu enyewe umeharibu movie
Jmn 1:52
Tulio subili kwashauku sana kumuona mr gamba anapukutika yeye na family yake tujuane .pia tulioguswa na kendi 😢😢😢 tuipe pole family ya kelvin kwa msiba😢😢😢
Sawa kabisa na yeye Gamba avune matunda kazi yake
Hapo kwenye kufa kwa candy wameharibu bhn angetakiwa amwambie bony ukweli ili ajue atakubali au laa wanagap wanaish na maambukizi na maisha yanaendelea 🙃🙃
Ndy❤❤
Kweli kabisa
Ukweli kabisaa
Kweli ata pengine vipimo x vyake ata
Kweli ukute walisiganisha
Pole sana family ya mzee maroo kwa kunyanganywa mali ambayo mlipata kwa njia ya mkato Tina pole sana marigo yote kushiney😂😂😂 pia pole sana family ya kelvin Khan kwa kumpoteza cendy 😭😭😭
Miongoni mwa vipande vilivonickitisha sn ni hiki cha kumuona Kevi anatoa chozi dah kwl hili limemuuma sn broo wetu.Pole sn kaka na familia yako.
Waliohuzunika😢kama mie kwenye kipande hichi tujuane kwa like❤❤
😢😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤
🥲🥲🥲🥲jmn
😢😢😢jamani 😢😢😢
1:01 Machozi ya mama kendii kama yamekumiza tujuwane
🎉
Mama kendi pole😢
Uyo mama msenge
Yaan anajua kuvaa uhalisia kwa kulia tu 😭
miyote mama kend nav
Much love guys from Kenya 😍😍wa kwanza Leo msininyime likes ❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👌
Wa pili
Hongera kipenzi 🎉🎉🎉🎉🎉
Komokomo🎉😊
Ndo tushakunyima hvyo 😅😂
Mungu awatie nguvu familia ya kina kelvin 😢😢😢😢
Mie nipo bz hapa namyamazisha mke wangu kulia tutakumiss DaCandy Poleni sana wana familia
Wanao mpenda kevn toa like❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
Dennis hataki mchezoo,Tina anachapwa makofii,na anasema nisiguswee😂😂
😅😅😅😂😂😂yani apo ndo amenimalizq 😅😅😅
😍🤣🤣🤣
😂😂😂
Acha akome
Kofi mengine.
Unaweza kufa 😢
Kama wewe mkenya🇰🇪 gonga like hapa🎉🎉🎉
Pamojaa
😅❤❤❤❤❤❤
Pamoja 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Here we are
🎉🇰🇪🇰🇪
msbawa kendy umenifanya niione series imepoa kama unaungana na mm kwa hili gonga like hapa❤❤❤
Umepambana Incharge bravo...mnazid kutufurahisha.😊
Wooow 14 mnts agoo Na kumejaaa kuonyesha how much we love Kelvin ❤❤❤❤from kenyaa Maua yake Kevin ❤❤
watching from Kenya no one today..msininyime like jamani.... pole kelvin na loveness na mama kwa wakati huu wa machozi..tutakumiss sana kendi
Aya jamani leo nimewahi au nimechelewa???
We unaonaj hap hatakam sip tz lakin hii so sa6 bro😂😂😂
umetuweka sana
Umechelewa na leo ndio umenipa nimelia kweli familia ya marwa inaisha jamani ila mungu yupo❤
Umechelewa sna ata ningekua mwalimu ningekupa surspp
Pole Kevin Kwa kumpoteza dadako kendy 😢
Dense ndomukoko walieka mauwa utajua hujui na wewe piya ukicheza kikurambe kuwa mupole uwone muchezo wapaka napa nya ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kevin kanzi nzuri ppa wangu rwanda kigili tunagupenda sana ndota tv
WA Kwanza kutoka Kenya ,🇰🇪🇰🇪🇰🇪napeda donta TV ❤❤naomba like zennyu tafadhali
🎉🎉🎉🎉
Pamojaa
Birth Day Yangu Leo Naomba Like👍 Hata Moja1 Ya Kuni Wish Mimi Ntajisikia Furaha Sanaa Na Mungu Awabariki Woteeeee🙏🙏🙏🙏
Happy birthday sweetheart 💓 💗 💖
Happybirthday
Hbd 🎂 🥳 kipenzi ❤❤❤
Happy birthday too you ❤🎉
Happy birthday my love uishi miaka mingi ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Watching from Kenya. Furaha ni kuona maisha ya kina Tina yakipitia shida kama ya Mzee Maro na Mali yote yarudi kwa Kelvin. Wapi likes 👍 zangu
😂😂kina Waramba pole pole
Yaaa but hii movie night fumbo for sure
Mamakevini.polesana
Munguagupeuvumilivu
Niaimaniatapita😊😊😊😊
Tunae mwamini mwenyezi mungu na kumtegemea tafazari usipite Bila kumwaga mauwa 🎉🎉 naitwa Grande PiQui kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿👏👏👏
Kelvin walia najikuta pia mm nalia aki naulizwa nalia nn weeeeh huruma hapo ❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ilah Leo mmetuweza jmn, tumeanza na Furaha ya Mr gamba kutapeliwa na mwisho msiba , sijaenda cerd kufa daaah ❤🎉🎉🎉
Hii scene ya Denis hapo kwa familia ya baba Tina nimeipenda sanaaa🥰🥰🥰🥰
Sema unapenda pakichangamka😄😄😄😄😄😄😄
@samuelsimwawa7493 sanaaaa😃😃😃
😂😂😂@@samuelsimwawa7493
Tina's family wastahili hivo walichokipanda
@@samuelsimwawa7493 sanaaaa 😃😃😃😃
Nyinyi mwaniliza na sehemu ya candy wangu jamani😢😢😢😢,alafu Denis nmeipenda sana hio take your Flowers babaa🎉🎉🎉
Jamani Kendy bora awe amezima tu kwani sipendelei tumkose episode zijazo kutokana na umuhimu wake ivo bac lakini denisi umetisha kaka hongera kwa nafasi yako kuitendea haki
Walioumizwa na kifo cha cendy tujuaneee
Hajafa
@JastFinancial02 moviee ndo inasemaa ivoo
@Brotherhood-56 inawezekan ikaw kwel
Mimi apa nimeumiya san kwakuona kendy kajiuwa😢😢😢
Candy alichukuwa maamuzi magumu
Denis kumbukumbu zangu zinaniambia hata wewe Lati anaweza akaja kukuliza mbeleni maana wakat wewe ukifanya harakat zako za nyaraka hata yeye pia alikuwa na harakat zake so ni swala la mda tu denis utalia😂😂😂😂❤❤❤
Uko sahihi yajayo yanaweza kufurahisha.
Ukweli kbsa nakuunga mkono
Niko pamoja nawewe kasababu anajuwa kila kitu
hii nayo ni kweli
Hizo mbija Denis ni za kasongo yeyee 😂😂😂
Waah kimeumana huku ,Tina zmu yko sasa maisha ya slayqueen kwisha ,,aky nawapenda xn Donta tv kaz nzur ALLAH awazidishie vipaji vyenu ,nimejifunza mmb meng xn kutokana na hii series wallah ,CONGRATULATIONS🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kwa kweli nimejifunza mengi kutokana na kila mhusika hongera sana kwenu❤❤❤🎉 ningependa muendelee vivyo hivyo
mumearibu movie kufa kwa kendi, mimi nasimamiya apa, nawatakiya safari njema😢😢
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona safar njema
😂😂😂tuone usirudi
Weeee ni huzuni kwa familia ya kina kelvin , pole sana
True
😢
Poleni sana mama kevi love nes boni kevi nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😢😢😢😢😢
Nimeingia kulike na kucoment, coz sahii sina salio but badae nitacome kuona🔥🔥
😂😂😂😂😂
Wahooo ongela Sana kwakuwaisha movie love our
Yaani mtu analia cha ukweli na ni drama tuu daaaaaaaah pongezi kwenyu
Kwa hii filamu jamani😢mumenipa uchungu sana Kelvin hongera mara 100
Usiri wa Loveness umemuondoa Candy,, bora angemwambia hata Kelvin
Kabisa nibor hat asinge ficha s😢😢😢
Yan sijui siku akisema watamuonaje
Kabisa😢
Denis nae ajiandae soon kitamramba maana Latifa sio mjinga mjinga ni mwanamke nanusu😂😂😂
Umeonaee
@@anthoniaanthony4573na miguvu anayo sjui ni mkurya huyu😂😂😂😂😂
Kabisa😂
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI🇧🇮.
20:51 ama Denis kikurambe, umjui lati vzuri😅😅
I know😂
Vile namwona lati ana mpango Dennis kitamramba😅
@@Mwendemitchellle😂😂😂😂ila anaweza akasema amuache maana ni baba wa mtoto wake😂
Denis kitamlamba😂
Lati mjanja sana😂
Team strong wenye tumeiba wifi kuwatch kevo na lovenes nipeni maua jameni❤❤❤
😂😂😂
Mafi akili 🤣🤣
@نجاةالعبري pole sana kipenzi
Pole kipenzi
eda mafishi faida
Kwa huruma to naombeni like jaman😢
Bado lati nae ampokonye Dennis mali na azirudishe kwa kina Kelvin.
Yanayokuja yanafurahisha mpaka huku 🇰🇪 Kenya kwetu😂😂😂😂
Kasongo yeye 😂
Apo ndo patamu😂😂😂😂
Jaman msiba wa cendy umeniuma😭😭 xna kwann xax kafa c wangefanya awe hai t mana ih family y kina kevn majanga t kila cku majanga aya inaxtair wangepata wakina tina co kina kevn imeniuma xanadaah😢
Wakenyaaa nipo kabisa alf hii familia ya kelvin imenifanya nikatoa chozi dipo nikakumbuka ni kuact but hii seris kama waifuatilia kutoka mwanzo inamafunzo mengi mbarikiwe sana donta tv
Hahahahahahaha tina with her family kimewarambaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Finally the most waited part imefika...lakini kevi ulisema saa sita...nilifika youtube mbele yako nikasubiri mpaka nikachoka
Leo Tina 😂😂😂😂😂😂
Hivi jamani kendi nae utafanyeje tena
Sijapenda
Mama kelvn anatia huruma sana
B@@hawamwamlima7085kwa kweli😢
@@hawamwamlima7085nakwambia kimemkuta leo nataka iendelee tuone akiteseka😅
Kazi nzuri sana , MUNGU awape maixha marefu 🙏🙏
Hongera sana wajina wangu Kevin nainjoy sana kuangalia tamthiliya yako najifunza mengi sana ktk life ya kawaida of course nainjoy napenda sana maisha kama yako mungu anilindie ww na akupe maisha marefu my brother hakika unawafunza wa2 wengi jinsi ya kuishi katika jamii tamthiliya hii imetisha sana congratulation kwa kaz nzur watu kama ninyi mnatakiwa sana by kelvin joseph or masunga joseph 19 years
😂😂😂wangapi wamengoja Denis kimrambe pia kama familia ya gamba😢😢..tumpe loveness mauwa yake kwa kujitolea msaada kwa familia ya kelvin🎉🎉🎉🎉🎉
Humchezo unataka Makini kweli hongera bro mungu akufungulie mengi na makubwa mazuri ❤❤❤❤❤.R.I.P daa candy 😭😭😭😭😭😭🌹🌹🌹🌹
❤❤❤
Team Donta Tv tupo hapa au nipo hapa nawakilisha toka Masasi Mtwara..
Kiukweli mnfanya kazi mzuri sana kazi zenu nimezipenda sana kiukweli endeleeni na ubunifu story mzuri na kujifunza makosa na kuna baadhi ya matukio mfano thamthilia ya Before I met smith na mwenzako mlikuwa bar na pia hamkugandua lebel sasa sijuhi mmeingia matangazo na hiyo bia??
Ila Big up sana mnatupa burudani mzuri sana.
Tk
Najua team fulus mko huku😂 gonga like tukisonga team hamam Denis amenipamba wakai🤣🤣kimemkuta Tina
😂tupo team strong
Team hammam
Fulus tumejaa hapa 😂
Innalillah wainnailah rajighun; Polen Sana Kwa msiba ndugu zetu
Tupo kama kawaida ❤from Saudi 🇸🇦
Haha nikajua npo mwenyew naomben like basi team strong 💪 😅
Mmetuwek kweli heh kila mda nlikua nachungulia tuuu😅me naomb muwe mnawahi
AK nifurahia Leo kazi Iko sawa hongera kwenu donta Tv🎉🎉🎉🎉❤❤
Kweli hamna cha bure ukipenda cha bure ujue kunagarama yake
Nimetoka na kitu na mwisho wa ubaya ni aibu😢😢life is like simple
Wakwanza leo wanangu nipeeni hata lake 10 tu zinatosha duuh familia ya tina imegonga mwamba wanangu😂😂😂😂 wapi maua ya denis🎉🎉🎉
Love uuu guys from kenya❤ msininyimee like aky woshee
Daaaah hili limeniliza sanaaaa kiukwel kwann kend jamn na so tina
Mmmmh napunga mkonoo donta tv episode hii ya 61 mumetuamulia imekujaa moto zaidi tena ya kuvutia......hicho ndicho kinacho wafaaa familia ya tinaa .....hongera bi lati na bw deno muko vizuri kweli....poleni sanaa kelvin kwa msibaa wa dadako kebdi laiti kendi angewaza kumsikkilzaa mamako haya hayangewasibu.....tunasubiria episode 62
leo nimewahi mapema 🙏😁 nipeni maua yangu. This is first love from Mozambique ❤🇲🇿
Kazi nzuri sana denis amecheza kama yy🎉🎉🎉🎉from 🇰🇪
Aseee Mimi Wa Kwanza 😂😂😂😂
Nani Alikuwa anasubiri ukweli juu ya kifo cha Kendy
Sasa kinakuchekesh nn kifo ni jamb la kuchek?
Ila uyo tina atumiki kevi japo hiyo ni kaz bas fanya kitu
Natokea pande za mtwara see nakubali sana kazi zakoo😊😊
walah toka naona hii moovie leo ndio naipenda ❤❤❤❤❤❤❤
Loveñes kweny before I meet you ka uso kapo soft adi Raha uku mbona upo tofauti usoni
Anacheza uhalisia dear huoni huku yupo kwenye maisha magumu ata hela ya mafuta na ya kwenda kinyozi hana😂😂😂
Nilichogundua mwanzo hata kev na mama kev na kendy hawakuwa kama asaiv maana yake asaiv wapo kwenye maisha magum kila kitu kinabadilika
hyo ndo xura halisi zile makeup
Kifo cha Candy kimeniumiza sana😢😢😢😢
Na nahisi hata Denis mali nae zitachukuliwa ngoja tuone😮😮
😢
Amakweli malipo nihapahapa duniani Napole sana kwa musiba wakedy nawapenda kutoka burundu😭😭🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💙💙💙💙
🎉🎉🎉🎉🎉maua yaende kwa donta tv 🎉🎉🎉na watazamaji wa donta tv 📺 ♥️ wote 🎉🎉❤❤❤nawapenda sana 🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉💞💞💕💕❣️❣️🥰♥️
😢😢😢kifo cha kendy kimeniliza toka ile ep ya 60 nililia sana naleo nimelia sana plus huo wimbo moyo pole duh naumia sana jamn😢😢😢
Kwanzia nianze ku comment sijai pata hata like moja naomba leo mnipatieko hata ka like natoka Kenya
Pole
Wakwanza kutoka congo.hata tukiwa ndani ya vita🎉🎉🎉.like zangu
Poleeni sana ndugu zetu
Kwa ajili ya ubaguzi wa raisi wenu
.fanyeni angalisho.
Mtajut
Familia zote mbili nyote mko n majonzi kaaeni pole 😭💔n mungu amptie nguvu 🙏👍
Leo imekuwa nzuri sana maana Tima kimemramba kweli ila hii machozi ya kelvin naumia sana😢😢😢😢
Mama Calvin anajua anajua tena kama kweli yani.❤
Wa kwanza Mimi From msasani Like Zangu jamani
Jamani jamani eee😂😂😂Joo muone kapuni ma lesn za nyumba 😂😂ila pole sana kwa jamaa ya Kelvin kwa kupoteza kendy😢😢inauma na hivi Trump amesema hakuna msaada wa ma ARV alioba mbora nife mapema😢😮
Umesema Trump 😂😂
😂😂😂😂😂@@MelvinMmbeyi-ql6xf
@MelvinMmbeyi-ql6xf hakuna msaada wa ma ARV ku African 🤣🥺
😂😂😂😂😂
Wa kwanza leoo❤❤❤
Denis❤❤❤❤umeupiga mwingi bro ....nimefurah cna kuona familiar y Tina ikinyanyasika leo🎉🎉🎉🎉wana donta
Kazi njema sana wakali wangu 💪
Nawapongeza sana mimi kutoka Burundi 🇧🇮
Denis anagawa dozzii😂😂😂.hii nimeipenda😘
Hata yeye kimemramba😂😂😂
@@ImakulataLumbwe-c3o😂😂😂
Yani hii movie ukiwatch unaeza Lia mtu akikuona atadhani movie inakuliza kumbe unayako yanayokuliza 😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂Umeonaeee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu mm
😂😂😂😂😂
Nilikuwa nalia kweli imenibidi tuu nicheke 😂😂umejua kunikomesha🙌
Please 🙏 na Leo msininyime like nimejaribu jameni kutoka kenya❤❤❤
Wow nyuki aka denis 😊😊i like how you act😊😊🎉🎉❤❤ Congrats❤❤
mm ni wa 1000 sasa jmn ndo mtu wa mwisho naombeni like zangu hata 30 tuuu.