#PART2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 авг 2023
  • #PART2: ''BOSI ALINISINGIZIA NIMEMBAKA, NIKAFUNGWA MIAKA 30'' - KIJANA YASSIN...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 160

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 2 месяца назад +3

    Kumsingizia mtu jambo ambalo hata hajafanya daa!Mungu niepushe kwenye hii laana ambayo inaweza tafuna vizazi vyako

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 9 месяцев назад +15

    Kwa Mara ya kwanza nimeshukuru huyo mama kufa.Kufa kabisa potea why umdhurumu kijana maskini Kama huyu

  • @bilihudasaidi3687
    @bilihudasaidi3687 9 месяцев назад +6

    Pole kwa mkasa Ila chozi lako halijaenda Bure yuko wp Sai Ana mengi akujibu huko akher

  • @josephnsabiyera6900
    @josephnsabiyera6900 7 месяцев назад +1

    Pole sana ndugu, maskini atetewa na mwenyezi bora, mimi ni Joseph nikiwa DRCongo Goma mashariki mwa congo

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q 9 месяцев назад +6

    Pole sana kakaangu,Allah atakulipia 😭😭🤲

  • @jumatamimu6841
    @jumatamimu6841 9 месяцев назад +5

    Pole sana ndugu Yangu yote ni maisha tuu mungu amelipa

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 9 месяцев назад +3

    Kaka usidai tena Mungu atakulipia kwa njia nyingine

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 9 месяцев назад +2

    😢😢😢😢mm nimesikia vibaya sana ilamungu jee yeye ndo zaidi so kaka pole sana namunguuu akupe akupe kazi nzuri sana enye kwa baada ya 2 uwe uko na kilakituuu unacho kitamannii

  • @AbdurazakiKisoma
    @AbdurazakiKisoma 2 месяца назад +1

    Pole Sana Wallah Mungu Yupamoja Nawe😢

  • @user-uy3mm6nj2s
    @user-uy3mm6nj2s 17 дней назад

    Ukiapa kwenye vitabu vya mungu kizuluma utaweza pona mirere onasasa kilicho mkta mama uyo

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 9 месяцев назад +6

    Masikini pole sana 😢yaan sisi wenye watoto wa kiume aki roho juu juu

    • @user-gu6wg6jp5n
      @user-gu6wg6jp5n 7 месяцев назад

      Yaan we acha tu Mungu atusaidie kwakwel

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 9 месяцев назад +4

    Nimekusimiliza vizuri nikweli hukubaka ili mungu atakuinua Sana mpaka utashangaa

  • @user-fw5is2fi7q
    @user-fw5is2fi7q Месяц назад

    Pore sana umri unaluhusu pambana maisha yapo mungu atakusimamia

  • @salma0000
    @salma0000 9 месяцев назад +13

    Majaji wengi wa Tanzania watakua na sehemu yao maalum katika moto wa jahannam

    • @fabssaleh7273
      @fabssaleh7273 8 месяцев назад

      USIWAHUKUMU WATU. SIRI YA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA. WATU HUTUBIA NA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA NI MWINGI WA KUSAMEHE

    • @salma0000
      @salma0000 8 месяцев назад

      @@fabssaleh7273 kwani nikisema kama mtu akifanya dhambi ataenda motoni ndio nimehukumu hapo

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u 3 месяца назад

      26:36 26:37 26:37 26:38

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u 3 месяца назад

      ​@@fabssaleh7273😊

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u 3 месяца назад

      😅😊😊.

  • @dinapeter4335
    @dinapeter4335 7 месяцев назад +1

    Daah pole sana kijana umepitia kipind kigumu sana yoyote kwa yote muombe mungu ata kulipa

  • @jeanbigirimana9365
    @jeanbigirimana9365 9 месяцев назад +2

    Pole kaka Mungu atakufata machozi

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 9 месяцев назад +5

    Hukumu ya rushwa hiyo tu mahakimu wengne hawana utafiti wanahukumu tu bora mungu ana hukumu yeyote anayempenda mungu kazi yako nzuri kuliko dhuluma za watu na uonevu

  • @JusterBagoka-ty7kq
    @JusterBagoka-ty7kq 2 месяца назад

    Jaman jaman nimeumia sana mungu tutetee sisi binadamu hatuna huruma jaman

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp 9 месяцев назад +4

    Usijali mdogo wangu mungu yuko na ww huyo jama na mke wake ni kitu kimoja ni nia yao kukudhulumu tu

    • @Josephat-cw6co
      @Josephat-cw6co 2 месяца назад

      Pole kwa mara nyingine tena unanikumbusha mtoto mu marekani mweusi WA myaka 7 Alie hukumiwa hadhabu ya kifo kwa kuzingishiwa kuwa ame husika na kifo cha watoto2 WA kike wazungu huyu akanyongwa kwa umeme WA 6600 volt.

  • @MkumboIddy
    @MkumboIddy Месяц назад

    Pole sana man

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 9 месяцев назад +1

    Daaah inasikitisha sana mungu atakulipia

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 8 месяцев назад +2

    Wanaokwenda jera sio wote wanahatia, wengine wanakwenda jera kwa kesi ya kusingiziwa

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 9 месяцев назад +3

    Pole sana ndugu

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 9 месяцев назад +4

    Majaji pia wanadhulmaa kubwa sanaa

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x 5 месяцев назад +1

    Mungu kamuonesha mungu nimwema

  • @user-pb7ig3ji3m
    @user-pb7ig3ji3m 9 месяцев назад +1

    Dar. Pole sn broo.. ILa haki yk haipotei vumilia sn.. ILa Wana wake shida sn

  • @nassornyanyagi5126
    @nassornyanyagi5126 4 месяца назад

    Ndg Yaasin pole sana kwa yote uliyopitia ALLAH atakulipa kwa subra yako,kama huyo JAMAA hapokei simu usimfuatile tena, yeye hataki kukulipa hapa duniani laakin atakulipa mbele ya Hakimu wa Mahakimu ambae ni ALLAH "S.W.T" Pambana kupata rizqi sehemu utapata In Shaa Allah

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi 2 месяца назад

    Kaka mungu akutangulie katika maisha yako hv mm nimekuombea mungu akujalie

  • @ZaitunSaambili
    @ZaitunSaambili 2 месяца назад

    Pole sana

  • @andrewmtandikile895
    @andrewmtandikile895 5 месяцев назад

    Pole sana Mr Yassin maana Mungu alisimama nawe
    Sio swala jepesi mm imenigusa mno ila malipo ni hapa hapa .
    Boss wako malipo hapa weee umebaki yeye yuko wap

  • @MohamedMohamed-dx8ve
    @MohamedMohamed-dx8ve Месяц назад

    Allah akbar

  • @richardmushi1062
    @richardmushi1062 7 месяцев назад

    Pole Yasini. Nitakutafuta kwa maongezi pia niangalie namna ya kukusaidia.

  • @user-fz8kc5dl3y
    @user-fz8kc5dl3y 8 месяцев назад +1

    Poleee Sana

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 9 месяцев назад +4

    Hakikazuluma nikitu kibaya sana kinafupisha maisha kiliochako mungu kajibu naataendelea kajibu kwa waliotow ushahidi wa uwongo nawalio hukumu walaniwe hao

  • @RadjboyBagalwa
    @RadjboyBagalwa 9 месяцев назад +1

    Pole sana kakangu mungu atakusaidia

  • @nyamhangamaseke
    @nyamhangamaseke 2 месяца назад

    Pole sana kaka

  • @user-sp2hk8ow7t
    @user-sp2hk8ow7t 9 месяцев назад

    Pole sana ndg mungu atakupambania

  • @betinesjulius
    @betinesjulius 17 дней назад

    jaman pole san

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 8 месяцев назад

    Pole sana kijana mshukuru mungu kwa kuachiwa huru pia mshukuru mungu kwa kumuondolea pumzi yule dada mungu amejibu

  • @nuriaabdiabdiyussuf3191
    @nuriaabdiabdiyussuf3191 9 месяцев назад

    Pole sana bratha na pia malipo ni hapa hapa duniani na huyo mwanamke Allah kulipizia bado huyo jamaa pia apate chake insha'Allah

  • @ahmedmukolwe43
    @ahmedmukolwe43 9 месяцев назад +3

    Thank God hiyo nuguu alikufa

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 9 месяцев назад +2

    Mungu kalipa apa apa duniani

  • @flendersimba9301
    @flendersimba9301 9 месяцев назад +2

    Pole sana pambana tuu.

  • @jeannekorona4016
    @jeannekorona4016 9 месяцев назад +1

    Pole sana kabisa

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 8 месяцев назад

    SUB HAANA ALLAH.
    KILA MCHIMBIA MWENZIWE KISIMA HUINGIA MWENYEWE.
    MTIHANI KWELI. ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA AMSAMEHE - AMEEN YAA RABB.

  • @user-jz2qg8rq4u
    @user-jz2qg8rq4u 4 месяца назад

    Pole sana kaka Allah akupe mwisho mwema

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p 22 дня назад

    Tatizo linaanza kwa wenye dhamana ya upelelezi sijuwi hawana weledi ama tamaa za hongo au kudharau viapo na wajibu wao,sidhani ishu km hii ilikuwa na sababu ya hata kufika mahakamani.sijuwi watu hawa wanaopewa dhamana kubwa km hizi zinazobeba maisha ya watu wengine hutumika taratibu gani.kuna haja ya chombo kizima cha polisi kiwe kitengo maalum cha jeshi la wananchi km wenzetu kenya kwa asilimia kubwa wako smart sn na wana mapenzi na raia na wanapendwa pia na raia.

  • @user-zd9yn2nd2r
    @user-zd9yn2nd2r 9 месяцев назад +2

    Pole dogo maisha ayo

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q 9 месяцев назад +2

    Wee ata usimdai tena, haki ya mtu haizami 😢😢

  • @Josephat-cw6co
    @Josephat-cw6co 2 месяца назад

    Pole mwanangu

  • @user-fl5hw7jq9r
    @user-fl5hw7jq9r 2 месяца назад

    Pole sana hiyo kesi ilkuwa siihalalli kwa nini hukupelekwa kupimwa namahakama ilifanya makosa

  • @user-no2mq8vs2c
    @user-no2mq8vs2c 7 месяцев назад

    Pole sana kaka angu mungu atakulipia kwahayo yaliyo kukuta

  • @zachariaobama8616
    @zachariaobama8616 5 месяцев назад

    Pole sana broo

  • @rukaraephrem4423
    @rukaraephrem4423 8 месяцев назад

    Mungu mkubwa hoyo mama mungu ari muhukumu. Pole sana

  • @JacksonLaizer-ul6ek
    @JacksonLaizer-ul6ek 9 месяцев назад +1

    Ama kweli Mungu nimkubwa

  • @jumakibomola
    @jumakibomola 9 месяцев назад

    Pole xana mungu Yu pamoja nawe

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 7 месяцев назад

    Pole sana mungu atakusimamia

  • @allykiyanga5402
    @allykiyanga5402 8 месяцев назад +2

    Mm ni miongoni mwa whangarei nilifungwa miezi sita kwa dhulima

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn 2 месяца назад

    Dah yule mzee alie kua gerezan umshukuru

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 8 месяцев назад +1

    vibaya sana kumdhulumu mwana wa mwezako utalipwatu

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf 6 месяцев назад

    Pole Sana kupatwa na tatizo hilo

  • @user-dl2fs8cc8c
    @user-dl2fs8cc8c 3 месяца назад

    Aiseee yaan mmmmh,kwanzaa tumshukru Allah maana yeye ndo muweza wa yoteee lakn niskufchee ishi ukimpendeza sanaa mungu maana kesi ilikuwa ztooo huyooo mama cc hatulipiz ubaya wala hatutoi hukumu yeyotee ilaa kama kwer cc hatukufanya hcho kitendoo hakika Allah hachelew Anajibu kwa wakat.....Polee Sana kk mi nko Iringaa Ilulaa nmeskilza machoz yamenitoka kabsaaaaa pole Sana mungu atafanya njia paspo na njiaa kk

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 9 месяцев назад +8

    Hizi kesi za kubaka zina mitihani sana .sasa hivi wanawake wengi ndio silaha yao ukimuudhi kidogo tu anakufanyia mtego ema yeye mwenyewe au mtoto wake wakike au wakiume na mahakimu wengi ni wanawake hawasikilizi chochote zaidi ya kufunga watu (huzuni sana)

    • @ahmedmukolwe43
      @ahmedmukolwe43 9 месяцев назад +2

      Mungu yupo na ipo siku yao

    • @maryhanspeter8459
      @maryhanspeter8459 9 месяцев назад

      Usiogope kijana na huna sababu yakumlani au kumlaumu muachie Mungu ndie mtoa hukumu alisema ktk maandiko matakatifu kua hasira na kisasi ni juu yake ona tayari amepata adhabu ya kifo maana kama yeye ni mke wa mtu ni nini kilipelekea kutoa mimba mpaka akafariki na huyo Mume wake pia Iko cku atapewa adhabu yake wewe endelea kumlilia muumba wako atafanya jambo ninahakika vile ulivyopata mtu gerezani akakusaidia kuandaa rufaa ninahakika utapata atakaekuinua na utainuka watashangaa hata huyo doctor wa mchongo atapata pigo tuu. Pole kijana wangu.

    • @AnnaSimon243
      @AnnaSimon243 9 месяцев назад +1

      Naumia sana! Mimi nilihukumiwa miaka3, lakini nikakaa gerezani siku 90 nikatoka. Ila kwa kukata rufaa. Mahakamani hakuna haki hata kidogo.😮😮😮😮

    • @MRCHARLES277
      @MRCHARLES277 9 месяцев назад

      ​@@ahmedmukolwe43qq

  • @user-vw1vk3vc3h
    @user-vw1vk3vc3h 7 месяцев назад

    Pole dogo, Hawa wanawake tujihadhari nao sana.

  • @JumaKhamissi-nh7qn
    @JumaKhamissi-nh7qn 4 месяца назад

    Malipo ni hapa hapa chini ya juwa ahera kwenda maesabu Kisha tangulia. Atakiona cha moto.

  • @SereneBoxer-kz4fs
    @SereneBoxer-kz4fs 5 месяцев назад

    Pole mweye nguvu ni Mungu

  • @demetriajohn2393
    @demetriajohn2393 7 месяцев назад

    Pole kijana ,Mungu amekunusuru ,nakushauri bora uende nyumbani kwanza utulize akili maisha ya dar bila kazi ni mtihani kwako ,pili hapo kwa rafiki yako kuna mke pia, angalia usije kurukamkojo ukayakanyaga mavi.Alafu najiuliza kwa nini baadhi ya kina mama tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki ,! Hivi kweli mtoto wa mwenzio ni wa kwako??Au tunaimba kinafiki tu!!!

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt 9 месяцев назад

    Pole kaka yangu

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi 2 месяца назад

    Aloo kumbe alikufa mungu yupo

  • @user-hh4ex7ps7h
    @user-hh4ex7ps7h 7 месяцев назад

    Pole sana kaka ila malipo ni hapa hapa ww muachie mungu

  • @user-og5bq6qq6c
    @user-og5bq6qq6c 9 месяцев назад

    Pole sana jamaa

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 7 месяцев назад +1

    pole saana kuhusu mambo ya ushahidi naona umechanganya kutokana na mteso au mfadhaiko wa kisaikologia kwa kuwa victim anayedai kubakwa na Dr lazima watoe ushahidi wao wote kisha ndo mtuhumiwa ajitetee hivyo ushahidi wake ni huo anaoita wa mara ya pili kwa kuwa aliutoa baada ya Dr kuongea.

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa Месяц назад

    Angekutaka angesema

  • @user-xv8ji2bl1r
    @user-xv8ji2bl1r 9 месяцев назад

    Mungu atakulinda kila jambo huja na sababu ili tujifunza haki haipotei

  • @abushaddad989
    @abushaddad989 9 месяцев назад +3

    Huyo Mama bora kafa acha akambane aliyotanguliza

  • @amarually5457
    @amarually5457 7 месяцев назад

    Pole sana lakini umeona mungu alivyo kulipia uko aliko mungu anampa stahiki yake dhuluma mbaya sana hakiya mtu haipotei

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 9 месяцев назад +1

    Nimewahi kusikia story kama hii zamani kidogo

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 3 месяца назад

    Sio Tu Aliyemsingizia ana Makosa Ukisikiliza hapo, Utagundua Mahakimu ni Wapuuzi sana... Maana Hata Mtu asiye hakimu Angejua Hii Ni Kesi ya Kutunga... Hakimu Aliyemfunga ALAANIWE MILELE

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c 9 месяцев назад

    Pole sana arusha kuna kijana anitwa godfrey fund nagar alisingiziwa kulawitwi mungu ampiganie

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 9 месяцев назад +4

    Jamani Uwiii Kuna watu wataungua Kwa Mungu acha kabisa

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi 2 месяца назад

    Aloo kumbe alikufa mungu yupo 23:35 24:00

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 8 месяцев назад

    POLE SANA BRO,HAKI YAKO ITALIPWA TU NA HUYO MALUUNI ALIYEKUSINGIZIA MUNGU AMESHAMLIPA TAYARI NA BADO.

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 9 месяцев назад +1

    sasa kama kabakwa xiyuwsjua yy jaman 😭😭 watuwengine jaman😭😭 mungu Amshinde🤗🤗

  • @mathayofabianmathayo
    @mathayofabianmathayo 26 дней назад

    daku

  • @salma0000
    @salma0000 9 месяцев назад +1

    Hivi Tanzania hamjaweza tu kucheki ushahidi wa dna za wabakaji mpk leo.

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c 2 месяца назад

    Tatizo la mahakim wetu haki nyuma mwiko

  • @simaecim3211
    @simaecim3211 9 месяцев назад +2

    😢😢😢

  • @omarihasani7569
    @omarihasani7569 9 месяцев назад +2

    Hakika haikuw rahx mung akubariki

  • @stellah3844
    @stellah3844 9 месяцев назад +3

    😢😢😢😢

  • @ZaitunSaambili
    @ZaitunSaambili 2 месяца назад

    Hugo mama mbaya sana

  • @nicholaskavuwa6780
    @nicholaskavuwa6780 2 месяца назад

    Ukora wa mahakimu wakenya na tanzania wao ndio watakua kuni jikoni la jehonamu

  • @rahabuibrahim5324
    @rahabuibrahim5324 9 месяцев назад

    Very painfully

  • @user-ro7xv7bk3y
    @user-ro7xv7bk3y 9 месяцев назад

    Wewe kijana pole sana kijana bado mdogo tena mshamba sio jasiri kwanini hukumtafuta mumewake 😢😢😢

  • @user-xh4jt7nt7z
    @user-xh4jt7nt7z 5 месяцев назад

    Dogo pole sana mimi kwanza nakuomba ata hapo kwa lafikiako uwondoke mana wanawake hawana huluma kabisa pambana dogo

  • @JumaKhamissi-nh7qn
    @JumaKhamissi-nh7qn 4 месяца назад

    Jasho LA mtu aliliki hizo pesa zako alizo kudhululu atakulipa mbele ya Allah

  • @user-dj9wd9up6g
    @user-dj9wd9up6g 9 месяцев назад +1

    Pole sana ila huyo bosi wako hanautu hatakkulipa huyo

  • @KejyomboJames-hm7nr
    @KejyomboJames-hm7nr 9 месяцев назад +2

    😭😭😭

  • @user-fl5hw7jq9r
    @user-fl5hw7jq9r 2 месяца назад

    Wewe pia huku sema ukapimwe ndio ushadi ugepatikana soma sheriya maraigine

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 7 месяцев назад

    Kwanza km ni mimi cnqeenda huko kwa huyo boss

  • @PijeyWilliam
    @PijeyWilliam Месяц назад

    Pole san nduguyang unanikumbush mbali san maan Keaikama yako kuna mdogowangu kafungwa miak 30 kama hiyo mpaka sas sijuw yuko wap