MWANAUME ADAIWA KUBADILI JINSIA NA KUIBA MTOTO WA MIAKA 2 MKOANI GEITA, NDUGU WASIMULIA HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июл 2022

Комментарии • 82

  • @habibajohn8967
    @habibajohn8967 Год назад +6

    Eeee mungu wetu tutie nguvu tumalize mwendo salama

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 месяца назад +1

    Mimi nasema ukweli wangu izo story sijazielewa kabisa nilicho kielewa ni iyo mihogo inakuaga mitamu sana yote kwa yote nipeni namba story imenichosha😂😂😂😂

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +2

    Kijijini raha, Chakula hakina madawa.Vitu fresh from shamba

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Год назад +1

    Mmmmh😃😃😃Yaani nimecheka Kama mazuri yaani huyu Dada anayesimulia haeleweki kabisa anachokiongea mm nasikia lutobangija, lutobangija hakuna hata nilichoambulia kweli unaweza kushindwa kusimulia kitu ambacho unakijua kwa asilimia kubwa kwa sababu ya lugha ya kiswahili imekushinda kuongea.Kweli nimeamini kiswahili ni lugha mama.Asante Sana Afisa mtendaji wewe ndiye umeeleza vizuri tumekuelewa.

    • @esterkiyabo1329
      @esterkiyabo1329 Год назад

      Mwandu Elizabeth ,kwa kweli hata mimi huyu dada sijamwelewa kabisa! Maelezo yake hayana mtiririko mzuri kisha haeleweki

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +5

    Hahahaaa daa mtihani tanzania yetu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tapeli wa kisukuma

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 Год назад +1

    Millard Ayo sasa dish linayumba, jitathimini!!

  • @lobnalobna2393
    @lobnalobna2393 Год назад +3

    Kiswahili bado kumbe Tanzania mm hata cjaona nn kimesimuliwa hapa ipi ni point ya muhimu Sasa eehee jaman

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Год назад +1

    Yaani hizi "baada na kabla" matumizi yake yamenilewesha.Hapa polisi wana kazi

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Год назад +4

    lakini Geita kuna mambo

  • @ziadasalum9933
    @ziadasalum9933 Год назад

    Jamanieeee sijaelewa niko bize na mihogo. Yaketu huku yauchungu

  • @enockyona154
    @enockyona154 Год назад +1

    MAYOO LEKAGHA SI YOMBAGA KISUKUMA KISWAHILII UTAKIMANILE HUYU DADA ANAONGEA NINI SASA KWANINI MSIMWELEKEZE AELEZE POINT BADALA YA KUELEZA UTUMBO KAMA HUO

  • @agnesisimon3154
    @agnesisimon3154 Год назад +1

    Kiswahili ndo shida ila n ctory ya kuccmua, shikamoo kiswahili

  • @azamazam3279
    @azamazam3279 Год назад

    Hahahaha tena huyu dada alikua yuaongelea storry hii kweli mbona naona alichanganya maelezo leo mme nieza ayo

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Mtihani mihogo imenoga hata hiyo stori sijaiyelewa lakini poleni kumkaribisha mtu musiye mjua

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад +1

    Huyo anaejibadilisha yuko wapi tumuone mbona mmemficha

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 Год назад

    Jamani mihogo hiyo kumbe. Huko bado munamihogo mizuri hivi

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад

    Huyu baba anachanganya hata pakusema kama anasema baada kiufupi sijaelewa chochote mwenzenu😂🤷‍♂️

  • @OG_20
    @OG_20 7 месяцев назад

    Hizi kiswahili zimeongewa humu nimechanganyikiwa kuliko maisha inavonichanganya 😂😂😂

  • @rehemaabdalah1863
    @rehemaabdalah1863 Год назад +2

    Jamani dunia hii acha nicheke mie kama mazr,,

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 Год назад +1

      Dunia ya mwisho hii misenge kama yote Allah atusalim salama na adhbu zake maan mtihan kw kwl

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502 Год назад +2

    Nyabusu umeolewa??????nimependa story yako kiswahiliiiiiiiiiiiii...chiza sanaaaa

  • @ednafesto775
    @ednafesto775 Год назад +2

    Kabla zimekuwa nyingi jamani🤣🤣🤣

    • @triphoniavitus
      @triphoniavitus Год назад

      Halafu anatumia neno kabla badala ya Baada wasukuma bwana

  • @jasmineeomary2041
    @jasmineeomary2041 Год назад +3

    Huyu msichana ata hamna point yani anaongea mambo ya chaakuraa tu😁

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani we baba eti nikachija na kuku

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 Год назад

    Aisee, huku geita

  • @inongee1141
    @inongee1141 Год назад +3

    Mimi nimetamani hio mihogo tu

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +2

    Story hata haieleweki, sijaelewa hata kitu hapo, sijui hata kinachoelezewa hapo. Tuleteeni simulizi za kueleweka jamani.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Duh story ata haieleweki

  • @peterkitundu6623
    @peterkitundu6623 Год назад

    Duuh kiswahil kigumu wakenya wanatushinda wakati ni lagha yetu hahaaaa

  • @maisarahnassoro814
    @maisarahnassoro814 Год назад

    Kila kitu jamani anahadithia nilimsalimia akaitikia nilimuita akaitika kila kitu hajaacha kusema

  • @SamsungA-sq9pi
    @SamsungA-sq9pi Год назад +1

    Stori ya bidada haifahamiki

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 Год назад

    😂😂😂😂😂😂jumanne akaja 😅😅😅juma tano akaenda😂😂😂😂😂Eeeh Mungu Kiswahili kigumu

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад +1

    Shikamoo kiswahili , bora angeongea lugha tu

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 Год назад +1

    Kabla kabla hizi yaani sijaelewa chochote jamani 🤷🏼‍♀️🙆🏼‍♀️

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 Год назад

      Hata mie sijaelewa nasikia akaenda akaja sasa mihogo akaugua sasa nasikia nyingi ni akaenda na sasa akaenda sasa sijui hata anasema nini huyu fada haeleweki sijui hatamtangazaji kafahamu

  • @youngafricans7361
    @youngafricans7361 Год назад

    Aliyemwona huyo sokwe wa kwanza like fasta

  • @ayshadaud5587
    @ayshadaud5587 Год назад

    hatukumjua km ni mwanamke adi siku alivokamatwa

  • @ayshadaud5587
    @ayshadaud5587 Год назад

    iyo ni kwel jaman sio uongo maana ata mi nilishuhudia

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Год назад

    Hamna la maana hapa

  • @youngafricans7361
    @youngafricans7361 Год назад

    Baada imekuwa kabla kabla

  • @ZawadiHaruna-mj9zf
    @ZawadiHaruna-mj9zf Год назад

    Mbona matukio mengi yanatokea geita tu

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Год назад

    Mbona akaenda zimekua nyingi

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Год назад

    Sasa hii Nini milard

  • @drsalma837
    @drsalma837 Год назад +1

    ruclips.net/video/mqwevdSf6YA/видео.html
    MASAA YA KUJIBIWA DUA ZAKO NA MUNGU,JUU YA SHIDA ZAKO.........*#

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Subuhanallah

  • @naimanaima4715
    @naimanaima4715 Год назад

    🤣🤣🤣🤣 Huy Dada kanimaliza sijui Ata anaongea nn chakura chakura

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 10 месяцев назад

    Alikuwa mgeni"hatimaye mke?!! Na ni mwanaume

  • @angelsandemu2464
    @angelsandemu2464 Год назад

    Mbn kabla hii inakataa🤣

  • @inongee1141
    @inongee1141 Год назад

    Sasa hilo shoga huko kijijini anavaaje?tuonyesheni hilo shoga tulione shoga lakijijini 😅😅😅😅😅😅😅

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Год назад

    Luga gongana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    😂😂😁😁

  • @zahrajumaa8965
    @zahrajumaa8965 Год назад

    Aaaaaaaaaaaaaaa siwaelew me cjui mnaongea nn

  • @dianamuhumba
    @dianamuhumba Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣nyabusuuu

  • @immaolui2956
    @immaolui2956 Год назад

    ANGALIA HII CONNECTION DUUUUH WABONGO HATARI: ruclips.net/video/oPe68wWtTQM/видео.html

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 Год назад

    Huyo babangija kweli hakujua kuwa ni mwanaume huyo?

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад +1

    Shikamoo kiswahili eti anae mtoto baada ya miaka 2🤣🤣

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Год назад

    Uyu dada ata sijamuelewa

  • @drsalma837
    @drsalma837 Год назад +1

    ruclips.net/video/mqwevdSf6YA/видео.html
    MASAA YA KUJIBIWA DUA ZAKO NA MUNGU,JUU YA SHIDA ZAKO.........*#

  • @immaolui2956
    @immaolui2956 Год назад +1

    ANGALIA HII CONNECTION DUUUUH WABONGO HATARI: ruclips.net/video/oPe68wWtTQM/видео.html