PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2022
  • PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!
    Mwisho Kabisa wa Kisa Cha Kusisimua Cha kutekwa kwa Ndege ya Shirika La Ndege ATC Mwaka 1988, ambapo Rubani Mstaafu, Mzee Galway anasimulia jinsi alivyowahadaa watekaji na kuwarudisha Bongo na kujikuta wanakamatwa uwanjani...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 49

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 22 дня назад +1

    Mungu alikupenda sn.

  • @vickylayda6336
    @vickylayda6336 Месяц назад

    Hongra sana mzee Galway sikujua umepitia yote hayo mi ni mwenyeji wa Babati na tulishaonana Dar hongera Mungu akutunze mnatakiwa kuwa wakufunzi sasa siyo kukuaa nyumbani sijui serikali ina mpango gani na wastaafu wenye ujuzi wamenkaa mitaani badala ya kurithisha vijana elimu.nzuri .

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 2 года назад +4

    Duuuh Captain Galway jmn kumbe yupo,😊

  • @nyandichearts
    @nyandichearts Год назад +2

    Ni mtu sahihi Kwa story za kusisimiwa I know you daday 🙌🤜🤛

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 2 года назад

    Safi sana....tunamshukuru mzee wa stori nzuri

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 2 года назад

    Naipenda Global TV, Kolumba baba mtangazaji Mwandishi msomi kazi nzuri, tusonge mbele

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 2 года назад +3

    Mbona mmemtoa mzee sehemu nzuri umempeleka sehemu mbya tena umemsimamisha

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 года назад

    Daaaaaaaaaaa !! hii story mara kwanza nilisikia kwenye station ya radio

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Hiii

  • @dicksonichaulaya1684
    @dicksonichaulaya1684 2 года назад +2

    Ajali ya maraisi wa Ruanda na Ruanda

  • @saeaaa8571
    @saeaaa8571 2 года назад +6

    Na kwann mumsimamishe mzee w watu jmn mda wote huo

    • @josephndambo3714
      @josephndambo3714 Год назад

      mwandishi wa hovyo kabisa huyu, sijaona sababu kwanini umsimamishe mzee mda mrefu kiasi hiko,

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 2 года назад +4

    😂😂niliiskia miaka mingi sana hii story nikajua ni uongo kumbea kweli
    Lkn mbona hamtaji kuwa mmoja alikua mtoto wa mh

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 2 года назад +2

    😂😂😂😂Eti nichomoe pin

  • @halimamagingi7839
    @halimamagingi7839 2 года назад

    Nimependa mzee mcheshi sanaaa,yani sijachoka kumsikiliza,hana story zingine atupe Jamani....

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 24 дня назад +2

    Masikitiko yangu niupuuzi uliofanyika baada ya ndege kufka yote hayo ni upuuzi wakufata taratibu wakati wa matatzo

  • @issasaid1226
    @issasaid1226 2 года назад +2

    Tangu ndege imefika pilot kakutana na wanajeshi inakuaje kuaje watekaji wanakimbia hawashikwi sijaelewa nadhani muuliza maswali Hana taaluma nzuri ya kuhoji

    • @mussakamando2678
      @mussakamando2678 2 года назад

      Taaluma ya uandishi nchini Tanzania iko chini sana. Mtangazaji anahodhi mahojiano utafikiri yeye ndiye mwenye tukio.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 года назад

    Yaani makamanda wamezinguliwa na maembe km Grenade 🤣🤣

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Год назад

    Hiyo ni 90minutes at Entebe. Kidogo ifanane.

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 2 года назад +2

    Mwandishi msomi anajiita hata interview set up hamna

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 2 года назад

    Watafute watekaji hao uwahoji kwa nini walifanya hivyo! Na je wametubia dhambi ya kuwatesa watanzania wenzao?Good job

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 2 года назад +2

    yaani mpaka mzee anasema hapa ni jua inamaana huyo host haoni kaniboa kwa kweli mazingira hapo ni kelele lakini host hajali anachofanya

    • @dorissaivoiye687
      @dorissaivoiye687 2 года назад

      Kwakweli huyu mwandishi kamtesa captain why kumsimamisha hivi then hiyo background ya nyimbo mara kelele za honi za magari yaan hii part 3 hujaitendea haki kabisa.

  • @daudedward5444
    @daudedward5444 Год назад

    Kumbe ni maembe hahahaha

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 года назад

    Du story nzury sana..andika kitabu meja....

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 2 года назад

    Global hivi huyu mtangazaji memtoa wapi

  • @fakihisilima3414
    @fakihisilima3414 2 года назад

    Hujui namna y kuhoji ww kujifunze hilo kwanz

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 25 дней назад

    huyu baba ana akili anajieleza vzr

  • @fakihisilima3414
    @fakihisilima3414 2 года назад

    Unapenda kuchanganya mada

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 2 года назад

    Mhes naniii

  • @ilovemusic9594
    @ilovemusic9594 2 года назад

    Mzee galu nimefurahi kukuona Norah mke wa mwanafunzi 😂😂kwenye bike

  • @vascokasambala2159
    @vascokasambala2159 2 года назад

    ILA POLISI WALIKUA WAZEMBE MUNO

  • @issasaid1226
    @issasaid1226 2 года назад

    Sijaelewa

  • @siegfriedmtei-ef2jl
    @siegfriedmtei-ef2jl Год назад

    Hii mm marehemu baba mhidini kimario na baba yangu mdg ambae hadi sasa yupo hai ilikua mwaka 1988 km sikosei ilikua sijui mwezi wa sita au wa tisa nakumbuka kabisa 12:09

  • @chrissmeshack5451
    @chrissmeshack5451 2 года назад

    Uyu mahakamini ndo kwake

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 года назад +1

    Dah mwandishi msomi Kwa hili kafeli aende Kwa Kesi ya sabaya tu.

  • @hassanmussa3664
    @hassanmussa3664 2 года назад

    Ktk hao waloteka mmoja mpk leo yupo hai namuelew

    • @mohamedmagubikila3499
      @mohamedmagubikila3499 Год назад

      Afatwe nae atupe story yake inaweza kuwa tamu sana kwakuwa yeye alikuwa ndie muhusika mwenyewe

  • @ahmedsaid-gf6qi
    @ahmedsaid-gf6qi 2 месяца назад

    kati ya hao mmoja ni jirani yangu mpaka leo yuhai na tukikaa naye huwa anatuhadisia hiyo stori siku akiwa kafurahi

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 года назад

    nyie Global uyo mtangazaji wenu mmemtoa uchochoroni

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 25 дней назад

    Mtangazaji anahoji lakino hawahi kuona ndege kupanda wala kuisikia zaidi ya kuiona juu ikipita masuala ya kijinga hajui ngege wala kuuliza maswali

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Год назад

    Mwandishi mtafute Captain Gandile tufurahi.