HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2019
  • HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
    IDD AMIN DADA OUME wa Uganda ni mwafrika pekee aliyebebwa kichwani na wazungu kama wao walivyotufanyia enzi za utumwa.
    Dunia ikashangaa, Afrika ikaduwaa,Waganda wakashangilia wasijue baada ya wenzao ni wao! Kweli alipowamaliza wageni alihamia kwa waganda waliofikiri tofauti nay eye.
    #HISTORIAYAAMIN
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 461

  • @petermichael8211
    @petermichael8211 5 лет назад +102

    DAAAAAH HII KTU SAFII MLIYOANZISHA NAPATA KUJIFUNZA NA KUJUA MENGI HONGERENI SANAAA GLOBAL ENDELEENI KUPATA ELIMU HII YA HISTORIA MUNGU AWABARIKI SANAA.

    • @azzakhamiz3858
      @azzakhamiz3858 5 лет назад +2

      Ahsante sana kwa story yani daaah inatisha kwakweli

    • @miswagatz1580
      @miswagatz1580 5 лет назад

      Nzuri

    • @mwamvitashaban3178
      @mwamvitashaban3178 5 лет назад

      Peter Michael

    • @thomasmario950
      @thomasmario950 5 лет назад

      Hongera sana msimuliaji kwa history mbalimbali nzuri zenye kufunza sana Mungu akusaidie sana

    • @abdullahiahmed5343
      @abdullahiahmed5343 3 года назад

      Haya sio historia sahihi....mbovu na usiokuwa na hakika

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 5 лет назад +10

    Idd Amin was a Legend.... story mbaya zipo kumhusu story nzuri kumhusu zipo...... nasimama kwenye positivity he was a Legend

    • @ramadhanboi6485
      @ramadhanboi6485 4 года назад +1

      Big Zhumbe ;kabisaa brooo he was a man
      😥😥

  • @Thuon_
    @Thuon_ 5 лет назад +18

    Mimi nampenda sana *Idi* *Amin* sisi waafrika tusiwe watu wa kuambiwa kila kitu. Wazungu wanatuambia historia bandia ya kuwachukia viongozi wetu. Ni vipi *Amin* alikuwa mzuri wakati wazungu wanamtumia kuwaua watu waliohusika na Mau Mau nchini Kenya. Akapelekwa north eastern Kenya kupambana na wasomali na bado mzuri. *Milton* *Obote* akawa hana faida kwa wazungu sababu aliwafungia *interests* zao wakamtumia *Amin* tena kupindua serikali yake akahamia Tanzania kwa nyerere. Amin kuingia uongozini akawa Pan-Africanist, hafanyi vile wazungu wanataka. Akaapa kuitumikia Uganda na wananchi akawa mbaya wakaandika historia mbaya kumhusu. Tukawa brainwashed, tukawaamini wazungu. Sisemi alikuwa mzuri, kuuwa aliuwa watu na si wengi wasemavyo wazungu. Hata Kenya, kenyatta aliuwa wengi, aliyemfuata, ni rais Moi akauwa na kuwafunga wengi, wazungu kimya sababu wanakula kwa meza moja. Waafrika tuamke twatumiwa vibaya. Umefika wakati tuwatambue viongozi wetu sis wenyewe. Mimi nampenda sana
    H.E, Field Marshal, President for Life, Maj. Gen. Al Hadji Doctor, VC DSO MC, BC, CiC, Father of twins, Lord of all the clans in the land, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas, the cook with all the firewood, the queen termite, Conqueror of the British Empire(CBE) in Africa in General and Uganda in Particular. Speaker of truth, Pan-Africanist, Maj. Gen. President *Idi* *Amin* *Dada*

  • @goo6341
    @goo6341 Месяц назад +2

    Historia shwari mno! Asante Kaka Edgar kwa simulizi bomba sana!!

  • @khamishaji6705
    @khamishaji6705 5 лет назад +64

    Ikiwa unakubali kaz ya uyu mtangazaji weka like yako

  • @barakachami8218
    @barakachami8218 5 лет назад +72

    Uyujamaa hanae simulia.. Hanatakiwa hapewe mshahara Mara tatu hanao lipwa kwel hanafanya kz vema nimemfatilia Sana yupo vizur Kk mungu hakubariki!

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 5 лет назад +4

      Ndugu kiswahili fasaha anae simulia
      Anatakiwa apewe. Anaolipwa

    • @barakachami8218
      @barakachami8218 5 лет назад

      Emma Lyanga true kz nzur

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 5 лет назад +4

      Wewe Baraka Unatumia ha badala ya A .Jifunze kiswahili

    • @sabinamaremi1498
      @sabinamaremi1498 5 лет назад +2

      Baraka Chami ujue unaboa kiswahi gani hicho au hujui kusoma

    • @justinemganiwa5764
      @justinemganiwa5764 5 лет назад +1

      We unaongea madudu gani

  • @janjatv9619
    @janjatv9619 5 лет назад +8

    najisikia murua sana mashaalah👏 ninaposikiliza simulizi za historia zako usichoke kutusimulia daily🙏

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 лет назад +50

    Asante kwa hii historia Nzuri na sauti yako ya kuvutia

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 5 лет назад +3

    Huwa nakufwatilia sana kutoka hapa Nairobi, kazi nzuri ndugu yangu

  • @sabinajames6539
    @sabinajames6539 5 лет назад +8

    Wow asante

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 5 лет назад +13

    Unastahili tuzo ya thamani Sanaa.Big up Ananias

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 9 месяцев назад

    I can't stop watching your stories, proud to be Tanzanian

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 лет назад +26

    Napenda kusikiza histolia ya Global TV....nikiwa hapa Kenya.... Tuko pamoja

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 5 лет назад +24

    Story imepangwa vizur sana

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 5 лет назад +32

    Broo Honestly speaking una Sauti nzuri asee!!

  • @Nyam033
    @Nyam033 5 лет назад +22

    Nilikua nasubiria muapload kwa hamu👍👍👍👍👍

  • @jeffmsomali4264
    @jeffmsomali4264 2 месяца назад

    Waooo respect brother

  • @sol-ql1kt
    @sol-ql1kt 5 лет назад +6

    Hii ni nzuri Sana... Keep on

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 5 лет назад +4

    Mtangazaji upo safiii umeeleweka

  • @athumanjuma2772
    @athumanjuma2772 5 лет назад +6

    Much Respect 🤔

  • @fistonkyuing9888
    @fistonkyuing9888 5 лет назад +13

    Asante kwa kazi nzuri na kutupatiya historia nzuri Mungu akubariki kwa kazi yako

  • @lymoordeseeker7332
    @lymoordeseeker7332 5 лет назад +5

    I Appreciate ur voice

  • @katanicarter0568
    @katanicarter0568 5 лет назад +23

    MtangaZaji/Msimuliaji yupo Tofauti saaaana.......
    Gud Job.... MAMBO SWADAKTA

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe6544 5 лет назад +4

    Msimuliaji yupo vizuri sanaaaa

  • @rosenight272
    @rosenight272 5 лет назад +5

    Asante sana kwa historia hiyo muhimu sana, Ndio maana Mungu wa Israeli mwenye mamlaka atailinda Kenya na kuitetea kwa ukarimu wa kuruhusu jeshi la Mungu wa Majeshi kujaza mafuta hapa kwetu Kenya...BABA wa mbinguni kusije kukawa na mkatili kama huyo tena UGANDA. UILINDE UGANDA NA AFRICA YOTE.

  • @mattaromar2624
    @mattaromar2624 5 лет назад +9

    Nakuku bali sn mzeebaba uko vzr sn

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 лет назад +4

    Kaka mungu akupe maisha mema hakika unavutia sana utangazaji wako Ni zaidi ya grobal tv

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 5 лет назад +8

    Very informative and educative!Kudos Edgar!

    • @abdullahiahmed5343
      @abdullahiahmed5343 3 года назад

      This is just information intended in a hidden way...Neither is it educative nor imformative

  • @silasjuma6569
    @silasjuma6569 3 года назад +1

    am happy to be in this class learning has no end

  • @fhdhilyhamidu4422
    @fhdhilyhamidu4422 5 лет назад

    Daaah shukran global kwa kunifunua akili na kunipa faida zaidi ya kuijua Africa na utawala wa kikoloni kwa sasa ni (watalii/wawekezaji) mmh Africa bado tuko utumwani

  • @al-bashirclinic3326
    @al-bashirclinic3326 5 лет назад +2

    tnx for enlighten

  • @rachellebahati7512
    @rachellebahati7512 5 лет назад +3

    Nakupenda ,unasema kweli

  • @kennedyrubaza5846
    @kennedyrubaza5846 4 года назад

    Asante sana bro

  • @ruqiaothman3112
    @ruqiaothman3112 5 лет назад +8

    Duh! Asnten kwa kutujuza ya kale global tv mpo vzr sana hongereni ila msikae kimya muwe mnatuwekea mambo ya kale tuyajue vzr

  • @stevenalex9590
    @stevenalex9590 4 года назад +2

    Msimuliaje congratulations....🙏

  • @billyotienojuma9932
    @billyotienojuma9932 5 лет назад +3

    i loovw your information

  • @sidedirtylevel8483
    @sidedirtylevel8483 5 лет назад +4

    Naomba aongezewe mshahara huyu muandaaji na msimuliaji...yaani ana manjonjo uyo..

  • @user-um4dt5dn6l
    @user-um4dt5dn6l 2 месяца назад

    Dah noma sana

  • @majidshaibsaid7389
    @majidshaibsaid7389 5 лет назад +2

    Nice for good story

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 5 лет назад

    thanks so much mr denis and ananias keep it up

  • @OswardAndrea
    @OswardAndrea 2 месяца назад

    Hatar sana huyo Id amin

  • @jimmykimaro8163
    @jimmykimaro8163 5 лет назад +6

    Hongereni sana Global tv

  • @manmacho6529
    @manmacho6529 5 лет назад +2

    unatangaza vizuri sana

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 4 месяца назад

    Allah akurehem Iddi Amini Akujaalie Jannat Firdausi ulikuwa kidume kweli kweli

  • @godsonhance684
    @godsonhance684 5 лет назад +1

    Kazi nzuri sana msimulizi upo vizuri

  • @nyakinyaki1702
    @nyakinyaki1702 5 лет назад +4

    nimependa sana bro jinsi unavyo simulia vizur sana

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 лет назад +8

    Idd Amn dada

  • @ivancharles578
    @ivancharles578 5 лет назад +1

    Iko pow sana

  • @thomasbobtv7584
    @thomasbobtv7584 5 лет назад +18

    Huyu mhariri ndio anafaa kupewa utangazaji dunia nzima maanake yuafaham kazi yake vilivyo,pewa kinywaji mzee kwa bill yangu

  • @husseinkassimshehe4996
    @husseinkassimshehe4996 5 лет назад +23

    Nnachoshangaaa mimi story za Iddi Amin ambaz n mbaya n hku Tanzania i huk kwao Uganda wanamuelewa kam Shujaa wa Nchi yao. Hzo xtory za msingi il ukikua unajifunza unajua ukwel. Ndiio maaana hta ile triangle trade kule sekondari ni Hovyo t il ukixom unajua

    • @hashimutambala7730
      @hashimutambala7730 5 лет назад +4

      Iddi amini alikuwa ni mwema Sana sema kachafuliwa kwa chuki binafsi ya nyelele kwa ajili ya dini nyelele mkirsto Iddi ni muislam na Iddi alipenda Uganda iwe ni nchi ya kiislam

    • @asiliyakechuma7335
      @asiliyakechuma7335 5 лет назад +3

      Mm naomba unisimulie history ya Eid amin

    • @africangirls482
      @africangirls482 5 лет назад +2

      @@hashimutambala7730 huo ndo ukweli mkuu me sisemi tena kitu sema tu nyerere alitupandikiza chuki lakn idiamini nimtu poa sana

    • @kidundasalum4088
      @kidundasalum4088 4 года назад

      Hueleweki ulichosema

    • @jastinimwita1028
      @jastinimwita1028 3 года назад

      @@hashimutambala7730 kwani nyie mnapenda wakristo? Tumia ubongo kufikiri mkuu...

  • @jacqulinechawala2494
    @jacqulinechawala2494 3 года назад +1

    Mtanqazaji uko vzr sana na sauti inaskika vzr sana

  • @markwambura2113
    @markwambura2113 4 года назад

    Kazi nzuli asante kwa elimu

  • @frenklubago5748
    @frenklubago5748 5 лет назад +1

    Vzuri sana

  • @nestospecial1412
    @nestospecial1412 5 лет назад +3

    Naipenda sauti yako hiko poa

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 5 лет назад +1

    Asante kaka

  • @hemedsalim8837
    @hemedsalim8837 4 года назад +2

    Mungu Amrehemu Iddi Amini amlaze mahali pema peponi. Nyerere Mungu amlaani kwa udini aliokua akileta na ambao unaendelea mpaka sasa Mungu amchome tu...........

  • @hayatihkhadija1924
    @hayatihkhadija1924 5 лет назад +3

    simuulizi nzuri

  • @allyclassic1768
    @allyclassic1768 5 лет назад

    Uko vizuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii xanaaaaaaaa xafiiiiiiiii

  • @chrissfadhaa216
    @chrissfadhaa216 5 лет назад +1

    Edgar Unajua sana unasauti nzur sana na maneno mazur sana

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 4 года назад

    Safiiiiiii sana Ananis Ediger kazi nzuri

  • @razackkalanje5049
    @razackkalanje5049 5 лет назад +6

    Navutiwa sana na utangazaji wako very impressive

  • @rockysanga7289
    @rockysanga7289 3 года назад

    Point

  • @suleimanmohammed7559
    @suleimanmohammed7559 5 лет назад +2

    Kizazi sana kamanda

  • @daudidaudijohnathani1474
    @daudidaudijohnathani1474 4 года назад

    nzuri sana

  • @abdulmkwawa2419
    @abdulmkwawa2419 4 года назад +2

    Dah huyu Jamaa kuna maneno mengi sana ya uhongo

  • @nikristee
    @nikristee 3 года назад

    Ningependa Kuviona vizazi vya Iddi Amin

  • @symonnduati5849
    @symonnduati5849 4 года назад

    Hongera waelezea vyema sana

  • @sadelickkihongosi8248
    @sadelickkihongosi8248 5 лет назад

    Nakukubali sana mkuu bigup sana

  • @shaabandede4814
    @shaabandede4814 5 лет назад

    Umetisha San bro mungu akutangulie

  • @awadhhassan5353
    @awadhhassan5353 4 года назад +1

    Niko kenya uko juu bosss👍

  • @laurentbudu9862
    @laurentbudu9862 5 месяцев назад

    Nakubal sana kaka kwa kazi zako

  • @veronicafredy4101
    @veronicafredy4101 4 года назад

    Jamn nyerere baba amefanya kazi kubwa na naamini magufuli mungu amemleta kwa niaba yake

  • @erickmsallenge3724
    @erickmsallenge3724 5 лет назад

    U r great bro

  • @aishalyova5751
    @aishalyova5751 5 лет назад +1

    Kaka uko vizur mpka raha big up sana

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 5 лет назад

    Bro you are the best bro.. Nimenyoosha mikono

  • @ilumbohaby3271
    @ilumbohaby3271 4 года назад

    Uko vizuri sn sijutii MB zangu

  • @paterinejumbe7069
    @paterinejumbe7069 4 года назад

    Nakukubali mzeeee

  • @PattiPattoz-Montana_254
    @PattiPattoz-Montana_254 3 года назад +1

    I like the way you express the story & your voice so audible 😍

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 5 лет назад +1

    Da unaelezea ka ulikwepo vile, safi sana

  • @yusuphasenga8192
    @yusuphasenga8192 4 года назад

    Safini sana

  • @wizzypoldeluxe3233
    @wizzypoldeluxe3233 4 года назад

    Nice

  • @davidowino4262
    @davidowino4262 5 лет назад +2

    Kaka mpaganzi upo vzr sana tena sana..never seen

  • @jameslighton381
    @jameslighton381 5 лет назад +2

    Gud

  • @asajilejohnmwakapinga1065
    @asajilejohnmwakapinga1065 5 лет назад +3

    Komaa kaka uko vzr

  • @bakarisimba5627
    @bakarisimba5627 3 года назад

    Sio powaaaaaaaa

  • @abdulrahmanhussein1644
    @abdulrahmanhussein1644 5 лет назад +1

    Muwe mnajitahidi kupata taarifa sahihi.amini alipenda na waganda

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 4 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @deogratiuskapulwa8874
    @deogratiuskapulwa8874 4 года назад

    Kashmir shujaa wa mfano mwenyeakili ,mcha Mungu ,jasiri wa kuigwa...

  • @hemedsalim8837
    @hemedsalim8837 4 года назад

    Nyerere mkatolik na iddi Amini muislamu anaejua haki hakuwez kuwa na salama apo.

  • @papaaclements6439
    @papaaclements6439 5 лет назад +32

    TANZANIA ya enzi zile iliyokuwa na umoja siyo 'UPINGAJI' kila jambo ndo maana umoja uliiwezesha kushinda vita ingekuwa leo hii tungepigwa saana maana IDD AMINI angekuwa anapewa siri za nchi na watanzania.

    • @allywendo2553
      @allywendo2553 5 лет назад

      Gghuza migyango

    • @titothoya1618
      @titothoya1618 4 года назад

      Pale tatizo linapo ingia nyumbani wenyeji huja wakatafuta suluhisho hata kama kuna utengano. Hivyo basi Tanzania ya sasa ina uwezo katika kila jambo litakalo kabili Taifa

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 4 года назад

      Haahahaha sijui umewaza nn,siku hizi bongo kuna watoboa siri wengi sana

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 6 месяцев назад

    Hiii history sio rafiki kabisa maana uongo nimwingi kuliko ukweli,, pumbavu sanaa

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 лет назад

    Naumia sana kwa nn nilipata D ya history o level.. unajua sana I feel you

  • @singanoherieth1331
    @singanoherieth1331 Месяц назад

    Adui wa mzazi wangu ni adui yangu huwezi kuwachukia wazazi wetu ukanipenda mim mimi namchukia uyo amini hadi leo

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin 5 лет назад +1

    Mku uwezo wako mkubwa sana kusimulia. Napenda sana

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 лет назад +1

    STORY NZURI SANAAA

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 5 лет назад +2

    Historia ya Idi Amini Imepotoshwa wala hakua hivyo Mnavyoisimulia he was a Good man

    • @shabanimarijani662
      @shabanimarijani662 5 лет назад

      If he was a good man please tell us a good history of iddi amin.we hope that you know much better about IDD amin.

    • @ndagaujenzi1211
      @ndagaujenzi1211 4 года назад

      Wapumbavu kama ninyi ndio mnaamini he was a good man....imagine the whole world to hate you...why then?

  • @raymondamosi9059
    @raymondamosi9059 5 лет назад +4

    Nime enjoy sana Thanks! Tuekeeni storia Kama izi mbona mtafraia maisha WENYEW na WATAKAO follow account wataongezeka Amini nawaambia

  • @deogratiaskiondo4900
    @deogratiaskiondo4900 3 года назад

    Hatari

  • @twaliburamadhani912
    @twaliburamadhani912 4 года назад

    mwanangu unajua sana

  • @abdallahnurdin115
    @abdallahnurdin115 5 лет назад

    Dah kaka uko vzr cn