RC Makonda Ampa Makavu Mchungaji, Ambana Mkuu wa Wilaya "Kwanini Umefungia Kanisa?"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- DUH! RC Makonda Amuweka Kitimoto Mkuu Wake wa Wilaya "Kwanini Umefungia Kanisa?"
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#rcmakondaarumeru #RCMAKONDAARUSHA
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu
Makonda na Bwana Yesu Akufunike kwa Ulinzi wa Damu yake maana ni wazi unafanya kazi ya Mungu.
Hivyo kwa kuwa umekuwa mwaminifu kwa haya machache Mungu na Akupe kutawala juu ya mengi na makubwa kwa Utukufu wake.
Dc,usitishwe na.makelele ya watu,siku zote ukweli unauma,simamia ukweli wako,tenda haki,haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote,kanisa ni chombo cha.neema,mchungaji acha kulilia haki isiyokuhusu,ni dhamji. Na unasababisha mlinzi wa usalama ngazi ya wilaya anazomewa na washirika wako mungu hapendi. AMEN
Pole kwa kazi kaka ala inaakili sana kama una chaji halikushindi jambo
Makonda mwenyezi mungu akuweke. Nimekuwa napenda kuona mikutano yako kutokana na weledi wa kazi yako.
Makonda kwa hekima uliyo nayo naamini wapo watu wanaokesha kukuombea usimame kama ulivyo nami nakuombea ulinzi wa damu tukufu ya Yesu Kristo ikuzunguke hii kesi haikuwa nyepesi ila kwa uwezo wa Mungu aliye hai unaimaliza kirahiiisiii!!! Ulindwe sana mtumishi wa Bwana
Kabisa namuona Magufuri ndani yake
Nakupenda sana baba yangu makonda mungu akubariki
Hongera RC Makonda kwa uungwana wa kumsikiliza baba mchungaji kwa umakini zaida.
MCHUNGAJI KAJA BILA GADI 😂😂😊
Hajambana mkuu wa wilaya, amemuomba aelezee, huko siyo kubanwa. Uliyeandika kichwa cha habari ni mpuuzi
Aiseh bro Makonda, safi sana huhuuuu
Yesu naomba safari yangu iwe salama mpaka nikuone... heeee 😢😢😢😢
Kama nawe Makonda ulikua humuelewi ila saiv Unamuombea kwa Mungu awe mlinzi wa maisha yake yake Ngonga like. Asante sana Mheshimiwa Raisi kwa kidogo alichokupa Mungu kumrudisha huyu Jemedali hii ndio CCM . UTU MBELE
Ongera Kwa kuliona hilo
MUNGU kamtuma huyu. Utaona baadaye atakuwa mtu mkubwa sana
Mw. Makonda unayo kazi kubwa, Damu ya Yesu ikufunike, hutashindwa kwa lolote
Nchi hii Ina viongozi wengi lakini hakuna wanachokifanya kijana huyu mungu amlinde sana anayo kazi ngumu
Looh! Pole sana P.Makonda ,kazi ni ngumu sana ila Mungu amekuamini ndio maana uki hapo sali sana kadiri uwezavyo mungu akuongezee maarifa na hekima. AMINA.
Mkuu Mungu wa Mbinguni akulinde sana Uendelee kupambania haki za wanyonge safi sana sana
Baba makonda unaonekana tu hata ukiwa mjumbe wa nyumba kumi ubarikiwe sana ingawa nipo mkoa wa pwani nakuona mtandaoni unapiga kazi wewe ni kiraka unafaa
Some time natoa machozi jinsi navyo ona makonda anapambana big up sana
sema makonda yuko makini bwana sikuwahi kujuaga ..safi sana
Makonda respect❤❤❤❤
Mh.mkuu wa wilaya, Yuko sahihi! Kama mchungaji alihama na kuanzisha kanisa linguine, hatakiwi kuchukua chochote. No wagombe cheo.
Hii ni fedheha migogoro ya kanisa kufikia hatua ya kufikishana mahakamani na mpaka kufikia hatua ya kuingiliwa kati na viongozi wetu wa kitaifa!! Hekima ya makonda kama Seleiman!! Mungu akulinde Mh. Makonda
Mheshimiwa liangalie vizuri,zamani watu walikuwa wanakaa chini ya vivuli vya sehemu nyingine
Dc.Yupo right kabisa
Nimesikiliza vizuri sana Mkuu wa mwilaya amesema alinunua kiwanja piya akaanzisha kanisa badae akatolewa mbona mwanzo alikua mwenyewe kwenyekununua
so baadae ikawa mali ya kanisa na sio ya mchungaji tena.
Mkuu wa wilaya ameongea UONGO anasema tulikua na chama kimoja ambacho ni chama Cha mapinduzi huo ni uongo mtupu,, tulikua na TANU nadhani😂😂😂😂😂
Hii ni aibu! Tunamuabisha Kristo!
Jamani Acheni Kufunga Nyumba Za Ibada Mtalaaniwa Na Mungu Atawaona
Yaani iko hivi; ninyi mnaompiga kwa maneno Nabii wa Mungu kuhani na Mch Yona, kuna kitu hamkijui. Mimi niwahakikishie na muitunze sana hii comment. "MMEUPANDIA MLIMA HATARI; MTAPIGWA KWA MAWE MSIYOYAONA"
Mnasema eti akabidhi mali kwa kanisa halali!! Mnalijua???
Ni utukufu wa mfalme kuchunguza jambo.
Eti anawachanganya watu😲
Kama wanadaka mambo mtaani na hawana muda wa kuchunguza zaidi ya kubwatuka? Mshahara wa kukurupuka kwao ni kuchanganyikiwa na aibu juu.
Eti awekwe ndani akazekee huko😠; hamjui anayetakiwa kuwekwa ndani. Ila majira yakifika mtang'amua.
Wakati huo Masihi wa Mungu Yona akiwa anawika juu ya kilele cha mlima mrefu na macho yenu yakimtazama kwa mbali na kwa aibu.
Ndipo mtajua ya kuwa Mungu ana kifaa cha kiwango cha PHD+ duniani.
"Usimdharau usiyemjua"
Eti amechanganyikiwa.
Hili vazi LA kuchanganyikiwa lina mwenyewe na bado hamumjui.
Ila Masihi wa Mungu Yona atatoboa miaka yake yote na akili njema tulivu akiwa timamu maeneo yote hadi unyakuo.
Wekeni lijamu kwenye ndimi zenu.
Msilolijua litawagarimu.
Makonda is next president
Mweshimiwa MAKONDA tenda haki
UBALIKIWE SAAAANA MKUU WA WILAYA KWA KUFUNGA KANISA ULIFANYA JAMBO JEMA MNOOO UMEPITISHA AMANI KUUBWA MNOO .🙏🙏 BALIKIWA
Nakukubar sana mzeee mung akulinde mpenda maendeleo
Kaka una hekima ya Hali ya Juu ... hakika Roho mtakatifu anakuongoza....❤
Makonda mungu akutunze kwaajil yetu watanzania wanyonge tunakukubali san
Makonda anaakili sana asee sio kwaaelezo ya mchungaji miwenyewe msikilizaji amenichanganya ila makonda kaelewa?
Hahaha me mwenyewe mechanganyikiwa haha daah mkuu makonda anaakili snaa
Makonda ni kiongozi tosha anaesimamia haki wakati wote. Endelea hivyo mkuu Tanzania inahitaji watu wanao simamia haki. Na ikimpendeza Mungu akuinuwe kwa ngazi zingine kubwa za uongozi
Hapa mkuu wa mkoa, kinachoedelea ni uasi. Hii ni issue ya uasi. Mchungaji anatakiwa kuustaafu kwa mujibu wa kanuni zao, ila inaonekana ameshawishi baadhi ya waumini kuanzisha kitu kingine kutumia mali za huduma nyingi. Hii inaitwa hatua ya kisiasa . Msaidieni huyu baba. Uasi sio mzuri . Mwisho wake unakuwaga mbaya sana . Mf. Yuda, Absalomu Yoabu.
Apo sio akili yako ni MUNGU alioko ndani yako umeongea poit: ubarukiwe sana taamaa ya uchu na nadaraka: inaionesha Mzee hatak kustaaf jamani safari ya mbinguni ni ngumu😢😢😢😢😢😢
Mkuu wawiraya unafeli wap Mambo yadini na siasa wap na wap ww
🇹🇿Serikali unganisheni wizara ya ujenzi na usafirishaji kisha apewe paul makonda asimamie barabara na reli zitajengwa haraka sana na Tanzania itapaa kiuchumi.china leo iko vizuri walianza na kujenga miundombinu mizuri kwanza.Hivo huyu makonda apewe wizara ya ujenzi kuokoa uchumi wa Tanzania.Huyu jamaa ni rasilimali nzuri ya Tanzania anauwezo binafsi kwa maendeleo ya Tanzania.🇹🇿
Umewaza Kama mimi
Mchungaji analeta janja janja😂😂😂
🎉
Mimi binafasi Huyo Mchungaji nimemuelewa saaana, Umpt sio kanisa Ni umoja , wakati fpct wanatoka wao ndo walitakiwa waache Mali za Umpt , sababu wao Ndio walioanzisha kutoka ,Baada ya Umpt ilizaliwa m.m.p.t, Huyo Mzee Ana haki saana
Mungu baba uliye mbinguni kama itakupendeza mfanye huyu Mwamba aje kua zaidi ya alivyo sasa kwenye hii nchi
Mambo ya kufanya chini ya mwamvuli, na kugeukana
Mm nasema kwani wakuu wa mikowa wengine hawaoni makonda anacho fanya nawao waikomboe jamani
Mungu awapiganie mwalimu wangu mwalimu Lema
You are the best makonda ❤
Makonda duuuh uchanganuzi huu makini sana
Mmh ndugu zangu hii ni aibu sana kwakanisa tena walokole, haya ndiyo Bwana Yesu alisema kuwa nikosa kubwa na aibu kupeleka mashauri yetu kwawatu wadunia watuamulie akati sisi ndiyo tunapaswa kuwa washauri wao
Hee makubwa shangazi yangu you mama lekisongo .sijamuona miaka😂😂😂
Mch Yonna Sumary nilikuheshimu sana na natamani niendelee kukuheshimu. Cha kusikitisha unataka kumaliza vibaya. Kwa nini unaeleza uongo kabisa ukikataa ukweli. Pole sana Mch hebu tafakari na utubu dhambi hii
Mbn askofu Yona Hana shida mkuuu
Wewe acha kumnyoshea Mtumishi Yona kidole
Huyo mchungaji aache ubabaishaji amehama akapambane na hali yake huko aanze upya
@@pastormoses8411sasa uoni kama anataka kufanya utapeli na lipo waz😅
@@emmaa_God1Amehama Kijanja walioondoka Wote Kwenda sehemu wakamkabidhi mwingine unarudi kudai nini??
Mungu awe na we makonda upitapo
Sawa pastor useme kweli
Makonda anaakili sana
Mbna wanachi kama hawakubaliani nalo😢
ardhi na nani ananunua na kulipia. Swali ni: Nani alinunua ardhi? Nani alijenga Kanisa? Dk.Makonda naomba Mchungaji Godson na kundi lake walete mkataba wa ununuzi wa ardhi kwa jina lao na risiti za vifaa vya ujenzi wa Kanisa kwa jina lao, mwenye hati za kuthibitisha kuwa walinunua na kujenga na mwenye nyumba awe na hekima kama Solomon.
Mbona kanisa nimali yawana Baraa?kwamaelezo ya Pastor Yona?ww unataka hao wakupe risiti zann?kama kuna aliyejenga alikuwa msimamizi tu.
Kweli kanisa inafingwa inakuwaje stori, kama hakuna kafaida fln,mnasali popote tu chamsingi Mungu tu jmn.
Mfano huu wa makonda ungeigwa na sehemu nyingine.
Tanzania ingekuwa Marekani
Kabisa😅😅😅
Mkuu wa wilaya ulifanya kitu kizuuri Sana kufunga kanisa maana ungekosa kufunga kanisa wangeanzisha fujo kubwa za kupigana na uvunjaji mkuubwa wa amani ONGELA MKUU WA WILAYA ULIFANYA VZURI KUFUNGA KANISA PANDE ZOOTE MBILI .
Imekaa vizuri sana wamemzomea tu lakn yupo sawa kabsa
Bora mb zangu ziishe hapa
Tunataman ungekuwa mkuu wa mkuu wa daa yan ungetatua kero zilizojaa honger a sana makonda piga kaz magufuli kakuachia viatu ila mungu akulinde
MAKONDA UNAAKILI SANA HEKIMA YA WAZEE WETU KINA NABII IBRAHIMU
Huyu Mchungaji yuko sahihi kabisaa
Mungu akuzingile na nguzo za moto adui asikupate haijalishi utawekwa nafasi gan
Dahh ❤❤❤ nakukubali Baba makondaaaaa akili KUBWA
Nashauri Mhe.RC mtafute Askofu wa FPCT Jimbo hilo Bishop Ayubu Muna kimahama hapo. Maelezo ya DC ni sahihi na tatizo hapo itakuwa ni kanisa mpya kwenye kanisa la awali na hao Viongozi wa serikali hawakubeba mgogoro huo na kulitatua haraka
Well said
Unahekima sana broo
Inaonyesha namna gan mifumo, na miundo inachangamoto kubwa sana ktk kuendesha mambo yake ktk ngazi za chini na kati
Jani Mbona Munatufindisha kwamba tusihukumiane na sasa Muna hukumiana Hapa hakuna MUNGU kuna 4:10 Miungu Jifunzeni kwa wapagani Wao Hawa gombani kwenye Madhabao zao
Makonda Safi Sana.Ebu neno kwa Lugha kwanza ili sipana ikae vizuri.
Yani viongozi wengine nimateso kwa Wachungaji utafikiri Mashatani
Sasa hii Arusha ingechukuliwa kama sampuli then sasa Operation ya namna hiyo ifanyike mikoa yote Mtashuhudia mambo ya ajabu hamjawahi kufikiria
Hapa kinachochanganya ni
Umoja wa makanisa ya ki petekost kugeuka dhehebu la fpct huyu mzee anaweza akawa na haki lakini itapotea kweupe nayajuwa madhehebu yalivyo kudhulum ni jambo la kawaida Sana
FPCT ni baba yao
Matangazo ya mikopo ina boa snaaaaaaaa jamna
Sana asee
Shida ya Arusha kila mtu ana akili wengine vichaa,nimeishi huko ubabe mwingi bila sababu Makonda kua makini ndugu zangu nawajua
Vunjeni msikiti muone kelele zake.
Najiuliza kabla ya Makonda Viongozi waliokuwepo hawakuyaona hayo?
Jman uuuuwww makonda nmempenda buree jman anatk anene kwa lugha kwanza ili waelewana😂😂😂😂
Makonda hapo huna kiongozi ni mipuuzi tu
Aibu huyu mkuu wa wilaya kilaza sana
Unasali hapo nini
Brother soma comment zangu nakukubali sana sana kaka huwa nashindwa kuelewa watu wanaokusema eti wewe hujasoma hivi kweli mtu ambae haja soma atatua migogoro ya aina hii kweli!!!
Wasomi ndo wanaoharibu hii nchi
Yaani hii nchi imezidi siasa,ila huyu mwamba anafaa
Rais kama unanisikia tunaomba Mkuu wa mikoa yote awe makonda
Kasoma chuo Moshi huyo. Hata sio mkubwa
Wameru hao mdogo wangu Makonda pasua kichwa
Siku hizi TikiTV imeishiwa stori zilee. !
MH makonda una hekima ya na bii suleimani Hongera sana
Wenye makosa ni walioandikisha kanisa jipya bila kwenda kukagua uhalisia wa majengo kama ni ya kwao.
Hiyo point mkuu
Nani amekwambia hawakukagua?
mh haya mambo ebu wakutane pande zote mbili jaman
Migogoro hiyo ipo mingi Kwa maka Isa ya kilokole wachungaji wengine huanzisha maka Isa na kununua viwanja Kwa Hela zao na Ili waendeshe ibada inabidi wasajiliwe Kwa Kabisa jingine mama ambalo hutoa idhini tu ya kuendesha ibada . Wakikomaa hutafuta usajoli wapi na kujiteenga hivyo hivyo migogoro wa kugombea Mali huanza na mara nyingi hudhulimiwa.
Safi makonda
Mkuu wa wilaya ni jipu piaa uyoo
Mzee wa supana anapiga supana mpaka kieleweke🎉🎉🎉
Mch Yona tunakuombea utapata ushindi mkubwa 🙏🙏🙏
Hakuna ushindi hapo. Akanzishe kanisa lingine hapo ni kanisa la FPCT
Ushindi wa utapeli😢
Nooo iko hivi KAMA ALIKUWA UMPT SIJUI ,,NA AKAHAMIA FPCT NA MALI ZAKE BAADAE AKITAKA KURUDI UMPT INASHINDIKANA NINI KURUDI NA MALI ZAKE HATA KAMA ALIKAA FPCT MIAKA KUMI??? BY THE WAY WALIANZA KUNUNUA HILO ENEO NA WASHIRIKA WAKE 1990, NA MPAKA LEO WAKO NAE NA WANAMKUBALI WHY MSIMWACHE PASTOR WAWATU AENDELEE KUCHAPA INJILI??? 😢
waombe Wapelelezi watembelee jirani ili kujua Mchungaji Yona ni nani na Mchungaji Godson ni nani? Hakuna aliyewahi kuona au kujua Mchungaji Godson na kundi lake ni akina nani. Mchungaji Yona akiwa na watu wa Baraa amekuwa huko kwa takriban miaka 40
Kuna Fala mmoja ana sema wapige spanaa mdaa wote 😂😂
huyo mkuu wa wilaya hatumtaki hapa Arusha
Hiyo kesi ngumu kiujumla mali inabaki kuwa ya kanisa la kwanza. Haya madhehebu yanatesa sana wachungaji mtu anahangaika miaka kujenga kanisa likipata maendeleo wanamtoa wanaleta mwingine dah inauma ila ndio hivyo sheria tena
Hukawi kusikia mke wake ni Mama Mchungaji na mkuu wa Kanisa hilo
Si sadaka zetu zinajenga kwani ni Yeye?
Mungu akuongoze mkuu wamkoa unafanyakazi ndugu
Makonda akili nyingi MUNGU akubariki
Huyo mchungaji angewekwa ndani akazeekee huko akabidhi mali kwa kanisa halali na Kanisa lifunguliwe atoe kigugumizi kanisani na wala asiwachanganye watu wa Mungu.
Mchungaji aheshimu umri wake keshafika umri wa kuchanganyikiwa na kutapatapa (Senility) kinusara alihitaji kustaafu
Na mimi naelewa hizo mara ni za Kanisani la kwanza hili Kanisa la pili halina haki Mchungaji utahamaje huduma na hali upo hapo hapo hama huduma Mali acha kaanze huduma nyingine upya
Mchungaji aliona cheo kimepokonywaa akaamua aanzishe wateja wengine
Watu wa Mungu bwana? Kwanini msimsikilize Mungu na mumlilie yeye na atende ? Kwanini mnamlilia mwanadamu?
Jamani wananchi Mungu kawapa MAKONDA,TUMUOMBEE SNA🙏🙏🙏🙏hii vita hapgani mwenyewe jamaniiii, Mungu amcmamie ARUSHA ikabadilike na wanyonge wakapate haki yao🙏🙏🙏
Huyo mbona mtaenjoy Sema tu huko hakuna matukio yale ya sherehe ila ingekua kama dar yaani mnge enjoy mno
Huyo mzungu kabisaa japo Ana mambo yake madogo madogo tu
Makonda wewe nia magufuli mmetoka tumbo Moja nitamwomba mungu akupe Miaka mingi uwendelee kuwaokowa kondoo wa bwana barikiwa zaidi mtu wa mungu