DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mwanamalundi / Mwanaume Aliyekausha Miti kwa Kidole Wanawake Wakapata Kuni!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
    Follow Us On Instagram
    / ananiasedgartz
    / ananiasedgartv
    / ananiasedgartv
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Комментарии • 377

  • @SangaliPower
    @SangaliPower 2 месяца назад +20

    Tuliopo hapa 2024 tujuane kwa like kwa fundi ananias

  • @Delux698
    @Delux698 10 месяцев назад +3

    Salute san kiongoz unatufundish vitu tusivyovijua, mung akuongoze....

  • @christopherdimagaaaikopouw916
    @christopherdimagaaaikopouw916 2 года назад +8

    Nimeipenda sana hii ni kumbukumbu nzur zinatukumbusha Asili yetu tuliko toka Ananias tuletee na simulizi za mwamba wengine wa tz

  • @adolfkimaro784
    @adolfkimaro784 2 года назад +3

    safi sana story nzuri na inamafunzo kwa watu wa africa tunatakiwa kuthamii vya nyumbani na kuvaamini kabca maana ata leo ukikutana na msukuma halisi atakuambia mwanamalundi ni mchawi wa kutupwa

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 года назад +2

    Kwa Uchambuzi tu Asante❤️🙏🏾🇰🇪

  • @carloskitheka5401
    @carloskitheka5401 2 года назад

    Simulizi tamu sana..keep up good work.

  • @justblackcode
    @justblackcode 2 года назад +5

    Nimependa madoido uloyatia katikati usimulize wako😍, hadi nimeishare kwenye status yangu 🇰🇪♥️

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 года назад

    Upo vizuri Sana msomaji na mwandaaji, Ni story inayofundisha Sana.

  • @juma1hujukii642
    @juma1hujukii642 8 месяцев назад

    Hakika mswahili alifeli kwatukuza vya weupe. Ndio maana Leo wenye chanjo wameittwa ng'ombe na mahakama za Marekani

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Год назад +1

    FANTASTIC FLOW

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 2 года назад

    Nakukubali Sana Annanias

  • @andreageorge6407
    @andreageorge6407 11 месяцев назад +1

    Mwanamalundi mwamba kweli kweli

  • @Steven-r4l
    @Steven-r4l 10 месяцев назад

    Hiyo ni kweli

  • @JamesMsigara
    @JamesMsigara Месяц назад

    Kwel anacho simulia huyu jamaa kwenye jiwe la mwanza ameacha alama za unyayo wake

  • @japheteliatosha4710
    @japheteliatosha4710 2 года назад +1

    Naomba kupata mawasiliano ya msimulizi

  • @luhajufilmstanzania
    @luhajufilmstanzania 2 года назад +1

    Tulioko mwanza tunakipataje?

  • @Samwelifrolaninyaulingo
    @Samwelifrolaninyaulingo 10 месяцев назад

    hey

  • @RajabDigogilejr
    @RajabDigogilejr 11 месяцев назад

    Huyu jamaa nimeanza kumfuatilia history zake nina mwaka wa 4 huu

  • @julianajohn5256
    @julianajohn5256 2 года назад

    Yaani umenifungua sana Leo hata hunichoshi endelea kutujuza yaliyo sirini

  • @egidenkeshimana7905
    @egidenkeshimana7905 2 года назад

    Keep up bro. 🙏🙏🙏

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 11 месяцев назад

    Najivunia sana Kabila langu la Kisukuma

  • @saeedalyahmadi1738
    @saeedalyahmadi1738 2 года назад

    Naomba ya mtemi ntinginya mie ni wa nzega na nmesoma shule ya jina hilo piaa

  • @germainpennant6439
    @germainpennant6439 2 года назад

    Hapo kwa uyo mzee aliekuwa akivimba hadi kujaa nyumba nzima, mbavu zangu mieeee😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @herbertlevery13
    @herbertlevery13 2 года назад +19

    Ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na manabii na wazungu waliwauwa manabii wetu ili kuwatangaza wa kwao na ss waafrica tumeferi ktk hill kwa zipo baraka ktk kuwatangaza manabii zenu na mbaya zaidi mmegeuza majina yao kuwa mizimu lakini wazungu wanawaita watakatifu shtuken waafrika

    • @mooh_silver_tz
      @mooh_silver_tz 2 месяца назад +1

      Hawana uwelewa kabisa me nawahurumia sana

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 2 года назад +69

    leo nimeamini huyu jamaa anasimuliaga vitu vya kweli mana sehemu aliyoitaja ni kwetu na hizo sehemu zipo tukienda kuchunga tulikuwaga tunaona hizo nyayo za mwanamalundi pia kuna mwamba mwingine alikuwa anaitwa chalya naye historia yake inasisimua pia stori ya ibamba ngulu nilisimulia na mama yangu mzazi, keep it up bro unafanya utafiti wa kina hii habari ni ya kweli kabisa.

    • @SAMISAI.
      @SAMISAI. 11 месяцев назад +2

      Nikutafute unipeleke🙏

    • @nassibu-hy5ny
      @nassibu-hy5ny 11 месяцев назад +4

      Nichek mi nkupeleke kwenye nyayo zake utaona na mti alioukausha

    • @KiyumbiEmmanuel-zc4hv
      @KiyumbiEmmanuel-zc4hv 8 месяцев назад

      Ukitaka kuyajua maeneo yote haya ya mwanamalundi nitafute nikupeleke

  • @kamobcooler1077
    @kamobcooler1077 2 года назад +13

    Watu wengi hapa kuna kitu hawakijui (1)-Kabuli la huyu Jamaa lipo Kijiji kimoja kinaitwa SEKE IDIDI (SHINYANGA) mpk Sasa lipo

  • @ibraton4071
    @ibraton4071 2 года назад +7

    unachosema kweli....yule jamaa aliwalisha watu kibao kwwa mikate miwili....lakina mwanamarundi anakausa mti wanamuona mshirikina yule wa israel ni uwezo wa mungu africa banaa

  • @fatumaligome4584
    @fatumaligome4584 2 года назад +9

    Nikirudi tz nitakutafuta nipate vitabu vyako kaka ni kwa ajili ya watt wangu hupenda sana kusoma vitabu vya histor ya waliotangulia

  • @princessmunii2530
    @princessmunii2530 2 года назад +7

    Omg nimesoma wasomi huru gerezani, ukombozi wa fikra, na tumbo lisiloshiba na leo nimekusikiliza bila kujua ni wewe mtunzi wa vile vitabu😥 naamini tutaikomboa jamii kwa juhudi zetu sote tukiwa wawazi!!

    • @kulwalugata7232
      @kulwalugata7232 2 года назад

      Kuna anani s edga na Denis mpagaze mmoja mwandishi mwingine msimuliaji

  • @mosesmaganga1490
    @mosesmaganga1490 2 года назад +7

    Mimi nimesoma mwakilyambiti secondary school hiyo history ni ukweli mtupu mpka kwao mwana malundi napajua mwakubiringa

  • @mecksonmasaki5463
    @mecksonmasaki5463 Год назад +4

    napenda sana stori zako lakini ni story za juzi tuu nataka unipe story ya chief mangungo na baba yake masaki . habari zao zipo hata makaburi yao lakini yamefichwa na watu wamejua

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Год назад +1

    Lakini kabla Brian deacon mwigizaji wa filim ya Yesu hajazaliwa ! Picha za Yesu Kristo zilikuwepo... Fuatilia kisa cha mwanamke Veronica aliyeachiwa kumbu kumbu ya picha ya Yesu kwa muujiza kupitia kitambaa chake mara baada ya kuupunguza uso wa Yesu wakati wa mateso yake.....

  • @munawwar.akachwamba
    @munawwar.akachwamba 2 года назад +22

    Historia imebeba mengi , tuitafute historia, tujitambue.
    Shukran kwa uchambuzi wenu .

  • @frankwilbard5775
    @frankwilbard5775 2 года назад +12

    Ndani ya story yako tunapata story nyingine ndogondogo nzuri sana asanteee

  • @tatukigua5456
    @tatukigua5456 Год назад +4

    Kweli kaka Denis watoto wa sikuizi wanaingilia paka maongezi ya watu wazima

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 года назад +8

    Wasukum wanapend ndege 🤣 ndio maan hata hayat JPM 💔 alizinunua kwa wingi 👏

  • @princemajinge2206
    @princemajinge2206 2 года назад +10

    Ujinga wa kupalamia vya watu ndiyo unatughalimu,Viva wasukuma,harafu mnatuchukulia et washamba.

    • @likimaro6
      @likimaro6 11 месяцев назад

      Haiondoi ushamba wenu 🤣🤣

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 года назад +5

    Tunashukuru Sana naona na wewe kama mkombozi wa fikra zetu waafrika

  • @Madsan-q7i
    @Madsan-q7i 11 месяцев назад +1

    Mwanamalundi alikua mchawi nlishafuatilia habari yake

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi9400 2 года назад +2

    Hawa washkaji uwa nawasiikiliza uzalendotu ila kwamachungu mengi sana hawa majaa wameni kula hela yangu eti watanitumia kitabu paka kitabu akijafika mwezi wa6 hivi nikiwahandikia eti bado kunatatizo kwelii tatizo lisiohisha kwamyiezi yotehiyoo

    • @AnaniasEdgarTV
      @AnaniasEdgarTV  2 года назад

      Hello pole sana.
      Tafadhali tunaomba ututumie namba yako whatsapp +255659982764 kwa msaada zaidi.>

  • @primestar5922
    @primestar5922 2 года назад +7

    Mwanamalundi ni shujaa wa Africa nzima.

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai6509 2 года назад +8

    Kakah iachie sisi tuenjoi leo mana kitambo sana tumeisubiri hii

    • @godwin6325
      @godwin6325 2 года назад

      Noma sana, yani ile Historia ya Tanzania ingefundishwa mashuleni wewe ndiye ungekuwa mtu muhimu sana.

  • @matthewkimaro8695
    @matthewkimaro8695 Год назад +6

    Chapa kazi Wadau, tunapenda simuulizi zenu katika mambo mbalimbali. Diaspora ya Watanzania UK

  • @thobiasmathias139
    @thobiasmathias139 2 года назад +2

    Porojo zako nawe!

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 6 месяцев назад

    Utasikia mtumwa wa fikra anasema "shirk hiyo😂" Akili yake anaamini kila alichoambiwa na waarabu na mwingine utasikia Israel tu... Inabidi tujue siri ya haya mambo

  • @coronacermak7099
    @coronacermak7099 2 года назад +28

    Hongera sana. Kupitia hii simulizi, Leo nimewasimulia watoto wangu kuhusu Mwanamalundi. Maana baba yao anapenda sana kuwasimulia kuhusu Legend stories za tamaduni yake ya Czech au Ulaya. Sasa na mimi nilivyoisikia hii nimewasimulia. Mtoto wangu wa Kiume amefurahia pale kamba ya kunyonga ilipokatika na Mwanamalundi alipojamba na wasukuma wakapata Ng'ombe wao 😆☺️. Unasauti nzuri sana yakusimulia, inanikumbusha David Attenborough akivyokuwa msimulizi mzuri kwenye makala za historia na wanyama. Endelea hivyo hivyo, kizazi chetu tunajikomboa kifikra.

    • @yassinchachalika2446
      @yassinchachalika2446 2 года назад +1

      ,

    • @matthewkimaro8695
      @matthewkimaro8695 Год назад

      Umefanya vema sasa Dada. Vijana hawa wanafanya kazi nzuri sana katika kusimulia vizazi vijavyo historia za mashujaa wetu wa Tanzania. Nimekulia Tanzania kwa miaka 30 lakini sikuweza kusikia simulizi hizi. Inanikumbusha kipindi cha miaka ya 90 ambapo tulikuwa tunasikiliza kwenye redio RTD kipindi cha “mama na mwana” saa 8 kamili mchana.

  • @arveengeorge9577
    @arveengeorge9577 2 года назад +6

    Huyu ndio Yesu asee maana kaacha nyayo zake juu ya mawe kaka

  • @prof.oduoroduor6471
    @prof.oduoroduor6471 2 года назад +16

    huo usimulizi wako uko juuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaana>>> You are a great narrator bro.. so catchy

  • @joycesengo3976
    @joycesengo3976 2 года назад +10

    Wasukuma tunapenda ndege ndio maana JPM alizinunua Kwa wingi sikupingi 💃💃💃

    • @mpokimwakisimba692
      @mpokimwakisimba692 2 года назад

      Za masiku Joyce?? Umepotea Sana... Uje upande ndege😋😃

  • @makeresiapawa7947
    @makeresiapawa7947 2 года назад +4

    Hii sio historia sahihi ya Mwanamalundi- ng'wanamalūndi.
    huyu jamaa hajazungumzia tumboni mwa mama yake, bali ni mjukuu wa Igulu yaani JISHOSHA.

    • @silverybuluma
      @silverybuluma 2 года назад

      Igulu bugomola ni nan?

    • @ernestlameck5523
      @ernestlameck5523 2 года назад

      Eee bhana na hyo alie kua anaacha alama ya miguu kwenye mawe ni ibhamba ngulu cyo n'gwanamalund navyo jua Mimi lakin

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 2 года назад +12

    Nakumbuka sana nikiwa mtoto tulikua tunaambiwa mwanamalundi alikua kilima viazi ASUhi jioni anachimba viazi anaanza kura

  • @herbertogaro7270
    @herbertogaro7270 2 года назад +9

    Great voice, narration and metaphors....kiswahili kitukuzwe

  • @barakahassani5769
    @barakahassani5769 11 месяцев назад

    Kaka unatowa simlizi vizuli sana daa kwanza umetulia unavyo ongeza hatakama kunamtoto mdogo anakuelewa hatasisi kule kwetu songea kunamilima kati yahiyo milima mlima mmoja kwandani nikama nyumba nakunavyomba kabisa kasolo vitandatu napia kunachumba kimoja kinaishi lijoka likubwa sana ila halina ubaya namtu ila kama ukienda kwaubaya hauwezi pona piga uwa hautoboi sisi wakati tupo wadogo tulikuwa tunaenda kuliangalia nalinapete kubwa naniyasamani sana wazungu walienda wakataka kuleta mambo yao yaujangili chamoto walikiona kaka mambo nimengi sana kule kwetu

  • @jichoulimwenguni47
    @jichoulimwenguni47 13 дней назад

    History ni nzuri kabisa nimeipenda ili kaburi lake lipo seke maeneoya hungumarwa sio simiyu.

  • @manp.....7694
    @manp.....7694 2 года назад +15

    Denis nakuelewa san mkuu. Keep up kutupa vitu vitamu havichosh kuskilza, unatufundsha vtu vng sana kuhus maisha na historia ya watu weusi. Nakuombea sik moja uje kua kiongoz Mkubwa katka hii nchi naamini utakua kam JPM kwa philosophy na mtzamo wako dhid ya Whites.

  • @33-synchronized
    @33-synchronized 12 дней назад

    Usawa ndo unawapumbaza mwanaume atimize wajibu wake ndo maana sahz vdume mnaolewa.😂😂😂

  • @darasahistoria3773
    @darasahistoria3773 2 года назад +1

    Historia ya mahoka wa YK92 ruclips.net/video/yrXqXUFU0hM/видео.html

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 9 месяцев назад

    Ila haujataja miaka. Nilitamani kujua alizaliwa mwaka gani na akafariki mwaka gani. Chlonology

  • @peterkisomezi1101
    @peterkisomezi1101 2 года назад +13

    Pamoja brother big up

  • @alvinus.m.r.rubambura5204
    @alvinus.m.r.rubambura5204 24 дня назад

    Anaitwa NG'WANAMALUNDI siyo Mwanamalundi!

  • @RAMADHANMOHAMEDMBESHI
    @RAMADHANMOHAMEDMBESHI Месяц назад

    Inabidi nikubaliane na mzee maana anataka niwe mganga na nimekatazwa kumpa laana au kumuapia mabaya

  • @florentinilyimo9045
    @florentinilyimo9045 2 года назад +3

    ur geniuz bro . napenda mawazo yako yani ningeeza ngefufua mizimu yote ya africa lets go back to where we belong

  • @AntonySaida
    @AntonySaida 13 дней назад

    safi sana mwamba kwakusamini vyakwetu ama kweli umenikumbusha mbali sana ❤

  • @kahemajohn9992
    @kahemajohn9992 2 года назад +5

    Ni kweli yote. Mimi hapa nimeandika vitabu vitano. Lakini nimekosa wa kunifadhili kea sababu vinazungumzia mila na desturi za kiafrika

    • @prophetsayitv1541
      @prophetsayitv1541 2 года назад

      Unahitaji ufadhiri Kama tshs ngapi,?
      Wafadhiri wapo wengi Sana.
      Hiyo unayofanya Ni Kazi Njema Sana.

  • @RamMrisho-vp8jq
    @RamMrisho-vp8jq 5 дней назад

    Chefu nisionekane mbeya nikaja kusutwa bure😂

  • @Mushidebb
    @Mushidebb 9 месяцев назад +1

    Yaani watanzania sis tuna vitu amazing na hatuvijui

  • @manp.....7694
    @manp.....7694 2 года назад +2

    Annanias uje kunifundsha kusmulia story. I really appreciate unavosimulia.

  • @tanialucas4579
    @tanialucas4579 2 года назад +5

    Nimependa sana simulizi yako endelelea kupambazuwa waatu

  • @SubiraSalum-x6x
    @SubiraSalum-x6x 12 часов назад

    Asante sana kwa simulizi nzur

  • @jacksonjoseph6990
    @jacksonjoseph6990 2 года назад +4

    Safi. Tunatengene filamu yake sasa

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp Месяц назад

    Khaaa ila Igulu alikuwa msumbufu nae 😂😂

  • @samwelmahwela9576
    @samwelmahwela9576 2 года назад +3

    Nakubali good tuelimishe maana sasaivi vijana hatuna uasilia wetu

  • @sporttv5033
    @sporttv5033 10 дней назад

    Hapa ndo naelewa kwa nn dini zililetwa

  • @idarusishabani7551
    @idarusishabani7551 2 года назад +2

    Hangera sana mzee napenda sana kukusikiliza wana jaribu kukuigizaaa lakini wanafel kabsaa.

  • @arveengeorge9577
    @arveengeorge9577 2 года назад +1

    Mwamba alikuwa Mkushi mbona unaiponda Kushi kaka

  • @castoryrenatus
    @castoryrenatus 8 месяцев назад

    Binafsi naomba sana km inawezekana serkali kwenye hili huyu mtu angeingizwa kwenye vitabu vya histori ya nchi, binafsi ninaomba walau nifike sehemu moja ambayo kuna maajabu yake nikaombe dua! Nikaombe kurithishwa hata robo ya utaalamu wake

  • @mwljuliuskiwovele
    @mwljuliuskiwovele 2 года назад +6

    Mimi napenda sana simulizi ukisimuliwa na Ananias Edgar halafu iwe ndefu kama ile ya Thomas sankara,Mkwawa na Mirambo

  • @paulomssapaulomssa
    @paulomssapaulomssa 16 дней назад

    Yaanikweli tnazipenda ndege.bwana

  • @compromiseboy7226
    @compromiseboy7226 2 года назад +5

    Nasubiri simulizi hili leo

  • @LazaroLucasLucas-eu3lh
    @LazaroLucasLucas-eu3lh 10 месяцев назад

    Ama kweli wewe ni mtu ulieteuliwa na Mungu kuja kutuamsha waafrika tuliolala kwa mda mrefu ENDELEA KUTUAMSHA WA AFRIKA

  • @JaphetMugini-wj6ow
    @JaphetMugini-wj6ow 9 месяцев назад

    Sayansi ya kulima asubuhi na kesho ukavuna ingefanya taifa hili tusiwe na njaa kabisa. Kama tungezingatia haya , wizi , kuchukuwa mke au binti wa mtu na mengine yasingekuapo. Piga picha raha ambayo tungekuwa nayo

  • @JosephJuma-st3cu
    @JosephJuma-st3cu 8 месяцев назад

    Ogopaaaa ni hatari nduhu tabu tutengwe

  • @Abdulrazaq-zk9id
    @Abdulrazaq-zk9id Месяц назад

    Dahhh😂😂😂😂 kujamba watu wakalalaa

  • @Eddyplatnumz700
    @Eddyplatnumz700 Год назад +2

    Napenda kz yako ndugu mungu awe nawe kwakila jambo 🙏🙏

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 года назад +9

    Story qalii Sana tunamisi saut yako ingekua kila siku

  • @33-synchronized
    @33-synchronized 12 дней назад

    Huyu ndo Yesu sasa wa kweli

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 2 года назад +1

    kaka una uwezo wa ajabu saaana tena sana maana nilianza kukufaham kitambo saaana kiukweli unatufunza mengi saaaana Mungu akubariki

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp Месяц назад

    Ila huyu mwamba alikuwa noma

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe 2 месяца назад

    Huyu jamaa anasimuliya ukweli

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 2 года назад +2

    Watoto wakiume hapo zamani, sashv wakike ndio wanaochunga mali za wazazi

  • @kijahboy
    @kijahboy Год назад

    Mwanza ninyumbani kunajiwe mwanamalundi ameacha nyayo za miguu na kusehem alika juu yajiwe akaacha alama zamatako na hadi sasa watu wanachota maji ikishanyesha mvua

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Ataulizwa maswali wewe nani?

  • @edwinruhangisa5704
    @edwinruhangisa5704 2 года назад +1

    Zaman kulikuwaga na vitabu vya mwanamalundi siku izi havipatikani kabisa

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 23 дня назад

    Kaka Danisi asanteh Kwa historia nzuri, pale kishapu secondari Kuna sehemupia yenye alama za makalio yake na mashimo ya Bao pia aliko lala mbwa wake

  • @JosephMwita-rt3ej
    @JosephMwita-rt3ej Месяц назад

    Amani iwe nanyi 🇹🇿💦🇹🇿

  • @LeonJayson-x9j
    @LeonJayson-x9j 2 месяца назад

    Ety mti wa kuwanyongea Wahalifu, Aliyeandika alikua Mpemba niniii😂😂😂

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 2 года назад +1

    Kwanza nakushukuru sana kwa history hii nzuri me pia nilikuwa siyajui haya nimewaza sana kuhusu kifo cha jpm kwnn asingepewa ulinzi kama huo jaman

  • @HamisiMalando
    @HamisiMalando 24 дня назад

    Nakukubali sana mkali maanaukweli wa muafrica umeficha mm naamini mwanamaludi ninab tena wakwel

  • @arveengeorge9577
    @arveengeorge9577 2 года назад +1

    Bro tupe Really story usiongeze sana Chumvi nenda moja kwa moja