DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mwanamalundi / Mwanaume Aliyekausha Miti kwa Kidole Wanawake Wakapata Kuni!!
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Tuliopo hapa 2024 tujuane kwa like kwa fundi ananias
Salute san kiongoz unatufundish vitu tusivyovijua, mung akuongoze....
Nimeipenda sana hii ni kumbukumbu nzur zinatukumbusha Asili yetu tuliko toka Ananias tuletee na simulizi za mwamba wengine wa tz
safi sana story nzuri na inamafunzo kwa watu wa africa tunatakiwa kuthamii vya nyumbani na kuvaamini kabca maana ata leo ukikutana na msukuma halisi atakuambia mwanamalundi ni mchawi wa kutupwa
Kwa Uchambuzi tu Asante❤️🙏🏾🇰🇪
Simulizi tamu sana..keep up good work.
Nimependa madoido uloyatia katikati usimulize wako😍, hadi nimeishare kwenye status yangu 🇰🇪♥️
Afrika ni Tajiri Lakin sjui nan katuroga
Upo vizuri Sana msomaji na mwandaaji, Ni story inayofundisha Sana.
Hakika mswahili alifeli kwatukuza vya weupe. Ndio maana Leo wenye chanjo wameittwa ng'ombe na mahakama za Marekani
FANTASTIC FLOW
Nakukubali Sana Annanias
Mwanamalundi mwamba kweli kweli
Hiyo ni kweli
Kwel anacho simulia huyu jamaa kwenye jiwe la mwanza ameacha alama za unyayo wake
Naomba kupata mawasiliano ya msimulizi
Tulioko mwanza tunakipataje?
hey
Huyu jamaa nimeanza kumfuatilia history zake nina mwaka wa 4 huu
Yaani umenifungua sana Leo hata hunichoshi endelea kutujuza yaliyo sirini
Keep up bro. 🙏🙏🙏
Najivunia sana Kabila langu la Kisukuma
Naomba ya mtemi ntinginya mie ni wa nzega na nmesoma shule ya jina hilo piaa
Hapo kwa uyo mzee aliekuwa akivimba hadi kujaa nyumba nzima, mbavu zangu mieeee😂🤣🤣🤣🤣🤣
Ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na manabii na wazungu waliwauwa manabii wetu ili kuwatangaza wa kwao na ss waafrica tumeferi ktk hill kwa zipo baraka ktk kuwatangaza manabii zenu na mbaya zaidi mmegeuza majina yao kuwa mizimu lakini wazungu wanawaita watakatifu shtuken waafrika
Hawana uwelewa kabisa me nawahurumia sana
leo nimeamini huyu jamaa anasimuliaga vitu vya kweli mana sehemu aliyoitaja ni kwetu na hizo sehemu zipo tukienda kuchunga tulikuwaga tunaona hizo nyayo za mwanamalundi pia kuna mwamba mwingine alikuwa anaitwa chalya naye historia yake inasisimua pia stori ya ibamba ngulu nilisimulia na mama yangu mzazi, keep it up bro unafanya utafiti wa kina hii habari ni ya kweli kabisa.
Nikutafute unipeleke🙏
Nichek mi nkupeleke kwenye nyayo zake utaona na mti alioukausha
Ukitaka kuyajua maeneo yote haya ya mwanamalundi nitafute nikupeleke
Watu wengi hapa kuna kitu hawakijui (1)-Kabuli la huyu Jamaa lipo Kijiji kimoja kinaitwa SEKE IDIDI (SHINYANGA) mpk Sasa lipo
Huko ni kwetu kabisa ndio nmezaliwa huko.
SIMIYU au Shinyanga?
unachosema kweli....yule jamaa aliwalisha watu kibao kwwa mikate miwili....lakina mwanamarundi anakausa mti wanamuona mshirikina yule wa israel ni uwezo wa mungu africa banaa
Nikirudi tz nitakutafuta nipate vitabu vyako kaka ni kwa ajili ya watt wangu hupenda sana kusoma vitabu vya histor ya waliotangulia
Omg nimesoma wasomi huru gerezani, ukombozi wa fikra, na tumbo lisiloshiba na leo nimekusikiliza bila kujua ni wewe mtunzi wa vile vitabu😥 naamini tutaikomboa jamii kwa juhudi zetu sote tukiwa wawazi!!
Kuna anani s edga na Denis mpagaze mmoja mwandishi mwingine msimuliaji
Mimi nimesoma mwakilyambiti secondary school hiyo history ni ukweli mtupu mpka kwao mwana malundi napajua mwakubiringa
napenda sana stori zako lakini ni story za juzi tuu nataka unipe story ya chief mangungo na baba yake masaki . habari zao zipo hata makaburi yao lakini yamefichwa na watu wamejua
Lakini kabla Brian deacon mwigizaji wa filim ya Yesu hajazaliwa ! Picha za Yesu Kristo zilikuwepo... Fuatilia kisa cha mwanamke Veronica aliyeachiwa kumbu kumbu ya picha ya Yesu kwa muujiza kupitia kitambaa chake mara baada ya kuupunguza uso wa Yesu wakati wa mateso yake.....
Historia imebeba mengi , tuitafute historia, tujitambue.
Shukran kwa uchambuzi wenu .
Tatizo atutimizi marengo ndugu yangu
Ndani ya story yako tunapata story nyingine ndogondogo nzuri sana asanteee
Kweli kaka Denis watoto wa sikuizi wanaingilia paka maongezi ya watu wazima
Wasukum wanapend ndege 🤣 ndio maan hata hayat JPM 💔 alizinunua kwa wingi 👏
Ujinga wa kupalamia vya watu ndiyo unatughalimu,Viva wasukuma,harafu mnatuchukulia et washamba.
Haiondoi ushamba wenu 🤣🤣
Tunashukuru Sana naona na wewe kama mkombozi wa fikra zetu waafrika
Mwanamalundi alikua mchawi nlishafuatilia habari yake
Hawa washkaji uwa nawasiikiliza uzalendotu ila kwamachungu mengi sana hawa majaa wameni kula hela yangu eti watanitumia kitabu paka kitabu akijafika mwezi wa6 hivi nikiwahandikia eti bado kunatatizo kwelii tatizo lisiohisha kwamyiezi yotehiyoo
Hello pole sana.
Tafadhali tunaomba ututumie namba yako whatsapp +255659982764 kwa msaada zaidi.>
Mwanamalundi ni shujaa wa Africa nzima.
hahaha unachekesha mwamba nimkwawa
Kakah iachie sisi tuenjoi leo mana kitambo sana tumeisubiri hii
Noma sana, yani ile Historia ya Tanzania ingefundishwa mashuleni wewe ndiye ungekuwa mtu muhimu sana.
Chapa kazi Wadau, tunapenda simuulizi zenu katika mambo mbalimbali. Diaspora ya Watanzania UK
Porojo zako nawe!
Utasikia mtumwa wa fikra anasema "shirk hiyo😂" Akili yake anaamini kila alichoambiwa na waarabu na mwingine utasikia Israel tu... Inabidi tujue siri ya haya mambo
Hongera sana. Kupitia hii simulizi, Leo nimewasimulia watoto wangu kuhusu Mwanamalundi. Maana baba yao anapenda sana kuwasimulia kuhusu Legend stories za tamaduni yake ya Czech au Ulaya. Sasa na mimi nilivyoisikia hii nimewasimulia. Mtoto wangu wa Kiume amefurahia pale kamba ya kunyonga ilipokatika na Mwanamalundi alipojamba na wasukuma wakapata Ng'ombe wao 😆☺️. Unasauti nzuri sana yakusimulia, inanikumbusha David Attenborough akivyokuwa msimulizi mzuri kwenye makala za historia na wanyama. Endelea hivyo hivyo, kizazi chetu tunajikomboa kifikra.
,
Umefanya vema sasa Dada. Vijana hawa wanafanya kazi nzuri sana katika kusimulia vizazi vijavyo historia za mashujaa wetu wa Tanzania. Nimekulia Tanzania kwa miaka 30 lakini sikuweza kusikia simulizi hizi. Inanikumbusha kipindi cha miaka ya 90 ambapo tulikuwa tunasikiliza kwenye redio RTD kipindi cha “mama na mwana” saa 8 kamili mchana.
Huyu ndio Yesu asee maana kaacha nyayo zake juu ya mawe kaka
😂
huo usimulizi wako uko juuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaana>>> You are a great narrator bro.. so catchy
Wasukuma tunapenda ndege ndio maana JPM alizinunua Kwa wingi sikupingi 💃💃💃
Za masiku Joyce?? Umepotea Sana... Uje upande ndege😋😃
Hii sio historia sahihi ya Mwanamalundi- ng'wanamalūndi.
huyu jamaa hajazungumzia tumboni mwa mama yake, bali ni mjukuu wa Igulu yaani JISHOSHA.
Igulu bugomola ni nan?
Eee bhana na hyo alie kua anaacha alama ya miguu kwenye mawe ni ibhamba ngulu cyo n'gwanamalund navyo jua Mimi lakin
Nakumbuka sana nikiwa mtoto tulikua tunaambiwa mwanamalundi alikua kilima viazi ASUhi jioni anachimba viazi anaanza kura
Congratulations
Safi
Great voice, narration and metaphors....kiswahili kitukuzwe
Kaka unatowa simlizi vizuli sana daa kwanza umetulia unavyo ongeza hatakama kunamtoto mdogo anakuelewa hatasisi kule kwetu songea kunamilima kati yahiyo milima mlima mmoja kwandani nikama nyumba nakunavyomba kabisa kasolo vitandatu napia kunachumba kimoja kinaishi lijoka likubwa sana ila halina ubaya namtu ila kama ukienda kwaubaya hauwezi pona piga uwa hautoboi sisi wakati tupo wadogo tulikuwa tunaenda kuliangalia nalinapete kubwa naniyasamani sana wazungu walienda wakataka kuleta mambo yao yaujangili chamoto walikiona kaka mambo nimengi sana kule kwetu
History ni nzuri kabisa nimeipenda ili kaburi lake lipo seke maeneoya hungumarwa sio simiyu.
Denis nakuelewa san mkuu. Keep up kutupa vitu vitamu havichosh kuskilza, unatufundsha vtu vng sana kuhus maisha na historia ya watu weusi. Nakuombea sik moja uje kua kiongoz Mkubwa katka hii nchi naamini utakua kam JPM kwa philosophy na mtzamo wako dhid ya Whites.
Usawa ndo unawapumbaza mwanaume atimize wajibu wake ndo maana sahz vdume mnaolewa.😂😂😂
Historia ya mahoka wa YK92 ruclips.net/video/yrXqXUFU0hM/видео.html
Ila haujataja miaka. Nilitamani kujua alizaliwa mwaka gani na akafariki mwaka gani. Chlonology
Pamoja brother big up
Anaitwa NG'WANAMALUNDI siyo Mwanamalundi!
Inabidi nikubaliane na mzee maana anataka niwe mganga na nimekatazwa kumpa laana au kumuapia mabaya
ur geniuz bro . napenda mawazo yako yani ningeeza ngefufua mizimu yote ya africa lets go back to where we belong
safi sana mwamba kwakusamini vyakwetu ama kweli umenikumbusha mbali sana ❤
Ni kweli yote. Mimi hapa nimeandika vitabu vitano. Lakini nimekosa wa kunifadhili kea sababu vinazungumzia mila na desturi za kiafrika
Unahitaji ufadhiri Kama tshs ngapi,?
Wafadhiri wapo wengi Sana.
Hiyo unayofanya Ni Kazi Njema Sana.
Chefu nisionekane mbeya nikaja kusutwa bure😂
Yaani watanzania sis tuna vitu amazing na hatuvijui
Annanias uje kunifundsha kusmulia story. I really appreciate unavosimulia.
Nimependa sana simulizi yako endelelea kupambazuwa waatu
Asante sana kwa simulizi nzur
Safi. Tunatengene filamu yake sasa
Ikikamilika Hiyo filam unijulishe ntachukua CD
Khaaa ila Igulu alikuwa msumbufu nae 😂😂
Nakubali good tuelimishe maana sasaivi vijana hatuna uasilia wetu
Hapa ndo naelewa kwa nn dini zililetwa
Hangera sana mzee napenda sana kukusikiliza wana jaribu kukuigizaaa lakini wanafel kabsaa.
Mwamba alikuwa Mkushi mbona unaiponda Kushi kaka
Binafsi naomba sana km inawezekana serkali kwenye hili huyu mtu angeingizwa kwenye vitabu vya histori ya nchi, binafsi ninaomba walau nifike sehemu moja ambayo kuna maajabu yake nikaombe dua! Nikaombe kurithishwa hata robo ya utaalamu wake
Mimi napenda sana simulizi ukisimuliwa na Ananias Edgar halafu iwe ndefu kama ile ya Thomas sankara,Mkwawa na Mirambo
Yaanikweli tnazipenda ndege.bwana
Nasubiri simulizi hili leo
Ama kweli wewe ni mtu ulieteuliwa na Mungu kuja kutuamsha waafrika tuliolala kwa mda mrefu ENDELEA KUTUAMSHA WA AFRIKA
Sayansi ya kulima asubuhi na kesho ukavuna ingefanya taifa hili tusiwe na njaa kabisa. Kama tungezingatia haya , wizi , kuchukuwa mke au binti wa mtu na mengine yasingekuapo. Piga picha raha ambayo tungekuwa nayo
Ogopaaaa ni hatari nduhu tabu tutengwe
Dahhh😂😂😂😂 kujamba watu wakalalaa
Napenda kz yako ndugu mungu awe nawe kwakila jambo 🙏🙏
Story qalii Sana tunamisi saut yako ingekua kila siku
Huyu ndo Yesu sasa wa kweli
kaka una uwezo wa ajabu saaana tena sana maana nilianza kukufaham kitambo saaana kiukweli unatufunza mengi saaaana Mungu akubariki
Ila huyu mwamba alikuwa noma
Huyu jamaa anasimuliya ukweli
Watoto wakiume hapo zamani, sashv wakike ndio wanaochunga mali za wazazi
Mwanza ninyumbani kunajiwe mwanamalundi ameacha nyayo za miguu na kusehem alika juu yajiwe akaacha alama zamatako na hadi sasa watu wanachota maji ikishanyesha mvua
Ataulizwa maswali wewe nani?
Zaman kulikuwaga na vitabu vya mwanamalundi siku izi havipatikani kabisa
Kaka Danisi asanteh Kwa historia nzuri, pale kishapu secondari Kuna sehemupia yenye alama za makalio yake na mashimo ya Bao pia aliko lala mbwa wake
Amani iwe nanyi 🇹🇿💦🇹🇿
Ety mti wa kuwanyongea Wahalifu, Aliyeandika alikua Mpemba niniii😂😂😂
Kwanza nakushukuru sana kwa history hii nzuri me pia nilikuwa siyajui haya nimewaza sana kuhusu kifo cha jpm kwnn asingepewa ulinzi kama huo jaman
Nakukubali sana mkali maanaukweli wa muafrica umeficha mm naamini mwanamaludi ninab tena wakwel
Bro tupe Really story usiongeze sana Chumvi nenda moja kwa moja
Hainogi raha ya story iwe nauong