SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
HTML-код
- Опубликовано: 20 ноя 2019
- SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
Kweli yesu ndio haki ya dunia unaona hawapingi quruan lakin biblia ni moto.
Waanzaje kwa mfano kupinga kitabu cha Allah wameamua kuipinga bibilia sababu sio kitabu cha haki
@@nadhrakhamis7675 haki inapatikana mahakamani baada ya ushahidi kutolewa, uwe wa ukweli au uwongo yote sawa
Wanapinga zote hakuna cha ukristo wala uislam huko. Sikiliza vizuri mpaka mwisho
@@edwardsichilengwe2330 nimewaelewa lkm nimemjibu uyo alisema yesu ndo haki ya dunia
@@nadhrakhamis7675 sawa my dea, mi mkristo ila kila dini ni njema machoni pa mtu. Mungu haangalii we na Yesu wako wala mohamad ispokuwa matendo yako. Mimi kwangu dini zote ni bora kwa mwny dini, wazazi wng wangekuwa waislam ningekuwa muislam so swala la dini ni swala la kiimani sana
Asante mungu kwa kuzaliwa tanzania
wasioo weza kuishi Korea kasikazini tutuane
hahahahaaaaaaa balaaaa
Siwezi
Duuh!!,,, Niatar
Me hapna xiwez
Siwez
Mm nmeipenda iyo ya kutembe na demu wako respect sana
Ambao wangeweza kuishi Korea ya kaskazini kama mim, gonga like hapa tujuane.
C kweli
Edwin Alexander tuko pamoja
Uyu MTU sio mzur akiwaza kukuuwa ajipapasii...!!!
Ww
Mmhhh labda useme wavuta bangi mjuane...weeeeee mashart magumu hivyo?
Nashukulu mungu kwa kuzaliwa Tanzania mana yajayo
Nawapenda sana global tv mko vizr
Nmeipenda hyo sheria ya kuvuta bangi sana
😂😂😂😂
Mtangazaji kazi yako nzuri na unaijua kweli kweli
Hebu jaribu kufikiria Yale maisha tuliyoishi vjjni zamani hakuna shda chakula, hakuna magonjwa tuliyoletewa na wazngu, no stress ila ulivyoingia utandawazi wa wazungu ndoa hazieleweki, ushoga, usagaji, kujinyonga watu kupitia movie kwaiyo Korea kaskazn waliyajua na msichokijua wao ndo wanaishi vzr kuliko sisi tunaosema hatutamani maisha yao. Mfano wao waliamn Corona ni shetan aliyetengenezw na wazngu hvyo ukiingia umetumwa utakufa ni sawa na sisi tulivyoletewa na wazngu Sukari, Ukimwi, magonjwa mengi ya zinaa, cjui UTI yametoka wapi mbona zaman kulikuwa hamna .
Asante maana nilikuwa bize kutafuta passport yakwenda Korea🇰🇷2026 sasa nageukia upande mwingine Mungu Akubariki ❤❤
Endeleeni kuchimbua asili ya Nchi mbali mbali hongereni global tv
bless sauti ya ghetto.... darboi
Simulizi yako nzuri sahuti nzuri pia bigup kaka
San kaka anasauti nzur san kam mtafsili
Nilihipenda
Nina
Jaribu ku copy siwezi
Waliojikuta hawatamani kwenda hata bure tujuane hapa
Niko hapa
Labda wanipeleke kwa uchawi
Naipenda sana tena Sana Korea kskzn.
@@jumamustapha8254😢😢😢😢 mungu akulinde
Mimi nitaenda lakini Korea Kusini kule hakunaga mambo mengi sana
Uyu rais ni noma sana ndo maana corona haijagusa nchi yake na alitangaza kuwa mtu atakae kutwa na corona hana haki yake ni chuma tu
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwako zuri kijitengemea safi sanaa,nimependa sana
Kumbe ndo maana marekani alitaka kuchokoza vita akashindwa 🤣🤣
Salim Mohamed Salim Raivan
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😉
Dah asante sana kaka nashkuru bora nishindwe kaburini kuna sheria zake lakini sio Korea
🤣😂😂😂😂😂 hatr na nusu yake
😂😂😂😂😂😂😂
Anayesema kuwa hii story ingesimuliwa na Ananias Edgar ndo ingenoga zaid Fanya kugonga like kama zote
Kabisaa ingelinoga sanaa
Sijuwi kwanini hawakumpa hii story
Upo vizuri boss
may almight lord give you long life his excelence
Izo ndosheria za Musa Sasa ,,watanzania wengi wanaweza kuhishi Korea sababu ya bangi tu
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
benson a
Q
Qàààà11
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂🤣🤣🤣🤣
Jamaa nomaa sana kungozana na mpenzi wako barabarani azabu yake huiwezi kuihimili hata kidogo daa hatari sana
Mungu mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa ni Allah na Muhammad nimtume wake na Issa yaan Yesu ni mjumbe wake pia Hivo tulielewe vyema stay safe and your family Corona is Dangerous virus From Tanzania🇹🇿🇹🇿
Allah ni Mungu wa Waarabu, Muhammad ni Mtume wa Waarabu acha kujivuruga
Nani anarudi mara ya pili ni Muhammad au YESU?
@@happinessmillanga982 Anarudi anaenda Wapi Africa ama Israel kwao??? Izo ni story za alinacha hakuna Yesu anarudi.
Amin unachokiamin kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyew
Achaneni naye huyo.. Hayupo tofauti na sheria za korea kaskazini maana wao wanaamini katika mambo ya kihuni tu
Daaah that is very crucial to know
Kwenye sili hapo ndo marekani wameshindwa had leo jamaa hawaingiliki kabsa japo wavuta bangi wako makini na kutunza sili zao
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Number 4 💪
Mmmh!!kweli noma sana
Mtangazaji uko vizuri
Hongera,sana! Ila nawachukia wanaobeza wakati hawajui chochote!
KWELI HAWA WOTE N WAVUTA BANGE MAANA SHERIA ZAO TUU ZIMEKAA KBANGE BANGE TUU MWANZO MWISHO....
Umeonaee
Yaah! Najma we mwenyew siumeona mambo yao yaan n balaa tupu...
Hakuna tofauti na bongo mnajidanganya tuu
Umeona eeh
Heheeeeee
Cheers kim
Ebu fikiria ingekuwa umepigwa marufuku kuingia Dar hii ingekuwa noma sana.
Kila mtu anataka like hamtoi hamtoi mawazo
Yani nishida hawa waomba like
Hii ni hatare sana
NI KOSA KUINGIA MJINI BILA YA KIBALI HII NOMA SANA .
hapo ni majanga
Hahaaa noma kwel
hii sheria ni balaaa tupu.Hii nchi inamilikiwa na shetani 100%
Hii ni kweli bro, nimeshuhudia wakati nikiwa pale kikazi.
Mm Katina yoote nimependa vitu viwili
1.Kukataa haya madini ya kuletewa.
2.Kuruhusu bangi.
K
😂😂😂😂😂nasemaje asant Mungu kwa kuzaliwa tz tz ni laha tuu afrika nzima tanzania laha tuu nasema mataifa ya kitajili mengi ayana amani bola sisi masikin tunakula lahaa atali Mungu ametubalik fraha na kila kitu asante Mungu
Kwel
Jifunze tofauti basi ya R na L huenda kwenye kuongea kwako ukawa una tatizo hilo ila ni la kimaumbile na ni ngumu kulirekebisha🙏🙏ila kwenye kuandika unaweza kabisa kulirekebisha.Laha(Raha) utajili(utajiri) bola(bora)baliki(bariki)
We mjinga kabisa unajua nch ngapi hapa afrika?
Ulizia maisha ya Botswana, uliza Maurtius uliza cychelas .!!
Asante YESU kwa kuw mtz
@@Pedeshee01😢😢😢😢😢 acha bwan mwenzio ajiskie amni😮
hyo number 7 sheria ni nzuri
Kama unamtaka/umemiss Ananias Edgar tujuane 😎😎😎
Mambo uko pouwa mage.... naomba unicheki number zangu hizo 0719619494
Najiskia upwekee kutosikia Edgar voice
Nashukuru kuzaliwa tanzania
Duuuuuh, nchi nzima ni wavuta bangi😃😃😃😃😃😃😃
Jamani wale ambao wanaamini kuwa wanaweza kutoboa maisha ya KOREA KASKAZINI mpaka mwisho... Tujuane kwa like
Nakama ndo ipo ivo ni noma sana
Uyo jama ni jini
Hiyo safii, Ila kwa wavutabangi wamewaweza wavute mpaka waoge zingine kichwani,pangekuwa ha tz duuuuh,sijui tuuu🙉🙉🙉🙉🙉
Kwani Bado inatawaliwa na makaburu??haijapata Uhuru Wake duu!!ni shiida ndani ya shida 😁😋😁🤒🇹🇿🙏🙏
Asilimia 100 ya taarifa yako umekopi toka ktk media zinazoendeshwa na wamarekani au watu wa magharibi zimejaa majungu na propaganda na siasa chafu. Fanya tafiti ili uandike mwenyewe ulichokishuhudia. Hakuna ukweli wowote ktk mengi uliyoyasema........tulikua huko last summer .........
Saidi Mohamed acha shobo
@@issahajji1815 Shobo au ndio ukweli mzee wa Shobo
Usisahau na za kwenu tanzania uchaguzi unasimamiwa na wakurugenzi wa serikali husika
Tume ya isiyohuru na matokeo kumiywa.
Hii sio nchi ya kuishi kabisa
Safi sana
Lakini mbona unarudiarudia dini umesema zaidi ya mara mbili pia unasema hii ya mwisho lakini bado unaendelea bro acha kuchanganya kuchanganya
I see hatareeeeeeeeeeeeee yani motoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
northen Korea wananchi wafungwa kiongozi ckyama motoniwako
Asante
Looo bora nilivyo zaliwa Tanzania maaana😕😕
kaure sand duh!!
Tanzania sihami😂😂😂😂😂
Korea noma😅😅😅
Weeeee ivi ni kweli au
Usiri wa nchi yao ndio maana Wamarekani wamewashindwa. Raisi wao mwenyewe nalingana nae😂😂😂😂
nimekubar
Kweli aisee Marekan anajifanya mjanj ila hapo kashindwa
Safi Sana, na sisi Tz tungekuwa na misimamo ya mila na desturi zetu.
asanti Sana kwa kutuelimiza
Hahahahahaaa, no kubusu no ku'hag daah!! Ingekuwa bongo mbona ingekuwa ni noumaa
uko vzr kaka simulizi kali hizo
Upo sawa ila ananias edgars is the best
Yuko vzr tu.... maandiko yanasema LIIGENI LILILOJEMA
Ndio asimuliy hii tutaskiya raha
Sasa inahusiana nn na mada hii
Ediga wapi
Tulete na Korea kusini
Haki za vyombo vya habari mbona hawaendi huko wakakione cha moto, wanatuparamia tu afrika maana walishatuona sisi hatunazazo,
Kweli mdau 😄😄😄😄😄😄😄
Hahahahah najiuliza kimya kimya hapa
Sauti yako ni nzuli Sana Yaani na iipenda Sana
Asante studios
Siyo kweli kuhusu biblia,korea kaskazini kuna makanisa,mambo mengi unayosema hapa ni copy and paste toka kwenye propaganda za marekani
Hatari kweli
Wapo sahihi mm naheshimu sheria zao
Daah bora nilivo zaliwa Tanzania
Corea ya kaskazini safi sana wallah raha sana kuishi
Uko atar sana
Iv mbona nchi nyingi mwafirka wamo kibao vip huko korea wapo
sawa
Sheria nyingn Safi mpk Marekan mwenyew mjuaji kashindwa
NIMEZIKUBALI PIA NIMEKUA WA KWANZA COMENT
LIKE TO ME PLS
Rashid Busanya 6
Sawa babba
@@Urgrlnut18 🏋
Mm nimependa kua hakuna ukristoo mana si dini hta km uislam haupo nao ila ukiristoo umekanwa wazi wazi noma kweliiiiiii
So how they live? i can't live in that life did they happy to living there?
Hata CANADA bangi ni legal..watu wanavuta bangi wazi kbs
Du naona bangi umeiele kwel
Natamani izo Shelia ziwepo Tanzania hasa uhuru wa Kuvuta Bangi
Kiboko hiii ,🔒🔒🔒🔒
Hii nchi umbea hakuna ,uzinzi ,hakuna ubakaji ,hakuna ushoga ,hakuna ulawiti hakuna na mengi tu hapo ,bangi sio lazima uvute , shida tu wakristo hatutaweza kuishi
Hii ya kutoroka jela aadhibiwe hadi mjukuu
Frank Timoth Kisimbo 🤣🤣🤣
Hiyo nchi ndio Wana enjoy maisha kwasababu wanajipangia wao safi
kuanaakilimpuuzi utakulavi
Nice
Dahhhhh hii nchi ni ya kipumbavu
Sheria hizo zikiletwa tz watakaoish town Ni 20%
dear mama 😂😂
Ndugu ni 5% tu watakaoishi
Twamasiku mpoki nguponiya🤗
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele
Nampenda huyu rais
Wapuuz tu
Napenda ih yocheriya yakutokuwa nadini wamefanya vizuri madininiya uongo Awa watu awataki danganyiwa nawazungu awataki
kim jong-un anamiaka 35
Dah sasa kuna RAIA wa nchi zingine kweli huko asee
Mimi nchi ingenishnda ..hata ile ck moja nsingeweza kuushi kabisa bora uwe mfungwa wa Tanzania
nendambele kwamatupac siokwawafup nishida
Ha ha ha ha ha ha ha ha kweli kazi ipo vyote vizuri ila tatizo Mambo ya Mungu wamenyimwa haki
Wish was born there❤
Watanzania wenzangu tuendelee kuilinda Amani ya nchi yetu Tanzania
Kwenye TV ya serikali noma sana😂😂😂😂
No ubaguzi haufai
🍺
Kweli kuishi kwingi kuona mengi nime chukia kila kitu ata nipewe bure siwezi chukua ati bibilia kumiliki nikosa wa ipo siku yata pita.2
Mbona ni noma.sana.