TOP 15: BINADAMU WA AJABU ZAIDI DUNIANI, MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI, MWANAUME MBAYA.. | BRAIN FOOD
HTML-код
- Опубликовано: 2 авг 2022
- TOP 15: BINADAMU WA AJABU ZAIDI DUNIANI, MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI, MWANAUME MBAYA.. | BRAIN FOOD
HII ni Top 15 ya binadamu wa ajabu zaidi duniani, ambao maisha yao yanafurahisha, kusikitisha na kufundisha sana.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Global App ni ya kwanza kwa BREAKING NEWS🗞, MICHEZO⚽ na BURUDANI🎷 *DOWNLOAD sasa👍
iOS 👉 apple.co/38HjiCx
Android 👉 bit.ly/38Lluc8
Mwacheni MUNGU after Mungu.jinsi ulivyo siamini hata kama umezaliea mzima ukipata ulemavu na ajali jiamini tu Mungu yupo
Ametukuka Mwenyezi Mungu Mzuri wakuumba/
Eeeh Mungu wewe n mkuu Sana na matendo yako n makuu mno sifa na utukufu n vyako
Naomba namba zako dada
Senegal 🇸🇳 kwa weusi ni balaa kuna dada alirudishwa ofisini ni msenegal madam alisema watoto wanamuogopa mie nilimuona aisee ni mweusi akicheka meno meupe hatari she so beautiful lakini gulf hawaelewi ni mweusi nyie
Vitoto vya gulf vinaanza ubaguzi vikiwa vidogo hata havijielewi 😂😢
Subhannallah! Kapata bahati kumpata mtu anaempenda kwa dhati, kwakiwa yuko huko majuu. Ingekuwa Bongo mmm! Ungetafuta kaburi uingie🤣🤣
Asante ni sana
Kazi nzur hajji kassim
Na ninmzuri Masha Allah
hi almal 🎉🎉🎉🎉
You are right ndugu yangu
Huyo dada mwenye kucha ndefu hajitawazi ama
Akika Mungu ni mkuu. Amina
Waja mungu aitwe mungu
Utukutunkwako ee Mungu
Hakika ametukuka ALLHA
Ndevuu sio uremafu🤗
🎉🎉
Jaman apo kwenye kucha mhhh
Yani
Mungu ni mkubwa hakuna wa kumshinda
Asantee hajji napenda kazi zenu
Jamani dunian Kun maajabu
Dunia Ina mengi kumbe
💙💙💙
ilo ziwa atali sana
Hii
Mbna kigoma wapo familia Wana nyelebmwili mzima
Ndiyo nami anawafahamu nilikuwa nao jirani pale mwanga mlole
🥰🥰🥰🥰 God's creature ...all wonderful 😊
Huyo co Mweusi weusi wapo Sudan kusini huko
Dini ya Kalasinga.
Duniani kuna mengi
Kwa upande wa matiti mmezingua hukukwetu kuna bb anaitwa bi shujaa ni shida akisimama yanagusa chini njooni mumuone
Hhhaaaaah
Wapi huko nije
Wapi mkuu
Wapi
Huo ni ugonjwa
Nice the brain food,
Mmh
D
Utajiri wa dollar 5000 😂😂😂😂
huyu wa 15 anachururu kweli muacheni mungu aitwe mungu
Kwa kwel🤗🤗🤗🤗
Huyu wa 2 vip jmn naona tafran tu
Hana kiuno anajisaidia na wapi
Hatar
🙄🙄🙄🙄🙄🤦♀️
Kila mtu ameumbwa kwa jinsi ya aja by ya kutisha...
I know h go
Ngunitv
Kwa watu weusi waje ujaruoni tu watoe tathmini
Kwahiyo huyo Bibi mwenye pembe hapo yupo china china au china ipi
wacheni ujinga unafikiri kilo 30kgs kwani ni paketi ya dona
Wacha kutukana waFirika
Uongo
Hizi habari sio uongo. Mimi nimesoma kwenye kitabu. Watu maarufu, wenye vitu vya ajabu.
ACHENI MUNGU AITWE MUNGU JAMANI
Ngunitv
Ngunitv