Mtu Mrefu Zaidi Duniani |WATU WA AJABU ULIMWENGUNI
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Hii ni Historia Ya Kijana Mrefu Zaidi Duniani
Kumbuka :Asili ya Video Hii Iliundwa Kwa KISWAHILI&KIFARANSA Chini Ya Afrimax Ltd,Ikimaanisha Tunamiliki Haki Yake kwa 100%,Hili Ni Toleo La Kiswahili,
#afrimaxswahili #truly #historiaisiyoyakawaida #trending #watuwaajabu #extraodinarypeople
Usisahau Kubonyeza Alama Nyekundu (Subscribe)kisha Alama Ya Kengele ili Uwe Wa Kwanza Kupata Video Zetu AFRIMAX SWAHILI
Hakika you are blessed My brother
He bwana huyu jamaa ni super star
Hiyo ni kazi ya Mungu , hakika Mungu ajawai kukosea,,
Wahooo jamn. Walau eye kabalikiwa ulefu.
Habari naitwa innocent yamlinga nakipaji cha utangazaji na uwaandishi wa habari uwandaaji wa makala na mtayarishaji vipind vya burudani naomba ku join na kituo hiki
Nipo Tanzania mkoani shinyanga wilayani kahama
Nasikia kufanya kazi na afrimaxswahili naomba fulsa hii naamini tafanya makubwa na kwa weredi
Umepata kazi kaka
@@HasnaduKopeau sio 😂😂😂😂
Mungu wangu
" The watchers are back! Enjoy your life bro.
Ni mzee sana mashallah
Kwa ulefu wangu Huwenda nika mfikia Begani nina miaka 20
Mmmmmmmh 😮😮
Aisee
Pia Kenya kuna moja
Mmmm huongo uku knya yuko zaid ya huyo
Hata tall wa Majohe hamfikii
Nampenda huyo kaka
Yup uyo
Watanzania nao kwa ushamba ndiyo namba moja.😢😢Huyu ni mtu wa kawaida tu
Wakenya niwazito kumliko
Huy jin wa jb
Hali ya kenya
Mtihani sio ya kucheka ila nimmcheka huyu kaka anaye sema kama akimfumaniya na mke wake atamuachiya na nyumba pia
🤣🤣🤣😊
Atanifikia lakin mimi
Huyu Jamaal ni mrefu mno du mpaka amepitirza
hajamfikia adamu
Kuzaliwa kilo 9 ni kwa kupasuliwa au kuzaa kawaida?
Mimi Naona sio mrefu Sana WA kawaida tuu
Uxhamuona live aunasema nduguyangu
Mh jaman
Unauref uhooo
Mimi namzidi
Nilishawai kumpakia kweny boda kila tunapo pita wanatushangaaa anakaaa tbt uyo
Mzimu wa JB kwa huba series😅😅
Ndio hivyo nataka niseme
Atakuwa alieimba na rose muhando
Ni yeye
Duuuh
nilisha muona majohe mwaka 2009
Duh
nikama mimi
Mh tatizo
Huyu ni ndugu na Hashim Thabit. Maana wanafanana mpaka sauti
Uyu ndio mzimu wa jb kwenyew huba
😂😂😂😂😂
Eee yan 😅😊
Acheni ushamba
napendasana freemasonry
He has a shorter life span. Scientifically proven
Mshenzi hadi umefikia utangazaji bado hujui kutamka Tanzania eti unatamka Tanzaa nia
Nipeni namba yake
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa kwa sasa ni marehemu alifariki amezikwa mkoa wa Mara wilaya ya Musoma mjini, amezikwa makaburi ya Mwisenge
acha masihara kweli??
Kweli kabisa ndug yang ni msemee mtu kufa afu mtu huyo awe yupo hai siyo jambo jema na siyo ungwana jamaa alifia sehem moja inaitwa chagangara ipo huku Musoma mjini ni majirani zetu huku Musoma
We mpuuzi ni muongo sana
Amefaliki lini
Matusi yanatoka wapi tena na nini kinafanya unitukane unajua maana ya mpuuzi ww? hebu tuambie ww huyo ndug yuko wapi kwa sasa hapa duniani au una muda gani haujamuona afu ndiyo ukurupuke kutoa matusi ningekutukana ila bc2
Once meet him in Tanzania daresalama posta l have fun with him and photos reali julias is the tollest man abnormal with nomol pasonol nectar umanbeng creat by god but julias vary special creat by god on that highty but whatever julias pass through within daresalama always peaple get saprys
Hali ya kenya