Mtu Mrefu Zaidi Duniani |WATU WA AJABU ULIMWENGUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Hii ni Historia Ya Kijana Mrefu Zaidi Duniani
    Kumbuka :Asili ya Video Hii Iliundwa Kwa KISWAHILI&KIFARANSA Chini Ya Afrimax Ltd,Ikimaanisha Tunamiliki Haki Yake kwa 100%,Hili Ni Toleo La Kiswahili,
    #afrimaxswahili #truly #historiaisiyoyakawaida #trending #watuwaajabu #extraodinarypeople
    Usisahau Kubonyeza Alama Nyekundu (Subscribe)kisha Alama Ya Kengele ili Uwe Wa Kwanza Kupata Video Zetu AFRIMAX SWAHILI

Комментарии • 82

  • @Amelia-mk4vj
    @Amelia-mk4vj Месяц назад

    Hakika you are blessed My brother

  • @Pascalemilist
    @Pascalemilist Год назад +2

    He bwana huyu jamaa ni super star

  • @JoniaIssaya
    @JoniaIssaya 3 месяца назад +1

    Hiyo ni kazi ya Mungu , hakika Mungu ajawai kukosea,,

  • @MesiaAtukuzwe
    @MesiaAtukuzwe 3 месяца назад

    Wahooo jamn. Walau eye kabalikiwa ulefu.

  • @georgeyamlinga6900
    @georgeyamlinga6900 Год назад +11

    Habari naitwa innocent yamlinga nakipaji cha utangazaji na uwaandishi wa habari uwandaaji wa makala na mtayarishaji vipind vya burudani naomba ku join na kituo hiki

    • @georgeyamlinga6900
      @georgeyamlinga6900 Год назад +4

      Nipo Tanzania mkoani shinyanga wilayani kahama

    • @georgeyamlinga6900
      @georgeyamlinga6900 Год назад +2

      Nasikia kufanya kazi na afrimaxswahili naomba fulsa hii naamini tafanya makubwa na kwa weredi

    • @HasnaduKope
      @HasnaduKope 3 месяца назад

      Umepata kazi kaka

    • @JaphetSteven-z3t
      @JaphetSteven-z3t 3 месяца назад +1

      ​@@HasnaduKopeau sio 😂😂😂😂

  • @didamanyanya4893
    @didamanyanya4893 2 года назад +2

    Mungu wangu

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 6 месяцев назад +3

    " The watchers are back! Enjoy your life bro.

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma3330 3 месяца назад

    Ni mzee sana mashallah

  • @barackzacharia907
    @barackzacharia907 4 месяца назад +8

    Kwa ulefu wangu Huwenda nika mfikia Begani nina miaka 20

  • @airinistivini671
    @airinistivini671 Год назад

    Aisee

  • @DaviM-e3v
    @DaviM-e3v 2 месяца назад

    Pia Kenya kuna moja

  • @SikudhaniKulonda-jy1bq
    @SikudhaniKulonda-jy1bq 3 месяца назад

    Mmmm huongo uku knya yuko zaid ya huyo

  • @MathewDamson-bo1kk
    @MathewDamson-bo1kk 3 месяца назад

    Hata tall wa Majohe hamfikii

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 2 года назад +2

    Nampenda huyo kaka

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 месяцев назад

    Watanzania nao kwa ushamba ndiyo namba moja.😢😢Huyu ni mtu wa kawaida tu

  • @PatrickKarisa-qt3yx
    @PatrickKarisa-qt3yx Месяц назад

    Wakenya niwazito kumliko

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 3 месяца назад +1

    Huy jin wa jb

  • @PetrowilsonPetro
    @PetrowilsonPetro 3 месяца назад

    Hali ya kenya

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Mtihani sio ya kucheka ila nimmcheka huyu kaka anaye sema kama akimfumaniya na mke wake atamuachiya na nyumba pia

  • @Devilinintungwawc2vk
    @Devilinintungwawc2vk 4 месяца назад

    Atanifikia lakin mimi

  • @RichardmwisalileghambiRichardm
    @RichardmwisalileghambiRichardm 2 месяца назад

    Huyu Jamaal ni mrefu mno du mpaka amepitirza

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 2 года назад +3

    hajamfikia adamu

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 2 месяца назад

    Mimi Naona sio mrefu Sana WA kawaida tuu

  • @annamgina3746
    @annamgina3746 Год назад

    Mh jaman

  • @KhatibJuma-ve5bv
    @KhatibJuma-ve5bv 3 месяца назад

    Unauref uhooo

  • @tawiso_online_tv.
    @tawiso_online_tv. 4 месяца назад

    Mimi namzidi

  • @AbdallahKigoma
    @AbdallahKigoma 3 месяца назад

    Nilishawai kumpakia kweny boda kila tunapo pita wanatushangaaa anakaaa tbt uyo

  • @raziakongani
    @raziakongani 5 месяцев назад +2

    Mzimu wa JB kwa huba series😅😅

  • @gladnessjonas5720
    @gladnessjonas5720 4 месяца назад +2

    Atakuwa alieimba na rose muhando

  • @MaryBenedict-y9k
    @MaryBenedict-y9k 5 месяцев назад +1

    Duuuh

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 3 месяца назад

    nilisha muona majohe mwaka 2009

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад

    Duh

  • @VincentOteki
    @VincentOteki 4 месяца назад +1

    nikama mimi

  • @IsihakaMtemi
    @IsihakaMtemi 4 месяца назад

    Mh tatizo

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 2 года назад +1

    Huyu ni ndugu na Hashim Thabit. Maana wanafanana mpaka sauti

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 5 месяцев назад +1

    Uyu ndio mzimu wa jb kwenyew huba

  • @KINYONGAMASAUTIY
    @KINYONGAMASAUTIY 5 месяцев назад

    Acheni ushamba

  • @jaybsetlitstarboywomigori3495
    @jaybsetlitstarboywomigori3495 4 месяца назад

    napendasana freemasonry

  • @Citystarwater
    @Citystarwater 4 месяца назад

    He has a shorter life span. Scientifically proven

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 4 месяца назад

    Mshenzi hadi umefikia utangazaji bado hujui kutamka Tanzania eti unatamka Tanzaa nia

  • @rahelihaule1621
    @rahelihaule1621 Год назад +1

    Nipeni namba yake

    • @zena6203
      @zena6203 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @davidchirimi2013
    @davidchirimi2013 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa kwa sasa ni marehemu alifariki amezikwa mkoa wa Mara wilaya ya Musoma mjini, amezikwa makaburi ya Mwisenge

    • @4revertv523
      @4revertv523 5 месяцев назад +1

      acha masihara kweli??

    • @davidchirimi2013
      @davidchirimi2013 5 месяцев назад +2

      Kweli kabisa ndug yang ni msemee mtu kufa afu mtu huyo awe yupo hai siyo jambo jema na siyo ungwana jamaa alifia sehem moja inaitwa chagangara ipo huku Musoma mjini ni majirani zetu huku Musoma

    • @barakachibwana3708
      @barakachibwana3708 5 месяцев назад +1

      We mpuuzi ni muongo sana

    • @mwanah3643
      @mwanah3643 5 месяцев назад

      Amefaliki lini

    • @davidchirimi2013
      @davidchirimi2013 5 месяцев назад

      Matusi yanatoka wapi tena na nini kinafanya unitukane unajua maana ya mpuuzi ww? hebu tuambie ww huyo ndug yuko wapi kwa sasa hapa duniani au una muda gani haujamuona afu ndiyo ukurupuke kutoa matusi ningekutukana ila bc2

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 7 месяцев назад

    Once meet him in Tanzania daresalama posta l have fun with him and photos reali julias is the tollest man abnormal with nomol pasonol nectar umanbeng creat by god but julias vary special creat by god on that highty but whatever julias pass through within daresalama always peaple get saprys

  • @PetrowilsonPetro
    @PetrowilsonPetro 3 месяца назад

    Hali ya kenya