EXCLUSIVE: MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI AFUNGUKA "WANAUME WANANIOGOPA KUNITONGOZA KISA NDEVU"
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kazi ya Mungu haina makosa dada usife moyo ila Mungu ndiye alikuumba hukujiumba wenye wanamwongea na kimcheka wajue hakuna mtu mwenye alijiumba much love dear ❤❤❤
Usiwe mnyonge Dada ni mzuri Mungu atakujalia❤
I saw her on Facebook, she's beautiful and wonderfully made by God 🙏
Polycystic ovarian syndrome.
You are so beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ I love you 💖💖
@@JohnsonNgugi-eg6zyumalaya tu
Mzuriiiiii mashaa allah❤❤ ila nyoa dada ndevu toa kwa wax ila kama mwenyewe waona kawaida basi allah akusimamie inshaa allah kila kitu kinasababu ❤❤❤❤🎉
Zitakua nyingi zaidi
Anatia huruma duu
@@Mpakauseme alaa kumbe
Mavazi angevaa ya kike
Hiyo wax Haifai..
Dada nzur masha'allah na amejaaliwa jicho...mngu atakupa mtu sahih kua na subra..📌☑️
Hyo ni kawaida t Sana dada Kuna wat hawana miguu Wala mikono eb fikiria we miguu unayo umbo unalo sura unayo zitakwenda zitaisha kwa uwezo wa mungu usijali
Ishi uwezavo dada ww ni mnzuri sana mungu atakupa mume bola na mwenyekukujali wasamehe wanaokusema vibaya
We hata mi sikutongozi janaume kabisa unaweza kunipelekea moto bule
Ni tatizo la HOMONI
Homoni za kiume zimezidi kwake
@@halunimnenwa5224😂😂😂😂😂😂 jau ww
Nakushauri Dada kafanye laser zinapotea kabisa izo
Chukua wewe sasa😂
Mungu hakosei kuumba dada angu wewe nyoa tu hizo ndevu Mbona Kuna dawa unapaka zinakuwa hakuna usizifuge
Rangi imembeba,angekuwa black ingekuwa noma.all in all GENETICS 🤞
Wengine wanabebwa na nini
Beautifull ❤ ku ing pny an k mrp in inh skjur tbh kms jmbng bre wok mga trkblkn. ❤🤲👍
Beautiful and wonderfully made by God.
Amen
Wahuni wanaogopa kushonwa, wanahisi dada ako na ile kitu! Hapo swala ni kujikubali tu, dada mbona mrembo sana tu? Piga futa ndevu hiyo irefuke na kichwani piga msuko mkali, mbona watakutaka?
😂😂😂
Mashallah dada mzur sana ila punguza unyonge ty wew upo vizur sana❤❤❤
Hakuna wewe sio nzur chochote ndio huenda una jinsia mbili ukitaka kuolewa nyoa kwanza izo devu 😂😂😂😂
Bro unamkosowa mungu ukiongea ivo. Mungu anaweza kukufanya chochote ndani ya second 1
Ukizaa nae mtt w kiume huyu hlf afate iyo sura n ndevu atakua bonge l handsome 😘
True
Fikra zako kama zangu
Mzuri mashallah dada wa wenyewe mungu akupe hekima my lovuuuu
acha unafk nzr wap na midevu
Mungu ndie muweza🙏🙏
Jikubali sana dada yangu wasikuzingue juu mungu akufanya makosea kukuumba hivyo anamakusudio yake
Aandike namba zake Dada maisha llah ni mzuri alhamdulilah
Kwenye creen hazipo ila ametaja namba zake mwenyewe
Ameamua kuziacha aone zitafikia wap
Mabaharia kama nawaona vile
Kwani wewe MTANGAZAJI UNAMPENDA ? Mbona hujamtongoza maana kama ungemtongoza usingehojiana naye!
Mbona kinyonge dada yangu yote mungu Atakupa nguvu na Alisia yako madam ❤❤❤
Mafuta mnayo jipaka wanawake
MUNGU huwa akosei kwenye kuumba na akaona ni vyema 🙏🙏🙏🙏🙏👏dada ni mrembo sana na ni mama mzr,,😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
ah weh,,mzuri ila usiniambie mustach huo nikae nao ndani,,,nop😊
Acha kusema hivyo ndugu Mungu ana mambo mengi sana sana, hajapenda
Wanakuaga watamu hawa noomaa
Mungu yupo ata ku tetea 😢😢❤❤❤❤🙌🏽🙌🏻
Amen
Wewe ni mzur dada yang
Ushauri wangu ni nyoa hizo ndevu utakuwa mrembo zaidi lkn unavyozifuga nalo ni tatizo
Akizitoa ndio zitakuja nyingi zaid
ni imani tuu
Mmi ni mkenya na nko single mbna asinitafute tkaanza maisha..mbali na ndevu ni mrembo
Ukwel dada anaitaji msada maan iyo ni changamot sana kua na mausiano ukwel anaitaji msada
I like to meet her,
Namtaka huyo mwana dada
😂😂😂😂eti! Nipo kwenye mausiano ambayo sijui yanausiana na mimi❤❤❤
Mleba ni kwetu hapa mashariki ya DRC.akuje huku tumuweke kwenye maombi.Mungu ni mwaminifu.
Lkn ni mzuri sana
Jaman ni mrembo sn jikubali hata usiwe mnonge ukamkifuru Mungu,anamakisudi yake
MIMI NKO NIMEMPENDA
Watanzania mimi ni Mkenya hii condition inaletwa na High level of Androgens Ni kawaida tu. Ukitaka kuzitoa fanya mazoezi upunguze Mwili so that Mwili wako utengeneze fewer Male hormones. Wanaume Msimwogope Ni kawaida sana.
Njoo wewe umuoe
😂😂😂😂@@Clever-l8v
@user-ex6sh1rl4d 😂😂😂 na wewe
Kuna haja gani ya kusema wewe ni mkenya au uhusiano uko wapi katika taarifa yako kuhusu hio condition na wewe kuwa mkenya?
Tatizo la sisi na wakenya ni "bragging" sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kujitambulisha kama mkenya? Au kuwa mkenya kuna kusaidia nini? Or what is so special about Kenya that you should introduce yourself here before addressing this matter ?
Hii stori ndio tulikuwa tukiongelea jana udiku,kumbe ni kitu cha uhalisia ivyo...uzuri bado upo mrembo dadangu,,
❤Ameeni 🙏🙌 utukufu tunamrudishia Mungu, Mungu arikumba hivyo kwa utukufu wake usije ukanyoa au ukatumia dawa usije ukapata madhara.nimekupenda,unampenda Mungu,
Wewe mtangazaji si umuoe? Dada nyoa hizo ndevu , ukizinyoa leo leo utapata mtu wa kuzagamuana, na ulivyo mpoleee mwe..... nyoa ndevu hizo , zinyoeeeeeee utaona wanaume watavuokukimbila😅😅😅
She so pretty , she don’t need to shave at all 💕💕💕💕❤️❤️💓💓
Amazing ❤❤
Ni shida ya hormones poly cystic ovarian syndrome Anafaa kujichunga kwa Saratani ya njia ya uzazi
Hu nao ni mthihani masikini usijali dadaa ni Maisha tu hayo
kweli
Watu wanatiliashaka uweza wa mungu ..
Alimuumba Adam kwa udongo wakaamini ,lkn alipomuumba Yesu kwa mama bila baba wakaruka wakisema baba atakuwa mungu mwenyewe...sasa mungu akazae na maryam kweli jmn ....!
Dada upo safi mno nimekupenda bure kabisa ❤😊
Hii ni shida ya HIRSUTISM...yaja juu ya kua na homoni nyingi kwa miwili wa mwanamke...wanawake wengine ulimwemguni wanae hii hali..aidha wanatoa hizo ndevu kwa waxing kama hawazitaki....
Subhanallah mwenyezi mungu anampa atakae na kumnyima amtakae. Kuna wanaume hawana kabisa ndevu lakini mdada Masha Allah udevu hadi raha 🎉🎉😊😊wanao kunanda wakumbuke mungu hakosei
unaamk kesho unaanz kujikuta n wwe n hali km hyo utajichkuliaje
Uangalie.wanaume wachawi watakukimbilia ili wachukue
Msukule.usitembeetembee.na wanaume
😅😅😅😅aisee ni noooma sana mbona ni HANDSOME sana ivyo
Acha kumkufuru Mungu
Tupo wengi jmn nikajuwa mm tu
Mimi ninayo ila sio nyingi ivyo.
Mbona nimesha mpenda dada binti mzuri mashallah❤
Mzuri mno yaani mungu fundi
acha umalaya umetamani jicho tu
😂😂😂😂😂
Mbona ndevu zinaweza kuondoka na ukarudisha muonekano wako wa kike, hali hiyo ata mm hunipi hamasa wala hisia asee, toa madevu hayo, yani mm ndo nikuoe ww afu nikupeleke kwa washkaji zangu kweli? Si unyoe tu hizo ndevu, ukishakunyoa kuna dawa unapaka hazioto tena hizo
MIMI KUCHEKA SIWEZ KUJIZUIA😂
Ila kuandika unaweza kujizuia!
@@jlove5238 katombwee
Kwanini umulize mambo ya kwenda jim na kupigana!? Nafkiri hata ww utamshakia tuu!!!
Tunakupenda tu dada yetu... huu ni uumbaj wa Mungu
Skiliza fanya hair remover permanent sema hizo ni nyinyi itachukua muda kuisha na kikubwa mwenyewe umejikubali bas inatosha
Ila ni mzur sana mungu hajakosea kabisa❤
Yampaye inka Data!!!😂😂😂
si kuna dawa jamani angekua huku saudia naona vinaisha tu
Tafuta dawa ya kuuwa hormones za ndevu zinapatikana kwenye maduka ya vipodozi au hospitali.
How does she overcome that pain coz for me it's has being 3hrs still crying coz of being shamed coz of my hairy hands 😢😢😢😢 it really break me down and it's only hands🥱
Si awe anazipunguza anaogopesha mwili wa mwamke kichwa tu ndio cha mwanaume.
Wewe huskiii akinyoa zinaongezeka zaidi jmn
Huyu dada hawezi kuogopwa na wanaume vichaa hawaogopwi iweje pisi kali hivi sema anatisha kiasi lakini ni mboga pambe wanaume wajitokeze lakini mwambie sisi hatuna ndevu na hatuna uhusiano wowote😂😂😂😂😂 atulie afanye biashara
Dada uko vizuri, Mungu amekuumba kwa uzuri wake jipe moyo.
Kwan huwaazinyolewi
Naomba namba yako nitafute fb andika jina langu rashidi adico tuwasiliane ❤
Hajajua tu jinsi ya kuzifanya zisiote tena
Mwambieni atumie treatment ya " Laser hair removal" hizo ndevu ndio itakuwa kwaheri hazitaota tena.
Ni kitu simple tu kama kweli hazipendi.
Haina madhara
@@Petrolheadstz haina hata robo ni safe
Kwa Tz itapatikana??
Ipo@@stansiauisso5441
Dada mbona ww mzuri! Afu unakuwa mnyonge!? Jikubali
Mungu awe nawe siku zote dada, u mrembo sana tena wa tofauti, jiamini na tembea kifua mbele
Mmmmmh mwenyezi Mungu amtie nguvu ,ujasiri na ustahimilivu..
Najua sio rahisi,haswa kwa mazingira yetu ya kiafrika
Dah, Jikubali dada Mungu atakupa wa kufanana naww
Ungenyowa ndevu mbona ungekuwa vizuri maana wanaume wapo wanaonyowa ndevu
Dada Mrembo ww umependeza tu na ndevu zako kila kitu kinatokea kwasababu nimependa unajikubali
Mimi kama utasilimu nakutakan. Ilan nina wake watatu wewe utakua
Kwakweli huyo dada nimzri atari hiyo kaz ya mungu .nimrembo
Yaan me mwenyew mwanaume lakn sna hizo ndevu, ila mungu mkubwa sana humpa amtakaye na humnyima amtakaye kwahy tote saw tuh alhamdulilah
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimejikuta nacheka baada ya kusoma comment yako Mungu fundi
maskin hata kuongea kwake kwaunyonge sana..ucjal dada ang ee MUNGU naomba umpe huyu dasa mume na aweze kufunga nae ndoa
Ni mzuri wewe ningekuwa mwanaume ningekuwa ❤❤
Eti umewahi kupigana ? Mtajgazaji muoga sana aiseh😅😅😅
Bukoba tuna kila kitu muacheni mungu aitwe mungu,senene sisi,miguu mizuri na mashepu ya wadada sisi,tetemeko Sisi,katerelo Sisi,ndizi sisi yani Noma😂😂😂😂
😂😂😂 umetisha Sanaa👊
@@waulaya8507 Bukoba ni full package 📦 aisee 😂😂😂
Ety nimeziacha nione zitaishia wapi😂😂😂😂
Ebullient jiheshimu bana😂
Nilidhani nimemsikia mwenyewe 😂😂😂 anaonekana mcheshi ila ni camera shy
Nimekupenda Sana Maana we Mzuri Sana
😢Muongo wewe kichwa cha mwanaume ILA mwili WA kike
anazidi ata wanaume ndevu 😂😂😂😂 wakuwezeshe una tatizo gani 😂 ira kweri anatisha😂😂
Mungu akupe wepesi akujaze n subra . 😢
ehh...huyo asitumie choo au bafu ya wanawake...kuna mambo fiche hapo...
Huyu dada ana asili ya nywele weee angalia hata kichwani...ni mzur sana
Ili lishogaa tu ndio sasa wanajifanyisha ivi ata sauti pia lishogaa 😂😂😂😂😂😂😂
Beautiful MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada nenda ukatizame kipimo cha Goita ..pia sikuhizi kuna matibabu ya lesser
She is so beautiful ❤️ keep going kirembo
hatamimi ninandevu husihongei kinyonge namimi najihaminipia kwamana nilikimbiwapia
Napenda sana mwanamke mwenye ndevu wao wana nyota ya utajili❤❤
Ushauri dada yangu,,,hiyo ni tatizo za homone imbalance una homoni za kiume zimezidi kwa hiyo muone dakitari ,aone jinsi gani atakusaidi ,,wala usiogope hizo ndevu zitatoka ba utarudi kwenye hari ys kawaida kama wanawake wengine
Nyoa hizo ndevu, alaaaaaaaa
Akinyowa zinaongezeka
hahahahaaaa
@@nadyasalim7956
Hamna cha kuchekesha
@@sonnyr1899 nilikua naitafuta hiiii. Ukinyoa zinaongezekaa
Coment Yako n chuki kwani alitaka
Mtangazaji rudi training haujuii kuhojii mtu unarukaruka tu kama mwewe 😂😂😂nikama wamuogopa huyu dada
Dada nimzurii usihofu kwanza anae kushangaaa ni mjinga Mimi nimekukubali uko vizuri
Alaf ndevu zimempendeza kinoma utazani gantroman la kituruki hadi raha.
Mzuri kama Muarabu
Fala wewe unayewatukuza waarabu kwamba ni wazuri
Sababu wanakufiraga sio Kenge wewe
Ur so beautiful babe me kama mie napenda inshore ni mrembo ❤❤❤❤❤❤❤
Beautiful 🎉🎉
Diamond Platnumz akuoe wewe dada NDIO alikua a nakungojea mama wewe Rangi yake
pole sana dada< i live in USA, unaweza kufanya laser treatment hazitaota tena. uliza laser treatment, watu wakusaidie ununue kenzo. huku marekani tunafanya laser kwa makwapa, miguu, mikono na uso.
Acha utani ni bei gani kufanya hiyo treatment
Sasa wewe ambae upo huko ndo wakumsaidia
8:44 Yaani mnakua kwenye mahusiano ambayo hamjui yanahusiana na nini? ~ Mtangazaji