EXCLUSIVE: MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI AFUNGUKA "WANAUME WANANIOGOPA KUNITONGOZA KISA NDEVU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1 тыс.

  • @CyprianNyakundi-m8d
    @CyprianNyakundi-m8d 7 месяцев назад +22

    Kazi ya Mungu haina makosa dada usife moyo ila Mungu ndiye alikuumba hukujiumba wenye wanamwongea na kimcheka wajue hakuna mtu mwenye alijiumba much love dear ❤❤❤

  • @williamchenjelu3838
    @williamchenjelu3838 7 месяцев назад +55

    Usiwe mnyonge Dada ni mzuri Mungu atakujalia❤

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria 7 месяцев назад +30

    I saw her on Facebook, she's beautiful and wonderfully made by God 🙏

    • @mubatsievonne4649
      @mubatsievonne4649 7 месяцев назад +1

      Polycystic ovarian syndrome.

    • @JohnsonNgugi-eg6zy
      @JohnsonNgugi-eg6zy 5 месяцев назад

      You are so beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ I love you 💖💖

    • @innocenthaulee
      @innocenthaulee 23 дня назад

      ​@@JohnsonNgugi-eg6zyumalaya tu

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 7 месяцев назад +41

    Mzuriiiiii mashaa allah❤❤ ila nyoa dada ndevu toa kwa wax ila kama mwenyewe waona kawaida basi allah akusimamie inshaa allah kila kitu kinasababu ❤❤❤❤🎉

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 7 месяцев назад +27

    Dada nzur masha'allah na amejaaliwa jicho...mngu atakupa mtu sahih kua na subra..📌☑️

  • @HalimaRashidi-f1o
    @HalimaRashidi-f1o 7 месяцев назад +17

    Hyo ni kawaida t Sana dada Kuna wat hawana miguu Wala mikono eb fikiria we miguu unayo umbo unalo sura unayo zitakwenda zitaisha kwa uwezo wa mungu usijali

  • @LinnaJohn
    @LinnaJohn 7 месяцев назад +116

    Ishi uwezavo dada ww ni mnzuri sana mungu atakupa mume bola na mwenyekukujali wasamehe wanaokusema vibaya

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 7 месяцев назад +2

      We hata mi sikutongozi janaume kabisa unaweza kunipelekea moto bule

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 7 месяцев назад +4

      Ni tatizo la HOMONI
      Homoni za kiume zimezidi kwake

    • @HamadMkojera
      @HamadMkojera 7 месяцев назад

      ​@@halunimnenwa5224😂😂😂😂😂😂 jau ww

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 7 месяцев назад

      Nakushauri Dada kafanye laser zinapotea kabisa izo

    • @plsbusekela2681
      @plsbusekela2681 7 месяцев назад

      Chukua wewe sasa😂

  • @ChikuOmmary-ii2xf
    @ChikuOmmary-ii2xf 6 месяцев назад +1

    Mungu hakosei kuumba dada angu wewe nyoa tu hizo ndevu Mbona Kuna dawa unapaka zinakuwa hakuna usizifuge

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 7 месяцев назад +8

    Rangi imembeba,angekuwa black ingekuwa noma.all in all GENETICS 🤞

  • @GiRan-uh8cx
    @GiRan-uh8cx 25 дней назад +1

    Beautifull ❤ ku ing pny an k mrp in inh skjur tbh kms jmbng bre wok mga trkblkn. ❤🤲👍

  • @judithmalisa497
    @judithmalisa497 7 месяцев назад +17

    Beautiful and wonderfully made by God.

  • @edwintouches
    @edwintouches 7 месяцев назад +1

    Wahuni wanaogopa kushonwa, wanahisi dada ako na ile kitu! Hapo swala ni kujikubali tu, dada mbona mrembo sana tu? Piga futa ndevu hiyo irefuke na kichwani piga msuko mkali, mbona watakutaka?

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 7 месяцев назад +12

    Mashallah dada mzur sana ila punguza unyonge ty wew upo vizur sana❤❤❤

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 7 месяцев назад +1

    Hakuna wewe sio nzur chochote ndio huenda una jinsia mbili ukitaka kuolewa nyoa kwanza izo devu 😂😂😂😂

    • @zahoojamse6560
      @zahoojamse6560 5 месяцев назад

      Bro unamkosowa mungu ukiongea ivo. Mungu anaweza kukufanya chochote ndani ya second 1

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 7 месяцев назад +21

    Ukizaa nae mtt w kiume huyu hlf afate iyo sura n ndevu atakua bonge l handsome 😘

  • @GOMAGOMA-o2e
    @GOMAGOMA-o2e 7 месяцев назад +63

    Mzuri mashallah dada wa wenyewe mungu akupe hekima my lovuuuu

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 7 месяцев назад +22

    Mungu ndie muweza🙏🙏

  • @JosephsarunimollelMollel
    @JosephsarunimollelMollel 7 месяцев назад +15

    Jikubali sana dada yangu wasikuzingue juu mungu akufanya makosea kukuumba hivyo anamakusudio yake

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 7 месяцев назад +20

    Aandike namba zake Dada maisha llah ni mzuri alhamdulilah

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 7 месяцев назад

    Kwani wewe MTANGAZAJI UNAMPENDA ? Mbona hujamtongoza maana kama ungemtongoza usingehojiana naye!

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 месяцев назад +26

    Mbona kinyonge dada yangu yote mungu Atakupa nguvu na Alisia yako madam ❤❤❤

  • @Ishowspeedd_tv
    @Ishowspeedd_tv 7 месяцев назад +1

    Mafuta mnayo jipaka wanawake

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 7 месяцев назад +39

    MUNGU huwa akosei kwenye kuumba na akaona ni vyema 🙏🙏🙏🙏🙏👏dada ni mrembo sana na ni mama mzr,,😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 7 месяцев назад +5

    ah weh,,mzuri ila usiniambie mustach huo nikae nao ndani,,,nop😊

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 7 месяцев назад

      Acha kusema hivyo ndugu Mungu ana mambo mengi sana sana, hajapenda

  • @JosephLeonardMatemba
    @JosephLeonardMatemba 7 месяцев назад +1

    Wanakuaga watamu hawa noomaa

  • @JeanneRashid-o4o
    @JeanneRashid-o4o 7 месяцев назад +21

    Mungu yupo ata ku tetea 😢😢❤❤❤❤🙌🏽🙌🏻

  • @keishaFood-vv5gn
    @keishaFood-vv5gn 7 месяцев назад +1

    Wewe ni mzur dada yang

  • @alleyissaramadhan6068
    @alleyissaramadhan6068 7 месяцев назад +6

    Ushauri wangu ni nyoa hizo ndevu utakuwa mrembo zaidi lkn unavyozifuga nalo ni tatizo

  • @mwamwingamwagaryaka5669
    @mwamwingamwagaryaka5669 3 дня назад

    Mmi ni mkenya na nko single mbna asinitafute tkaanza maisha..mbali na ndevu ni mrembo

  • @nashphatyprince7282
    @nashphatyprince7282 7 месяцев назад +8

    Ukwel dada anaitaji msada maan iyo ni changamot sana kua na mausiano ukwel anaitaji msada

  • @denisoduor5812
    @denisoduor5812 7 месяцев назад +1

    Namtaka huyo mwana dada

  • @Mo-Melody
    @Mo-Melody 7 месяцев назад +6

    😂😂😂😂eti! Nipo kwenye mausiano ambayo sijui yanausiana na mimi❤❤❤

  • @Réverendsamy
    @Réverendsamy 6 месяцев назад

    Mleba ni kwetu hapa mashariki ya DRC.akuje huku tumuweke kwenye maombi.Mungu ni mwaminifu.

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422 7 месяцев назад +13

    Lkn ni mzuri sana

    • @FelisterMpwage
      @FelisterMpwage 7 месяцев назад

      Jaman ni mrembo sn jikubali hata usiwe mnonge ukamkifuru Mungu,anamakisudi yake

  • @pagepaku
    @pagepaku 7 месяцев назад +1

    MIMI NKO NIMEMPENDA

  • @kswagga9148
    @kswagga9148 7 месяцев назад +6

    Watanzania mimi ni Mkenya hii condition inaletwa na High level of Androgens Ni kawaida tu. Ukitaka kuzitoa fanya mazoezi upunguze Mwili so that Mwili wako utengeneze fewer Male hormones. Wanaume Msimwogope Ni kawaida sana.

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 7 месяцев назад

      Njoo wewe umuoe

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      😂😂😂😂​@@Clever-l8v

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 7 месяцев назад

      ​@user-ex6sh1rl4d 😂😂😂 na wewe

    • @jlove5238
      @jlove5238 7 месяцев назад +1

      Kuna haja gani ya kusema wewe ni mkenya au uhusiano uko wapi katika taarifa yako kuhusu hio condition na wewe kuwa mkenya?

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 7 месяцев назад

      Tatizo la sisi na wakenya ni "bragging" sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kujitambulisha kama mkenya? Au kuwa mkenya kuna kusaidia nini? Or what is so special about Kenya that you should introduce yourself here before addressing this matter ?

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy2148 7 месяцев назад

    Hii stori ndio tulikuwa tukiongelea jana udiku,kumbe ni kitu cha uhalisia ivyo...uzuri bado upo mrembo dadangu,,

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 7 месяцев назад +6

    ❤Ameeni 🙏🙌 utukufu tunamrudishia Mungu, Mungu arikumba hivyo kwa utukufu wake usije ukanyoa au ukatumia dawa usije ukapata madhara.nimekupenda,unampenda Mungu,

  • @YustinaHaule-l1l
    @YustinaHaule-l1l 7 месяцев назад

    Wewe mtangazaji si umuoe? Dada nyoa hizo ndevu , ukizinyoa leo leo utapata mtu wa kuzagamuana, na ulivyo mpoleee mwe..... nyoa ndevu hizo , zinyoeeeeeee utaona wanaume watavuokukimbila😅😅😅

  • @oliverwema8646
    @oliverwema8646 7 месяцев назад +46

    She so pretty , she don’t need to shave at all 💕💕💕💕❤️❤️💓💓

  • @danielkiruri4882
    @danielkiruri4882 7 месяцев назад

    Ni shida ya hormones poly cystic ovarian syndrome Anafaa kujichunga kwa Saratani ya njia ya uzazi

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 7 месяцев назад +4

    Hu nao ni mthihani masikini usijali dadaa ni Maisha tu hayo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 6 месяцев назад

    Watu wanatiliashaka uweza wa mungu ..
    Alimuumba Adam kwa udongo wakaamini ,lkn alipomuumba Yesu kwa mama bila baba wakaruka wakisema baba atakuwa mungu mwenyewe...sasa mungu akazae na maryam kweli jmn ....!

  • @alingoto649
    @alingoto649 7 месяцев назад +5

    Dada upo safi mno nimekupenda bure kabisa ❤😊

  • @ninaken7109
    @ninaken7109 7 месяцев назад

    Hii ni shida ya HIRSUTISM...yaja juu ya kua na homoni nyingi kwa miwili wa mwanamke...wanawake wengine ulimwemguni wanae hii hali..aidha wanatoa hizo ndevu kwa waxing kama hawazitaki....

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 7 месяцев назад +4

    Subhanallah mwenyezi mungu anampa atakae na kumnyima amtakae. Kuna wanaume hawana kabisa ndevu lakini mdada Masha Allah udevu hadi raha 🎉🎉😊😊wanao kunanda wakumbuke mungu hakosei

    • @abdillahjuma8474
      @abdillahjuma8474 7 месяцев назад

      unaamk kesho unaanz kujikuta n wwe n hali km hyo utajichkuliaje

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 7 месяцев назад

    Uangalie.wanaume wachawi watakukimbilia ili wachukue
    Msukule.usitembeetembee.na wanaume

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 7 месяцев назад +3

    😅😅😅😅aisee ni noooma sana mbona ni HANDSOME sana ivyo

  • @PiliKauky
    @PiliKauky 7 месяцев назад +1

    Tupo wengi jmn nikajuwa mm tu

  • @rogerioibraim8527
    @rogerioibraim8527 7 месяцев назад +25

    Mbona nimesha mpenda dada binti mzuri mashallah❤

    • @MaedaMm
      @MaedaMm 7 месяцев назад

      Mzuri mno yaani mungu fundi

    • @aloycesteven5998
      @aloycesteven5998 7 месяцев назад

      acha umalaya umetamani jicho tu

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 7 месяцев назад

    Mbona ndevu zinaweza kuondoka na ukarudisha muonekano wako wa kike, hali hiyo ata mm hunipi hamasa wala hisia asee, toa madevu hayo, yani mm ndo nikuoe ww afu nikupeleke kwa washkaji zangu kweli? Si unyoe tu hizo ndevu, ukishakunyoa kuna dawa unapaka hazioto tena hizo

  • @HamimuBadyanaJR
    @HamimuBadyanaJR 7 месяцев назад +3

    MIMI KUCHEKA SIWEZ KUJIZUIA😂

    • @jlove5238
      @jlove5238 7 месяцев назад +1

      Ila kuandika unaweza kujizuia!

    • @HamimuBadyanaJR
      @HamimuBadyanaJR 7 месяцев назад

      @@jlove5238 katombwee

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe 7 месяцев назад

    Kwanini umulize mambo ya kwenda jim na kupigana!? Nafkiri hata ww utamshakia tuu!!!

  • @ibrahmwendy919
    @ibrahmwendy919 7 месяцев назад +4

    Tunakupenda tu dada yetu... huu ni uumbaj wa Mungu

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 7 месяцев назад

    Skiliza fanya hair remover permanent sema hizo ni nyinyi itachukua muda kuisha na kikubwa mwenyewe umejikubali bas inatosha

  • @zuhrakhamis6508
    @zuhrakhamis6508 7 месяцев назад +6

    Ila ni mzur sana mungu hajakosea kabisa❤

  • @gakeri4162
    @gakeri4162 7 месяцев назад +1

    Yampaye inka Data!!!😂😂😂

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h 7 месяцев назад +3

    si kuna dawa jamani angekua huku saudia naona vinaisha tu

  • @gumtramkomba6645
    @gumtramkomba6645 7 месяцев назад

    Tafuta dawa ya kuuwa hormones za ndevu zinapatikana kwenye maduka ya vipodozi au hospitali.

  • @laurakamau5214
    @laurakamau5214 7 месяцев назад +1

    How does she overcome that pain coz for me it's has being 3hrs still crying coz of being shamed coz of my hairy hands 😢😢😢😢 it really break me down and it's only hands🥱

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 7 месяцев назад +2

    Si awe anazipunguza anaogopesha mwili wa mwamke kichwa tu ndio cha mwanaume.

    • @kibibimlaula2526
      @kibibimlaula2526 7 месяцев назад

      Wewe huskiii akinyoa zinaongezeka zaidi jmn

  • @AnethJoseph-m5i
    @AnethJoseph-m5i 7 месяцев назад

    Huyu dada hawezi kuogopwa na wanaume vichaa hawaogopwi iweje pisi kali hivi sema anatisha kiasi lakini ni mboga pambe wanaume wajitokeze lakini mwambie sisi hatuna ndevu na hatuna uhusiano wowote😂😂😂😂😂 atulie afanye biashara

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 7 месяцев назад +5

    Dada uko vizuri, Mungu amekuumba kwa uzuri wake jipe moyo.

  • @AdicoRashidi
    @AdicoRashidi 2 месяца назад

    Naomba namba yako nitafute fb andika jina langu rashidi adico tuwasiliane ❤

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 7 месяцев назад +2

    Hajajua tu jinsi ya kuzifanya zisiote tena
    Mwambieni atumie treatment ya " Laser hair removal" hizo ndevu ndio itakuwa kwaheri hazitaota tena.
    Ni kitu simple tu kama kweli hazipendi.

  • @SmilingPlanets-yx9rm
    @SmilingPlanets-yx9rm 7 месяцев назад

    Dada mbona ww mzuri! Afu unakuwa mnyonge!? Jikubali

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 7 месяцев назад +20

    Mungu awe nawe siku zote dada, u mrembo sana tena wa tofauti, jiamini na tembea kifua mbele

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 месяцев назад

    Mmmmmh mwenyezi Mungu amtie nguvu ,ujasiri na ustahimilivu..
    Najua sio rahisi,haswa kwa mazingira yetu ya kiafrika

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 7 месяцев назад +4

    Dah, Jikubali dada Mungu atakupa wa kufanana naww

  • @TeklaKapinga-lo3kx
    @TeklaKapinga-lo3kx Месяц назад

    Ungenyowa ndevu mbona ungekuwa vizuri maana wanaume wapo wanaonyowa ndevu

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 7 месяцев назад +11

    Dada Mrembo ww umependeza tu na ndevu zako kila kitu kinatokea kwasababu nimependa unajikubali

    • @NaimHaji-z8g
      @NaimHaji-z8g 5 месяцев назад

      Mimi kama utasilimu nakutakan. Ilan nina wake watatu wewe utakua

  • @NeemaMdoe-sr6ci
    @NeemaMdoe-sr6ci 2 месяца назад

    Kwakweli huyo dada nimzri atari hiyo kaz ya mungu .nimrembo

  • @adamuipingika122
    @adamuipingika122 7 месяцев назад +14

    Yaan me mwenyew mwanaume lakn sna hizo ndevu, ila mungu mkubwa sana humpa amtakaye na humnyima amtakaye kwahy tote saw tuh alhamdulilah

    • @GeofreylaurentMelchiad
      @GeofreylaurentMelchiad 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @DeboraPeter-tv4dh
      @DeboraPeter-tv4dh 7 месяцев назад

      😂😂😂😂 nimejikuta nacheka baada ya kusoma comment yako Mungu fundi

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 2 месяца назад

    maskin hata kuongea kwake kwaunyonge sana..ucjal dada ang ee MUNGU naomba umpe huyu dasa mume na aweze kufunga nae ndoa

  • @rebekamwasube2221
    @rebekamwasube2221 7 месяцев назад +3

    Ni mzuri wewe ningekuwa mwanaume ningekuwa ❤❤

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 6 месяцев назад

    Eti umewahi kupigana ? Mtajgazaji muoga sana aiseh😅😅😅

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 7 месяцев назад +2

    Bukoba tuna kila kitu muacheni mungu aitwe mungu,senene sisi,miguu mizuri na mashepu ya wadada sisi,tetemeko Sisi,katerelo Sisi,ndizi sisi yani Noma😂😂😂😂

    • @waulaya8507
      @waulaya8507 7 месяцев назад +1

      😂😂😂 umetisha Sanaa👊

    • @katabaroonlinetv9688
      @katabaroonlinetv9688 7 месяцев назад

      @@waulaya8507 Bukoba ni full package 📦 aisee 😂😂😂

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband 7 месяцев назад +2

    Ety nimeziacha nione zitaishia wapi😂😂😂😂

    • @zakiakusaja8603
      @zakiakusaja8603 7 месяцев назад

      Ebullient jiheshimu bana😂

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 7 месяцев назад

      Nilidhani nimemsikia mwenyewe 😂😂😂 anaonekana mcheshi ila ni camera shy

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 7 месяцев назад +15

    Nimekupenda Sana Maana we Mzuri Sana

    • @RoverRoom
      @RoverRoom 7 месяцев назад

      😢Muongo wewe kichwa cha mwanaume ILA mwili WA kike

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 7 месяцев назад

    anazidi ata wanaume ndevu 😂😂😂😂 wakuwezeshe una tatizo gani 😂 ira kweri anatisha😂😂

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 7 месяцев назад +3

    Mungu akupe wepesi akujaze n subra . 😢

  • @qrankmw.
    @qrankmw. 7 месяцев назад

    ehh...huyo asitumie choo au bafu ya wanawake...kuna mambo fiche hapo...

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 7 месяцев назад +8

    Huyu dada ana asili ya nywele weee angalia hata kichwani...ni mzur sana

  • @SalmaSaid-v3d
    @SalmaSaid-v3d 7 месяцев назад

    Ili lishogaa tu ndio sasa wanajifanyisha ivi ata sauti pia lishogaa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 7 месяцев назад +11

    Beautiful MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fatimaalmahrouqi6711
    @fatimaalmahrouqi6711 7 месяцев назад

    Dada nenda ukatizame kipimo cha Goita ..pia sikuhizi kuna matibabu ya lesser

  • @kaibungarose4207
    @kaibungarose4207 7 месяцев назад +3

    She is so beautiful ❤️ keep going kirembo

  • @RussiaSalehe
    @RussiaSalehe 6 месяцев назад

    hatamimi ninandevu husihongei kinyonge namimi najihaminipia kwamana nilikimbiwapia

  • @athumannassoro5073
    @athumannassoro5073 7 месяцев назад +3

    Napenda sana mwanamke mwenye ndevu wao wana nyota ya utajili❤❤

  • @zengosylivester-hm3cn
    @zengosylivester-hm3cn 7 месяцев назад

    Ushauri dada yangu,,,hiyo ni tatizo za homone imbalance una homoni za kiume zimezidi kwa hiyo muone dakitari ,aone jinsi gani atakusaidi ,,wala usiogope hizo ndevu zitatoka ba utarudi kwenye hari ys kawaida kama wanawake wengine

  • @drdd774
    @drdd774 7 месяцев назад +6

    Nyoa hizo ndevu, alaaaaaaaa

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 7 месяцев назад +1

      Akinyowa zinaongezeka

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 7 месяцев назад

      hahahahaaaa

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 7 месяцев назад

      @@nadyasalim7956
      Hamna cha kuchekesha

    • @ramlazubery1682
      @ramlazubery1682 7 месяцев назад

      ​@@sonnyr1899 nilikua naitafuta hiiii. Ukinyoa zinaongezekaa

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 7 месяцев назад +2

      Coment Yako n chuki kwani alitaka

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 7 месяцев назад

    Mtangazaji rudi training haujuii kuhojii mtu unarukaruka tu kama mwewe 😂😂😂nikama wamuogopa huyu dada

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 7 месяцев назад +6

    Dada nimzurii usihofu kwanza anae kushangaaa ni mjinga Mimi nimekukubali uko vizuri

  • @CosmasSiri-l1s
    @CosmasSiri-l1s 7 месяцев назад

    Alaf ndevu zimempendeza kinoma utazani gantroman la kituruki hadi raha.

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 7 месяцев назад +3

    Mzuri kama Muarabu

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 7 месяцев назад

      Fala wewe unayewatukuza waarabu kwamba ni wazuri

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 7 месяцев назад

      Sababu wanakufiraga sio Kenge wewe

  • @KikubaRamadhani
    @KikubaRamadhani 6 месяцев назад

    Ur so beautiful babe me kama mie napenda inshore ni mrembo ❤❤❤❤❤❤❤

  • @teddysananga
    @teddysananga 7 месяцев назад +12

    Beautiful 🎉🎉

  • @RoverRoom
    @RoverRoom 7 месяцев назад

    Diamond Platnumz akuoe wewe dada NDIO alikua a nakungojea mama wewe Rangi yake

  • @bebykamba8969
    @bebykamba8969 7 месяцев назад +2

    pole sana dada< i live in USA, unaweza kufanya laser treatment hazitaota tena. uliza laser treatment, watu wakusaidie ununue kenzo. huku marekani tunafanya laser kwa makwapa, miguu, mikono na uso.

    • @iddfundikira2817
      @iddfundikira2817 7 месяцев назад

      Acha utani ni bei gani kufanya hiyo treatment

    • @JaneKabyemela-f3m
      @JaneKabyemela-f3m 7 месяцев назад

      Sasa wewe ambae upo huko ndo wakumsaidia

  • @edwintouches
    @edwintouches 7 месяцев назад +1

    8:44 Yaani mnakua kwenye mahusiano ambayo hamjui yanahusiana na nini? ~ Mtangazaji