MZEE ERNESTO ANAYEISHI NA WAKE 16 "7 KATI YAO NI MTU NA DADA YAKE WAMENIPENDA WENYEWE"
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Hii ndio mara ya kwanza nakutana na Mwanaume aliyeoa Wake 16 na wote anaishi nao ndani ya eneo moja, tumezoea kuona kwa Ndugu zetu Waislamu ambao wanaruhusiwa Wake wanne ila hii ya Wake 16 ni noma na nusu, tumekaa na Mzee Ernesto kwenye mahojiano ili tusikie ilikuaje mpaka akawa na idadi hii kubwa, anamudu vipi kuishi nao, msosi wa siku inakuaje? Je anakumbuka majina ya Wake zake na Watoto? tazama hii EXCLUSIVE video ujionee.
huyu mzee anajiweza aisee sijaona mke aliyevaa vibaya wala kupauka kama ilivyo kwa watoto wake.salute kwake
Kama umesikia mzee anafata Maandiko ngonga like yako apa
Nakubali mzeee kama umemkubali Mzee uyu ni jasili naanajikubali gonga like Daa uu ndo wanaume
Mimi binafsi naikubali hii Chanel ya Millard ayo wew vip like
Nimeikubali
Sana
Hata Mimi bro namkubali Millard anafanya kazi Kwa weledi mkubwa
Kama umeona suti ya mzee imenyooshwa na inapendeza japo ni bush gonga like hapa
Hahahahaha mungu anakuona hahaha
Mhhhh
Yngu
liberath samcky kkkkkklajplj na jnjk lol j
ruclips.net/channel/UCbbNN-eBPP69po2Shsb6G3A
Wangapi mlitamani hii interview isiishe .like hapa twende sawa
😂😂😂😂😂😂
@Change Mindset 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duh
Subhanallah
uyu ndio africa mwenyewe,gonga like apa kumkubari mshuaaa
🤣🤣🤣🤣
Ametisha mwanaume jembe
@@nasraabdallah850 by by
Yaan Hawa wanawake inaonekana wanapendana Sana Mungu awaweke pamoja👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿
Kweli
Amin
Inatakiwa serikal imuchengee shele yaake
My best host it's u Millard Ayo 😍😍😍...tunaompenda Millard, tujuane kwa like pls
Hi,canI have ur number, for,deeply information, I am among, in this family, am here, dar es salaam
Naota ama nilive jamani
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI
ruclips.net/video/5T9EV26uVGE/видео.html
NYETI ZA KIUME KUWA KIVUTIO CHA UTALII NCHINI JAPAN 👇👇
ruclips.net/video/rRU5WoWLGdc/видео.html
HUYU HAPA ALIYEGUNDUA DAWA ZA KULEVYA 👇🏾
ruclips.net/video/xOcTjLyB41E/видео.html
WATAFITI WABAINI MAZITO KUHUSU WATOTO MAPACHA 👇👇
ruclips.net/video/FULQ-n62-UI/видео.html
UPDATES ZOTE Ni 🔥🔥🔥🔥
@@happyneshappy952 haa
Jaman nmesoma shule moja na watt wa ernesto, ilikua kila darasa anawatt zaid ya 3. Nakumbuka darasan kwetu nmesoma na Martha mhenuchi, Aida mhenuchi, Maria Mhenuchi na Johnson Mhenuchi . am so proud to hear that
Kweli????
Kumbe ni kweli duuuu
Mkoa Gani huyu baba.
*KAMA NAWE UMEGUSWA NA MAAJABU HAYA ACHIA LIKE YAKO*
Njoo nikubinue kwanza
Kaaa hivi kweli anawakumbuka hao watoto
@@salomemchewa5187 hakika
Maajabu yalikuwa kwa Suleiman (wanawake 1000)
@@milickenock8201 *na hiii ni bongo*
Masha Allah ,,, maana wote wamependeza hata watt na mwenyez mungu kamjalia Masha Allah mzee wetu🙏
Maashallah ya nn wakati mtu anafanya kinyume na Sheria za Allah
Kama umeskia Shule ya msingi msimame gonga like 😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hongera sana mzee kwa nguvu ulizojaliwa hapa tanzania ww niwakwanza
Millad ayoo ni bonge moja la msaka abari Kama unakubaliana na ilo gonga like tende sawa
Hongera sana Mr Milad Ayo, Wewe ni bonge la mwanahabari, Hapa media zingine lazima ziige mfano huu.
Hongera baba nimeipenda iyo
Watot wameenda utawa Mungu awatangulie katk kumtumikia yeye🙏🙏
Wangapi tunataka mzee aongeze watoto gonga like apa.
Ok, watoto 104 plus 40 waliofariki, namba nzuri, mzee amefanya kazi kubwa. Mpiganaji kweli, wanaume wote tukioa hivi kazi ipo.
Nimeipenda style yako yaobile office, unatembea na meza na viti,
Bigup boss
Happy family kusema ukweli watoto ni baraka tena watoto wote wako wasafi na afya♥️❤️❤️♥️💜💕
Imagine tena wako na mavazi tu vizuri
Shkamoo mzee✋wake wote 16 watoto mia na nne bado upo fiti💪
Sanaaa me pia nipo feet hataree
😂😂😂
Anamiaka 71 na alioa mke wakwanza mwaka stini namoja maanayake alioa akiwa na miaka 12 duh sijui amesahau sijui nikweli haya
@@hamisiomari1990 75 sio 71 sikiliza vzr mwamba
Yani Mimi nikipija viwili tu sitaki tena hadi zipita siku tatu sasa wewe 16 unawagonga vip apo
Mzee nampongeza kutimiza maneno ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na dunia kwamba ZAENI MKAJAZE DUNIA.👍👍👍👍
Hahaaaaa
😂😂ww msish wanawak wanne tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usinukuu maandiko vibaya Hana analotimiza ktk maandiko ,kumbuka ni dhambi kutumia maandiko ya MUNGU vibaya ,mshaauri akatubu na hao wanawake watubu yawezekana waliolewa kwa ajli ya tamaa za Mali ,mashamba na Ng'ombe wanaume wapo wengi tu. unakuta kabinti kadogo kanaolewa mke wa kumi ujinga na tamaa ni mzigo mkubwa wa dhambi.
Usinichekeshe.ameijaza kweli
Hongera kwa huyu mzee ameweza kuwatunza wake zake wote na watoto wakati unakuta wanaume wengine wanashindwa ata kulea mke mmoja na watoto wawili
😅😅
Kama na ww umependa mazingira na mpangirio wa izo nyumba tujuane wadau
Da hii ni hatali Kuna uwezekano wa kumtembelea huyu mzee anakaa wapi
Nimerudia kuangalia hi interview mara 3 Aisee huyu mzee ni nomaa sanaa ...#millad Ayo hongera kwa kutuletelea bonge 1 la interview nzuri sanaa🙏
Duu we mkali Mara tatu
Sisi waislamm wake 4 lkn watu wanaona makosa! Sasa ngoma hiyo hapo! Tena sio muislam! Haya wanazengo lete mistari mibovu! Hongera sana mzee!
We jinga kweli, Biblia imezuia kuua lakini wanaua uta justify vipi kwa kutumia maandiko, huyu kaoa kwa utashi wake wengi!
Lakini ujue Mungu aliumba Mume na Mke, sio Mume na wake!
Hizo ni ndoa za kimila hizina limit
Biblia na Quran ziishie uko uko, na sisi tuwe na utaratibu wetu
Mzee ana jitambua kweli kaulizwa very person quest kalijibu ki heshima kistarabu kweli ni mzee anae jielewa kwa umri wake sio wale wazee wa dar 🥱😏
Kama umemkubali huyu mzee like
He is a hero...both kids en wives are healthy, congratulations baba true african man😃😃😃😃
AHahah
Sawa kabisa hapo kazi kazi
Mirad hongera sana,upewe tuzo baba kiiukweli unachimba na kuchimbua tusiyo jua mambo haya tumezoea kusoma kwenye adithi mwanaume kua na watoto mia na sis wanaume kunakitu tumejifunza hapa
Kasema mambo ya zamu hawezi kusema mbele ya watoto 🤣🤣🤣baba Yuko vizuri
Umejifunza Nini🤣🤣🤣
Hongera bro.
Napenga utendaji wako wa kazi Millard,. love u💋
Oyoooo 🙌🙌
Nenden mkaijaze dunia
Umetisha baba..💪💪
Na kajaza kwel
hhhhh
Pongezi mzee wangu, naomba MUNGU AKUTIE NGUVU uwalee hao ndugu zangu..MUNGU akubariki sana
Safi sn maguful bado nakukumbuka mzee wangu😪
Aiseee hii inge tafsiliwa na kizungu dunia ione mzee alivyo fiti
Kwer kabsa 😂😂😂😂
Mzee mpumbavu huyu yuko fiti kishenzi unawachanganya mtu na dada yake alafu mnamsifia mnaendekeza ngono saana nyie watu wajinga saana baadae hiyo laana itamrudia watapigana miti wao vwenyewe
Si umemsikia anakula ndizi na mihogo ya kuchemsha asubuhi, mchana ugali na maharage, hali chipsi hali piza hali Burger, hapo hata akipewa wali wawili full kuwazalisha tu, nguvu ipo, c mchezo kuwamiliki wanawake 16. Hongera zake sana sana
@@selemankishema5780Yani huyu wakupewa somo mana hakuna mila wala dini inayoruhusu uwafanye mke mtu na ndugu yake jamani hili swala Serikali pia ilitizame kwa jicho lengine
@Seleman kishema unaujua upumbavu na ujinga wa aina ngapi...ustaarabu wa dini na maadili yako uliokufikia unaweza kuwa ulochelewa kwa wengine so usimnyooshee kidole mpe elimu ukiweza ila up to now mzee yuko fiti na huwez mrudisha nyuma
"Wengine kwenye amri kumi mmebakiza usiuwe tuu🤣🤣🤣"
Duuuh yani umetisha Millard ayo wewe kweli ni mwana habari wa kweli
Duh Mzee
Hicho kigongo chako kina nguvu Sana ukishuka hapa unapanda hapa.
@@nasranassor6796 Wallah tena hajazeeka kabisa
Safa tunamkubal mno
Nu
@@hassanally6427 eek
Ongera Sana mungu Akulinde uzidi kupata Baraka ulee wake zako na watoto wako
Kweli Watanzania nimewapa shukrani kwa ukarimu mlionayo. Hawa wake wako na heshima sana. Bongezi kwa Mzee kwa kujitolea mhanga
Hujambo wewe
Mzee respect Mimi mmoja tu ananishinda duh ukistaajabu ya Musa utaona yafirauni
aisee milardayo,congole xn bro.unafanya kaz had raha kaka.huyo mzee mungu amtangulie kwakweli pamoja na familia yake.
Asante, kweli huyu kidume
Huyu komeshea wakati wengine mke mmoja tu wanajinyea magomvi yasiyoisha.🙏hongera zake na hao wanawake&na watoto
Umeonaee
Vijijini mradi mume tu. Wanawake wanajitegemea wenyewe kulima nk.
Ingekuwa mjini kwa idadi hiyo!!
Angekuwa ashafanya boxer kofia 🤣
@@neemakaluwa2089 😂😂ndio nini boxer kofia
Neema umenichekesha sana eti boxer kuwa kofia
Millard Ayo the best jonalist in Tz...I enjoy the of being your fan
Kama naww unatoka njombe gonga like twende Sawa
Nan kaona mzee anauliza wake zake wamkumbushe kwa lazima na wanajibu kwa furaha 😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂fake smile
Hahahaa
Ingkua. Ni wew unaomba kjkumbushwa ungejiskiaje hahaha
Hahahaha 😂tena kwa amani mambo polepole
Haya bwana
Pigaaa kelele kwa mbena wake jamani hawa watu sio wa nchiii mume wangu mbena wako vizuriiiii 😂😂😂😂💃💃💃shooo shoooo
Mefurahi Sana hiyo Millad Ayo ni home huko na baadhi ya watoto wa huyo Mzee nimesoma nao ,,namjua vyema !
Ni sehemu gani
Njombe vijijini ilengititu Kijijini kinaitwa
Umwanani bemdimi umnene hupami hukaye
Chambilo
Mh
Daaa huyu Mzee ni nomaa 😅😅😅
safi sana .. yaani ingebidi aanzishe mkoa wake duu kiboko
Millad Ayo! Hongera saaaana kwa kaz yako nzur!
watoto 40 wamefarikik duuu pole sana
Ayo tv mipaka yote ya dunia hatari San mzee baba 🔥🔥🔥
Trur
Ongela mzee mungu akubaliki kwahekima nabusara nafamilia kuujengea msimamo
Mhh, mzeee Ernest hongera we kiboko tembeza bakolaaaaa
Anaefata maandiko kama mm tusuppotiane
Like 👍 twende
Maandiko ndo yanataka kua na wengi iviii
Eeeeh heri yao ..hii ndo sister wives kweli 😂😂😂😂😂
Mh
Mmmmh! Hatareee sana 😀😀🙌
Ama kweli ng'ombe Azeeki maini.
Alafu wake wakiwa wa2 kwa mume,kelele kibao.hao wako 16 amani imetawala
daase namina penda sana babu yangu alikuwaga na kum 10 hiyo ninema kwamungu
Mke mmoja tu anatesa sana mpaka tunakimbia familia, ukiongeza mke wa pili bii mkubwa anakukosa sum kwanza, bii mkubwa akijua tu unamchepuko lazma hapo mtazichapa mpaka iman itakosekana ndan, ...... ....
Sasa wake 20 mpaka 16 duuuuuu !!!!! Hapo ni hatari sanaaaaaa, Hongera kwa mzeeeee ......
Suleiman of bongo😄😄 félicitation papa!
Wanawake wanazaa kama kawaida
Mpaka zamu yangu ifike nomesota, we mzee ni nomaaa, hii ndo zaeni mkaongezeke muijaze nchi
Kweli hapa ni kuzaa tu sio mapenzi!
Zamu ya nn
@@peterchipasula1527 zam ya tendo la ndoa
@@jescajulius8023 dah hata silijui ..ndo lipi hilo
@@jescajulius8023 nakwambia mhhh
Huyo anayesomea upd nadhani atapata changamoto za kuhubiri ndoa ya mke mmoja na mume mmoja bila shaka 😂😂😂😂
Mungu hakukuzie
Kwa utaratibu wa kanisa katoliki awezi kupewa upadri
@@josephmilinga3909 Mh hivi ni kweli? Sasa kama ni hivyo kwanini alipokelewa kusomea huko? Maana asije akasoma na kukataliwa baadae itamuumuza sana.
Aisee tengeneza documentary ya kingereza hii issue
Hongera millad
Ili iweje!!
Documentary ya kiingereza itauza zaidi kimataifa 100%
Kwan hao waingereza huwa wanatengeneza documentary za kiswahili??? micah nasake
Ingekuwa bongo moto angeuona wangepigana
CONGRATULATIONS babu💪💪💪💪kama wazee waeza kukaa na wake ivi ndunia ingekua poa
We we una pepo Mzee mungu akufunguwe we we nimwalibifu aikosi we muganga wakienyeji
This man is strong enough I can imagine How he can manage to marry all this women ,God help him
Mungu am Jaalie nahiyo family yake
Huyu ndo baharia sasa hongera sana mzee na Allah akutunze na family yako
kabsa baharia anakula mizizi sio bure
Mmmhu kweli wanawake tuko wengi wanaume ni wachache hii familia ni kijiji tayari.Wanawake wamemzimikia Mzee.
😄😄, Elizabeth Mwandu
Yaani mpaka mtu na dada ake anazimikia shemeji yake
@@martalositotiktok6590 yaani we acha tu ukienda kumsalimia dada haurudi nyumbani unaolewa na kuolewa🤔🤔😁😁😁
Uyo baba anamwitaji Yesu Kristo kwa haraka sana.Kweli hili ni jambo la kushangaza.
...this is truly amazing.Siri kubwa kwai familia wanadumisha AMANI,UPENDO na UAMINIFU la sivyo wangetengana na kusababisha kusambaratika("congratulations to AYO TV")HONGERA KAKA MILLARD,big respect to the Mzee and all his Wifes+kids")Mungu aipenguvu familia hii.I'm witching from Africa in Kenya at Kilifi county")
Apo ni sawa ntafikilia iyo kitu
Msiopendezwa kama Mimi likeni APA
Jinyonge
Lamba lolo
Usiyependezwa na nn tena? Unabaki na mke mmoja ni mama yako huyo? Upuuzi huo
Looo, kuolewa mke wa pili cwezi kukubali, sembuse niolewe mke wa 16😱😱😱😱
Lafu uyo wa 16 anamiaka 28 😂😂😂
Yaan jmn cwezi sithubutu uwiii ngifa maee!!!
Hata kwa dawa siwez kuolewa😆😆😆
😂😂😂😂🙆🙆
😂😂😂😂
Mzee mfano bora kuna wengine wakiwa na mtt 1 wanakimbia familia zao tujifunze
🤣🤣🤣 Mimi ninawawili kablawapili hajazaliwa nimetishiwa talaka
@@latifamkulazi8378 hahahahahahahahaaa🤣🤣🤣🤣🤣 njoo nikuoe mimi nimeshaiga huo mfano sasa hv nanunua viwanja kwa ajili ya kuwa na familia km hio
@@officialjclever9879 nunuatu vitakufaa baadae😃😃
@@latifamkulazi8378 🤣😂😂🤣🤣😂
@@latifamkulazi8378 inabidi tukakuongeze kwa mzee uwe wa 17
Dah mzee noma Sana...wake 16 na watoto zaidi ya 100....
Unaweza dhani tupo enzi za 1900
Huyu mzee siyo mzima. Ana hitaji wokovu,neema ya Mungu imfikie afunguliewe. Ana mapepo kwa kifupi. Sijawah kucoment ila hii imenilazimu. Awaone watumishi wa Mungu wamwombee
Kuna vijiji vingine elimu ya maisha ni muhimu sana.Nyerere alisema tuna maadui watatu,Maradhi,umaskini na ujinga.Hapa hakuna sifa yoyote,hapa kuna ujinga.Kuoa mke na wadogo zake!!wanawake kuja kujilundika mahali pamoja.
Usi tuletee westen life hapa mpumbavu mkubwa wewe asili ya mwafrica ni kuzaaaa mme kuwa mabwege na ulimwengu wa android
Waa ngojea niongeze kiti changu karibu maana hii kali ya mwaka
NOMA SANA
Hahahaha kwa kweli!
Waaa ndugu saba kwa mume moja wooii dunia simama nishuke waa mbavu zangu Leo hoii taabani
@@gracelauzi9746 njoo na wewe nikuoe
Mzee anakana tu Ila si bure Kuna kitu kawawekea ndiyo maana wamama wametulia.wabena shikamoni...
Hongere mzee uko n nguvu kwli wake kumi n 16 c mchezo waitaji tuzo
Huu ni umaskini wa hali ya juu, pole mzee utakufa bila kufurahia maisha, mke moja maisha Bora. Heko wakenya wenzangu
Kapoteza watoto 70. But still happy.
Dah mungu amlinde magufuli amepewa baraka Kama zote mungu amsimamie kila iitwapo leo
Big millad Ayo......I appreciate your effort to give as updates, broo hii ni kali sana 👏👏👏👏👏
instaBlaster...
Jamani jamani uwiiii nimeshindwa hata neno la kusema
Sema mashaa ALLAH
Mie ni hilo tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera baba we nikidume na na wanaume muige mwenzenu analeya watoto 100 kunawengine wameshindwa hata moja tu sijuyi mmefeli wapi
Eh Mzee Hongera umejaliwa hatariii😂😂😂
Nimependa Sana Hapo Kwa MAPADRE NA SISTER NA NURSE
Sijawai kusikia hata kuona before 🙌👍🔥❤️
Mzee okoka, Yesu anakupenda, baki na mke wa ujana wako, wengine warudi makwao. Pia wamama nyie Yesu anawahitani, huo sio mpango wa Mungu.
Yaan kuna mwingine anaumwa na baba hajui halfu huyu baba apewe alimu aacha wake zingine waolewe tuu nao wamependeza kisa wanajinunulia vitu wenyewe na so yeye anawahudumia
Uzinzi tu ulimsumbua.hawa watoto hata kama Wana afya msongo wa mawazo lzm uwapate ,sisi tupo 25 mama tofauti inatuumiza sana kiukweli . Hana mfano wa kuigwa Wala kupongezwa uhalisia wa ndani ya familia hii hatuujui labda ni maumivu makali. Zaidi hapa watoto lzm uwe kama mtoto wa Bata kujifanyia mambo yako na MUNGU akusaidie na akuonee huruma. Zaa watoto pia wape haki za msingi na kulea c kuwalisha tu,mtoto anahitaji kuongea na baba kusikilizwa ,kushauriwa ,mkiwa Kijiji haki hizi utazipata mtoto? Kukosa kumtii MUNGU ni kuitia familia yako katika matatizo ,tuache tamaa za mwili na maandiko ya MUNGU tusiyatumie vibaya( 1)usiijaze Dunia kwa kuwatesa watoto(2)biblia inaonyesha madhara aliyoyapata suleman baada ya kuoa wake wengi ktk biblia 1wafalme11.
Matatizo ya walokole ndo haya wanakalilishwa maandiko
Alfu wee Ayo nakupendanga sana sauti mzuri sana from kenya
Anawatunza vizuri, wamevaa vizuri, wanapendeza, familia inapendeza sana.
Imagine we ndo wa kwanza😂😂😂😂anaolewa wa pili unashangaa wa tatu unaumia..
Wa nne unajisi labda ndo mwisho...mara wa tano huyo...itabidi uanze kuhudhuria tu kwenye harusi za mmeo🤣🤣🤣🤣
Hahaaa
😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisaaaa
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Maandiko😂😂😂...nendeni mkazaliane🙏😅
Masha Allah Akubarik mzee wetu pa1 na familia yako..
Wanawake wenzangu hongereni Sana kwa upendo huo kumpenda mzee wetu
Hatari sana zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi nimeipenda hii sana
Mashallaah mwenyz mung akujalie maish marefu uzid kusaidia family yk yn mzee n mchesh mkarim family yk anaihudumia family yk vzr mt n mke wk mmoj anashindw kuhudumia vzr asnt sn Millard kwakutusogezea taarif
I like this brother,, milady 💪💪💪
Mzee cyo mvivu wengine mmoja tu kajasho kanatoka
Magufur oyeeeeeeeeeee ❤️
Kivip sasa
Wanaume wa dar hii awawezi kabsa 😁😁😁😁
Ww mirad mpakahapo nimekukubari. Sana hasa mazingila unayo fika yanahitaji uwe na nia unacho kifanya hongera sana
Uyu mwamba kabisa wake 16 hatari kweli 😂😂😂😂😂 💪💪💪🤚🤚🤚