Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
Ee mungu musaidie muja wako.. alafu wewe Boss mungu anakuona yaan mtuu kanusurika kufa alafu bado unamufungulia kesi mtu jamani hii Dunia sio poa kabisa...
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
Jamani hebu tumusaidie huyu kaka 😢 kwa michango au chochote kama utakavyogushwa Ni wakak wachache sana wanaoweza kujituma na kufanya kazi bali walio wengi ni vibaka,wezi kama haoo alikokutana nao..
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
Nimewaza kama weww
Nimeumia jamani kama kaka yangu@@mwajabumsami6388
Kweli kabisa
Kweli inaliza jmn
Kweli kabisa
Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲
Amiin
😂😂😂
Nimeinjoy Sana
Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah
Nguvu ya Yesu kristo hiyo
@@ayoubmtumishi50Yesu mwenyewe hakujitetea akauliwa kashindwa na huyo dogo kapambania uhai wake yesu kabaki jina tu ivyo wala si shujaa 😅😅
@@ayoubmtumishi50acha uwongo watu siyo wajinga 😂😂😂
@@EddahBure-te7ftUmechoma 😂😂😂😂
@@Munayya-g2p 😂😂
Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa
Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?
@@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.
😅😅😅😅
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
Hakika at me ni bodaboda ase hakuna anaependa hicho kitokee
Huyu apewe kazi ya jeshi
😂😂 kwa sabab gan sasa kumwaga mchanga machon au
Ndio utaki au?au we ndio mtoa ajira
Et kama majaliwa😂
@@MauaDumba sijui
Ni shujaa na bado mdogo sana🎉
Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
@@HusnaMtitiko-yt4ru Duuh 😢 MashaAllah nimejifunza
JE DANGOTE
Safi Sana bro
duh huyu dogoni noma❤
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
Hili ni wazi zuri sana
Kabisa
Kweli kabisa 😢
Kuna watu hawana huruma jamani, yani mkaka wawatu kidogo athlete roho na majelaha hv lakn bado tajili anamdai😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Atoe namba
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake
Yaani Mungu amlinde mdogo wangu
Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura
Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana
Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali
Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama
Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
Aslay wa bongo wenyew waoga
😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata
Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu
Ingefaa mbona Awe kama Majaliwa...
Serekali Ione pia
siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema
Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako
Dogo... Umri unaruhusu... Asahidiwe tunamtaka jeshini huyu... Tena kitengo cha komando
Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai
Hapo sasa
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
InshaAllah
Kabisa
Kabisaaa
Allhamdulillah mungu aongeze ulizi kwako inshałah yatakwisha
Naam Mungu akiruhusu ushindi unashinda.hata Goliati alikuwa jitu kubwa na akashindwa.
Uwe makini kwa atakae kupigia maana wabaya wako wamezipata namba zako
Kaka yangu usiache kwenda kumshukuru Mungu Mungu anakupenda sana sana
Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
Ila tajir kwanini huna utu
Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉
😂😂😂kavuta pua ikapasuka. Asee huyu ni zaidi ya jambazi
@@naomikatharinaandrewmnkai6760ushaona pua ina achana aisee 😅😅 sio poa ana mbinu za kivita huyu janja
@@frezo8177 apewe kazi dogo😂
@@frezo8177😅😅hafai kabisaa
@@frezo8177 mpeni nafasi ya jeshi jaman
Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu
Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti
Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏
Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana
Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako
Jambazi likasema "Unaniua"😅 kumbe yakizidiwa hua yanaleta huruma 😂
😂😂😂 wanatia huruma wakati wa kufa
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto
Uanze kwenda Kansan Maana ni Mungu aliye kusaidiya
Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,
Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza
Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada
Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.
Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir
Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢
Kweli kabisa, Mungu amlinde.
@@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini
@@Sweetnaah Umeona ee!
Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii
Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii
huyu kamanda sana apewe kaz jeshin
kabisa kamuua pekeake ahahahahaha
Jeshini wanasema ajira hamnaaa😢
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29 16:29 16:29
Huyo tajirii aache uboya, je huyo dogo angekufa
Si angejifanya anaskitikia marehemu kuliko bike.
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29
Kijana anajua kujieleza ~maa shaa allah..mngu akujaalie afya njema..wezi sina hamu nao.
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29
Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29
Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29
Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona
We tajili hunahuluma kbsaa je! Angepuoteza Maisha ungedai nini unaona. Kbsa kangolewa Jimi bilaganzi ww unadai chombo chako hunahulumaa.
Uyu mchunga ngo’ombe nae ngo’mbe tu yaaaa😢🙆♂️pole kk
Watu siwazuri😅🎉 ❤🎉😂😮😅😊
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay
Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
Mungu akuzidishie kk kwa uzalendo
Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay
Pole sana dogo,mwenye piki piki awe muungwana,hii ni kama ajali.
Ukibahatika kumlipa usifanye nae kaxi huyo bosi, hana utu
Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu
Au huyo boss wake ndie adui yake.kwanini kijana amevamiwa Halafu kanyang,'anywa pikipiki halafu bosi haelewi hjyo ni haki au ni sawa?
Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu
Kama alichangiwa pesa hadi kuachiwadogo aliyekuwa ameonewa na serilali, huyu pia asaidiwe.
Lakini mwenye pikipiki lazima achunguzwe
hongera Mungu amekuponya
Tuletee mwendelezo wa sister
Ee mungu musaidie muja wako.. alafu wewe Boss mungu anakuona yaan mtuu kanusurika kufa alafu bado unamufungulia kesi mtu jamani hii Dunia sio poa kabisa...
Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana
Huyo boss wa pkpk awe nautu amuache tu hiyo dogo
Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢
Ni MUNGU amemtetea,Ila tajiti kuwa mpole watanzania tunaupendo tutamchangia shujaa
Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki
Jamani milyad hayo waaambie wanawafunga macho maadui ni weng
Mungu amekuokoa mwanangu pole sana
Huyu mwamba akir yake kubwa sana ila boss nae achunguzwe
Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.
pikipiki inabima boss huyu afanye utrtibu wa bima imlipe,
Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu
Mbona Tanzania Ina Tisha jamani haya mambo yanatisha sana😢😢😢
Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
Kijana Shujaa sanaa big up
Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea
Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,
Bahati buku alisema, mtu akikupia mawe we yaokote, ipo siku yatakusaidia kujengea msingi,, Safi dogo hatimae mshindi, pole Sana kijana
Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤
Uyo tajili sio mtu usichukue Tena mkataba kwqke
Pole Sana Dogo
Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢
Hata kama akipata pikipiki nyingine. ASIMLIPE HUYO PIKIPIKI.
Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.
Jamani hebu tumusaidie huyu kaka 😢 kwa michango au chochote kama utakavyogushwa
Ni wakak wachache sana wanaoweza kujituma na kufanya kazi bali walio wengi ni vibaka,wezi kama haoo alikokutana nao..
Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda
Ulifanya uzembe na ww ,, ungechomoa ufunguo ukaondoka mapema,, na huyo mchunga ng'ombe ulishindwa kuomba msaada
Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu
Apewe ajira ya kudumu serikalin namaanisha Jeshi la kulinda na kujenga taifa JWTZ
Polesana kaka daaaa!!!!!!
Juhudi zote hizo dogo ulizofanya mwenye bodaboda alitakiwa akusamehe bure
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
@@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno
@@FatimaAli-of4gh😢
kamateni huyo boss
Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake
Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha