DOGO WA BODA ASHANGAZA WATU APAMBANA NA WEZI PORINI, ALITOA PANGA KUNIUA NIKAMUWEKEA MCHANGA MACHONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 903

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 3 месяца назад +79

    Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 месяца назад

      Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌

  • @viviankihiyo1076
    @viviankihiyo1076 3 месяца назад +171

    Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.

  • @SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin
    @SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin 3 месяца назад +35

    Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲

  • @HasMarooL.T.M
    @HasMarooL.T.M 3 месяца назад +62

    😂😂😂
    Nimeinjoy Sana
    Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 2 месяца назад

      Nguvu ya Yesu kristo hiyo

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 2 месяца назад +1

      ​@@ayoubmtumishi50Yesu mwenyewe hakujitetea akauliwa kashindwa na huyo dogo kapambania uhai wake yesu kabaki jina tu ivyo wala si shujaa 😅😅

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p 2 месяца назад

      ​@@ayoubmtumishi50acha uwongo watu siyo wajinga 😂😂😂

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p 2 месяца назад

      ​@@EddahBure-te7ftUmechoma 😂😂😂😂

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Месяц назад

      @@Munayya-g2p 😂😂

  • @ConfusedAlien-xk3sh
    @ConfusedAlien-xk3sh 3 месяца назад +70

    Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa

    • @MfiriFulgensi
      @MfiriFulgensi 2 месяца назад

      Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 3 месяца назад +202

    Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 3 месяца назад +13

      Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?

    • @PendoMatemba-ql1ng
      @PendoMatemba-ql1ng 3 месяца назад

      @@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.

    • @kibasamohamedi8029
      @kibasamohamedi8029 3 месяца назад +3

      😅😅😅😅

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 3 месяца назад

      ​@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo

    • @BahatiHagichan
      @BahatiHagichan 3 месяца назад +6

      Hakika at me ni bodaboda ase hakuna anaependa hicho kitokee

  • @vero57
    @vero57 3 месяца назад +91

    Huyu apewe kazi ya jeshi

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 месяца назад +158

    Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.

    • @HusnaMtitiko-yt4ru
      @HusnaMtitiko-yt4ru 3 месяца назад +9

      Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 3 месяца назад +4

      ​@@HusnaMtitiko-yt4ru Duuh 😢 MashaAllah nimejifunza

    • @MwanadiaSaid
      @MwanadiaSaid 3 месяца назад +1

      JE DANGOTE

    • @MonicaSumbuka-c4u
      @MonicaSumbuka-c4u 3 месяца назад +3

      Safi Sana bro

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 3 месяца назад +3

      duh huyu dogoni noma❤

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o 3 месяца назад +52

    Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..

    • @ahmedsaid5519
      @ahmedsaid5519 2 месяца назад +1

      Hili ni wazi zuri sana

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 2 месяца назад +1

      Kabisa

    • @FaridaKizenga
      @FaridaKizenga 2 месяца назад +1

      Kweli kabisa 😢

    • @FaridaKizenga
      @FaridaKizenga 2 месяца назад +4

      Kuna watu hawana huruma jamani, yani mkaka wawatu kidogo athlete roho na majelaha hv lakn bado tajili anamdai😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @DeborahManang
      @DeborahManang 2 месяца назад +3

      Atoe namba

  • @JaliaMuro
    @JaliaMuro 3 месяца назад +98

    Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake

    • @ShazmaRamadhan-w4o
      @ShazmaRamadhan-w4o 3 месяца назад +6

      Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 3 месяца назад +3

      Yaani Mungu amlinde mdogo wangu

    • @shuwehaharuna6309
      @shuwehaharuna6309 3 месяца назад

      Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 2 месяца назад +4

      Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 2 месяца назад

      Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 3 месяца назад +34

    Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama

  • @LaurenciaKitauli-or8rr
    @LaurenciaKitauli-or8rr 3 месяца назад +37

    Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,

    • @MsNajma-e6e
      @MsNajma-e6e 3 месяца назад +5

      Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 3 месяца назад

      Aslay wa bongo wenyew waoga

  • @VictoriaMefya
    @VictoriaMefya 3 месяца назад +7

    😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation 3 месяца назад +14

    Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 3 месяца назад +10

    siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema

  • @MaryKalunde
    @MaryKalunde 3 месяца назад +16

    Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 2 месяца назад +2

    Dogo... Umri unaruhusu... Asahidiwe tunamtaka jeshini huyu... Tena kitengo cha komando

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 3 месяца назад +9

    Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 3 месяца назад +53

    Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 3 месяца назад +7

    Uwe makini kwa atakae kupigia maana wabaya wako wamezipata namba zako

  • @Jamesmchinaa
    @Jamesmchinaa 2 месяца назад +9

    Kaka yangu usiache kwenda kumshukuru Mungu Mungu anakupenda sana sana

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 3 месяца назад +11

    Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊

  • @WilliamMarai-o8c
    @WilliamMarai-o8c 3 месяца назад +16

    Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 3 месяца назад +62

    Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉

  • @NyotaBalolane.
    @NyotaBalolane. 3 месяца назад +5

    Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu

  • @Juke995
    @Juke995 3 месяца назад +5

    Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha 3 месяца назад +21

    Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏

  • @JoycemsangiJoyce-go9su
    @JoycemsangiJoyce-go9su 3 месяца назад +25

    Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana

  • @STELLAMARCELY
    @STELLAMARCELY 3 месяца назад +13

    Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar 2 месяца назад +3

    Jambazi likasema "Unaniua"😅 kumbe yakizidiwa hua yanaleta huruma 😂

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Месяц назад

      😂😂😂 wanatia huruma wakati wa kufa

  • @godfreyelibarikilaizer6178
    @godfreyelibarikilaizer6178 3 месяца назад +11

    Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole

  • @hildegundembilinyi9042
    @hildegundembilinyi9042 2 месяца назад +5

    Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 2 месяца назад +5

    Uanze kwenda Kansan Maana ni Mungu aliye kusaidiya

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад +8

    Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,

  • @ZawadiSaid-x6f
    @ZawadiSaid-x6f 2 месяца назад +3

    Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 месяца назад +14

    Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada

  • @SirajRash
    @SirajRash 3 месяца назад +25

    Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 3 месяца назад +1

      Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir

  • @Sweetnaah
    @Sweetnaah 3 месяца назад +8

    Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢

    • @StellaWaillu
      @StellaWaillu 3 месяца назад +2

      Kweli kabisa, Mungu amlinde.

    • @Sweetnaah
      @Sweetnaah 3 месяца назад +3

      @@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini

    • @StellaWaillu
      @StellaWaillu 3 месяца назад +1

      @@Sweetnaah Umeona ee!

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 3 месяца назад +1

      Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 3 месяца назад

      Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii

  • @isaselogistics7266
    @isaselogistics7266 3 месяца назад +24

    huyu kamanda sana apewe kaz jeshin

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29 16:29 16:29

  • @star100genius3
    @star100genius3 2 месяца назад +3

    Huyo tajirii aache uboya, je huyo dogo angekufa
    Si angejifanya anaskitikia marehemu kuliko bike.

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o 3 месяца назад +5

    Kijana anajua kujieleza ~maa shaa allah..mngu akujaalie afya njema..wezi sina hamu nao.

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 3 месяца назад +8

    Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +6

    Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 3 месяца назад +5

    Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay 16:29 16:29

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 3 месяца назад +8

    Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona

  • @NeemaDamas-c3q
    @NeemaDamas-c3q 2 месяца назад +2

    We tajili hunahuluma kbsaa je! Angepuoteza Maisha ungedai nini unaona. Kbsa kangolewa Jimi bilaganzi ww unadai chombo chako hunahulumaa.

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 2 месяца назад +3

    Uyu mchunga ngo’ombe nae ngo’mbe tu yaaaa😢🙆‍♂️pole kk

    • @JuliasMalegesi
      @JuliasMalegesi Месяц назад

      Watu siwazuri😅🎉 ❤🎉😂😮😅😊

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay

  • @KalebyHennry-ux7fj
    @KalebyHennry-ux7fj 2 месяца назад +3

    Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay

  • @CleverMsongole
    @CleverMsongole 2 месяца назад +9

    Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 2 месяца назад +1

      Mungu akuzidishie kk kwa uzalendo

  • @KhatijaKhanom-z6o
    @KhatijaKhanom-z6o 2 месяца назад

    Yani.hadi.machozi.yamenitoka.jamani.mwanangu.umepambana.sana.jamani.tuogeze.jicho.latatu.viogozi.mkowapi.tumpejeshi.nahuyu.tajir.hAna.huruma.mungu.atashulika.nay

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 2 месяца назад +3

    Pole sana dogo,mwenye piki piki awe muungwana,hii ni kama ajali.

  • @Eudiampanda
    @Eudiampanda 2 месяца назад +2

    Ukibahatika kumlipa usifanye nae kaxi huyo bosi, hana utu

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 3 месяца назад +5

    Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu

  • @RahabuJoseph-sp5dz
    @RahabuJoseph-sp5dz 2 месяца назад +2

    Au huyo boss wake ndie adui yake.kwanini kijana amevamiwa Halafu kanyang,'anywa pikipiki halafu bosi haelewi hjyo ni haki au ni sawa?

  • @MageshotofuShotofufande
    @MageshotofuShotofufande 2 месяца назад +4

    Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 2 месяца назад +2

    Kama alichangiwa pesa hadi kuachiwadogo aliyekuwa ameonewa na serilali, huyu pia asaidiwe.
    Lakini mwenye pikipiki lazima achunguzwe

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 3 месяца назад +4

    hongera Mungu amekuponya

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 месяца назад

      Tuletee mwendelezo wa sister

  • @harymo173
    @harymo173 2 месяца назад +2

    Ee mungu musaidie muja wako.. alafu wewe Boss mungu anakuona yaan mtuu kanusurika kufa alafu bado unamufungulia kesi mtu jamani hii Dunia sio poa kabisa...

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 месяца назад +3

    Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana

  • @eliaisack156
    @eliaisack156 2 месяца назад +2

    Huyo boss wa pkpk awe nautu amuache tu hiyo dogo

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 2 месяца назад +3

    Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 месяца назад +1

    Ni MUNGU amemtetea,Ila tajiti kuwa mpole watanzania tunaupendo tutamchangia shujaa

  • @SiaCollins
    @SiaCollins 3 месяца назад +6

    Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki

  • @NeemaKimario-ui3ir
    @NeemaKimario-ui3ir 2 месяца назад +2

    Jamani milyad hayo waaambie wanawafunga macho maadui ni weng

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 3 месяца назад +4

    Mungu amekuokoa mwanangu pole sana

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy 2 месяца назад +2

    Huyu mwamba akir yake kubwa sana ila boss nae achunguzwe

  • @regybahati5986
    @regybahati5986 2 месяца назад +3

    Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 2 месяца назад +1

    pikipiki inabima boss huyu afanye utrtibu wa bima imlipe,

  • @RahelMbise
    @RahelMbise 2 месяца назад +4

    Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 2 месяца назад +2

    Mbona Tanzania Ina Tisha jamani haya mambo yanatisha sana😢😢😢

  • @ndagabwenekusaya223
    @ndagabwenekusaya223 3 месяца назад +4

    Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja

  • @valleliahkitundu
    @valleliahkitundu 2 месяца назад +2

    Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid

  • @WinnieMapunda
    @WinnieMapunda 2 месяца назад +3

    Kijana Shujaa sanaa big up

  • @HarunaFursana
    @HarunaFursana 2 месяца назад +2

    Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 3 месяца назад +3

    Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 24 дня назад +1

    Bahati buku alisema, mtu akikupia mawe we yaokote, ipo siku yatakusaidia kujengea msingi,, Safi dogo hatimae mshindi, pole Sana kijana

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 месяца назад +14

    Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤

  • @eddybrowntz2951
    @eddybrowntz2951 2 месяца назад

    Uyo tajili sio mtu usichukue Tena mkataba kwqke

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 3 месяца назад +3

    Pole Sana Dogo
    Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢

  • @prefectalex9397
    @prefectalex9397 2 месяца назад

    Hata kama akipata pikipiki nyingine. ASIMLIPE HUYO PIKIPIKI.

  • @JJKitomary
    @JJKitomary 3 месяца назад +4

    Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.

  • @harymo173
    @harymo173 2 месяца назад +1

    Jamani hebu tumusaidie huyu kaka 😢 kwa michango au chochote kama utakavyogushwa
    Ni wakak wachache sana wanaoweza kujituma na kufanya kazi bali walio wengi ni vibaka,wezi kama haoo alikokutana nao..

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 месяца назад +3

    Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 3 месяца назад

    Ulifanya uzembe na ww ,, ungechomoa ufunguo ukaondoka mapema,, na huyo mchunga ng'ombe ulishindwa kuomba msaada

  • @azzaalmalki41
    @azzaalmalki41 3 месяца назад +4

    Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu

  • @thebeatshouse
    @thebeatshouse 2 месяца назад +1

    Apewe ajira ya kudumu serikalin namaanisha Jeshi la kulinda na kujenga taifa JWTZ

  • @ntihaboseadonis8746
    @ntihaboseadonis8746 2 месяца назад +3

    Polesana kaka daaaa!!!!!!

  • @ellensamson6787
    @ellensamson6787 13 дней назад

    Juhudi zote hizo dogo ulizofanya mwenye bodaboda alitakiwa akusamehe bure

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 3 месяца назад +15

    Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад +4

      Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 3 месяца назад +1

      @@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno

    • @JohaDomi-bg5yh
      @JohaDomi-bg5yh 3 месяца назад

      ​@@FatimaAli-of4gh😢

  • @Lg4343
    @Lg4343 2 месяца назад +2

    kamateni huyo boss

  • @MozesPaul-h6i
    @MozesPaul-h6i 3 месяца назад +3

    Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake

  • @julianaouma9230
    @julianaouma9230 2 месяца назад +2

    Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha