Clam VEVO Mungu Akujalie wepesi katika njia zako Kwa kukirudisha kipaji kama cha mwakatobe,mwangangi ni muigizaji anataman sana kuigiza n wew one love from kenya
Clamo seniors ya mwisho mekosea kama aliona alipata wap ujasiri wa kumfata muhiwaji ata ktk jamii ya kawaida tu haiwezekani ungeonyesha tu ameona na anakimbia kukimbilia kijijini kuwambia wanaimaya na nyoka kashajuwa kuna mtu kaona kuliko ulivyotufanyia hope marekebisho mazuri yatakuja next video good job kaka endeleyaaaaaa aiyeme wa bongo 🎉🎉🎉🎉
Upo sahihi rasamtv mm mwenyewe nimeshangaa weee katika hali ya kawaida haiwezekan kwasabab utakuwaa na hofu yaan hutowezaa Aya ndo mamb ya ku comment sio kuomba omba likes nafikir wamelipokea na kulifanyia kazi🎉
Watu mnaokuja kukoment mje taratibu kila mtu ana nafasi yake afu toa maoni ya movie usiombe likes kwangu mimi sio michongo yangu nishaaachaga likes nying kwa clam 🩸
Movie nzuli sana kazi nzuli teem yote ya clam but shida tunaomba muweke maandishi ya kingereza kwa chini apo ili kubolesha movie yenu.kimataifa wengi wanaipenda tatzo lugha inawashinda wanabakia kuangalia picha nakutusumbua tuwatafsilie jambo ambalo mngelifanya likawa poa zaidi
Sasa huyu mwanamke aliyeshuhudia mauwaji ya sijui tembo pia yeye yamemkuta 😂😂tuacheni viherehere jamani kwani angeenda kusema kimya kimya bila kumtaarifu mwenye angefanywa nn ,ila Acha tusubiri yajayo,, clam unaweza mungu akuzidishie ufike mbali inshallah nakupenda buree❤❤❤❤❤❤
Huyo mwanadada amekosea kumchana jamaa kwamba ndiye nyoka anayewagonga watu na kuwaua pale kijijini. Kosa hilo litamgharimu hata yeye anaweza akamgonga na kumuua ili siri isifichuke.
Sema wanangu hii kit ni nomah san . Afu nan kaon mwqkatobe ndo anaongoz kul kuku muda wote mamaae🙌🙌🙌☘️
Clam VEVO Mungu Akujalie wepesi katika njia zako Kwa kukirudisha kipaji kama cha mwakatobe,mwangangi ni muigizaji anataman sana kuigiza n wew one love from kenya
❤❤
Aliegundua kua mume wa kim ni nyoka gonga like hapa twende sawa
Mie niligundua tangu episode ya13
Nilizani ni Mimi ndo najua et
Mbona iyo nimejua md sana toka episode ya 13
Hiyo tumeijua kitambo watu wanaumwa na nyok kila wakimtembelea pole kwa kuchelewa kujua
Mbn tulikuwa tunajuana toka mwanzo
mm Sito kuwa wa mwisho ,naomba like zangu
Hak weeh kipara waniker n huo umbea umbea wako 😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza kutokea South Africa🇿🇦 Johnsburg naomba like zangu
I ❤from Turkey 🇹🇷 nampenda director wa vevo jmn dah ✍🏼
dakika jamnii zinazidi ndgoo tunaomba muongeze japo kdg 🙏❤️
Clam vevo uko juu zaidi mdau wetu illa baba iyo move ipeni ata dk 3o bc mnatuboa mda mdogo zidisha ufanisi
DIRECTOR KAKOSO mda mdogo sana
Kipara kweli khamsoswi dah!! Anazngua huyu
Wakwanza leo pitieni kwangu nimepost pia. Jipatie hadithi na simulizi tamu tamu
Mimi ni comedian 💪 kutoka kongo drc 🇨🇩 please follow Me 🙏
Tuma Bahada ya siku mbili
❤
Team SIYO MICHONGO YANGU NISHAACHAGA,tujuane kwa likes za kutosha😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Yaan huyu jamaa bwana😂😂😂😂
huyu jamaa anapenda kuwazuga wenzake sana
Si michongo yangu pia😂
😂😂😂😂😂😂
Siyo mchongo wng😂😂😂 like zang from drc kivu❤️🇨🇩🇨🇩
Jamani wakwanza mimi naombeni like 👍 jmn jmn
Clamo seniors ya mwisho mekosea kama aliona alipata wap ujasiri wa kumfata muhiwaji ata ktk jamii ya kawaida tu haiwezekani ungeonyesha tu ameona na anakimbia kukimbilia kijijini kuwambia wanaimaya na nyoka kashajuwa kuna mtu kaona kuliko ulivyotufanyia hope marekebisho mazuri yatakuja next video good job kaka endeleyaaaaaa aiyeme wa bongo 🎉🎉🎉🎉
Sure...
Upo sahihi rasamtv mm mwenyewe nimeshangaa weee katika hali ya kawaida haiwezekan kwasabab utakuwaa na hofu yaan hutowezaa
Aya ndo mamb ya ku comment sio kuomba omba likes nafikir wamelipokea na kulifanyia kazi🎉
kwa jinsi wewe unavyotaka ichezwe, basi ingeishia epsods tatu tu kisa kikate chote...😂😂😂
Mm wakenya hapa no 1 254
MIMi ni comedian 💪 kutoka kongo drc 🇨🇩 please follow Me 🙏
Sema nin unajua sana kaka clam vevo kama mnamkubali gonga like hapa
Vevo ongeza dakika za série Yako iko fupi sana
Watu mnaokuja kukoment mje taratibu kila mtu ana nafasi yake afu toa maoni ya movie usiombe likes kwangu mimi sio michongo yangu nishaaachaga likes nying kwa clam 🩸
Jamaa hawa wanajua sana
Wa kwanza kutoka 254 wapi likes zangu 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
jaman sim yangu ilikata chaji kwaiyo leo wamwisho kuangalia naomba like zenu
ILA ZINGAA 😂😂😂😂
Wangap ... Team chili... Mganga wa .. waaaaacha
Wanaopenda michongo y'a kipala tujuane
Wa kwanzaa gonga like zote hapa angalau 1000k iv 🎉😂😂
Movie nzuli sana kazi nzuli teem yote ya clam but shida tunaomba muweke maandishi ya kingereza kwa chini apo ili kubolesha movie yenu.kimataifa wengi wanaipenda tatzo lugha inawashinda wanabakia kuangalia picha nakutusumbua tuwatafsilie jambo ambalo mngelifanya likawa poa zaidi
Sasa huyu mwanamke aliyeshuhudia mauwaji ya sijui tembo pia yeye yamemkuta 😂😂tuacheni viherehere jamani kwani angeenda kusema kimya kimya bila kumtaarifu mwenye angefanywa nn ,ila Acha tusubiri yajayo,, clam unaweza mungu akuzidishie ufike mbali inshallah nakupenda buree❤❤❤❤❤❤
mtu unamjua kuwa nyoka unaujasili gani wa kumfata ? vitu vingin haviwezekan hata kweny ukweli
Kaz nzur
Leo na mimi nimekuwa wa pilii
Jaman mie ndo naiona nipeni like zangu
Wa kwanza leo jamani naomba like 10 tu
Kazi nzur Sana inafundisha n kufurahisha hongereni watunz mtafika mbali
Best series❤❤
Good clam Vevo nasri caimo
Tunaomkubali mwasi tujuane❤❤❤
Sio mchongo wangu nilishaachaga😂😂😂😂😂alafu waenda kusema haki kipara😂😂😂
Dakika chache sana na tunasubiri sana, angalau zfike 20...kaz nzuri
Clam yuko vizuri sana watching from USA Illinois Chicago
Uyu kipara ana mdomo sana...nikieza mkapata hawezi kosa Kofi mbili ama tatu zangu
Nyimbo iyo jaman naipenda sana wangap wanaikubali gongen like hapa
Good job vevo❤❤❤❤❤
kipala wewe unaumbeya sana wakiluwa wakakuuwa😥😥😥😥
Mwakatobe mpaka akirudi home kanenepa Maana anakazi ya Kila kuku mwanzo mwisho
Wakwanza kutoka saudia nipe like zangu😂😂
Kiparaaaaaaaaaaaaaaa sio michongo yangu kwa malkia 😂😂😂😂
Kipala umenishinda tabia mh hadi malikia umemchoma😂
vevo ume2sha maana iyos2eili yakuji che2uwa inakupende zeyasana 2uu
Much love guys
Kipara umenishinda tabia khaaa hupoi hauboi😂😂😂😂
Kipara acha tabia hio bwaaaana🤭🤣🤣🤣
From 🇨🇩✊🏿✌️
Kipara wa moto kwa umbea kama kimbunga hidaya 😂😂😂😂 fridge lake bovu haligandishi
Ukiw na Rafk mmbea kama.kipara wallah hutoboi😂
Mwanangu big mindevu mtoto wa kinondoni biafra😂😂😂
Boss clamu Vevo ❤❤❤
Kweli KIPARA hachagui wa KUMPA UMBEYA 🤣🤣🤣🤣
Sema Kwenye Snake Boy Kuku zimeliwq sana aisee😂😂😂
Ndembo ananikera sana kwakuuwa wanahimaya
Haha dadeki movie mbya san
Huyu kipara bora angegeuzwa kuku daaa mwanaume mmbeya mpaka basi nijiparaa tuuu
Huyu kipara yuwaudhi aki haaaa ni mbeya mpaka basi
Kipara simutu wakuishi naye karibu😂😂😂
Ila kipara bana mi hunipungaga sana😂😂😂😂😂😂
Jmn kipar sio mwema ht kidogo 😂😂
Jamani kipara ni hatari saana🙌🙌🙌😂😂
Ila huyu kipara nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sikuhizi mnachukua muda mwingi kutengeneza kitu hakuna😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Me wa kwanza kufa jamaniii naombeni like zangu km hampo tayari kuungana na me
clam tafazali tunakuomba tuongezee dakika ndugu yangu hii imezidisha sana kupunguza
From Mozambique 🇲🇿 tunawakubali sana❤
Huyo mwanadada amekosea kumchana jamaa kwamba ndiye nyoka anayewagonga watu na kuwaua pale kijijini. Kosa hilo litamgharimu hata yeye anaweza akamgonga na kumuua ili siri isifichuke.
Huo sio mchongo wangu nishaachaga..dah huyu kipara
Kipara kafanana san na mdg wang san kwa tabia zake maan sio michongo yak ashaachaga
Huyu kipara haeleweki kabsa 😄 🤣 😂
Sisi walio chelewa na huwa tunafuatilia filamu za clam …tujumuike hapa na likes
Kipara compressa mbovu haligandishi😂😂😂
Kipara akimaliza kujitoa Ana macho ya dharau
Akili yangu io yanimbia akipoa clam mov imeisha❤
Clam vevo acha uhuni movie kali ila sasa dakika hata 20hafki
Ila huyu kipara anafaa apate dhere maana sio kwa umbea huo 😂😂
Ila kipara cjamuelewa kabisa 😂😂😂😂
kipara sio michongo yko lkny kasalitiiii😅😅😅😅😅😅
Kipara sio michongo yangu nishayachaga😅
kipara ametisha sio michongo yangu nisha achaga alafu bado anaendelea
Sio michongo yangu nisha achaga😂
Yani huyu kipara n mmbea mpk anaboo😂😂😂😂😂
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Wejamaa hapana Sio kwaumbea uwoo dah
Kuna ep kama mbili hatujamuona clam ..kama wakubaliana namimi gonga like apa
Duuh!! Kwel dunian usimuamin binadam 😂😂
Mwakatobe yuwala makuku tuu😂😂😂
Huyo kipara jau kweli
Sio mchongo yangu nilishaachanga team strong mko wapi😂😂😂😂❤️🔥❤️🔥❤️🔥💕💕
Poa
Mlikua mkitegea snake boy mko wapi like zangu apa please 🙏🇸🇦🇰🇪🥰🥰💞💞 team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪
Hoyeeee❤❤ team strong
Hoyeee
Hoyeee🎉🎉🎉🎉❤ 🇸🇦
Kelele moja kwa team strong weee🎉
Jaman kipara shikamoo 😂😂😂😂
Nawapenda san jamani mimi kutoka burundi❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮munip ata lik 1
I frend
2nakupend piah Davina phanie
@@isayabulabo59hi
Kipara kipara kipara, nimekuita mara tatu, hakika umenishinda tabia kabisa😂😂😂😂😂
😅🤣🤣
😂😂😂
Nani kasikiya kipara kunena siyo michongo yangu Nisha achaga 😂😂😂😂 agonge like APA 🇨🇩🇨🇩
😂😂😂 huyu jamaa anfurhsh
Kipara ananifurahisha Kwa kweli ety sio michongo yng nishaachaga...Alf mbio Kwa wanaimaya kupeleka umbea kuwa malkia amejificha kwake nyumban..😂😂😂😂😂
@@zainabhamisi9843 kipara siyo mchezo 😂😂😂😂😂
🤣🤣
@@HamisiSuma uyu jama ni wahajabu sana 😂😂😂😂
Wa mwisho leo nipeni like zangu
Hahahha
Mpema
Nyoko mamaeee mwakatobe wapenda kula sana kuku kulalina zuchu wewe
At we so wa meish me ap
😂😂😂😂since wa kwanza imekua wimbo huku illah Kwa taarifa zako hatutupi kura zetu😅😅
tuko nazidi fatiliya kabisa SNAKE BOY nipeni ata liké 5 basi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wa kwanza leo team strong your seats are preserved uku mbele😂, gonga like tukienda