SNAKE BOY | ep 16 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #Clamvevo #Vevowood

Комментарии • 2,1 тыс.

  • @ShabanMnongane
    @ShabanMnongane 4 месяца назад +17

    Sema wanangu hii kit ni nomah san . Afu nan kaon mwqkatobe ndo anaongoz kul kuku muda wote mamaae🙌🙌🙌☘️

  • @KavudhaMutua
    @KavudhaMutua 4 месяца назад +38

    Clam VEVO Mungu Akujalie wepesi katika njia zako Kwa kukirudisha kipaji kama cha mwakatobe,mwangangi ni muigizaji anataman sana kuigiza n wew one love from kenya

  • @mylulu4762
    @mylulu4762 4 месяца назад +95

    Aliegundua kua mume wa kim ni nyoka gonga like hapa twende sawa

    • @ZulfaMohammed-g3v
      @ZulfaMohammed-g3v 4 месяца назад +2

      Mie niligundua tangu episode ya13

    • @clemensiadaniel8479
      @clemensiadaniel8479 4 месяца назад

      Nilizani ni Mimi ndo najua et

    • @linnahmshama
      @linnahmshama 4 месяца назад +1

      Mbona iyo nimejua md sana toka episode ya 13

    • @isayamwanjoka3958
      @isayamwanjoka3958 4 месяца назад +1

      Hiyo tumeijua kitambo watu wanaumwa na nyok kila wakimtembelea pole kwa kuchelewa kujua

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 месяца назад +1

      Mbn tulikuwa tunajuana toka mwanzo

  • @ekyociesengana1657
    @ekyociesengana1657 4 месяца назад +15

    mm Sito kuwa wa mwisho ,naomba like zangu

  • @malkiamommy293
    @malkiamommy293 4 месяца назад +6

    Hak weeh kipara waniker n huo umbea umbea wako 😂😂😂😂😂😂

  • @JeremiahCharles-vi5so
    @JeremiahCharles-vi5so 4 месяца назад +57

    Wa kwanza kutokea South Africa🇿🇦 Johnsburg naomba like zangu

  • @NeyPaul-f6u
    @NeyPaul-f6u 4 месяца назад +26

    I ❤from Turkey 🇹🇷 nampenda director wa vevo jmn dah ✍🏼

  • @ashaabedi7343
    @ashaabedi7343 4 месяца назад +4

    dakika jamnii zinazidi ndgoo tunaomba muongeze japo kdg 🙏❤️

  • @AbdulKarim-n4u
    @AbdulKarim-n4u 4 месяца назад

    Clam vevo uko juu zaidi mdau wetu illa baba iyo move ipeni ata dk 3o bc mnatuboa mda mdogo zidisha ufanisi

  • @mudikitengegroup
    @mudikitengegroup 4 месяца назад +6

    DIRECTOR KAKOSO mda mdogo sana

  • @Twahamwela-ch5lz
    @Twahamwela-ch5lz 4 месяца назад +6

    Kipara kweli khamsoswi dah!! Anazngua huyu

  • @Hadithi_Makanaki
    @Hadithi_Makanaki 4 месяца назад +78

    Wakwanza leo pitieni kwangu nimepost pia. Jipatie hadithi na simulizi tamu tamu

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 4 месяца назад +157

    Team SIYO MICHONGO YANGU NISHAACHAGA,tujuane kwa likes za kutosha😂😂😂😂😂

  • @JOEJOJO-i6n
    @JOEJOJO-i6n 4 месяца назад +3

    Siyo mchongo wng😂😂😂 like zang from drc kivu❤️🇨🇩🇨🇩

  • @BakarirashidiBokabeka
    @BakarirashidiBokabeka 4 месяца назад +2

    Jamani wakwanza mimi naombeni like 👍 jmn jmn

  • @Rasamtv-ou4vh
    @Rasamtv-ou4vh 4 месяца назад +4

    Clamo seniors ya mwisho mekosea kama aliona alipata wap ujasiri wa kumfata muhiwaji ata ktk jamii ya kawaida tu haiwezekani ungeonyesha tu ameona na anakimbia kukimbilia kijijini kuwambia wanaimaya na nyoka kashajuwa kuna mtu kaona kuliko ulivyotufanyia hope marekebisho mazuri yatakuja next video good job kaka endeleyaaaaaa aiyeme wa bongo 🎉🎉🎉🎉

    • @taqozer
      @taqozer 4 месяца назад

      Sure...

    • @paulsylvester7877
      @paulsylvester7877 4 месяца назад

      Upo sahihi rasamtv mm mwenyewe nimeshangaa weee katika hali ya kawaida haiwezekan kwasabab utakuwaa na hofu yaan hutowezaa
      Aya ndo mamb ya ku comment sio kuomba omba likes nafikir wamelipokea na kulifanyia kazi🎉

    • @MathiasBunzali-pn7zk
      @MathiasBunzali-pn7zk 4 месяца назад

      kwa jinsi wewe unavyotaka ichezwe, basi ingeishia epsods tatu tu kisa kikate chote...😂😂😂

  • @MISSOKE.254
    @MISSOKE.254 4 месяца назад +28

    Mm wakenya hapa no 1 254

    • @Comedyboysteam777
      @Comedyboysteam777 4 месяца назад

      MIMi ni comedian 💪 kutoka kongo drc 🇨🇩 please follow Me 🙏

  • @RangsoniWicroni
    @RangsoniWicroni 4 месяца назад +9

    Sema nin unajua sana kaka clam vevo kama mnamkubali gonga like hapa

  • @KidalosMafumbula
    @KidalosMafumbula 4 месяца назад +3

    Vevo ongeza dakika za série Yako iko fupi sana

  • @DenisChuwa-p7i
    @DenisChuwa-p7i 4 месяца назад +14

    Watu mnaokuja kukoment mje taratibu kila mtu ana nafasi yake afu toa maoni ya movie usiombe likes kwangu mimi sio michongo yangu nishaaachaga likes nying kwa clam 🩸

  • @wizchampiontz7081
    @wizchampiontz7081 4 месяца назад +7

    Jamaa hawa wanajua sana

  • @Hamisi8465
    @Hamisi8465 4 месяца назад +9

    Wa kwanza kutoka 254 wapi likes zangu 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @LuckySinkala-d5x
    @LuckySinkala-d5x 4 месяца назад +2

    jaman sim yangu ilikata chaji kwaiyo leo wamwisho kuangalia naomba like zenu

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 4 месяца назад +4

    ILA ZINGAA 😂😂😂😂

  • @kelvinpeter7460
    @kelvinpeter7460 4 месяца назад +1

    Wangap ... Team chili... Mganga wa .. waaaaacha

  • @ElvisNDUWAYEZU-eq5fc
    @ElvisNDUWAYEZU-eq5fc 4 месяца назад +4

    Wanaopenda michongo y'a kipala tujuane

  • @jeandezanzibar
    @jeandezanzibar 4 месяца назад +10

    Wa kwanzaa gonga like zote hapa angalau 1000k iv 🎉😂😂

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 4 месяца назад +1

    Movie nzuli sana kazi nzuli teem yote ya clam but shida tunaomba muweke maandishi ya kingereza kwa chini apo ili kubolesha movie yenu.kimataifa wengi wanaipenda tatzo lugha inawashinda wanabakia kuangalia picha nakutusumbua tuwatafsilie jambo ambalo mngelifanya likawa poa zaidi

  • @Beliwa-of8xu
    @Beliwa-of8xu 4 месяца назад +9

    Sasa huyu mwanamke aliyeshuhudia mauwaji ya sijui tembo pia yeye yamemkuta 😂😂tuacheni viherehere jamani kwani angeenda kusema kimya kimya bila kumtaarifu mwenye angefanywa nn ,ila Acha tusubiri yajayo,, clam unaweza mungu akuzidishie ufike mbali inshallah nakupenda buree❤❤❤❤❤❤

    • @seiphsalum6288
      @seiphsalum6288 4 месяца назад

      mtu unamjua kuwa nyoka unaujasili gani wa kumfata ? vitu vingin haviwezekan hata kweny ukweli

    • @LivinusLDaud
      @LivinusLDaud 4 месяца назад

      Kaz nzur

  • @ÇhêñśãĶîmś
    @ÇhêñśãĶîmś 4 месяца назад +6

    Leo na mimi nimekuwa wa pilii

  • @LuganoMwaikambo
    @LuganoMwaikambo 4 месяца назад +2

    Jaman mie ndo naiona nipeni like zangu

  • @Josia07
    @Josia07 4 месяца назад +5

    Wa kwanza leo jamani naomba like 10 tu

  • @ZuhuraTwaha-fs5ub
    @ZuhuraTwaha-fs5ub 3 месяца назад

    Kazi nzur Sana inafundisha n kufurahisha hongereni watunz mtafika mbali

  • @Gbwoyke
    @Gbwoyke 4 месяца назад +6

    Best series❤❤

  • @NassirkaimoKaimo
    @NassirkaimoKaimo 4 месяца назад

    Good clam Vevo nasri caimo

  • @annaki318
    @annaki318 4 месяца назад +1

    Tunaomkubali mwasi tujuane❤❤❤

  • @MRS-g2m
    @MRS-g2m Месяц назад

    Sio mchongo wangu nilishaachaga😂😂😂😂😂alafu waenda kusema haki kipara😂😂😂

  • @graceemmson
    @graceemmson 4 месяца назад

    Dakika chache sana na tunasubiri sana, angalau zfike 20...kaz nzuri

  • @MaendaEca-j6s
    @MaendaEca-j6s 4 месяца назад

    Clam yuko vizuri sana watching from USA Illinois Chicago

  • @felixmuendo7126
    @felixmuendo7126 4 месяца назад

    Uyu kipara ana mdomo sana...nikieza mkapata hawezi kosa Kofi mbili ama tatu zangu

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw 4 месяца назад

    Nyimbo iyo jaman naipenda sana wangap wanaikubali gongen like hapa

  • @Jumajk6
    @Jumajk6 4 месяца назад +2

    Good job vevo❤❤❤❤❤

  • @MitambaAdele
    @MitambaAdele 4 месяца назад +1

    kipala wewe unaumbeya sana wakiluwa wakakuuwa😥😥😥😥

  • @HamadiD360
    @HamadiD360 4 месяца назад

    Mwakatobe mpaka akirudi home kanenepa Maana anakazi ya Kila kuku mwanzo mwisho

  • @hatimsaleem2439
    @hatimsaleem2439 4 месяца назад +1

    Wakwanza kutoka saudia nipe like zangu😂😂

  • @sammychibya9480
    @sammychibya9480 27 дней назад

    Kiparaaaaaaaaaaaaaaa sio michongo yangu kwa malkia 😂😂😂😂

  • @HawaShamte-p4f
    @HawaShamte-p4f 16 дней назад

    Kipala umenishinda tabia mh hadi malikia umemchoma😂

  • @HussenMohamed-rr5og
    @HussenMohamed-rr5og 4 месяца назад +1

    vevo ume2sha maana iyos2eili yakuji che2uwa inakupende zeyasana 2uu

  • @osirismibexeb9783
    @osirismibexeb9783 4 месяца назад +4

    Much love guys

  • @DianaTesha-iz4pb
    @DianaTesha-iz4pb 4 месяца назад +1

    Kipara umenishinda tabia khaaa hupoi hauboi😂😂😂😂

  • @AbiTech96
    @AbiTech96 4 месяца назад

    Kipara acha tabia hio bwaaaana🤭🤣🤣🤣
    From 🇨🇩✊🏿✌️

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 4 месяца назад

    Kipara wa moto kwa umbea kama kimbunga hidaya 😂😂😂😂 fridge lake bovu haligandishi

  • @bahatimrutu3243
    @bahatimrutu3243 4 месяца назад

    Ukiw na Rafk mmbea kama.kipara wallah hutoboi😂

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 4 месяца назад

    Mwanangu big mindevu mtoto wa kinondoni biafra😂😂😂

  • @Soleilvijaywiz
    @Soleilvijaywiz 4 месяца назад

    Boss clamu Vevo ❤❤❤

  • @issahugugu
    @issahugugu 4 месяца назад

    Kweli KIPARA hachagui wa KUMPA UMBEYA 🤣🤣🤣🤣

  • @Kimanzi001
    @Kimanzi001 4 месяца назад

    Sema Kwenye Snake Boy Kuku zimeliwq sana aisee😂😂😂

  • @HadijaBakari-l6x
    @HadijaBakari-l6x 3 месяца назад

    Ndembo ananikera sana kwakuuwa wanahimaya

  • @Alphertv
    @Alphertv 4 месяца назад +1

    Haha dadeki movie mbya san

  • @JumaChiryauta-zf6uc
    @JumaChiryauta-zf6uc 4 месяца назад

    Huyu kipara bora angegeuzwa kuku daaa mwanaume mmbeya mpaka basi nijiparaa tuuu

  • @Mwanajuma-j5i
    @Mwanajuma-j5i 4 месяца назад

    Huyu kipara yuwaudhi aki haaaa ni mbeya mpaka basi

  • @djbenkimii
    @djbenkimii 3 месяца назад

    Kipara simutu wakuishi naye karibu😂😂😂

  • @mishallmwandigha713
    @mishallmwandigha713 4 месяца назад

    Ila kipara bana mi hunipungaga sana😂😂😂😂😂😂

  • @EVALINAJames
    @EVALINAJames 4 месяца назад

    Jmn kipar sio mwema ht kidogo 😂😂

  • @KagomaMoses
    @KagomaMoses 3 месяца назад

    Jamani kipara ni hatari saana🙌🙌🙌😂😂

  • @El_football21
    @El_football21 4 месяца назад +1

    Ila huyu kipara nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ccbajayem4744
    @ccbajayem4744 4 месяца назад

    Sikuhizi mnachukua muda mwingi kutengeneza kitu hakuna😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @kitunyestipo392
    @kitunyestipo392 4 месяца назад

    Me wa kwanza kufa jamaniii naombeni like zangu km hampo tayari kuungana na me

  • @rodethazard6598
    @rodethazard6598 4 месяца назад

    clam tafazali tunakuomba tuongezee dakika ndugu yangu hii imezidisha sana kupunguza

  • @os3kizzytheclassegang937
    @os3kizzytheclassegang937 4 месяца назад

    From Mozambique 🇲🇿 tunawakubali sana❤

  • @salumualoyce5620
    @salumualoyce5620 4 месяца назад

    Huyo mwanadada amekosea kumchana jamaa kwamba ndiye nyoka anayewagonga watu na kuwaua pale kijijini. Kosa hilo litamgharimu hata yeye anaweza akamgonga na kumuua ili siri isifichuke.

  • @MarcusKandia
    @MarcusKandia 4 месяца назад

    Huo sio mchongo wangu nishaachaga..dah huyu kipara

  • @AlexSosolo-n5o
    @AlexSosolo-n5o 4 месяца назад

    Kipara kafanana san na mdg wang san kwa tabia zake maan sio michongo yak ashaachaga

  • @BlessMadempoz
    @BlessMadempoz 4 месяца назад

    Huyu kipara haeleweki kabsa 😄 🤣 😂

  • @gabrielnjuguna8172
    @gabrielnjuguna8172 4 месяца назад

    Sisi walio chelewa na huwa tunafuatilia filamu za clam …tujumuike hapa na likes

  • @geofreykitundu1326
    @geofreykitundu1326 4 месяца назад

    Kipara compressa mbovu haligandishi😂😂😂

  • @JeffJoeNya
    @JeffJoeNya 4 месяца назад +1

    Kipara akimaliza kujitoa Ana macho ya dharau

  • @Phatoush
    @Phatoush 4 месяца назад

    Akili yangu io yanimbia akipoa clam mov imeisha❤

  • @RicVanny-w8v
    @RicVanny-w8v 4 месяца назад +1

    Clam vevo acha uhuni movie kali ila sasa dakika hata 20hafki

  • @amilahmuta7586
    @amilahmuta7586 4 месяца назад

    Ila huyu kipara anafaa apate dhere maana sio kwa umbea huo 😂😂

  • @mwajumanjanga4370
    @mwajumanjanga4370 4 месяца назад

    Ila kipara cjamuelewa kabisa 😂😂😂😂

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh 4 месяца назад

    kipara sio michongo yko lkny kasalitiiii😅😅😅😅😅😅

  • @aboudkhalifa7329
    @aboudkhalifa7329 4 месяца назад

    Kipara sio michongo yangu nishayachaga😅

  • @EdysonMata
    @EdysonMata 4 месяца назад

    kipara ametisha sio michongo yangu nisha achaga alafu bado anaendelea

  • @AishaKera-op9rm
    @AishaKera-op9rm 4 месяца назад

    Sio michongo yangu nisha achaga😂

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 4 месяца назад

    Yani huyu kipara n mmbea mpk anaboo😂😂😂😂😂

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 4 месяца назад

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲

  • @MunirAbedi
    @MunirAbedi 4 месяца назад

    Wejamaa hapana Sio kwaumbea uwoo dah

  • @Sebastian-hj3ip
    @Sebastian-hj3ip 4 месяца назад

    Kuna ep kama mbili hatujamuona clam ..kama wakubaliana namimi gonga like apa

  • @rizymoney3745
    @rizymoney3745 4 месяца назад

    Duuh!! Kwel dunian usimuamin binadam 😂😂

  • @BintHassan-o1y
    @BintHassan-o1y 4 месяца назад

    Mwakatobe yuwala makuku tuu😂😂😂

  • @XhakaDevvo
    @XhakaDevvo 4 месяца назад

    Huyo kipara jau kweli

  • @maurine3503
    @maurine3503 4 месяца назад +29

    Sio mchongo yangu nilishaachanga team strong mko wapi😂😂😂😂❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥💕💕

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 4 месяца назад +137

    Mlikua mkitegea snake boy mko wapi like zangu apa please 🙏🇸🇦🇰🇪🥰🥰💞💞 team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪

  • @DavinaPhanie
    @DavinaPhanie 4 месяца назад +20

    Nawapenda san jamani mimi kutoka burundi❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮munip ata lik 1

  • @dominamabebe6691
    @dominamabebe6691 4 месяца назад +17

    Kipara kipara kipara, nimekuita mara tatu, hakika umenishinda tabia kabisa😂😂😂😂😂

  • @gersonissa9124
    @gersonissa9124 4 месяца назад +80

    Nani kasikiya kipara kunena siyo michongo yangu Nisha achaga 😂😂😂😂 agonge like APA 🇨🇩🇨🇩

    • @HamisiSuma
      @HamisiSuma 4 месяца назад +4

      😂😂😂 huyu jamaa anfurhsh

    • @zainabhamisi9843
      @zainabhamisi9843 4 месяца назад +5

      Kipara ananifurahisha Kwa kweli ety sio michongo yng nishaachaga...Alf mbio Kwa wanaimaya kupeleka umbea kuwa malkia amejificha kwake nyumban..😂😂😂😂😂

    • @gersonissa9124
      @gersonissa9124 4 месяца назад +3

      @@zainabhamisi9843 kipara siyo mchezo 😂😂😂😂😂

    • @johnrogeo2161
      @johnrogeo2161 4 месяца назад +3

      🤣🤣

    • @gersonissa9124
      @gersonissa9124 4 месяца назад +2

      @@HamisiSuma uyu jama ni wahajabu sana 😂😂😂😂

  • @kingmtetezi6670
    @kingmtetezi6670 4 месяца назад +339

    Wa mwisho leo nipeni like zangu

    • @IssaJaphe
      @IssaJaphe 4 месяца назад +8

      Hahahha

    • @ramadhanimtulya1962
      @ramadhanimtulya1962 4 месяца назад +5

      Mpema

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 4 месяца назад +5

      Nyoko mamaeee mwakatobe wapenda kula sana kuku kulalina zuchu wewe

    • @JaneSanga-b5n
      @JaneSanga-b5n 4 месяца назад +2

      At we so wa meish me ap

    • @marydavinembeki9482
      @marydavinembeki9482 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂since wa kwanza imekua wimbo huku illah Kwa taarifa zako hatutupi kura zetu😅😅

  • @JacquesKashindi-h4c
    @JacquesKashindi-h4c 4 месяца назад +19

    tuko nazidi fatiliya kabisa SNAKE BOY nipeni ata liké 5 basi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @felistersakwa2568
    @felistersakwa2568 4 месяца назад +43

    Wa kwanza leo team strong your seats are preserved uku mbele😂, gonga like tukienda