SIRI ya MAFANIKIO ya WACHINA - JINSI WALIVYOITEKA DUNIA na KUFANIKIWA KUFICHA TEKNILOJIA ya MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • SIRI ya MAFANIKIO ya WACHINA - JINSI WALIVYOITEKA DUNIA na KUFANIKIWA KUFICHA TEKNILOJIA ya MAREKANI...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 79

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +22

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @kelvinwanjo186
    @kelvinwanjo186 26 дней назад +2

    Long time ago i try this tactics it's amazing

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 2 месяца назад +3

    Bonge la documentary kazi nzuri sana🤜🤜

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de Год назад +9

    Nakukubari sana napenda unavyotuhabarisha hongera sana

  • @LameckKambuga
    @LameckKambuga 2 месяца назад +2

    Inapendeza sana iyo

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад +13

    Nyerere aliona mbali kwenda kuwa urafiki na mchina kabadilisha mchezo kajitafuta kajipata

    • @OmaryMwacha
      @OmaryMwacha 3 месяца назад +1

      Du hatali sanawewe

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 2 месяца назад

      Hakika, hii umeidadavua vema kabisa.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 2 месяца назад

      Denis!! Denis!! Denis!! Denis!!
      Hapa umeua. Tunafunga mipaka tusiuze chakula nje....
      Nani zaidi😁

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 6 месяцев назад +3

    Hongera kwa kutoa elimu safi maisha bila maamzi magum hakuna mafanikio.

  • @ALAFIT-kt9lq
    @ALAFIT-kt9lq 4 месяца назад +3

    Asante, nimejua,nisiyoyajua kupitia taarifa zako.

  • @baluhyaandrew1564
    @baluhyaandrew1564 4 месяца назад +2

    Denis Mpagaze na msemaji wako,BIG UP

  • @JUMANNEMANYANDA-ow7gw
    @JUMANNEMANYANDA-ow7gw 11 месяцев назад +3

    Accepted,, digested,, planted,, in un limited field,, congratulations

  • @GodfreyMeshack-gy2yt
    @GodfreyMeshack-gy2yt 3 месяца назад +1

    Duu brother nimekuelewa sana, na nimejifunza mengi sana

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Месяц назад

    Nakapenda sana

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 4 месяца назад +1

    SAFI SANA.
    DENISI, HAKIKA HATA WEWE UNA AKILI MNO.

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 2 месяца назад +1

    Asante sana kaka

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 Год назад +2

    This is Messages and i take it bro,thnk's.

  • @pyeremsafiri
    @pyeremsafiri 6 месяцев назад +1

    Amini ligonde, nakubali sana unavyotangaza

  • @MihayoBalele
    @MihayoBalele 2 месяца назад

    Upo vyema 🎉🎉🎉🎉 habar zurii

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 месяцев назад +2

    💯💯💯💯💯 saivi Tz inaweza kuwa inaongoza Kwa kuwa MACHINGA NA OMBAOMBA WA DUNIA 😮😮😮😢 INATIA AIBU NA HURUMAAAAAA , VIJANA TUAMKE TUFANYE KAZI , TENA WATANZANIA TUFANYE KAZI HASWAAA MAANA TUKO KWENYE HATARI YA KUWA OMBAOMBA WA DUNIA NA WATUMWA WA MWENDO KAZI ,MAANA HATUELEWEKI , TUAMKE 😢

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 месяца назад

      Ni kweli lakin serkali inatakiwa kusimama kidete kuwasomesha Wazawa na kila senti ifanyiwe maendeleo ya kweli na siyo yale ya bomoka kwa mda mchache

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 месяца назад

      Tanzania tunahitaji wageni kutoka nchi mbali mbali namini wageni huongeza ukuaji wa secta ya biashara katika ngazi nyingi kwa kupanga nyumba za biashara,nyumba za kulala,ununuaji wa mazao na kutumia usafiri wa anga na vitu vingne mlipuko wa maendeleo utakuja kwa haraka sana

  • @titombizo6941
    @titombizo6941 Год назад +1

    Nice information to those who are well in the mind

  • @AyubuMashaka
    @AyubuMashaka 2 месяца назад

    Nakubali brother ubarikiwe

  • @PeterMtui
    @PeterMtui 2 месяца назад

    Peter Mtui,nadhani kama waafrika tukijifunza uwajibikaji kuanzia kwenye familia zetu tutafika mbali hata kama hatutowafikia wachina na wazungu lakini tunaweza kufika mahala fulani pazuri "huwa nawaza unakuta mwanafunzi anasomea maswala ya engineering lakini barabara za rafu roads zinafanyiwa rehabilitation and construction na wachina " huwa nashindwa kuelewa mainginia wetu huwa hawawezi kutengeneza hata rafu roads

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 16 дней назад

    Store nzuri sana ila baadhi ya maneno ya kitoto nayasiyoya hekima kwa Watu wazima kusikiliza

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 4 месяца назад

    Upo sahihi kabisa kiongozi Africa kazi lawama kwa viongozi lkn shortcut life

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Год назад +3

    Leo nitachelewa kuja mzigoni jana nilizima.....

  • @daudchola
    @daudchola 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉 very beautiful job

  • @daudbenard4800
    @daudbenard4800 2 месяца назад

    Very informative, bravo 🔥🔥🔥

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 4 месяца назад

    Shukrani

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 2 месяца назад

    Aiseee imenifunza mamboo mengiiiii

  • @Wmrbrack
    @Wmrbrack 3 дня назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @danielkagola6332
    @danielkagola6332 6 месяцев назад

    Kazi nzuri

  • @cholombuda1658
    @cholombuda1658 2 месяца назад +1

    Sisi hatuwezi kufika coz mifumo yetu yakiserekali haimfikirii mwananchi wanaangalia wao wanaingiza nn kila kikicha wafanya biashara wanapandishiwa kodi tunaoumia ni sisi wanjnuaji wamachinga wanafukuzwa kila sehemu

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 2 месяца назад

    Hatar sana

  • @MohammedAli-hz7to
    @MohammedAli-hz7to 11 месяцев назад +1

    Upo smati kaka

  • @SelengaPius
    @SelengaPius 2 месяца назад

    Upo vizur

  • @MustafaMuhamed-i9t
    @MustafaMuhamed-i9t Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @ElisioVicenteMadimba
    @ElisioVicenteMadimba Год назад +6

    Kkkk Wewe kaka unachekesha sana maongezi yako, yani unanogesha kabisa.

  • @PiusOnkangi
    @PiusOnkangi 6 месяцев назад +1

    Bro you are to the sky, no one does this.. choose one

  • @RashidiSamandeko
    @RashidiSamandeko 2 месяца назад

    Tumekuwa wazungumzaji na wasiklizaji wazuri tu lakini si watekelezaji wa Yale yanayozungumzwa kwa vitendo

  • @antonyndege6173
    @antonyndege6173 2 месяца назад

    America ni ndio Dunia

  • @BUTILANJIA
    @BUTILANJIA 4 месяца назад

    amin kikonde unatumia jina Gan is

  • @erastobraiton9458
    @erastobraiton9458 Год назад +1

    Saw

  • @odenfundi
    @odenfundi 2 месяца назад

    Oya wanaakili kweli

  • @marijanimpapai6705
    @marijanimpapai6705 3 месяца назад

    Amini likonde mwambaaa

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 4 месяца назад +1

    Chine🇨🇳 ni balaaa😂😂❤

  • @gadluck4362
    @gadluck4362 2 месяца назад

    ungeeleza tu kwa wepesi majungu kibao unaharbu content

  • @izack9191
    @izack9191 Год назад +1

    Mmh hii nikama anakopi Ananias edigar

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 6 месяцев назад

      Kwa hiyo Kama anakopi tufanyaje? Kama hutaki acha msikilize mwingine!

  • @isackkamondo6588
    @isackkamondo6588 Год назад +1

    Ukweli mtupu

  • @DexVo24
    @DexVo24 2 месяца назад

    Nataman ungekuwa Rais

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 5 месяцев назад +2

    Watawala wetu wazamani walikua wanaelimu ndogo lakini akili Yao illikuwa kubwasana, ambapo Walikuwa wanaona mbalisana aiisee. Kwammfanno nyerere aliwafukuza wazungu. Akawazuia kuchimba madini akasemma watachimba wanae wakiwa naaakili. Sasabasi wanae wenyewe aliokuwa akiwasema ndo hawa leo wanao binafsisha bandari na kuwauzia wazunngu maeneo Yao yenyeraslimalli nnyinngi, Nyerere maeneo yaliokuwa na madini nyerere aliweka kambi zakijjeshi na kujenga mashure na taasisi mbalimbali . Ila sasa hawa biongozi ambao nyerere aliokuwa akiwategemea kuwa ndowatakao likomboa taifa ndo wana biinafsisha aridhi migodi bandari na kkuuwa viongozi wenyedhamira nanchiyao. Jamani biongozi wetu amkeni dhammana uliyonayo leo ndo hatimayako yakkesho. Watanzania Tunalia machozi Yadamu kumbuka hayatekketei Bure.

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 2 месяца назад

    Kula SI dhambi

  • @SimonShoo-mw8nk
    @SimonShoo-mw8nk 2 месяца назад

    Bajeti ya magari billion 200+ unapewa msaada billion 8.9😢

  • @YusuphMponde-cc4vq
    @YusuphMponde-cc4vq 2 месяца назад

    Inabdi viongozi ndo wazinduke

  • @claudekiza389
    @claudekiza389 4 месяца назад

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 3 месяца назад

    Korea kusin haina ahida na marekan

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Год назад +2

    China imetuacha mbali

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      Sio kutuacha imewaacha hadi wazungu wengi tu

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 4 месяца назад

    awana udini

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 4 месяца назад

    Kweli kabisa,
    Kukazana kujenga Hospitali kila kona si tija.
    Tija ni kukinga kuzuia.
    Unasema hatuna viwanda!!
    Mbona majuzi nasikia tuna viwanda 13 vya KUTENGENEZA MAGARIA🤣🤣😆😆🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 2 месяца назад

    I have not been to the USA but China is very bad for business. All European countries, China is economically depressed. many young people in Africa are taking products from China and coming to sell in their countries and they are very successful. It's not because I don't like the USA, China has completely opened up the world to us. God bless China and its government. They have not made it difficult to enter China as it is in the USA. China does business with anyone, countries like USA only do business with big countries. I say thank you very much to China for opening up Africa. All the big construction projects are done by the Chinese in Africa, especially in my country Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. It is now time for China to become a powerful nation 🌎 economically, politically and militarily.
    You will not hear that China has sent its troops to Pakistan, Iraq or Afghanistan. That is, their lives are busy with their affairs. Aiseeeee China salute you guys. Electric cars have become a big deal in European countries. I say 3 times
    China, China, China GOD BLESS YOU. Although they have their shortcomings, China is the best of the best

  • @deniesdmn2126
    @deniesdmn2126 5 месяцев назад

    Ila hapo kwenye drip mmekosea

  • @joackimmwedimage6793
    @joackimmwedimage6793 2 месяца назад

    Ndio mana muheshimiwa magu alikua anasisitiza watu tufanye kazi

  • @Konkaman
    @Konkaman 4 месяца назад

    👊🏼🤞🤞🤞🤩

  • @donudonu2.r
    @donudonu2.r Месяц назад

    Na wapenda hawa jamaa balaa.

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 2 месяца назад

    Eti!! Ukiwashauri vijana wekezeni kwenye kilimo wanakwambia mtaji atatupatia nani!!!!...🤣🤣🤣

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 2 месяца назад

    China ikoo juu hao wamejenga Kwanza nchi yao wamejitolea jeshi lao ndio limejenga hio nchi hata hapa kwetu Kama jeshi litawezeshwa uwezo huo unawezekana

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 месяца назад

    Awo wezi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 месяца назад

    China kwa Africa ujenzi wa bure

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 месяцев назад +1

    Hakika china ni kweli ,ila kufanya nao KAZI pia akili inatakiwa maana kiuhalisia wanameza na kuondoka na kila kitu ,
    Ila falsafa zao ni safi na naziunga mkono

  • @mangimosha95
    @mangimosha95 4 месяца назад

    Kuhusu hilo jua wala usiogope kwani wao walitengeneza korona na ikawachapa wenyewe

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 2 месяца назад

    Tuchinje wahalifu watatu nchi itanyooka

  • @LawiNgakala-f1t
    @LawiNgakala-f1t 4 месяца назад

    PONGEZI KWA DENISI MPAGAZI HONGERA UNAELEWEKA VIZURI SANA