MUAMMAR GADDAFI: Rais Aliyeuawa Kama Kuku / Kazikwa Kusikojulikana!
HTML-код
- Опубликовано: 9 май 2019
- MUAMMAR GADDAFI: Rais Aliyeuawa Kama Kuku / Kazikwa Kusikojulikana!
Tangu Libya ipate uhuru ile 24 Desemba, 1951 wenyeji walibakia kuchunga mbuzi na ngamia huku wageni wakichimba mafuta na kwenda kujenga Ulaya na Marekani.
Kuzaliwa kwa Gaddafi katika mwaka na mwezi usiojulikana ilikuwa ni ukombozi wa Libya na watu wake. Huyu bwana alizaliwa katika kabila la watu wasiojua kusoma na kuandika hadi kushindwa kurekodi kumbukumbu zake.
MUAMMAR GADDAFI: Rais Aliyeuawa Kama Kuku / Kazikwa Kusikojulikana!
MUAMMAR GADDAFI: Rais Aliyeuawa Kama Kuku / Kazikwa Kusikojulikana!
#LIBYA #HISTORIAYAGADDAFI
#MUAMMARGADDAFI
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Wazungu wamekuwa vikwazo vikubwa vya maendeleo ya nchi za kiafrika na mbaya zaidi wakitumia njia nyingi kama kutoa elimu bure,misaada ya afya, dini nk,kumbe wana malengo ya kuwanyonya waafrika..wananchi walidanganywa kwamba watakua na maisha mazur baada ya kumpindua Gadafi..sasa leo Libya ina maisha magumu kuliko walivyotarajia....Libya laana mtazipata kwa kumuua aliye wakomboa kutoka kwenye mateso na ubaguz uliokithir kwa kuwatesa waafrika
Mungu akulaze mahali pema gadafi kwa mema yote uliyofanyia wananchi wa libya
Africa hovyo kabisa
@@didassadik8075 ..ni kweli,tuna viongoz waongo, wanatulaghai na kusaliti sheria kwa ajili ya kulinda kura ndani ya nchi zao,nnje ya nchi za kiafrika hakuna umoja, na kila nchi ina utaratibu wake wa kupambana na matatizo..hata km adui ni mmoja anaepiga nchi fln zile nyngne zitaangalia tu..hata gadafi asingeuwawa ila udhaifu wa wapenda madaraka ya afrika walikaa kimya na kutizama tu..hata leo akapigwa mwingne atatixamwa tu
Jamani Yesu anaokoa nawokovu ni hapa Duniani ndio maana wokovu wa libia hauku dum
@@isayaublikiwefeliciansan1514 Anaekuletea habar hiyo anacheza mikanda ya x na huku akikuzuga tu,huoni makanisa mengi na miziki mikubwa huku ulimwengu ukizid kupata majanga makubwa ! Mwisho mtatawaliwa baada ya kupumbazwa na hizo kauli
Woow what a voice you have sweet voice brother. History iko poa sana
Napenda maneno unayo pitisha kati big up
Duh ! Mashallah Allah amrehem ampe makaz mema alipo !
Ameen
Kaka Hongera kwa kazi bora kwa hakika Africa lazima tujiulize je tumekosea wapi maana kumpoteza Gadafi ilikuwa pigo kubwa sana kwetu
Hii ni zaidi ya Black Panther kwa utamu kumbe history ukipata mwalimu mzuri hv raha sana
Watu tuko live na maisha... Kama naww ulikua unaisubili kwa ham gonga like
Mtalia mpaka chozi la damu mtamkumbuka raisi Gaddafi
Mungu alitoa Mungu ametwaa jina la Bwana libarikiwe
historia nzuri sana ya Gaddafi tuletee z ingine zaidi hongera kazi nzuri
Niachie number nikutumie simulizi Whatsapp
@@haidaryhazard8380 😂
Unataka ya osama
@@aminmshiu5336 kabisa
Wow. Amazing Gadafi. mungu amlaze pema. Na mungu amemhifadhi Gadafi. Kisa cha ajabu ya Gadafi
Nakukubali sana kwa historia zako nzuri
Gaddafi Nick name yang hii scl dah nilikua namwelewa sanaa mzee huyu
UJUMBE na VIBWAGIZO ni BURUDANI tosha,hongera sana MTANGAZAJI.
daaah napenda sana history, unasimulia vizuri mpk raha , ubarikiwe
Safi sana mwamba, tunaipenda huduma yako.
thanks brother for good information.
Gaddafi rest in peace.
Pumzika kwa amani baba na ramadhani hii sisi tuna kuombeya:wata tafuna karanga sasa:wema wako umefika mbinguni
Dah! Nimeenjoy sana kwa historia, hongera nyingi kwenu Muandaaji na Msimulizi
Mpagaze barikiwa
Ananias barikiwa
Sitamani hata iishe
Yaani Wa Libya
Watapata tabu sanaa
Kwa kumkosa Gaddafi
Mamboo
Aise upo vizuri mwamba
Mtangazaji nimekupenda maana unatuletea habari nzur! Love u!
Kweli histori ya Kadhafi inaskitisha Sanaa mungu anamlipia sikuzote nawanajuta walibia kila siku
Wee kaka mashallah mtangazaji mpaka rahaaa
Jazakhallau hkeri, sheikh muamar gaddafi
Dah inauma saana, kila nikisikia historia yake bac machoz yananilenga. Mwenyez Mungu ambarik na amrehemu
Allah ampe pepo wallah
Shukulani sana bro nice history
Gaddafi atabaki moyoni mwangu milele,,, Raisi aliyejali masilahi na maisha ya watu wake .... Rest in Peace Gaddafi Allah is with you ever
In Africa, we live in unity❤❤❤❤
Daima mimi Muafrika🇰🇪. Nilizaliwa afrika na ntazikwa Afrika. Mungu ibariki Afrika bara langu 🌹
ya allah jalia uislam utawale ulimwenguni wote. allahum amin
Magaidi 😂😂😂😂😜😜😜
Ili muue adi kuku wetu😂😂😂😂😂😂😂😂aiji kutokea iyoo atae tawala soon ni shetani tuuu ndipo yesu atakapo shuka kuja kuhukumu ulimwengu na wakristo wataishi miaka 1000 bila magonjwa wala vita ila uislam kutawala dunia iyo aipoooo tena saau mimi namuomba mungu uislam uishe kbs ata apa Tanzania waislam wafukuzwe kama Ile nchi ingine wamekataza uislam kbs maana nyinyi watu ni magaidi alafu mnafuga majini amfai kbs apa duniani
Ameen
Mtu mweuc na akili nyeuc!!!din zililetwa hiz
Francis loan soma utoke ujinga utajua dini gani itakujakusimama nakuongoza tena dunia kama ilivyokuwa huko nyuma tunakotokea
Nilikuwa nasubiria sana hii story ya Gaddafi asante ananisedgar
Haya ndio tuliyokuwa tunasubiri sio km wengine kutuandkia umbea tu.. Safi mpagaze pmoja na edger
habari nimeipenda historiya ya mwamed kadafi
Asante sn
Naombeni mniambie gadafy alijiua a u aliuawa
Unasimulia vzr kabisa mpaka nilikua natamani isiishe.. ubarikiwe broh...
bonge la funzo kwa waelewa. Kazana bro
haya ndo mambo ninayoyataka humu sio vitu vya ajabuajabu
Kwa Mara ya kwanza kutoa comment kwenye mitandoa...safiii bro endelea kutuelimisha
Shukrani
Tunasubiri Moto wa Mpagaze na Ananias Edgar!!!!
Hahahaa
Jamani mtangazaji nakupenda beautiful
Ahsante ni nzuri sana kuisikiliza
Shukrani kwa Elimu
Makofi yasiyo na idadi kwa brother EDGA 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 we jamaa unajua mpaka homa
Safiii
Good job my brother 👏👍🙌
tuleteee historia ya osama bin laden
FANYA NA OSAMA MPAGAZE NA EDGER LETE KITU HIYO
Fotunatus Kisunga aha
ipo
SAIZ WANAISOMA NAMBA MANINA ZAOOOO...WAZUNGU SIO WATU
Mwenyezi mungu a laze Kahala pena amini
Hongera kaka. Ila kuna umuhimu wa watu kusoma vitabu. Vipo maktaba
Rip king of afrca
Kwa sisi wadogo tunaokua tutaenzi na kendeleza Kila liliokuwa wazo lake juu ya Africa na nchi zetu kiujumla
Mungu ailaze maala pema roho ya shujaa huyu
We kaka nakukubali kwa Utangazaji wako Unavutia sana.kama unamkubali Ananias Edga kama mim Nipe like
Dah asante tunashukuru sana kwaisitoriya
Ananias Edgar linapokuja swala la simulizi huna mpinzan kwa sasa,ila Libya naomba waendelee kuisoma had warudi kwenye nyakat za mfalme Idrisa nchi ibaki jangwa
Mtangazaji anaweka point alafu kwenye maelezo anachamba kwanza😂😂😂
shikamoo mtoa historia big up.upo sawa mi nimekuelewa sana yani dah.
R.I.P Gadafi mungu akulipe baba
Upo vizuri sana
Wazungu Sio Vikwazo Vikwazo Viko Kwa Waafrika Wenyewe Mi Waribya Hata Wakiuwana Sawa Tu Kiukweli Walitenda Kosa Kubwa Sana Wacha Wapungue Tu Kosa Kubwa Sana Kuua Raisi Anaejenga Miundombinu Ya Kuwasaidia
👏👏👏👏story inafundisha
U r so smart broo! Respect to u
Safi sana bro
nafurahi sana kwa story mnazotupa kwani tunapata kujua historia mbalimbali Shukran sana
Inallillah waiynalillah rajiuin
Asante kwa makala
hongera sana fundi wa kuturetea story tamu abazo hatukuzijua
Allah akuhifdh colonel
Asante kaka, ngoja niitafute
Am speechless , nice story
Nilikuwa namkubali sana allah ampe rehma pumzika kwa amani
Uko vzr sana, hakika unavutia kufuatilia simulizi zako.
Big up
Daaahh roho inaumaa sanaa
Hongera nimeipenda
Hii nzuri
mungu akupumzishe kwa amani baba kwa raha ulizowapa.wananchi wako. lakujifunza hapa ni kumsaport magufuli anafata nyayo za gadafi kuleta miradi mikubwa kukomboa tanznia tusikubali chokochoko kama za walibya tuwepamoja na jpm atukomboe wa tanzania we must support mzalendo mh raisi magufuli mda si mrefu tutaona manufaa ya uzalendo kwa utajiri wa nchi yetu kama elimu bure huko mbele hata umeme maji sio ngumu kua bure pia mh.raisi tuko nyuma yako baba wanao vijana wa nchi hii tunakusapport
Rais Muamal Gadaff alikuwa jembe, siku zote chema hakipendi.
gadafi alichangia uganda kutupiga
@@semanasitv8303 soma historia ya dola ya Afrka mashariki utajua ni kwa namna gani Ghadaf alimsaidia Idd amin kuipiga Tanganyika, pengine usingekuwa na maisha mabovu km yaliyopo TZ leo
Tatizo ni lile moja tu, kusoma. Watu wametosheka na historia tulizolishwa shuleni za matango pori ambazo hata waliotutawala hawazisomi hizo. Jamani kusoma vitabu mbalimbali ndio kutakakotutoa ktk huu ufungwa wa kifikra. Tusome
libiya sasa ivi umekuwa uwanja wa mapambano
Ni kweli kabisa bro, ukipigania haki hapa tz unaitwa mchochezi, na marufuku nyingi ni hofu kwa serikali isiyojiamini !
Daaah!! Vizuri sana annias kwa simulizi nzuri.R.I.P Gadaffi . Walibya watajuta sana
Gaddafi kai rani Libya iti zame leo hii
Kama kwaoalio walisha kadafi wamsu tu nihaki lakini wokovu wa kweli ni kwa YESU walio mpokea hawajuti wakifa zao peponi wanao mwamini kadafi sasa angalia nimajuto tu wakuaminiwa ni YESU
Nakutumia vocha aki ya mungu
brother !!!mungu akubaliki!!snaa!!una kipaji kikubwa sna!!!nafulahi!!najifunza!!na elimika!!piah
nimejiunga!!!na club ya global!!tv mimi nikuwa naomba kukutanishwa na eric shigongo!!ama!!member yoyote!!!mwenye dream kam!!mimi!!hasa motivation spker
Asante sana
R.I.P Gadafi kweli Waafrika tunajitafuna wenyewe pasipo kujielewa, tunagombanishwa na Wazungu ili kuendelea kuishusha chini Africa
Hongera sn Gadaphi Mungu akupe pumziko LA kweli
Hivi Libya nini tena mlitaka jaman mkamsaliti Rais wenu? Raha zote hizo jmn bado mkamfanyia unyama mkubwa huo😢😢 kweli penye miti hapana wajenzi
Daaah inaumiza sana
Watapata tabu sana
Yaliyotokea Libya ndo haya haya anayofanya lissu nchini
una juwa kuhongea sana from USA 🇺🇸
Ndio vile hip ni Bongo, Dar er Salaam, Tanzania, East Africa, ni Hatariiii!!!!.
Kubari sana mtangazaji upo nice sana
Libya awatompataga mtu kama Gaddafi wanajuta kwa nn walimsaliti
Umetisha kwa makala hii
Safi sanaaaa
Very nice this story
Uko juu
kazi nzuri sana kiongozi
asantee broooo
I salute ur job... Rada yako iko sawa kbsa
Kama Kuna Mtu Unausika Kutoa Uduma Bola Mungu Akuchukue Wewe Ufai Kua Ulimwenguni Mungu Atupendi Watu Wasiofuata Shelia Za Kazi Zao Mungu Wavune Watu Wanaojiita Miungu Watu
mungu aKurazimaari pma
Mungu amzidishie kutokana na wemaweke
I like how yu narrates
Allah akuhifadhi Gaddafi akulipe kila jema
Mouamar Gaddafi mungu akulaze mahali pema
Dah mkuu hizi makala ndo dawa yangu asante sana
Jackson Mgaya Mimi nilikuwa nakufa sasa nimepata dawa
Ko umepona au sio?
nakubali sna!!kka
Tipatie story za mengi Mzee wetu mungu amrehemu
daaah nimeipenda sana
Waafrican bado hatujajielewa hilo tu,,,,🤔🤔🤔
Like zenu waungwana
Muamali gadafi alikuwa anacheza nao kwa hakili MUNGU akulaze mahali pema pepperoni AMEN
Wow goldenboy msafi kutoka Kenya shabiki yako saana salute mkuu
your voice kills me🙈🙈♥️, courage vraiment
😂😂😂😂napenda saana unavyosimulia brother!