HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2019
  • HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
    Kutana na Rais Samuel Konyan Doe wa Liberia ambaye kwa kushirikiana na rafiki yake Prince Johnson walimpindua aliyekuwa rais wa Nchi hiyo, William Tolbert na kisha kumuuwa.
    Baada ya kushika dola, Samuel Doe alitesa sana nchi bwana huyu alitumia madaraka yake vibaya hali iliyomfanya rafiki yake mpenzi Prince Johnson kuwa adui wake mkubwa, ambaye baadae alibambwa na kisha kuuawa kikatili sana.
    #SAMUELDOE
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
    GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Комментарии • 388

  • @nebrowntz9154
    @nebrowntz9154 5 лет назад +246

    Daa Kaka unajua EMBU like hapa kama umemkubal mtangazajiii

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 лет назад +9

    Duh! Yaani unavyosimulia historia hadi raha. Shukran. Mola awabariki 😘

  • @nexakadeus7855
    @nexakadeus7855 5 лет назад +11

    duh story nzuriii na inafunzaaa ety

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 5 лет назад +3

    Tangu miaka mingi nasikia sauti yako. Cjawahi kukuona lakini you are one of my best commentators ever.
    Hongera sana, simulizi zako daima ni za ustadi mkubwa.

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 5 лет назад +7

    Emmanuel..........GOD with us.

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 5 лет назад +5

    Msomaji wa habari you are the best of the best hongera very good pronunciation this is the swahili that is NO MORE

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 5 лет назад +52

    Story. Ni poa saaana,,,istoshe,,mtangazaji,,,yuko vizur

  • @joshuaodongo6268
    @joshuaodongo6268 3 года назад +4

    Great work,God bless you

  • @geoffrey256
    @geoffrey256 5 лет назад

    Asante sana kwa usimulizi safi kabisa. Tafadhalini chapiseni video vingi zaidi kuhusu historia ya Afrika.

  • @rosekan8865
    @rosekan8865 5 лет назад +5

    Mtangazaji amenifanya kutazama video nzima. Upo vizuri kaka. Big love bro

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 5 лет назад

    Hatari sana nimekupenda.bure kweli unaweza

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад

    Asante san kwa kutupatia historia mzuri

  • @ididmsangi8216
    @ididmsangi8216 3 года назад +1

    Mr you have quality voice bro may god. Bless it

  • @Adumah77
    @Adumah77 3 года назад +2

    God bless those who stood for Africa and it's people, lumumba,Mandela,nkrumah,nyerere etc 🙏

  • @knamics
    @knamics 5 лет назад +3

    umetangaza vizuri sana

  • @michaellusingu578
    @michaellusingu578 5 лет назад +1

    nice story wengi tunapenda kusikiliza kuliko kupata mafunzo ndy maan tupo vilevile kila cku

  • @saidizungu2115
    @saidizungu2115 4 года назад +7

    Twend sawa wazee w 2020

  • @maombitv4118
    @maombitv4118 5 лет назад +3

    so nice narration mkuu

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 4 года назад +2

    Mhhhhh hii kali 😢😢😢😢
    Ukisikiliza story kama hizi unamshukuru Mungu kwa amani ya Tz loooh eeeh Mungu utuepushie mbali.

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 5 лет назад +3

    habari nzuri nakala nzuri sana mpagaze

  • @fpyusuphmagige3954
    @fpyusuphmagige3954 5 лет назад

    Hongera Sana unajua kuchambua habari vizuri

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 5 лет назад +1

    Story ni yakahuzunisha sana aisee, watu wanaroho mbaya sana hapa chini ya jua.

  • @dachjunior4766
    @dachjunior4766 5 лет назад +22

    "UKISIKIA WATU WANASEMA TUKO NYUMA YAKO KUWA MAKINI SANA MAANA WAWEZA GEUKA NYUMA NA USIWAKUTE" ..... Nimeipenda sana hiyo ... Hongera

  • @yazidu_tz
    @yazidu_tz 5 лет назад +5

    🙌🙌😂😂 anhaaa pepo la kuua Mamae gonga like

  • @agnessmwasanga6263
    @agnessmwasanga6263 5 лет назад +2

    hongera dir denis mpagazi from ajuco

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga6132 5 лет назад

    Mtangazaji bora sana, hongera.

  • @focustz4408
    @focustz4408 5 лет назад +116

    Hizi ndio makala za kupost sio mambo ya wambeya tu

  • @gasperkanje8930
    @gasperkanje8930 4 года назад

    Ni noma,uko vizuri msimuliaji,nilikuwa naangalia pia makala ya idd amini

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 5 лет назад +6

    Salute Mr.Journalist I appreciate the way you present!!!

  • @samasob8233
    @samasob8233 5 лет назад +2

    Again, thank you for the memories, but research.... hakunchinjwa, alivyokatwa sikio usiku, aliwekwa mahabusu ili auwawe, lakini alikuwa proud sana, kisha akaamua kujiua kwa kujigonga kichwa kwenye ncha/kona ya sink, hivyo vitu alikatwa baada ya kukutwa amekufa tayari, mahasira ya huyo mtesaji akaamua kukata kata huo mwili, kwa sababu mteswaji alijua akikutwa hai asubuhi hayo yangemkuta!!!! well played

  • @aboubacarfitbae1661
    @aboubacarfitbae1661 5 лет назад

    Kaz nzuri sana global tv

  • @dannyrapha6661
    @dannyrapha6661 5 лет назад +5

    Big up bro uko vizuri

  • @jofreymwangomale715
    @jofreymwangomale715 5 лет назад +1

    Mtangazaji bigup sanaaa

  • @georgechombo3672
    @georgechombo3672 5 лет назад +6

    Your voice is excellent very excellenty

  • @HASASON
    @HASASON 5 лет назад +1

    Dah unaweza

  • @abdilahijumanne1415
    @abdilahijumanne1415 3 года назад

    asante nakubali stor

  • @cestlaviecestlavie4606
    @cestlaviecestlavie4606 5 лет назад +25

    😂😂😂, mtangazaji nimekupenda bureeee, ikiuwa kwa kisu, uta iwawa kwa kisu...

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 года назад

      Amenipunga sana 🤣🤣🤣asema wajuwa nyumba za madebe ww kamulize babu yako 🤣

  • @paxbukeyeneza2093
    @paxbukeyeneza2093 5 лет назад

    nashukuru

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 5 лет назад +8

    Unajua sana mtangazaji

  • @dianamosha8099
    @dianamosha8099 5 лет назад +3

    Hii ndiyo story pia uko vizuri kaka

  • @cathbertmbacho6457
    @cathbertmbacho6457 4 года назад

    Broo uko vizuri sana

  • @bakarilingame9648
    @bakarilingame9648 5 лет назад +10

    Mmmh kwakweli iyo kali

  • @alphoncenestorybishirangon1836
    @alphoncenestorybishirangon1836 5 лет назад +2

    Makala nzuri sana

  • @ashab2537
    @ashab2537 5 лет назад +2

    Daaaah aiseee, mwili wangu wote umekuwa na ganzi

  • @apollobupolo9884
    @apollobupolo9884 5 лет назад +2

    Safi sana

  • @mosesmwakalinga4312
    @mosesmwakalinga4312 3 года назад +2

    Ningependa Nani kuweka story hapa tz

  • @yusuphoalfredo5798
    @yusuphoalfredo5798 5 лет назад

    Kwakweli uko vizuri kwa suala la kusimulia,nimesubiri kwa hamu simulizi nyingiñe ya hawa watu wànaojifanya miungu watu.

  • @luomusicchannelfromtanzani5650
    @luomusicchannelfromtanzani5650 5 лет назад

    Story nzuri sana

  • @niwabisaikombe6068
    @niwabisaikombe6068 5 лет назад +30

    Gonga like apa kama unamuelewa jamaa

  • @tonywilliams8819
    @tonywilliams8819 5 лет назад +6

    Wewe ni mtangazaji professional kweli!!
    Nimependa sana simulizi zako...............

  • @hawanjenga7025
    @hawanjenga7025 5 лет назад +2

    Historia nzuri sana

  • @suleshmwakz8329
    @suleshmwakz8329 5 лет назад +2

    Uko vizuri mtangazaji ila kwa Spesho Kabwanga hujafika

  • @williamalex4792
    @williamalex4792 5 лет назад +2

    Niliisubiria sana hii story bora leo mmeileta

  • @hemedissa7675
    @hemedissa7675 5 лет назад

    Nakukubali brother

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 4 года назад +1

    Jamaa anafanana na waziri wa tamisemi @seleman Jafo wa tz 🤗🤗😁😁😁

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 3 года назад +1

    Tutafsirie na ya kipenzi chetu MAALIM SEIF SHARIF HAMAD 😭😭😭 , nimependa sana unavosimulia.

  • @ricksonmackimillan383
    @ricksonmackimillan383 5 лет назад

    Nimekukubali pia

  • @dennismuhozamuhoza2391
    @dennismuhozamuhoza2391 4 года назад

    Nice sanaaaa

  • @fredyaddy5695
    @fredyaddy5695 3 года назад +1

    Dah inaumiza sana, africa kuna mambo ya ajabu kweli

  • @saidymtenda9777
    @saidymtenda9777 5 лет назад +2

    Namkubali sana huyu mkubwa Historia nzuri, Anajua kutusimulia kama Alikuwepo haya twendeni kifikla sote

  • @walivyojuma7095
    @walivyojuma7095 4 года назад

    Ananies ediga nakukubali ww ni🔥🔥🔥🔥🔥jikite saana kwenye istoria achana na habr za udaku tumechoka udaku tunataka habar zakiistoria kuhusu nchi zetu za kiafrka na nk wadau tuko wengi tutakuwa pamoja pia ikiwezekana tengeneza gruop la kiafrka na laikistoria zaid zamwezn na nk tutalipia kwabei yoyot irdi stor ziwe zinaendn na ukwl napenda saana stri zake

  • @rozinahamisi84
    @rozinahamisi84 5 лет назад +3

    Dah hii istoria imepata mwenyewe kuisoma hadi rahaa hongera mtangazaji

  • @stephenmgema2208
    @stephenmgema2208 5 лет назад +8

    Nimependa msimulizi unavyosimulia hii story.

  • @nginapatitabeatrice3960
    @nginapatitabeatrice3960 3 года назад

    Interesting

  • @jessicamm3171
    @jessicamm3171 5 лет назад

    🙏

  • @goodmorningafrica6409
    @goodmorningafrica6409 3 года назад +1

    Nzuri

  • @josephzakaria4462
    @josephzakaria4462 5 лет назад +1

    Unajua sana kaka Hongera mno

  • @alexchea7150
    @alexchea7150 3 года назад

    Happy bday to our first indigenous president MASTER SERGEANT SAMUEL K. DOE.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 лет назад +3

    Daah aisee yani hawa watu wana roho mbaya

  • @balneoshujaashupav9456
    @balneoshujaashupav9456 5 лет назад

    🙌👏

  • @makariouscharamba5371
    @makariouscharamba5371 2 года назад +1

    Elezea story vzur Maana Samwel doe aliondoa ufreemason ulikuw ukithri sanahuku Liberia nchin Liberia ilikuw ishakuw ya kifalaun hyo nchi wa marekan Weus na ufremanson wao walkuw wanatesea wenzao na wanapendeleana

  • @Kubaaaa947
    @Kubaaaa947 3 года назад

    mtangazaji 🙌🙌🙌amenifanya nisiseme najua Kiswahili

  • @msigwaonestv9353
    @msigwaonestv9353 3 года назад

    Nakuelewaga sana

  • @dihigokombo5055
    @dihigokombo5055 5 лет назад +1

    Nitafurahi ukisimulia historia ya PABLO ESCOBAR. ALIYRKUWAY MFALME WA MADAWA YA KULEVYA DUNIANI

  • @thabitpilymo9869
    @thabitpilymo9869 5 лет назад +2

    Kwenye mke hapo nomaaa

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 5 лет назад +5

    ikiwa kivuri chako kinakukimbia wakat wa giza sembuse binaadamu bwana !!! duuuuu ni kweli man nakukubar mtangazaj umetisha

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 5 лет назад +32

    Mateso ya bwana wetu yesu kristo hayawezi kulinganishwa na ya binadamu yeyote yule asante mwokozi yesu kwa ukombozi wa dunia

  • @nelsonnyangile6871
    @nelsonnyangile6871 4 года назад

    Hakika nampa hongera

  • @shadrackmnjelu5285
    @shadrackmnjelu5285 5 лет назад +2

    Nakubal xana hiz mambo

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 лет назад

    mtangaz yuko vzr sana

  • @alimojaqueen7343
    @alimojaqueen7343 3 года назад

    Nice

  • @wlkmwlkm8486
    @wlkmwlkm8486 5 лет назад +4

    Huyo ndio MTANGAZAJI PEKEE TANZANIA ANAE JUA KUTANGAZA HABARI. WENGINE WOTE NI PEREPERE WASIO ELEWEKA. CONGRATS BRO

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 5 лет назад +4

    Shetani akizeeka anakuwa malaika ahsante kwa historia nzuri na pia ni fundisho

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba7696 5 лет назад

    Duh!

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 5 лет назад +2

    Kuna watu na madigree yao yakupanga hawaezi kusimulia Hadithi vizuri hivyo👏👏

  • @franknewland4662
    @franknewland4662 5 лет назад

    Big up

  • @saidymtenda9777
    @saidymtenda9777 5 лет назад

    Wallah watu wote walaamia huku Global Tv Amini hizi ni mada za kusiliza

  • @kelvincharles5952
    @kelvincharles5952 5 лет назад +1

    Aise kitu kama hiii ndo inafaa kupostiwa sio umbea.....bro upo vzuri

  • @pililanimrambia8752
    @pililanimrambia8752 5 лет назад

    asante baba t b Joshua

  • @festoottosimkwayi5597
    @festoottosimkwayi5597 3 года назад

    Hii inasikitisha sana.

  • @hightec-blend8880
    @hightec-blend8880 5 лет назад +8

    La! Laiberia ina historia nzitoooo!!

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 5 лет назад +1

    Pongezi kwako mtangazaji maana unaweza sana

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 5 лет назад +6

    Eti ata shetani utamwita malaka asante sana nzuri

  • @abuubakarmohammed3404
    @abuubakarmohammed3404 5 лет назад +1

    Masha Allah unakua dah africa imetoka mbali wauaji wengi sana, lakini ukiua na wewe ipo siku utakufa tu kifo kibaya,

  • @jjboy5157
    @jjboy5157 4 года назад

    😯😯

  • @joshuagambi2133
    @joshuagambi2133 5 лет назад +2

    Ukweli no auaye kwa upanga atauawa kwa upanga

  • @lightnesstumsifu6593
    @lightnesstumsifu6593 5 лет назад +4

    Historia inasikitisha

  • @josephtvshow7467
    @josephtvshow7467 5 лет назад +1

    Eeeeh!!!!!!! Aiseiyii!!!!!! Duara dufu.

  • @nasseraisha6002
    @nasseraisha6002 5 лет назад

    Mtangazaji sauti yk kama ya filex mwenda anaetangaza simulizi mix

  • @bintlola3127
    @bintlola3127 5 лет назад +1

    Hahahaha matako👌🏻😁😁😁...muandishi mmekupendraaa