HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2019
- HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
Kutana na Rais Samuel Konyan Doe wa Liberia ambaye kwa kushirikiana na rafiki yake Prince Johnson walimpindua aliyekuwa rais wa Nchi hiyo, William Tolbert na kisha kumuuwa.
Baada ya kushika dola, Samuel Doe alitesa sana nchi bwana huyu alitumia madaraka yake vibaya hali iliyomfanya rafiki yake mpenzi Prince Johnson kuwa adui wake mkubwa, ambaye baadae alibambwa na kisha kuuawa kikatili sana.
#SAMUELDOE
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
Daa Kaka unajua EMBU like hapa kama umemkubal mtangazajiii
anajua kwa kumfananisha yesu na huyo mpuuzi mwizi
Nnapenda utangazaji wako
Nebrown Tz
Nebrown Tz uyunjaaa yukovili kwl
Nimependa namimi
Duh! Yaani unavyosimulia historia hadi raha. Shukran. Mola awabariki 😘
Asante sana.
duh story nzuriii na inafunzaaa ety
Tangu miaka mingi nasikia sauti yako. Cjawahi kukuona lakini you are one of my best commentators ever.
Hongera sana, simulizi zako daima ni za ustadi mkubwa.
Emmanuel..........GOD with us.
Msomaji wa habari you are the best of the best hongera very good pronunciation this is the swahili that is NO MORE
Asante sana.
Story. Ni poa saaana,,,istoshe,,mtangazaji,,,yuko vizur
Great work,God bless you
Asante sana kwa usimulizi safi kabisa. Tafadhalini chapiseni video vingi zaidi kuhusu historia ya Afrika.
Mtangazaji amenifanya kutazama video nzima. Upo vizuri kaka. Big love bro
Hatari sana nimekupenda.bure kweli unaweza
Asante san kwa kutupatia historia mzuri
Mr you have quality voice bro may god. Bless it
God bless those who stood for Africa and it's people, lumumba,Mandela,nkrumah,nyerere etc 🙏
umetangaza vizuri sana
nice story wengi tunapenda kusikiliza kuliko kupata mafunzo ndy maan tupo vilevile kila cku
Twend sawa wazee w 2020
so nice narration mkuu
Mhhhhh hii kali 😢😢😢😢
Ukisikiliza story kama hizi unamshukuru Mungu kwa amani ya Tz loooh eeeh Mungu utuepushie mbali.
Me nashukur mung nlchelew kuzaliw kwa kwel
habari nzuri nakala nzuri sana mpagaze
Hongera Sana unajua kuchambua habari vizuri
Story ni yakahuzunisha sana aisee, watu wanaroho mbaya sana hapa chini ya jua.
"UKISIKIA WATU WANASEMA TUKO NYUMA YAKO KUWA MAKINI SANA MAANA WAWEZA GEUKA NYUMA NA USIWAKUTE" ..... Nimeipenda sana hiyo ... Hongera
Watu wameteseka binadamu mtu mmbayaaaaaaa
Hata Mimi nimeikubali
🙌🙌😂😂 anhaaa pepo la kuua Mamae gonga like
hongera dir denis mpagazi from ajuco
Mtangazaji bora sana, hongera.
Hizi ndio makala za kupost sio mambo ya wambeya tu
Umeona eeeeeeee?
@@danielmadenyeka4248 watu tunataka vitu via maana kama hizi ili tuwe tunafam mambo yanayo enderea
Like kama unamkubal
Hii makala imenigusa sana.
@@swetaachayo317 iko vizur sana
Ni noma,uko vizuri msimuliaji,nilikuwa naangalia pia makala ya idd amini
Salute Mr.Journalist I appreciate the way you present!!!
Asante sana.
Again, thank you for the memories, but research.... hakunchinjwa, alivyokatwa sikio usiku, aliwekwa mahabusu ili auwawe, lakini alikuwa proud sana, kisha akaamua kujiua kwa kujigonga kichwa kwenye ncha/kona ya sink, hivyo vitu alikatwa baada ya kukutwa amekufa tayari, mahasira ya huyo mtesaji akaamua kukata kata huo mwili, kwa sababu mteswaji alijua akikutwa hai asubuhi hayo yangemkuta!!!! well played
Kaz nzuri sana global tv
Big up bro uko vizuri
Asante sana.
Mtangazaji bigup sanaaa
Your voice is excellent very excellenty
Dah unaweza
asante nakubali stor
😂😂😂, mtangazaji nimekupenda bureeee, ikiuwa kwa kisu, uta iwawa kwa kisu...
Amenipunga sana 🤣🤣🤣asema wajuwa nyumba za madebe ww kamulize babu yako 🤣
nashukuru
Unajua sana mtangazaji
Asante sana.
Hii ndiyo story pia uko vizuri kaka
Broo uko vizuri sana
Mmmh kwakweli iyo kali
Makala nzuri sana
Daaaah aiseee, mwili wangu wote umekuwa na ganzi
Safi sana
Ningependa Nani kuweka story hapa tz
Kwakweli uko vizuri kwa suala la kusimulia,nimesubiri kwa hamu simulizi nyingiñe ya hawa watu wànaojifanya miungu watu.
Asante sana, tutafanya hivyo.
Story nzuri sana
Gonga like apa kama unamuelewa jamaa
Fakyou. Wa noko
Wewe ni mtangazaji professional kweli!!
Nimependa sana simulizi zako...............
Asante sana.
Historia nzuri sana
Asante sana Hawa.
Uko vizuri mtangazaji ila kwa Spesho Kabwanga hujafika
Kweli kabisa.
Niliisubiria sana hii story bora leo mmeileta
Nakukubali brother
Jamaa anafanana na waziri wa tamisemi @seleman Jafo wa tz 🤗🤗😁😁😁
Tutafsirie na ya kipenzi chetu MAALIM SEIF SHARIF HAMAD 😭😭😭 , nimependa sana unavosimulia.
Nimekukubali pia
Nice sanaaaa
Dah inaumiza sana, africa kuna mambo ya ajabu kweli
Namkubali sana huyu mkubwa Historia nzuri, Anajua kutusimulia kama Alikuwepo haya twendeni kifikla sote
Ananies ediga nakukubali ww ni🔥🔥🔥🔥🔥jikite saana kwenye istoria achana na habr za udaku tumechoka udaku tunataka habar zakiistoria kuhusu nchi zetu za kiafrka na nk wadau tuko wengi tutakuwa pamoja pia ikiwezekana tengeneza gruop la kiafrka na laikistoria zaid zamwezn na nk tutalipia kwabei yoyot irdi stor ziwe zinaendn na ukwl napenda saana stri zake
Dah hii istoria imepata mwenyewe kuisoma hadi rahaa hongera mtangazaji
Asante sana.
Nimependa msimulizi unavyosimulia hii story.
Interesting
🙏
Nzuri
Unajua sana kaka Hongera mno
Asante sana.
Happy bday to our first indigenous president MASTER SERGEANT SAMUEL K. DOE.
Daah aisee yani hawa watu wana roho mbaya
🙌👏
Elezea story vzur Maana Samwel doe aliondoa ufreemason ulikuw ukithri sanahuku Liberia nchin Liberia ilikuw ishakuw ya kifalaun hyo nchi wa marekan Weus na ufremanson wao walkuw wanatesea wenzao na wanapendeleana
mtangazaji 🙌🙌🙌amenifanya nisiseme najua Kiswahili
Nakuelewaga sana
Nitafurahi ukisimulia historia ya PABLO ESCOBAR. ALIYRKUWAY MFALME WA MADAWA YA KULEVYA DUNIANI
Kwenye mke hapo nomaaa
ikiwa kivuri chako kinakukimbia wakat wa giza sembuse binaadamu bwana !!! duuuuu ni kweli man nakukubar mtangazaj umetisha
Mateso ya bwana wetu yesu kristo hayawezi kulinganishwa na ya binadamu yeyote yule asante mwokozi yesu kwa ukombozi wa dunia
Amina
Hii zaid ya yesu mzee
Ni kweli huwezi linganisha
acheni kufananisha mateso ya yesu na huu upuuz hayana mfano na haitatokea milele
Ok.ni kweli,samahani kwa hilo.
Hakika nampa hongera
Nakubal xana hiz mambo
mtangaz yuko vzr sana
Nice
Huyo ndio MTANGAZAJI PEKEE TANZANIA ANAE JUA KUTANGAZA HABARI. WENGINE WOTE NI PEREPERE WASIO ELEWEKA. CONGRATS BRO
Asante sana.
😂😂😂
Shetani akizeeka anakuwa malaika ahsante kwa historia nzuri na pia ni fundisho
Duh!
Kuna watu na madigree yao yakupanga hawaezi kusimulia Hadithi vizuri hivyo👏👏
Big up
Wallah watu wote walaamia huku Global Tv Amini hizi ni mada za kusiliza
Aise kitu kama hiii ndo inafaa kupostiwa sio umbea.....bro upo vzuri
asante baba t b Joshua
Hii inasikitisha sana.
La! Laiberia ina historia nzitoooo!!
Mmmmh we acha tu 😣😣
Kweli kabisa.
Vipi sisi Zanzibar hatuna historia nzito??? .Hutaki kujuwa
Pongezi kwako mtangazaji maana unaweza sana
Eti ata shetani utamwita malaka asante sana nzuri
Hata shetani alikuwa malaika
Masha Allah unakua dah africa imetoka mbali wauaji wengi sana, lakini ukiua na wewe ipo siku utakufa tu kifo kibaya,
😯😯
Ukweli no auaye kwa upanga atauawa kwa upanga
Historia inasikitisha
Kweli kabisa.
Eeeeh!!!!!!! Aiseiyii!!!!!! Duara dufu.
Mtangazaji sauti yk kama ya filex mwenda anaetangaza simulizi mix
Hahahaha matako👌🏻😁😁😁...muandishi mmekupendraaa