Waislamu nchini wajiunga na wenzao ulimwenguni kuadhimisha sikukuu ya Eid Ul Adha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Waislamu nchini leo wamejiunga na wenzao ulimwenguni kuadhimisha sikukuu ya Eid Ul Adha, huku wito wa amani, upendo na heshima ukishamiri kwenye majukwaa mengi. Makundi ya waumini yalijumuika kwenye viwanja na misikiti mingi kwa swala ya Eid, iliyokamilishwa na tamaduni ya kuchinja. Miswaleh Zingizi na taarifa zaidi

Комментарии •