TAHARUKI: MTOTO WA MIAKA 16 ANUSURIKA KIFO MKOANI NJOMBE 'TAMAA YA LAKI TANO'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 52

  • @neemarosedawson3154
    @neemarosedawson3154 6 месяцев назад +1

    Maskini katoto kanaonekana kanasema kweli kabisa. Huu ni ukatili mkubwa sana

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 6 месяцев назад +4

    Mmmh Dunia sio mbaya Binadamu ndio wabaya

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 6 месяцев назад +2

    Muongo mkubwa! Ulikubali mwenyewe,mbona hukusema hiyo cku ya kwanxa?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 месяцев назад +1

    Ni aibu sana kwa jeshi la police baada ya kesi kujulikana kwenye vyombo vya habari ghafla upelelezi umekamilika, na miezi yote upelelezi haujakamilika. Waziri wa mambo ya ndani yuko kimya Rais yuko kimya nchi watu wanaendesha wanavyotaka wao tofauti sana na enzi za JPM

  • @marrypius576
    @marrypius576 3 месяца назад

    Hiz ni story za jaba😂😂😂 wewe ulitak utamu mwenyw

  • @naomisamwel18
    @naomisamwel18 6 месяцев назад +1

    Shughuli inakuja akiwa mtu mzima na asipate tena mtoto😢kizazi byby na mafunza juu

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 6 месяцев назад

    Balidi ya njombe c mchezo😂

  • @mariachales3283
    @mariachales3283 6 месяцев назад +2

    Leo na Mimi WA pili kutoka omani 🇴🇲 jamani pole Sana mtoto wangu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 месяцев назад +1

    Police wa Tanzania ni ovyo sana yaani ni genge la wahuni hiyo kesi ingefukiwa wameshahongwa hela. Huyo daktari na dada wa huyo msichana wangeshitakiwa

  • @ChuichuiJozey
    @ChuichuiJozey 5 месяцев назад

    Tamaa ya hela Kuma yake si Wana hela hao akna lususu

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 6 месяцев назад +1

    Duu inatishaa funza tumboni nini kumtesa mtoto wabina damu mwenzio 🤮🤮🤮🤮

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад +1

      Huyo kizaz hakipo

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад +1

      @@matridamwalyoyo1735 kweli namimi nimefikili hakipo kabisa

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 6 месяцев назад +1

    Jaman mtot mdog kapitia magum kaaah dunia hii,,huy docta muuaji wallahi

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 6 месяцев назад +1

    Hiyo mimba so miez ya 3 ilikua kubwa

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 6 месяцев назад

    Police wa tz wasenge sana. Wamekazania upelelezi haujakamirika wakanti wausika wapo na mtu ariefanyiwa hunyama yupo sijui hakiri zao zipoje,na Kwan tz hakimu yupo Moja rushwa zimetawara wamenda kumuaribia kizazi mtto wa watu

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 6 месяцев назад

    Mtoto wakike ukimpeleka mgahawan jua umempeleka sehem yavishawishi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 месяцев назад +1

    HV NA MAASKARI KWANN HUWA MNASEMA UPELELEZI UKIKAMILIKA WAKAT NA USHAHIDI UPO?

  • @CalmGlassRose-oy3qv
    @CalmGlassRose-oy3qv 6 месяцев назад

    Kwan mbon kama ni mschana tu ila ni kama kaamua tu kumchomesha dada, yake kajuaje mbeleko y mtoto imepanda na kwanin asiseme tangu cku y kwanza kabla doct hajaja kuvut huyo mtot

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 6 месяцев назад

    Hao wauwaji sio kutorewa mimba mazingira sio mazuria hakuna uzuri kwenye kuwa mtto mekura rushwa kambaka uyo uyo ni mtto mdgo sana hajui kitu na ukiangaria yupo kijijin haerewi uyo ariempa mimba na dda mtu na dcata wafungwe

  • @BonifaceHassan-j5m
    @BonifaceHassan-j5m 6 месяцев назад

    Weka ndani wote watatu+huyo daktari!=4 wote washenzi tu!

  • @HassanAmani-p6r
    @HassanAmani-p6r 6 месяцев назад +1

    Kikwete Ndio mumiliki officially wa Crown FM 💯.... Popo kazini 🦇🦇🦇🦇🦇🇹🇿😭

    • @ConsciousBNB
      @ConsciousBNB 6 месяцев назад

      Duh! Sasa inahusiana Nini na hii Habari?

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 6 месяцев назад

      😮😮😮iwe ya Ali iwe ya kikwete sis inatuhusu nin mshamba

    • @ZionMalisa
      @ZionMalisa 6 месяцев назад

      We nawe mshamba tuu,kwani wewe inakuhusu nini?

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад

      Sasa inahusianaje hapa?

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 6 месяцев назад

    Acha uongo wewe binti yote uliyataka mwenyewe

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 6 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu atusaidie sana tuwe na hofu ya Mungu
    Watu wanathamini pesa kuliko ubinadamu kweli dunia imekwisha halafu huyo ni dada
    Mungu akoa familia zetu
    Mama Mh Gwajima sema neno

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 6 месяцев назад

    Alikubali mwenyewe akulazimishwa

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 6 месяцев назад

    toto kubwa kuharibiana tu kazi huyo dada alikosea kula laki tano peke yake

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 месяцев назад

    Duh polisi walikuwa wanamlinda mtuhumiwa

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 6 месяцев назад

    Watoto wa 5G nyoko sana ulikubali mwenyewe kudinywa wala hukubakwa shida hapo 500,000 sister kala peke yake msala ndo umeanzia hapo.

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 6 месяцев назад

    Masikini Mazungumzo tu anaonesha ni mtoto

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 6 месяцев назад +1

    We laki 5 nachukua na mimba sikutoi

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 6 месяцев назад

    Pole sana mwangu roho inaniuma sna

  • @AsaphAroko
    @AsaphAroko 6 месяцев назад

    Polisi hawajui kazi hapa

  • @SalumMzee-mu7zt
    @SalumMzee-mu7zt 6 месяцев назад

    Mitihani

  • @NuruheartAmani
    @NuruheartAmani 6 месяцев назад

    Inaumiza sana

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад

    Polisi hawa du

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah8154 6 месяцев назад

    HP hakun kesi km wanapendan , waowanee tuu , sema n Hy binti alijuwa jamaa anamwoa lkn alivoon kimyaa, akaon alipot police

    • @joycemlay5762
      @joycemlay5762 6 месяцев назад

      Shida kubwa hapi sio kupeana mimba shida ni kutollewa mimba

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 6 месяцев назад

    Watoto wa sasa ivi Malaya sana

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 6 месяцев назад

      😂😂😂vitoto vya 2000 hivyo Dah...

  • @frankmlinda1181
    @frankmlinda1181 6 месяцев назад

    Pole sana

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 6 месяцев назад

    😭😭😭😭😭

  • @fridalaiton2029
    @fridalaiton2029 6 месяцев назад

    Duuu😢😢😢

  • @ConsciousBNB
    @ConsciousBNB 6 месяцев назад

    😭😭😭😭