Wachaga ni watu wa hovyo,hawana utu hata kidogo wao ni Pesa,Mali,utu hawana,Mimi sitakagi hata mchaga 1 awe jirani yangu na ninashukuri MUNGU,hajawahi kunipa jirani yangu mchaga.😢😢 Ni watu wa hovyo,husitamani.
@@israelkisaila8401Israel weye kakuambia nani kuwa wachagga wanakuhitaji. Waongea kama mtu wakati weye mpuuzi tu. Tangu lini kabila nzima wote uwaone wa ovyo weye kabila yako ina sukari gani. Hii Tz bado mnataka kuturudisha kwenye enzi za ukoloni. Tuache hii tabia mnajidhalilisha tu kwa wivu wenu wa kijinga. Weye huwezi kujilinganisha na ye yote maana akili huna 😢
Wanaume mnapoishi na wake zenu wa ndoa hakikisha mnaacha wosia na ushahidi kwa Ndugu zenu mkiwa bado hai mahali mtakapozikwa. Tena wosia uwekwe wazi kwa mke na Ndugu upande wa kiume. Mkikaa kimya mwanamke anafanya maamuzi anavyotaka.
Mtaamuaje mazishi bila mke kumshirikisha ndugu wa mume mna viherehere😮
Sana sijui wana kwama wapi
Tamaa ya mali
Tamaa za mali tu Amna kingine
Dah ukiwa na pesa hekaheka mpaka siku ya mazishi...ingekuwa maskini kitambo tu
Niliongea hivi hata kabla ya kusoma coment
Mke ni mke wamupe akamuzike mume wake ndugu wa mume apo wako wanataka mali tu
Anajua akizikwa hapo hapatauzika huyo mama anamalengo makubwa
😂😂😂 HUYO alikuwa ana pesa, Msiba wa maskini hakuna Mambo hayo
😂💯
😂😂😂😂
Angekuwa masikini tungeshamzika njiro daaaah😭😭😭
Tunamihitaji Mungu sana lakini wacaga wanapenda mali sana
Oya tengua kauli yako sio wachaga wote kima ww
@@judnesstemba7252ni wachagha wote😂😂😂mnapenda mali
Wachaga ni watu wa hovyo,hawana utu hata kidogo wao ni Pesa,Mali,utu hawana,Mimi sitakagi hata mchaga 1 awe jirani yangu na ninashukuri MUNGU,hajawahi kunipa jirani yangu mchaga.😢😢 Ni watu wa hovyo,husitamani.
@@israelkisaila8401Israel weye kakuambia nani kuwa wachagga wanakuhitaji. Waongea kama mtu wakati weye mpuuzi tu. Tangu lini kabila nzima wote uwaone wa ovyo weye kabila yako ina sukari gani. Hii Tz bado mnataka kuturudisha kwenye enzi za ukoloni. Tuache hii tabia mnajidhalilisha tu kwa wivu wenu wa kijinga. Weye huwezi kujilinganisha na ye yote maana akili huna 😢
@@israelkisaila8401 we usijumuishe wachaga wote pimbi mmoja
Mjifunze kitu Apo
Dah huu ni unyanyapaaji wa mke wa marehemu hawamthamni shemeji kwa kuwa mume kashafariki
Kifuatacho ni ugomv wa---
Ila ndugu wa mume mmeyatimba mtajuta
Lakini kama ni mke halali ana haki sasa kwa nini ndugu wa mwanaume wazuie angekuwa hawara tu ni sawa kuzuia ila ni mke
Huu msiba una Mambo mengi had huelew Nani kakosea
@@veronikahau2935kabisa,maana Mume kafa dar peke yake Mke hakuwa huko,yani kuna shida kubwa ,mahali😢
misiba ya matajiri tunawaachia matajiri.sisi maskini ni dua tu knachofuata n chepe fit6.kwsha
Ma wisfi bhanaa🙆
jiandae kwa lolote
Daah jamaa wamekula chakula kizuri sanaaaa
Wanaume mnapoishi na wake zenu wa ndoa hakikisha mnaacha wosia na ushahidi kwa Ndugu zenu mkiwa bado hai mahali mtakapozikwa. Tena wosia uwekwe wazi kwa mke na Ndugu upande wa kiume.
Mkikaa kimya mwanamke anafanya maamuzi anavyotaka.
❤❤😢😢😢😢😢
Heshimuni mamunzi ya mkewe maana walishapanga watazikwa kwingine ndugu wasiingilie familia ya watu hata km ni ndugu yao
Ndoa iheshimiwe na watu wote
Wachaga mmezid utapeli kuwazulum wajane
Mama hilder wangu pole jiran yangu
Mama hilder wangu pole jiran yangu
Mke ana haki ya kumnzika mumewe hiyo ni Sheria kabisa ndugu Wana shida sana
Jamani hao ndugu wanataka kuzikatu au niusulutani tamaa
Haki ipo kwa mke hapo wamuachie akampumzishe
😢😢😢😢😢
Duh
😢
Kama cheti cha ndoa,kipo hakuna mtu kukatiza hapo mbele,
SAFI. USIA WA MAREHEMU UWE UNAHESHIMIWA. TUACHE KUDHARAU KAULI ZA WATU WAKIWA WAMEKUFA
Mzee huna heshima kofia gan hio nauzee huo
Mali ndio kila kitu haujui
Ila Arusha😂😂😂😂😂
Ila ndg wa mume duh
RIP
Pole jaman, duh
Nina mashaka na ndugu au wamechangia kifo cha huyo Baba aje mpange maziko bila ya kumwambia mke wa marehemu😮😮😮😮
Wachaga ndo walivyo,yani wao uwa wakilala,wakiamka wanaweza Mali tu basi😢
Ila god
Tuandike usia na Rita wanatunza usia kwa gharama mdogo Sana kwa mwaka
Guys nimekua wa kwanza Ku view hii video am sure ndani ya sekunde 3 baada ya video kupostiwa...😁 nipeni like zenyu wadau
UCHOKO huo kulilia likes
Kwaiyo tukusaidie baada ya kuwahi 😏😏
Mama wa chakula mbona ana makasiriko
Umeonaaa eee kanikera kweli halafu hajachangia hata cent
Mke kweli au? Mbona mkavuuu?
Wachaga wanamengi ndugu yangu,ukute hata yeye yumo,na hapo kitakachofuatia saivi,utasikia wanaanza kuuwana.
R.I.P
Pumbavu mke wa marehemu huna haki za mwili wa marehemu. Kaka yake au dada yake mkubwa ndio mwenya haki
Wanaokushauri hao tunawasiwasinao
Sawa lakin Mali zake haziwahusu, wakae wakijua hivo, sema mke wa marehemu jicho kavu, half ukute Mali katafuta yeye lakin wanaanza kushoboka wao😮😮😮😮
Mke ndo Kila kitu ndugu SI angewao wao
@@tuikezeezra1315umeonaee mkavu kama vile msiba ni wa jirani!
Huna akili wewe
Kuna vitu vinakera usipo simama unapoteza kila kitu,pia sio muda wote utalia tuliofiwa tunamuelewa😢@@tuikezeezra1315