TAHARUKI ARUSHA, MAZIKO YA TAJIRI WA MADINI YASIMAMA GHAFLA, MKE AZUIA "MAANDALIZI YAMEFANYIKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 74

  • @asiamalonji5962
    @asiamalonji5962 2 часа назад +20

    Mtaamuaje mazishi bila mke kumshirikisha ndugu wa mume mna viherehere😮

  • @ZuhuraSaidi-y1j
    @ZuhuraSaidi-y1j Час назад +11

    Dah ukiwa na pesa hekaheka mpaka siku ya mazishi...ingekuwa maskini kitambo tu

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 2 часа назад +7

    Mke ni mke wamupe akamuzike mume wake ndugu wa mume apo wako wanataka mali tu

  • @GodySwitie
    @GodySwitie 2 часа назад +6

    Anajua akizikwa hapo hapatauzika huyo mama anamalengo makubwa

  • @Amedeus-fg8wq
    @Amedeus-fg8wq 2 часа назад +11

    😂😂😂 HUYO alikuwa ana pesa, Msiba wa maskini hakuna Mambo hayo

  • @richardswai5206
    @richardswai5206 12 минут назад +2

    Angekuwa masikini tungeshamzika njiro daaaah😭😭😭

  • @GlorydavidJeremiah
    @GlorydavidJeremiah 2 часа назад +8

    Tunamihitaji Mungu sana lakini wacaga wanapenda mali sana

    • @judnesstemba7252
      @judnesstemba7252 Час назад

      Oya tengua kauli yako sio wachaga wote kima ww

    • @annamussa185
      @annamussa185 39 минут назад

      ​@@judnesstemba7252ni wachagha wote😂😂😂mnapenda mali

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 30 минут назад

      Wachaga ni watu wa hovyo,hawana utu hata kidogo wao ni Pesa,Mali,utu hawana,Mimi sitakagi hata mchaga 1 awe jirani yangu na ninashukuri MUNGU,hajawahi kunipa jirani yangu mchaga.😢😢 Ni watu wa hovyo,husitamani.

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 10 минут назад

      ​@@israelkisaila8401Israel weye kakuambia nani kuwa wachagga wanakuhitaji. Waongea kama mtu wakati weye mpuuzi tu. Tangu lini kabila nzima wote uwaone wa ovyo weye kabila yako ina sukari gani. Hii Tz bado mnataka kuturudisha kwenye enzi za ukoloni. Tuache hii tabia mnajidhalilisha tu kwa wivu wenu wa kijinga. Weye huwezi kujilinganisha na ye yote maana akili huna 😢

    • @judnesstemba7252
      @judnesstemba7252 5 минут назад

      @@israelkisaila8401 we usijumuishe wachaga wote pimbi mmoja

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 2 часа назад +2

    Mjifunze kitu Apo

  • @judnesstemba7252
    @judnesstemba7252 Час назад +1

    Dah huu ni unyanyapaaji wa mke wa marehemu hawamthamni shemeji kwa kuwa mume kashafariki

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 часа назад +1

    Kifuatacho ni ugomv wa---

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 часа назад +1

    Ila ndugu wa mume mmeyatimba mtajuta

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt Час назад +3

    Lakini kama ni mke halali ana haki sasa kwa nini ndugu wa mwanaume wazuie angekuwa hawara tu ni sawa kuzuia ila ni mke

    • @veronikahau2935
      @veronikahau2935 Час назад

      Huu msiba una Mambo mengi had huelew Nani kakosea

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 28 минут назад

      ​@@veronikahau2935kabisa,maana Mume kafa dar peke yake Mke hakuwa huko,yani kuna shida kubwa ,mahali😢

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 2 часа назад +4

    misiba ya matajiri tunawaachia matajiri.sisi maskini ni dua tu knachofuata n chepe fit6.kwsha

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 Час назад +1

    Ma wisfi bhanaa🙆

  • @victornselu517
    @victornselu517 2 часа назад +1

    jiandae kwa lolote

  • @officialChamboy
    @officialChamboy Час назад +1

    Daah jamaa wamekula chakula kizuri sanaaaa

  • @JACOBNKURLU
    @JACOBNKURLU 4 минуты назад

    Wanaume mnapoishi na wake zenu wa ndoa hakikisha mnaacha wosia na ushahidi kwa Ndugu zenu mkiwa bado hai mahali mtakapozikwa. Tena wosia uwekwe wazi kwa mke na Ndugu upande wa kiume.
    Mkikaa kimya mwanamke anafanya maamuzi anavyotaka.

  • @Team-dabuji-comedy
    @Team-dabuji-comedy 2 часа назад +2

    ❤❤😢😢😢😢😢

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 10 минут назад

    Heshimuni mamunzi ya mkewe maana walishapanga watazikwa kwingine ndugu wasiingilie familia ya watu hata km ni ndugu yao

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 2 часа назад +4

    Ndoa iheshimiwe na watu wote

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 53 минуты назад

    Wachaga mmezid utapeli kuwazulum wajane

  • @graficitv4412
    @graficitv4412 5 минут назад

    Mama hilder wangu pole jiran yangu

  • @graficitv4412
    @graficitv4412 5 минут назад

    Mama hilder wangu pole jiran yangu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 9 минут назад

    Mke ana haki ya kumnzika mumewe hiyo ni Sheria kabisa ndugu Wana shida sana

  • @DottoDotto-j6t
    @DottoDotto-j6t 18 минут назад

    Jamani hao ndugu wanataka kuzikatu au niusulutani tamaa

  • @gervaslukaya
    @gervaslukaya 13 минут назад

    Haki ipo kwa mke hapo wamuachie akampumzishe

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 2 часа назад +1

    😢😢😢😢😢

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 часа назад +1

    Duh

  • @DeusJohn-m6g
    @DeusJohn-m6g 2 часа назад +1

    😢

  • @bigboys016
    @bigboys016 Час назад +1

    Kama cheti cha ndoa,kipo hakuna mtu kukatiza hapo mbele,

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Час назад

    SAFI. USIA WA MAREHEMU UWE UNAHESHIMIWA. TUACHE KUDHARAU KAULI ZA WATU WAKIWA WAMEKUFA

  • @ScolaMasanja-fg7hi
    @ScolaMasanja-fg7hi Час назад

    Mzee huna heshima kofia gan hio nauzee huo

  • @CecyGeorge-vx9uc
    @CecyGeorge-vx9uc Час назад

    Mali ndio kila kitu haujui

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Час назад

    Ila Arusha😂😂😂😂😂

  • @ShamsiMbago-n2q
    @ShamsiMbago-n2q 2 часа назад

    Ila ndg wa mume duh

  • @cassianmkeko1514
    @cassianmkeko1514 2 часа назад +1

    RIP

  • @gracemil9714
    @gracemil9714 43 минуты назад

    Pole jaman, duh

  • @annamussa185
    @annamussa185 40 минут назад

    Nina mashaka na ndugu au wamechangia kifo cha huyo Baba aje mpange maziko bila ya kumwambia mke wa marehemu😮😮😮😮

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 29 минут назад

      Wachaga ndo walivyo,yani wao uwa wakilala,wakiamka wanaweza Mali tu basi😢

  • @ayoubbajuta4427
    @ayoubbajuta4427 2 минуты назад

    Ila god

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 2 часа назад +2

    Tuandike usia na Rita wanatunza usia kwa gharama mdogo Sana kwa mwaka

  • @amox_enterprises
    @amox_enterprises 2 часа назад +3

    Guys nimekua wa kwanza Ku view hii video am sure ndani ya sekunde 3 baada ya video kupostiwa...😁 nipeni like zenyu wadau

    • @felixhaule
      @felixhaule 2 часа назад

      UCHOKO huo kulilia likes

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 2 часа назад

      Kwaiyo tukusaidie baada ya kuwahi 😏😏

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 Час назад

    Mama wa chakula mbona ana makasiriko

    • @StanleyBarushi
      @StanleyBarushi 58 минут назад

      Umeonaaa eee kanikera kweli halafu hajachangia hata cent

  • @HellenKarungura
    @HellenKarungura 56 минут назад

    Mke kweli au? Mbona mkavuuu?

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 27 минут назад +1

      Wachaga wanamengi ndugu yangu,ukute hata yeye yumo,na hapo kitakachofuatia saivi,utasikia wanaanza kuuwana.

  • @TakeAshot-sw2jn
    @TakeAshot-sw2jn 36 минут назад

    R.I.P

  • @hassanthabit3726
    @hassanthabit3726 Час назад +1

    Pumbavu mke wa marehemu huna haki za mwili wa marehemu. Kaka yake au dada yake mkubwa ndio mwenya haki
    Wanaokushauri hao tunawasiwasinao

    • @tuikezeezra1315
      @tuikezeezra1315 Час назад

      Sawa lakin Mali zake haziwahusu, wakae wakijua hivo, sema mke wa marehemu jicho kavu, half ukute Mali katafuta yeye lakin wanaanza kushoboka wao😮😮😮😮

    • @PendoPeter-rr4jk
      @PendoPeter-rr4jk Час назад +1

      Mke ndo Kila kitu ndugu SI angewao wao

    • @joycesarakikya4211
      @joycesarakikya4211 Час назад

      @@tuikezeezra1315umeonaee mkavu kama vile msiba ni wa jirani!

    • @philipombwambo1980
      @philipombwambo1980 Час назад +1

      Huna akili wewe

    • @MariamNehemiah-ts9ul
      @MariamNehemiah-ts9ul Час назад

      Kuna vitu vinakera usipo simama unapoteza kila kitu,pia sio muda wote utalia tuliofiwa tunamuelewa😢​@@tuikezeezra1315