MAPYA, MWIJAKU AFICHUA UCHAFU WOTE, DIAMOND NA P DIDY, KALIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 32

  • @CommunityConservation-u2g
    @CommunityConservation-u2g 2 часа назад +7

    Mwijaku muongo huyo Hanakiwanja

  • @edwinnyataya3223
    @edwinnyataya3223 Час назад +3

    😅😅😅sasa umbwa wewe unajua piddy d kwake wapi ngombe wewe😢😢mwongo lioneee

  • @JuliusMnkondo-fk9kv
    @JuliusMnkondo-fk9kv 2 часа назад +2

    Wapendwa angalieni na mlinganishe interview za baba levo na mwijaku mbona hazina ushirikiano wapendwa yaan kama Kuna kitu

  • @JohnZacharia-h8h
    @JohnZacharia-h8h Час назад +5

    diamond ebu fanya kitu kwa huyu mwijaku, mshitaki usiwe mkimya ivo, amekuzoea sana, mashabiki zako tunakua wanyonge, anatutia aibu hichi kitu tunaumia wote

    • @ashuramanya9282
      @ashuramanya9282 Час назад +2

      Kabisa iyo ni kweli na mimi sipendagi ginsi anasemaga.

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 54 минуты назад

      SIO HUYU WAPO WENGI MPAKA BAADHI YA MEDIA WASHTAKIWE NA DIAMOND
      HUYO DIDDY AMEKUWA NANI AFIRE MTU TU AKIHA KWAKW KIBIASHARA.

  • @SeifMassoud
    @SeifMassoud 10 минут назад +1

    Kaenda marekani karudi na cheni shingoni,, sijui kapitiwa na upepo wa Diddy 😂😂😂

  • @GrantMwakalambile
    @GrantMwakalambile 2 часа назад +2

    Mwijaku muongo sana huyo mwehu

  • @BonifaceAminiel
    @BonifaceAminiel Час назад +1

    Àcha zesheni labde Itakua ulisha pandaww choko ww

  • @FadaBronx
    @FadaBronx Час назад +2

    Uyo nae p didy wake si king

  • @josephmturi6936
    @josephmturi6936 2 часа назад +1

    Ahsante sana Mwijaku waambie ukweli kwa Didd hawatoki salama

  • @yuyumuziki7756
    @yuyumuziki7756 2 часа назад +1

    Hehe .. Mwijaku huyo..

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 9 минут назад

    Neno lishapata msemaji! Huyu hakomi na hilo domo lake! Sura mbayaaa!😢

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 часа назад

    Hizo VISA mnapewa na nani kama sio kunamnachotumikia mazee .😅😅😅

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 55 минут назад

    Ww mwinyi jaku maneno ayo yachunge mondi anwaza kukushtaki unamshutumu maovu na fani yake utauza kile kijumba chako

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 25 минут назад

    Mwijaku acha kudanganya watu pdd haishi Newyork

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 37 секунд назад

    Mwijaku unacho sema nikweli?? Mbona wanasema hawakupanda

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 8 минут назад

    Sasa wewe ni mwanamuziki??? Yaani chuki zitawaua walah!😢😢

  • @allyharoub-rl6rb
    @allyharoub-rl6rb 2 часа назад

    Ufala siku nataka ateleze domo tuu ... akaionje jela kidogo maan anaumama sanaa

  • @AliBoss-ws4ce
    @AliBoss-ws4ce Час назад

    Natamani kuona chawa japo mmoja anakwenda jela.. 😂😂😂

  • @FrankMashoto
    @FrankMashoto 45 минут назад

    Watoto wa sikuhizi mmekuwa wepesi saana Kwa tamaa zenu za maisha

  • @emilianazumbe5521
    @emilianazumbe5521 2 часа назад

    Mwijaku anaonyesha ni muongo total

  • @johnwenceslausmmbaga3917
    @johnwenceslausmmbaga3917 24 минуты назад

    Mnao muhoji Huyu jama mmekosa kazi ya kufanya

  • @josephlukenza3261
    @josephlukenza3261 Час назад

    Uchawa utakuwa kk wewe uliwah kufka kwa dd

  • @abeddyjuma4103
    @abeddyjuma4103 2 часа назад

    Majirani zetu kaliwa jameni😂

  • @salmamwangi4343
    @salmamwangi4343 24 минуты назад

    Muongo Jaku jmni

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo1963 17 минут назад

    😂😂😂 kwamba miguno

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 часа назад +1

    Kwani alikamatwa kwa nguvu? Huyo Diamond?.

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 2 часа назад

      Tangu utotoni tunafaham ya kua porini mnyama mkali zaidi ni Simba hua anakula watu,ila sasa nasikia habari kuna Simba kaliwa na mtu!😢

    • @MedsonUlendo
      @MedsonUlendo 31 минуту назад

      😂😂😂

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty Час назад

    Wacha uoongo

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 7 минут назад

    😂😂😂😂😂