LUKAMBA AMWAGA UKWELI WOTE - ''NILISHANGAA STUDIO ya P DIDDY KUNA KITANDA - WALIZUIA KAMERA''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024
  • LUKAMBA AMWAGA UKWELI WOTE - ''NILISHANGAA STUDIO ya P DIDDY KUNA KITANDA - WALIZUIA KAMERA''...
    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 115

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 дней назад +12

    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.

  • @jimmytsenga3425
    @jimmytsenga3425 6 дней назад +7

    Jamani,p diddy alifanya umanyama wake kwa miaka mingi sana ila sai yupo jerezani.its only a matter of time.kilicho pikwa jizani,huliwa hadharani.mbele ya Mwenyezi Mungu hakuendi dhulma,ukweli utajulikana tu.

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 7 дней назад +3

    Lukamba umeeleweka. Imeisha hiyo tumeshajua kuwa P Diddy amepita kwenu, usipindishe maneno. Nassib ameshafunguka. Tumekuelewa, mmeumia warembo. Diddly sio Mtu mzuri kabisa. Poleni.

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 7 дней назад +4

    Mmmh!!!! Kuna jambo hapo, Lukamba umeeleweka, tunashkuru umetujuza vizuri.

  • @ngagishow2614
    @ngagishow2614 2 дня назад +2

    P.DIIIY kbsa alifanyiya watu ufisadi mwingi sana kbsa nihatari

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 21 час назад +2

    Wapelekwe kwa mkemia mkuu tutapata majibu sahihi pia hawatatumia nguvu kujieleza

  • @MariamuOmar
    @MariamuOmar 7 дней назад +7

    Kama kweli hamjafirwa atokee mtu awachunguze tuamin tuwawekee ndoo za maji mkalie tusikie milio😊

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 6 дней назад +1

      😂😂😂

    • @khadijaacute
      @khadijaacute 6 дней назад

      mmh jamn ni.mecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @AngelMazola
      @AngelMazola 5 дней назад

      P didy kasema anawataja wote alowapitia soon yani apa mtihani kwakweli

    • @GabrielGoziberth
      @GabrielGoziberth 4 дня назад

      Dah mariamu

    • @mubarraqallye48
      @mubarraqallye48 3 дня назад

      Itakuwa ndo michezo yako nn

  • @zuwenahumoudy3198
    @zuwenahumoudy3198 5 дней назад +5

    Mbona mkali majibu yanatoka kihasira

  • @LovelyBooks-xd5df
    @LovelyBooks-xd5df 6 дней назад +2

    Bora hat za kwangu zinakipimo jmni😢😂😂 xo kwa kuflu hiyoooo😅😅😅😅

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 3 дня назад +1

    Mtafirana Mungu atawahukumu

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 3 дня назад

    Poleni kwa kupumuliwa kichogoni na p dd

  • @NaimMohd-l5h
    @NaimMohd-l5h 5 дней назад +4

    Mtangazaji yupo akitaka kupopoa😨😁😅

  • @خليفهالرحبي-ف4م
    @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад +1

    Huyo kaka alovaa mawani anaongea kukubabaika hajielewi😂😂😂😂😂

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +1

    Good life ndio kawala marinda

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +4

    Lukamba acha ushamba party hizo zinajulikana za mashoga LBQT group hio

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 5 дней назад +2

    Duuu p didy alienda kunyoa vz mkamkimbia😎😎

  • @mathewmutuku7342
    @mathewmutuku7342 7 дней назад +3

    Kwa hio swiz bit alijua p.diddy lakini juu ya kutaka umaarufu kawapela mkapate umaarufu

  • @خليفهالرحبي-ف4م
    @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад +1

    Aje mtatoka mtasafiri kutoka Tz muende huko umbali wote na gharama zote... Eti kwa kuenda kula chakula tu!!!!!! 😂😂😂😂😂😅😅😂😅😂😅
    Ongea bana na sisi tuelewe 😅😂😅😂😅😂

  • @user_faff84
    @user_faff84 7 дней назад +3

    Huyu jamaa anaongea kwa hasira aise 😊

  • @SalmaMrembo
    @SalmaMrembo 6 дней назад +1

    Mmmh lukamba mbn baby tale anahadithia vingine baby tale anasema vingine na mond anasema vingine tale anasema mlienda akamtoaa Alipokuwa anamfanyia massage na akawaambia muingie ndani na mond akaambiwa amuoneshe

  • @wilbartkiyeyeu7885
    @wilbartkiyeyeu7885 5 дней назад +4

    SASA kama unajua Did anatabia hizo unaenda Fanya NN,,?????

  • @خليفهالرحبي-ف4م
    @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад

    Nyinyi watu wa bongo mnachekesha wallahi,,,
    Allah awabariki mnafurahisha sana😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅

  • @JosephEkidor
    @JosephEkidor 4 дня назад +1

    Hii ni huongo mnatubeba better your creative ndio mpate hela nyie🎉🎉🎉

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +2

    Fremansons LBQT group hio pamoja na nyinyi

  • @jubilantkimaro3607
    @jubilantkimaro3607 5 дней назад +2

    Mbona mkali kaka

  • @JoanaxavierVicenteVicente
    @JoanaxavierVicenteVicente 9 часов назад

    Waungwana mm naomba waandishi wa habari wamuoji dada wa taifa mangi kimambi atuambie ukweli kuusu p did 😂😂😂😂😂😂😂

  • @TatuAmani-r3t
    @TatuAmani-r3t 4 дня назад +1

    Ila kweli pddy hananguvu za kulazimisha ni shida zao za ela😊😊😊

  • @خليفهالرحبي-ف4م
    @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад +1

    Kaka mbona unatuacha njia panda??????? 😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂

  • @BonifaceSylivester
    @BonifaceSylivester 7 дней назад +4

    Umesema day2 swiz Beet alikuwa na party. Then Didy akampigia simu ili mrud kwa Didy. Wakat kwa Didy umesema ilikuwa kama jana, unatuficha nyinyi mmeliwa na mwamba 😢

  • @israelthomas8621
    @israelthomas8621 11 дней назад +5

    Huyu jamaa kuna kitu anakificha ndiyo maana katikati ya interview kaanza kuongea kwa hasira 😂😂😂

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад

      Kweli kabisaaaaa maneno yako unayoongea😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Elias-q9f
    @Elias-q9f День назад +1

    Mna shida gani si matako ni yao 😂😂

  • @gerrardysammy
    @gerrardysammy 6 дней назад +3

    yakwamba kuna wengine hawajaenda kwa p.diddy ila wamesha pididiwa dah! kama hauna D mbili

  • @NaimMohd-l5h
    @NaimMohd-l5h 5 дней назад +1

    Suuuu! Pdd utauwa na baby oil

  • @ZabaOmar-s4q
    @ZabaOmar-s4q 4 дня назад +2

    Kwamaelezo yake itakuwa tayar kashaliwa mzigo😅

  • @shadrackhelemani346
    @shadrackhelemani346 2 дня назад

    Kiapo

  • @dianaShabani
    @dianaShabani 4 дня назад +1

    Naweweulikwepo

  • @nicholaskabbis6884
    @nicholaskabbis6884 5 дней назад +3

    Sema ukweli jama Yako alipotoka mle ndani alikuwa anatembea vipi

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад

      Tz jamani mnaniwacha kucheka niko hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lilyshayo761
    @lilyshayo761 4 дня назад +1

    Ila lukamba 😂😂 huo muda alipiga simu waende alijua wameshalewa ila uyo swizz bit anamjua akajua tu atawaaribu,akasema ni mbali ili wasiende,mungu ambariki

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +2

    Maneno.tafauti hawajui tamaa ya pesa wameliwa marinda

  • @GeofreyShoka
    @GeofreyShoka 6 дней назад +2

    Ko watu wameriwa hapo na pi diddy mhuu mbon hiy noma

  • @CareenTemba-j4l
    @CareenTemba-j4l 6 дней назад +4

    Bora mnyamaze tu maana mnawapa watu faida

  • @خليفهالرحبي-ف4م
    @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад

    Kaka Ongea na sisi tuelewe😂😂😂😂😂mbona unaongea kujifichaficha😅😅😅😅😮

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 5 дней назад +2

    Jaman kama hao wangepakwa mafuta walawasinge elezea kuwa walienda kwa pidd wangekaa kimyaaa.

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 3 дня назад

      😂😂😂we hujui ujasiri wa hawa watu hata mtu akiiba asema ni leo tu kumbe kaanza kitambo

  • @makischocho4613
    @makischocho4613 5 дней назад

    Ujumbe unaenda kwa Mondi

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +2

    Simba jike mke wa diddy

  • @AllyMzee-h1w
    @AllyMzee-h1w 2 дня назад +1

    Aaah kunyangishi mliliwa kiboga pumbafuzenu msitunafikie apo Diamond kashapokea urithi wa TZT cungeni vijana wenu

  • @HarsonLuhasi
    @HarsonLuhasi 6 дней назад

    jaman p dd mhhhh

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 5 дней назад

    Huwezi sema kweli😂😂

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +3

    Marinda yamefumuliwa unabaki kubabaika unyamwezi kumbe oil ya diddy imewapitia dada diamond amesema walikua party wakafanya mambo ila picha hairusiwi

  • @NdagijimanaCharles-pm9ds
    @NdagijimanaCharles-pm9ds 5 дней назад +3

    Mbn utatetemeka kwa kuongea au ulikaza maumivu bado

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 11 дней назад +2

    Sasa na hizo herini ulizo vaa shanga vip umevaa , maana kidani tunakiona ,wacheni kuiga vitu vya kigeni ,mutafirwa sana kwa kutaka umaarufu na utajiri

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 5 дней назад +2

    Hebu muwacheni mond afante yake mjadilini mauzinde yye ndo ana uhakika ASA wa kufirwa

  • @JosephEkidor
    @JosephEkidor 4 дня назад +1

    Mbona sioni pictures ya pamoja diamond na p piddy😢😢😢

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nipo hoi jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AlexGwiha
    @AlexGwiha 7 дней назад +3

    Daa ila kumbe ddy zile pombe anazo wapa mwanzo unakuta zinawachenj akili anakuja kula kitimoto kiulain. Wakitoka usingizzin unaomba ukitakacho

  • @StellaNoel-b9s
    @StellaNoel-b9s 6 дней назад

    Duh jaman

  • @KijazyhjuniorKijazyhjunior
    @KijazyhjuniorKijazyhjunior 6 дней назад +4

    𝗟𝘂𝗸𝗮𝗺𝗯𝗮 𝘄𝗲𝘄𝗲 𝘂𝘀𝗵𝗮𝘁𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗹𝗶𝗻𝗱𝗮 𝘁𝘆𝗿 𝗷𝗮𝗺𝗮𝗻 𝘂𝗺𝗲𝗽𝗮𝗸𝘄𝗮 𝗳𝘂𝘁𝗮

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 День назад +1

    UMESAAU LEO MULIKWENDA KUTOA NINI??? 😂ALUBAM AU DP UNAFIKILI 😂😂😂MULIKUNYWA KIDOGO UKO JUU AMJAYAONA MAFUTA WEWE LUKAMBA MABAUZA WALIKUPAKA USIBISHE WANACHANGANYANA MAFUTA WALIPAKWA HAWA😂😂😂

  • @makameniga9566
    @makameniga9566 7 дней назад +1

    Hujui kuhoji fala ww

  • @Younomane
    @Younomane 6 дней назад +1

    Asa mbona kama maerezo yamepinda kwani DIDy ndiye kawaita au mrishobokeya

  • @IyanDankan
    @IyanDankan 5 дней назад

    Imeisha hiyo

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu8287 День назад +1

    😂😂 ndugu zetu wa Tanzania watafta umaarufu kwa kugawa punje 😂 🇰🇪

  • @nicholaskabbis6884
    @nicholaskabbis6884 5 дней назад +1

    Very soon video yenywe kamili itatoka Sasa heri muweke haya mambo peupe tusaidiane kuosha jina kwa janii

    • @hassanjongo4309
      @hassanjongo4309 4 дня назад

      Kwa mara ya kwanza hawezi kutokea hayo namin

  • @OscarHachi-t5v
    @OscarHachi-t5v 5 дней назад

    bado hamjasema

  • @MussaMtwembaya
    @MussaMtwembaya 6 дней назад

    Lukamba ameshenyetwa jamani mtoto sio rizki uyu

  • @sylvestermutisya-l3e
    @sylvestermutisya-l3e День назад

    pia huyu alikulwa atoe hizo vitu tumuone vizuri😂😂

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад +2

    Lukamba diddy oil umepakwa hukataiii domo alisema walifanya kitu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 День назад

    KWA MAELEZO AYO LUKAMBA SEMA NA UTASEMA MMEPAKWA MAFUTA NA KUFOKONYOLEWA SASA DAIMOND KUNA SILI IMEFANYIKA NDANI SILI GANI MMEPAKULIWA WOTE NYINYI 😢

  • @mamaa490
    @mamaa490 3 дня назад

    Wabongo tuache kushangilia mabaya ya watu na ikibidi kulazimishia mambo yasiyopo. Instead people should have been great that they were saved kwa nini kungangania something happened?

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 7 дней назад +1

    Kwan ukwel si wan ujua wenyew tabid ndo wafirwe kwa pamoj hemm achen vitu vya zan ukwel wan ujua wenyew

  • @AminaSaid-wv4lm
    @AminaSaid-wv4lm 7 дней назад

    😮😮

  • @خليفهالرحبي-ف4م
    @خليفهالرحبي-ف4م 2 дня назад

    Huyo anaongea haeleweki anachokiongea😂😂😂😂
    Amevaa mawani amejificha macho yake kuficha ukweli ulivyo 😅😅😅😅😮😅😮

  • @nicholaskabbis6884
    @nicholaskabbis6884 5 дней назад +1

    Kwanza nyinyi ni Ile inaitwa nyama ndulu hamngeachwa bro bladi food wewe

  • @BingwaMayaka
    @BingwaMayaka 4 дня назад

    Uyu jama ni muogo anaficha mambo megi ile wimbo simba aliimba inamanicha nini ??? Pididi ile mafuta

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 11 дней назад +1

    Sasa wewe lukamba umesema hawajaongea Zaid ya tour baada ya msosi pidid alikuwa juu Sasa wakaongea sangap na walikuwa pamoja sangap hawajafanya chochote Sasa inakuwaje tena

  • @DennisGisairo-xm8dq
    @DennisGisairo-xm8dq День назад

    Wewe kaka ongea ukweli jamani huyo p Diddy mambo yake si MAZURI yeye ni shoga the devil

  • @AlbertPike-e4b
    @AlbertPike-e4b 4 дня назад +1

    Lukamba hapendwi kuulizwa maswali kupigwa miti ni moja ya tambiko la Freemason hata huyo Diddy alipigwa miti na Cravie ndio leo hii kila mtu anamfahamu. Mtu akipigwa miti kinachofata anavaa mavazi ya kike hiyo ni stage inaitwa Humiliation ritual . Kwa hivyo Diddy halazimishi mtu wewe mwenyewe wajipeleka wamvulia suruali mwenyewe

    • @fidelisjohn3851
      @fidelisjohn3851 День назад

      Elewen kiswahili kwa p dd hawakwenda muda ulikuwa so pw

    • @AlbertPike-e4b
      @AlbertPike-e4b День назад

      @@fidelisjohn3851
      Ukisikiza vizuri hiyo story inafulishwa fulishwa meaning some details are missing

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 11 дней назад +14

    Shida inakuja ivi lukamba yule pididi alikuwa anawaekea watu madawa na unajikuta umeelewa na unafi***bila kujua au kujitambua alafu unakuwa ushapigwa video bila kujua iyo ndo shida...je burner boy vip?? Kapigwa na yeye na pididi mana naona picha zao kama anapumuliwa na pididi nataka nijue

    • @Laizer3
      @Laizer3 6 дней назад +1

      😂😂😂anapumuliwa we muhuni dada

    • @AngelMazola
      @AngelMazola 5 дней назад +1

      Mmhh!! Na wamesema wanataja wote alowapitia asa cjuwi itakuwaje🤔🤔🤔🤔🤔

    • @solomonOsam-d1t
      @solomonOsam-d1t 2 дня назад

      Tamaa hiyo ninaitafakari

  • @lightnesstippe9006
    @lightnesstippe9006 11 дней назад

    Ila P didii😢

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 3 дня назад

    Hata wewe LUKAMBA tuambie tu ukweli from your heart,miaka mitatu yote haujui historia za PDD,mpaka unafika studio na haujui tabia za PDD ?
    Like seriously?

  • @yonajohn3531
    @yonajohn3531 11 дней назад +1

    Pólen😂

  • @AbdiMohammed-gm3ik
    @AbdiMohammed-gm3ik 5 дней назад

    Nyinyi wabongo mnakuwa wajinga sana sasa uyo pddy ananguvu gani yani hata wote awafanyie ayo mambo wakati kila mtu ufanya kitu kwa mapenzi na anaempenda yani marekani wanawake wote na masenge yote ndo atembee na ao acheni usenge

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 11 дней назад

    😂😂😂😂

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 10 дней назад

    😂😂😂