LUKAMBA AMWAGA UKWELI WOTE - ''NILISHANGAA STUDIO ya P DIDDY KUNA KITANDA - WALIZUIA KAMERA''...
HTML-код
- Опубликовано: 8 окт 2024
- LUKAMBA AMWAGA UKWELI WOTE - ''NILISHANGAA STUDIO ya P DIDDY KUNA KITANDA - WALIZUIA KAMERA''...
MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
Jamani,p diddy alifanya umanyama wake kwa miaka mingi sana ila sai yupo jerezani.its only a matter of time.kilicho pikwa jizani,huliwa hadharani.mbele ya Mwenyezi Mungu hakuendi dhulma,ukweli utajulikana tu.
Lukamba umeeleweka. Imeisha hiyo tumeshajua kuwa P Diddy amepita kwenu, usipindishe maneno. Nassib ameshafunguka. Tumekuelewa, mmeumia warembo. Diddly sio Mtu mzuri kabisa. Poleni.
Mmmh!!!! Kuna jambo hapo, Lukamba umeeleweka, tunashkuru umetujuza vizuri.
P.DIIIY kbsa alifanyiya watu ufisadi mwingi sana kbsa nihatari
Wapelekwe kwa mkemia mkuu tutapata majibu sahihi pia hawatatumia nguvu kujieleza
Kama kweli hamjafirwa atokee mtu awachunguze tuamin tuwawekee ndoo za maji mkalie tusikie milio😊
😂😂😂
mmh jamn ni.mecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
P didy kasema anawataja wote alowapitia soon yani apa mtihani kwakweli
Dah mariamu
Itakuwa ndo michezo yako nn
Mbona mkali majibu yanatoka kihasira
Bora hat za kwangu zinakipimo jmni😢😂😂 xo kwa kuflu hiyoooo😅😅😅😅
Mtafirana Mungu atawahukumu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hoiiiyyyyyyy
Poleni kwa kupumuliwa kichogoni na p dd
😂😂🎉
Mtangazaji yupo akitaka kupopoa😨😁😅
Huyo kaka alovaa mawani anaongea kukubabaika hajielewi😂😂😂😂😂
Good life ndio kawala marinda
Lukamba acha ushamba party hizo zinajulikana za mashoga LBQT group hio
Duuu p didy alienda kunyoa vz mkamkimbia😎😎
😂😂😂jmn
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Duuuuh makubwa
Kwa hio swiz bit alijua p.diddy lakini juu ya kutaka umaarufu kawapela mkapate umaarufu
Aje mtatoka mtasafiri kutoka Tz muende huko umbali wote na gharama zote... Eti kwa kuenda kula chakula tu!!!!!! 😂😂😂😂😂😅😅😂😅😂😅
Ongea bana na sisi tuelewe 😅😂😅😂😅😂
Huyu jamaa anaongea kwa hasira aise 😊
Mmmh lukamba mbn baby tale anahadithia vingine baby tale anasema vingine na mond anasema vingine tale anasema mlienda akamtoaa Alipokuwa anamfanyia massage na akawaambia muingie ndani na mond akaambiwa amuoneshe
SASA kama unajua Did anatabia hizo unaenda Fanya NN,,?????
Nyinyi watu wa bongo mnachekesha wallahi,,,
Allah awabariki mnafurahisha sana😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅
Hii ni huongo mnatubeba better your creative ndio mpate hela nyie🎉🎉🎉
Fremansons LBQT group hio pamoja na nyinyi
LBQT ndo nini
Mbona mkali kaka
Waungwana mm naomba waandishi wa habari wamuoji dada wa taifa mangi kimambi atuambie ukweli kuusu p did 😂😂😂😂😂😂😂
Ila kweli pddy hananguvu za kulazimisha ni shida zao za ela😊😊😊
Kaka mbona unatuacha njia panda??????? 😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂
Umesema day2 swiz Beet alikuwa na party. Then Didy akampigia simu ili mrud kwa Didy. Wakat kwa Didy umesema ilikuwa kama jana, unatuficha nyinyi mmeliwa na mwamba 😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Jamani hoi nipoooooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa kuna kitu anakificha ndiyo maana katikati ya interview kaanza kuongea kwa hasira 😂😂😂
Kweli kabisaaaaa maneno yako unayoongea😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mna shida gani si matako ni yao 😂😂
yakwamba kuna wengine hawajaenda kwa p.diddy ila wamesha pididiwa dah! kama hauna D mbili
😂😂😂😂😂😂
Suuuu! Pdd utauwa na baby oil
Kwamaelezo yake itakuwa tayar kashaliwa mzigo😅
Kiapo
Naweweulikwepo
Sema ukweli jama Yako alipotoka mle ndani alikuwa anatembea vipi
Tz jamani mnaniwacha kucheka niko hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila lukamba 😂😂 huo muda alipiga simu waende alijua wameshalewa ila uyo swizz bit anamjua akajua tu atawaaribu,akasema ni mbali ili wasiende,mungu ambariki
Maneno.tafauti hawajui tamaa ya pesa wameliwa marinda
Ko watu wameriwa hapo na pi diddy mhuu mbon hiy noma
Bora mnyamaze tu maana mnawapa watu faida
Kaka Ongea na sisi tuelewe😂😂😂😂😂mbona unaongea kujifichaficha😅😅😅😅😮
Jaman kama hao wangepakwa mafuta walawasinge elezea kuwa walienda kwa pidd wangekaa kimyaaa.
😂😂😂we hujui ujasiri wa hawa watu hata mtu akiiba asema ni leo tu kumbe kaanza kitambo
Ujumbe unaenda kwa Mondi
Simba jike mke wa diddy
Aaah kunyangishi mliliwa kiboga pumbafuzenu msitunafikie apo Diamond kashapokea urithi wa TZT cungeni vijana wenu
jaman p dd mhhhh
Huwezi sema kweli😂😂
Marinda yamefumuliwa unabaki kubabaika unyamwezi kumbe oil ya diddy imewapitia dada diamond amesema walikua party wakafanya mambo ila picha hairusiwi
😂😂😂😂😂
Mbn utatetemeka kwa kuongea au ulikaza maumivu bado
Sasa na hizo herini ulizo vaa shanga vip umevaa , maana kidani tunakiona ,wacheni kuiga vitu vya kigeni ,mutafirwa sana kwa kutaka umaarufu na utajiri
Hebu muwacheni mond afante yake mjadilini mauzinde yye ndo ana uhakika ASA wa kufirwa
🤣🤣😂😂😂
Mbona sioni pictures ya pamoja diamond na p piddy😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nipo hoi jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daa ila kumbe ddy zile pombe anazo wapa mwanzo unakuta zinawachenj akili anakuja kula kitimoto kiulain. Wakitoka usingizzin unaomba ukitakacho
Duh jaman
𝗟𝘂𝗸𝗮𝗺𝗯𝗮 𝘄𝗲𝘄𝗲 𝘂𝘀𝗵𝗮𝘁𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗹𝗶𝗻𝗱𝗮 𝘁𝘆𝗿 𝗷𝗮𝗺𝗮𝗻 𝘂𝗺𝗲𝗽𝗮𝗸𝘄𝗮 𝗳𝘂𝘁𝗮
UMESAAU LEO MULIKWENDA KUTOA NINI??? 😂ALUBAM AU DP UNAFIKILI 😂😂😂MULIKUNYWA KIDOGO UKO JUU AMJAYAONA MAFUTA WEWE LUKAMBA MABAUZA WALIKUPAKA USIBISHE WANACHANGANYANA MAFUTA WALIPAKWA HAWA😂😂😂
Hujui kuhoji fala ww
Asa mbona kama maerezo yamepinda kwani DIDy ndiye kawaita au mrishobokeya
Imeisha hiyo
😂😂 ndugu zetu wa Tanzania watafta umaarufu kwa kugawa punje 😂 🇰🇪
Very soon video yenywe kamili itatoka Sasa heri muweke haya mambo peupe tusaidiane kuosha jina kwa janii
Kwa mara ya kwanza hawezi kutokea hayo namin
bado hamjasema
Lukamba ameshenyetwa jamani mtoto sio rizki uyu
pia huyu alikulwa atoe hizo vitu tumuone vizuri😂😂
😂🤣🤣🤣😂Tooooooba nyie mna mambo kweli😂🤣🤣🤣😂
Lukamba diddy oil umepakwa hukataiii domo alisema walifanya kitu
KWA MAELEZO AYO LUKAMBA SEMA NA UTASEMA MMEPAKWA MAFUTA NA KUFOKONYOLEWA SASA DAIMOND KUNA SILI IMEFANYIKA NDANI SILI GANI MMEPAKULIWA WOTE NYINYI 😢
Wabongo tuache kushangilia mabaya ya watu na ikibidi kulazimishia mambo yasiyopo. Instead people should have been great that they were saved kwa nini kungangania something happened?
Kwan ukwel si wan ujua wenyew tabid ndo wafirwe kwa pamoj hemm achen vitu vya zan ukwel wan ujua wenyew
Upo sahihi
😮😮
Huyo anaongea haeleweki anachokiongea😂😂😂😂
Amevaa mawani amejificha macho yake kuficha ukweli ulivyo 😅😅😅😅😮😅😮
Kwanza nyinyi ni Ile inaitwa nyama ndulu hamngeachwa bro bladi food wewe
Uyu jama ni muogo anaficha mambo megi ile wimbo simba aliimba inamanicha nini ??? Pididi ile mafuta
Sasa wewe lukamba umesema hawajaongea Zaid ya tour baada ya msosi pidid alikuwa juu Sasa wakaongea sangap na walikuwa pamoja sangap hawajafanya chochote Sasa inakuwaje tena
Wewe kaka ongea ukweli jamani huyo p Diddy mambo yake si MAZURI yeye ni shoga the devil
Lukamba hapendwi kuulizwa maswali kupigwa miti ni moja ya tambiko la Freemason hata huyo Diddy alipigwa miti na Cravie ndio leo hii kila mtu anamfahamu. Mtu akipigwa miti kinachofata anavaa mavazi ya kike hiyo ni stage inaitwa Humiliation ritual . Kwa hivyo Diddy halazimishi mtu wewe mwenyewe wajipeleka wamvulia suruali mwenyewe
Elewen kiswahili kwa p dd hawakwenda muda ulikuwa so pw
@@fidelisjohn3851
Ukisikiza vizuri hiyo story inafulishwa fulishwa meaning some details are missing
Shida inakuja ivi lukamba yule pididi alikuwa anawaekea watu madawa na unajikuta umeelewa na unafi***bila kujua au kujitambua alafu unakuwa ushapigwa video bila kujua iyo ndo shida...je burner boy vip?? Kapigwa na yeye na pididi mana naona picha zao kama anapumuliwa na pididi nataka nijue
😂😂😂anapumuliwa we muhuni dada
Mmhh!! Na wamesema wanataja wote alowapitia asa cjuwi itakuwaje🤔🤔🤔🤔🤔
Tamaa hiyo ninaitafakari
Ila P didii😢
Hata wewe LUKAMBA tuambie tu ukweli from your heart,miaka mitatu yote haujui historia za PDD,mpaka unafika studio na haujui tabia za PDD ?
Like seriously?
Pólen😂
Inawezekana🤣 hee ndio kila mtu kwa chaguo lake🤣
Kupitia mitihani ndio kuishi na kuijua dunia na watu😪
Nyinyi wabongo mnakuwa wajinga sana sasa uyo pddy ananguvu gani yani hata wote awafanyie ayo mambo wakati kila mtu ufanya kitu kwa mapenzi na anaempenda yani marekani wanawake wote na masenge yote ndo atembee na ao acheni usenge
😂😂😂😂
😂😂😂