SIDONDOKI MPAKA MUNGU ASEME, NINA MAWE NA MZIKI NAUJUA| NI DILI MMAREKEKANI KUFANYA KAZI NA MWAFRIKA
HTML-код
- Опубликовано: 10 апр 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
mbona huyu dada maswali yake ni anajua mno au mm ndo nimeskia peke yangu. she is good 👏👏
Yupo vizuri ccta ahulizi kimwamko au kishabiki yupo straight
Kabisaa she's qualified🎉
Saraphina Jerry huyo wa rickmedia
Ata sauti yake ni nzuri sana
@@damianmcba9525 👏
Diamond unapambana SANA ila katika hii Dunia hata utende wema namna gani hakuna atakaekubali.
Ila wewe ni kiongozi bora NDANI ya Musiki na MUNGU atakulipa ... wewe ni msanii wa kwanza kuwa na Media hapa nchini ,,
Hongera SANA MWAMBA 💪💪💪
Im Kenyan and i love this. We love y'all Tz music🇰🇪🇹🇿♥️
Huyu dada anajua kuuliza maswali vizur sana ❤❤❤❤
Huyu dem akipata media nzuri atafika mbali sanaa ana maswali yalioenda shule yani anajua jinsi gani ya kuuliza maswali smart sana
Mond atamchukua
Mtoto wa rickmedia huyo
Kaka nashukuru Kwa kuliona Hilo kanikosha sana
Kabisa. Ako sawa❤
Mtangazaji mzuri mnooo
Chibu uko vizuri sana umewabeba mpaka wale waliokataliwa
This man is very creative more love from kenya 🇰🇪
Safi sana Diamond una roho nzuri sana napia nime djifunza kitu kutoka kwako yaani nipo drc naona ngoma zako zina sumbua sana huku est ya drc congratulations
Uyu dada anaeuliza maswali ni very smart
Yeah she is very smart
Uko vizuri Simba
Jamaa anajua sana huyu had kuongea anajua yani mziiki anujua na biashara anaijua sana tena
Mimi mwenyewe naamini kuwa ivyo tu kuwa mungu ndio muamuzi wa kukusha wewe tu lakini siyo chuki za watu maana unaakili sana ya mziki na pia uwa aukulupuki kwenye kufanya maamuzi ndio maana vitu vingi vinaenda zaidi 🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥💯💯✔️
Yaan uyu dada anajua sana kumuhoji mtu yaani she is very good ni verbal questions
Huyu jamaa kiukweli kabsa hapaswi kuchukiwa
hee hata Alotuumba na kutupa pumzi buree na kila kitu na hajawahi kupwendwa na kila mtu anatukanwa
Huyu Dada Amenifurahisha Sana. Very Smart, hii interview itampa Mchongo mkubwa. 💥💥💥💥
Bro diamond fungua chuo cha biashara tuje kaka utuoneshe njia ya kufankiwa zaid❤
Kulala uchi unaweza?
AKIFUNGUA chu cha bihashara yy atakuwa mmiliki tu Mateacher ni watu wenye elimu zao,, km anavyomiliki media lkn yy sio mwandishi wa habari
@@mwarabuofficial5241😂😂😂
Huyu dada anasauti nzuri kama ya salama Jabir
Well said brother akili kubwa
Diamond platnumz you are the Best.
The one and only Chibu D, Chibu Denga, Simba Baba Lao, Dangote Baba Lao, We Zombie...! You're the best we have ever had in our Music 🎶 You're the true king 🤴 and the living legend @diamondplutnumz
SIMBA LA MASIMBA DANGOTE❤❤❤❤
Hyu jamaa huwa sio muongeaji sana ila akiongea huwa ana sifa muhaya arud nyuma😂😂😂😂😂😂😂khaaaaaaaaa
Anajikubari sana alafu Amna kitu
Yeah ana sifaa kwasabb anazo😂😂
Diamond anajua sana kuongea kwa u-smart. Anajua interviews sana na anajua kuongea kwa kubalance. He’s the best.
Huyo dada anaye muoji simba anajua sana alafu chibu ni moto 🔥🔥🔥
Kama salama jabir saut
Even me nimeona hilo😊
Kweli
Diamond kabisa wewe una ongea vizuri nakupenda kwakuongeya yako nipeni ft na harmonize please twache kuwachonganisha sana nawo
Fact sana
Huy Binti Asee Anauliza Maswali Ad Lahaa
Diamond anajua kama unakubaliana na Mimi dondosha Like yako hapo chini
Kiupande Wangu Nakuamini Unacho Sema Kwenye Music 🎵
Utashuka Mpaka Mungu Aseme yaani Akushushe Sio Binadam Aseme
Hyo dada ni Noma sana ukipata media utaimudu vilivyo dada uko vzri sana,pia mdgo wangu Simba uko sawa Kwa maswali,
Boss nakukubali sana 🧏🏻♂️
Simba lamasimba Dangote Noma saanA 🎙️📺🎬🎙️
Sarafina Jerry you're so smart babe chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉
Yes, she is good woman who tries to maintain peace and harmony among the people
Wallah, una roho nzuri,binadam bana hatunaga shukrani. Naomba nisaidie na mimi aiseee angalau 10m. Tuuuuu.
Me ntakpatia laki moja ila shart moja
😂
Diamond you are wise ,I like your response there is too much wisdom
Brother chibu uko vzr mungu akupe umr mrefu, na mafanikio tele, akuepushe na maradhi yenye tiba na yacyo na tiba, unajua sanaaaaa kaka
😂😂 huyu jamaa anawatisha sana wenzake. . Awapumzishe kidogo watajinyonga
Diamond is a master of the game, great at learning from greats thats why he’s great
Diamond platinum Ana baya
Huyu dada ana sauti inafanana na ya Salama Jabir
Alafu dada huyo huyo ametulia sana,
Hababaiki, katuliaa, maswali magumu, yasiyohitaji majibu mepesi.
SIMBAA❤
I like the interviewer she's very articulate ❤
Smart man
Any way Kwa mtizamo wangu Mimi Diamond ni kijana mpambanaji saaana,na ana mtizamo wa mbali saana,pia ni kijana asiyekuwa na majungu ya kusengenya wasanii wengine.Big up Mond
Heyyyy Platnum Mishuuziiiiii😂🤣🤣🤣 nakubali lazima ajambe ukimdiemu mtu
Good Confidence and Amazing Talent
Wasafi brand kubwa but... Title haijakaa poa next time kuwa makini kwenye kichwa cha habari kutype vizuri.
Simba baba Lao ❤❤❤❤
Diamond Platinumz fungua chuo Cha biashara ww uwe lecture utufundishe njia za kibiashara 😂🙏🙌
Legend as legend
Wise lady ❤
Iyo ni kweli diamond platnumz
Simba ni simba kamwe hawezi kua swala big up man ww ni mfano bro una akili sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uko sawa kaka
Aujui 🦁🦁💪🔥
Umeisha utamu bro,kwa Mungu hauna hisa
Baada ya kumaliza mziki jamaa Apewe uwaziri wa sanaaa na michezo
Tukio Jo 🙌💥
.... Very true
This guy tukubal tu katusaidia kupelek soko letu la mzk kimataifa.soko la mzik analjua vbaya mnoo..🙌🙌🤗
Kwamtazamo wangu naisi huyo boss ata kuwa msanii kutoka USA ricross
BIG UP 👊👊👊
Respect
Perfect boy never seen my home boy
Wasafi mchukueni uyo dada anajua
Jamaaa nalikubali kinoma
Diamond ana kipaji Cha ubunifu,na wengine wanamfuata,hivyo lazima Diamond atakuwa juu tuu!!Piga kazi kijana.
Safi dogo mondi Mimi naona baado utakua juu namimi nakuombea Niko Zambia
Tunaskia mnamshindanasha na msanii wenu yo maps 😂
i like this peace in tanzania artist
Personal nakpenda ww n mtu smart sana na specifically xn..sem tu binadamu kila mtu na tabia na mtizamo wak
Hi is so smart
Hekima nyingi sana kwa maneno yake DP 💪
Simba la Masimba Dangote,ninakukubali sana Brother,kwani hii game unaifahamu kinoma noma.
Unabaya boss 🎉
Wamarekani saiv wanatamani kufanya kazi na africa yani wafrica saivi tumekuwa dili 😂😂😂😂😂
Nakuamini bro
🔥🔥🔥
BIG MIND
kaka naamin yan wewe ukiaribika namimi bongonyo kwanza kuna mademu walikuaga wananidharau wananipuuza , ilikua matukio yangoma zako nawadedicate mfano nyota mpaka nikavidharau nikafocas na maisha fresh now.some how yws
Umeongea vema Sana brother Ila just to update you kwasasa Sheria inaruhusu mtu mmoja kufungua Kampuni.
I Appreciate Diamond's mind set. He is a musician and an entrepreneur. His advice is golden ❤
He has good swahili
mond anajuwa mwamba kapambana sana mpeni maua yake🌹🌹🌹🌹
Dada yupo smart
Kwa hapa Tz hakuna anae mzd mond me naona huyu jamaa kwasasa apambane tu nnje ya nnchi ili taifa letu lzd kujulikana khs kuna konde wao wapambane tu kivyaovyao😊😊
Kweli kabisa
Yaaa kaka
Huyo muandishi ana sound km Salama Jabir
Dada apewe cheo🎉
❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ namkubar xn chibudengaaaaa to 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
huyu mdada very smart
Huyu DADA anayeuliza maswali ni Mtanzania ama, 🎉🎉🎉🎉 napendekeza pia kwenye football ndio huyuhuyu awe anawahoji wakina Gamond
amekaa smart sana atafaa sana huenda yale maswal ya ulionaje mchezo yakaisha😅😅
Ongera Simba ❤❤❤
Ni Mtu wa kujisifia sana kwa Mtazamo wangu
🤣😂😅 Eti mi nna mawe atali😂😂😂
#awakuwezi Daima
❤❤❤❤