🔴MBELE YA RAIS SAMIA HARMONIZE AMTAJA DIAMOND PLATNUMZ NDIO MTU MUHIMU SANA KATIKA MAISHA YAKE YOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • #topleveltz

Комментарии • 169

  • @NdayisabaValens-gh7kb
    @NdayisabaValens-gh7kb 8 месяцев назад +9

    Tunataka collable ya ninyi,ikiwa Harmonize ataimba wimbo na Diamond tena,tutakubali wao wameungana tena,kutoka 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 much love to TZ Musics

    • @KarambiziMartin-xv8op
      @KarambiziMartin-xv8op 8 месяцев назад +1

      Sijui kama itawezekana. Bro I'm from Rwanda 🇷🇼 hhh

    • @NdayisabaValens-gh7kb
      @NdayisabaValens-gh7kb 7 месяцев назад +1

      may be coz all of them are searching money may be wale wametudanganya wana beef lakini hakuna beef katikati yao

  • @muhigigwastaney
    @muhigigwastaney 11 дней назад

    Bro you full talented kabisa. hubahatishi kamwe

  • @graceirakoze2868
    @graceirakoze2868 8 месяцев назад +9

    What I appreciate for harmo ,he takes time to write a good lyric, very nice 👍

  • @MatofaliJinyore
    @MatofaliJinyore Месяц назад +2

    Uko congo tu kupenda harmonize ❤

  • @mzd-g1v
    @mzd-g1v 4 месяца назад +3

    Nakukubali ndugu yangu nakupenda Sana unajuwa kuimba harmo

  • @JeremieIshara
    @JeremieIshara 14 дней назад +1

    Kongo tuna kukubali sana kond, wewe ni one number 👍

  • @DirectorNgosha
    @DirectorNgosha 7 месяцев назад +1

    ❤❤ harmonize I appreciate your work hakika unaweza Kaka

  • @Woniala-fj1pk
    @Woniala-fj1pk 8 месяцев назад +2

    Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Palukumakasanizawadi
    @Palukumakasanizawadi 2 месяца назад +2

    Hiyo show imekuwa nzuri kama ya wa Congo. Ningewashauri kuacha playback kwenye show

  • @PambeBundala-b7p
    @PambeBundala-b7p 5 месяцев назад +1

    Mungu akubalik kwazi yako

  • @terizmohartists
    @terizmohartists 16 дней назад +1

    Account Navy G naomba support watanzania meaning mchqnga kutoka kenya

  • @KessyPhilip-n7x
    @KessyPhilip-n7x 2 месяца назад

    Congraturations to harmo,you know for sure on how to organize poems,*

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 8 месяцев назад +4

    Mwanamke ni mtu na nusu, kukatishwa tamaa usiruhusu, hata kurudisha nyuma unitów nafasi.💪🏽💪🏽👍🏽

  • @AsendeAndre-g6k
    @AsendeAndre-g6k 21 день назад

    DRC tuna kupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 5 месяцев назад +2

    Yan bana hawa wasani huwa wanamdanganya mama sana acheni kusifia aisee nchii hii ninge kuwa na Feza zakutosha ningeomba uraia nchii nyingine mana hawa viongozi na hawa wasani wao ni zio sana

  • @JaninNgitish
    @JaninNgitish 2 месяца назад

    congraclation harmo❤ your songs

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 8 месяцев назад +8

    Very nice song. Hongera sana Harmonize. 🎉🎉

  • @StephanoJoseph-t2i
    @StephanoJoseph-t2i 4 месяца назад

    Good music konde boy mpaka nalia kwa kutafakari mengi juu mama, nampenda Sana mama angu

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 8 месяцев назад +3

    ❤kweli MUNGU ni wa kwanza mama ni MUNGU wa pili bila mama wewe usinge kuwepo na huwezi pata mama original hila bandia utapa

  • @AsendeAndre-g6k
    @AsendeAndre-g6k 21 день назад

    DRC Congo 🇨🇩 🎉🎉we love you so much 🎉

  • @ErickSenior-f4s
    @ErickSenior-f4s 7 месяцев назад +1

    😢😢wow much appreciated

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 8 месяцев назад +7

    Mashaallah konde boy mungu akubariki na raisi Samia hapo

  • @jumakivuma581
    @jumakivuma581 6 месяцев назад +1

    Hongera harmonize Kwa kuungana na wcb Tena by Alex John Pollo

  • @aminamwinyi6004
    @aminamwinyi6004 8 месяцев назад +7

    tumuombee sana uhai mleefu huyo simba lama simba.maana bila simba media yote za habari na wasanii wetu kwishaaa.

  • @Christianbround
    @Christianbround 8 месяцев назад +1

    Kweli harmonize we ni mkali sana i'm from Drc

  • @SilasijanuaryRuhory
    @SilasijanuaryRuhory 8 месяцев назад +2

    Konde nakupega sanatumbusha tulipo my brother 🕺🕺🕺

  • @JumaSabai-l5b
    @JumaSabai-l5b 7 месяцев назад

    Mm nampenda sana Allah make ndiemkomzi zaidi ya chochote hapa duniani

  • @MTOTOMKUBWA45
    @MTOTOMKUBWA45 8 месяцев назад +4

    MAMA YANGU #RAULENCIA NI MTU NANUSU✅

  • @DesmondMurithi
    @DesmondMurithi 5 месяцев назад

    He is really a superstar love you harmoo

  • @DamtelLegunju
    @DamtelLegunju 8 месяцев назад +7

    unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote

    • @FadhiliMshali-v5l
      @FadhiliMshali-v5l 3 месяца назад

      Umetisha

    • @AMNOZAbenezeti
      @AMNOZAbenezeti 22 дня назад

      uko sawa mtu nanusu kivipi pumbqvu zake kama ni nanusu nasisi wakiume nimtu na nini shenzi zake pumbavu

  • @LwasireDjeph
    @LwasireDjeph 5 месяцев назад

    Mungu akubariki sana l'onde boy.

  • @Hemanandsons
    @Hemanandsons 8 месяцев назад +3

    Great song. Mama

  • @GodfreyMoses-m6u
    @GodfreyMoses-m6u 7 месяцев назад +1

    Asante sana kwa wimbo mzuro

  • @mtumishijoshua
    @mtumishijoshua 8 месяцев назад +6

    Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 8 месяцев назад +1

    Msaada yaan sorpot connection kusambaza goma rengo mafanikio to Kaka please please please surpot

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 8 месяцев назад +38

    Me naimba natumia jina diga boy tz please please please please please please naomba msaada nanyimbo yangu inaitwa raha

  • @LaurentDalmond
    @LaurentDalmond 7 месяцев назад +1

    😢si pending mimi

  • @obbykaoma3663
    @obbykaoma3663 2 месяца назад

    Nice one naipenda sana inyimbo

  • @shebbyJr
    @shebbyJr 6 месяцев назад +1

    Marafiki hawaachan kirahis🎉🎉

  • @BonheurKaka
    @BonheurKaka Месяц назад

    Harmonize king l love you bro❤❤

  • @HUYANNY
    @HUYANNY 26 дней назад +1

    Harmonezi wakilisha

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 8 месяцев назад +6

    Harmonize is Golden boy,talk & go sleep

  • @IssaMuhamed-sg6np
    @IssaMuhamed-sg6np 8 месяцев назад +3

    Nakubali konde❤❤❤❤

  • @PascalShanganya
    @PascalShanganya 8 дней назад

    ❤❤❤❤mama yangu ni mtu na nusu

  • @AgnessSulley
    @AgnessSulley 7 месяцев назад +5

    Me unaitwa ranzorld Nina nyimbo yangu naomba mnisaport Jina LA mzki wangu ni sitomuacha please naomba usisahau kucomment mnitie moyo

    • @EsterCharles-g5g
      @EsterCharles-g5g Месяц назад

      Juhudi yako ndio itakayokufikisha pazuri guy so dont forget god is everything in ze world.

  • @bishopdavid6371
    @bishopdavid6371 8 месяцев назад +13

    harmonise anaimba vyema kwenye live zaidi ya diamond. nimesema bila kuogopa ,yuopo tu sawa

  • @JofreyElisaria
    @JofreyElisaria 7 месяцев назад +1

    ENJOY Good music from REENA MANGI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @AlbanoMtambuu
    @AlbanoMtambuu 12 дней назад

    Ngoma kali konde❤❤

  • @JashMedard
    @JashMedard 6 месяцев назад

    Konde boy mimi ni shabiki yako namba moja Nipo congo

  • @AkilinyoMussanyo
    @AkilinyoMussanyo 5 месяцев назад

    Mtunzi katunga story😮

  • @DieumeWasingyakas-zk9kb
    @DieumeWasingyakas-zk9kb 7 месяцев назад +1

    Félicitation vraiment harimonaze

  • @michaelmanya2376
    @michaelmanya2376 8 месяцев назад +3

    Kazi nzuri sana kwa huyu kijana .Jamani hiki ni kipaji.

  • @GastonMnyukwa
    @GastonMnyukwa 8 месяцев назад +1

    Big ap brother

  • @Kheedspo
    @Kheedspo 8 месяцев назад +4

    nice one good song 💯🔥🔥🔥

  • @JashMedard
    @JashMedard 6 месяцев назад +1

    Asante konde boy unasema veman ongera

  • @Wizzky-w8m
    @Wizzky-w8m 6 месяцев назад +1

    Kaka unaweza

  • @MuganzaSamboy
    @MuganzaSamboy 7 дней назад

    Namukubaliaga sana

  • @PaulJohn-vp8ue
    @PaulJohn-vp8ue 8 месяцев назад +4

    Good very much kaka mkuu

  • @FelixAlumasa
    @FelixAlumasa 5 месяцев назад +1

    Kali💥

  • @AganzeJosué
    @AganzeJosué 3 месяца назад

    Merci beaucoup kk

  • @ElvisWanjala-vr8jg
    @ElvisWanjala-vr8jg 8 месяцев назад +2

    Acheni kutuchanganya sisi kama shabiki wenu tumechoka

  • @PhyniusMwita
    @PhyniusMwita 8 месяцев назад +2

    Sawaa bwana lakin Mondi ni mtu hatari sana

  • @jitulakaleboymastr6477
    @jitulakaleboymastr6477 4 месяца назад

    Kama unaabudu sana wanawake kuliko baba alie kuumba badilisha na wew jinsia uwe mwana mke juzi umetoka kusema mungu mwana mke Leo mwana mke ni mtu na nusu kwaiyo wew una mjua mwana mke kuliko ata mungu alie muumba

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 8 месяцев назад +2

    Me naimba natumia jina diga boy tz please please please msaada

  • @MarksonOsoro
    @MarksonOsoro 6 месяцев назад

    Me kama mekarboy nko upande wa harmonize end I wish nipige ngoma na yy

  • @salehezimbwe6395
    @salehezimbwe6395 8 месяцев назад +8

    mama yangu ni mtu na nusu

  • @BarakeyRasta
    @BarakeyRasta 6 месяцев назад +1

    nice for you m'y bron

  • @Miriamerasmas-rk7nz
    @Miriamerasmas-rk7nz 8 месяцев назад +5

    Konde wew kibok jmn honger san

  • @ElisandeMajaliwa-p9l
    @ElisandeMajaliwa-p9l 3 месяца назад

    Harmonise
    Anaimba
    Vizuri
    Kuliko
    Diamond

  • @Richadivilikamwitoi
    @Richadivilikamwitoi 10 дней назад

    Apo unakazia kidog mwanamke nikiumbe jaaili🎉❤

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 8 месяцев назад +2

    Mis understand harmonize & Diamond start from journalist

  • @goodlucksenyagwaofficial2299
    @goodlucksenyagwaofficial2299 8 месяцев назад +3

    Namuona lwaga anapoitamani maiki yan hapo angepauwa

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 3 месяца назад

    Sasa hii njimbo ni Tanganyika flaver or Chindimbaaaah¿njimbo ya Kanisa kwaya hioooo okay pal.thanks

  • @WilliamYatosha
    @WilliamYatosha 8 месяцев назад +2

    Toka hpa tumechoka na kumsifia diamond

  • @izaboymtykwl
    @izaboymtykwl 8 месяцев назад +1

    Mbona sipatihata jina ya Diamond ninyi😂😂😂😂😂

  • @HalediMndewa-p3g
    @HalediMndewa-p3g 5 месяцев назад

    ww kuimba unaweza

  • @rosemutisya2073
    @rosemutisya2073 8 месяцев назад +5

    🔥🔥🔥🔥

  • @ShabaniSalumu-et4zm
    @ShabaniSalumu-et4zm 8 месяцев назад +5

    Mama nitu na nusu

  • @WardaMauwa-hk8vl
    @WardaMauwa-hk8vl 6 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤

  • @BisimwaBanywesizepatient
    @BisimwaBanywesizepatient 7 месяцев назад

    Berry good

  • @HaronMwingi
    @HaronMwingi 6 месяцев назад +1

    Uyo mama sioni kitu akafanya sifa za Bure tu

  • @LucasMagukuru-hc9kr
    @LucasMagukuru-hc9kr 8 месяцев назад +4

    Huy ndo kondeboy, bravo

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 8 месяцев назад +1

    Hiyo live na sauti inatoka hivyo... Daah!
    Huyu dogo anajua sana kuimba!

  • @harunaAsuman
    @harunaAsuman 8 месяцев назад +4

    Konde boy ametisha

  • @BenjaminKarori-f7m
    @BenjaminKarori-f7m 6 месяцев назад +3

    Umepigaje hapo konde boy

  • @PacifiqueCubaka-m7q
    @PacifiqueCubaka-m7q 3 месяца назад

    Ndio mtu yafaa kuwa nautu mtu akiku save basi kamwe usimsahabu kumshukuru

  • @Haridi625Mwihumbo
    @Haridi625Mwihumbo 21 день назад

    Iyo good

  • @AshrafyYousuf
    @AshrafyYousuf 2 месяца назад

    Muhimi kwakuku peleka jahnam,Allah atu epushe sana

  • @NtakobajiraYasini
    @NtakobajiraYasini 7 месяцев назад +2

    😂😂😂 kabisa vraiment maman ni mama😂❤

  • @MuniBoy2000
    @MuniBoy2000 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤🎉😮😊

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 8 месяцев назад +8

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️

  • @GedeonKatobola
    @GedeonKatobola 6 месяцев назад

    Ok❤❤😢

  • @ibrahimkarisa-cp7su
    @ibrahimkarisa-cp7su 8 месяцев назад +8

    Apa nataka like za wakubwa....watu walio komaaa sio wale wanao mchukia hamo bila kosa...😂😂😂 Pumbavu zenu🏃🏃

    • @Lulualshagri
      @Lulualshagri 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Lulualshagri
      @Lulualshagri 8 месяцев назад +1

      Bravoooo konde gang for life 🎉🎉🎉❤❤❤

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn 8 месяцев назад +1

      Kwa Maana hiyo umekuwa !! Umevunja *Ungoo!! Au siyo

    • @MonaJuma-cp3jg
      @MonaJuma-cp3jg 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @JeneroHaruna-d6n
    @JeneroHaruna-d6n 5 месяцев назад +1

    Munamsifia t lkn hakuna anacho kifanya

  • @LameckMalaki-d4f
    @LameckMalaki-d4f 4 месяца назад

    Nimeipend

  • @EmmanuelMashala-xv1em
    @EmmanuelMashala-xv1em 6 месяцев назад +1

    Mungumkubwa sana

  • @emilykoi135
    @emilykoi135 8 месяцев назад +3

    One love bro Konde

  • @SelvaseramaSelva
    @SelvaseramaSelva 2 месяца назад

    Nikweli

  • @hassanimmbaga6379
    @hassanimmbaga6379 5 месяцев назад +1

    Sawa

  • @erasmemastaki1273
    @erasmemastaki1273 2 месяца назад

    Mama kweli ni mutu na nusu