unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote
Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa
Rajabu ww ni kijana wa kiislam umemfananisha ALLAHU Mtukufu na Mwanamke na umekiri na kutubia makosa yako lkn bado unaendelea kumshirikisha ALLAHU kwa kusema Mama (mwanamke) ni Mungu wa pili achana na njaa itakupeleka pabaya hapa duniani tunapita tu, pia jitahidi kuteng muda wa kuisoma dini yako uielewe vizuri na ulazimikiane nayo hadi kufa ALLAHU atuongoze sote na Atujaalie mwisho mwema✓
ruclips.net/video/EUC1GClcN_I/видео.htmlsi=b3RgegP_3-DcwKBv Big up saaana brother 🙏 #mkomboziLucifer ft #Waidiyoyada #FAT'IMISARABA #mkombozi ruclips.net/video/EUC1GClcN_I/видео.htmlsi=b3RgegP_3-DcwKBv 😊 1:141:15
harmonise anaimba vyema kwenye live zaidi ya diamond. nimesema bila kuogopa ,yuopo tu sawa
Kweli❤
Ukweli saana
What I appreciate for harmo ,he takes time to write a good lyric, very nice 👍
True❤
Tunataka collable ya ninyi,ikiwa Harmonize ataimba wimbo na Diamond tena,tutakubali wao wameungana tena,kutoka 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 much love to TZ Musics
Sijui kama itawezekana. Bro I'm from Rwanda 🇷🇼 hhh
unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote
Very nice song. Hongera sana Harmonize. 🎉🎉
MAMA YANGU #RAULENCIA NI MTU NANUSU✅
Good very much kaka mkuu
nice one good song 💯🔥🔥🔥
Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah konde boy mungu akubariki na raisi Samia hapo
Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa
Kweli harmonize we ni mkali sana i'm from Drc
Mwanamke ni mtu na nusu, kukatishwa tamaa usiruhusu, hata kurudisha nyuma unitów nafasi.💪🏽💪🏽👍🏽
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
Msaada yaan sorpot connection kusambaza goma rengo mafanikio to Kaka please please please surpot
❤kweli MUNGU ni wa kwanza mama ni MUNGU wa pili bila mama wewe usinge kuwepo na huwezi pata mama original hila bandia utapa
Great song. Mama
Harmonize is Golden boy,talk & go sleep
Konde nakupega sanatumbusha tulipo my brother 🕺🕺🕺
Big ap brother
🔥🔥🔥🔥
mama yangu ni mtu na nusu
Konde wew kibok jmn honger san
tumuombee sana uhai mleefu huyo simba lama simba.maana bila simba media yote za habari na wasanii wetu kwishaaa.
Nakubali konde❤❤❤❤
Mis understand harmonize & Diamond start from journalist
Hiyo live na sauti inatoka hivyo... Daah!
Huyu dogo anajua sana kuimba!
Mama nitu na nusu
Toka hpa tumechoka na kumsifia diamond
Konde boy ametisha
Sawaa bwana lakin Mondi ni mtu hatari sana
Acheni kutuchanganya sisi kama shabiki wenu tumechoka
Namuona lwaga anapoitamani maiki yan hapo angepauwa
Mbona sipatihata jina ya Diamond ninyi😂😂😂😂😂
Francais
1:13
Huy ndo kondeboy, bravo
Wewe nisupa
Konde weye uko shida.kaha apooh usi toke.
One love bro Konde
Me naimba natumia jina diga boy tz please please please please please please naomba msaada nanyimbo yangu inaitwa raha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pandzp ww
Msaada gan unaotaka?
Baki hivo H umwnyowa vizuli
Me naimba natumia jina diga boy tz please please please msaada
Jisaidie kabla hujasaidiwa
Kazi nzuri sana kwa huyu kijana .Jamani hiki ni kipaji.
Kwel
Njaaaa tupu
Kalewa nn
Rajabu ww ni kijana wa kiislam umemfananisha ALLAHU Mtukufu na Mwanamke na umekiri na kutubia makosa yako lkn bado unaendelea kumshirikisha ALLAHU kwa kusema Mama (mwanamke) ni Mungu wa pili achana na njaa itakupeleka pabaya hapa duniani tunapita tu, pia jitahidi kuteng muda wa kuisoma dini yako uielewe vizuri na ulazimikiane nayo hadi kufa ALLAHU atuongoze sote na Atujaalie mwisho mwema✓
Unahakili sana
Apa nataka like za wakubwa....watu walio komaaa sio wale wanao mchukia hamo bila kosa...😂😂😂 Pumbavu zenu🏃🏃
😂😂😂😂😂😂😂
Bravoooo konde gang for life 🎉🎉🎉❤❤❤
Kwa Maana hiyo umekuwa !! Umevunja *Ungoo!! Au siyo
😂😂😂😂😂😂😂
Kwanini Wasafi wivu sana,inamaanisha niwachungu
most boring crowd ever, this coperate heads dont need entertainment
mimi ninachoona harmonyiz habari zake aziend mpaka muweke picha ya simba ndio muuze habar zenu.kweli simba ndio baba lao
Hatamipiya nimefungua vidéo nikizani kwamba nitamuona Simba
ruclips.net/video/EUC1GClcN_I/видео.htmlsi=b3RgegP_3-DcwKBv
Big up saaana brother 🙏
#mkomboziLucifer ft #Waidiyoyada #FAT'IMISARABA
#mkombozi
ruclips.net/video/EUC1GClcN_I/видео.htmlsi=b3RgegP_3-DcwKBv 😊 1:14 1:15
Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤