🔴MBELE YA RAIS SAMIA HARMONIZE AMTAJA DIAMOND PLATNUMZ NDIO MTU MUHIMU SANA KATIKA MAISHA YAKE YOTE

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 70

  • @bishopdavid6371
    @bishopdavid6371 13 дней назад +9

    harmonise anaimba vyema kwenye live zaidi ya diamond. nimesema bila kuogopa ,yuopo tu sawa

  • @graceirakoze2868
    @graceirakoze2868 20 дней назад +7

    What I appreciate for harmo ,he takes time to write a good lyric, very nice 👍

  • @NdayisabaValens-gh7kb
    @NdayisabaValens-gh7kb 20 дней назад +6

    Tunataka collable ya ninyi,ikiwa Harmonize ataimba wimbo na Diamond tena,tutakubali wao wameungana tena,kutoka 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 much love to TZ Musics

  • @DamtelLegunju
    @DamtelLegunju 12 дней назад +4

    unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 22 дня назад +7

    Very nice song. Hongera sana Harmonize. 🎉🎉

  • @WalkersTech1
    @WalkersTech1 15 дней назад +4

    MAMA YANGU #RAULENCIA NI MTU NANUSU✅

  • @PaulJohn-vp8ue
    @PaulJohn-vp8ue 6 дней назад +3

    Good very much kaka mkuu

  • @danielwesonga1501
    @danielwesonga1501 11 дней назад +4

    nice one good song 💯🔥🔥🔥

  • @Woniala-fj1pk
    @Woniala-fj1pk 4 дня назад +1

    Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 22 дня назад +7

    Mashaallah konde boy mungu akubariki na raisi Samia hapo

  • @mtumishijoshua
    @mtumishijoshua 16 дней назад +4

    Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa

  • @Christianbround
    @Christianbround 2 дня назад +1

    Kweli harmonize we ni mkali sana i'm from Drc

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 22 дня назад +4

    Mwanamke ni mtu na nusu, kukatishwa tamaa usiruhusu, hata kurudisha nyuma unitów nafasi.💪🏽💪🏽👍🏽

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 22 дня назад +8

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 6 дней назад +1

    Msaada yaan sorpot connection kusambaza goma rengo mafanikio to Kaka please please please surpot

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 21 день назад +2

    ❤kweli MUNGU ni wa kwanza mama ni MUNGU wa pili bila mama wewe usinge kuwepo na huwezi pata mama original hila bandia utapa

  • @Nashua9233
    @Nashua9233 14 дней назад +2

    Great song. Mama

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 22 дня назад +5

    Harmonize is Golden boy,talk & go sleep

  • @user-pn7em9nm6r
    @user-pn7em9nm6r 21 день назад +2

    Konde nakupega sanatumbusha tulipo my brother 🕺🕺🕺

  • @GastonMnyukwa
    @GastonMnyukwa 6 дней назад +1

    Big ap brother

  • @rosemutisya2073
    @rosemutisya2073 22 дня назад +5

    🔥🔥🔥🔥

  • @salehezimbwe6395
    @salehezimbwe6395 22 дня назад +7

    mama yangu ni mtu na nusu

  • @Miriamerasmas-rk7nz
    @Miriamerasmas-rk7nz 22 дня назад +5

    Konde wew kibok jmn honger san

  • @aminamwinyi6004
    @aminamwinyi6004 22 дня назад +4

    tumuombee sana uhai mleefu huyo simba lama simba.maana bila simba media yote za habari na wasanii wetu kwishaaa.

  • @IssaMuhamed-sg6np
    @IssaMuhamed-sg6np 22 дня назад +3

    Nakubali konde❤❤❤❤

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 20 дней назад +2

    Mis understand harmonize & Diamond start from journalist

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 5 дней назад +1

    Hiyo live na sauti inatoka hivyo... Daah!
    Huyu dogo anajua sana kuimba!

  • @ShabaniSalumu-et4zm
    @ShabaniSalumu-et4zm 22 дня назад +5

    Mama nitu na nusu

  • @WilliamYatosha
    @WilliamYatosha 19 дней назад +2

    Toka hpa tumechoka na kumsifia diamond

  • @harunaAsuman
    @harunaAsuman 16 дней назад +3

    Konde boy ametisha

  • @user-of5db6ze4x
    @user-of5db6ze4x 22 дня назад +2

    Sawaa bwana lakin Mondi ni mtu hatari sana

  • @ElvisWanjala-vr8jg
    @ElvisWanjala-vr8jg 9 дней назад +1

    Acheni kutuchanganya sisi kama shabiki wenu tumechoka

  • @goodlucksenyagwaofficial2299
    @goodlucksenyagwaofficial2299 17 дней назад +2

    Namuona lwaga anapoitamani maiki yan hapo angepauwa

  • @izaboymtykwl
    @izaboymtykwl 9 дней назад +1

    Mbona sipatihata jina ya Diamond ninyi😂😂😂😂😂

  • @sadaccaron9782
    @sadaccaron9782 21 день назад +2

    Francais

  • @sadaccaron9782
    @sadaccaron9782 21 день назад +2

    1:13

  • @LucasMagukuru-hc9kr
    @LucasMagukuru-hc9kr 22 дня назад +4

    Huy ndo kondeboy, bravo

  • @RamaSaid-je3sd
    @RamaSaid-je3sd 2 дня назад +1

    Wewe nisupa

  • @IsaacNapudjo
    @IsaacNapudjo 14 дней назад +2

    Konde weye uko shida.kaha apooh usi toke.

  • @emilykoi135
    @emilykoi135 21 день назад +3

    One love bro Konde

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 22 дня назад +19

    Me naimba natumia jina diga boy tz please please please please please please naomba msaada nanyimbo yangu inaitwa raha

  • @samuelkimomo2336
    @samuelkimomo2336 3 дня назад +1

    Baki hivo H umwnyowa vizuli

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 22 дня назад +2

    Me naimba natumia jina diga boy tz please please please msaada

  • @michaelmanya2376
    @michaelmanya2376 21 день назад +3

    Kazi nzuri sana kwa huyu kijana .Jamani hiki ni kipaji.

  • @LucasMagukuru-hc9kr
    @LucasMagukuru-hc9kr 22 дня назад +1

    Kwel

  • @bizedy
    @bizedy 12 дней назад

    Njaaaa tupu

  • @MsalabaniReko
    @MsalabaniReko 22 дня назад +1

    Kalewa nn

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9v 21 день назад +2

    Rajabu ww ni kijana wa kiislam umemfananisha ALLAHU Mtukufu na Mwanamke na umekiri na kutubia makosa yako lkn bado unaendelea kumshirikisha ALLAHU kwa kusema Mama (mwanamke) ni Mungu wa pili achana na njaa itakupeleka pabaya hapa duniani tunapita tu, pia jitahidi kuteng muda wa kuisoma dini yako uielewe vizuri na ulazimikiane nayo hadi kufa ALLAHU atuongoze sote na Atujaalie mwisho mwema✓

    • @bizedy
      @bizedy 12 дней назад +2

      Unahakili sana

  • @ibrahimkarisa-cp7su
    @ibrahimkarisa-cp7su 22 дня назад +7

    Apa nataka like za wakubwa....watu walio komaaa sio wale wanao mchukia hamo bila kosa...😂😂😂 Pumbavu zenu🏃🏃

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 22 дня назад +2

    Kwanini Wasafi wivu sana,inamaanisha niwachungu

  • @olivertwistproductions
    @olivertwistproductions 2 дня назад +1

    most boring crowd ever, this coperate heads dont need entertainment

  • @aminamwinyi6004
    @aminamwinyi6004 22 дня назад +3

    mimi ninachoona harmonyiz habari zake aziend mpaka muweke picha ya simba ndio muuze habar zenu.kweli simba ndio baba lao

    • @user-cg6sr7vr3k
      @user-cg6sr7vr3k 21 день назад

      Hatamipiya nimefungua vidéo nikizani kwamba nitamuona Simba

  • @waidiyoyadagospelsmusicofficia
    @waidiyoyadagospelsmusicofficia 21 день назад +3

    ruclips.net/video/EUC1GClcN_I/видео.htmlsi=b3RgegP_3-DcwKBv
    Big up saaana brother 🙏
    #mkomboziLucifer ft #Waidiyoyada #FAT'IMISARABA
    #mkombozi
    ruclips.net/video/EUC1GClcN_I/видео.htmlsi=b3RgegP_3-DcwKBv 😊 1:14 1:15

  • @Woniala-fj1pk
    @Woniala-fj1pk 4 дня назад

    Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤