Yan bana hawa wasani huwa wanamdanganya mama sana acheni kusifia aisee nchii hii ninge kuwa na Feza zakutosha ningeomba uraia nchii nyingine mana hawa viongozi na hawa wasani wao ni zio sana
unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote
Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa
Kama unaabudu sana wanawake kuliko baba alie kuumba badilisha na wew jinsia uwe mwana mke juzi umetoka kusema mungu mwana mke Leo mwana mke ni mtu na nusu kwaiyo wew una mjua mwana mke kuliko ata mungu alie muumba
Tunataka collable ya ninyi,ikiwa Harmonize ataimba wimbo na Diamond tena,tutakubali wao wameungana tena,kutoka 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 much love to TZ Musics
Sijui kama itawezekana. Bro I'm from Rwanda 🇷🇼 hhh
may be coz all of them are searching money may be wale wametudanganya wana beef lakini hakuna beef katikati yao
Bro you full talented kabisa. hubahatishi kamwe
What I appreciate for harmo ,he takes time to write a good lyric, very nice 👍
True❤
Uko congo tu kupenda harmonize ❤
Nakukubali ndugu yangu nakupenda Sana unajuwa kuimba harmo
Kongo tuna kukubali sana kond, wewe ni one number 👍
❤❤ harmonize I appreciate your work hakika unaweza Kaka
Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤
Hiyo show imekuwa nzuri kama ya wa Congo. Ningewashauri kuacha playback kwenye show
Mungu akubalik kwazi yako
Account Navy G naomba support watanzania meaning mchqnga kutoka kenya
Congraturations to harmo,you know for sure on how to organize poems,*
Mwanamke ni mtu na nusu, kukatishwa tamaa usiruhusu, hata kurudisha nyuma unitów nafasi.💪🏽💪🏽👍🏽
DRC tuna kupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Yan bana hawa wasani huwa wanamdanganya mama sana acheni kusifia aisee nchii hii ninge kuwa na Feza zakutosha ningeomba uraia nchii nyingine mana hawa viongozi na hawa wasani wao ni zio sana
congraclation harmo❤ your songs
Very nice song. Hongera sana Harmonize. 🎉🎉
Good music konde boy mpaka nalia kwa kutafakari mengi juu mama, nampenda Sana mama angu
❤kweli MUNGU ni wa kwanza mama ni MUNGU wa pili bila mama wewe usinge kuwepo na huwezi pata mama original hila bandia utapa
DRC Congo 🇨🇩 🎉🎉we love you so much 🎉
😢😢wow much appreciated
Mashaallah konde boy mungu akubariki na raisi Samia hapo
Hongera harmonize Kwa kuungana na wcb Tena by Alex John Pollo
tumuombee sana uhai mleefu huyo simba lama simba.maana bila simba media yote za habari na wasanii wetu kwishaaa.
Kweli harmonize we ni mkali sana i'm from Drc
Konde nakupega sanatumbusha tulipo my brother 🕺🕺🕺
Mm nampenda sana Allah make ndiemkomzi zaidi ya chochote hapa duniani
MAMA YANGU #RAULENCIA NI MTU NANUSU✅
He is really a superstar love you harmoo
unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote
Umetisha
uko sawa mtu nanusu kivipi pumbqvu zake kama ni nanusu nasisi wakiume nimtu na nini shenzi zake pumbavu
Mungu akubariki sana l'onde boy.
Great song. Mama
Asante sana kwa wimbo mzuro
Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa
wee ni nani??
Na mim nikuongezee????
Msaada yaan sorpot connection kusambaza goma rengo mafanikio to Kaka please please please surpot
Me naimba natumia jina diga boy tz please please please please please please naomba msaada nanyimbo yangu inaitwa raha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pandzp ww
Msaada gan unaotaka?
Em tuione kaka
Unaishi wap?
😢si pending mimi
Nice one naipenda sana inyimbo
Marafiki hawaachan kirahis🎉🎉
Harmonize king l love you bro❤❤
Harmonezi wakilisha
Harmonize is Golden boy,talk & go sleep
Nakubali konde❤❤❤❤
❤❤❤❤mama yangu ni mtu na nusu
Me unaitwa ranzorld Nina nyimbo yangu naomba mnisaport Jina LA mzki wangu ni sitomuacha please naomba usisahau kucomment mnitie moyo
Juhudi yako ndio itakayokufikisha pazuri guy so dont forget god is everything in ze world.
harmonise anaimba vyema kwenye live zaidi ya diamond. nimesema bila kuogopa ,yuopo tu sawa
Kweli❤
Ukweli saana
ENJOY Good music from REENA MANGI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ngoma kali konde❤❤
Konde boy mimi ni shabiki yako namba moja Nipo congo
Mtunzi katunga story😮
Félicitation vraiment harimonaze
Kazi nzuri sana kwa huyu kijana .Jamani hiki ni kipaji.
Big ap brother
nice one good song 💯🔥🔥🔥
Asante konde boy unasema veman ongera
Kaka unaweza
Namukubaliaga sana
Good very much kaka mkuu
Kali💥
Merci beaucoup kk
Acheni kutuchanganya sisi kama shabiki wenu tumechoka
Sawaa bwana lakin Mondi ni mtu hatari sana
Kama unaabudu sana wanawake kuliko baba alie kuumba badilisha na wew jinsia uwe mwana mke juzi umetoka kusema mungu mwana mke Leo mwana mke ni mtu na nusu kwaiyo wew una mjua mwana mke kuliko ata mungu alie muumba
Me naimba natumia jina diga boy tz please please please msaada
Jisaidie kabla hujasaidiwa
Me kama mekarboy nko upande wa harmonize end I wish nipige ngoma na yy
mama yangu ni mtu na nusu
nice for you m'y bron
Konde wew kibok jmn honger san
Harmonise
Anaimba
Vizuri
Kuliko
Diamond
Apo unakazia kidog mwanamke nikiumbe jaaili🎉❤
Mis understand harmonize & Diamond start from journalist
Namuona lwaga anapoitamani maiki yan hapo angepauwa
Sasa hii njimbo ni Tanganyika flaver or Chindimbaaaah¿njimbo ya Kanisa kwaya hioooo okay pal.thanks
Toka hpa tumechoka na kumsifia diamond
Mbona sipatihata jina ya Diamond ninyi😂😂😂😂😂
ww kuimba unaweza
🔥🔥🔥🔥
Mama nitu na nusu
❤❤❤❤
Nìmeipenda
Berry good
Uyo mama sioni kitu akafanya sifa za Bure tu
Huy ndo kondeboy, bravo
Hiyo live na sauti inatoka hivyo... Daah!
Huyu dogo anajua sana kuimba!
Konde boy ametisha
Umepigaje hapo konde boy
Ndio mtu yafaa kuwa nautu mtu akiku save basi kamwe usimsahabu kumshukuru
Iyo good
Muhimi kwakuku peleka jahnam,Allah atu epushe sana
😂😂😂 kabisa vraiment maman ni mama😂❤
❤❤❤❤❤🎉😮😊
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
Ok❤❤😢
Apa nataka like za wakubwa....watu walio komaaa sio wale wanao mchukia hamo bila kosa...😂😂😂 Pumbavu zenu🏃🏃
😂😂😂😂😂😂😂
Bravoooo konde gang for life 🎉🎉🎉❤❤❤
Kwa Maana hiyo umekuwa !! Umevunja *Ungoo!! Au siyo
😂😂😂😂😂😂😂
Munamsifia t lkn hakuna anacho kifanya
Nimeipend
Mungumkubwa sana
One love bro Konde
@phina.gr.13 bravoo my brothe👍👎👏
Nikweli
Sawa
Mama kweli ni mutu na nusu