Kiba ni msanii pekee a aye shobokewa na wenzake tz, kuanziya diamond, harmonize, rayvanny, shilole,... Wote wanamweshimu, not because he is the best but because he has a good character, one of a king.
Namkubali sana Ally Kiba Coz Ni Msanii ambaye havai maereni Wala kusuka na pia mavazi yake Dah! Broo Appreciate for that, Mungu akuongoze katika kazi zako...!! Aamin
Watu mmeichukulia hii issue tofauti,King asingeweza kuacha interview,aanze kuongea na wasanii wenzake,ilibidi amalizane na interview,then waongee off camera
Alikiba is intelligent and confident..anajibu maswali kisomi na anaruka mitego ya kusudi la majibu kwa mwandishi... Hataki shobo, hataki bifu na hataki chuki na mtu yaani he is " natural to litimass"
Hiyo siyo dharau my dada,kumbuka Yuko kwenye interview,na asingeweza kuacha interview na kuanza kuongea na Harmo,ama Shishi,may be waliongea behind the camera
Hii imenifurahisha sana Kati ya alikiba na harmonize.halafu nimeona mrembo kama shilole .kweli damu ni nzito kuliko maji.hongera alikiba na konde .na wote walio fanikiwa kufika kwenye mahojiano.
Wabogo bwana kwanini alikiba asifanye na mdogo wake Ili nayeye angalau unukie ustar huyo harmonize ni mond mtupu kwahiy ukijifanya unaempenda harmonize wew nishabiki wa mond kindaki ndaki
Wow!🎉heko Kwa KingKIBA I really like the part where KONDEBOY came and hugged KingKIBA that is a sign of recognition and unity ...thank you very much am proud of you 2🎉🎉🎉🎉🎉
Truth talking , atakama muda mrefu with nothing because he has egoism, bro just see how he reacted to harmonize - was not good reaction , na inasemekana moja kati ya vitu vilivyochangia diamond platinumz kumuacha mbali Ali kiba ni hiyo tabia ya kujisikia./
Wanaombeza harmo et kakosea kumhug king siyo kwer kwanz kaonesha love kwa msanii mwenzake pili kaonesha respect na umoja pia hii ndivyo inatakiwa kuwa hasa kwa wasanii wote wabaofany muzik muzur.....saf kbx 👍
Wow that's awesome..it's not like kiba hajafrahia hug ya konde,shida in vile vijilights na kelele mob ndio zimevuruga king but ako sawa..lazima angeshtuka kiasi sababu ya zile kelele alafu hakuwa anaexpect kama mtu angetokea kumhug 😊
hii ni zaidi ya historia, big up sana. na nijambo la furaha sana kumuona konde boy akimsurprise king kiba, hivyo ndo game inavyotakiwa kuwa ili kutengeneza ukubwa wa mziki wa tanzania
@@josephevaristi8923 ndg yangu heshima ni kitu cha Bure kabisa, sijamtusi mtu Bali nimesema maneno ya kuwasapoti wasanii ili wawe na umoja kama wapopo( wanaigeria) kusukuma mziki ufike mbali zaidi. Sijaongelea swala la bifu, tunapokuwa tunacomment sio kwamba hatuna business za kufanya hapana, Bali tunawatia moyo wasanii. Acha kujibu usivyovielewa . Huwezi juwa labda unaye mjibu yukoje kihazi. Heshima ni kitu cha Bure. Heshimu watu na watu watakuheshimu.
They are the ones to learn from Diamond not the otherway round,Diamond has nothing against them,he even invited them to wasafi festival but they declined
@@chrisk.efreestylerofficial149Alitia tu unafiki kuwakaribisha hata mimi nisingeenda ,Wangeenda ungeona maneno ya wabongo 😂😂😂 na pia hawajaenda maneno ya wabongo yako pale pale so mtu aishi atakavyo yeye dat de way King anaishi so kwa ajili ya kuwafurahisha watu Ishi maisha yako Watu ni wanafiki always!
Konde ana hio mazoea. Angalia alivyo mkumbatia Eslay. Na sasa hi Ali. Luminati, baba. Hapo si wote safi. Industry chafu. Many are ready to do ANYTHING to get fame. Subha Allah. Hi Shaaban. Jitayarishe ku pokea mwezi mtukufu kakangu. Vya dunia ni kama unavyo jua. Umevi onja. Al dunia mata'a al ghurur.😢😢❤
King nakukubali ila sometimes upunguze ugum daah mwenzio anaonesha love kama haupo vile so fresh kabisa. Msinitukane jaman mimi mwenyewe ni team kiba ila boss wetu amezidi kukaza ukweli usemwe
😂Ukitizama vizuri Yani hapo ni mwendo Wäkukwepana tu 😂😂😂 Mara #Alikiba kamkwepa #harmonize na #harmonize uyo uyo nae kamkwepa #Mwijaku Dhä niatari sna😂
If king can do a collabo with the east African legends the likes of chameleon Uganda 🇺🇬, nameless and nyashiki Kenya.......that would be another East African bar and any place banger anthem..........
wakwanza hapa jmn npeni like zangu team konde🙌🙌🙌🙌
Unakula like
Aliklba
Kiba ni msanii pekee a aye shobokewa na wenzake tz, kuanziya diamond, harmonize, rayvanny, shilole,... Wote wanamweshimu, not because he is the best but because he has a good character, one of a king.
King na Harmonize tutegemee Ngoma MPYA like kama unaamini 🇹🇿
Amna iyo kitu maana kiba ajapenda alivyofnya harmo
@@aishaibrahim5607😅
Watafany tuu tuliaa
Namkubali sana Ally Kiba Coz Ni Msanii ambaye havai maereni Wala kusuka na pia mavazi yake Dah! Broo Appreciate for that, Mungu akuongoze katika kazi zako...!! Aamin
Yan hadi raha❤❤❤❤ nimefrah kuon ivyo😊❤ alikib n hamonez then king anajua kujib
Majibu ya Ally kba yanaonesha kiasi Gani kakomaa hongeren Kba na HRM like hapa
Wow this made me feel so happy coz I saw them happy too😊❤.. I love King Kiba and Harmonize too❤❤❤
Ai
Hongera san kk ally uko vizuli san allh akuongoze kwakila hatua
Watu mmeichukulia hii issue tofauti,King asingeweza kuacha interview,aanze kuongea na wasanii wenzake,ilibidi amalizane na interview,then waongee off camera
Alikiba is intelligent and confident..anajibu maswali kisomi na anaruka mitego ya kusudi la majibu kwa mwandishi...
Hataki shobo, hataki bifu na hataki chuki na mtu yaani he is " natural to litimass"
Hajuagi kujibu maswali huyo tunamjua
@@malianonicass7029 acha ujinga wewe ajui kujibu maswali hapo wanaongea ubingwa
Sahihi kabisa Alikiba anajielewa sana mkubali mm hapendi majungu kabisa yani
@@malianonicass7029 Hapendi Bifu zakijingaJinga.
@@malianonicass7029ww unamchukia kila Kona upo😅
Wasanii wabongo hawapendani bhna apo kiba ajapenda alichofny harmo kibq anazalau sana ila nampendq sana ❤❤❤
Kbs😂😂
Kabisa hajapenda hata kidogo
Wew unaona sawa kumhug mwanaume mwenzio kwa nyuma? 😂😂amejikaza tuu angemchapa makofi n vile kakuta n jeshi best wake😂😂
Hiyo siyo dharau my dada,kumbuka Yuko kwenye interview,na asingeweza kuacha interview na kuanza kuongea na Harmo,ama Shishi,may be waliongea behind the camera
@@supertallone1902 ovyo ss apo ww ndoumemaanisha sio wao
Hii imenifurahisha sana Kati ya alikiba na harmonize.halafu nimeona mrembo kama shilole .kweli damu ni nzito kuliko maji.hongera alikiba na konde .na wote walio fanikiwa kufika kwenye mahojiano.
Ali kiba ni mwenye nchi 🦁🦁🦁mnyama❤
Acha uongo hanalolote
@@moureenlazaro6956 😂😂😂😂 wacha buana 🤣🤣🤣
Mjama yup ss ap kiba au daimond
AYA TEAMKIBA TEAMK KONDE WOTE WEKA LIKE APA ❤❤❤
Hawelaniwezi afu Leo wapopamoja
Nakubali wazee wa kazi
❤
Alikiba maintained his situational awareness even after all those distractions & hugs. His core focus was the interview. Splendid❤
Nimependa sana iyo love yakonde na kiba
WoW
Umependa lakini yeye kashtuka kama kajikaza flani hivi!!!
Tuliongoja hii kitambo harmonize na alikiba fanyeni kazi watu wangu wanguvu
Haita tokea
Wabogo bwana kwanini alikiba asifanye na mdogo wake Ili nayeye angalau unukie ustar huyo harmonize ni mond mtupu kwahiy ukijifanya unaempenda harmonize wew nishabiki wa mond kindaki ndaki
Wow!🎉heko Kwa KingKIBA I really like the part where KONDEBOY came and hugged KingKIBA that is a sign of recognition and unity ...thank you very much am proud of you 2🎉🎉🎉🎉🎉
Kizazi zaidi ya upendo 🔥🔥🔥🔥
Hii ndyo love tunayo itaka kwa wasanii wote syo kazi vijembe tuuu. Mziki wetu haufiki mbali
Hiyo ndiyo response ya mtu mkubwa 💪💪 mkubwa hakurupuki, wala hababaiki, just normal but love ya kutosha
Napenda sana kazi zake ali kiba hongera kwake. na pia pongezi kwa Harmonize..
From mombasa Kenya 🇰🇪 Amani salim
Furaha mno jeshi konde kumkumbatiya King kiba fanyeni wimbo tufurahi umoja ni nguvu ONE LOVE. PEACE ❤❤❤❤❤❤
Furaha gani wakati mtu aliogiwa ajapenda kbsa mshaurini msanii wenu aache shobo bana 😂😂
It was awesome but those who saw the way kiba pretending as he didn’t see him pls give me my like
He didn’t pretend he literally wasn’t impressed
no kiba didnt pretend he was not happy with the quetion concerning the big mouth gigi,thaz it
I’m not gonna lie I’m here to see how Konde hug king 😂😂😂 that’s was awesome
Same here lol
Same😂
Same same bro ❤❤❤
But kiba didn’t like it
@@tonygee5680 harmo is just chasing clout
Huyu King kiba atakaa kwa game mda mrefu sana not because ni mkali sana but because ana hekma nyingi kushinda kiburi
ok umegundua hilo anapigana sana nafasi yake na kiburi.
Truth talking , atakama muda mrefu with nothing because he has egoism, bro just see how he reacted to harmonize - was not good reaction , na inasemekana moja kati ya vitu vilivyochangia diamond platinumz kumuacha mbali Ali kiba ni hiyo tabia ya kujisikia./
Anakaa sana kwenye gem kulingana na mabifu ya kushindanishwa dai Tu Ila Hana lolote Kwa sasa
@@abasilukanga3266Huu ndo ukweli sasa
@@mwasungadaniel8121get a life dude
Nyieee this Ali he's so handsome wallah cheki venye ameshtuka😊❤
i just wish Alikiba and Harmonize could do something together like a collabo...am Very sure it will be lit 💯 yaaani!!!! moto 🔥🔥🔥🔥
Penda nyimbo za alikiba zote
😂😂😂😂
Why is anyone not talking about how alkiba was almost running,the fireworks...mob love from kenya😙KING KIBA
❤❤❤Kiba is dignified. Harmonize is a vibe. Let's do this 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimependa sna ukaribu wa harmonize na Alikiba,shilole lov u❤
Kama mimi
Wanaombeza harmo et kakosea kumhug king siyo kwer kwanz kaonesha love kwa msanii mwenzake pili kaonesha respect na umoja pia hii ndivyo inatakiwa kuwa hasa kwa wasanii wote wabaofany muzik muzur.....saf kbx 👍
Kwakweli nimependa iyo vidéo aijalishi ndaniyanyoyozao kunanini ila mimi nimependa walivyokuwa pamoja na ku hug❤❤❤
Wow that's awesome..it's not like kiba hajafrahia hug ya konde,shida in vile vijilights na kelele mob ndio zimevuruga king but ako sawa..lazima angeshtuka kiasi sababu ya zile kelele alafu hakuwa anaexpect kama mtu angetokea kumhug 😊
Unasema kweli. Na pia kiasi cha focus kwa kumjibu huyu mtangazaji kilichangia kuto kuzingatia sana mazingira
Jamani Mwejaku...tuna tupenda ila umitudhi wakenya...wa Tz nindugu zetu...Mfalme wetu Alikiba twampenda ...
I come from Zambia WOW WOW harmonize and alikiba 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇺🇬🇹🇿
Why?
hii ni zaidi ya historia, big up sana. na nijambo la furaha sana kumuona konde boy akimsurprise king kiba, hivyo ndo game inavyotakiwa kuwa ili kutengeneza ukubwa wa mziki wa tanzania
Aliyekuambia konde na kiba wanabifu nani,wasanii wote nanatengeneza bifu na mondi ili wa hit,,acha upimbi ww😁😁😁
@@josephevaristi8923 ndg yangu heshima ni kitu cha Bure kabisa, sijamtusi mtu Bali nimesema maneno ya kuwasapoti wasanii ili wawe na umoja kama wapopo( wanaigeria) kusukuma mziki ufike mbali zaidi. Sijaongelea swala la bifu, tunapokuwa tunacomment sio kwamba hatuna business za kufanya hapana, Bali tunawatia moyo wasanii. Acha kujibu usivyovielewa . Huwezi juwa labda unaye mjibu yukoje kihazi. Heshima ni kitu cha Bure. Heshimu watu na watu watakuheshimu.
Konde kamshobokea kiba ata Ana mda nae ukimsoma sura tuuu utajua
@@mahadhimuhaji9626lakini c ata alipo kuja shilole Kiba alimpokea tu jinsi alivyo mpokea Kondeboy
Macha Allah
Bravo a Ali kiba et a harmonize
Vive la paix !!!
Ali kiba est un homme bien sans rancune
Félicitation les gars
Absolument 😊
@@sitintsoholi6287😊😊😊😊😊p
Was nice ton see what Harmonize did . Alikiba did take it positive and l loved it. Hope Diamond would learn something from here.
They are the ones to learn from Diamond not the otherway round,Diamond has nothing against them,he even invited them to wasafi festival but they declined
This is a lesson from diamond,,,,King kiba, lives with people. ❤
@@chrisk.efreestylerofficial149Alitia tu unafiki kuwakaribisha hata mimi nisingeenda ,Wangeenda ungeona maneno ya wabongo 😂😂😂 na pia hawajaenda maneno ya wabongo yako pale pale so mtu aishi atakavyo yeye dat de way King anaishi so kwa ajili ya kuwafurahisha watu Ishi maisha yako Watu ni wanafiki always!
@@georgenshashi1308 why can't you people leave the guy alone he is ready for that
learn what ? no anything to learn he is doing his music
Konde ana hio mazoea. Angalia alivyo mkumbatia Eslay. Na sasa hi Ali. Luminati, baba. Hapo si wote safi. Industry chafu. Many are ready to do ANYTHING to get fame. Subha Allah. Hi Shaaban. Jitayarishe ku pokea mwezi mtukufu kakangu. Vya dunia ni kama unavyo jua. Umevi onja.
Al dunia mata'a al ghurur.😢😢❤
Alikiba anajilewa sana ❤❤❤❤
That is Respect 🙏 👏 is how you have to be my men both as musicians
Alli ameonyesha ukubwa wake Kwa kweli safi sana
King kama king ❤
I love mr Alikiba, u make me to remember your song "Mac muga"go ahead bro.
THE KING 🤴 ALIKIBA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏
Alikiba ❤my number one Superstar in EA weldone Konde
Team konde geng and kiba I'm here,much love from Kenya 🔥🔥🔥👌👌🙉, keep burning i like your pace and vibez,love kiba and Harmonize only 🔥❤️❤️
Caught my attention Ali is my favorite ❤
Naona alikiba akimkataa harmonize kiaina ushauri wangu mwambieni harmonize apunguze shobo
Sema konde mnafiki, na kiba awakubali watu kama hao, mbele ya kamera watu wengine, nyuma ya camera mbwa mwitu. King ajafurahishwa naweza sema ivyo
HII SAFI SANA, BIG UP, huyo boss wa matthias mbona unatia haibu sana wewe??
King always remains king hata akifa bdo n king from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dear Ally kiba kuwa makini na harmonize huyo akilewa anamwaga siri zote🤣🤣🤣🤣
Amwage siri kwani anaenda kumpa tako
@@ahmedysaidy9874 sasa Ally ana siri gani za kumpa Harmonize?siyo kila kitu kinakuwa serious huo ni utani tu na ndo maana kuna emoji za kucheka.
@@zaraally2295hapo sawa
King nakukubali ila sometimes upunguze ugum daah mwenzio anaonesha love kama haupo vile so fresh kabisa. Msinitukane jaman mimi mwenyewe ni team kiba ila boss wetu amezidi kukaza ukweli usemwe
Hana raha ao mafanikiyo juu ya roho mbaya
Tumekusamehe mwenyew sielewi mpaka naona ampokee mala tututlie tu ila nimeona atakavoamua kiba ni sawah tu
Nimesema same thing. Apunguze kibr
Yaani mgumu hadi anakeraaa mwenzie anamfurahiaaaaa yy sasa
Surprise jamani 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
MAY GOD BLESS HARMONIZE..
ROHO SAFI SANA...
COLLABO SASA
Imekwisha hiyo nimeimpenda sana😂😂❤
Kwel nzur lkn kiba km hajapkea kwa upendo zaid kwn alikua hana furaha na hamo ila fresh najaamaa kaonesho love sana
@@richardjoseph3347una uhakika gan? mbona kafrah tu
Kiba hajapenda shobo dundo
Keep up Alika with harmonize i love the way you guys tolking together
mwijaku noomaaaaaaa sana wew ni king of machawaaaaa
King Alikiba👌✅😘😘🇧🇮
Nimeipenda sana iyo ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
King kama king 💪👏👏
Love you king 👑💗💖💟💓💖
Alikiba ❤🇩🇪
Very intelligent Ali Kiba ..one of my favourite Artists .
Jamaa hajapenda kabisa amekaza he's not happy kitendo cha konde kum hug kama unajua kumsoma mtu utaelewa tu amemchukulia konde kama shabiki 😢😢😢
Amemshtua hakutegemeaaa sioo kama hakupendaaa
Mwanangu unaakili nying zakumsoma mtu yaani ulivo gundua na mimi hivo hivo.kwaasie jua kumsoma mtu hawez jua king hajapenda haya kidogo
Kabisaa konde ka jishusha saana
@@rizikiabdalla2501Ofcos hakupenda mbona kamtoa haraka mkono 😂😂😂😂😂
😆😆😆Ila kama kweli hivi
Nmependa hio utani ya konde n king 😂😂😂....they show lov.
Wewe mwijaku acha kutumia Aya za Allah kwenye mmbo kama hayo ...." Hadha min fadhli rabb" SubhanaLLAH
Ila mwanetu mzuri huyu very handsome man wallahi tumezaa mme kweli
Harmonize is right KING IS THERE, much love king kiba
Konde Anashoboo sana af Anapenda Tesheni 😅😅😅
Acha awe na Shobo kwani vibaya roho mbaya tu hutaki watu wawe na ukaribu una penda watu wagombane ee
Hamo kaona kiki azijaenda anataka kitembelea upepo wa kiba
Anatafuta kiki kila siku anaogopa kupoteana
Inapendeza sana awa ndo watu wanaotegemewa kwasasa kond geng kinkisi
Shishi harmo hawana baya jaman wasanii mnatakiwa mupendane kama ivi ❤❤❤
HARMO anapenda kiki daah 🤣
Ali Kiba's pride is his biggest undoing. He didn't embrace Harmonize even after all the love
Stop seeing the things your mind wants you to see.
@@sylusouma6231exactly my dear
@@sylusouma6231 And start seeing what some random guy on the internet wants me to? Yeah. Genius
No, he was being real... He didn't feel it and that's that. Mbona afeki eti Yuko ok japo hayuko. Pretenders are dangerous than murderers
@@garettclement6671 and start seeing what your logical mind wants you to see
Alikiba anaweza kuimba sana kuliko wengine wanao patikana mwenye top 5
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉nakupenda mnyama
None other than Mwijaku😂....look the way he shouts and praise them😂 sadly Harmonize rejected him😂😂😂....i love Bongo😅
MWIJAKU Also Known As LICE at his duty. Living by praising high profiled people. One of the big problem we are facing down here Bongo
i also noticed that
Wasanii Wang pendwa❤
Nakubali sana huna iyana mr king ishi nawo waelekeze wakina simba kamahivyo vitu vya utu uzima❤❤ love it
Naona jeshi amekubali Kuna king(◍•ᴗ•◍)❤
Sauti ya kibaaa🔥🔥
anaonekana yuko vitu hahahaaa
Wow ❤❤
i like that ..very super konde tatizo akilewa tuuu kama hajalewa mambo huwa super
Wozaa is your boy Kenyan 3peace
Am an Artist from Kenya i like alikiba he is my mentor
😂Ukitizama vizuri Yani hapo ni mwendo Wäkukwepana tu 😂😂😂
Mara #Alikiba kamkwepa #harmonize na #harmonize uyo uyo nae kamkwepa #Mwijaku Dhä niatari sna😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂💔
Jamani Muni follow bas😂
Lazima amkumbatie maana mashabiki wa Kiba ndo wanamshabikia na yeye 😂😂😂
Hii video imenialibia mood Leo harmonize n MKUBWA hakupaswa kujikomba aisee
Furaha ya king kwa shilole tofautu na kwa harmo
Yaan mwijaku simpendi Ila mungu anisamehe anakiherehere Ile mbaya khaaa
Endeni straight kwa 5:40. ....ndo harmonize anakuja
King ni mmoja tu ...King Kiba
Yan hii.... Ayo ndo maana naipenda hawashoboki wanamfata mlengwa safi sana vidovidox
Intelligent man 4ever ❤❤
This is unbelievable😍👍🤩 guys I returned this part five times🎉🎉🎉🎉
Do you know the difference between returned and repeated?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@ramzeynoaukorofi😅😅😅😅😅
Wewe hukosi kuwa umetoka TZ... Eti Return!!
@@rashidaramathan2464 🤣🤣🤣
Nawapenda xana jamanii❤
If king can do a collabo with the east African legends the likes of chameleon Uganda 🇺🇬, nameless and nyashiki Kenya.......that would be another East African bar and any place banger anthem..........
King 👑💯💪🙏
Good king always in Tanzania
The king is here🎉🎉❤❤😭 king ali
Nimependa sana