ALIKIBA KAMCHANA DIAMOND KUHUSU SHOW YA WASAFI "YEYE NANI?, NIKO BIZE, DEBE TUPU LINAPIGA KELELE"

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 405

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 9 месяцев назад +28

    Alikiba nakupenda San majibu yako king upewe ulinzi wakutosha ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jackiemuthami1723
    @jackiemuthami1723 9 месяцев назад +34

    Hapo kwa zuchu nimependa jibu lako👍

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 9 месяцев назад +142

    Leo ndo nimeamini wanaogombanishaga wasani ni ninyi waandishi wa habari yaani maswali yote yanayoulizwa nia kichochezi tu na ugombanishi . So sad

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 9 месяцев назад +3

      Wajinga sana hawa wadishi

    • @adammlukago8216
      @adammlukago8216 9 месяцев назад +2

      Uko sahihi kaka

    • @nehzreal7445
      @nehzreal7445 9 месяцев назад +6

      Hawa watu wote wako kwa biashara elewa ivo wasanii nawaandishi wote wanatafta mashabiki ili kuimarisha biashara na kazi zao

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 9 месяцев назад +2

      Waandishi wa wabongo wanapenda umbeya hawana jipya

    • @deomwaikeke883
      @deomwaikeke883 9 месяцев назад +2

      Umesikiliza kama mimi, nimeamini hilo pia. Maswali ya uchochezi. Wnaacha maswali ya msingi....😂😂😂😂

  • @khadijajuma6271
    @khadijajuma6271 9 месяцев назад +9

    Nimerudia alivyojibu kuhusu zuchu, Ali kiba is the best❤❤

  • @jackisrael.I.B.E.X
    @jackisrael.I.B.E.X 9 месяцев назад +21

    It is the Yell for me🎉kuonesha kwamba huyo dada amehisi raha sana kumhoji Ali King ❤❤❤tangu enzi za Nakshi Mrembo Kiba ni Fire🔥🔥🔥😍

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 9 месяцев назад +42

    Hayo ndio majibu ya mtu mwenye akili .bila kejeli tena alikiba anajuwa kuzibiti maswali ya wandishi .Safi sana Ali K

  • @hassanihamadi3141
    @hassanihamadi3141 9 месяцев назад +16

    zuchu namuheshimu sana.. that is nice👊

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 9 месяцев назад +9

    nimeikubali hii ya zuchu kwamba unamweshim hutaongea chochote kumhusu i appreciate you king ki

  • @mikathedon
    @mikathedon 9 месяцев назад +10

    I like this dude he's so humble...mungu akulinde bro

  • @clarangowi4402
    @clarangowi4402 9 месяцев назад +7

    Hilo jibu la kiba linafurahisha sana jamani. Na nyie waandishi mungu anawaona😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @Zuulito
    @Zuulito 9 месяцев назад +5

    Huyo dada sijui wa media gani ana sauti nzuri MashaAllah

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 9 месяцев назад +5

    Umeongea vizuri, ni waandishi Tu wanakuza Mambo,,,,,

  • @kingevarist6653
    @kingevarist6653 9 месяцев назад +18

    Heshima yako vidooooooo🔥🔥🔥

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 9 месяцев назад +4

    Uyo ndio king ilove you kiba❤❤❤

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 9 месяцев назад +8

    King king nakukubali sana

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 9 месяцев назад +4

    Kiba Ndimu😄

  • @dockaridk
    @dockaridk 9 месяцев назад +2

    You're so mature kiba I wish ungeenda tu ,because you're the 🤴 king

  • @ghotmedia
    @ghotmedia 9 месяцев назад +1

    Dah! Alikiba ana busara sana ,, wanajaribu kumgombanisha anaruka na Hana wasiwasi anavyojibu ase

  • @BigirimanaSalum-xy6zg
    @BigirimanaSalum-xy6zg 9 месяцев назад +3

    Yani kiba kupndeza huwa ni vigum kwake

  • @user-zs7rw8rl8c
    @user-zs7rw8rl8c 5 месяцев назад

    Nakupenda san king mwenyez mungu akuongozee

  • @alihussein832
    @alihussein832 9 месяцев назад +9

    Waiting

  • @JamilSalanga-bv9of
    @JamilSalanga-bv9of 9 месяцев назад +22

    Yaaaan maswal yoote ni wasafi kwan hamnaga maambo mengine ya kuuliza 😂😂😂😂

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 9 месяцев назад +6

    King

  • @magutadickson6900
    @magutadickson6900 9 месяцев назад +9

    Jamani mond akusema vibaya mbona mnakuwa ivyo

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 9 месяцев назад +3

    Kiba ukimheshimu nae ana kuheshimu
    ❤❤❤❤
    Nakupendea hapo tu bro

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer 9 месяцев назад +1

    King 🤴 👏👏

  • @justerkaregi8044
    @justerkaregi8044 9 месяцев назад +4

    Yani nimependa alikiba jameni ❤

  • @collinsmudaida9283
    @collinsmudaida9283 9 месяцев назад +22

    "Thanks king,we love you bro" ✍️👏✔️

  • @clintonbosire
    @clintonbosire 9 месяцев назад +6

    Kiba unanibamba leo❤❤

  • @mayanzimipawa3397
    @mayanzimipawa3397 9 месяцев назад +27

    Alikiba ana akili sana.
    Anajibu kikubwa@Bif up King

  • @user-dw9ig4kb4f
    @user-dw9ig4kb4f 9 месяцев назад +1

    safi broo alikiba ilanatamani ufanye corabo na diamond nitapenda

  • @james_officialtz883
    @james_officialtz883 9 месяцев назад +2

    Alikiba ni mtu na nusu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EmmanuelyMoshi
    @EmmanuelyMoshi 9 месяцев назад +1

    Alikiba nimoto namkubali Sana

  • @mrh2812
    @mrh2812 9 месяцев назад +4

    jamaaa ana zarau sana

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 9 месяцев назад +3

    Kaka umekuja ku support au kuonesha una support.

  • @haidarybrown427
    @haidarybrown427 9 месяцев назад +4

    Okay

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 9 месяцев назад +1

    King 👑 saluti kwako

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 9 месяцев назад +6

    Hapa kwenye kolaba kajibu vizuri 😅

  • @user-ig1ou8nr9p
    @user-ig1ou8nr9p Месяц назад

    Vile amesema Niko busy 👍👍👍👍👍👍👍

  • @georgesbkalumbigbk458
    @georgesbkalumbigbk458 9 месяцев назад

    Nice

  • @bonfacebonafide7220
    @bonfacebonafide7220 9 месяцев назад

    King 🙌🏻❤

  • @skeeteranderson375
    @skeeteranderson375 9 месяцев назад +4

    Keeling huyu ni King eti acha ujinga ww kitajiri flaaani hivi I love that

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 9 месяцев назад +1

    Kaka umejibu vzr sanaaaa

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 9 месяцев назад +13

    Ila kiba hua anazarau sana majibu yake tu jibu tosha

    • @flova7022
      @flova7022 9 месяцев назад

      Anajibu hivyo kwasababu wanamuuliz maswali ya kichonganishi. Hata ningekua mm Tena hapo ni kawajibu very wisely

  • @alloysiusngala1274
    @alloysiusngala1274 9 месяцев назад +1

    dude got brains!!!

  • @rarkia7452
    @rarkia7452 9 месяцев назад +1

    King kiba nimeipenda hyo zuchu namuheshim sana..umeonesha uwanaume...mwanaume hashindan na mtt wa kike....jamn..nimekaelew hako

  • @ChimamamermitaKatembo-vm8vt
    @ChimamamermitaKatembo-vm8vt 9 месяцев назад +4

    💪💪💪❤️❤️❤️

  • @honestakitomari7048
    @honestakitomari7048 9 месяцев назад +4

    Aisee umekomaa aka akili yako imepevuka sanaa.keep it up.umejibu kila kitu kikubwaaa😂😂😂😂

  • @salumhilary8526
    @salumhilary8526 9 месяцев назад +2

    Safiiiii unajibiwa kama unavyoulizwa...hakuna kupindapinda..king

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 9 месяцев назад +17

    Uyu naye ndo maneno gani eti debe tupu😅😅

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 9 месяцев назад +2

    Ila alikiba daaah

  • @farahali-xh4ej
    @farahali-xh4ej 9 месяцев назад +3

    The real king👑🇰🇪

  • @SaddamWakanai
    @SaddamWakanai 7 месяцев назад

  • @paschaledward8670
    @paschaledward8670 9 месяцев назад

    King ni king tu 👏 👏 👏

  • @user-xt2kq1ot6n
    @user-xt2kq1ot6n 4 месяца назад

    good

  • @PROFESSORSHEDY
    @PROFESSORSHEDY 9 месяцев назад +1

    King kama king ❤❤❤

  • @geeva99
    @geeva99 9 месяцев назад +17

    Akili za hawa waandishi zina sensor kuliko hizo mic 😂😂😂

  • @aliiseif3875
    @aliiseif3875 9 месяцев назад +4

    Kwa jinsi Ali Kiba alivyo muongelea Zuchu inaonesha ni jinsi gani ana heshima na wanawake we like kama umeona kama mm

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 9 месяцев назад

    The king himself 😍😍😍😘😘

  • @kimwanahamisi8551
    @kimwanahamisi8551 9 месяцев назад +1

    Niko bize na shughuli zangu 👏

  • @user-zk3qz5lb4q
    @user-zk3qz5lb4q 9 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @user-zs7rw8rl8c
    @user-zs7rw8rl8c 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 9 месяцев назад +1

    Mimi ni Team Mond lkn nampenda sana King Kiba anaakili mno

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g 9 месяцев назад +10

    Ila kiba,et debe tupu😂😂😂😂😂😂

  • @munashabani
    @munashabani 9 месяцев назад +1

    Sasa Mimi napenda Ali kiba wa ivi yupo sawa kabisa

  • @user-fb3zc2ds7n
    @user-fb3zc2ds7n 8 месяцев назад

    Hii imeenda

  • @user-vb9fz1nc7l
    @user-vb9fz1nc7l 9 месяцев назад

    Kaka nakupenda San nafulah kusikia mamanen yak hay kuhus huy ndg yet

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc 9 месяцев назад

    Yebaba 🔥

  • @francisconaini1756
    @francisconaini1756 9 месяцев назад +1

    Mmmh king hatoboi kimataifa🤣🤣

  • @gmavoice1893
    @gmavoice1893 9 месяцев назад

    Roho mbaya sanaa mshikaji uko busy acha Roho mbaya amna usanii wa ivoo

  • @PROFESSORSHEDY
    @PROFESSORSHEDY 9 месяцев назад

    Yaap yaap❤❤❤

  • @davidmvile5716
    @davidmvile5716 9 месяцев назад +18

    Ukiskia msanii mkubwa ndio huyo hana kelele za kubishana na kina zuchu yani Dah nakukubali sana kiba

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂Na hiyo kofia ya kapelo

    • @JemimaNyange-si8cr
      @JemimaNyange-si8cr 9 месяцев назад

      Muongo

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 9 месяцев назад

      ​@@queenmollel6739😂😂😂😂nimejua kucheka wewe

  • @user-zk3qz5lb4q
    @user-zk3qz5lb4q 9 месяцев назад

    Nakupenda sana kwa majib mazur umeonesha upendo mkubwa

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 9 месяцев назад

    Vido mbea jamani

  • @Malvo_Boy
    @Malvo_Boy 9 месяцев назад

    Naitaji saport zenu

  • @JeremiahMyrosse-qb1yj
    @JeremiahMyrosse-qb1yj 9 месяцев назад +3

    Big up king 🤴 Achana na wanazi kina mama hao pambana mzee ✌️

  • @bminawandu
    @bminawandu 9 месяцев назад +1

    Nynyi wahandishi wa bongo viazi Amna maswali ya maana kumuliza kifupi amjielewi

  • @oscaroscar2555
    @oscaroscar2555 9 месяцев назад +1

    Alikiba hana mbamba mba sema w Vido vidox unatafta ugomvi

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 9 месяцев назад +1

    Ehhhh...Waandishi wa habari jamani,mbona wagombanishi Sana🙌🙌🙌

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 9 месяцев назад +1

    Mm ndomana NAMPENDA KIBA SAABAB MUELLEWA NA MSTAARAB

  • @KylianMbappe-skills
    @KylianMbappe-skills 9 месяцев назад +1

    Njoo utumbuize kwenye show

  • @user-do3uq1zt7f
    @user-do3uq1zt7f 4 месяца назад

    King kafanana na air tz Manula

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 9 месяцев назад +2

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Alikiba bhana

  • @hemednassor4560
    @hemednassor4560 9 месяцев назад +1

    Kwa mr blue hajenda kuma tu uyo

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 9 месяцев назад

    Alikiba akir kotentena nguvu kisoda nakukubali kinomanoma huna mkuu bro🙏🙏

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 9 месяцев назад

    King kiba

  • @Zeelao
    @Zeelao 9 месяцев назад +2

    Yeye siyomtu wakubaliki NYIMBO 😂😂 Kiba bhn

  • @keynaasumani87
    @keynaasumani87 8 месяцев назад +1

    Nakupenda kiba uyo zuchu tumuace njisi alivyo hhhhhhhh

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 9 месяцев назад +1

    Duh waandishi wa habari wallah😂 kiba et sasa mm ndo niwabariki tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JanethMathias
    @JanethMathias 9 месяцев назад

    Pumba

  • @BigjayBonar
    @BigjayBonar 9 месяцев назад +5

    Kazee kazima ovyoo kanaroho mbaya sana toka muujana wake🤣🤣

  • @jescaenock-lg4ch
    @jescaenock-lg4ch 9 месяцев назад

    good sanah broo

  • @olomiBeboy
    @olomiBeboy 9 месяцев назад

    waandishi wa media ndoo mnaforce bfu za wasanii ziendelee

  • @abuumohammed6292
    @abuumohammed6292 8 месяцев назад +1

    ALIKIBA NI MTU NAUGUA WIVU YAANI ANMUONEA DIAMOND WIVU vile amefanya mambo mengi ambayo yeye hajafanya NAWIVU SANA

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 9 месяцев назад +1

    Mwambaaaa hakose majibu yake ❤❤❤❤

  • @user-oi4es5st8n
    @user-oi4es5st8n 8 месяцев назад

    Ce achanté vraiment,

  • @user-uf6ni7wn4u
    @user-uf6ni7wn4u 2 месяца назад

    Wajiga sana wandishi yani wanamufosi mu2 alopoke 2 mamb wapate cha kusema

  • @LimbuShimba
    @LimbuShimba 7 месяцев назад

    Alikiba ni msanii wa kuigwa

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo 9 месяцев назад

    Mdada una sayti nzuri ila code mixing na code switching zife hizo utafika mbali

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol 9 месяцев назад +1

    La msingi waandishi wa habari wamekosa ethics na huyu jamaa anajuwa anachokifanya hata majawabu yake katika interviews hazina ubaguzi wala uchochezi. waandishi wa habari wanapotumia chombo hichi vbaya madhara yake huwa makubwa na yanapotokea wao kwa kweli hukaa mbali sana. Jamiii sasa iamke kuwatambua waandishi wa habari wenye ethics na wale wasio na ethics.