Steve anakoti jipya linalo pendeza alafu Ndaro kamchomea 😅😅😅steve pale Boda bodani eti alipata ajali 😂😂😂Kwli hawa ni wacheshi kama unakubaliana nao angusha like yako hapa tukuamini❤❤
Sema hi comedy imeenda shule sana nowdays bongo izi issue za wizi wa pikipiki imekua too much sana adi matajiri tunasita kuwekeza kwenye boda tena btw mmetisha sana washkaji 🇹🇿🇹🇿😂😂😂😂😂
Ndaro naukubali mwangu steven so good
😂😂 Jamn jamn ndaro na steve punguzen mtatuua kwa vicheko mhmh😢😢
Wakwanza leo 💪💪🎉🎉
Wamwisho leo
Wakwanza leo jaman,,, nawakubali sana team steve na ndaroo kg
Kazi nzuri sana ❤❤❤
@@kladahmad3333 wanaupiga mwing kwel
Nawakubali sana team Steve Tena sana yaan 🎉🎉🎉 mpovizur sana mnatufanya tuwe nafraha
Mimi ni wakwanza leo
Nakupenda Hajra,hata kama wewe ni mwizi wa pikipiki
Nakubali kaka
The first
Wa tanoo leooo nipee likee zangu ndaro tz😂
Mhhh team ndaro mpoo
Hajra vp mbona mnene sana ....siku izi mimba nn..🥰
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪🤣🤣
😂😂 wazee mnajua kutufurahisha
Combination ya ndaro na steve iko poa sana
from USA
Unyama sn ndaro nakubl😂😂
Ndaro na stevu😂🥰💯
twinzfashion ni shabiki no 1 wa ndaro
Na mi pia nakuja na comment zangu, Steve na Ndaro vijana wawili nawakubali kabisa.
Weee ndaro mwehuuuuuu sana
Steve anakoti jipya linalo pendeza alafu Ndaro kamchomea 😅😅😅steve pale Boda bodani eti alipata ajali 😂😂😂Kwli hawa ni wacheshi kama unakubaliana nao angusha like yako hapa tukuamini❤❤
Ndaro na steve inafaa muje mtu tembeleya uku congo 🇨🇩
Huu ni ujumbe mkubwa sana, tujaribu kuwa waaminifu na kuaminiana. Hizi changamoto zinatokea Sanaa kitaa.
Muss
Mapema ndo best...among the first to watch...top fan
Steven na ndoro nawakubali sana
Hata mimi wa kenya,hata mimi nakupenda hajra sana,
Iyooooooooooooooo haki ya munguuuu yeeeeee
Pinked from kenya
Am Anthony from kenya nawapenda sana Steve na ndaro❤❤❤❤❤
Mdaka mshale
🇰🇪 good work, waigizaji wakenya wanafaa kupitia huku watoe ufundi
Ndaro Naona unatak cheka😂😂
Nawakubali Sana 👏🏼😂😂😂
Tena sana from 🇰🇪
Ndaroooooooo
Ndro na Steve nawapenda sana 💝💞💓💕💕💕👍
Jamani agusha kicheko kweli Kama video nhii imekupendeza😅😅😅😂😢😊😅😅😅
Ndarooo nauwa mb kwa ajili yako ww na steve
Kweli ameibiwa ndaro
Daah nimecheka sanaa😂😂😂😂😂
Mbwela kwa hii nywele iko👍...steve na ndaro shikamoooni mnaweza kila siku🎉🎉🎉🎉
Nyie wakaka mtaniuwa 😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😀😀😃😃😄😄
Ndaro na Steve mungu awaongezee maisha marefu
Kaka Hajra kaiibaa Hiyo Pikipiki yako "MULONDELE" ULAILONKA"
😂😂😂 Leo ndo nmeckia mnazungumza kweli
Kaz nzur masela 😅😅😅😅😅😅😅😅 kikubwa nikupambn tu🎉🎉❤
Nilidaka mishale😅
Very good
Ndalo nipe like m nakufatilia sana au koment kabsa mwamba
😂😂😂😂Kilima cha nyani
HUYU dada ameharibika
Bado hujasemaa 😅
Umetishaass mwamba steeeeeeveeeee na ndaroooooooo
Ahhhh hiii hatal kwel
Duh
Sasa ndo uitafute mfukoni?
ndaro umetisha
Uhakika
Wazeee wakazi ndaro na stevee big up sna❤❤❤
Wow nice Steve nandaro
Wangapi wameiyona kiza brand imepita
Ndari wekeya styve aibu 😂😂😂😂😂😂😂
together 😂
Video nzuri nimeipena hiyo🤣🤣🤣🤣 from swax tz
Big up sana ndugu zang kaz nzuri
Jamen kazi nzuri mko vizuri sana
Ongera
From 🇰🇪 we love you guys. Keep up the great work.
Jl
Much lov frm kenya🇸🇸🇰🇪🇰🇪
From Drcongo/idjwi😂
Mweusi ww ni great actor bna❤❤❤❤❤
Nawakubali
more
Sema hi comedy imeenda shule sana nowdays bongo izi issue za wizi wa pikipiki imekua too much sana adi matajiri tunasita kuwekeza kwenye boda tena btw mmetisha sana washkaji 🇹🇿🇹🇿😂😂😂😂😂
Sana
Midaka mishale🤣🤣
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 like zawa Congo nipeni
Oya ndaro kwa nn lakni
Noma sana
Sema ndalo una kihelehele sana umeona sasa umehalibu
Ni ma doshhhyee
Headline zako kaka mbovu
sn 2 Steve ni Vj johns fro mombasa Kenya
😢jamn jamn sas mim ndabapenda san❤😂
Yani kila wakati nikitazama movie zenyu nacheka sana,nawapenda sana ndugu zangu
🇰🇪 napenda nyinnyi sana,nataka binti mtaanzania
Unajua
Very funny 😛😛😛
❤❤❤❤❤❤
Og
😂😂😂
Akaingia nda! Dah ndaro😅
Bien
Nakukubali sana ndaro
😂😂😂😂 jamani nyie nawapenda bure ❤❤❤❤
I'm from Nairobi Kenya I really love your videos be blessed
Nawaapenda san❤
Mbwela stiv. Ndalo 🥰♥️
😂😂😂 ndaro kavunje kibubu
IMEENDAAA IYOOOO
Naona hatali bhana hta Kama wee ndo bos lazma ujipange kujibu na kuliza maswali.