VIDEO MPYAA STEVE MWEUSI NA NDARO UTACHEKA SANA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 226

  • @dollar105
    @dollar105 11 месяцев назад +18

    Daah kaka anaongea kama Steve mweusi🎉 mwenye anahakiki apige like🎉😮

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 11 месяцев назад +16

    Alaf huyu manjano manjano anakuaga mpuuzi sana sijui kwanini hapewi tuzo😅😂#❤

  • @mwajumahamisi2006
    @mwajumahamisi2006 11 месяцев назад +10

    Vichwa vibovu vimekutana leo 😄😄🙌

  • @fordingofabian6956
    @fordingofabian6956 11 месяцев назад +7

    Dada unasauti nzuri ungekuw unaimba kwaya mungu angekuinua zaidi

  • @philipmutua6643
    @philipmutua6643 11 месяцев назад +17

    Hivyo ndivyo niliporwa simu, hela na vyeti vyangu around Corner house, Nairobi mwaka wa 2015😢😢😢

  • @djlipua9337
    @djlipua9337 11 месяцев назад +9

    Hii ndo apa 254 tunasema talent....ongera kaka...wapi like ya kenya jamani

  • @PacifiqueSumaili-xg5xk
    @PacifiqueSumaili-xg5xk 11 месяцев назад +6

    Steve na Ndaro viboko kwenye vichekesho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nawapenda sana.

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 11 месяцев назад +13

    Elud namkubali sana 🤣🤣🤣🤣akiongea tuu unacheka sana 🤣🤣

  • @amonygeofrey3201
    @amonygeofrey3201 11 месяцев назад +29

    Sijawahiii fikisha like 2 Ila kwa leo sijuwi Kama nitakosaa

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 11 месяцев назад +7

    Amadi kijicho big up

  • @ulemcoast7902
    @ulemcoast7902 11 месяцев назад +11

    Steve siku izi ukiwa na Ndaro mambo ni udaku tuh

  • @nkindicharmant1760
    @nkindicharmant1760 11 месяцев назад +5

    Wallah nilikua na miss Eliud vs Stive

  • @callmeog4786
    @callmeog4786 11 месяцев назад +70

    Wakwanza Léo naombeni liké zangu kama tuko pamoja

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 11 месяцев назад +6

    Smart sana kazi nzuri sana 💯💯💯

  • @mahinduzihonorech
    @mahinduzihonorech 3 месяца назад +1

    One love 😍😍 from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🎉🎉

  • @francismuthiani349
    @francismuthiani349 11 месяцев назад +21

    😂😂😂one love from Kenya 🇰🇪 🤣🤣🤣

  • @venaciokariuki4552
    @venaciokariuki4552 11 месяцев назад +25

    Napenda hiyo combination ya Steve na Ndaro 😂😂😂😂😂
    Keep up guys 💪

  • @eastermbiku2763
    @eastermbiku2763 11 месяцев назад +17

    Mnanifurahishaga Sanaaa😂😂

  • @macklineremmanuel1742
    @macklineremmanuel1742 11 месяцев назад +3

    Haswaaaa hapa ndipo mambo yanapokuwa vizuri Kama mmemuweka na huyu jamaa wa mbeya 💃💃💃💃💃hakika Steve na Ndaro Mmetisha sasa kazi iyendeleee toeni nyingi nyingi zakutosha kikundi hichi hichi

  • @Felixndelwa
    @Felixndelwa 11 месяцев назад +3

    Eliud umetisha kinyama

  • @metrinenasimiyu-nv2kf
    @metrinenasimiyu-nv2kf 11 месяцев назад +7

    Eliud my favorite person ❤❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @mulababaz2232
    @mulababaz2232 11 месяцев назад +2

    Kazi nzuri majita saluute

  • @ThaghembwaEzekiel-fj9jm
    @ThaghembwaEzekiel-fj9jm 11 месяцев назад +11

    Nyinyi nawapenda sana Akina wa stive❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @emmanuelsanga-tl8fy
    @emmanuelsanga-tl8fy 11 месяцев назад +3

    Ndaro mbwa wewe unaweza kinomaa mfanye mpango na me tufanye kazi pamoja na me nipo vzr

  • @rajfamilytherajs6415
    @rajfamilytherajs6415 11 месяцев назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂...we unataka niwe mweupe kwani mi msichana

  • @shadmbwagha
    @shadmbwagha 5 месяцев назад +2

    Homeboi 🙌🔥 mbeya🔥🔥

  • @JohnsonAmos-py3wf
    @JohnsonAmos-py3wf 7 месяцев назад +1

    ila Steve mweusi apewe heshima yake jaman 👍👍👍💯💯🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @stevennyondo2215
    @stevennyondo2215 11 месяцев назад +4

    Nimefurah kumuona eliud

  • @NasimaChilumba-tg2hw
    @NasimaChilumba-tg2hw 11 месяцев назад +4

    Uyo mwamb namkubali san

  • @marthamsoloka6381
    @marthamsoloka6381 11 месяцев назад +1

    Hapo mmemaliza combination Kali xnnn

  • @rose11
    @rose11 11 месяцев назад +9

    naikumbuka siku nliyofanyiwa hivi hadi najicjekelea 😂😂😂😂😂😂

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂 pole sana

  • @ShawnLexonke_
    @ShawnLexonke_ 11 месяцев назад +3

    Kazi nzuri 😅😅

  • @patrickdaudy
    @patrickdaudy 11 месяцев назад +6

    Aiseee Steve jaman

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 8 месяцев назад +1

    Huyu Ndaro bwana nampenda sababu yupo very siriaz ktk komed zake.Wanafurahisha sana

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 11 месяцев назад +3

    Eliud anajua 😅😅

  • @SalumSaidi-ib6oz
    @SalumSaidi-ib6oz 11 месяцев назад +2

    Jamani tuleteeni Hamad kijicho😁😁😁

  • @user-wq4qj6ge8g
    @user-wq4qj6ge8g 11 месяцев назад +3

    Ndaro mokojini 😮😮😮😮😮😮😮😮noma sana

  • @ogechilinus1
    @ogechilinus1 11 месяцев назад +5

    Wa kwanza. Likes zangu

  • @user-ne3ug2qf3b
    @user-ne3ug2qf3b 11 месяцев назад +3

    Wote nawa kubali na fulaisha sana

  • @Bagenzi4life
    @Bagenzi4life 10 месяцев назад +2

    Eti kafanana na wayimba choir kama wakina Mwaitege😂😂😂😂😂😂

  • @MonicaDaudy-wn3wt
    @MonicaDaudy-wn3wt 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂jaman kaka Angu kakaribishwa mjini😂😂😂😂😘

  • @HekimaMalike-bh7wt
    @HekimaMalike-bh7wt 11 месяцев назад +9

    Nakukubali sana mwamba steve mweusi

  • @kitagendasadiq
    @kitagendasadiq 10 месяцев назад +6

    watching from Uganda here trying to improve my Swahili

  • @user-ef1xp6sj8k
    @user-ef1xp6sj8k 11 месяцев назад +6

    😂😂😂😂 jamnie uyu stive sasa !!!

  • @user-we5sr6cz4n
    @user-we5sr6cz4n 10 месяцев назад +1

    🎉 woyooo kaka mbishi

  • @SethPol-bk5vy
    @SethPol-bk5vy 11 месяцев назад +2

    Mdada huy anajuaaa
    Gong like

  • @MvumiBoy
    @MvumiBoy 11 месяцев назад +10

    Mchungaji ana SEMA wale wanangu 😢😢😢😢

  • @Rehemamwamumbo-si6ur
    @Rehemamwamumbo-si6ur 11 месяцев назад +6

    😂akh nimecheka ata nikashuta wallah😂😂

    • @saidakarisa7505
      @saidakarisa7505 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂noma sana

  • @OlavianiKulaya
    @OlavianiKulaya 9 месяцев назад +1

    Jamn me naomben tu kumjua uyo hamadi kidicho😂

  • @Kipash
    @Kipash 11 месяцев назад

    Mtandao ni poa. Hata Ar Rayyan, Doha Stivu kelele zafika. Kazi safi.

  • @temsinvisi
    @temsinvisi 11 месяцев назад +2

    Tunawependa Burundi 😊q

  • @Brenjoybubby
    @Brenjoybubby 11 месяцев назад +5

    Steve nikikupata ndakuowa ata🥰🥰🥰🥰

  • @MosesNyelele-lt8qk
    @MosesNyelele-lt8qk 11 месяцев назад +3

    Nawakubali sana aise

  • @PAREWOOD
    @PAREWOOD 11 месяцев назад +3

    Steve ni noma

  • @jibaba5110
    @jibaba5110 11 месяцев назад +4

    Bonny mwaitege 😂😂

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 4 месяца назад

    Much love from Kenya guys 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Maleaz-go8jv
    @Maleaz-go8jv 11 месяцев назад +4

    Nimeona nisi lale bila kuangalia

  • @Relaxer02
    @Relaxer02 11 месяцев назад +6

    Eliud is Back😂😂

  • @user-bz1vx1xl2b
    @user-bz1vx1xl2b 4 месяца назад +1

    Mmmh atari kweli kweli😂😊

  • @benjaminkijumbe7668
    @benjaminkijumbe7668 11 месяцев назад +2

    😂😂😂 hii ilimfanyikia msela wangu akie

  • @leahkathure5759
    @leahkathure5759 11 месяцев назад +4

    Nili patana na watu kama awa Nairobi lakini walingonga mawe

  • @hgondo595
    @hgondo595 11 месяцев назад +4

    Wa kwanza leo

    • @hgondo595
      @hgondo595 11 месяцев назад +3

      Like zangu

    • @Maleaz-go8jv
      @Maleaz-go8jv 11 месяцев назад +2

      ​@@hgondo595usijali utapewa like nyengine utakosa kwakuzipeleka🎉

  • @WilisonMajelanga-dn1ck
    @WilisonMajelanga-dn1ck 11 месяцев назад +2

    Pamoja xana kaka

  • @hilarymariki5696
    @hilarymariki5696 11 месяцев назад +1

    Daah hapo bado tx dullah mboneke na kicheche wachekeshaji wangu bora wa kizazi kipyaa😂😂

    • @allymukhsin2962
      @allymukhsin2962 4 месяца назад

      Mboneke na kicheche kiukweli bro sion ata kama ni macomedian Tosha kama hawa wana 😂😂😂😂

  • @SufianMohd-gv2bz
    @SufianMohd-gv2bz Месяц назад

    E mungu nakuomba

  • @johnmulelamuthoka2310
    @johnmulelamuthoka2310 10 месяцев назад

    From Kenya 🇰🇪 bado mnatuelimisha kua waagalifu.

  • @gelishonkinunga
    @gelishonkinunga 11 месяцев назад +2

    Wahuni kama kawa fresh😂😂

  • @user-cw4hk5zs6f
    @user-cw4hk5zs6f 7 месяцев назад

    Mwendelezo basi

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger 11 месяцев назад +3

    STIVE TUNATAKA TUMUONE UYO HAMAD KIJICHO

  • @mwesitv8246
    @mwesitv8246 11 месяцев назад +2

    nawaelewa vijana wangu

  • @Funnyclip2321
    @Funnyclip2321 11 месяцев назад +2

    😂😂😂Eliud bhana

  • @CrispinMjuni-cq8pf
    @CrispinMjuni-cq8pf 11 месяцев назад +2

    Au sio 👉

  • @Emmanuel-sh9jj
    @Emmanuel-sh9jj 5 месяцев назад +1

    Me wa Kwanza Leo jamani naombeni like hata 10 😂😂😂😂😂😂😂❤😂❤❤❤❤u

  • @augustinemakoba5622
    @augustinemakoba5622 11 месяцев назад +2

    Huu muungano ni hatar sana😂😂

  • @EmmanuelmozeeShoka-hf7oy
    @EmmanuelmozeeShoka-hf7oy 7 месяцев назад

    Hiyo noma

  • @DerckiArbethChando-iq6vt
    @DerckiArbethChando-iq6vt 9 месяцев назад

    Mmetixha sana wanangu

  • @kefasonmahenga2917
    @kefasonmahenga2917 11 месяцев назад +2

    Eti unakulaga ugali😀😀😀

  • @amirclassic8326
    @amirclassic8326 4 месяца назад

    Hamadi kijicho🎉

  • @AnnaJoshua-dn7yr
    @AnnaJoshua-dn7yr 11 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥

  • @chunaamina878
    @chunaamina878 11 месяцев назад +2

    Utapeli wa mjini Steve na Ndaro🤣🤣🤣

  • @Emmanuel-ov3kd
    @Emmanuel-ov3kd 7 месяцев назад

    Maselaaaaaaaaa😅😅😅

  • @yusuphpeles
    @yusuphpeles 16 дней назад

    Maselaaaaa😂

  • @erastopascal
    @erastopascal 11 месяцев назад +1

    Niliibiwa hvo juzi

  • @kulwasingija874
    @kulwasingija874 11 месяцев назад +3

    Hawa jamaa wote wakali

  • @aliseif564
    @aliseif564 11 месяцев назад +1

    Nani anamjua A boy from mkulanga uku

  • @bellabelle1593
    @bellabelle1593 11 месяцев назад +1

    Nawapenda sana

  • @show...002
    @show...002 4 месяца назад

    naona lbd tuanze😂😂😂😂

  • @user-rp1jm4ix9g
    @user-rp1jm4ix9g 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂kenyaa love mabregediaah

  • @user-ww6oe3wg5z
    @user-ww6oe3wg5z 9 месяцев назад

    Kali

  • @hamzayusufu3506
    @hamzayusufu3506 11 месяцев назад +1

    😅😂😅hv huyu hamadi kijicho ni nan

  • @josephkitoo4310
    @josephkitoo4310 10 месяцев назад

    mlikua mmevuta bangi sana hapa
    😅😅😅

  • @simonnavaya2690
    @simonnavaya2690 8 месяцев назад

    Mweusi kama mweusi

  • @kijanawamtaani
    @kijanawamtaani 11 месяцев назад +2

    Jameni wa kwanza nipeni likes

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 ndaro &Stevu 🔥🔥🔥🔥

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 11 месяцев назад

    Eli yudi noumaa aisee 🤝 🔥

  • @EmmanuelOwiti-fd4br
    @EmmanuelOwiti-fd4br 6 месяцев назад

    Kweli ndaro Hana utofauti na njiti

  • @user-wp9iq7um5j
    @user-wp9iq7um5j 7 месяцев назад

    Nimeipenda hyo

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 11 месяцев назад

    Eliudi unaupiga mwingi
    Nakubari san

  • @mwajumaramadhani872
    @mwajumaramadhani872 10 месяцев назад

    Mtaani kwetu me tuwakilisha

  • @SamNzowa
    @SamNzowa 10 месяцев назад

    Uko vizuri umejitahad kuigiza 6:00