Tafadhali ndaro nakaka stivu shikamoo natumai my salama alimini ni damage mweusi naomba kuungana nanyi katika comedy zenu tafadhali ndaro Nazi nzuri hiyo from Kenya
Yote tisa kumi hao wadada wakikosa kidawa na mwenzake tutapungua wengine..😂😂najua wako wengi tu hapa hawataki kufungua roho nishawasemea nipeni like zangu tafadhali
Napenda hiyo combination ya Steve na Ndaro banaaaa 😂😂😂 humu Kenya hatuachi kucheka
Bana wehu😂
❤❤❤
Pia Kenya Hawa watu ni wasanii sana kucheka itaua
Nawapena xana
wela bhagosha steve na ndaro ni mbwa kweli kweli from USA Marekani nawapata vyema sana 😂😂😂
Wakwanza mim from Rwanda🇬🇦🇬🇦 nipen like zangu, love you sana 💞💞💞
Mwenye maziwa kajichanganya sana,steve na ndalo hawana akili ya biashara😂😂
Hawana nyota...ya biashara😂😂😂
Hahahahahaha kiekiekiekiekie hatari sana ndaro na Steve 😂😂😂😂😂 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 .
Hahahaha 😂😂😂😂😂 ila Steve unaniflahisha sana ndaro mha mwenzako nakusalimua mwakeye ndaro
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka mpaka nimepaliwa Steve mweusi na Ndarooo 😂😂😂
Sema stivini fala sanaaa😂😂😂😂😂😂
Ila nyie watu munafuraish sanaaa can't stop watching
Tafadhali ndaro nakaka stivu shikamoo natumai my salama alimini ni damage mweusi naomba kuungana nanyi katika comedy zenu tafadhali ndaro Nazi nzuri hiyo from Kenya
Shikamooo ndaro na kaka steve
Naomba liké zangu minjo wakwanza kutoka Congo DRC 🇨🇩
Nakukubali ndalo na steven😂😂😂😂😂😂😂
Maziwa mazuri,mazito,original from Ng'ombe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha
😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Steve Hamadi kijicho mbona hatumuoni😂😂
Mko sawa mabroz wangu
Ndaro iko ndii ukimukamua nimaziwa inamutoka😂😂😂
Wew gitwee hahaha nmepanda Steve mpka kiha unajua
😂😂😂😂😂😂😂nawapenda bure my friends ndaro na Steve mwafurahisha nyiee mbavu zangu zaimiaa jamanii
Wale watu twawapendaga Sana💃💃💃
Umetaka kazi zingine styve😂😂😂
😂😂wapambanaji Steve na ndaro .. nipewe like zangu jamani
Uyo dada anaitwa nani?
Hapo ni kopo na mfuniko😅😅
Ndaro mm nampenda sanaa ufanikiwe ww mbunifu
Hahaa nyi watu kuna siku mtafanya nkufee ju ya kucheka mambo yenu hayo haha
😂😂😂😂 we gitwe😂😂😂😂 dadek Steve siku izi unajua kiha
Nime penda sana werutwe kutoka Burundi.🇧🇮🇧🇮
Nimeshangaa waana we gitwe
Hawa watu ukiwa na stress wanamaliza kabsaaa 😂😂😂😂
Fatuma kafanyaje tena sasa😂😂😂😂
Waziii Steve na ndaro kazi safii watu wangu, tunaifurahia Hulu kenya
From Kenya show imeweza sana
😅
From mozambique.naipenda sana waskaji wangu sabubu Awa ni mapuzi.sempre vou acompanhar a vossa paulada
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 watu wa dar wanaogooa sumuuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁😁 jamaniiiii stiveee
😂😂😂😂 yaan ndaro na Steve ni kama vichaa waliokutana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila nyie jamaaa mmeshindikana 🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri
hahahahahah ndaro usibadiriki kobedi yako nduri sana, yaani uko sliasi lakini kikomed. "watu wengine siyo waaminifu, unaonja hawanunui" stive nice broo
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣Nawapenda Sn Ndaro & Steve Bg Up👍
Maziwa ya papa 😂😂
Matumizi mabaya ya kipara 😂😂😂🙌
Tuwape tu maua yenu kaka mnajua Hadi bac❤❤
Sichoki kuangalia clip zenu😂😂
Steven na Ndaro Mbwaa nyinyiiiiii😂😂
😂😂😂Machachari watu wa nguvuu 😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Kazi zuri vijana kama unawakunbali weka like
Steve na Ndaro 🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu jaman😂😂😂😂😂 kotaka Rwanda 🇷🇼 we love you continue raising East African flag
Wanaburudisha Steve na ndaro wakipiga pamoja kazi
Yote tisa kumi hao wadada wakikosa kidawa na mwenzake tutapungua wengine..😂😂najua wako wengi tu hapa hawataki kufungua roho nishawasemea nipeni like zangu tafadhali
Shadiraçk,kinyua
Appreciate sana talented brothers
🤣🤣😀steve wee gitweee😀😀
Hayo ni maziwaa au ujii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Daah😂😂😂😂
Tanzania ❤❤❤ good jobs wakubwa
😂😂😂Steve kashindikana😂😂😂
m uyu mwenye chunusi kidevuni daaa yani nimempenda daaaaa❤❤❤❤❤❤
Kenya ni TT Comedin hukonTZ twapma STV na Ndaro wakiwa pamoja
Stevi ❤ wegitwe,,,,
The best
Nawakubali
First viewer noma sanaa
Et ahooo❤❤we jamaaa
The best 🎉
😅 wauzaji maziwa hawa😅
Nakubali sana😊😊😊
😂😂😂😂😂
tuta kukamuwa maziwa kipara🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani wakwanza mimi nipeni like zangu
Hii shida yooote ni CHEBUKATI UMBWA YEYE
Watching from London i like u guys
Ndaro to the world 🗺 🔥 🔥
😆😅😅😅😅😅😅😅 mjee nakwanguu mkaniuziee maziwaa
Maziwa tu😂
Walete😅😅😅
Nawapenda sanaaa, ❤❤ Steve na ndaro
Sema madem wa hii gang ni piss za kwenda hatarii
Mmeskia kenya kuna maandamano kweli
😂😂😂😂😂👏👏
Mumetisha saaaaana mwaaaaasmbaaaa ndarooo
Machizi kweli hawa
Kali
Nc zuri San ❤❤❤❤
One love from nigeria even though i don't understand the language but i love you guys
Nigeria ya konyooo 😂😂😂😂😂
Ndaro 😅
Hahaha hivi vichwa vinovu mno.🤣🤣🤣🤣
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪🤣🤣🤣
👍
We gitwe mpaka kiha dar
Hajira eti wamelala matanga
Tutarajie shows wapi? Nanyinyi na steve
Hahaha Ila Steve du
Ndaro na steve muchape kazi
😜😜😜 ndaro na stiv
Fundi ndaro ❤
Love Ness yuko wapi jamani?
fatuma wewe !!🤣🤣
huyu steve jamani!!
Nimempenda hajraa alipo pewa maziwa mkono shoto akapokea mkono wa kulia mashallah ndo sifaa za waislam weny kujua din duuu mashallah nimependa sana
Aaah ww kapewa na mkono wa kulia yy kapokea na wa kushoto
Ok
Jamman mtatuvunja 😂😂😂😂😂mbavuu
Usitake Kipara Kitumike Vibaya
Abwanaweeeeeeeeeee nyieee kibokoooooo
Ahoooo!! Ndaro bana😂😂😂
Ila kwakweli mwachekesha.
Dah 😂😂😂😂
My favorite comedians🔥🔥🔥🔥🔥
😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆