Ndaro na Steve kma mnaona hii comment tafadhal nawaomba hii combination yenu iendelee hivi,km ikivunjika sio mm tu nitakuwa disappointed bali na wengne pia itawaathiri.🙏 Kma unaona comb ni fire gonga like 🔥👍
Ila wew ndaro daaah mungu akupe maisha marefu mungu aliumba mapenzi yana waumiza vijana wengi ka amua kutuletea kipaji chako ili kiwatoe watu stress mungu akupganie kwenye kaz yako kama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣 Kope jike
Ndaro na Steve kma mnaona hii comment tafadhal nawaomba hii combination yenu iendelee hivi,km ikivunjika sio mm tu nitakuwa disappointed bali na wengne pia itawaathiri.🙏
Kma unaona comb ni fire gonga like 🔥👍
Hao jamaa wanaweza
Kama wamkubali ndaro nipe like basi
Jaman huyo mgang
Nawakubari sana
@@AminaJuma-eo8tvyou want me tow😊
Collabo ya Ndaro na Steve ni hatari
Jamani wanaomkubali ndaro mjeshi like hapa
❤❤❤
Wa kwanza leo wapi like zangu kwa ndaro na Steve 😅😅
Hiv kwann makampuni makubwa Dstv na Azam tv hawaoni madini haya hii combination ya ndaro na steve ni moto sana
😂😂😂😂kutowana kafara imekua ngumu sana😂😂love from 🇧🇮
namba 1 trending on u tube na hii ndaro imeenda❤❤🎉🎉
Ndaro na steve jamani wanachekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanza mimi Leo like zangu jamani please Ata mbili Nita furahi Sana
Mbon nadallo ai dallodiki
Aki nyinyi nikiwafwatilia siku yangu inaishaka bila stress 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤🇧🇮
mimi ni Congo courage ndaro n'a Steve 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪♥️
mimi ni mu Congo courage ndaro n'a Steve 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪
Namba 1 hapaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mtatuuwa kwa kicheko
Kazi zuriiiii stive kam kenya
Ila wew ndaro daaah mungu akupe maisha marefu mungu aliumba mapenzi yana waumiza vijana wengi ka amua kutuletea kipaji chako ili kiwatoe watu stress mungu akupganie kwenye kaz yako kama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣 Kope jike
Sitivu mungu akupe maisha malefu
Yaani ndaro ime nipasuwa na cheko kwa leo mwanangu i follow you from congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Daaaah kama unawakubali Hawa jamaaa gonga like hapaaa za kutoshaa
HUU MZIGO NIMEUELEWA SANA BIG UP 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥👍
Ndaro na Steve na wakubali sana tu nimecheka mupaka base 😂😂😂
Hahaha Steve yuko very seriously 😂😂😂
ila ndaro ndy uchezee kibuyu cha mganga😅😅😂
Atageuzwa kuku🤣🤣🤣
Ndaro hem tupishe kidogo 😅😅😅😅😅😅😅🎉🎉❤❤
ila hawa machizi wakikutana huwa nacheka kabla sijaiyona hata movie yenyewe😂😂😂
kaka ndaro ehh na steve mnauwaaaah ile mbayaa
Nawakubali sn
Mwene wachu umeua bro
Gute
Ndani ya sekunde 30 tu za mwanzo nishacheka balaaa😂
Mimi nae😅😅😅😅😅
Ndaro ingefaa saana ungetumia ngoma yangu ya mganga 02 ❤❤❤
Cjawahi kuomb like kwenu ila naomb like 150 t kwaleo
Ndaro bila ya stevu hawezi kunoga
Soldier I am among the first people today🎉🎉
I came from the Congo❤
Daro mimi kutoka Congo nakupenda ❤❤
Tukampekenyue kobe😁😁😁😙 steve🙌🙌
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Nimecheka 😂😂😂 mko na raha ndaro na Steve
Mganga umetusha sio kwa m@shrti ayo 😂😂😅😅😂😢😢
Kama mnawakubar ndaro na stive gonga rike apo❤
❤❤❤❤😂
Patric
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas ndaroooooooooooo
Steve noma sana anataka utajiri sharti la kuua mwenzake limekuwa rahisi😂😂😂😂
Ndaro anachezea vibuyu dah😂😂😂
Mko bomba nawakubali nawapenda kaz NZuri
😂😂😂😂😂 nampenda ndaro ananifurahisha😂😂
Nakukubali xan Steve umalaya 2 kuoga anhaaa
Sina mbavu mwendo wa kucheka
Great content
Big director from Congo Germain M
😅😅😅😅😅😅 Sema hawa wasenge wanakimbiza san kibongo bongo hakuna😅😅😅😅 mamaee!
Roho ngumu kweli kweli amekopwa 😂😂😂😂
Gud from englandro
Hii tunaweza fika moja😂🙌
Haiswiiii😂😂😂😂nyota ya kuvulia dagaaaa😅😊😂😂😂
Nawakubali sana timu Steve na ndaro
😂😂😂😂😂😂😂 ndaro huoni kama hajasoma yupo kilingeni
Nomaaaa sana ndaro by Steve mweus
😂😂😂😂 mganga bhn et mnautaka 😂😂😂😂🙌🙌
😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Yaaaaaani nimecheka kipumbafu 😂😂😂😂😂
Hahahahahahah...eti ndaro tupishe kidogo
Ndaro na Steve ni combination nyengne hatari sana kwa comedy😂😂😂
Ndaro tupishe kidogo tuongeee 😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hatari Sana 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂hawa jamaa wanatisha saan
Mbona mnaarasi mnganga Bana
Ndaro na Steve NI noma wazee nimecheka sana
Nwapenda sana
Wewe Mganga usichoelewa ni Nini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
CLAM KIVU DRCongo 🇨🇩 daro msamehe
Hahaha namba Moja leo❤
Karibu nicheke 😂😂😂😂😂😅
Kumpekenyua kobe ndaro anaweza😂😂😂munautaka semeni MDIO😂😂😂ndaro tupishe kdg tuongee na mganga 😂😂😂😂ila Steve bhana ssa mbn unampiga mganga kibao🤣🤣🤣🤣
😅😂😂😂😂😂😂 nimeipenda
Noma sanaaaaa
Et tukampenyue😅😅
Ndaro weye 😂😂😂😂😂😂
Ila hawa watu😂😂😂😂😂😂😂jamn nawapendaaaaaa
Eti jaivaa❤❤❤
😂😂😂 ndaro na stive utajiri 😂
Hi
@@KelvinOpicho-kd8xc hi too kelvine
Stevu anataka kumtoa mwenzie 😂😂
😂😂😂 nawa penda sana kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Unyama sana ndaro mjeshi kikofia😂😂
😂😂😂 eti unaweza kumpekenyua Kobe
Nice kaz
Ndaro de best 🎉
Nampenda sana stivu jmn😂😂😂😂😂😂
Mmetisha kuliko zote Leo ndaro na Steve 😂😂😂😂😂😂😂
Ndaro nenda kwa mpemba ukanywe kahawa Steve akuwahishe hukooooo😂😂😂😂
Jamaa mnajua sana mazeee
Mganga jiongeze siumeshawaona 😂😂😂😂
Tunao mkubali stive like zesu apa👍👍
Ndaro n steve ur just a vibe ......umpekenyue kobe😂😂😂
Noma sana familia
Daa ma brother saluti sana nawakubali kinoma yaan mnajua kuchekesha kinoma et Kobe jikee et ustawi wa jamii ukitukuta tunampekenyua Kobe😂😂😂👏👏👏👏🫡🫡🫡🏦🏧🇹🇿
Nakubali ndaro na Steve au bas😅
Nimependa sana
Steve na ndaro mnaniua haki😂😂😂😂
Eti tupishe kidogo babaangu😂😂🙌🙌 Steve bwana
Steve akili hana kabisa😂😂
Nawakubali sanaaaaa
Ndaro saiv akamatiki kunako ma trends🔥🔥🔥🔥👐
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wooi hawa watu jamani aaaaaiii 😂😂😂😂😂😂
Daaah ndaro nakubal bro nimecheka sana leo
😂😂😂😂😂 ilo kofi la kumipiga mgangaa ilooo😂😂😂 et limganga linachekesha 😂😂😂😂
@ndaro na @Stevemweusii Nyieee ni wehuuuu😅😅😅🎉🎉😅😅😅nachekaaa Sanaaaa
Mganga kapigwa kofi mmeona hyo 😂😂😂😂
Ila ndaro na stive mnafurasha unajinyoosha kwa mganga