Mami hajra watu husema wanawake hawasifiani ila dada nakupenda kwa ajili Allah mavazi yako yanaony3sha kabisa ww n8 msichana unae jiheshimu na kuheshimu dini yako kongole dada Allah akulinde na akuongoze uw3 mfana wawanawake wote wanao cheza sanaa ❤❤ from Kenya daer r
Stevu ee mim n fans wako lkin mzee baba hizo nywelee zinaboa nyoa tu vizur kama vile mwanzon au tafuta mtindo mwingine afu mkiwa na ndaro mnauwaga hatariii unyama ni mwingiiii💯💯
Naomba ushirikiyano ndugu zangu wa dar es salamu nimemis kuigiza Kabisa naomba viongozi zangu napenda kuigiza Kabisa naomba viongozi zangu napenda kuigiza Kabisa
Me wa kwanza kila siku nasipati like leo naomba jmn
Uwe unakuwa wa 100 ndio utakuwa unapata like 😂😂😂😂😂
@@Mlopa47_MpANA AS fotos Do teu Amigo Obrigado As Na ÀS Suas atividades Que
@@Mlopa47_Mp 😂😂😂😂 we mjanja blood dah 😂😂😂
@@josbrown199 unyama
@@SelemaneJamalJamalabdala-il7xo llll
Nakubali Sana ndaro na Steve mweus
Mami hajra watu husema wanawake hawasifiani ila dada nakupenda kwa ajili Allah mavazi yako yanaony3sha kabisa ww n8 msichana unae jiheshimu na kuheshimu dini yako kongole dada Allah akulinde na akuongoze uw3 mfana wawanawake wote wanao cheza sanaa ❤❤ from Kenya daer r
Wa saba kuview wapi likes za ndaro ndugu zangu watanzania❤❤
Yani we acha tu❤❤❤❤❤
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪😅
Sapoti kwenyu, Kisii, Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
na mim leo nimewah like za kutosha kwa stive na ndaro
Ndaro mimi nakuanga mtu wa kwanza ku comment na si Pati like 👍 Naomba like 👍
Oy Steve na Ndaro pamoja Hajira na wengine big-up sana by Msukuma Mashauri the don
Habari za maisha familia 🤣🤣🤣🤣
Akili zao hawa miamba wawili wanazijua wenyewe aki MUNGU awasaidie tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naipenda hiyo combination ya Steve na Ndaro😂😂😂😂😂😂😂😂
Humu Kenya hatuachi kucheka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmj,,k,j,,j,,,j,,j,,,jj
Stive napenda sana comedy zako ,, alafu huyo hajra mrembo sana ,,,na waza from kenya😅😅😅😅
Steve mweusi nakukubali sana brother endelea kutupa fulaha watanzania 💯🙏❤️❤️
😂😂😂 kweli hawa wajama watatuuwa kwa cheko mbavu zanguweeee😂😂😂😂
Wa 21 ku comment, Ndaro na Steve nawakubali kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣, sapoti zangu zimetoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🤣🤣🤣🤣 Palipo na Ndarooo na Steve mweusi Huwa mbavu zinauma kwa kicheko 😂😂😂😂😂
Huku Kenya hamadi kijijo kinakubalika😂😂😂
Ndaro na stevin Moses mungu anawaona
Baada ya kuwapa wote like dondosha na kwangu zifike 20 tu tuanze na ndaro na stev mwenyewe
Sanaa babuu haina mpinzani
Good job ndaro and steve mnajua sna ongeleni kuakutupa burudani Quatar Burundi ❤❤
Ahahaha hajahahhaha
Kongole kwa ndaro na Steve for much creative they are like kwao tafadhali na yangu moja.
Yani nyie mumeshinda matahira kwa kweli😂😂😂😂hajra umedamsh na gauni lako🎉
Vijana talent sana 😂😂😂
Steve steve steve na ndarooo mtatuua aiseee😂😂😂
Ha haaaaaaa haa nimecheka sana, Hawa jamaa jamani Mungu anawaona, hiyo ni kusalimia tu😂😂😂😂😂
Mwafurahisha sana nyinyi ❤❤❤
Naikubali sana family mweusi stive❤ pamoja na ndaro
Kazi nzuri nakubaliii❤❤❤
wa kwanza mimi
Noma cn2
🤣 "Halafu hii suruali ndo huyu mwenzake gauni"
Stevu ee mim n fans wako lkin mzee baba hizo nywelee zinaboa nyoa tu vizur kama vile mwanzon au tafuta mtindo mwingine afu mkiwa na ndaro mnauwaga hatariii unyama ni mwingiiii💯💯
Nawapenda Sana natokea 254 🇰🇪🇰🇪
Ndaro umepoa sana yaani Auna Vibe
Mwana ndo alivyo kila mtu ana talanta yake bro dzain ya mwana ni tofauti waga cool sana 😂😂😂😂
Vichecheee 😂😂😂😂
dah kweli 2ngekua hvyo kwa wa2. dah wa2 wangeishi kwa wasiwasi xana. main bigupp mabrooooo
toeni za ukichaa bac maana 2mezic ase
Mbavu zangu swaleh mno😅😅😅😅😅
noma sana😅😅😅
Eti mbali tumboni 😅😅😅😅😅
Guys mbavu zangu mtalipa MTU atacheka mpaka lini jamani? Hhhh from Rwanda nawapenda sana
Chokochoko mchokoe pweza😂😂😂Steve 🙌 🙌 🙌
Ila wanavojifanya vibonzo😂 wanazengua tu kufurahisha aaaaasaah
Stiven ni kichaa aki😅😅😅
Napenda steve mweusi na Ndaro waki collabo labini wasanii wa comedi wa collabo kama hizi mtafika mbali wasanii wa comedi
Unatuvuta kwanguvu unataka utufanye nini😅
Nawapenda mnoooo ndaro na Steve
Guys your comedy iko kwenye another level
😂😂😂mnachesha sana
Nakubali wanetu mnafurahisha
Mungekodisha tu Kisha nanyinyi mungeenda kukodi😅😅
Usipo cheka dai mb zako kwa ndaro na stive
Dah uwakika❤❤❤
Uyu ndaro eti unatuvuta Kwa nguvu ndani unataka utufanye nini😆😆😆
Hivi vichwa ni hasara tupu ❤❤❤
Wakali wa wooote
😂😂😂😂kenya tunawapenda
Hi am Aydah from Kenya keep it up mabro
Weh!! Vipi moses yuko wapi hamadi kijicho! Na za mkuranga kaka!?
Naikubali sana family mweusi stive pamoja na ndaro
❤❤ ndaro na Stevu munatishaa huku kenya
Hapa Kenya uwezi kufanya upusi kama huo ndaro na Steve utachapwa
C comedy nawew
Wonderful 👍👍👍 one
Kilasiku tunaku sapot
Nakubli san kaz yenu
Machizi 2 na mboga zenu ndaro hajra Steve Hy best ake
Sijachelewa sanh naombaa like zangu😂
Kkkkk stive mweusi weeeeeeeee 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jamani mbavu zangu steve😂😂😂😂
❤.mabrooooo
❤ naipenda kazi inayofanywa na ndaro na steve🎉
😂😂😂😂😂walahi stuvu mnanivunjambavu
Steve utaniua😂😂
Nawapenda 😂😂😂❤❤
Naomba ushirikiyano ndugu zangu wa dar es salamu nimemis kuigiza Kabisa naomba viongozi zangu napenda kuigiza Kabisa naomba viongozi zangu napenda kuigiza Kabisa
Ndaro ...Nakufata hapa Canada ottawa
Mimi pia nawakubali tokea ottawa canada
😂😂😂 perfect one
Hii mmecheza kama chizi fulani hicho, mmejitoa akili sana
nani mwingine yuko hapa bado kama mimi🤣🤣🤣...❤️❤️❤️❤️
Guyz you are really amazing.keep it up and much❤❤❤❤❤❤
Yuko vizur steve
Stivu na ndaro I love you too
Watu wangu💪
Nimeipenda
Kkkkkkkk😂😂😂😂 mbavu zangu walayi
Kiukweli mbavu zaaangu zi napata shida
Musimuogope boss wenu😅😅😅😂😊😅😂 natokea drc Congo jamen😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂nyinyi niwahuni kabisa mnanipendeza sana 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂 mnamusalimia tu
Nice
Hebu wahii kwnz😂😂😂😂😂❤nakupend Steve mbv zinaum kw kucheek
Amazing 👍
Halafu ndaro wewe unachekesha wenzako ila wewe hucheki😂, afadhali mweusi some time twacheka nae😅
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love
Mnajua mbk mnakera
Ila nyie watu huwaga mnanipa raha sana
😅😅😅daah
😂😂😂😂😂 Steve na ndaro mko na tabu sna