Nataka mujuwe ulayani ni umaskini Afilika njo paradise paradizo mwenyenzi Mungu alitupatiya vyote ,wazungu juhu yawivu wawo njo qanakuja kuchanganya vihongo
Hajra pisi Kali San wallah!!nikiokota fuko la hela ...popote halipo taoa ...hat km ameolewa tawapenda wote yeye na uyo bwana ake,,😄😄 nampenda San anajua anachokifnya San San big up
Munajuwa ni huruma saana watu wehusi kufikiriya ulaya ni pa zuri kuna maisha kweli ya kula chakula ya kujaziwa madawa,hewa mbaya maji mabayi kujazwa madawa imetugehuza ngozi nywele zinakatika na ngozi zimeharibika. Na
Ulaya ni umask8ni wandugu mubaki Afilika paradizo kama ulaya kuna vyote kwa nini wazungu wanazagaha zagaha ndenge kupanda kwetu afilika, ooooh afilika maskini. uwongo wazungu ni wevu saaanaaa roho mbaya za uhuwaji. Kwa hiyomupende afilika paradizo
Kaka huyu Hajra kidoti hakupendi Nimegundua
Me nampenda yeye na huyo bwana wake
I wish you were kenyan 🥴
Hajra wa watu dah au basi
Ndaro we komaa nae hivo hivo 🤣
Chawa hunabaya Steve
hajra nakupenda sana mashallah na unavojistiri na nguo.zako.nzuri na unavojitanda Allah akuzidishie hongera sana
Dada Hajira, Mungu akulinde 🙏💟🇨🇩
Hajra ana dharau furani hivi ya kistaarabu!!! So amazing
Steve. Nenda uwe chawa diamond itapendeza sana. Hangers sana Steve mungu. Akubariki
Hivi ndaro rafiki unaye Steve mweusi ni mkali kimistari ipo siku naomba kukutana nanyi mnipe mrembo Mmoja mtoto Kaa huyo mweupe 🔥🔥🔥
😂😂😂kwamara ya kwanza Steven akawa mshauri mzuri bila kualibu 😂😂😂
Hajraaa chombo ya kisingidani❤❤❤❤
Waouh t'es le meilleur comédien du tz
ruclips.net/video/2nrBKw5EZjc/видео.html
Hakika kazi yauchawa unaiweza kweli kaka yangu ongera sana
Man nyi nawaona the best comedians in the whole TZ
Nataka mujuwe ulayani ni umaskini Afilika njo paradise paradizo mwenyenzi Mungu alitupatiya vyote ,wazungu juhu yawivu wawo njo qanakuja kuchanganya vihongo
Ndalo ndkubvonye npend San klip zako msarmie Stivu mweus Kali wa vit
😂😂😂😂huyu Ndaro na Steve hunifurahisha sanaa...kazi nzuri sana wadogo zangu
Hajra pisi Kali San wallah!!nikiokota fuko la hela ...popote halipo taoa ...hat km ameolewa tawapenda wote yeye na uyo bwana ake,,😄😄 nampenda San anajua anachokifnya San San big up
🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Umalaya utakumalza bro 😂😂😂😂
"Kutenda kosa sio kosa ila kirudia kosa ndio kosa"
Sawa mzee.. Hajira haingiliki jipange upya tena 😅😅
Ndaroo hajiraa wanguu , ndomaana hakupendiiii , namupenda sanaaa
Nimependa sana❤❤❤❤
Steve na ndaro 😂😂😂😂mtafuteni kicheche mlete kazi 😂😂😂
Ndaroooo, 254🇰🇪 twawatambua vinoma💪
Huy chawa wangu mkusanyaj 😂😂😂😂
Jamani nyie hua mwanifurahisha ndaro kaka mkiwa na Steve 🔥🔥🔥
Hajra mwenyewe ameisha kukupenda zaidi
Steeve wewe ni noma aisee,, Hongera sana
ujue wewe ndaro unacheza na akili zetu huyu dada mi pisi yako kweli shenzi wewe😂😂
😂😂😂😅😅😅siwezi kurudisha moyo niende marekani Steve chizi ww ndaro unanyota ,mtashinda njaaa ,nipe maneno marefu..😅😅😅
Kaka nataman akukubarie nione maisha yatakuaje😂😂😂
Mh nawakubali San ndaro na mweusi
Nakubali sana mkubwa ua basiiiiii!!!
Hajra nakupenda sana unajisitir vzuri sana allah akubarik
Hajira Sura yake kama tunda la Upendo yaani binafsi nakupenda Sana daaaaaah sijui uko mkoa gani Mimi nipo huku Kigoma karbu kwetu Mama
Nawakubar sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupend ajra 👍👍
😂😂😂😂😂 Steve haunaga kazi mbaya mjeshiii...
Keep it up the good job 🙏
Munajuwa ni huruma saana watu wehusi kufikiriya ulaya ni pa zuri kuna maisha kweli ya kula chakula ya kujaziwa madawa,hewa mbaya maji mabayi kujazwa madawa imetugehuza ngozi nywele zinakatika na ngozi zimeharibika.
Na
Ndaro mi nahs kama Hajira ndo kashaelewa malizia tu tumpeleke kigoma
NDARO NI CHIZI 😂😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
dada ajra mzuri sana mashaallah
Mupereke taratibu atakubari2 usimulazimishe ngombe kunywa maji barimushawi awenakiu
Bila kuficha hajra mzuri bwana
Ww nakubali kazi zakosana yani mimi silali sababu ya bitubyako bavuzangu ni princefrom burundi bujumbura
Wehusi ulaya ni umaskini mtupu tupende Afilika yetu Mungu alitubariki kwa yote.
Da jaman shikamo kaka Steve kweli were no chawa komedi da nawapenda sana kwa Nazi yenu jinsi iivyo zuli
Stevu naomba utuletee season ya chawa nimekufuatilia sana naona unafaa
Hilo steve kweli chawa pro Max
Kazana Kaka nakuelewa
Finally found this😂😂
Steve banaaa bangi unazo vutaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
😂😅😅😅hajra penda ndaro
Ulaya ni umask8ni wandugu mubaki Afilika paradizo kama ulaya kuna vyote kwa nini wazungu wanazagaha zagaha ndenge kupanda kwetu afilika, ooooh afilika maskini. uwongo wazungu ni wevu saaanaaa roho mbaya za uhuwaji. Kwa hiyomupende afilika paradizo
Steve wewe 😂😂😂 pia nyinyi msubscribe yangu
Aiseee hii video kweli mmenivunja mbavu eti "nimtoe babu harusi".😂 Na kushituka kwa steve anapoambiwa awagawie hela laaa
Oyaaaa nakiri kabisa bongo akuna Kama steve
Dah stive uchawa unauweza sana, Apo ndaro itabidi akupoze ata elfu 50 kakutetea Sana 😂😂😂
Hajra mrembo kwel
Uko kuzunguk nakuangalia juu kama bongo movie
😂😂😂anaolewa atake asitake
Daaah nyie n manomaaaa🤣🤣🤣🤣🤣❤💥
hahahaha kaka ila hajila Mzuri muoe asee
😂😂😂😂Tuondoke bibi aaa😂😂😂😅😅babu harusi
Hahahhaa awa jamaa Wana chemistry nzuri san
Combination bomba sana
Stevu nakukubal sana kaka unanifanya nakuwa na furaha sana
Steve king of comedy 🤣🤣🤣🤣 hiyo ngoma anaingia nayo imenifurahisha Sana
Broo naon munajua kushawish aise
Nawakubaligi sana
Hajra hongera good job
Mjeshi kikofia we nomaaa
Na honeeeyMuni niWapiiiii❤❤❤
Ajira ni mimi kupimia hewa mbali😂😂. Ehee😂.
Ila wanaume mnang'ang'ania penzi😂.
ebu jitahidini seen zenu ziwe fupifupi, ndefu zinaboa nakuchosha
❤Hajraa
Steve nawashukura na miamba ya wa kenya tunakupea 100% ni moses barasa nikiwa Nairobi kenya
Hajira aache kumkazia mwenzake mbona hataki kumuelewa mwenzake kutokana na njia mbali mbali na mbinu mbali mbali anazozitumia ili kumpata😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Steve Ni nooma huyu jamaa😃😃
Chawa huna baya umekaa kwenue nafasi yako vizuri2😂😂😂😂😂😂😂
Steve we chizi 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mi sirudiii nyuma kamweeee
Uyojama stive anasema maneno mengi kabisa #icirorecomedy
Ndaro moja hiyo🤣🤣🤣🤣🤣
Bro hajra mwenyewe ana kisrani huyoo adi raha 🥰🥰😂😂😂
Ahha zuri kaka
Pamoja saa ndaroooo au basii
ruclips.net/video/2nrBKw5EZjc/видео.html
Mtashinda njaa stive bwana 😂😂
Hata ni kuchekesha afilika inabaki njoo bara continent kubwa na tajiri
Stive unajua kuigiza kma chawa atr😅😅🖐️
Mmmmmmm viiiina muuuda bas vizungu si tupo hap tunaangalia😅😅
Eth jaman we noma
Nice😊
I say steve mumetisha apo mumejua kuzingua kweli 😅
Hawo wadada wote nawapenda mno😂😂😂😂
Munaweza
🤣🤣🤣🤣🤣 ila ndaro nakukubali sana
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Nakubarisa stivu
Hajra niko tayari kutoa mahari juu yako nawee kama uko tayari kuolewa reply kwa kiniwekea namba yko ya cm pls.
Steven nawewebwana
😂😂😂❤❤❤ Steve wewe
🔥