To everyone reading this Keep going. No matter how stuck you feel, no matter how bad things are right now, no matter how hopeless & depressed you feel, no matter how many days you have spent wishing things were different. I promise you won't feel this way forever. Keep going..🙏Bless my day with a follower.🤲🏼 it could mean a lot
Wallah Mimi ni Alexis kutoka Rwanda, but you guys you deserve everything good yaani wawawekee nyora kwenye ...zenu munawapita woooote wakomedians, heshima zenu
❤ hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu, plz follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana
Kama unakubali ndaro na steve na kundilote gonga like
Hawa ze bus driver.
Steve utaniua siku moja😂😂😂😂😂😂
Ndaro skiza story ww😅😅🤣🤣nimependa pale ndaro anamuula story niyaukweli eeh stive ameinama eti niuongo🤣🤣🤣🙌🙌maua yenu❤❤🎉🎉🎉
wapo watu WA aina hii mida ya lunch wanakuja kuhadithia story hazina kitwa wala miguu😂😂😂😂
Ndro na Steven ni mimi mkali wenu kwalike munakumbuka ata kwa movie kama akina amadi kijicho ,dazeti toka drc jamani gongeni like hapa
Visuri nanikweli kukupa ujasiri
Nanikweli
😂😂😂
Weh mkali kwa trainding ya like kwa move za hawa
😂😂😂
mshikaj na mapenz tofauti😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Stive alokuruhusu kuvuta cha Arusha ni nani lakini 😂😂😂😂😂🙌🙌Ndaro naye yuko makin kuliza maswali juu ya story😂😂😂😂
Team Ndaro tujuane bsi congratulation watu wangu sna steve na ndaro ❤❤❤ love it from Qatar#Burundi
Wanapendeza Steve na ndaro napend muwe pamoja iviv❤
Tushajua ni story ya uwongo lakin tumeskiliza mpaka mwisho😂😂😂😂😂😂😂
we ndaro haujui , we yuda nini😂😂❤❤❤
Nawapenda sana timu Steve na ndaro 😂😂😂❤❤
Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Ila steve🤣🤣🤣 ❤❤❤❤
ni nani mwingine alikuwa makini kuusikiliza uongo wa steve 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni mm 😂😂
Achana na uongo😂😂alivojichungulia chini
Na uyo hamadi kijicho n yupi , nadai nimuone , then Steve vuka boarder uje Kenya twakupenda sana ,njoo ufanye comedy na victor naaman
Hawa the bus driver 😂😂😂
Hiyo Naipenda saana Tangu Congo 🇨🇩 vraiment 😂😂😂😅😂
Steve na story za jaba😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 cjajutia mb zangu kabisa bravoo😂😂😂
Jamani kidoti yuko wapi mbona simuoni au steave kafanya mambo analea huko kwanza maana steave kama hayupo vile ila 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 Steve utakuja kuniuwa mbwa wew 😂😂😂 ❤ from 🇧🇮
5
Xxxx
Mr ahhhh😀 na mr machalee mmeweza sana wazito mnafukuzwa hamtoki😎😂
Ndaru anangojea mafuriko apate usafir😅😅😅
Mhhh mambo
@@kankalatz7362 yeah
Et hawa za bus driver we jamaa ni muong sn😅😅😅😅
watching from THAILAND
😂😂😂😂kumbe kana njaa
😂😂😂😂😂 Steve kwa story❤❤❤❤
Jaman nmechkaaaa ad machoziii
Much love from malawi 🇲🇼 Nakubali kazi zenu
This duo is Amazing 🤩😍 much love from Nairobi
Team mweusi hivihivo kidigichali🤣
Inamwixho iyo story 😂😂😂😂 ndo inaenda kuishaaaa 😂😂😂😂
😂 yaani nmetega sikio kusikiza story ya Steve kumbe niya kusubiria chakula
Team steve na ndaro gonga like hap
Twende laoo team ndaro like basi
Huyo hammad kijicho ndo Nani?
Hamand kijicho napenda tu mfaamu
Weeds
Ila Steve jau HAWA THE BUS DRIVER 😂😂😂 Ebu nipen like Kama umecheka kama mm😂
Steve mweusi kaka una jua wewe ni mfalme Wa comedy 🎉yani niki Angalia video zako nacheka sana
Ngoja kwanza,mbn steve lkn anaeleza story akiangalia ndaro sana😂😂😂...steve mwehuuuuu ati nacheka kama mazuri#hawa the bus drive pumbavu zako 🙌 🙌
Steve😂😂talented
Mweusi forever
Ndaro acha utaila mbona unaskiliza kama stor ya kweli😂😂😂😂
hadi ndala zikaachwa lakini wapi 😂😂😂😂😂
Steve na ndaro 🥰🥰🥰
Kenya tumezoea kupiga full tank hatuna matatizo ya kifedha.
Nakubar sana ndaro kaka 🤟
ila steve bhnaa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Steve na ndaro nawapenda sanaaaaaaa 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Za ndaro na stive🔥🔥
Unaskia ndaru😂😂😂
Nimekua wa Kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
Amadi kijicho anaumwa macho😅
Mwisho wa story ni wap stev😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂story ya Steve imepinda sana😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu😂😂😂😂
Nakubali sana😅😅
To everyone reading this Keep going. No matter how stuck you feel, no matter how bad things are right now, no matter how hopeless & depressed you feel, no matter how many days you have spent wishing things were different. I promise you won't feel this way forever. Keep going..🙏Bless my day with a follower.🤲🏼 it could mean a lot
apo n poa sanaaaaah
Amen
Wakwaza Leo nipeni like zangu jamani❤
Ndaro wewe yudaa
Ndaro na stevu 😅😂😂😂😂😂😂
Ahmad kijicho jaman ni nani
😂😂😂😂et ya uongo
Nawakubali kutoka Kenya kakazangu.🤜🤛
Pikeni tu mwegu nani kaisikia
Much love from Zanzibar 🎉🎉
Wallah Mimi ni Alexis kutoka Rwanda, but you guys you deserve everything good yaani wawawekee nyora kwenye ...zenu munawapita woooote wakomedians, heshima zenu
😂😂😂 akweli Steve umeona akufukuzae hakwambii toka nawakubali sana ❤❤❤
Wee Ndaro Haujui😂😂😂
Ila #ndarotz unajua sana mwanangu 😂😂😂
Kama una kubali vitu vya Steve x ndaro gonga like eeeeee❤
😂🎉❤🎉 incredible actors in Tanzania
Which country is this?
😂😂😂ndo vs steve
Huyu Steve leo na story za jaba kumbe njaa
😂😂😂😂𝐞𝐭𝐢 𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐚𝐚 𝐝𝐮𝐮𝐡 😂
Team steve hapa gonga like
Tupo ❤❤
We Yuda nn ???😂😂😂😂
Nimecheka kweli da!
Steve na ndaro jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaaaan Leo mpak tuuleee uwoo ila hatuondokiiii hapa
Dah bonge la story
😂😂😂😂😂😂nimecheka 😂😂😂😂😂 huyu bosi stiv bana safisana
Nice🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤ hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu, plz follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana
Hiyo story ni ya kweli?😂😂😂steven huyo dada ni mtoto wa John cena?😅😅
Hamjapika mboga😂😂
Uyu jamaa noma😂
Story nyingi Kula kwenu stevu😮😮😮😮😮😮😮😮
Aziza namkubali
Nina wasiwasi na marry na ndaro ni wapenz
Nakubali kazi zenu
Wa kwanza jamani naomba like
Steven una njaa kabisa 😂😂😂😂
🇨🇩🇹🇿🖐️🤝 nawa kubali sna hawa wa jamaa na team lao
😂😂😂😂jamani story za njaaa😂😂
😂😂😂
Bora ukae kimyaaa, ukiongea sana njaa inazidi
🤣🤣🤣nakula penyewe wasile😂😂😂
Njaa ya saa sita mchana
😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Team Steven ndaro kuikubali kbs
Hahaha teve bwana et "hawa the bus driver"
Akaenda fruuuuuuuu😂😂😂😂
Et nichekeshe, ndaro bana
Koti yandaro ina jikunja sana