AWASHIWA TAA ZOTE | TAZAMA WAREMBO WALIVYOMGOMBANIA | ANA UZURI WA KIUME PESA IPO | HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 26 янв 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Nyinyi mnaoendesha Mr Right nahao Wanawake wanaojiuza hadharani,mnamkera Allah nadalili zakiama, niwanawake kujaa masokoni.. Allah akbaru
Ivi nyie mnawazaga dhambi na zinaa
Hyo ni maigizo kama vichekesho tuu
Kabisa
Mcheni Mungu na kumtukuza,siku ya Bwana inakuja!
Yalekebisheni mapito yenu,msienende namna ya ulimwengu huu!
Hakika hujakosea.qiyam hakiko mbali tufanye ibada kumrudia mungu naumala unawasupuw
Allah mstahamilivu sana ila kama si hvyo ana uwezo wa kutoa adhbu yoyote aitakayo muda wowote Allah tunusuru waja wako hakika ss ni wadhaifu
Mwanaume anaejielewa hawezi kwenda sehem kama hizi kutafta hao makahaba
Shetani Yuko kazini daaa saiz hawajiuzi vichochoroni wanakuja hadharani 😢😢😢😢😢😢
Hiiioo nayo n aina ya umalaya tu😂😂😂
Wanawake wanapenda wanaume weusi wenye mng'aro,ambao hawana mambo mengi, smart kichwani,wasafi,wapambanaji na wakweli.ukiwa na sifa hizo hata kama masikini utapendwa na wengi
Sa huko ni soko kweri😂😂😂 heri nitafute kwa strit😂
Zalishi na eliza mina wanamidomo n niwakongwe hapo😂😂😂n hamjachaguliwa
Ndio mana ndoa hazidumu sikuizi hamuezi vumulia mashida kwasababu mmepatana katika mazingira ya kiuni uni😂
Niwasaidie wakongwe Kama Eliza na zarish na wengine watu wanawaona kila siku mpo na mna nyodo Sana ndo maana hamchaguliwi wanaotaka wapya nenden mkatafute wenza mtaan acheni kujianika
Kwanza madem wenyewe wote wabaya 😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂kbx
Wivu naweerr😂😂😂😂😂😂😅
Ila kama una point agiza ntalipa😂
@@user-ek7nu1qc8g 😂😂
Guys mim huwa ni mkaxi sana akn daaah dis man duuuh
"Dunia sehem salaama ya kuish" one day yes ntasema na mm mwanaume wangu aone dunia sehem salama ya kuishi kwa kuwa na mm tu
Jaman Ana maneno matan sana sana an
Mim namuunga mkono kwangu mwanaume ni boss Wang nahitaji kumtii na kufanyia kila kitu a enjoy...
Kiindi kifungiwe ni upuuzi tu hapa
Mkulima makini sana huyu af anajielewa mnooooo big up sanaaaaaa😊
Pia mm ntawatembelea am from Kenya 🇰🇪 warembo wapo
Duuuuu ila akina Lizzy Mungu atusaidie🏃
😂😂😂😂apokwanusa nimecheka san😂😂😂🇧🇮🔥🔥
Huyu Mr Right ni schoolmate wangu wa advance pale Bagamoyo Sec ,ama kweli miaka inaenda leo Oscar anatafta Mchumba apa 😂
Hapana hatafuti ni scripted
😂
Yaani na yeye na elimu yake amekosa mtu huko anakuja hapa??!, kweli pesa zake na elim yake havimsaidiii chochote. Ebu fikilia hao warembo profile zao mbona hazitajwi????, ukijiuliza hilo swali na ukapata jibu. Utaona wanaume wanaoenda kutafuta wanawake hapo wanashida hawako sawa
Na osca kapendwa kwa umoja wa wadada😂😂😂😂❤
@@venacyibrahim5056agiza soda I will pay it 👍
Sidhani kua unaweza kumpta mke hapo stara ya mke hapo ipo wpi
Duuh nomaaa😀😀
zinaaaaa matangazo
fact
NJE YA POINT,JE HIVI NDIVYO MLIVYOAMBIWA MVAE NA RAIS??? SHAME TO YOU.HATA HIKI KIPINDI HAMFUNDISHI KITU ILA KUPOTEZAA😢
Hiii inadhaminiwa na freemason
Bila shaka
Hatarii na nusu
Wahehe eanajia kupenda pia wanawifu sana ukimsariti kukutoa roho sioshidazake
Uzuri wa mtu sio hela wala muonekano mzuri au kawaida,
Wapo zuri wa sura umbo na kinyume chake wapo ,hapa ni kuomba Mungu tu kila mwandamu ana mazuri na mapungufu yake bila kuishi au kufahamiana japo kidogo huwezi kujua
Yaani hapo mtu siku moja tu unatangaza maisha ya pamoja kabla ya kufahamiana ni hatari tupu,
Tena ni ujinga mtupu...hujui historian yake japo kidogo jamaniiii😩
Yaani bola nimuombe Mungu wa Kuhani musa anisaidie tu nipate wangu kuliko uko
Ata kunusa kupo apo aya makubwa
Mr right Mrs right wako niko hapa acha kujichelewesha na zinaa hizo
Awa wadada.wanajirahisisha mno kama makahABA DUUH😢😢
So good job
😂😂 nikikumbuka ya Ciara na yule kaka Sina Hali nabakigi kucheka tuu
Please naomba no ya huyo kaka ili anifanye nione dunia ni mahali salama pakuishi❤❤🎉🎉😂😂😂nyie wakaka huwa wanamaneno yakutuaminisha😅😅😅
😂😂😂
Unaweza kuta mfukoni hata nauli hana, simu imeharibika charging system mwezi wa 3 sasa
@@mcback4384 ila ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣niache kdgo🙌🙌🙌🙌😂😂😂
Allah tusamehe maana pesa inasababisha tunafanya kila tu Cha kumfurahisha shetani ila nakuomba usimsamehe yoyote anaekuza zinaa allahu akbar allahu akbar allahu akbar
Aliya leo nimevutwa na mivalio yako leo❤
Hatari 😅
madanguro yamefungwa yamehamia mtandaoni wanake nawanaume wanatafutwa kwa staili hii kweli
Jamaa yuko straight sana afu anajibu kama anasoma sehem hiv skia hilo jibu apo kwenye zabibu apo baba wachache tu watamuelewa
Aseeh mpeni pepsi baridi apo
Wanaume wanaopenda hapo ni domo zege. Kwamba wanakosa jinsi ya kutafuta wadada na kuwashawishi mpaka waende kujiuza hapo!! Eti Mr Right, 😄😄😄 uhuni mtupu
Maigizo haya
Uyu Eliza sijampenda kwa kweli anawenge sanaa
😂😂😂😂😂😂kwani Bado achapata mchumba anakiherehere sana
Eliza kaumbuliwa et asogee aibu khaaa 😂😂😂😂
Yaan etu amnuse ili chiz lawapi hhhhh
Angalia huu ulimwengu cjui mnaenda wapi,kuchaguliwa kwenye ukumbi na mitandaoni ,bint mwenye maadili yawazazhawez kufanya hivyo,pia ni kujishusha hadhi. Wanawake wameweka mbalele pesa ,kuliko kuanz tabu na mwenza,pia wanaume huwa wanawadharau wale walioanza nao tabu, wakifanikiwa wanamtafuta mwanamke mwingine kuja kutumbua nae maokoto.ndo maana wasichana wajiuza mitandaoni.
Elizaaaaa sahiv kila mwanaume anampenda😂
Baada ya kuchunda😂😂😂 ukiringa sn haya ndo madhara
😄😄😄😄😄😄😄😄jmn
Kishangazi😂😂😂
😄
🤣🤣Anajikutaga malkia saiv kachunda mwenyewe
Sasa nimegundua wanaume wa iringa wanapendwa nimetoka kulizwa juzi tu mwezenu 😢wako na iyo bahati ya kupendwa na wanawake😂❤
Eliza mimi nakapendaga bureeee😂😂😂
Namuona Manara pale mbele na kofiaaa😅
Ila huyu kaka jmn❤
Mila destur zimekiukwa wazaz wamedharailiwa badalayake mitandao inageuko wazaz, laana kuum,jamani tunaenda wapi. Hata MUNGU tunamkiuka.
Eliza bado yupo😅😅😅😅
Wooow huyu mr right ni fire💥💥💥
Haujaniona mie
Afadhali LOLO kaondok maan nimempenda bure...
Yani hapa najifunza muonekano ndy chakwanz mwanamke anaangalia😊❤😂
Mwanaume kama mimi siwezi kutafuta mwanamke hapo😂😂
Ww jamaa usiogope kachukue vyuma hivyo
@@musajackison5965 🤣🤣🤣🤣
kwan unanini bwana weeh 😅😅 kwenda
Njooo mkuuu untie Niko hapa😂😂😂😂
@@tausimohammedy Nina hela na nina nguvu. za kiume
Mbona iko wazi tumekataa kutafutiwa wake na wazazi sasa tunachukua makahaba jukwaani mwanamke kweli mwenye maadili ya kua mk huwezi mkuta akijitangaza apo tunaomba rekodi zao hau mlio wapa wanawake wamewai kuoana kweli ama wana duu tu nakupitishana uku kweli unaweza mtambua mtu kwa kumtazama. MUOGOPENI MUNGU.
Nimeskia ze way alivyo ama vip bana 😂😂
Eliza anataka harufuu yakee😅😅
😂😂😂😂😂
He kunusana tena 😂😂😂😂
Naye anarembua macho kama nini Mr
Najua mwanaume mref mweus Kwa nn anapendwa na wadad weng😂
Tuna nini kwani🙄
Wazurii
Kimo chake Mbona cha kawaida
Ebu niambie
Eliza kanywa soda. Sana kwenye stage atamaliza cret😮😮
Mbn wabay ndo wanajishaua😂😂😂
Wajina huyo mhehe mwenzangu
Atakae chaguliwa asije umiza moyo wa kijana maana hawachelewi kujinyonga hawa
Fire
Bro unaenda less sanaa 😅ila i asur you hapo sijui mr right utaangukia pua
SSAalma nngubarooo jjammaann neiiir
Kazi ipo
Haa! Nimependa the way vile mnavotimiza unabii paspo Dada, uliaga vipi kwa baba ulipotaka kuja hapo kutimiza unabii wa dunia ya mwisho?
Mmmmm eliza bwana aibu naona mm😂😂
Anakera Hadi basi tuko sote
Uyu Eliza ana zarau sana
Mhehe mmoja tegule umwana umwelu uyo
Jaman mbn hatujaona mwisho 😅😅
Mimi ni Prosper kutoka Bujumbura Burundi je awo wanawake wana tafuta mapenzi wala wanataka hela
Mturushie na ndoa zao
😂😂😂sidhan kama waga Kuna mdoa apo
Mr right na kipara chake cha jua kali
😂😂😂😂😂😂😂 niuwe
Huyo eliza leo kaangukia pua vile alivyowaza alijua atachaguliwa yy
Halafu si mmama kabisa hata sauti yake inaonyesha 😂😂huyo mkaka atakuwa ni mdogo kwake
Itanibidi ninyoe na mmi pia😂
😅😅😅
Lemme preserve my comment
Nouma sanaaaaaaa
Dada umepata huyo kaka tulia mambo ya pesa sogeza pemben tanguliza upendo dunia itakuwa mahala salama pako wew kuishi
Nc
Wanalipa sifa hili jamaa halina mvuto wowote wamepita mahandsome wa maana mmewakataa makahaba sokoni
Hahahaaa hata mimi nimejiuliza sana
Oscar jamaniii..wife materials tupo hku tumekaa tunawasubiri 😢😂😂😂
Na husband material tupo huku tunawatak nyie wife materials😢😂
😂😂😂
@@brunoh_bx au sio 😂😂😂
@@saraissa9327 Ndiooo😅
Siwez kumuona mwanaume sikumoja eti nipende halafu nilalenae hukoni kujiuza
muendesha tamasha ukiona pepo man unawauza watoto wa watu pole kaka man akili yako unaijuwa mwenyewe
Hivi haya hua ni ya kweli au ni maigizo tu
mashallah i like this gays
Tumia tu kiswahili ndugu😅.
🤣🤣🤣🤣🤣
Haki wewe 🤣🤣@@elianeradius
Wewe luludiva atokee mtt wa mtu c ulimkataa yule mkaka hapo mbele z watu ww mwenyewe unachagua😂
Hivi ni kweli au maigizo? Mi siamini kama mume/ mke bora anachaguliwa kama nyanya sokoni! 🥺🥺
Wanaangalia muonekano wa nje!!!
Kama ni kweli basi dunia ina mambo na bado tutaona mengi...
Huyu Jack alishapataga mtu jamani?kama hakupata mwenye contact yake pliz
Hiv km mmemuona leo kaiva, je huko nyuma kaonwa na wangap
Jamani me nataka kuja hapo nipate mchumba nakujaje
Wahaya baada ya kuvunjiwa vibanda vyao wamehamia huku
Huyu Eliza hana akili timamu huyu
Wahehe hoyeeeeeeee! Tuko juu hatujawahi feli😂😂😂😂 utulivu ndio Hadi yetu tukiudhiwa hatuna muda wa kujishana...kamba Iko wapi kwa heri
Kaka zangu wa iringa mawifi ni msululu lazima muelewe kakazangu hawakai kiboya
❤❤
Who has been chosen naah? 😮
Hawa wadada mbona kama wanajiuza hapa alafu wana tamaa hatari loooooh
I like mr right ya kibongo si kama ya kwetu
Ya kwetu inaboo ata siwatchingi simi fun
@@fatumomatano9752 kweli
Ya bongo hata na watoto unaangalia
Kwan ao wanawake awawez kupat wanaume njee
Hapo mwanaume kichwa kikubwa
Wa hehe Wana vidada hatali
❤