PENZI LIMEKOLEA | BAHATI HAIJI MARA 2 | NAMPENDA ANA PESA | NDOTO YA KILA MWANAMKE | HELLOW MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 203

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 7 месяцев назад +25

    Wabongo ubunifu jamani nawapenda majirani ,Mc Gara B,Miss Aaliyah ,Dr mko na chemistry kali Bwana....show nayo ni moto kama pasi 🇩🇪🇰🇪

  • @nancyfamilysharesmoments7634
    @nancyfamilysharesmoments7634 7 месяцев назад +22

    Mr right kajichagulia kazuri na kamevaa gauni refu la heshima

  • @georgeascona5457
    @georgeascona5457 7 месяцев назад +17

    this was superb tokea nimeanza kuangilia mr right

  • @Mamakemanu
    @Mamakemanu 7 месяцев назад +12

    Wow hii nayo ni very fantastic wallah 💝💝💝👌👌👌💥🔥🔥💯

    • @ahmedhamis
      @ahmedhamis 6 месяцев назад

      Usitaje jina la mwenyezi mungu kwa zinaaa

  • @TengaJ
    @TengaJ 7 месяцев назад +13

    Bonge moja la show tangia nmeanza kuangalia hii kitu hii ya leo imesmama

  • @Joanithajoseph-o2j
    @Joanithajoseph-o2j 7 часов назад

    ❤ very fantastic

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 7 месяцев назад +20

    Eliza nakuombea uendeleee kuozea hapo😂😂😂😂malipo ni hapa hapa

  • @BJOHNMAUSA
    @BJOHNMAUSA 7 месяцев назад +6

    Mr right yupo sahihi na makini sana... unajuwa bro kuchaguwa

  • @AnnaYohani
    @AnnaYohani 7 месяцев назад +4

    Honger kaka umechagua mke amevaa vizur mungu awasaidie

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 6 месяцев назад +1

    Nimependa uyokijana nikweli kapenda rangi ila atamavazi yanawezakusababisha, wakumbuke uyoanaechagua nikwamba anataka mke kweli , atakaepeleka kwa wazazi , nimeona wengi wanaochagua nakwasiriasi awangalii uzuri wanaangalia muonekano wa mtu, ❤❤❤

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 7 месяцев назад +10

    Wanaendana MashaAlla wote wadogo wadogo

  • @nakshaofficial2817
    @nakshaofficial2817 4 месяца назад +1

    Sijawahi comment but D's so amazing ❤❤

  • @miriammkambe4267
    @miriammkambe4267 7 месяцев назад +7

    mkaka mzuri huyu nmempenda pia mm

  • @Dianyusph
    @Dianyusph 23 дня назад

    Nice cauple❤❤❤

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 7 месяцев назад +12

    Amechagua aliyevaa nguo😅

  • @malemawatson1130
    @malemawatson1130 7 месяцев назад +7

    Jamaaa katisha sanaaa

  • @charlesezekiel1882
    @charlesezekiel1882 4 месяца назад

    It's amazing wanaendana sana kwakweli nimependa

  • @user-lg9lv3th4p
    @user-lg9lv3th4p 7 месяцев назад +4

    Kaka Ana jua kitu kizur balaaa Wahehe Fireee

  • @Nimbonajeanmarievianney-ro5rm
    @Nimbonajeanmarievianney-ro5rm 7 месяцев назад +5

    Nifurahia hili penzi jipya Mungu ayilonde idumu ndoa yenu milele

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 7 месяцев назад +1

      Ushawafungisha na ndoa 😅😅😅 ndoa imekuwa so simple 😂😂😂

    • @ZalhathamohdSaid-qn4jj
      @ZalhathamohdSaid-qn4jj 7 месяцев назад

      ​@@hawaramadhani6954😂😂😂😂😂😂😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 7 месяцев назад +50

    Eliza sasa niwakati wako wakukataliwa 😃😃😃 umekata vijana walio kuchaguwa sasa utazehekeya apo ulizani hawutakataliwa leo njo leo

    • @pikolaizaog7303
      @pikolaizaog7303 7 месяцев назад +2

      Malipo ni hapa hapa Duniani....kashapigwa na kitu kizito kichwani😂😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 7 месяцев назад +2

      Naomba wamkatae sna hadi aondoke apo bila mume maana alipendwa mwanzo kazingua saf sana

    • @irenembise541
      @irenembise541 7 месяцев назад +1

      Yatamkuta yale ya Recho😄😄last season,alichaguaga hivo hivo mwisho wa siku akaondoka na mtu tu ilimrad

    • @fidonsostenes
      @fidonsostenes 7 месяцев назад +2

      Kwanza mwenyewe mzee 😅😅 au macho yangu yanaona vibaya

    • @JaneKikoti
      @JaneKikoti 7 месяцев назад +4

      Wahehe tunajua kupenda wee acha tu mtoto umedumbukia kwenye penzi zito la mhehe😂😂😂😂

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 7 месяцев назад +6

    Wow beautiful girls in Tanzania

  • @FatmaHamad-hs3tj
    @FatmaHamad-hs3tj 7 месяцев назад +6

    The very interesting episode ever,the guy is Very romantic

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 7 месяцев назад +3

    Hahahahaha Mr right nimekukubal snaa njonjo hz broo umejipang hahahahah eliz huyoooo kaachwa

  • @lidyamhova8528
    @lidyamhova8528 7 месяцев назад +13

    Huyo dada ni haki yake kwanza amevaaa vzr

  • @Daniella249
    @Daniella249 7 месяцев назад +2

    Sema mr right yuko makini bc huyo mwanamke nae awe na utulivu jmn

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 7 месяцев назад +4

    Kamchagua mzuriii😂😂😂 elizaaa anazeekea apo apo

  • @user-hv6tl7uv1q
    @user-hv6tl7uv1q Месяц назад

    Jaman wadadaa mjitahidi kujisitiri asa wajinaaa eliza

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 7 месяцев назад +2

    How painful Liz!!! Jamani janani sokuhizi Mungu halopeshi astaghafirullah

  • @user-qe5sk4gd6e
    @user-qe5sk4gd6e 7 месяцев назад +2

    Jamani mke au mume anapatikana popote pale pawe pabaya au pazur mungu ndie anae kuandikia

    • @sadikimbena8775
      @sadikimbena8775 7 месяцев назад

      Jipe moyo uchague galasa

    • @user-lg9lv3th4p
      @user-lg9lv3th4p 7 месяцев назад

      Yeah kwa kweli

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 7 месяцев назад

      Nenda Tandika,au Temeke mwisho,buguruni pote huko utapata huko mke mwema bro

  • @yusuphjuma742
    @yusuphjuma742 7 месяцев назад +3

    Kweli zabibu na your are red wine

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 7 месяцев назад +1

    Huu mchezo hauitaj hasira 😂😂😂😂 nice couple ❤️👌 pole Elizabeth 😂

  • @KisetiClément-e8h
    @KisetiClément-e8h Месяц назад

    Kuetu sisi wa Congo eliza si mwanamuke yeye ana sema sana

  • @lizzykay1321
    @lizzykay1321 7 месяцев назад +1

    This is best episode ever. Big congratulations to this beautiful girl, she looks humble and beautiful. Nakutakia maisha marefu my beautiful pp
    Watching from Australia

  • @michaelemanuel2528
    @michaelemanuel2528 4 месяца назад

    All the best Mr & Mrs Right❤

  • @doriselipokea651
    @doriselipokea651 4 месяца назад +1

    That's a marketing strategy, ww think its Mr right but the he is advertising his business.

  • @EliaminiJoshua
    @EliaminiJoshua 7 месяцев назад +8

    Mwanaume mweny akil timamu hawez kwenda apo kutafuta mke,labda kama wanaigiza

    • @mwenifiona797
      @mwenifiona797 7 месяцев назад

      😂😂😂

    • @user-qe5sk4gd6e
      @user-qe5sk4gd6e 7 месяцев назад +1

      Mke unaweza kumpata popote hata kwenye bar vilabuni kokote kule

    • @yusuphwm
      @yusuphwm 7 месяцев назад

      ​@@user-qe5sk4gd6eTumia akili acha kutumia matako

    • @Bihekenya
      @Bihekenya 4 месяца назад

      Mawazo yako ndipo yalipoishia

  • @MariaJohn-em1fk
    @MariaJohn-em1fk 2 месяца назад

    Waooo mungu awe nanyi

  • @ngusiupdates4363
    @ngusiupdates4363 7 месяцев назад +4

    Waheh tuna kiti chetu heaven 😅😅

  • @user-eg1nk3dp5w
    @user-eg1nk3dp5w 6 месяцев назад

    Mungu awaongoze waende kutimiza lengo lao wakawe mke na mume

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 7 месяцев назад +7

    Naomba Mungu awajalie wanangu wake wema mana SS tuliozaa madume matupu mtihan jmn 😂😂 utaona mwanao anaenda hapo kutafuta mke jmn namuombea apate mke mwema

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 6 месяцев назад

    Jee hii NI Halali kwenye dini zetu zote tunazo abudu.,Au ni kumsaidiya shetani na kumshangiliya zaidi...?Kwa sababu hakuna anaye weza kuwa na unahakika kama watakwenda kuowana yaani kuchumbiyana au kufanya ufuska Tu kisha kuwachana njiyani...Na ningalipenda Kwanza hao wanawake walio kwenye hichi kipindi Kwanza wavaye mavazi ya heshima...kama anavo vaa huyu mtangazaji mwanamme mwenzetu MashaAllah anavo jiheshimu.

  • @hassansebe1798
    @hassansebe1798 7 месяцев назад +2

    Mmh jamani fanye mkificha mana hii show mwisho mwisho kabla cja itizama Nisha jua Mr Right ataondoka na nani so Mr Right session five cku enjoy uko mwisho rekebisheni plz but cto sahau hile ya Anita ex kuwa keki

  • @KhadijaKalikawe
    @KhadijaKalikawe Месяц назад

    Nimependa😊😊😊

  • @user-es4yj8jz6m
    @user-es4yj8jz6m 3 месяца назад

    Nimeipenda mnooo

  • @user-tv2tn2ln3g
    @user-tv2tn2ln3g 7 месяцев назад +2

    Wanyalu kolo tunapenda sket ndefu za heshima

  • @LovelyBassetHound-ku1wx
    @LovelyBassetHound-ku1wx 4 дня назад

    Ukiangalia mr right unatamani urudi utoto na umpate atakae penda haswaaa weweeeee

  • @SirilaMarandu
    @SirilaMarandu 4 месяца назад

    Mr right kachagua kaka cool kazuri amejua kweli

  • @user-eo9kv7ld1w
    @user-eo9kv7ld1w 7 месяцев назад

    Just like wooow

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 7 месяцев назад +1

    Hahahjja mhehe romantic❤

  • @amarido12
    @amarido12 7 месяцев назад +2

    0:23 seconds mr right amedhihirisha kwamba yeye ni mkulima, nani anaweza kumuacha Tina ??

  • @gastonboaz195
    @gastonboaz195 7 месяцев назад +1

    Naipenda sana emission hii, niko nchi ya nje nataka mke Mtanzania ❤️

  • @yamusahmasoud9107
    @yamusahmasoud9107 7 месяцев назад +2

    Wasukuma wajanja kinoooma tokazamani hiii sindio ziile CHAGULAGA yauswahili

    • @mohamedally4496
      @mohamedally4496 7 месяцев назад

      Siio MUSUKUMA HUYU NI MHEHE fuatilia tokea mwanzo😅😅

    • @yamusahmasoud9107
      @yamusahmasoud9107 7 месяцев назад

      @@mohamedally4496 unaijua CHAGULAGA ww uliza kandayaziwa

  • @AnnethLwila
    @AnnethLwila 3 месяца назад

    Jaman nmeipenda hii couple

  • @konde_gang_familly.5107
    @konde_gang_familly.5107 7 месяцев назад +1

    Ungemvuwa,miwanii,machoo,yamooo

  • @KhadijaKalikawe
    @KhadijaKalikawe Месяц назад

    Waoooo❤

  • @frankkabera3106
    @frankkabera3106 7 месяцев назад

    Jamaa Anafit sana ktk field yake nje ya mapenzi, dah!

  • @elinekileo6229
    @elinekileo6229 5 месяцев назад

    Mimi mwenyewe nilitamani awe huyo mdada

  • @Juliethallann-ul1si
    @Juliethallann-ul1si 7 месяцев назад +1

    Bonge la gentlemen

  • @user-lg9om6li4t
    @user-lg9om6li4t 5 месяцев назад

    Yup sawa kwa usahii wako

  • @justinambrose3577
    @justinambrose3577 7 месяцев назад +2

    This is the best Mr Right show tangia inaanza 🎉❤

  • @EmmyMbore-yv8cb
    @EmmyMbore-yv8cb 6 месяцев назад

    Walivyobaki wawili huyo mwenye makalio makubwa alijiamin sanaaaa😂😂😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 7 месяцев назад +4

    Nyege tu

  • @FarajaFrance
    @FarajaFrance 4 месяца назад

    Waooo❤️

  • @japhetmichael1
    @japhetmichael1 6 месяцев назад

    ”Na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.“
    ‭‭Isaya‬ ‭4‬:‭1‬ ‭RSUVDC‬‬
    Hizi ni Siku zilizotabiliwa Mume ama mke hatafutwi kwa njia Hii
    Huu ni ukahaba Kama ukahaba mwingine sema hapa umeboreshwa tu na kuwekwa hadharani .

  • @user-qv7qv5rt7k
    @user-qv7qv5rt7k 7 месяцев назад

    Mmeendana sana et❤

  • @stephenmutinda9656
    @stephenmutinda9656 3 месяца назад

    Huyu kaka ameweza

  • @DJ_JERE_255
    @DJ_JERE_255 7 месяцев назад

    One love ST BONGO TV

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 7 месяцев назад

    Couple hii imependezaaaaa nimeipenda sanaa

  • @user-of2qu1tm4u
    @user-of2qu1tm4u 4 месяца назад

    Hahahaha jamaaaa kapow san ila eliza anagundu jaman

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 4 месяца назад

    Jamani kweli kipindi sawa ila tiwe tunashuhudia naharusi zao sio wanaenda kichezeanatu

  • @WIBABALA
    @WIBABALA 6 месяцев назад

    Enyewe jama akachaguwa huyu naye mrembo kweli❤

  • @JamesNyaisa-jr7gz
    @JamesNyaisa-jr7gz 4 месяца назад

    Hahahaha ❤wow

  • @hawababy120
    @hawababy120 7 месяцев назад

    Mashaallah wanaendana👌🔥🔥🇧🇮🥰🥰

  • @MaryCharles-yy6cg
    @MaryCharles-yy6cg 5 месяцев назад

    Jaman elizabeth pole sana sema dada una mdomo sana yani unaongea kuliko wenzako angalia usije ukazeekea apo

  • @user-ch1ih6os6l
    @user-ch1ih6os6l 6 месяцев назад

    Wiki kesho na mm nakuja hp mjengon dah but sielew maelekezo mpk back hapo

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 3 месяца назад

    Mmefanya vizur kumshusha maana ameongea rude Kwa ofisi ynu Bora alivyoaaga pambano😂

  • @user-el1iv2vy3c
    @user-el1iv2vy3c 6 месяцев назад

    Naitwa madishi wa madishi nafatilia sana MR RIGHIT

  • @Felister330
    @Felister330 7 месяцев назад

    Amazing couple

  • @ednakaena5771
    @ednakaena5771 6 месяцев назад

    Nice couple

  • @nadiamugisha2913
    @nadiamugisha2913 7 месяцев назад +1

    Wanaendana San nimeipenda

  • @SAROSEINVESTMENT-ds4um
    @SAROSEINVESTMENT-ds4um 6 месяцев назад

    Umeambiwa umkumbatie kaka acha uboya🤣🤣🤣🤣 unaniangushaa

  • @Abdumfaume
    @Abdumfaume 7 месяцев назад +2

    Ritah ndo alikuwa Golden Girl..

  • @KisetiClément-e8h
    @KisetiClément-e8h Месяц назад

    Kama eliza ana jioonaga murembo leo kime muwakiya

  • @GladysMbombo-ri5tl
    @GladysMbombo-ri5tl 7 месяцев назад

    😂😂😂😂 golden girl iyo miwani sijapenda aisee😁😁

    • @delvinmoraa4883
      @delvinmoraa4883 6 месяцев назад

      Si hata kasema mwenyewe alimuona kama ako na pasa

  • @ChristinaEvans-ww8ry
    @ChristinaEvans-ww8ry 3 месяца назад

    Ila Gara B

  • @chebetjemmimah1476
    @chebetjemmimah1476 7 месяцев назад

    Eeeeeeiiish love is a beautiful thing ❤

  • @ZuhuraMajuzuu
    @ZuhuraMajuzuu 5 месяцев назад

    Ukimwi nje nje ungewambia wapime jmn mnauwana watanzania kwa watanzania jmn 😢

  • @franksaga3413
    @franksaga3413 6 месяцев назад

    Jamaa apunguze kuangalia waphilipino..😂😂

  • @banguha
    @banguha 6 месяцев назад

    Jmn uyu kaka nyie 😂😂😂😂 wamependeza sana

  • @lisagwandumi
    @lisagwandumi 3 месяца назад

    haaaaaaa ila hii dunia😂😂

  • @user-ts6ky5xp6b
    @user-ts6ky5xp6b 7 месяцев назад

    Honger

  • @lamseyandrea6565
    @lamseyandrea6565 4 месяца назад

    kajitaid kuchaguwa

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 5 месяцев назад

    Tumepoteza shamani ya ndoa

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 Mnyalu ana mbwembwe

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤..#COUPLE...🥰

  • @ondaricyrus8747
    @ondaricyrus8747 2 месяца назад

    Karembo kweli

  • @farajiissa8747
    @farajiissa8747 4 месяца назад

    Sema mwamba anatisha mpaka basi

  • @user-rw1fd6bn5v
    @user-rw1fd6bn5v 5 месяцев назад

    Hiv wanavyochaguana hiv ni kwamba wanaoana kweli

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 7 месяцев назад +3

    Huyu kak ajaj kuchagua moe kaja kuchagua mtu wa kula pesa yake

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 6 месяцев назад

    Hii hali ya wanawake kwenda kujipanga kuchagua mwanaume na baadhi kuachwa kama mitumba naona kama udhalilishwaji!