EX NI KEKI SIO ANDAZI | NIMEMSAMEHE KWANZA KAVAA NGUO YANGU | NARUDIANA NAE
HTML-код
- Опубликовано: 5 янв 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Развлечения
Hii story ni tamu nmerudia mara nne kuitazama🎉❤ Mungu alinde mahusiano yenu. Nawatakia bahati nzuri ya kuingia kwenye Ndoa....
Anita uko vizur. Mungu akubariki. Mkafunge ndoa sasa
Nimeipenda hii for real, from Kenya 🇰🇪
siku zote love haidanganyi no matter what mwanamke ametumika kiasi gani na mabahalia lakini bado guy anashow love kwa kumpa kumbatio unajua kunawakati tunapaswa kuwaruhusu tunao wapenda na wao wakatuona bush royal waende wakakutane na za uso kutoka kwa mabahalia ndo wajifunze thamani ya utu na upendo
Hii ya Tom na Anita nimeipenda 😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉
Anitha sijui mahali umetokea but Kama kweli unataka mchumba hata ulivyo vaa unamanisha kweli unataka mchumba
..mmh jamani nataka nijue kua mr right wakitoka hapo wanaenda kupima ukimwi or
Aya mapenzi nyie 😂...nataka mmoja kama kaka Thomas aIseee haiwezekani Anitha kujutia Thomas anakitu atafika mbali😅
True
no body is perfect tunaishi nakujifunza pia congurations to you Anitha baada yagundua kwamba mwanzo ulikua unajidanganya mungu yupo nawe kakurejesha kwenye penzi halisi
Ata mm Leo nipeni izo likes nijue maana yake maana nmekua wakwanza
Umepata mauwa Yako ndugu
Unajuwa kujitambu mmaisha nikitu kizuri sana . Umefanya vizuri Anita
Anita anajitambua, na mkweli,bongo huwezi kuta msichana mkweli eti kachezewa atajifanya hajawahi liwa😏. Infact nimependa hio reunion yao👏👏👏
Kama nitabahatika kupata contact ya hao watu basi nina gift yao
Strong love and true
Wooow impressive,nice one
Love is beautiful ❤❤
Me napenda show Iko vizuri sana
Uyu Zarish namuona kama muhuni sana ,,ila anisamehe hajatulia ,haonekani kama ni wife matiliooo😅 anapenda kujichetua ,hana pwentii,hana aibuu mnisamehe huo ndo ukweli
Ata kaa Sana tu apo maneno mengi na asha tumika Sana
Ata kaa Sana tu apo maneno mengi na asha tumika Sana
Umewaza kama mimi ninavomuona ila tumtunzie heshima yake
Hata mm nimekupenda umevaa vzr anitha nguo za heshimà
Tz Mr Right All the way
Wooowwww i love this🎉🎉🎉
Nimeipenda
True love 😘😘
Anitha mwenyewe Bonge la Pisi. ❤🌹
True
Mungu baba wabariki bhana mfunge ndo Salam mpate nawatoto wazuri
Anithaits so.beutuful ...couoke.nzuri.hiyl like
Yani nimeipenda sana
Anita mtunze sana umeshajuwa sasa
Pls thamini ulichokuwa
Nacho hata kama nikidogo
Mungu akujaliyeni mufijembali
Na heshima ndiyo mafanikiyo
Yenu usinzarau mdogo
Kisa ww umemzudi umri
Nishaeleweka nawapenda
Wote🎉
She jamani jah bless
Safi nice couple forever
Good
Mwanaume atabaki kuwa mwanaume maana Anita alitaka kujipandisha lakini alikuja kujua kumbe nivizuri kutii ni bora kuliko zabihu.
Hadi raha jamani
Hadi rahaa jamani❤❤❤
Aya aya dear ex eehhhh🤣🤣😂😂🙈🙈🙈
Kwhyo😂 hapa mlikuja ili kupatanishwa et hhaha au mmeambizana mje mtuzilishie kuwa mlikuwa loved😂😂😂
Backsound ni kubwa mpunguze inaleta karaha
😂😂😂😂 Gara B I like the way you sonya😂😂
Hii Kali sana nimekubali
Je Thomas angependa mtu mwingine ingekuaje
This good back to Ex
Yaani nimeipenda na nusuuu😅🎉🎉🎉🎉❤❤❤
MADAM ANITA LANGUVU LINAONEKANA ZURI TAMU ❤❤😂😂
😂😂😂
Wahaya atunaga shoo mbaya ❤❤
😛😛
Kiukweli nimependa hii stori 🎉❤
Best couple 💑
Ila vijana wa siku hizi kwa kupenda mtelezo hamjambo. Yaani hata mwenza wa maisha yako kumpata mpaka msaidiwe? Ina maana kwenye pitapita zenu huwa hamkutani nao? Hivi kumsimamisha mtu na kumweleza unavyojisikia na kumshawishi, mnaona tabu sana? Hivi mtu wa kukutana naye hapo kwa lisaa unawezaje kujua kama atakufaa maishani mwako? Au ndio staili mpya ya kudanga?
Ni mtindo wa kubeti unijujuta umepata mtu sahihi
Background music ni kubwa sana
Nimependa jamani❤❤❤
Anitha renew again with Thomas, Love Is Good ❤❤
Hii ndo luludiva na nandy wameimba mguu wa mtaalamu kuachika kirahis no😂😂😂❤❤❤🎉🎉
🤣🤣🤣
Gara B kasonya kwa huo unafki wa Zalish 😂😂😂😂😂
Heeeeee uyu mkaka jamani namjua tulipanga kwao😂😂
Mm nimezaa nae😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂@@user-rj4cd7oc4x
😂😂😂😂😂😂😂😂@@user-rj4cd7oc4x
😂😂😂@@user-rj4cd7oc4x
👏👏
The backround music is a little irritating they could show without it
Wana wake bana waongo waongo sana
👏👏👏👏
Tommy ❤❤😂😂😂
Sadfa ilioje❤❤... Penzi la kuenziwa.. heko!!
Hii imeendaa
Hana ex ana wayi😂😂😂
Saiv pepsi wana sponsor 🎉
Allow
Iki kidada kita kaa Sana tu apo kina maneno mengi na zarau za ufala eti sina ex tena kina onekana Kisha tumika Sana
Kwakweli mwanamke nimzuri kanimaliza mm ❤
HII imeenda ❤wagombanao.......😂
Yani kuskia Jamaa Hana Duka Sifa Zamapenzi Ndio Zinaanza duh🤣🤣🤣
Jamaa anamsimamo huyo
ok you
Khaa faudhia mtoto wa viwege 😂😂 huna x
Afu mbona hawa wamenitoa chozi kwa mbali hisia kali sana
Ni maamuzi pia kwa mwanamke kuwa single siyo shida broo huo no mtazamo wako
Na wengne wananyege zao apo bc ndo shida tupu yan😅😅😅😅 kila mtu analeta upwiru😅😅😅
😂😂anavodeka uyo aniths 😅
Izi Ndio Kanuni Za Ndoa Jamani Duniani Kuna Ndoa Za Mungu Na Za Shetani Ndoa Za Mungu Zimebeba Kanuni Zake Bola Ndoa Za Shetani Kokote Kambi Aziitaji Kanuni Zaidi Ya Nyegezi2
Ni hatari sana kumrudiya mke aliye kusaliti before kwani usaliti yapılı itakuwa kubwa zaidi kuliko iyo yakwanza
Eti alichezewa aka tupwa then ume murudi?
Mke kakuzidi myaka miwili huyo nikama mamayako bro hawezi aka kueshimu ama hawezi aka kusikiya ama hawezi aka kutii
Choices have Consequences
Mapenzi 😅😅😅
Dadaa umeniliza jamn😢Mungu awe nany jmn uwii
Waomba like acheni mambo ya kisenge mnakera sana
Huyu mdada asye na ex alihojiwa na mr uk akisema radik yake kamchulia bwana alijitambulisha kams chichi
😢😢😢😢
Naonakama hawajielewi Hawa wadada nahao wanaowatangaza maana m,ume akae miezi 9 anaumwa au?acheni ujinga
Malaya tu nyie iv mtu una akili unaenda kutafuta mke hapo😢
Kipindi Cha hovyo kabisa na wadada wanaoenda hapo hawajitambui
sielewi kabisa mantiki yahiki kipindi naona kama wanahamasisha ngono vile
😢😢😢😢❤❤❤❤❤
Ko mnamaanisha ma x hawatabiliki kupasha polo muda wowote...😂😂😂
Hahahaa huyo dada kwamba hana X kwa maana kwamba hajawahi kutombwa
Mc garab jaman neema yuko wapi❤
Shetani ana nguvu wadada tujitambue mnauzwa bila kujua
Sasa happy eshima itakuwepo
Yaan APA naona kama maigizo Tu hakuna ukwel wowote sasa apo uyo Jamaa aljuaje kama atamkuta Anita hapo 😂😂ili amludie na je kama Anita asngekuwepo angemchagua nan au asnge mchagua mtu yoyote😂 😂
Very fastastic
Naliia sanaaa
Hapo ndo ujidanganye we Anitha ex atakuja😂😂😂😂
Zarishi anamaono kweri yani
Yani unaongea kabisa umetombwa ukachwaa na Bado jaama anakutakaa Mimi siwez kubali Bora uniongopee ukweli wa ivyo staki😮
Kwangu mimi Thomas ni kijana mpuuzi toka mwaka uanze😅😅
Mshenzi sana uyu Tomm
Huyo mwehuuu au kaeleewa vibaya ashazoea michezo ya wakubwa
Drama love bongo!!
Machozi 😢😢😢 yamenitoka
hata mimi nikikutana na pisi yangu ya zamani Suzan Cassian nitarudiana nae tu ...