EX NI KEKI SIO ANDAZI | NIMEMSAMEHE KWANZA KAVAA NGUO YANGU | NARUDIANA NAE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 янв 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 183

  • @godfreyzenda9027
    @godfreyzenda9027 2 месяца назад +5

    Hii story ni tamu nmerudia mara nne kuitazama🎉❤ Mungu alinde mahusiano yenu. Nawatakia bahati nzuri ya kuingia kwenye Ndoa....

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 6 месяцев назад +26

    Anita uko vizur. Mungu akubariki. Mkafunge ndoa sasa

  • @eugenememba3549
    @eugenememba3549 5 месяцев назад +8

    Nimeipenda hii for real, from Kenya 🇰🇪

  • @FrankManko
    @FrankManko 5 месяцев назад +21

    siku zote love haidanganyi no matter what mwanamke ametumika kiasi gani na mabahalia lakini bado guy anashow love kwa kumpa kumbatio unajua kunawakati tunapaswa kuwaruhusu tunao wapenda na wao wakatuona bush royal waende wakakutane na za uso kutoka kwa mabahalia ndo wajifunze thamani ya utu na upendo

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 6 месяцев назад +28

    Hii ya Tom na Anita nimeipenda 😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 5 месяцев назад +6

    Anitha sijui mahali umetokea but Kama kweli unataka mchumba hata ulivyo vaa unamanisha kweli unataka mchumba

  • @MnyandwaMapeyo
    @MnyandwaMapeyo Месяц назад +2

    ..mmh jamani nataka nijue kua mr right wakitoka hapo wanaenda kupima ukimwi or

  • @Joharibashir.193
    @Joharibashir.193 6 месяцев назад +21

    Aya mapenzi nyie 😂...nataka mmoja kama kaka Thomas aIseee haiwezekani Anitha kujutia Thomas anakitu atafika mbali😅

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 5 месяцев назад +8

    no body is perfect tunaishi nakujifunza pia congurations to you Anitha baada yagundua kwamba mwanzo ulikua unajidanganya mungu yupo nawe kakurejesha kwenye penzi halisi

  • @yusufdebwoy8695
    @yusufdebwoy8695 6 месяцев назад +33

    Ata mm Leo nipeni izo likes nijue maana yake maana nmekua wakwanza

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 6 месяцев назад +22

    Unajuwa kujitambu mmaisha nikitu kizuri sana . Umefanya vizuri Anita

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 5 месяцев назад +7

    Anita anajitambua, na mkweli,bongo huwezi kuta msichana mkweli eti kachezewa atajifanya hajawahi liwa😏. Infact nimependa hio reunion yao👏👏👏

  • @samuelshanto9582
    @samuelshanto9582 6 месяцев назад +17

    Kama nitabahatika kupata contact ya hao watu basi nina gift yao

  • @Felister330
    @Felister330 6 месяцев назад +6

    Strong love and true

  • @user-xg2ld2qr7y
    @user-xg2ld2qr7y 6 месяцев назад +3

    Wooow impressive,nice one

  • @SerenakaremboDzombo
    @SerenakaremboDzombo 5 месяцев назад +4

    Love is beautiful ❤❤

  • @user-nc1mw8uz7x
    @user-nc1mw8uz7x 5 месяцев назад +3

    Me napenda show Iko vizuri sana

  • @user-ly2mj6od3v
    @user-ly2mj6od3v 6 месяцев назад +26

    Uyu Zarish namuona kama muhuni sana ,,ila anisamehe hajatulia ,haonekani kama ni wife matiliooo😅 anapenda kujichetua ,hana pwentii,hana aibuu mnisamehe huo ndo ukweli

    • @katolekiki368
      @katolekiki368 5 месяцев назад

      Ata kaa Sana tu apo maneno mengi na asha tumika Sana

    • @katolekiki368
      @katolekiki368 5 месяцев назад

      Ata kaa Sana tu apo maneno mengi na asha tumika Sana

    • @jamesmwita2995
      @jamesmwita2995 4 месяца назад

      Umewaza kama mimi ninavomuona ila tumtunzie heshima yake

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z 5 месяцев назад +4

    Hata mm nimekupenda umevaa vzr anitha nguo za heshimà

  • @mosesmaina1587
    @mosesmaina1587 4 месяца назад +1

    Tz Mr Right All the way

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 5 месяцев назад

    Wooowwww i love this🎉🎉🎉

  • @ZulfaBakary
    @ZulfaBakary 5 месяцев назад +3

    Nimeipenda

  • @zarnacysaidy8381
    @zarnacysaidy8381 5 месяцев назад +1

    True love 😘😘

  • @itNeza
    @itNeza 6 месяцев назад +9

    Anitha mwenyewe Bonge la Pisi. ❤🌹

  • @BennyMusic-fn9qz
    @BennyMusic-fn9qz 2 месяца назад

    Mungu baba wabariki bhana mfunge ndo Salam mpate nawatoto wazuri

  • @AdelinaBruno-mz2rx
    @AdelinaBruno-mz2rx 6 месяцев назад +1

    Anithaits so.beutuful ...couoke.nzuri.hiyl like

  • @Ms05195
    @Ms05195 5 месяцев назад +1

    Yani nimeipenda sana

  • @fredrickkaweu
    @fredrickkaweu Месяц назад

    Anita mtunze sana umeshajuwa sasa
    Pls thamini ulichokuwa
    Nacho hata kama nikidogo
    Mungu akujaliyeni mufijembali
    Na heshima ndiyo mafanikiyo
    Yenu usinzarau mdogo
    Kisa ww umemzudi umri
    Nishaeleweka nawapenda
    Wote🎉

  • @robinson01tz0
    @robinson01tz0 2 месяца назад

    She jamani jah bless

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 3 месяца назад +1

    Safi nice couple forever

  • @EmmanuelImani-ko3ky
    @EmmanuelImani-ko3ky 6 месяцев назад

    Good

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 6 месяцев назад +4

    Mwanaume atabaki kuwa mwanaume maana Anita alitaka kujipandisha lakini alikuja kujua kumbe nivizuri kutii ni bora kuliko zabihu.

  • @jackdizle7468
    @jackdizle7468 6 месяцев назад +2

    Hadi raha jamani

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 6 месяцев назад +4

    Hadi rahaa jamani❤❤❤

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 6 месяцев назад +2

    Aya aya dear ex eehhhh🤣🤣😂😂🙈🙈🙈

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 6 месяцев назад +2

    Kwhyo😂 hapa mlikuja ili kupatanishwa et hhaha au mmeambizana mje mtuzilishie kuwa mlikuwa loved😂😂😂

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 6 месяцев назад +8

    Backsound ni kubwa mpunguze inaleta karaha

  • @samychance
    @samychance 4 месяца назад

    😂😂😂😂 Gara B I like the way you sonya😂😂

  • @sharifu-story4644
    @sharifu-story4644 2 месяца назад

    Hii Kali sana nimekubali

  • @user-gs5cc2hv7y
    @user-gs5cc2hv7y 5 месяцев назад +2

    Je Thomas angependa mtu mwingine ingekuaje

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j 2 месяца назад

    This good back to Ex

  • @kissboyclaassic2379
    @kissboyclaassic2379 5 месяцев назад +1

    Yaani nimeipenda na nusuuu😅🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 месяцев назад +12

    MADAM ANITA LANGUVU LINAONEKANA ZURI TAMU ❤❤😂😂

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 4 месяца назад

    Kiukweli nimependa hii stori 🎉❤

  • @Eddy_0002
    @Eddy_0002 4 месяца назад

    Best couple 💑

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 5 месяцев назад +2

    Ila vijana wa siku hizi kwa kupenda mtelezo hamjambo. Yaani hata mwenza wa maisha yako kumpata mpaka msaidiwe? Ina maana kwenye pitapita zenu huwa hamkutani nao? Hivi kumsimamisha mtu na kumweleza unavyojisikia na kumshawishi, mnaona tabu sana? Hivi mtu wa kukutana naye hapo kwa lisaa unawezaje kujua kama atakufaa maishani mwako? Au ndio staili mpya ya kudanga?

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 6 месяцев назад +3

    Background music ni kubwa sana

  • @annahilonga3550
    @annahilonga3550 Месяц назад

    Nimependa jamani❤❤❤

  • @beatricetuyisenge6819
    @beatricetuyisenge6819 4 месяца назад

    Anitha renew again with Thomas, Love Is Good ❤❤

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 6 месяцев назад +6

    Hii ndo luludiva na nandy wameimba mguu wa mtaalamu kuachika kirahis no😂😂😂❤❤❤🎉🎉

  • @collinsbella8360
    @collinsbella8360 5 месяцев назад +1

    Gara B kasonya kwa huo unafki wa Zalish 😂😂😂😂😂

  • @user-nv8cz8eq2x
    @user-nv8cz8eq2x 5 месяцев назад +5

    Heeeeee uyu mkaka jamani namjua tulipanga kwao😂😂

  • @user-ud6sn5bu7h
    @user-ud6sn5bu7h 5 месяцев назад

    👏👏

  • @N254NK
    @N254NK Месяц назад

    The backround music is a little irritating they could show without it

  • @henricknazarius9180
    @henricknazarius9180 Месяц назад

    Wana wake bana waongo waongo sana

  • @user-md4lb3lz8v
    @user-md4lb3lz8v 5 месяцев назад

    👏👏👏👏

  • @momapessa
    @momapessa 5 месяцев назад +1

    Tommy ❤❤😂😂😂

  • @MoscahLineTv
    @MoscahLineTv 4 месяца назад

    Sadfa ilioje❤❤... Penzi la kuenziwa.. heko!!

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 5 месяцев назад

    Hii imeendaa

  • @janetmwangombe6267
    @janetmwangombe6267 5 месяцев назад +1

    Hana ex ana wayi😂😂😂

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker001 6 месяцев назад

    Saiv pepsi wana sponsor 🎉

  • @Geshilali
    @Geshilali 2 месяца назад

    Allow

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 5 месяцев назад +2

    Iki kidada kita kaa Sana tu apo kina maneno mengi na zarau za ufala eti sina ex tena kina onekana Kisha tumika Sana

  • @ShehaYahya-fm3hx
    @ShehaYahya-fm3hx 3 месяца назад

    Kwakweli mwanamke nimzuri kanimaliza mm ❤

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 5 месяцев назад

    HII imeenda ❤wagombanao.......😂

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f 5 месяцев назад

    Yani kuskia Jamaa Hana Duka Sifa Zamapenzi Ndio Zinaanza duh🤣🤣🤣

  • @khalfanimsangi2350
    @khalfanimsangi2350 6 месяцев назад

    Jamaa anamsimamo huyo

  • @user-cq5iw7qt4k
    @user-cq5iw7qt4k 5 месяцев назад

    ok you

  • @enockmathew5568
    @enockmathew5568 5 месяцев назад +2

    Khaa faudhia mtoto wa viwege 😂😂 huna x

  • @dannyshilla7350
    @dannyshilla7350 6 месяцев назад +4

    Afu mbona hawa wamenitoa chozi kwa mbali hisia kali sana

  • @veronicamwafulilwa2689
    @veronicamwafulilwa2689 5 месяцев назад +1

    Ni maamuzi pia kwa mwanamke kuwa single siyo shida broo huo no mtazamo wako

  • @revokatuskabaka2992
    @revokatuskabaka2992 2 месяца назад

    Na wengne wananyege zao apo bc ndo shida tupu yan😅😅😅😅 kila mtu analeta upwiru😅😅😅

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 5 месяцев назад

    😂😂anavodeka uyo aniths 😅

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 месяцев назад +1

    Izi Ndio Kanuni Za Ndoa Jamani Duniani Kuna Ndoa Za Mungu Na Za Shetani Ndoa Za Mungu Zimebeba Kanuni Zake Bola Ndoa Za Shetani Kokote Kambi Aziitaji Kanuni Zaidi Ya Nyegezi2

  • @alexmusambya5612
    @alexmusambya5612 Месяц назад

    Ni hatari sana kumrudiya mke aliye kusaliti before kwani usaliti yapılı itakuwa kubwa zaidi kuliko iyo yakwanza
    Eti alichezewa aka tupwa then ume murudi?
    Mke kakuzidi myaka miwili huyo nikama mamayako bro hawezi aka kueshimu ama hawezi aka kusikiya ama hawezi aka kutii
    Choices have Consequences

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 5 месяцев назад

    Mapenzi 😅😅😅

  • @NaahZephania
    @NaahZephania 3 месяца назад

    Dadaa umeniliza jamn😢Mungu awe nany jmn uwii

  • @user-qv8qo3ff3q
    @user-qv8qo3ff3q 2 месяца назад

    Waomba like acheni mambo ya kisenge mnakera sana

  • @chrismbena7029
    @chrismbena7029 2 месяца назад

    Huyu mdada asye na ex alihojiwa na mr uk akisema radik yake kamchulia bwana alijitambulisha kams chichi

  • @Fashionanddesign894
    @Fashionanddesign894 4 месяца назад

    😢😢😢😢

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 6 месяцев назад +2

    Naonakama hawajielewi Hawa wadada nahao wanaowatangaza maana m,ume akae miezi 9 anaumwa au?acheni ujinga

  • @user-fv1ig6to8p
    @user-fv1ig6to8p 6 месяцев назад +4

    Malaya tu nyie iv mtu una akili unaenda kutafuta mke hapo😢

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 6 месяцев назад +6

    Kipindi Cha hovyo kabisa na wadada wanaoenda hapo hawajitambui

    • @user-zb2mj5nd5g
      @user-zb2mj5nd5g 5 месяцев назад +1

      sielewi kabisa mantiki yahiki kipindi naona kama wanahamasisha ngono vile

  • @user-gy5lc1fh6o
    @user-gy5lc1fh6o 5 месяцев назад

    😢😢😢😢❤❤❤❤❤

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 5 месяцев назад

    Ko mnamaanisha ma x hawatabiliki kupasha polo muda wowote...😂😂😂

  • @David-if6nk
    @David-if6nk 2 месяца назад

    Hahahaa huyo dada kwamba hana X kwa maana kwamba hajawahi kutombwa

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 5 месяцев назад

    Mc garab jaman neema yuko wapi❤

  • @user-jz2su4co4d
    @user-jz2su4co4d 6 месяцев назад +1

    Shetani ana nguvu wadada tujitambue mnauzwa bila kujua

  • @azizaa109
    @azizaa109 5 месяцев назад

    Sasa happy eshima itakuwepo

  • @user-tc1cd9ds4z
    @user-tc1cd9ds4z 3 месяца назад

    Yaan APA naona kama maigizo Tu hakuna ukwel wowote sasa apo uyo Jamaa aljuaje kama atamkuta Anita hapo 😂😂ili amludie na je kama Anita asngekuwepo angemchagua nan au asnge mchagua mtu yoyote😂 😂

  • @jescarobertkiswaga1580
    @jescarobertkiswaga1580 27 дней назад +1

    Very fastastic

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 4 месяца назад

    Naliia sanaaa

  • @carolbenny3302
    @carolbenny3302 5 месяцев назад

    Hapo ndo ujidanganye we Anitha ex atakuja😂😂😂😂

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i Месяц назад

    Zarishi anamaono kweri yani

  • @SamuMushi-gk7jy
    @SamuMushi-gk7jy Месяц назад

    Yani unaongea kabisa umetombwa ukachwaa na Bado jaama anakutakaa Mimi siwez kubali Bora uniongopee ukweli wa ivyo staki😮

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 5 месяцев назад +1

    Kwangu mimi Thomas ni kijana mpuuzi toka mwaka uanze😅😅

  • @abimaelyabihudi5530
    @abimaelyabihudi5530 6 месяцев назад

    Huyo mwehuuu au kaeleewa vibaya ashazoea michezo ya wakubwa

  • @khamismakame8944
    @khamismakame8944 4 месяца назад

    Drama love bongo!!

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 5 месяцев назад

    Machozi 😢😢😢 yamenitoka

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Месяц назад

    hata mimi nikikutana na pisi yangu ya zamani Suzan Cassian nitarudiana nae tu ...