NATAKA KUISHI NJE YA NCHI | HANIFAI | GLADY AFUKUZWA STEJINI HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 329

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 8 месяцев назад +18

    Kuna mabint mnawapenda wapate maisha ila hawajitambui hata kidogo, hongera kwahekima yenu mme amua kwa haki

  • @aceeofficial255
    @aceeofficial255 8 месяцев назад +12

    Familia zenu tunazijua afu mnaleta mambo ya nchi za njee😂😂🙌🏽 hii nchi ngumu kichiz

  • @saumuminja6929
    @saumuminja6929 8 месяцев назад +14

    Nampenda dada alliya ,..na Lulu diva jamn....

    • @salumuhafidhimtabe
      @salumuhafidhimtabe 8 месяцев назад +2

      Na kuhusu kukaa uchi unaridhika nao piah 😊😊😊

  • @kelvinnjawike1808
    @kelvinnjawike1808 8 месяцев назад +17

    Kalivo kamekonda kama kanatokea sudani😂😂😂😂😂

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa 8 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @kefrenbaraka
      @kefrenbaraka 8 месяцев назад +1

      Kuna jirani zangu ni watu WA sudani sasa nawaangalia nikisoma moment wee kicheko kitaniua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂jamaan😂😂😂

    • @princesshamad7908
      @princesshamad7908 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 8 месяцев назад +41

    Hawa wanawake wengine WAMEKUJA kuuza sula sio kutafuta mwenzao Alafu wanawake wakizingua mara 3 mnamtoa katika program 😂

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 8 месяцев назад +10

    You did the right thing Mc.garab.Bring serious people on stage not hao wapo to get exposure ktk tv.

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 8 месяцев назад +14

    Glad huo uzuri wa kuringa hivyo huna binti mkavu kama kuni unajiona umesoma lkn kichwani yupo empty ila yote ni kujiskia sana so baby girl you belong to the street 😂😂😂

    • @AmonBora-ve5si
      @AmonBora-ve5si Месяц назад

      Ila. Jomon ety you belong to the street 😂😂😂😂😂

  • @OmanState-e6p
    @OmanState-e6p 8 месяцев назад +6

    Sura yenyew hana sasa angekuwa mzur na hata hao wazuri wanaolewa nyoo bora mmesogeza mbele uko akajiuze Mama samia tu ana mume Rais wa nchi heshima ya mwanamke utoke kwa mume hata usome kias gani kama huna mume hueshimiki kaa subir hyo elimu itakuoa

  • @josilinemutugi
    @josilinemutugi 8 месяцев назад +5

    Kwa kweli Mr. Right mzuri
    Ibnus Stephano yeye ndiye type yangu kwa hakika
    Muonekano wake, rangi, kazi
    Anaonekana mwenye kupenda mwanamke, mwanaume mwenye tabia nzuri
    Msomi anakipato chake
    Ila mimi mkenya natamani ningepewa hio fursa
    Ningeenda dating booth na huyu kaka
    Mimi nishampenda alf urefu wake
    Kwa kweli pia mie ni msomi ila naamini naweza mpata huyu kaka
    Sijui kwa kivipi ila naamini

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 8 месяцев назад +11

    Yaani pamoja na nyodo zoooote hizo halafu deal lenyewe la kwenda nje anafuatilia kaka, 😂
    Kwahiyo yeye anaenda kama kifurushi, anataka hard worker wakati yeye hakuna hata anachoingiza kwa siku, anataka hard worker wakati yeye hata fomu tu kutafuta na kujaza na kulipia hawezi. Akili kisoda kabisa.

  • @Zuu673
    @Zuu673 8 месяцев назад +18

    Wadada wengi wanakuja hapo ni wadangaji

  • @diva_20162
    @diva_20162 6 месяцев назад +2

    Hichi nacho chefuu kimekonda kinaleta uzungu hapo wakati chenyewe hakina chcht nyoooooo 😊😊😊😊

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 8 месяцев назад +14

    Glady anakua kichefu chefu nyooo na Hana uzuri moja chefu

  • @DerickRinwa
    @DerickRinwa 8 месяцев назад +7

    Eb mchungezeni hyo Glady ukute hta hyo degree ya sheria ukute hana mana ana mashauzi xana dah😢😢😢😢

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 8 месяцев назад +8

    GaraB you ve done well for kick off this girl out
    So others can see this example
    Well done GaraB ❤❤❤❤

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 8 месяцев назад +12

    Kuna watu wamevurugwa sasa hapo umeenda kufanya nini au kujidhalilisha tu wewe dada huna haya aibu naona mimi😢😢

  • @sophiajason9341
    @sophiajason9341 8 месяцев назад +6

    This man is matured

  • @shabanisalimu7391
    @shabanisalimu7391 2 месяца назад

    Jamaa liko smart sna kichwani

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 8 месяцев назад +8

    Uyo sister mngesee😂 yan kiukwel mwalim wake alipata tabu

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 8 месяцев назад +5

    Jmn huyu mkaka 😢njoo tupendane jmn mm niko single 😢

  • @aud548
    @aud548 8 месяцев назад +10

    Hako Kademu kabovuu ... afu huwa kana kauli za ajabu ajabu...kanapata wapi ujasiri

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 7 месяцев назад

      Aisee mi mwenyewe nashangaa mikono yenyewe kama mapaja ya ndege

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 8 месяцев назад +10

    😂😂😂huyu mashauzi Grady uso mrefu kama ukuta wa shuleee, Si uwende uko ukatafute mabwana uko nje

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 8 месяцев назад +11

    Huyo Glady hajitambui

    • @ashamjeni292
      @ashamjeni292 8 месяцев назад +1

      😂😂kana maringo sana

  • @EmmaMwanyika
    @EmmaMwanyika 8 месяцев назад +5

    NIMEPENDA SANA MAAMUZI YA MAJAJ AND I THINK THIS IS TO HAVE TO BE IT ILI KIPINDI KIWE SERIOUS!!

  • @AlphonceJumanne
    @AlphonceJumanne 8 месяцев назад +6

    Muwe mabadilishano mabinti siyo hao kila siku kama kuna wanaume wanakosa na wanaondoka na wao wawe wanaondoka na kupisha wengine

  • @AslamAlly-b3w
    @AslamAlly-b3w 8 месяцев назад +3

    Demu mwenyewe mbaya

  • @salmahmasoud4333
    @salmahmasoud4333 8 месяцев назад +4

    Aje kwangu huyu mr.Right 🤣😂

  • @isunga1964
    @isunga1964 8 месяцев назад +3

    Yaani familia inafuatilia undone halafu unakwenda kwa Mr right familia yangu watakutoa na fimbo mpaka nyumbani😂😂😂

  • @salumuhafidhimtabe
    @salumuhafidhimtabe 8 месяцев назад +2

    Glady anatengeneza jina lake nimeona comments nyingi zinamzungumzia yeye keep it up sister......😅😂😂😂

  • @josminimsigwa5146
    @josminimsigwa5146 8 месяцев назад +3

    Waschana kama hao jaman wafukuzwe tu waingie tu wengine Wenye malengo ya fasta mmi nawashangaa Sana hao wanaenda kujaji Sana maisha ya juu waachien mabugatii😅

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 8 месяцев назад +7

    Hicho kingereza wanafikiri ndio maisha

    • @gracemlay
      @gracemlay 6 месяцев назад

      Vitoto vya 2000 kuendelea si havijateseka😂😂😂 kwaiyo vinahisi kidhungu ndo Kodi ya fram na pesa ya matumizi😂😂😂😂

  • @JenniferDaudy-nb6my
    @JenniferDaudy-nb6my 8 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂 jamn huyo kaka nimesoma nae makubwa

  • @rhodarichard4494
    @rhodarichard4494 8 месяцев назад +3

    Kijana nae ni hajielewi,,, et "nimekuchagua wew kwakua ni msomi " kiufup hao wote Bado ni watoto

  • @charlesnyamizi9707
    @charlesnyamizi9707 8 месяцев назад +3

    Glad ka jingaa😂😂 bro kitakuramba😂😂

  • @carolinejosephmnyaga8869
    @carolinejosephmnyaga8869 7 месяцев назад

    This man is amazing.aiseee Glady kafeli wapi?
    Na ngosha's wanavyojua kupenda Sasa...

  • @violetnasibumushi5450
    @violetnasibumushi5450 8 месяцев назад +2

    Glady kuna vyenye amekaa..😂anataka aonekana akili kubwaz no bade fit for her excellency😂😂..nje utaenda kweli dada au ni hallucinations 🤭

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx 8 месяцев назад +1

    Kuna wanawake vichwa vigumu na hawaelewi halafu ndio awe mkeo mungu aepushe hii dhahama

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 8 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂😂 safi sana kama unazigua utoleweeeee

    • @ashamjeni292
      @ashamjeni292 8 месяцев назад +2

      😂👌aka ka glady kana maringo sana

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 месяцев назад +1

      @@ashamjeni292 wote wakizengua toka sasa mashauzi meng sura wameuza vyakutosha

    • @gracemlay
      @gracemlay 6 месяцев назад

      Bora katoleeeeewaaaaàaa maaana nlishagamchoka

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 8 месяцев назад +2

    Bora hata huyo kaka alivyomkosa maana atampelekesha sana Dada mbishi sana huyo chefuuu

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 8 месяцев назад +3

    Ndio maana mpaka leo bado yupo hapo huwez kupata Mr right

  • @kakoxspgnewton
    @kakoxspgnewton 8 месяцев назад +1

    Which country is this

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 8 месяцев назад +2

    Mtu mwenyewe mwembamba kama spoku za baiskeli alafu kinariiinga kwendraaaaaa😅

  • @mosesfesto9503
    @mosesfesto9503 8 месяцев назад +2

    Mtoeni glad hapo mbele na wengine kama hao muwe mnawatoa nje

  • @jacobshauri4799
    @jacobshauri4799 7 месяцев назад

    Nlifikiria tanzania kuna wanawake poa. Weuh😂😂 boom glad hovyooooooooooo

  • @MrCommercial2424
    @MrCommercial2424 8 месяцев назад +3

    Wait a minute !!!! Wait a minute!!!... Masters in Whaaaaaaaaaaaaaaat??????!!!!!😅😅😅😅😅😅😅😅😅 It's "Masters in Diplomacy....."😅😅😅😅 Masters in Diploma ndo nini😅😅😅😅😅😅

    • @boashamah3642
      @boashamah3642 8 месяцев назад

      Masters in Diproma chefuuuu
      😂😂😂😂😂

    • @gladyRajab-do5cu
      @gladyRajab-do5cu 8 месяцев назад

      Ujuaji n mwingi sana afu hana lolote uyoo 😂😂😂😂

  • @SaoblackSaoblack
    @SaoblackSaoblack 8 месяцев назад +6

    😢yan Glady yupo kama vipumbu vya panya

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 8 месяцев назад

      Hahaha we jamaaa umrnichekesha sana

    • @SaoblackSaoblack
      @SaoblackSaoblack 8 месяцев назад

      @@FilbertHabashi-zn1qu Mimi Jamaal😂🥲🥲🥹kumbe na fanana na juma Mimi demu bhn

    • @katolekiki368
      @katolekiki368 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂ati nini?

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 8 месяцев назад

      @@SaoblackSaoblack Hahaha sory ulichokiandika ndo kimenichanganya😀😀

    • @SaoblackSaoblack
      @SaoblackSaoblack 8 месяцев назад

      @@katolekiki368 🥲🥹sasa huon mwenzie anaeleza tofaut na yy anaongea maharage

  • @upendoshoo2635
    @upendoshoo2635 8 месяцев назад

    🎉mmmmm huyo glad kumbafuuuu anajisikia Sana na hatokuja kumpata mme mzuri Kama huyoo

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 8 месяцев назад +1

    Daaah kuna wanawake hawako Serious ....!!!!! 😢😢😢 Halafu hakuna aibu kubwa kama hiyo Ety naenda Kusoma 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 8 месяцев назад +2

    Huyo alikuja kuuza sura alikuja kufanya nn kama anamatarajio ya kwenda kusoma hakwendi shule ila amesikiliza profile ya mwamba kusema ex wake alienda shule inje inidhen na yy akasema anakwenda shule hamna mwanafunzi hapo atoke akavagamliwe mitaani huko asituchoshe na kumschosha Mr wetu atapata mwingine inshaallah

  • @dicksongabriel231
    @dicksongabriel231 8 месяцев назад +10

    Glady anatakiwa apewe udogo haumbe mtu wake😂😂

  • @timothmgata3636
    @timothmgata3636 8 месяцев назад +1

    Huyu dada jinga sana

  • @kennedjohn5785
    @kennedjohn5785 8 месяцев назад +1

    Brother Gara B anayezingua mtoeni wasitupotezee muda

  • @AminaMohamed-h7y
    @AminaMohamed-h7y 8 месяцев назад +2

    Huyooo glady hajakuja kutafuta mume kama uza sura anapenda camera kila siku imvute uso

  • @NuruKapinga-nt7wm
    @NuruKapinga-nt7wm Месяц назад

    Me ndo glad😂😂😂😂😂

  • @Enerygozbet
    @Enerygozbet 8 месяцев назад +2

    Grabe uko poa sana

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 8 месяцев назад +2

    Gladi hiyo sura kama nyuma ya nyumba alaf nyodo nyingiiii au babako billgate 😅😅😅.

  • @dnnyChris
    @dnnyChris 8 месяцев назад +2

    Ningependa kujuwa hata mtu yeyote anaruhusiwa kuwa na mpenzi mimi ni mu congo .

  • @JanethNyigodi
    @JanethNyigodi 8 месяцев назад

    Njoo uku❤

  • @unicemwenda3664
    @unicemwenda3664 8 месяцев назад +10

    Glady unakeraaa kusema kweli

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 7 месяцев назад

    Huyu glady angekuwa mzur lkn cheus, kikavu😅😅😅

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 8 месяцев назад +1

    Hawa ni wake au ni vitu gani ? Mambo ya kukomaa na vipato ni mambo gani ? Wao mbona hawaulizwi vipato vyao

  • @redlaismakundi465
    @redlaismakundi465 8 месяцев назад +2

    Yombo angekuwepo anisaidie kumchamba huyu dada,hakuna cha nje ya nchi wala ndani ya nchi,hata mkimuuliza alichosomea huenda ikawa sio hicho😂😂😂

    • @bebebebe5677
      @bebebebe5677 8 месяцев назад

      Yombo msukuma sio😂😂mana Yule anachamba

    • @DeboraNgura
      @DeboraNgura 8 месяцев назад +1

      😂yombo atamuosha kichwan ad unyayo😂😂😂

  • @MaryamaAlly
    @MaryamaAlly 8 месяцев назад

    garab atoke tu👏👏

  • @MallysAlly
    @MallysAlly 7 месяцев назад

    Nimependa sana uamuzi wa majudge especially Garab

  • @JPSERIESArusha
    @JPSERIESArusha 6 месяцев назад

    Glady alikua ana saka mr right wa kumkwapua poket money akiwa nje, 😂😂😂😂

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 8 месяцев назад +7

    Huyo Glad ni masikini hamna cha nje wala nini?

    • @sarazacharia
      @sarazacharia 6 месяцев назад

      😂😂😂 nimecheka 😂😂😂💔

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 8 месяцев назад +1

    Huyo glad wala hajielewi na Wala hastaili kuwa mke bora maana hili ni bomu la Mrusi kabisa 😅😅

  • @NellyHadrah-wy2vh
    @NellyHadrah-wy2vh 4 месяца назад

    Msishangae hata mwalimu wake anapata kaz sana hiyo kichwa ngumu sana haielewi kabisa

  • @rosemerryfaustin1900
    @rosemerryfaustin1900 8 месяцев назад +2

    Kwani huyo glad apo anasubiri nini ni mpumbavu sana

  • @LenashaNgulo
    @LenashaNgulo 7 месяцев назад

    Kalivo sasa ka grady duh😢😢😢😂

  • @vicenttadei9800
    @vicenttadei9800 8 месяцев назад +2

    uyo dada hayuko sawa kwakweli

  • @bossykalewa
    @bossykalewa 8 месяцев назад +3

    Huyo glady hatakaa hawahi pata mwanaume hapo bana,,, mtoeni huyo mbwa hapo

  • @amoniemkisa4425
    @amoniemkisa4425 8 месяцев назад +5

    Uyo glad atakua mhaya😂😂

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 8 месяцев назад

      Umeongea2 au hukuskia mwanzo kabila lake😏😏😏😏kwendaaaa

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 8 месяцев назад +3

    Mnaleta watu hadi kipindi kinaonekana kama vile nivya kupanga... wafukuzwe kabisaaaa

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 8 месяцев назад +1

    Jmn mmetenda hakii sana msinge mtoa hapoo.ningeacha kufuatilia hiki kipindi kabisa mnk grad amefanya masihara ...

  • @josephkigembe-ec4pq
    @josephkigembe-ec4pq 6 месяцев назад +1

    Shape hana, sura hana, kwann mnapoteza muda?? Toa mnyoo huo kwenye podium mlete chuma.

  • @neyzokaunde6039
    @neyzokaunde6039 8 месяцев назад

    I understand mr right very well

  • @gracemlay
    @gracemlay 6 месяцев назад

    Yani huyu Glady bora hata katoka apooooooo😅😅😅😅😅

  • @aika3024
    @aika3024 8 месяцев назад +1

    Mxuuuuuuuuu 😏
    Ndio Msomu uyu Glad😃 bac sitak kuendelea KUSOMA😂

  • @andreayust4757
    @andreayust4757 7 месяцев назад

    Sasa huyo dada anaenda kusoma halafu amekuja kutafuta mchumba 😅daah 😅😅😅 ngachoka

  • @JOHNSONURIO-fv6ud
    @JOHNSONURIO-fv6ud 5 месяцев назад

    Uyo gladi namjuwa hajawah kwenda kanad wala huwo mpango hana, maisha yake yenyew choka mbaya asikuchanganye huyo kaka namfahm vizur tu anazulura tu mtaan anajiuza kweny makasino😗😏

  • @mickyclemence3798
    @mickyclemence3798 8 месяцев назад +1

    Kweli nouma sana uyo mwanamke sjui kabila gan vile ila mm nimempa vyeke hapo hapo Mr right tunaomba tuletee wanawake wanye ubongo sawa co wanatuchosha tu😏😒

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 8 месяцев назад +2

    Grad kichwa kibovu hata waalimu waliomfundisha inawezekana walipata shida sana

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 8 месяцев назад +2

    Iki kigrad akina hakili alafu kinajifanya kimesoma ss hp aelewi nn mtoeni hp

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 8 месяцев назад

      Atakua mhaya huyu😂😂 wahaya msiniattack plz😂😂

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 8 месяцев назад +2

    Atoke HP anazingua kenge huyo

  • @jalxs6745
    @jalxs6745 3 месяца назад

    Sura kma kuma ya kunyolewa alafu waringa chefu😂

  • @klystry1234
    @klystry1234 7 месяцев назад

    Glady kachukia the guy angekubaliwa ila ma judge Ndio mmeharibu moyo wa glady kumkataa mkaka usiziwahi hemko za mwanamke kama hujaanza kwa kumtuliza maana atachukia na kususa na akapoteza ladha ya kitu so sorry for both of them 😢

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 8 месяцев назад

    Dah nimeona aibu ,huyu binti ni hovyoo hajawahi tokea, shida ya wadada wanapenda mwanaume anaegombaniwa na wengi

  • @gaalunangay9500
    @gaalunangay9500 8 месяцев назад +1

    Glad mamayooo zake😂

  • @Jackmushil
    @Jackmushil 8 месяцев назад +5

    yaani huyu Glady ukisikia zero brain ndo hizi. anafuatilia kaka

  • @gracethoya2093
    @gracethoya2093 8 месяцев назад +5

    Sasa si utulie uende shule mr right wa kazi gani kama ata mambo ya shule unafatiliwa bado kama katoto😏😏

    • @AlineArakeli-co7eu
      @AlineArakeli-co7eu 7 месяцев назад

      Ila we dada nimecheka na comment yako ila kweli arudi shule 😂😂😂

    • @gracethoya2093
      @gracethoya2093 7 месяцев назад

      @@AlineArakeli-co7eu akha! anakela mno, ati anataka kuishi nje ya nchi sa si pia uyo Mr right wake akatafute huko anakokwenda ishi nkt!

  • @evansmuthuri7138
    @evansmuthuri7138 7 месяцев назад

    Glady just concentrate on your studies you are still young....then later you will find love.

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 8 месяцев назад +1

    Ako ka grad ndio maana hakana nyama mxieeeeeh

  • @JaneKikoti
    @JaneKikoti 8 месяцев назад +1

    Huyo Glad ana sura mbovu kama yangu tu

  • @OfficialPrisca-b5c
    @OfficialPrisca-b5c 8 месяцев назад +4

    Finally….akija uku Marekani ama Canada weee mbona akili ita nyookaaa 😂😂😂labda apate mzungu …..I swear she doesn’t know what she wants ….. all those excuses….she’ll remember them one day

    • @alecheconradninje6183
      @alecheconradninje6183 8 месяцев назад

      Kwanza awezi fika huko ana akili anafukiri apo Canada au Marekani ni Moshi 😂

  • @JOHNSONURIO-fv6ud
    @JOHNSONURIO-fv6ud 5 месяцев назад

    Muongo hiyo anajiuza kwenye makasino pale posta hata chet cha form four alipata four ya mwishoooo

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 8 месяцев назад +1

    Dem mwenye mbaya af hana ata Tako na anaringa bule , mwembamba

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 8 месяцев назад +1

    Kwo kama alijua anaenda kusoma kwo apo alienda kufanyeje jaman

  • @BiteLyatuu
    @BiteLyatuu 8 месяцев назад +1

    Ajakuw bd

  • @KhadijaTagalalakasonta
    @KhadijaTagalalakasonta 8 месяцев назад +1

    Huyo bint akili hamna Sasa unaenda kusoma hapo kafata nn au ndio kafata apate mtu wa kucheza na hisia zake au kujionesha kuwa anaenda kusoma