EEH ! KUMBE MUUZA JUICE, MI NILIJUA UNATOKEA SERIKALINI, HUNIFAI - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Yani uyo dada kajiona mjanja kumbe 0🙄0 ase serikali ipi unawezakuta mtu ana bichi kichwani
Malaya TU hawaa
Hajielewe😂😂😂😂
@@EmJesho yani unajua Kuna mahali unaweza kwenda ukajifanya mjanja mpaka uka haribu na ndiyo ushamba wako ukaoneka
@@deogratiusyudatadei5658 kabisa
Musenge sana😂
Huyo kijana Mungu anampenda hawezi kumruhusu kuoa huyo dada anaonekana ni mtu wa starehe alijua huyo ni msanii wa bongo. Anataka wasanii
Aaauw that's my brother from another mother watu wa hukooooo milimani lushotoooooooooo
Yani hiii season awo madada wana masharti kama waganga wa kienyeji show kama ngapi mr right wanakwenda wenyew😅😅😅😅
Halafu huyu Zarish anatuchukuliaje wauza juice...😂 Hajui mahesabu ya duka la juice nn
Hao wanawake wa mister right waacheujinga ,kwani muuza juice sianapewa rizki na Allah na mtakua namaisha magumu kama mnawadharau wanaume wenye maisha yakawaida...mabinti wenyewe washamba...mnakauchi ovyo ovyo na kama niwanawake bora msingekuja mnadani
😂😂😂😂
Huyu dada anasumbua sana sidani kama atapata mume bora kwenye maisha yake😂😂😂
Hi ni show sizani kama yupo tayali na ndoa ila anatafuta sponsor
😅😅😅
@massatujeli3158 😂😂😂
Mm ni mwanamke ninaona bora ako na jazi sio mbaya kuliko mtu hana kazi anataka kulelewa
Huyu mlevi mwenye matatu bado yupo..anaonekaa anatabia kama za gygy..mapepo hayo..hiki kipindi ni madada poa ndio wanakuja kitafuta waume
😂😂😂😂jmn
MC Gara B, ningefurahi kupata t-shirt ya Mwamba wao. Nna mtoto ana autism kwenye familia tunamuita Mwamba kwa mambo yake despite him being autistic. Hes 9 years old now😁
Huyu atakuwa mgogo au wa singinda hawa wadada ni wazuri shida ipo kwenye ubongo
Wa Tanzania wenzangu naomba mnisaidie mfanya kazi wa serikalini anatafuta pesa na alie jiajiri anatafuta nn.? mbona hawa wadada wengi wao kama hawa jielewi lakini narudia kusema hawa wadada wengi wao wanauza papa na sio kumtafuta mwanaume wa maisha
Uwakika wanajiuza uko wanakoenda wakishindwana inakuwa kwaeli
Demu bangi sana
Kwel umezingua blichi na serikali 😂😂
Harafu ukienda Kwa wadada unapesa usiseme sema dreva wa boda boda washenzi wanataka mtelemko Mimi nimeuza juice najua faida kubwa kuzidi adi selikalini kaeni mlale washenzi nyie😏😏😏😏
Mshkaj anamkop calis dah ila awa mademh zetu wanazingua awako makin kweny kumpenda mtu
Huyu zarish ni mzima jamani maan sidhan kam Yuko sawa sema nilivyoziona tuuu nguo alizovaa nilijua mgonjwa😂😂😂😂
😂😂
Huyo Dada hajielewi serikali gani naiyo bleach.. labda serikali ya WCB
Why WCB🤣🤣🤣🤣
Huyo dada zari ,hakili kichwani hamnazo
Na nyonyo zake kama zangu😂 chefuuu na sautii inakata kataa nyokoooo
😂😂 sauti ya konyagi hiyo malaya lililokubuhu jibwa koko hilo😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂
Anakunywa 5Gin huyu,ma ambiance,konyagi
Awa ndio madada wa kizimkazi 😂😂
Zarishi ajiangalie kwanza kabla cjacomment,anataka hela au mume
Maashaallah wasambaa
Huyo mdada anaonekana mtamaa na tamaa imemfanya mwehu na mpumbavu . Hastahili hata kua mke wa mtu huyu.😂😂😂
Huyu Demu hapati mwanaume kabsa 😂😂
Huyu dada sisi wajasiliamali ndo wenye peasa na sio hao anaowaona
Uyu dada 😂. Ana Iq ngap..! 😂
Dada wacha ushamba ww ulisoma shule ya wap eti serekalin 😂😂 angalia mtu venye amevaa kichwa ameeka dai wabongo jaman noma sana
😂em nipishe mim na top yako kama kipepeo serikali gani
😂🤣🤣
@@MwemaMwema-z9r 😂😹
Usikute huyuu dada akili zenyewe hanaa 😂😂😂
Yaan nmemzid hata Mimi nilieishia la tatu F
Huyo zerish ni malaya jmn kichwani hamna akili 😂 msiteseke
Mshamba eti serekali titi limemshuka kama mtura za Nairobi 😂😂
😁😁😁
Hahahah umundani mnanipa raha
Ila we dada Akili yako ni matope et serikali
Huyu dada hana akili kabisa nawaambia siyo mzima lakini pia sijui ji vigezo gani vinaangaliwa mpaka mtu kuperkwa hapo aisee
We Acha tu noma
Hapo itakuwa wanapelekwa wanywa konyagi tu,,,
Serekali ya WCB
😂😂😂😂
Serikali which mtu Yuko ivi surely 😅😅😅😅
Watu wa hovyo hapo mmojawapo ni zarish hivi huyu anajikuta yeye nani kima huyu wala hata anogi halafu😂
huyo dada atakesha hapo
Nikadhani ni Pacome Zouzoua😅
Huyu mr right anafanana na pacome sasa ladies wanakwama wapiii
Ila kweli kuna tudada tea hovyo hapo
Mtoeni huyo dada hapo,,, akipata mtu niiteni mbwa
Apate wp na ziwa lake saa 12 hana maajabu
Yan we dd ulikibia hule nahs uko class two. ...ua ao stp... !!!!!wewe hata ute sichukui
Kwan huyo dada yeye anakazi gani
Mama ntilie na duka la nguo😂😂😂
@@Lulucut duh sawa
Serikali Kuu ya Mizuka
Kabisa😅😅😅😅
Ingekuwa vema Mr. Right muwe mnaalika watu waliochukuana kupitia show yenu, ambao wameshakuwa na familia, ili tujue kwamba huwa ndoa zao zinadumu?
PAcome
Na wifi lako na cloptop lko na juma ndala ndefu😏😏😏😏
Tanga rah❣️
Serikari ya makachaaa..saluuutee
Huyo binti akili hana mtumishi wa serikali gani awe hivyo hospital tyu unaenda muona mgonjwa km umevaa suruali huingii ndo uwe mfanyakazi wao uweke bleach😂 sisi walimu t-shirts yenye picha huvai wala maandishi jmn watoe sababu za msingi
Huyo n mpuuzi tu mtoeni apo na anasaut mbaya kama limemeza chura mbaya kama ngozi ya goti pumbav zake
Wanawake wanamna hii mwishoni wanaiba waume wawenzao.
Inawezekana akawa serikalini,ni Siri yake .
Selikali ya nyoko...
Na nyonyo Lake kama langu apa na watt 7😂😅
Wakwanza Mimi
Yan awa wadad Wana penda wanaume wenye pes ndio maana wapo sig
Malaya ao
I swear Zarish😂akili hana.
Bleach serikalini!?
Serikalini.... huyu dada 🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Wee daa umezidi😮😮😮😮
Naisubl apa 🤣
Ushambaa mzigo kun serikal gani mavii malay tu
Malaya kweli hawajielewi elimu ndogo wapo wapo wanarndekeza njaa na kufunuliwa.tamaa mbaya.hao wote hakuna mwanamke
Uyu dada zelo brain wallah
Ao malaya tu mtaishia kujiuza tu unataka mwanaume mwenyewe pesa muda uo hata we msichana kula ni shida mbwa nyie
Zarish usitupange bhana serikali ipi inaruhusu marangi kichwani
Huyu dada kichwani sifuri dah!
Huyo n kati ya wale madada poa waliovunjiwa kule kinondon ndo wanajitafuta saiv matako yake @garaB mtoen huyo
Zarishi anapenda mshara aje huku 😂😂😂
huyu dada pls mtoeni akatafute wanaume Dodoma, hii sio show ya kutafutia umaarufu
Hawa wadada hakuna hata mke wa kuoa hapa
Kwani watu 2ako serikalini ndio wanaingiza mshahara TU uyu zarish anaringa nini uyu anafaa mkenya kichwa ngumu
dada kuku kweli huyu
zarishi anaonekana ni malaya kabisa mavaz gan ayo
Duh sijawahi ona mdada bogus km huyo dharau nyingi kwanza mbona kama mdangaji? Faacccckk sijapenda dharau hafu uko kutafuta mume, mume which, mume my foot, kenge😏
Huyo Dada hana hakili
Mbona mnaonyesha vipande pande?
Nilichogundua huyo dada ni kilaza
Dada bwege kwl huyo 🤨🤨🤨
Yaan juice inafaida we Acha t
Mamayoo
Serikalini kuna vitendo vingi hata mashushu pia ni waserikalini
Mnae uhakika uyu manzi ako na akili????
Dada unalazimisha huyu jamaa awe usalama wa taifa....haya twambie usalama gan atajitaja mbele za watu....wee dada hufai kua mke wala mpenzi coz huna akili
Nilijua pacome nimeshtuka
Ila wewe et pacome😂😂😂
Lishamba hili kifua kimelala
Zarishi nakushauri tu kuhusu kazi usitake mtu mwenyekuajiriwa kuajiriwa niajira za kuhama hama hazieleweki nakwambia majuice yanafaida hujawahi ona mana hapo mtaji ni water tu na mafriji. Ok
Shenzi
Tatizo wanaokuja hapo ni wadangaji mtupu.... Ndo maana hawapati wanaume
Mpumbavu huyu dada
Hawa wapuuzi wanajiuza asee uwezi mkataa mtu kisa kazi yake ****
Labda Serikali ya baba ake
😆😆😆
Yaani Huyo zari ovyo sana 😏😏
Ana akili za kuvukia barabara na kupakia make up tu basi!!
msamehe bureeee wengine wapo kimasirahi zaidi
mimi na wewe tunaenda lini tukatishe na sisi?
Twende 😂
tukafanye maajabu@@dorahkaruma9299
Huyo dada ni gold digger
Zero brain
Ila we dada Akili yako ni matope et serikali
Serikali Kuu ya Mizuka
Haaaaaa kwakwel
Hahaha
😅😅😅
Labda Serikali ya baba ake