EEH ! KUMBE MUUZA JUICE, MI NILIJUA UNATOKEA SERIKALINI, HUNIFAI - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 150

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 9 месяцев назад +24

    Yani uyo dada kajiona mjanja kumbe 0🙄0 ase serikali ipi unawezakuta mtu ana bichi kichwani

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 9 месяцев назад

      Malaya TU hawaa

    • @EmJesho
      @EmJesho 9 месяцев назад

      Hajielewe😂😂😂😂

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 9 месяцев назад +1

      @@EmJesho yani unajua Kuna mahali unaweza kwenda ukajifanya mjanja mpaka uka haribu na ndiyo ushamba wako ukaoneka

    • @EmJesho
      @EmJesho 9 месяцев назад

      @@deogratiusyudatadei5658 kabisa

    • @danielnkholoma3416
      @danielnkholoma3416 9 месяцев назад

      Musenge sana😂

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 7 месяцев назад +1

    Huyo kijana Mungu anampenda hawezi kumruhusu kuoa huyo dada anaonekana ni mtu wa starehe alijua huyo ni msanii wa bongo. Anataka wasanii

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 9 месяцев назад +3

    Aaauw that's my brother from another mother watu wa hukooooo milimani lushotoooooooooo

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 9 месяцев назад +2

    Yani hiii season awo madada wana masharti kama waganga wa kienyeji show kama ngapi mr right wanakwenda wenyew😅😅😅😅

  • @pantaleomcha1795
    @pantaleomcha1795 8 месяцев назад +1

    Halafu huyu Zarish anatuchukuliaje wauza juice...😂 Hajui mahesabu ya duka la juice nn

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 9 месяцев назад +2

    Hao wanawake wa mister right waacheujinga ,kwani muuza juice sianapewa rizki na Allah na mtakua namaisha magumu kama mnawadharau wanaume wenye maisha yakawaida...mabinti wenyewe washamba...mnakauchi ovyo ovyo na kama niwanawake bora msingekuja mnadani

  • @luvuno
    @luvuno 9 месяцев назад +3

    Huyu dada anasumbua sana sidani kama atapata mume bora kwenye maisha yake😂😂😂

    • @massatujeli3158
      @massatujeli3158 9 месяцев назад

      Hi ni show sizani kama yupo tayali na ndoa ila anatafuta sponsor

    • @sarazacharia
      @sarazacharia 9 месяцев назад

      😅😅😅

    • @sarazacharia
      @sarazacharia 9 месяцев назад

      ​@massatujeli3158 😂😂😂

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 9 месяцев назад +3

    Mm ni mwanamke ninaona bora ako na jazi sio mbaya kuliko mtu hana kazi anataka kulelewa

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 9 месяцев назад +4

    Huyu mlevi mwenye matatu bado yupo..anaonekaa anatabia kama za gygy..mapepo hayo..hiki kipindi ni madada poa ndio wanakuja kitafuta waume

  • @JosephLagrone_Autistic
    @JosephLagrone_Autistic 7 месяцев назад

    MC Gara B, ningefurahi kupata t-shirt ya Mwamba wao. Nna mtoto ana autism kwenye familia tunamuita Mwamba kwa mambo yake despite him being autistic. Hes 9 years old now😁

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 9 месяцев назад +1

    Huyu atakuwa mgogo au wa singinda hawa wadada ni wazuri shida ipo kwenye ubongo

  • @pesambilimusic3649
    @pesambilimusic3649 9 месяцев назад +3

    Wa Tanzania wenzangu naomba mnisaidie mfanya kazi wa serikalini anatafuta pesa na alie jiajiri anatafuta nn.? mbona hawa wadada wengi wao kama hawa jielewi lakini narudia kusema hawa wadada wengi wao wanauza papa na sio kumtafuta mwanaume wa maisha

    • @SuzanaMlawa-by2vj
      @SuzanaMlawa-by2vj 4 месяца назад

      Uwakika wanajiuza uko wanakoenda wakishindwana inakuwa kwaeli

  • @karimudadi1323
    @karimudadi1323 3 месяца назад

    Demu bangi sana

  • @jacklinemassanja5256
    @jacklinemassanja5256 8 месяцев назад +1

    Kwel umezingua blichi na serikali 😂😂

  • @AnethJoseph-m5i
    @AnethJoseph-m5i 7 месяцев назад +1

    Harafu ukienda Kwa wadada unapesa usiseme sema dreva wa boda boda washenzi wanataka mtelemko Mimi nimeuza juice najua faida kubwa kuzidi adi selikalini kaeni mlale washenzi nyie😏😏😏😏

  • @ChrisMitindo-g3e
    @ChrisMitindo-g3e 9 месяцев назад +2

    Mshkaj anamkop calis dah ila awa mademh zetu wanazingua awako makin kweny kumpenda mtu

  • @saphiamakweta9468
    @saphiamakweta9468 9 месяцев назад +1

    Huyu zarish ni mzima jamani maan sidhan kam Yuko sawa sema nilivyoziona tuuu nguo alizovaa nilijua mgonjwa😂😂😂😂

  • @Paul-nl3wd
    @Paul-nl3wd 9 месяцев назад +1

    Huyo Dada hajielewi serikali gani naiyo bleach.. labda serikali ya WCB

  • @DativaAnaclet-mw4gf
    @DativaAnaclet-mw4gf 9 месяцев назад +1

    Huyo dada zari ,hakili kichwani hamnazo

  • @Zarrahmauwa
    @Zarrahmauwa 9 месяцев назад +2

    Na nyonyo zake kama zangu😂 chefuuu na sautii inakata kataa nyokoooo

    • @eliamwanamayo3596
      @eliamwanamayo3596 9 месяцев назад

      😂😂 sauti ya konyagi hiyo malaya lililokubuhu jibwa koko hilo😂😂😂

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 9 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 8 месяцев назад

      Anakunywa 5Gin huyu,ma ambiance,konyagi

  • @AshirafuAthumani-t9n
    @AshirafuAthumani-t9n 8 месяцев назад +1

    Awa ndio madada wa kizimkazi 😂😂

  • @LillianNyaboke-kg3ee
    @LillianNyaboke-kg3ee 8 месяцев назад

    Zarishi ajiangalie kwanza kabla cjacomment,anataka hela au mume

  • @AyushSaid
    @AyushSaid 6 месяцев назад

    Maashaallah wasambaa

  • @OmarHamisi-p1p
    @OmarHamisi-p1p 8 месяцев назад

    Huyo mdada anaonekana mtamaa na tamaa imemfanya mwehu na mpumbavu . Hastahili hata kua mke wa mtu huyu.😂😂😂

  • @gasperrobert7036
    @gasperrobert7036 7 месяцев назад

    Huyu Demu hapati mwanaume kabsa 😂😂

  • @theopisterchalle7059
    @theopisterchalle7059 17 дней назад

    Huyu dada sisi wajasiliamali ndo wenye peasa na sio hao anaowaona

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 9 месяцев назад +1

    Uyu dada 😂. Ana Iq ngap..! 😂

  • @BrendarMasha
    @BrendarMasha 9 месяцев назад

    Dada wacha ushamba ww ulisoma shule ya wap eti serekalin 😂😂 angalia mtu venye amevaa kichwa ameeka dai wabongo jaman noma sana

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 9 месяцев назад +2

    😂em nipishe mim na top yako kama kipepeo serikali gani

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa4538 9 месяцев назад +1

    Usikute huyuu dada akili zenyewe hanaa 😂😂😂

    • @rhodarichard4494
      @rhodarichard4494 9 месяцев назад

      Yaan nmemzid hata Mimi nilieishia la tatu F

  • @bilaliomary8555
    @bilaliomary8555 6 месяцев назад

    Huyo zerish ni malaya jmn kichwani hamna akili 😂 msiteseke

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 9 месяцев назад +1

    Mshamba eti serekali titi limemshuka kama mtura za Nairobi 😂😂

  • @RashyDirector
    @RashyDirector 9 месяцев назад +1

    Ila we dada Akili yako ni matope et serikali

  • @kenedysamwel9863
    @kenedysamwel9863 9 месяцев назад +2

    Huyu dada hana akili kabisa nawaambia siyo mzima lakini pia sijui ji vigezo gani vinaangaliwa mpaka mtu kuperkwa hapo aisee

    • @EmJesho
      @EmJesho 9 месяцев назад

      We Acha tu noma

    • @rhodarichard4494
      @rhodarichard4494 9 месяцев назад

      Hapo itakuwa wanapelekwa wanywa konyagi tu,,,

  • @swedigatogato5196
    @swedigatogato5196 9 месяцев назад +3

    Serekali ya WCB

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 8 месяцев назад

    Serikali which mtu Yuko ivi surely 😅😅😅😅

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 9 месяцев назад

    Watu wa hovyo hapo mmojawapo ni zarish hivi huyu anajikuta yeye nani kima huyu wala hata anogi halafu😂

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks4312 6 месяцев назад

    huyo dada atakesha hapo

  • @yusuphmbandu7317
    @yusuphmbandu7317 9 месяцев назад +1

    Nikadhani ni Pacome Zouzoua😅

  • @GodlyPaschal-yv8gv
    @GodlyPaschal-yv8gv 9 месяцев назад

    Huyu mr right anafanana na pacome sasa ladies wanakwama wapiii

  • @ZAMB334
    @ZAMB334 9 месяцев назад +1

    Ila kweli kuna tudada tea hovyo hapo

  • @bossykalewa
    @bossykalewa 9 месяцев назад +2

    Mtoeni huyo dada hapo,,, akipata mtu niiteni mbwa

  • @FatmaHamisi-b6d
    @FatmaHamisi-b6d 9 месяцев назад

    Yan we dd ulikibia hule nahs uko class two. ...ua ao stp... !!!!!wewe hata ute sichukui

  • @Immahjr
    @Immahjr 9 месяцев назад +2

    Kwan huyo dada yeye anakazi gani

    • @Lulucut
      @Lulucut 7 месяцев назад

      Mama ntilie na duka la nguo😂😂😂

    • @Immahjr
      @Immahjr 7 месяцев назад

      @@Lulucut duh sawa

  • @montanaprime
    @montanaprime 9 месяцев назад +2

    Serikali Kuu ya Mizuka

    • @EmJesho
      @EmJesho 9 месяцев назад +1

      Kabisa😅😅😅😅

  • @pastorandersonleonidas5393
    @pastorandersonleonidas5393 9 месяцев назад

    Ingekuwa vema Mr. Right muwe mnaalika watu waliochukuana kupitia show yenu, ambao wameshakuwa na familia, ili tujue kwamba huwa ndoa zao zinadumu?

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 6 месяцев назад

    PAcome

  • @juliethkatusime3844
    @juliethkatusime3844 9 месяцев назад

    Na wifi lako na cloptop lko na juma ndala ndefu😏😏😏😏

  • @AishaZubery-dm8vv
    @AishaZubery-dm8vv 7 месяцев назад

    Tanga rah❣️

  • @DeboraNgura
    @DeboraNgura 9 месяцев назад

    Serikari ya makachaaa..saluuutee

  • @ombeniismail1140
    @ombeniismail1140 9 месяцев назад

    Huyo binti akili hana mtumishi wa serikali gani awe hivyo hospital tyu unaenda muona mgonjwa km umevaa suruali huingii ndo uwe mfanyakazi wao uweke bleach😂 sisi walimu t-shirts yenye picha huvai wala maandishi jmn watoe sababu za msingi

  • @sankarama8320
    @sankarama8320 9 месяцев назад

    Huyo n mpuuzi tu mtoeni apo na anasaut mbaya kama limemeza chura mbaya kama ngozi ya goti pumbav zake

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 8 месяцев назад

    Wanawake wanamna hii mwishoni wanaiba waume wawenzao.

  • @malakisilas6523
    @malakisilas6523 8 месяцев назад

    Inawezekana akawa serikalini,ni Siri yake .

  • @FadhilTave-nx5xo
    @FadhilTave-nx5xo 9 месяцев назад +1

    Selikali ya nyoko...

  • @abbyernest8786
    @abbyernest8786 9 месяцев назад

    Na nyonyo Lake kama langu apa na watt 7😂😅

  • @immatheboy2831
    @immatheboy2831 9 месяцев назад +1

    Wakwanza Mimi

  • @HappyDaudi-c4m
    @HappyDaudi-c4m 9 месяцев назад +1

    Yan awa wadad Wana penda wanaume wenye pes ndio maana wapo sig

  • @HildaDogani
    @HildaDogani 8 месяцев назад

    I swear Zarish😂akili hana.
    Bleach serikalini!?

  • @colethakillenga1136
    @colethakillenga1136 9 месяцев назад

    Serikalini.... huyu dada 🤭🤭🤭🤭🤭🤭

  • @MaryamMaryam-r5p
    @MaryamMaryam-r5p 7 месяцев назад

    Wee daa umezidi😮😮😮😮

  • @immatheboy2831
    @immatheboy2831 9 месяцев назад +1

    Naisubl apa 🤣

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 8 месяцев назад

    Ushambaa mzigo kun serikal gani mavii malay tu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 9 месяцев назад

    Malaya kweli hawajielewi elimu ndogo wapo wapo wanarndekeza njaa na kufunuliwa.tamaa mbaya.hao wote hakuna mwanamke

  • @josephmlimbila5831
    @josephmlimbila5831 9 месяцев назад

    Uyu dada zelo brain wallah

  • @magerielia
    @magerielia 9 месяцев назад

    Ao malaya tu mtaishia kujiuza tu unataka mwanaume mwenyewe pesa muda uo hata we msichana kula ni shida mbwa nyie

  • @justinambrose3577
    @justinambrose3577 9 месяцев назад

    Zarish usitupange bhana serikali ipi inaruhusu marangi kichwani

  • @sophiasimule2182
    @sophiasimule2182 9 месяцев назад

    Huyu dada kichwani sifuri dah!

  • @sankarama8320
    @sankarama8320 9 месяцев назад

    Huyo n kati ya wale madada poa waliovunjiwa kule kinondon ndo wanajitafuta saiv matako yake @garaB mtoen huyo

  • @husseinabubakari3037
    @husseinabubakari3037 9 месяцев назад

    Zarishi anapenda mshara aje huku 😂😂😂

  • @lasudnuru4982
    @lasudnuru4982 9 месяцев назад

    huyu dada pls mtoeni akatafute wanaume Dodoma, hii sio show ya kutafutia umaarufu

  • @joachimbaldwin8511
    @joachimbaldwin8511 8 месяцев назад

    Hawa wadada hakuna hata mke wa kuoa hapa

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 9 месяцев назад

    Kwani watu 2ako serikalini ndio wanaingiza mshahara TU uyu zarish anaringa nini uyu anafaa mkenya kichwa ngumu

  • @andreamtafya3989
    @andreamtafya3989 9 месяцев назад

    dada kuku kweli huyu

  • @FredrickDaudy-sb3cz
    @FredrickDaudy-sb3cz 9 месяцев назад

    zarishi anaonekana ni malaya kabisa mavaz gan ayo

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 9 месяцев назад

    Duh sijawahi ona mdada bogus km huyo dharau nyingi kwanza mbona kama mdangaji? Faacccckk sijapenda dharau hafu uko kutafuta mume, mume which, mume my foot, kenge😏

  • @supersafari6548
    @supersafari6548 9 месяцев назад

    Huyo Dada hana hakili

  • @hafsamohammed3835
    @hafsamohammed3835 9 месяцев назад

    Mbona mnaonyesha vipande pande?

  • @salscommunication1910
    @salscommunication1910 9 месяцев назад

    Nilichogundua huyo dada ni kilaza

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 9 месяцев назад

    Dada bwege kwl huyo 🤨🤨🤨

  • @SiaSam-pi9zl
    @SiaSam-pi9zl 9 месяцев назад

    Yaan juice inafaida we Acha t

  • @gaalunangay9500
    @gaalunangay9500 9 месяцев назад

    Mamayoo

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 9 месяцев назад

    Serikalini kuna vitendo vingi hata mashushu pia ni waserikalini

  • @rickierunyota3613
    @rickierunyota3613 9 месяцев назад

    Mnae uhakika uyu manzi ako na akili????

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 9 месяцев назад

    Dada unalazimisha huyu jamaa awe usalama wa taifa....haya twambie usalama gan atajitaja mbele za watu....wee dada hufai kua mke wala mpenzi coz huna akili

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 9 месяцев назад +1

    Nilijua pacome nimeshtuka

    • @Aminakinyoa
      @Aminakinyoa 9 месяцев назад

      Ila wewe et pacome😂😂😂

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 9 месяцев назад

    Lishamba hili kifua kimelala

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 9 месяцев назад

    Zarishi nakushauri tu kuhusu kazi usitake mtu mwenyekuajiriwa kuajiriwa niajira za kuhama hama hazieleweki nakwambia majuice yanafaida hujawahi ona mana hapo mtaji ni water tu na mafriji. Ok

  • @nanajoseph2356
    @nanajoseph2356 9 месяцев назад

    Shenzi

  • @-vu2cs
    @-vu2cs 9 месяцев назад

    Tatizo wanaokuja hapo ni wadangaji mtupu.... Ndo maana hawapati wanaume

  • @obbyentertainment4303
    @obbyentertainment4303 8 месяцев назад

    Mpumbavu huyu dada

  • @josephmlimbila5831
    @josephmlimbila5831 9 месяцев назад

    Hawa wapuuzi wanajiuza asee uwezi mkataa mtu kisa kazi yake ****

  • @EmJesho
    @EmJesho 9 месяцев назад

    Labda Serikali ya baba ake

  • @mediatz8537
    @mediatz8537 9 месяцев назад +1

    😆😆😆

  • @dorahkaruma9299
    @dorahkaruma9299 9 месяцев назад

    Yaani Huyo zari ovyo sana 😏😏
    Ana akili za kuvukia barabara na kupakia make up tu basi!!

    • @juniarjr-ed9ke
      @juniarjr-ed9ke 9 месяцев назад

      msamehe bureeee wengine wapo kimasirahi zaidi

    • @juniarjr-ed9ke
      @juniarjr-ed9ke 9 месяцев назад +1

      mimi na wewe tunaenda lini tukatishe na sisi?

    • @dorahkaruma9299
      @dorahkaruma9299 9 месяцев назад

      Twende 😂

    • @juniarjr-ed9ke
      @juniarjr-ed9ke 9 месяцев назад

      tukafanye maajabu@@dorahkaruma9299

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 9 месяцев назад

    Huyo dada ni gold digger

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 9 месяцев назад

    Zero brain

  • @RashyDirector
    @RashyDirector 9 месяцев назад

    Ila we dada Akili yako ni matope et serikali

  • @montanaprime
    @montanaprime 9 месяцев назад +4

    Serikali Kuu ya Mizuka

  • @EmJesho
    @EmJesho 9 месяцев назад

    Labda Serikali ya baba ake