SIJATENGENEZA SHEPU/ SHEPU NI YANGU NIMEZALIWA HIVI NA HAPA NIMEPUNGUA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2021
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 231

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 2 года назад +14

    Mwanzo na mwisho wetu sote ni vumbi tu, cha muhimu sio shepu wala sura, ila mahusiano yako na Mungu alokuumba , wako wapi warembo walotamba na kuwa gumzo , dunia ni mapito tu

  • @nasmaaboubakhary3081
    @nasmaaboubakhary3081 2 года назад +3

    Mashallah watu na mashep yao nakupenda dada nicole

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 2 года назад +18

    Masha allah nakupenda saana dada nicole 😘😍😘😍❤

    • @user-jp9dm2ys4m
      @user-jp9dm2ys4m 3 месяца назад

      Muongo saaan huyu dada anahisi😅😅😅

  • @GRACEEZEKIEL-td5bl
    @GRACEEZEKIEL-td5bl 3 месяца назад +1

    Dada Nicol mm mwenyew Niko irika kihesa nakupenda san

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 3 месяца назад

    Wow umependeza Sana kweli 💖💕💖💕💖💖💕

  • @jacklinemahila3561
    @jacklinemahila3561 2 года назад +6

    Alizema Mimi mweusi Sasa Kawa mweupe jamanii huyu dada kapitiliza 😜😜

  • @maggienjoroge7698
    @maggienjoroge7698 2 года назад +13

    "Ilikua kama mamitto"

  • @sebastianfuluge1540
    @sebastianfuluge1540 2 года назад +2

    Aisee, nakusalimu sana Nicole aka J

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 9 месяцев назад

    Nnikol nakupenda sana yan sijui tutaonana lin jaman😅❤👈👈👈👍👍👍😁😃👏

  • @user-xf9tt5it2q
    @user-xf9tt5it2q 2 месяца назад +2

    alikuwa kanyongonyeaaa kma anautapiamuloo hii ni sajalii😂

  • @antonimateru7088
    @antonimateru7088 2 года назад +6

    daaaah amejikataaa yaaaan amejiyuda esikariot

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 года назад +8

    Nimeshapata jibu hapa amezunguuka jibu ameongeza shepu yake

    • @biashahassan9225
      @biashahassan9225 Год назад

      Yeah amesema alipunguza mwil so imamaana aliongeza shape

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 2 года назад +16

    Mtangazaji Wa mwisho nimekupenda kwakweli 😂😀😀ulivyo mkazania aongee ukweli

  • @ednambata9503
    @ednambata9503 2 года назад +21

    Piga kelele kwa wahehe wote. Nikole anawakilisha wahehe

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 года назад +2

    hilo tako ukiliona unajua sio natural . hebu ona hiyo picha tako limekuwa duara km mpira umegaiwa nusu huku na huku tako la nature linaonesha kushuka hapo muonekano wako km manyonyo badala yakuwa matako .

  • @ruthkasumba7739
    @ruthkasumba7739 Год назад +1

    I like her to the moon nikole🥰

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 года назад

    Nice

  • @massoudjr6146
    @massoudjr6146 2 года назад +3

    Analiwa Uyoooo

  • @ben.breaker
    @ben.breaker 2 года назад +1

    ruclips.net/video/cTi4vOt4Wys/видео.html
    FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🔥🔥🐉🐉

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 2 года назад +1

    🥰

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 года назад +2

    Simu za zamani

  • @massoudjr6146
    @massoudjr6146 2 года назад +2

    Nicole Bwana

  • @shakiraissa1170
    @shakiraissa1170 2 года назад +1

    Jumaaaaa eti mmmh

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 года назад +13

    Wee usituongopee Nicol khaaa umetengeneza vtu vingiii hpo mpk mbavu ukachomoa moja na Huku moja maziwa sauti mdomo matako vyote sajari

    • @saram3530
      @saram3530 2 года назад

      Hahahahaaa

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 2 года назад

      🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😩😩😩 Ety Sajari

    • @adamsaga6700
      @adamsaga6700 2 года назад

      Hahahahaaa

    • @user-wv5pe1xv5h
      @user-wv5pe1xv5h 4 месяца назад

      Jamni nimecheka mno

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 3 месяца назад +2

      Mpaka mbavu kumbe zinachomolewa😂😂😂😂😂😂

  • @othmankhamis4393
    @othmankhamis4393 2 года назад +3

    Mm siwez kataa Bali anavaa Va mbano tu but ...

  • @antoninakwekwe3853
    @antoninakwekwe3853 2 года назад +6

    Mm hupenda huyu dada haki

  • @ChogoInnocent
    @ChogoInnocent 26 дней назад

    Mmh hay bhan

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 2 года назад +4

    Anacheka vuzuri maskini ya mungu

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 2 года назад +4

    Weye mjng sio ukubali tuu

  • @threed1920
    @threed1920 2 года назад +5

    SAuti sasa

  • @mwezimaystorr4034
    @mwezimaystorr4034 2 года назад

    Saw

  • @princessqueen3583
    @princessqueen3583 2 года назад +1

    Kwa

  • @christinasilungwe3543
    @christinasilungwe3543 2 года назад +1

    Miaka 28 mmmhh...!

  • @antelimangonyani6760
    @antelimangonyani6760 2 года назад +2

    Mbona kwenye Michele na mpunga hakuwa hivyo

  • @hapinesphilimon8127
    @hapinesphilimon8127 2 года назад +1

    Mmmm nikole

  • @afyayangutime8738
    @afyayangutime8738 2 года назад +1

    HABARI MIMI NI MTAALAM WA AFYA NAWASAIDIWA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZA TEZI DUME

  • @user-oj1op2xf6x
    @user-oj1op2xf6x 3 месяца назад

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 2 года назад +6

    Hapo tyr mmempa airtime hakunaga,nani atajua Nicol alikuwepo mule bila kuangalia upya

    • @aminamgaya7511
      @aminamgaya7511 2 года назад

      Kwa kweli hata mimi narudi kuitazama upya

    • @aggreyvincent2855
      @aggreyvincent2855 2 года назад

      @@aminamgaya7511 Me nimeangalia mara mbili ila nimeshindwa kumgundua Nicole kwenye hiyo video

    • @bintabdallahjuma3331
      @bintabdallahjuma3331 2 года назад +1

      Kwakweli imenifanya nirudie Tena kuiangalia hakunaga

    • @malmavoice8989
      @malmavoice8989 2 года назад +1

      Umemuona kweli,mbona mm nimecheck sijamuona.
      Lkn haipo ktk account ya Suma Lee ndo shida hyo tyr

  • @vivifaustine8855
    @vivifaustine8855 2 года назад +7

    mh Nicole kumbe ndo yule wa akunaga

    • @sophiajamaly3708
      @sophiajamaly3708 2 года назад

      Weeeeeeee 😲😲😲ndo huyoooooooo

    • @vivifaustine8855
      @vivifaustine8855 2 года назад

      ndio

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 2 года назад +1

      Na meno kaweka rangi nyeweupe demu anatengeneza pesaaaaa🔥🔥🔥🥁🥁🎺🎺

    • @mishikikoti2948
      @mishikikoti2948 2 года назад

      Akunaga yle yule ambae ni video qeen au alikua mchezaji ebu niambieni

  • @janethsamwel1494
    @janethsamwel1494 2 года назад +16

    Aache kutu danganye umejiongezea

  • @alimashabani2252
    @alimashabani2252 2 года назад

    Yani maziwa makubwa matako makubwa ata hajaka vizur sauti yake tunzuri ila kamuiga orpa

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 2 года назад +37

    Mtoto shape shape ni mzuri anatamanisha
    Lkn wanawake kama hawa wavivu sana kitandani....

    • @ernestsebai737
      @ernestsebai737 2 года назад

      Kweli kabisa

    • @ramadhanmahongole5663
      @ramadhanmahongole5663 2 года назад +10

      kazi yako si kukojoa kwani tatizo nini??

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 2 года назад

      Na hivyo wewe mwenyewe mchaga😂😂😂😂kiruuuuuuu kibo chandede

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 2 года назад +1

      @@ramadhanmahongole5663 kaka epuka ule usemi wa dakika mbili tuu kamaliza
      Hahahaaaa

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 2 года назад +1

      @@blandinamyinga9489 kwani uchaga tatizo Lake nn dada

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 2 года назад +10

    Shape kama shape mama.

  • @mckombamckomba64
    @mckombamckomba64 2 года назад

    Nachekaaaaaa

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 Год назад

    Dah jamani acha uongo jaman

  • @ismailyismailyshakahaji4066
    @ismailyismailyshakahaji4066 2 года назад +1

    kumbe wa kwetu

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 2 года назад +1

    Kwenye miaka 28 hapo

  • @kimaiyoadan396
    @kimaiyoadan396 2 года назад +2

    Mamito😅😅😅😅mnataka vita

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 3 месяца назад

    Kwani watu hawakujui

  • @abigaelsalome6852
    @abigaelsalome6852 Год назад

    Watz mna mambo sa maminto wetu mnamtoa wapi

  • @tinashayo6888
    @tinashayo6888 2 года назад +2

    katengeneza

  • @fgfg7175
    @fgfg7175 2 года назад +1

    Picha za zamani

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 года назад +8

    Ngoja nikaangalie wimbo w akunaga🤣umbea kz

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 2 года назад +12

    Huyu ndio alisema nalima mchele na 😂😂😂

  • @dannybellnixbellnix187
    @dannybellnixbellnix187 2 года назад +1

    Poa sana

  • @ramadhansaid5472
    @ramadhansaid5472 2 года назад +4

    🧢🧢🧢🧢🧢

  • @farhadhassansaid8830
    @farhadhassansaid8830 2 года назад

    Weeee, sio mtu kuzaliwa hivo kama ulizaliwa hivo ulikuaje wakati ulikuwa umezaliwa hebu tujue kuongea lugha uzuri

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 2 года назад +6

    ❤❤❤❤

  • @laurasawe712
    @laurasawe712 2 года назад

    Hawez kukubali ety ajaaongezaa😏 ata wema sepetu alikuwa anasema ndivyo alivyozaliwa Leo hii upo wapi ule mwili wa sepetu wetuuu

  • @mghuna
    @mghuna 2 года назад

    huwezi jua kesho yako

  • @rajabukhamis467
    @rajabukhamis467 Год назад

    Wedada wewe kwaiyo macho yangu pia yananiongopea sawa bana we kataa uwalisia wako kwani sh ngapi kuwa mkeeli bana au unataka ufike mbinguni umechoka nawewe

  • @Neyller996
    @Neyller996 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣ayiiiii comment hiziii ila kafny sili ile kidg ajasem tu ukweli

  • @mohamedmustapha4273
    @mohamedmustapha4273 2 года назад

    Duh

  • @ashatimo4666
    @ashatimo4666 2 года назад

    Wa kulima mchele na mpunga

  • @mbonibaby7060
    @mbonibaby7060 Год назад

    Jamani jamani tunakuomba sumalee uje hapa utueleze ndo yeye ama aio yeye, kama ni hiyo huyu dada mwili mzima ni saggery kuanzia shepu, sura, matiti hadi urefu. Ndugu yake Michael Jackson kabisa huyu

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 года назад

    ujinga mtupu munapenda dunia kuliko Akheir acheni ujinga huo

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily 2 года назад

    Duu jamaa wa kabagalashia umemkomalia nicole hadi anakataa kwao na kujihamishia mkwawa

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Год назад

    Hayo Manyonyo Kama masufulia kaongezea bw

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 3 месяца назад

    Yaani ktk ktk Hana tumbo hakuwa hivyo cm na hiyo shepu

  • @laizerlekisongo1216
    @laizerlekisongo1216 2 года назад +5

    Chawaaaa hizooo

  • @princessqueen3583
    @princessqueen3583 2 года назад +2

    M

  • @bakarifatherb4180
    @bakarifatherb4180 2 года назад +1

    Hiyo mikucha yenyewe niyakubandika, kawa kama jini makata.... Sembuse shepu na weupe, asema ati kazaliwa nao... Mpuzi mbuzi huyu, kunya mavi ya tembe tembe... Akubali tu mwili wote mzima kaubadilisha, nna imani hata sauti pia sio yake

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 2 года назад +4

    Mlima mchele na mpunga uyo

  • @FurahaTesha-ky3mn
    @FurahaTesha-ky3mn Год назад

    Yaani ukitaka kujua mtu kajibadil msikilize hiyo sauti

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +3

    Hahahah hahahahaha hahahahaha bongo sihami

  • @gloriamkude7172
    @gloriamkude7172 2 года назад

    Giuiii

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 2 года назад

    Mnazinguw mtu yoyote anae jiphoto mwili juwa hamna kitu apo

  • @mapitotv6837
    @mapitotv6837 2 года назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 2 года назад

    Ni kutangaza umalaya tuu..

  • @silverman6930
    @silverman6930 2 года назад

    Nalima mpunga na Mchele 🤣🤣🤣🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧

    • @teddylameck21
      @teddylameck21 2 года назад

      Kulima ndio dil wewe acha ushamba

  • @RechoKihombo
    @RechoKihombo 3 месяца назад

    Mambo ya iringa ayo

  • @johnalembi2848
    @johnalembi2848 2 года назад +2

    Natafuta Dem jamani Niko Kenya 🇰🇪 nko na pesa kila ki2 jamani serikali ingilie kati

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 2 года назад +1

    😳😳😳😳😳😳🙃🙃🙃🙃🙃

  • @NewDanielProsperDi-sy9nq
    @NewDanielProsperDi-sy9nq 2 месяца назад

    Matikiti ku dondoka😅

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 4 месяца назад

    Sasa unamuongopea nani wakat Shepu la mchongo Maden Uturuki

  • @TeresiaChrisant
    @TeresiaChrisant 2 месяца назад

    Mbona imepinda😂😂😂

  • @benedictkiilu6552
    @benedictkiilu6552 2 года назад +1

    Wacha urongo. Umeongezea 😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      Tena kaongeza zaidi tena na matiti kaongeza mpaka imetisha zaidi

  • @hashimabdallah673
    @hashimabdallah673 2 года назад +2

    Siku hizi hamna kazi mnaongea vitu havina msaada kwa watanzania ni upumbavu mtupu

  • @milanwazula3910
    @milanwazula3910 2 года назад

    Asinikarishishe nipost picha yake ya kitambo

  • @vampire9464
    @vampire9464 Год назад

    kila kitu feki midemu yetu ya kibongo manywele feki masura feki kujichubua aibuu tupu

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 2 года назад

    Watu wambea dada kaumbwa na nimzuri pia

  • @mckombamckomba64
    @mckombamckomba64 2 года назад +1

    She is lying wallah, tumelala wote deka moja chuoni joyce

  • @joycejackson2519
    @joycejackson2519 2 года назад +2

    Hadi nimetafuta wimbo wa Suma lee

  • @ShomarSalum
    @ShomarSalum 15 дней назад

    Sio kwl

  • @bahatihassan5413
    @bahatihassan5413 2 года назад +6

    Ukubali tuu km umeongeza kila kitu ktk mwili wako

  • @janemapoz6360
    @janemapoz6360 2 года назад

    Singeli inayohit ruclips.net/video/wxfTfu0_S6U/видео.html

  • @carenalphonce5013
    @carenalphonce5013 2 года назад

    Kwan yule dada wa nyimbo ya akunaga ya sumalee ni Nicole

  • @anithaingabir4678
    @anithaingabir4678 2 года назад

    Sasa simutu anakua naanabadirik

  • @umwaminyarwanda2495
    @umwaminyarwanda2495 2 года назад

    Umeubwa vibaya mama

  • @ibrahimrajabu8722
    @ibrahimrajabu8722 2 года назад +2

    Hahahahahah anamuongopea nani

    • @faustadonasian2777
      @faustadonasian2777 2 года назад

      Me miguu yake tuu jamanii. Angejiongeza kote kote

    • @ibrahimrajabu8722
      @ibrahimrajabu8722 2 года назад

      @@faustadonasian2777 ameongeza titi halafu anasema sio feki........

    • @faustadonasian2777
      @faustadonasian2777 2 года назад

      Sasa ukiona kwenye tamthiliya ya huba DSTV mpk unaweza ukacheka mara nyingine. Hilo nyonyo la saa sita me mpk huwa nachoka kabisa.