BADO ANA UJANA MWINGI | NIMEZEEKA APIGA MAGOTI | NAMASHAKA NA UMRI WAKE HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 291

  • @AliceMtinangi
    @AliceMtinangi 7 месяцев назад +136

    Huyo dada kinyago kweli eti macho yake kama ndo yalivyo na ndo yalivyo mbwa aisee weka like hap kam amekukwaza na wew

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 7 месяцев назад +30

    He is so handsome jaman 🙌halafu anaonekana mstaraabu watu hawajielewi awa wadada asee

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 7 месяцев назад +30

    Me macho ndo nimeyapenda wao wanamnanga😂

  • @tawhidaabbasi8584
    @tawhidaabbasi8584 7 месяцев назад +25

    Hili Eliza halijitambui kabisa macho nd yanayomfany mr right kuzid kua handsome

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 7 месяцев назад +22

    Kaka Handsome huyu👄👄🥰🌹🔥🔥🔥

  • @MannySalum
    @MannySalum 7 месяцев назад +24

    Mke mwema hana maneno machafu kama hayo eliza kafika juz tu apa ila maneno yake macha kama naww umeeona maneno yake machafu weka laik ap

  • @aysherkhamis3338
    @aysherkhamis3338 7 месяцев назад +15

    mkaka mzuri Mashaallah❤ na yuko smart sana mpaka kichwan

  • @dausonmethod618
    @dausonmethod618 7 месяцев назад +6

    Tunaomba kuwa tunasikiliza na cv za madada

  • @DanielYusto
    @DanielYusto 7 месяцев назад +32

    Kweli Eliza kuna dalili za kuzeekea hapo. Kiukweli naona Eliza hana bahati na hichi kipindi. Kwanza anachagua sana, pili hajui anachotafuta, mwisho atakuwa na tatizo la kisaikolojia. Kingine, nadhani wapo watu mtaani wanamfuatilia, bahati yake inaweza ikawa mtaani. Asiendelee kujichoresha hapo. Na pia anatakiwa kujua maisha hayapo kama anavyo yatafsiri yeye kwenye ubongo wake. Anatakiwa aamue kishujaa la si hivyo mchagua nazi sana huibukia korona. Gara B, Aliya na Lulu najua mnauzoefu mkubwa na suala la mahusiano, muwe na muda wakukaa na hawa warembo kabla hawajasimama kwenye stage na pia kuwe na muda maalumu wa mtu kusima hapo kwenye stage. Mfano mtu akiingia kwenye stage zaidi ya mara tano na hajafanikiwa, mnatakiwa umuulize maswali kuna shida gani? Maana kuna watu wanatakiwa kusaidiwa kiroho na kisaikolojia pia. 😢😢😢

    • @nzeyimanaabdallah131
      @nzeyimanaabdallah131 7 месяцев назад +1

      Atoke tu hana lolote

    • @EsterMajaliwa-u3b
      @EsterMajaliwa-u3b 7 месяцев назад +1

      ​@@nzeyimanaabdallah131kujichoresha tu huyo Eliza,na anaonekana ni mtu mzima😢

    • @antiakamala
      @antiakamala 7 месяцев назад +1

      Bora aondoke tu la sivyo mwaka utaisha Tena bado yupo😂😂😂

    • @jangwanjaphet9400
      @jangwanjaphet9400 7 месяцев назад +1

      Saafi saana, na shida hata mdada nae nishida, yaan mwanaume yupo hapo anekwmbia Kila kitu, sa macho yanahuckaje apo? Nahis kichwani Kuna majivu tu umo!!.

    • @SuzanaMlawa-by2vj
      @SuzanaMlawa-by2vj 4 месяца назад

      Hakika

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 7 месяцев назад +13

    Eliza Ana hasira Amelkosa dyudyu mda mrefu lazima awe na hasira

  • @magerielia
    @magerielia 7 месяцев назад +11

    Ayo mademu mataila kweli kama uyo elza ndy kashaanza na kuzeeka

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 7 месяцев назад +8

    Kama uyo Eliza anatakiwa tu kushuka apo 😅😅😅😅😅😅 anamaneno sana yaovyo

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 7 месяцев назад +14

    Mtoeni eliza misumbufu sana 😂😂😂😂😂 eti anarembua looh

    • @DanielYusto
      @DanielYusto 7 месяцев назад +1

      Eliza hajui anachotafuta.

    • @Zuuh4286
      @Zuuh4286 7 месяцев назад +1

      @@DanielYusto kwaeli

  • @SweetMoses-b2x
    @SweetMoses-b2x 7 месяцев назад +5

    Kuna wadada wanaringa jmn sas huyo eliza si ataozea hapoo kwanza ana nyodooooo,, jmn she is not serious jmn

  • @tambilainvestment2448
    @tambilainvestment2448 7 месяцев назад +4

    wanaokaa hapo zaidi ya week 3 muwe mnawatimua kama hicho ki eliza ambacho hakijitambui

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 7 месяцев назад +5

    Iki ki Eliza kinajielewa kweli?
    Ovyooo.

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 7 месяцев назад +5

    Mr Right nimekuelewa sana na umejieleza vizuri. Ni sisi wanawake hatujui tunachokitaka bila shaka ndiyo maana tunakuwa nacrush za ovyo na zisizo na kichwa hata miguu.

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 7 месяцев назад +4

    Jamn huyu kaka nyieeeeee kaka angu sema nipo mbali na shida dini mm ni muislam nakuombea upate mke sahihi inshaallah ❤nyie wadada mnaacha husband material alooo😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ kila la khery kaka angu

    • @omarisaidi9128
      @omarisaidi9128 19 дней назад

      @@maryamChumas upo wapi ww ??

    • @omarisaidi9128
      @omarisaidi9128 19 дней назад

      Upo wapi ww ,, mm muislam mwenzako nipo nna shida ya mwenza

  • @salmaabdallah9598
    @salmaabdallah9598 4 месяца назад

    Nimeangalia Mr right nyingi mno ila hii imebamba mnoooo 💯💯💯💯 ila jamani tuseme tu ukweli Eliza etaki mweza yupo apo kwaajili ya kutuinjoi... au anataka ustaa kupitia Mr right ... Au km anataka mtu kweli basi atapata uzeeeni mana anaongea mnoooo mh .....😂😂😂😂

  • @abigaelmosi452
    @abigaelmosi452 7 месяцев назад +7

    This man is so good 👍 and straightforward

  • @JohnJustine-no1zv
    @JohnJustine-no1zv 5 месяцев назад +1

    Hawa wadada hawajutambui ata kidgo

  • @gresramadhan
    @gresramadhan 7 месяцев назад +5

    Eliza na zalish wanaboa , next muwatoe

    • @nzeyimanaabdallah131
      @nzeyimanaabdallah131 7 месяцев назад +1

      Uko real sana

    • @gresramadhan
      @gresramadhan 7 месяцев назад

      Nawachukia coz,wanaharibu lengo la Mr right ,pia wanawapotosha wenzao kuwa mwanaume anayemchagua Miss right lzm awe na pesa . I hate this girl ,she was very stupid . Ukiwaona sura zmewakomaa!! alafu maalifa finyu.

  • @BethiGody
    @BethiGody 7 месяцев назад +3

    Mbona mkaka yupo vzr tu profile zake zote zimenyooka

  • @Joharibashir.193
    @Joharibashir.193 7 месяцев назад +2

    Inshort awa wadada hawajielewi kabisa kaka mpole alafu anajielewa aiseee kubwa Zaidi maokoto yapo 😂khaaa jamani mimwenyewe nimemuelewa et

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 6 месяцев назад

    Hawa mademu ni nyoko....madem wenyew ni masikin alafu wnatakaga tamaa pumbavu zao

  • @DamasiAdam
    @DamasiAdam 3 месяца назад

    Huyu Eliza Bado hatambui nafasi yake kuwa yy n mwanamke TBT zake hwako hvyo

  • @NasmaBanka
    @NasmaBanka 7 месяцев назад +4

    Eliza eti angalia anavo niangalia 😂😂😂😂😂😂

    • @kimberlygitau
      @kimberlygitau 7 месяцев назад

      Hahaha kukiendesha hicho kipind it's very hard izo akili zao

  • @MarryMsulwa
    @MarryMsulwa 6 месяцев назад

    Kwn huyo Eliza hapo anangoja nn jamani hebu mtoeni tumemcnoka watazamaji kiukweli yupo hapo kwa ajili ya kukosoa watuna kukatisha wezake tamaa

  • @BarakaLekasy
    @BarakaLekasy 5 месяцев назад

    Oya mtu wa nguvu gara B hivi mnamuona eliza yupo sawa?mpaka mnampa mda wa kihoji aaah hamuoni yuko conveust

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 6 месяцев назад +1

    Jmn yupo smart mpaka raha kashika na kitambaa chake mwenyewe yan very smart asee

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 7 месяцев назад +3

    Jamani KUWA KWENYE MAHUSIANO NA MTU ALOKUWA NA MTOTO EITHER KIKE AU KIUME NI CHANGAMOTO SANA , SANAAAAA SANAAA

  • @mlasiespe7896
    @mlasiespe7896 7 месяцев назад

    huyo hawezi olewa, anachaguwa wanaume, ahoni miaka yake, muhache amesha zoeya vyawakubwa, muhunja honja huwa awezi pata kitamu.

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 7 месяцев назад

    Mimi nahisi ELIZA ni fake contestant 😅😅😅😅 na ZARISH.

  • @GraceYust-q2b
    @GraceYust-q2b 7 месяцев назад

    Kuna mda tunachagua kukaa kimya kwa hawa wadada sababu wanajikuta watakatifu ni vile tunakua hatujui profile zao huko nyuma

  • @MwacheoHanzada
    @MwacheoHanzada 4 месяца назад

    I'll Eliza una gundu na roho mbaya kill anaekuja kwako mbaya

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 7 месяцев назад

    Eliza mtoeni hapo anawashushia brand yenu 😢 alafu kuna wadada humo naona hata hawana akili timamu wanawasumbua tu

  • @SuzyibrahimkebataKebata
    @SuzyibrahimkebataKebata 4 месяца назад

    Aisee Kuna fala pas fal ndo Hawa wadada wakiongozwa na Eliza huyu kinyago

  • @ZainbZainb-s6f
    @ZainbZainb-s6f 6 месяцев назад

    Eliza ata akipata mwanaume apo ata dumu naye ata kidogo kwanza anajisikia anajiona yeye ndo kila kitu alafu anamdomo sana kuliko maisha yake yani anajiona keki 😏😏

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 7 месяцев назад

    Vidada vya hapo ni wadangaji maana kama huyo ni husband material kabisa na ni age yao kabisa but hawaoni jmn kha

  • @nzeyimanaabdallah131
    @nzeyimanaabdallah131 7 месяцев назад

    Uyo Elisa fukuzeniiiii kasha choka na hata akipata bwana wataachana

  • @CelinCelineort
    @CelinCelineort 7 месяцев назад +2

    yaaani uyuu msengeee ana kejeriii mno mtoeniii jamaniii uwo anapoteza mudaaa tyu mtoeni bn Eliza

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 7 месяцев назад

      Sio binti ni mama mkomavu ya maziwa yamelala km kanyoyesha Watt wa5

  • @AdelamtenjereAdelahope
    @AdelamtenjereAdelahope 4 дня назад

    Huyu Eliza anapepo

  • @EvaresKatoto
    @EvaresKatoto 18 дней назад

    Me nimempenda Bure uyo kaka

  • @PeridaMtweve
    @PeridaMtweve 7 месяцев назад

    Eliza ni mpumbavu sana hajitambui huyo

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 6 месяцев назад

    Sasa ELiza hapo ndio umepaka makeup acha dharau

  • @ramadhaniiddbandola1710
    @ramadhaniiddbandola1710 6 месяцев назад

    Awa wanaume wanaokuja kutafuta wake apa me hua siwaelewi

  • @ElirehemaMbise-zm3pm
    @ElirehemaMbise-zm3pm 7 месяцев назад

    Mtoeni uyo Eliza kwanza mwenyewe amezeeka

  • @AnneFrank-x7v
    @AnneFrank-x7v 6 месяцев назад

    Eliza atoke hapo anazingua Alf amezekaa

  • @ndauka_01
    @ndauka_01 7 месяцев назад

    Nimegundua wanawake wa humu akili hawana kabisaaa

  • @JescaChubwa
    @JescaChubwa 6 месяцев назад

    Yaani adi kina Gara B Wamekuchoka Eliza

  • @MussaNkombanira
    @MussaNkombanira 5 месяцев назад

    Mujinga hyo dada eriza atazekea hapo

  • @EdinaTesha-s7l
    @EdinaTesha-s7l 7 месяцев назад +2

    Yeye mwenywe kashaanza kuzeeka afu anachagua et macho yake aloooh

  • @marthesifa-5803
    @marthesifa-5803 7 месяцев назад +1

    Huyo sijuwi Eliza atafte tu kazi yakufanya yani ajioni kuwa umbri unaenda

  • @Treboreramo
    @Treboreramo 7 месяцев назад +3

    Mbona hii show inaelekea kuitwa “Mr Money “

  • @jayBabakaila9883
    @jayBabakaila9883 7 месяцев назад +1

    Eliza huo msenge mufukuze huo aende kuzehekea nyumbani kwao😮

  • @Mtesi-n2o
    @Mtesi-n2o 6 месяцев назад

    Yaan uyo Eliza anakera 2 kama anataka wenye ela yy ana kazi gani anafanya

  • @NeemaKomba-f1u
    @NeemaKomba-f1u 7 месяцев назад +1

    Hebu Hilo bibi Eliza litoeni kwanza...halijitambui na mashauzi mengii...huyu ni mdangaji asie na bahati!

  • @ILUMINATALUVANGA-hk2hj
    @ILUMINATALUVANGA-hk2hj 7 месяцев назад

    unataka awe na macho makali kama yako ataaibu hayana

  • @MbarakaSuleman
    @MbarakaSuleman 6 месяцев назад

    Wanajiuza Hao madada hawana shida namme..

  • @ZuenaRamadhani
    @ZuenaRamadhani 7 месяцев назад +2

    Wadada wengine apo wamekaa wizi wizi

  • @emnanuelimtui1805
    @emnanuelimtui1805 7 месяцев назад +2

    Awa mademu wana pepo la umaskini so buree 😅😅😅

  • @dausonmethod618
    @dausonmethod618 7 месяцев назад

    Eliza hastairi kuwepo hapo

  • @bossykalewa
    @bossykalewa 7 месяцев назад +2

    Em watoeni hao wadada hapo leteni wengine......kolo haooo

  • @JumanneMwenda-od4xi
    @JumanneMwenda-od4xi 5 месяцев назад

    Huyu Eliza hajapata wa kumuoa

  • @dicksonndire1857
    @dicksonndire1857 7 месяцев назад +1

    please guys , I like this show to be honest , but this season 5 ,it has alot of mix agendas ,in terms of u presenters and single ladies , it like you attack alot , when Mr Right comes in, please adjust , am Dickson Ndire

    • @dicksonndire1857
      @dicksonndire1857 7 месяцев назад

      this thing of love shouldn't be attached with conditions , # 1 Love is Patience, so plz encourage not discourage, some of this singles they have no any better profile of their lives,

  • @LaylaSudu-gz2ig
    @LaylaSudu-gz2ig 7 месяцев назад +1

    Huyu kaka nmzuri sana nyie wadada hamjui kuchangua watu niyie bana mtuhani t

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 7 месяцев назад +1

    Wanawake hawana akili hata kidogo

  • @charlesnyagabona1729
    @charlesnyagabona1729 7 месяцев назад +1

    Huyo demu fala kweli eti anarembua😂😂😂

  • @marthamgaya
    @marthamgaya 6 месяцев назад

    Eliza tayari ni kikongwe

  • @sabrahnibuka1211
    @sabrahnibuka1211 5 месяцев назад

    Litoeni hapo hilo lieriza

  • @Oman-z7j
    @Oman-z7j 6 месяцев назад

    Ningekua hapo ningeondka nae

  • @aysherkhamis3338
    @aysherkhamis3338 7 месяцев назад

    Eliza tumekuchoka

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 7 месяцев назад +1

    hili eliza komwe kubwa halafu baya linabebwa na weupe wa kopo hana lolote likae tu hapo likichoka liondoke linamkosoa muumba kwa alivoumba mja wake

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 7 месяцев назад +3

    Ningekua hapo huyo kaka namchukua mimi 😊

  • @Tanzaniayangu1
    @Tanzaniayangu1 7 месяцев назад

    Ila huyo mke wako kiaz kwel

  • @FredyMwashitete-f6t
    @FredyMwashitete-f6t 7 месяцев назад +1

    Hahahaha ila Eliza mbwa kweri hebu mchunguzeni pengine amekuja hapa kuwapima tu

  • @Oman-z7j
    @Oman-z7j 6 месяцев назад

    Mwambien aje kwangu

  • @RachelMbogolo
    @RachelMbogolo 7 месяцев назад

    Eliza atolewe anaboa Sana

  • @MarthaSimoni-c5m
    @MarthaSimoni-c5m 6 месяцев назад

    Aiseee jmn kaka kma huyu ana appearance,,ana muonekano mzr mstaarab teba kusoma ifm sio parahis niulizen mm😂😂😂😂🙌afu unakosoa macho wadada tujielewe jmn mtu yupo straight hta kwenye maelezo ake anajieleza vzr

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 7 месяцев назад

    Eliza apimwe mkojo

  • @SifaelpeterSichone
    @SifaelpeterSichone 5 месяцев назад

    Kieliz kinajishaua

  • @saraselapion5350
    @saraselapion5350 7 месяцев назад

    Huyo eliza mumfukuze

  • @bigboca315
    @bigboca315 7 месяцев назад +1

    Hao madem wengine hawataki kutoka hapo kwenye Tv muda mwengne muwabadilishe wale wazamani snaa

  • @NusraHozza-qp8yy
    @NusraHozza-qp8yy 7 месяцев назад

    Bibi eliza unakera sana

  • @AlfredyTarimo
    @AlfredyTarimo 7 месяцев назад +1

    Wanazingua sana awo mademu wanajiona viwango wakati chika mbaya

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 7 месяцев назад +1

    Ila Eliza na zalish wameshazeeka na hawana maswali yenye tija watoeni wanatia wenzio nuksi,,kwanza mwanaume anayetaka mwanamke wa kufanya nae maisha hawezi mchagua eliza wala zalish bora hata hawa wengine japo nao wanavaa mno nguo za ajabu,.

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 7 месяцев назад +8

    Hutu mr raight yuko vizuri sana

  • @AntonyMM-tx3yj
    @AntonyMM-tx3yj 5 месяцев назад

    Eliza mshiezi sana

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 7 месяцев назад

    Ss sindo alovyo umbwa

  • @guccij6236
    @guccij6236 7 месяцев назад +2

    Hii movie gani?

  • @mariamitaba3967
    @mariamitaba3967 7 месяцев назад +9

    Nimempenda bure Grayson

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 7 месяцев назад

    Eliza ni kabibi kalicho paka make up

  • @heltrudahbruno2068
    @heltrudahbruno2068 7 месяцев назад +1

    Kaka mzuri huyu 😢😢cjui Nami nije huko

  • @Dastan-l5w
    @Dastan-l5w 2 месяца назад

    Naomba namba

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 7 месяцев назад

    huyo Eliza kwanini msimfukuze inaonekana nanyie mlioandaa hiyo program hamjitambui

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 7 месяцев назад

    Unamjaj mtu macho utadhan unajua kuumba ungejua wenye hayo macho ni romantic kinoma 😂😂Eliza una shida sn

  • @aika3024
    @aika3024 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂 uzuri bila akili ni hatari sana

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 5 месяцев назад

    Eliza....daah😂

  • @hellenjulius7790
    @hellenjulius7790 7 месяцев назад

    We eliza wewe

  • @lightnesslameck1631
    @lightnesslameck1631 7 месяцев назад

    Yaan mm kwa huy at alvoingia bil kusklza profl ake mm nngmuwashia taa mpk mwsho hak😢

    • @ellymwampashe8927
      @ellymwampashe8927 7 месяцев назад

      😅😅😅wewe ndo mimi kabisa yaani kama inawashwa mara mbili ningewasha kabisaaa

    • @lightnesslameck1631
      @lightnesslameck1631 7 месяцев назад

      @@ellymwampashe8927 🤣 woiii