BADO ANA UJANA MWINGI | NIMEZEEKA APIGA MAGOTI | NAMASHAKA NA UMRI WAKE HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Huyo dada kinyago kweli eti macho yake kama ndo yalivyo na ndo yalivyo mbwa aisee weka like hap kam amekukwaza na wew
Yaan huyu Eliza nimeanza kumchukia, mfyuuu.
Eliza ni falaa
Mjinga
Kamezeeka alafu kashamba😂
Huy elza msenge sana
He is so handsome jaman 🙌halafu anaonekana mstaraabu watu hawajielewi awa wadada asee
Me macho ndo nimeyapenda wao wanamnanga😂
😂😂
Hili Eliza halijitambui kabisa macho nd yanayomfany mr right kuzid kua handsome
Yani wamtoe tu Hana akili sawa
Kaka Handsome huyu👄👄🥰🌹🔥🔥🔥
Mke mwema hana maneno machafu kama hayo eliza kafika juz tu apa ila maneno yake macha kama naww umeeona maneno yake machafu weka laik ap
Siwaelew hawa mabinti
mkaka mzuri Mashaallah❤ na yuko smart sana mpaka kichwan
Tunaomba kuwa tunasikiliza na cv za madada
Kweli Eliza kuna dalili za kuzeekea hapo. Kiukweli naona Eliza hana bahati na hichi kipindi. Kwanza anachagua sana, pili hajui anachotafuta, mwisho atakuwa na tatizo la kisaikolojia. Kingine, nadhani wapo watu mtaani wanamfuatilia, bahati yake inaweza ikawa mtaani. Asiendelee kujichoresha hapo. Na pia anatakiwa kujua maisha hayapo kama anavyo yatafsiri yeye kwenye ubongo wake. Anatakiwa aamue kishujaa la si hivyo mchagua nazi sana huibukia korona. Gara B, Aliya na Lulu najua mnauzoefu mkubwa na suala la mahusiano, muwe na muda wakukaa na hawa warembo kabla hawajasimama kwenye stage na pia kuwe na muda maalumu wa mtu kusima hapo kwenye stage. Mfano mtu akiingia kwenye stage zaidi ya mara tano na hajafanikiwa, mnatakiwa umuulize maswali kuna shida gani? Maana kuna watu wanatakiwa kusaidiwa kiroho na kisaikolojia pia. 😢😢😢
Atoke tu hana lolote
@@nzeyimanaabdallah131kujichoresha tu huyo Eliza,na anaonekana ni mtu mzima😢
Bora aondoke tu la sivyo mwaka utaisha Tena bado yupo😂😂😂
Saafi saana, na shida hata mdada nae nishida, yaan mwanaume yupo hapo anekwmbia Kila kitu, sa macho yanahuckaje apo? Nahis kichwani Kuna majivu tu umo!!.
Hakika
Eliza Ana hasira Amelkosa dyudyu mda mrefu lazima awe na hasira
Huhuhu ni hatar
Ayo mademu mataila kweli kama uyo elza ndy kashaanza na kuzeeka
Kama uyo Eliza anatakiwa tu kushuka apo 😅😅😅😅😅😅 anamaneno sana yaovyo
Mtoeni eliza misumbufu sana 😂😂😂😂😂 eti anarembua looh
Eliza hajui anachotafuta.
@@DanielYusto kwaeli
Kuna wadada wanaringa jmn sas huyo eliza si ataozea hapoo kwanza ana nyodooooo,, jmn she is not serious jmn
wanaokaa hapo zaidi ya week 3 muwe mnawatimua kama hicho ki eliza ambacho hakijitambui
Iki ki Eliza kinajielewa kweli?
Ovyooo.
Mr Right nimekuelewa sana na umejieleza vizuri. Ni sisi wanawake hatujui tunachokitaka bila shaka ndiyo maana tunakuwa nacrush za ovyo na zisizo na kichwa hata miguu.
Jamn huyu kaka nyieeeeee kaka angu sema nipo mbali na shida dini mm ni muislam nakuombea upate mke sahihi inshaallah ❤nyie wadada mnaacha husband material alooo😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ kila la khery kaka angu
@@maryamChumas upo wapi ww ??
Upo wapi ww ,, mm muislam mwenzako nipo nna shida ya mwenza
Nimeangalia Mr right nyingi mno ila hii imebamba mnoooo 💯💯💯💯 ila jamani tuseme tu ukweli Eliza etaki mweza yupo apo kwaajili ya kutuinjoi... au anataka ustaa kupitia Mr right ... Au km anataka mtu kweli basi atapata uzeeeni mana anaongea mnoooo mh .....😂😂😂😂
This man is so good 👍 and straightforward
Hawa wadada hawajutambui ata kidgo
Eliza na zalish wanaboa , next muwatoe
Uko real sana
Nawachukia coz,wanaharibu lengo la Mr right ,pia wanawapotosha wenzao kuwa mwanaume anayemchagua Miss right lzm awe na pesa . I hate this girl ,she was very stupid . Ukiwaona sura zmewakomaa!! alafu maalifa finyu.
Mbona mkaka yupo vzr tu profile zake zote zimenyooka
Inshort awa wadada hawajielewi kabisa kaka mpole alafu anajielewa aiseee kubwa Zaidi maokoto yapo 😂khaaa jamani mimwenyewe nimemuelewa et
Hawa mademu ni nyoko....madem wenyew ni masikin alafu wnatakaga tamaa pumbavu zao
Huyu Eliza Bado hatambui nafasi yake kuwa yy n mwanamke TBT zake hwako hvyo
Eliza eti angalia anavo niangalia 😂😂😂😂😂😂
Hahaha kukiendesha hicho kipind it's very hard izo akili zao
Kwn huyo Eliza hapo anangoja nn jamani hebu mtoeni tumemcnoka watazamaji kiukweli yupo hapo kwa ajili ya kukosoa watuna kukatisha wezake tamaa
Oya mtu wa nguvu gara B hivi mnamuona eliza yupo sawa?mpaka mnampa mda wa kihoji aaah hamuoni yuko conveust
Jmn yupo smart mpaka raha kashika na kitambaa chake mwenyewe yan very smart asee
Jamani KUWA KWENYE MAHUSIANO NA MTU ALOKUWA NA MTOTO EITHER KIKE AU KIUME NI CHANGAMOTO SANA , SANAAAAA SANAAA
huyo hawezi olewa, anachaguwa wanaume, ahoni miaka yake, muhache amesha zoeya vyawakubwa, muhunja honja huwa awezi pata kitamu.
Mimi nahisi ELIZA ni fake contestant 😅😅😅😅 na ZARISH.
Kuna mda tunachagua kukaa kimya kwa hawa wadada sababu wanajikuta watakatifu ni vile tunakua hatujui profile zao huko nyuma
I'll Eliza una gundu na roho mbaya kill anaekuja kwako mbaya
Eliza mtoeni hapo anawashushia brand yenu 😢 alafu kuna wadada humo naona hata hawana akili timamu wanawasumbua tu
Aisee Kuna fala pas fal ndo Hawa wadada wakiongozwa na Eliza huyu kinyago
Eliza ata akipata mwanaume apo ata dumu naye ata kidogo kwanza anajisikia anajiona yeye ndo kila kitu alafu anamdomo sana kuliko maisha yake yani anajiona keki 😏😏
Vidada vya hapo ni wadangaji maana kama huyo ni husband material kabisa na ni age yao kabisa but hawaoni jmn kha
Uyo Elisa fukuzeniiiii kasha choka na hata akipata bwana wataachana
yaaani uyuu msengeee ana kejeriii mno mtoeniii jamaniii uwo anapoteza mudaaa tyu mtoeni bn Eliza
Sio binti ni mama mkomavu ya maziwa yamelala km kanyoyesha Watt wa5
Huyu Eliza anapepo
Me nimempenda Bure uyo kaka
Eliza ni mpumbavu sana hajitambui huyo
Sasa ELiza hapo ndio umepaka makeup acha dharau
Awa wanaume wanaokuja kutafuta wake apa me hua siwaelewi
Mtoeni uyo Eliza kwanza mwenyewe amezeeka
Eliza atoke hapo anazingua Alf amezekaa
Nimegundua wanawake wa humu akili hawana kabisaaa
Yaani adi kina Gara B Wamekuchoka Eliza
Mujinga hyo dada eriza atazekea hapo
Yeye mwenywe kashaanza kuzeeka afu anachagua et macho yake aloooh
Libibi yan humo lenyew ndo lizee
Huyo sijuwi Eliza atafte tu kazi yakufanya yani ajioni kuwa umbri unaenda
Mbona hii show inaelekea kuitwa “Mr Money “
😂😂😂😂😂nakwambia
😂😂nimecheka sana
😁😁
Eliza huo msenge mufukuze huo aende kuzehekea nyumbani kwao😮
Yaan uyo Eliza anakera 2 kama anataka wenye ela yy ana kazi gani anafanya
Hebu Hilo bibi Eliza litoeni kwanza...halijitambui na mashauzi mengii...huyu ni mdangaji asie na bahati!
unataka awe na macho makali kama yako ataaibu hayana
Wanajiuza Hao madada hawana shida namme..
Wadada wengine apo wamekaa wizi wizi
😂😂😂😂watazeeka kwenye podium
Awa mademu wana pepo la umaskini so buree 😅😅😅
Eliza hastairi kuwepo hapo
Em watoeni hao wadada hapo leteni wengine......kolo haooo
Huyu Eliza hajapata wa kumuoa
please guys , I like this show to be honest , but this season 5 ,it has alot of mix agendas ,in terms of u presenters and single ladies , it like you attack alot , when Mr Right comes in, please adjust , am Dickson Ndire
this thing of love shouldn't be attached with conditions , # 1 Love is Patience, so plz encourage not discourage, some of this singles they have no any better profile of their lives,
Huyu kaka nmzuri sana nyie wadada hamjui kuchangua watu niyie bana mtuhani t
Wanawake hawana akili hata kidogo
Huyo demu fala kweli eti anarembua😂😂😂
Eliza tayari ni kikongwe
Litoeni hapo hilo lieriza
Ningekua hapo ningeondka nae
Eliza tumekuchoka
hili eliza komwe kubwa halafu baya linabebwa na weupe wa kopo hana lolote likae tu hapo likichoka liondoke linamkosoa muumba kwa alivoumba mja wake
Chizi hili lishazeeka kwanza
Ningekua hapo huyo kaka namchukua mimi 😊
😂😂😂😂
Ila huyo mke wako kiaz kwel
Hahahaha ila Eliza mbwa kweri hebu mchunguzeni pengine amekuja hapa kuwapima tu
Mwambien aje kwangu
Eliza atolewe anaboa Sana
Aiseee jmn kaka kma huyu ana appearance,,ana muonekano mzr mstaarab teba kusoma ifm sio parahis niulizen mm😂😂😂😂🙌afu unakosoa macho wadada tujielewe jmn mtu yupo straight hta kwenye maelezo ake anajieleza vzr
Eliza apimwe mkojo
Kieliz kinajishaua
Huyo eliza mumfukuze
Hao madem wengine hawataki kutoka hapo kwenye Tv muda mwengne muwabadilishe wale wazamani snaa
Bibi eliza unakera sana
Wanazingua sana awo mademu wanajiona viwango wakati chika mbaya
Ila Eliza na zalish wameshazeeka na hawana maswali yenye tija watoeni wanatia wenzio nuksi,,kwanza mwanaume anayetaka mwanamke wa kufanya nae maisha hawezi mchagua eliza wala zalish bora hata hawa wengine japo nao wanavaa mno nguo za ajabu,.
Hutu mr raight yuko vizuri sana
Eliza mshiezi sana
Ss sindo alovyo umbwa
Hii movie gani?
Nimempenda bure Grayson
Amenyoookaa htr
Eliza ni kabibi kalicho paka make up
Kaka mzuri huyu 😢😢cjui Nami nije huko
Naomba namba
huyo Eliza kwanini msimfukuze inaonekana nanyie mlioandaa hiyo program hamjitambui
Unamjaj mtu macho utadhan unajua kuumba ungejua wenye hayo macho ni romantic kinoma 😂😂Eliza una shida sn
😂😂😂😂 uzuri bila akili ni hatari sana
Eliza....daah😂
We eliza wewe
Yaan mm kwa huy at alvoingia bil kusklza profl ake mm nngmuwashia taa mpk mwsho hak😢
😅😅😅wewe ndo mimi kabisa yaani kama inawashwa mara mbili ningewasha kabisaaa
@@ellymwampashe8927 🤣 woiii